#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

NB:
KITU KINGINE COMMON KILICHOJITOKEZA KUHUSIANA NA WAGENI HAWA WAWILI NI KWAMBA WOTE WALIHITAJI KUONGOZANA NA MHUSIKA KUTOKEA KWENYE KORIDO/ VERANDA, KUELEKEA OFISINI KWAKE. WOTE WALIHITAJI MHUSIKA AWACHUKUE KUTOKEA SEHEMU HIZO TAJWA, AWAPELEKE OFISINI KWAKE
 
UPDATE: WEDNESDAY, 05TH APRIL 2023

MGENI WA PILI


…………………inaendelea

KILE HASA KILICHOPELEKEA MHUSIKA AAMUE KULETA MAELEZO YA MGENI HUYU WA PILI (tumiwte MG-2) HUMU JUKWAANI


Kwanza kabisa, kuonekana kwa mgeni huyu kwenye ghorofa ya kwanza ambayo ndipo ofisi ya mhusIka ilIpo, kuli-coincide tena na ujio wa watoto ambao huwa wanafanya usafi ofisini kwa mhusika, sawia kabisa kama ilivyowahi kutokea kwenye tukio jingine la wiki kadhaa zilizopita, pale mgeni wa SMK aliyekuwa amebeba kibegi kidogo kifuani, alipoongozana na mhusika kwenye korido

  • Mgeni huyo wa awali, aliwahi kuiongozana na mhusika, wakati mhusika alipokuwa anatoka nje ya ofisi yake ili kuwapisha watoto waweze kufanya usafi ofisini kwake siku hiyo
  • Siku hiyo nayo vile vile, ilikuwa ni ya J3 na katika majira kama yale yale ambayo MG-2 alionekana kwenye sakafu ya ghorofa ya kwanza J3 ya wiki hii
NAMNA MHUSIKA ALIVYOMUONA MG-2 KWA MARA YA KWANZA AKIWA NDANI YA JENGO J3 HIYO

Mhusika
akiwa anatoka ofisini kwake kuelekea kwenye veranda ili akapumzike pale wakati watoto wanaendelea na usafi ofisini kwake, kwa mbele umbali kidogo, usawa wa ngazi za kushuka chini au kupandisha juu, na mahali ambapo juu yake ndiyo kuna Kamera inayomulika kwenye korido; alimuona MG-2 akiwa amesimama eneo hilo

  • MG-2 alikuwa anaongea na MWI mstaafu (2006-2012), ikiwa ni pamoja na mtu mwingine pia ambaye kwa sasa, mhusika hamkumbuki alikuwa nani, ila naye pia hakuwa staff
  • Baada ya mhusika kukaribia eneo lile walipokuwa wamesimama watu hao, (mhusika) alimsikia MWI mstaafu (2006-2012) akimuuliza mgeni swali KWA SAUTI YA JUU KIASI akisema kuwa “kwa sasa uko wapi Ulaya au Uarabuni?” kitu kama hicho kama kumbukumbu za mhusika ziko sahihi
Na kwa sababu MG-2 alikuwa amevaa kofia, kwa wakati huo mhusika hakuweza kujua kuwa aliyekuwa anaulizwa swali hilo alikuwa ni mtu ambaye walikuwa wanafahamiana

  • Baada ya kufika pale walipokuwa wamesimama watu hao, mhusika aligundua kuwa MG-2 alikuwa ni mtu ambaye wanafahamiana siku zote
  • Zaidi safari hii kwa KWA SAUTI YA CHINI, MG-2 alidai kuwa hajawahi kwenda popote tangu ametoka ofisini ila yupo hapa hapa nchini, kitu ambacho hata mhusika hakuwa na tatizo kukubaliana nacho
Mpaka hapa msomaji anaweza kuona kuwa swali aliloulizwa MG-2 KWA SAUTI YA JUU, lilikusudiwa kum-cover, just in case of anything huko mbele ya safari

  • Kwamba MWI mstaafu (2006-2012) angeweza kusema kuwa yeye akiwa ndani ya jengo siku hiyo, aliongea na mtu mgeni ambaye amewahi kusafiri kwenda Ulaya au Uarabuni
  • Kwa hali hiyo, huyu MG-2 asingeweza kwa namna yoyote ile, kudhaniwa kuwa ndiyo yeye aliyefika ndani ya jengo J3 hiyo kwa sababu yeye hajawahi kufanya safari hizo, ukizingatia kuwa alikuwa amevaa kofia na hivyo sura yake isingekuwa imeweza kuonekana na Kamera
BAADA YA MHUSIKA KUJUA KUWA ALIYEKUWA ANAONGEA NA MWI MSTAAFU ALIKUWA NI MG-2

Baada ya salamu mhusika alimwacha MG-2 akiwa amesimama na wenyeji wake pale pale alipomkuta na yeye kusogea kwenye kijiwe chake cha siku zote na kwenda kusimama pale, akisubiria usafi umalizike halafu arudi tena ofisini kwake

  • Kijiwe hicho kina Kamera ambayo huwa inamulika pale na hivyo huwa siyo rahisi watu mamluki kusogea pale
  • MG-2 na wenyeji wake hawakuweza kusogea pale na baada ya muda wote wali-vanish into the air na mhusika hakuweza kuwaona tena maeneo yale
Baada ya muda mfupi kupita, mhusika alitoka pale alipokuwa amesimama na kurudi tena ofisini kwake kuendelea na kazi zake, bila kupandisha juu wala kushuka chini

  • Baada ya kuwa imepita kama saa moja hivi, mhusika alirudi tena kwenye kijiwe chake kwa ajili ya mapumziko mafupi, safari hii vile vile hakupandisha juu wala hakushuka chini
  • Baada ya muda kitambo mwingine tena kupita, mhusika alirudi tena kwenye kijiwe chake kwa ajili ya mapumziko mengine mafupi, na safari hii nayo vile vile hakupandisha juu wala hakushuka chini
Baada ya safari hizi zote kuwa zimepita, iliwadia safari nyingine ambayo mhusika alilazimika sasa kupandisha juu kwenye washrooms ambazo zenyewe ziko ghorof ya pili.

  • Baada ya kutoka washrooms, mhusika aliingia chumba cha chai na hatimaye ofisini kwa MWI
  • Baada ya kutoka ofisini kwa MWI, alitoka nje na kuamua kupumzika kidogo kwenye veranda iliyoko jirani na ofisi hiyo
Hakuna Kamera inayomulika maeneo yale na ndiyo sehemu ile ambayo mgeni wa kwanza aliyeingia ndani ya jengo Ijumaa ya wiki iliyokuwa imepita, alimkuta mhusika akiwa amesimama maeneo hayo

  • Baada ya mhusika kuwepo eneo hilo kwa takribani dakika moja au mbili, MG-2 naye aliingia eneo hilo na kumfuata mhusika moja kwa moja mahali pale alipokuwa amesimama
  • Mhusika alishangaa kidogo kumuona kwa sababu alikuwa ameshasahau kama MG-2 alikuwepo idarani, mbali na kudhania kuwa alikuwa tayari ameshaondoka
  • Safari hii MG-2 alikuwa anamtafuta MR X
  • MG-2 alidai kuwa amefika ofisini kwa MR X ila hajamkuta na ndiyo maana yuko maeneo yale akijaribu kumuulizia
Possibly MG-2 hakuwa na simu au pengine simu ya MR X ilikuwa haipatikani

HITIMISHO


Baada ya hapo, mhusika alimwelekeza MG-2 kuingia chumba cha chai ili amwangalie humo, na hapo hapo mhusika aliondoka eneo hilo na kurudi tena ofisini kwake

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UPNEXT:
....................inaendelea
KUPANDISHWA NA KUSHUSHWA SHUSHWA KWA VYEO VYA MHUSIKA OFISINI
 
…………………inaendelea

KUPANDISHWA NA KUSHUSHWA SHUSHWA KWA VYEO VYA MHUSIKA OFISINI


Dokezo muhimu hapa ni kwamba maelezo haya yanayoendelea chini ya kichwa hiki cha habari, yapo kwa ajili ya ku-complement na pia kurekebisha sehemu ya baadhi ya maelezo ya awali ambayo mhusika alishawahi kuyaleta humu jukwani kupitia post hii hapa #315

Maelezo sahihi zaidi ni kuwa mhusika aliwahi kupandishwa daraja mnamo Julai mosi 2012 hadi kufikia ngazi ya mwisho kabisa, (Ngazi H) na wakati huo huo akawa analipwa mshahara wa ngazi F; mshahara ambao ulikuwa ni mdogo kwa ngazi mbili, kwamba;



Post hii ya sasa ndiyo inabeba sasa maelezo yaliyo sahihi zaidi ya uhusiano uliowahi kujitokeza kati ya ngazi za upandaji wa mhusika na mshahara ambao amekuwa akilipwa baada ya kuwa amepandishwa ngazi

Baadhi ya mambo makubwa na ya muhimu sana kwa msomaji kuweza kuya-note hapa ni kwamba tangu mhusika apndishwe kwenda ngazi H mnamo julai mosi 2012,

MOSI:

Katika kipindi chake chote cha utumishi wake, mhusika hajawahi hata mata moja kulipwa mshahara wa ngazi H, bali ule wa ngazi F tu

PILI:

Kwenye matukio yote ya mhusika kushushwa vyeo, mshahara wake umekuwa ukipungua kutokea cheo cha ngazi F kushuka chini na si vinginevyo kwa sababu mshahara ule wa ngazi H hajawahi kabisa kuugusa katika maisha yake yote ya utumishi wake

TATU

Kilichpopelekea mhusika kuendelea kulipwa mshahara wa ngazi F wakati cheo chake kilikuwa kimeshafikia ngazi H, ni baada ya MKUU WA TAASISI WA KIPINDI HICHO kuitisha mkutano wa Taasisi nzima na kuwajulisha wafanyakazi wote kuwa waliokuwa wamepata barua za PROMOTION ambazo zilitarajiwa kuanza Julai mosi 2012, mishahara yao isingeweza kuaongezeka tena kwa sababu Serikali haikuwa na fedha

Hapa ikumbukwe kuwa barua ya promotion ya mhusika ilitoka ikiwa na cheo cha ngazi H huku mshahara wake ukiwa ni ule wa zamani wa ngazi F, na ilitoka kabla ya Julai mosi 2012

Hata hivyo, ilipofika Novemba 2012, mhusika alianza kulipwa mshahara mpya wa ngazi F huku akiwa ana cheo cha ngazi G


Wakati huo huo, mwezi Julai 2012, kupitia mkutano wa Taasisi nzima, Mkuu wa Taasisi alikuwa amewadanganya wafanyakazi wote wa Taasisi nzima kuwa pasingekuwa na ongezeko la mishahara kwa wale waliokuwa wamepanda madaraja kuanzia Julai mosi 2012 kwa sababu Serikali ilikuwa haina fedha.

Baada ya mhusika kulipwa mshahara mpya Novemba 2012 na ambao haukuwa umeambatana na barua rasmi ya kumtaarifu juu ya ongezeko hilo, isipokuwa nyongeza hiyo ilionekana kwenye SALARY SLIP tu, ndiyo pale sasa mhusika alipolazimika kuanza kudai ARREARS zingine za miezi minne ile ya kuanzia July-Oktoba 2012.

Madai ya ARREARS hizo ndiyo yale yaliyokuja hatimaye kuibua kila kitu kilichaondikwa humu kuhusiana na kushushwashushwa vyeo mhusika

………………………inaendelea
 
MHUSIKA AKIWA ANAENDELEA KUDAI ARREARS ZAKE ZA MIEZI MINNE YA JULAI HADI OKTOBA 2012

Hadi kufikia Februari 2014, mhusika alikuwa bado hajalipwa ARREARS hizo

  • Ikumbukwe kuwa mhusika alikuwa anaendelea kudai arrears za mshahara aliokuwa analipwa wa ngazi F huku yeye akiwa yuko ngazi H
  • Ilipofika Februari 2014, mhusika aliandikiwa barua na Afisa Tawala, iliyokuwa imesainiwa kwa niaba ya yake na Afisa Rasilimali watu wa kipindi hicho, ya kushushwa cheo kutoka ngazi H kwenda ngazi F kwa maelezo kuwa kupandishwa kwake ngazi kulifanyika kimakosa
Mhusika hakusaini kukubaliana na barua hiyo, bali alisaini kutokukubaliana nayo na hatimaye kurudisha DUBLICATE kopi ya barua hiyo kwenye mamlaka husika kama alivyokuwa ameelekezwa kufanyai

Still, pampja na kutokukubaliana na maelezo yaliyokuwa kwenye barua ya kumshusha cheo aliyoletewa Februari 2014, ilipofika Juni 2014, mshahara wake aliokuwa akilipwa (ambao ulikuwa ni wa ngazi F siku zote na si ngazi H) ulikatwa kiasi cha jumla ya TZS 700,000/=
  • Kwa hiyo barua ya kumshusha cheo ilimpeleka kwenye ngazi ya mshahara wa ngazi F, lakini baada ya hapo, bado tena mshahara huo wa ngazi F ukakatwa kiasi hicho cha fedha kilichotajwa hapo juu
  • Mbali na hilo, mhusika hakuwa mwanachama wa Bima ya Afya (NHIF), na hajawahi kujiunga hadi leo hii, lakini kuanzia pale mhusika alianza kukatwa tena asilimia 3 (3%) ya mshahara wake kama mchango wake kwenye Bima ya Afya
  • Mbali na hilo tena, ilipofika Februari 2018, mhusika akaanza kukatwa tena asilimia saba (7%) ya mshahara wake na pasipokuwa na maelezo maelezo ypyote juu ya makato hayo
Makato haya mawili kwenye mshahara wake hakuwahi kuyaidhinisha bali yalikatwa kwa kutumia mamlaka tu pasipokuwa na uhalali

Baadaye tena, ilipofika August 2018 wanafunzi wakiwa wapo likizo, na mhusika naye akiwa yupo likizo pia, mhusika alipitia ofisini siku moja akitokea nyumbani na kukuta barua iliyokuwa inayomtaka alipe kwa njia benki , fedha kiasi kisichopungua million mbili (TZS 2,000,000/=) kama deni la pango la nyumba kwa maelezo kuwa alitakiwa kuanza kulipia tena pango la nyumba kuanzia Julai 2017

Zaidi barua hiyo ilidai kuwa makato ya 7% yaliyoanza kukatwa kwenye mshahara wake kuanzia Februari 2018, yalichelewa bali yaliitakiwa kuanza Julai 2017, na ndiyo yale yaliyohusiana na pango la nyumba

…………………itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 14TH APRIL 2023
LEO NI IJUMAA NYINGINE TENA, SAFARI HII MR X NA KUNDI LAKE WAMERUDI KWENYE GARI TENA


GARI LA MHUSIKA LIMECHEZEWA TENA CLUTCH LIKIWA KWENYE PARKING ZA OFISINI, GIA ZINAGOMA KUINGIA

TUMEHAMA KUTOKA KWENYE VITASA VYA MILANGO TUMERUDI TENA KWENYE GARI. KWA TUKIO HILI MTU AKISEMA KUWA MR X HAKUHUSIKA, ATAKUWA ANAMUONEA. KWA HILI UHAKIKA NI ASILIMIA 200 MHUSIKA NI MR X NA. KUNDI LAKE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TUSEME KAMA MHUSIKA ANGEKUWA NA MAMLAKA NA MR X, HUYU MTU ANGEKUWA AMESHAACHA KUFANYA HUJUMA HIZI NA BADALA YAKE ANGEKUWA ANATOA ZAWADI KAMA SHUKRANI YA KILE AMBACHO ANGEKUWA TAYARI AMESHAKIPOKEA KAMA ZAWADI KUTOKA KWENYE HUJUMA HIZO
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
SENIOR MSTAAFU WA KIKE TENA WIKI HII
MHUSIKA AMELIFIKISHA GARI NYUMBANI KWA BAHATI TU HUKU AIKWA ANASIMAMA SIMAMA NJIANI. KATIKA HALI YA KAWAIDA ALITAKIWA APITILIZE MOJA KWA MOJA KWENDA GARAGE JIONI HII HII

MBALI NA HILI LA GARI, BADO TENA KUNA STORI YA SENIOR MSTAAFU WA KIKE ALIFANYA JANA ALHAMIS. TAARIFA ZAKE ZITAWAJIENI KESHO JUMAMOSI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Hivi we mwamba hua unaongelea Nini kina Wana kuelewa na kufuatilia hili suala lako samahani lakini
 
Hivi we mwamba hua unaongelea Nini kina Wana kuelewa na kufuatilia hili suala lako samahani lakini
Yale ambayo huwa mnayaangalia kwenye fiction movie; kinachoongelewa kwenye uzi huu sasa ni halisi; siyo movie tena.
Tafadhali soma tu, usichangie
 
UPDATE: SATURDAY, 15TH APRIL 2023

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA NA MADA ILIYOKO HEWANI YA MADAI YA HAKI ZAKE;

MAMBO MUUHIMU SANA YALIYOJIRI OFISINI NDANI YA WIKI HIZI MBILI

MOSI: KUHUSIANA NA HUJUMA ZILZOFANYWA KWENYE GARI LAKE JANA IJUMAA TAREHE 14 APRIL 2023


Pamoja na kuwa MR X ndiye ni mhusika mkuu wa matukio haya; anaoshirrikiana nao ni mtandao wa watu ambao mhusika aliwahi kuwaelezea kuwa wana asili moja na Katibu Mhurtasi wa Mkuu wa Idara (KMWI) kwa maana kuwa origin yao ni mkoa mmoja

Mtandao huu umejipanga kuanzia kwenye wafanyakazi wa makampuni ya usafi hadi nje ya taasisi kwenye garage ambako mhusika huwa anapeleka gari lake, na ndiyo mtandao ambao anauona umekuwa ukimsumbua sana

NAMNA MRANDAO WA WATU HAWA WENYE ASILI YA KUTOKA MKOA MMOJA ULIVYO KWENYE KILA ENEO

ENEO LA OFISINI


Kipo kikundi cha watu kadhaa ndani ya idara akiwemo KMWI, na wawili kati yao ni watu ambao hadi leo hiii bado mhusika hajafanikiwa kufahamu kama ni waajiriwa ama la.

Kwa nini mhusika anasema hivi kwa wafanyakazi hawa wawili wakati JUMATANO YA TAREHE 05/04/2023 WIKI ILIYOPITA; MKUU WA MAJOR UNIT (MMU) ALIITISHA KIKAO CHA UNIT NZIMA na kila mtu alijitambulisha mbele ya wenzake?


Ni kwamba kwenye Alhamisi tajwa, MMU aliitisha kikao cha UNIT NZIMA na mhusika alihudhuria kwenye kikao hicho

Mhusika hakuchelewa kwenye kikao lakini by the time anaingia ukumbini; ZAIDI YA NUSU ya idadi ya watu waliokuwa tayari wameshafika ukumbini ALIWAKUTA TAYARI WAMESHAMALIZA KUJIMBULISHA!

  • Kwenye upande ule waliokuwa wamekaa watu ambao mhusika alikuta tayari wameshajitambulisha, ndiyo huko huko alikokuwa amekaa mmojawapo wa mfanyakazi wa kiume aliyepo idarani kwa mhusika na ambaye mhusika amekuwa akileta taarifa zake humu kuwa mfanyakazi huyo hajawahi kutambulishwa
  • Mwingine wa pili, alikuwa ni yule mfanyakazi wa kike ambaye naye pia hajawahi kutambulishwa. Huyu yeye alifika kwenye kikao hicho akiwa amechelewa kidogo na katika muda ambao utambulisho ulikuwa tayari umeshamalizika, na hivyo yeye alisaini tu kwenye mahudhurio ya kikao cha siku hiyo
  • Vinginenvyo mfanyakazi mwingine wa tatu alikuwa ni yule aliyewahi kuhudhuriua kikao cha idara cha hivi karibuni akiwa ametokea kwenye idara nyingine, na baada ya hapo mfanyakazi huyu kuanzisha pilika pilika za kuwa anamvizia vizia mhusika kwenye ngazi na kwenye veranda
  • Huyu naye alikuwepo pia kwenye kikao hicho lakini naye pia alikuwa amekaa upande wa kule ambako mhusika alikuta watu tayari wameshamaliza kiujitambulisha
Zadi ni kuwa wafanyakazi hawa wawili, yule kutoka idara nyingine na huyu wa idarani kwa mhusika, walikaa viti jirani

KITU KINGINE KIKUBWA ALICHOKIONA MHUSIKA SIKU YA KIKAO HICHO BAADA YA KUWA AMEINGIA UKUMBINI

Mhusika akiwa anaelekea ukumbini, njiani nje ya jengo kwenye veranda, waliambatana na mfanyakazi mwenzake pale idarani

  • Mfanyakazi huyu naye pia ana asili ya kutoka mkoa ule ule anakotokea KMWI
  • Baada ya kuingia, mfanyakazi huyu alichagua kwenda kukaa sehemu ile ambayo watu walikuwa tayari wameshajitambulisha, na karibu kabisa na wafanyakazi wale wawili wale ambao mhusika amewaongelea hapo juu kuwa alikuta upande wao ukiwa tayari umeshajitambulisha
Wafanyakazi hawa wawili ambao hata siku hiyo mhusika hakufanikiwa kujua utambulisho wao kupitia mkutano huo, walikuwa wamekaa kwenye viti vilivyo karibu karibu

Huyu wa tatu ambaye waliingia ukumbini wakiwa pamoja na mhusika, alienda kukaa huko possibly kwa nia ya kutengeneza pattern fulani ya namna majina yalivyotakiwa kukaa kwenye kitabu cha mahudhurio ya mkutano huo

  • Baada ya muda kitambo, mhusika naye aliletewa kitabu cha mahudhurio na kusaini
  • Dakika kadhaa zilipita na ndipo yule mfanyankazi mwingine wa kike aliingia ukumbini huku watu wakiwa tayari wameshamaliza kujitambulisha, wananendelea na mambo mengine
Mhusika ameamua kuyasema haya kwa sababu sasa mtandao unaomsumbua sana unaanza kuonyesha dhahiri kuwa wengi wao ni watu wenye asili moja; wanatoka mkoa mmoja

Kwa mfano, yule staff mwingine (mstaafu) ambaye mhusika amekuwa akikutana naye kila anapoenda garage naye pia anatoka mkoa huo

…………………………inaendelea
 
…………………………inaendelea

NAMNA MTANDAO WA WATU HAWA WENYE ASILI YA KUTOKA MKOA MMOJA ULIVYO KWENYE KILA ENEO

ENEO LA OFISINI

UONGOZI WA JUU WA TAASISI ULISHAWAHI KUPIGA MARUFUKU WATU KUOSHA MAGARI KWENYE PARKING ZA OFISINI
;

UWEPO WA MABINTI WAWILI SPECIAL WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA USAFI KUTOKA JENGO JIRANI, AMBAO HUWA KILA IJUMAA, WANAFIKA KWENYE JENGO LA IDARA YA MHUSIKA KWA AJLI YA KUOSHA MAGARI KWENYE PARKING ZA IDARANI KWA MHUSIKA


Kwa mara ya kwanza, marufuku ya kuosha magari kwenye parking iliwahi kutolewa siku nyingi nyuma wakati wa uongozi wa Mkuu wa Taasisi aliyepita (mstaafu)

  • Mara ya pili marufuku hiyo ilikuja kutoka kupitia uongozi uliopo sasa
  • Still, kwa kipindi kirefu sasa, kumekuwepo na mabinti wawili ambao wamekuwa wakitoka jengo jirani na kukatiza bararabara kuja jengo la idara ya mhusika kwa lengo la kuosha magari
Mmoja wao aliwahi kufanya kazi kwenye jengo la idara ya mhusika lakini baadaye alihamishiwa jengo jirani, ng’ambo kidogo ya barabara

  • Mabinti hawa nao pia wana asili ya kutoka mkoa mmoja na KMWI
  • Mbali na hilo, mabinti hawa huwa wanafanya kazi kwenye jengo ambalo IPO OFISI YA MKUU WA TAASISI ALIYEPITA (MSTAAFU)
Vile vile, UKIONDOA IJUMAA YA WIKI HII yaani jana, kwa IJUMAA ZINGINE ZILIZOPITA, karibia mara zote mabinti hawa huwa wanaosha GARI AMBAYO INAKUWA IIMEPAKI JIRANI NA GARI LA MHUSKA

  • Mhusika hana uhakika kama ipo sehemu nyingine ndani ya Taasisi, ambayo magari huwa yanaoshwa yakiwa kwenye parking
  • Mbali na hawa mabinti wawili, mhusika vile vile hajawahi kuwaona watu wengine wanaoosha magari kwenye parking zilizo ndani ya taasisi
ENEO LA LA GARAGE AMBAKO MHUSIKA HUWA ANAPELEKEA GARI LAKE

Kama alivyodokeza hapo juu, mhusika amewahi kukutana mara mbili na staff mate (mstaafu) kwenye eneo hilo na ambaye taarifa zake alishawahi kuzileta humu jukwani

Mstaafu huyu naye pia anatoka mkoa mmoja na KMWI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
……………….inaendelea

MAMBO MUUHIMU YALIYOJIRI OFISINI NDANI YA WIKI HIZI MBILI

PILI: UGENI OFISINI KWA SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE) AHLAMIS YA TAREHE 13 APRIL 2023 NA AMBAO MHUSIKA ULIMSHANGAZA KIDOGO


Ugeni huu ulifanywa na SENIOR mwingine kutoka kwenye ile idara nyingine ambayo iliwahi kuungana na idara ya mhusika na kutengeneza MAJOR UNIT

Huyu ni SENIOR tu kama walivyo ma-SENIOR wengine kwenye taasisi, kwa maana kuwa yeye ni SENIOR ambaye bado hajastaafu (tumwite SENIOR PLANE-SP)

Kilichomshangaza mhusika kuhusiana na SP, ni namna SP alivyo-behave siku hiyo, tofauti na ambayo amekuwa akimuona siku zote kwa sababu angalau wanafahamiana, japo siyo kwa sana

Huyu SP aliwahi pia kuwepo kwenye kile kikao cha uchaguzi wa Mkuu wa Taasisi zilizoko Dodoma na Nzega, kilichowahi kufanyika mwezi March 2021; na alikuwa ni mmojawapo wa wagombea wa nafasi hiyo ila kwa bahati mbaya yeye kura hazikuweza kutosha na safari yake iliishia siku hiyo

NAMNA MHUSIKA ALIVYOMUONA SP SIKU HIYO AKIWA NDANI YA JENGO

Siku hiyo, mhusika alimuona SP akiwa yuko kwenye sakafu ya ghorofa ya kwanza akiwa amechukua uelekeo wa kule iliko ofisi ya mhusika
  • Pale katikakati njiani kuna chumba cha Kompyuta ambacho kulikuwa na mtu ndani yake. SP alifungua mlango na kuingia ndani ya chumba hicho
  • Baada ya takribani saa moja au moja na nusu hivi; na katika wakati ambao mhusika alikuwa tayari ameshasahua kama aliwahi kumuona SP anaingia kwenye chumba cha kompyuta, mhusika alinyanyuka kwenye kiti chake ili aelekee juu washrooms
  • Baada ya mhusika kufunga mlango wa ofisi yake; akiwa ameshaanza kutembea akiwa kwenye korido, SP naye alitoka kwenye chumba cha kompyuta
  • Huku nyuma yake mhusika, SMKE naye alitoka nje ya ofisi yake na kusimama kwenye korido
Kwa hiyo kwa kipindi hicho, mhusika akawa yupo katikati ya SMKE na SP, huku wakati huo SP akiwa anatembea kuelekea ofisini kwa SMKE na mhusika naye anatembea kuelekea kule SP alikokuwa anatokea
  • Walipokaribina (mhusika na SP), mhusika alimwita SP, si kwa jina bali kwa title ya ofisini, lakini SP hakuitikia na wala hakuonyesha dalili zozote za kutaka kuongea na mhusika au kusalimiana naye
  • Kwa hiyo mhusika na SP walipishana plane bila kuongea wala kusalimiana, kitu ambccho hakkikuwa cha kawaida sana
Matendo haya yote yalifanyika ndani ya kipindi cha sekunde chache sana kwa sababu ofisi hizi ziko kwenye korido moja na hazina umbali wowote

Baada ya tukio hilo, mhusika alipandisha juu na baada ya kutoka huko, aliirudi tena ofisini na kuendelea na kazi zake
  • Safari hii haukupita muda mrefu sana, SP alitoka ofisini kwa SMKE ambayo iko hatua chache tu kutoka pale mhusika alipokuwa amekaa
  • SP alitoka akiwa peke yake
  • Baada ya kutoka, hatua kama mbili hivi mbele alisimama kidogo mahali karibu tu na mlango wa ofisi aliyokuwa ametoka, akawa anasoma kitu kwenye ubao wa matangazo ukutani upande wa kulia kwake
HITIMISHO
Kwa sababu mara ya kwanza mhusika alimwita SP na hakuitikia, safari hii mhusika hakumsemesha tena SP kwa sababu kama angemsemesha halafu SP akaamua kurudi na kuingia ofisini kwa mhusika, kwa mtu aliyekuwa mbali akiwaangalia au Kamera, ingeonekana kuwa SP allitwa na mhusika na hivyo SP kulazimika kurudi na kuingia ofisini kwa mhusika

Mhusika aliushangaa kidogo ugeni huu kwa sababu walionana kwa karibu sana na SP lakini kwa bahati mbaya hawakufanikiwa kuongea wala kusalimina tu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TATU: ALICHOKIBAINI BAADA YA MMU KUITISHA KIKAO CHA KWANZA CHA MAJOR UNIT

Aliyekuwa anadhani kuwa ni mkuu wa Idara ile nyingine; yaani binti mkuu wa idara hakuwa tena mkuu wa idara kwa wakati huu.

Japo alikuta tayari watu wameshajitambulisha na Mkuu wa Idara hiyo hakujitambusha tena, mhusika alilibaini hilo kwa kutumia LOGIC

  • Siku hizi taarifa hizi muhimu za wakuu wa idara zimeadimika kidogo kiasi kwamba ni shida hata kuweza kumfahamu Mkuu wa Idara yako wewe uliyopo
  • Kwa mfano, kwenye mabadiliko ya mwisho ya Mkuu wa Idara yake, mhusika ilimchukua takribani nusu mwaka kujua kuwa Mkuu wa Idara yake alikuwa ameshabadilika tangu Julai 2020; hadi anakuja kugundua hilo iilikuwa ni Januari 2021
Unamsikia kwa maeno tu; huwezi ukathibitsha kwa maandishi wala kuona maandishi popote

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPNEXT

BARUA AMBAYO MHUSIKA ALIWAHI KUANDIKIWA NA MKUU WA TAASISI ALIYEPITA (MSTAAFU) AKIELEZWA KUWA BARUA YAKE YA KUPANDISHWA CHEO MWAKA 2006 KUTOKANA NA KUHITIMU MASOMO YA MASTERS ILIKUWA IMEKOSEWA


Barua hiyo aliyoandikiwa mhusika, ilikuwa imegongwa mhuri wa maandishi makubwa yaliyosomeka “CONFIDENTIAL”

Yalikuwa ni majibu ya Mkuu wa Taasisi kwa mhusika baada ya (mhusika) kuwa amekata rufaa mwaka 2007, baada ya baadhi ya wafanyakazi kwenye kada yake kupandishwa jumla ya vyeo vitatu badala ya viwili kama ilivyokuwa imefanyika kwa mhusika

Yaani

  • Vyeo mwaka 2006 walipndishwa vyeo viwili kutokana na kuhitimu masomo ya Masters
  • Ilipofika mwaka 2007, wakapndishwa tena cheo kingine kimoja kutokana na promotion ya kawaida; kwa wale ambao promotion yao ilikuwa mwaka 2007
Kwa hiyo, iIlipofika mwaka 2007, mambo haya mawili yalifanyika hivi, huku nyuma yake mwaka 2006, mhusika alipata cheo kimoja kimoja kwa kila mojawapo ya mambo hayo mawili

Hiki sasa ndiyo kilipelekea mhusika akaandika barua kwa Mkuu wa Taasisi na majibu yake yalirudi yakiwa negative, huku barua yake ikiwa imegongwa mhuri huo wa“CONFIDENTIAL”

Barua hiyo ni mojawapo kati ya zile zilizowahi kuibiwa nyumbani kwa mhusika mwanzoni mwa January 2021 kwenye sakata lile ambalo liliwahi kuhusisha wizi wa nyaraka zote za mhusika azlizokuwa bado anazo akizitumia kama ushahidi wake

Sakata hilo liliwahi kufanyika mwanzoni mwa januar 2021 kipindi ukarabati wa jengo ulipoanza

Hata hivyo hadi leo, mhusika bado anaendelea kuitafuta photocopy ya barua hiyo kwemye makabrasha yake mengine

KEY POINT KWENYE MAELEZO HAYA: SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME),

Ni kwamba SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME), alipanda cheo na kushika nafasi ya pili kwenye taasisi nzima, kuanzia Desemba 2005, na tangu pale hadi leo, haki za mhusika ofisini zilibadilika na kuwa ndoto. Tangu pale mhusika hajawahi tena kupata haki yake hadi leo

Kabla ya hapo, mhusika hakuwa na shida yoyote ya haki zake ofisini. Shida ilikuja kuanza pale tu SSME alipobahatika kupata mamlaka makubwa ndani ya taasisi

………………..itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 28TH APRIL 2023

MTU ALIYEONGELEWA KWENYE POST HII HAPA #1,419 KAMA “MGENI WA KWANZA” AMEFANYA KITU KINGINE TENA LEO IJUMAA YA TAREHE 28 APRIL 2023


Mara ya mwisho mtu huyu na mhusika, waliongea, ilikuwa ni wiki kadhaa zilizopita na kwenye siku nyingine ya Ijumaa, siku mgeni huyu alipofika mazingira ya ofisini kwa mhusika na kumkuta mhusika akiwa yupo kwenye veranda jirani na ofisi ya Mkuu wa Idara

Tangia pale, kwa mara nyingine tena wameongea Ijumaa ya leo

KILICHOTOKEA IJUMAA YA LEO

Mhusika akiwa yupo ofisini kwake, alistukia binti mwanafunzi anaingia ofisini kwake (mhusika)


Baada ya kusalimiana, binti akasema kuwa alitumwa na mwalimu wake kuja kuazima “extension cable ya umeme” kwa ajili ya kutumia kwenye DIGITAL PROBECTOR kwa sababu ile ya kwake aliyokuja nayo imeonekana kuwa ni mbovu

  • Mhusika alimuuliza binti kuwa mwalimu huyo ni nani
  • Binti alitaja jina la mwalimu aliyeko kwenye maelezo ya post iliyotajwa hapo juu
Kabla ya binti kuja kuazima cable ya umeme, mhusika naye alikuwa na darasa lililokuwa limemalizika muda siyo mrefu, na lilikuwa kwenye chumba hicho hicho ambacho mwalimu wa binti alikuwa anakitumia

Mbali na hayo, mhusika naye alitumia pia DIGITAL PROJECTOR wakati wa kufundisha, ikiwa ni pamoja na cable ambayo huwa ni kwa ajili ya matumizi yake binafsi ofisini kwake

Kwa hiyo binti alitumwa kuja kuazima cable hiyo hiyo aliyokuwa ameitumia mhusika muda mfupi uliokuwa umepita

  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kuja kuazimwa kifaa cha aina hiyo
  • Mbali na hilo, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa wawili hawa, yaani mhusika na mwalimu aliyekuwa anaazima cable, kufanya kitu cha namna hii kwa sababu mbali na kuonana na pia kuongea kidogo kwa safari zipatazo mbili, hawana mazoea na wala hawafahamiani kwa kiwango hicho cha kuweza kufanya transactions za aina hii kati yao
BAADA YA MHUSIKA KUSIKIA UJUMBE KUTOKA KWA BINTI

Mhusika aliamua kuchukua cable na kwenda nayo hadi darasani alimokuwa mwalimu na wanafunzi wake

Mhusika alimkuta mwalimu akiwa anaendelea ku-”fumble” na cable nyingine ambayo ndiyo ilikuwa imesemekana kuwa ni mbovu

HITIMISHO

Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona mwalimu huyo akiwa yupo kwenye chumba hicho akifundisha


Darasa hilo liko nje ya geti kuu la kuingia ndani ya jengo na jirani kabisa na ukumbi wa mkutano, na hivyo kama ambavyo imekuwa kwenye matukio ya nyuma, mwalimu alimtuma binti kwa mhusika ili yeye (mwalimu) aepuke kuonekana na Kamera zinazomulika kwenye Korido ndani ya jengo

Mhusika alimkabidhi cable mwalimu na baadaye tena muda mfupi kabla darasa halijaisha, mhusika alirudi tena darasani kwenda kumjulisha mwalimu kuwa cable hiyo inabidi aiache iendelee kubaki humo kwenye darasa hilo kwa ajili ya matumizi ya kila mwalimu atakayekuwa anafundishia humo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 05TH MAY 2023
BREAKING NEWS!!!!
NI IJUMAA NYINGINE TENA!!!!

HUJUMA NYINGINE IMEFANYIKA TENA IJUMAA YA LEO KWENYE GARI LA MHUSIKA.
ASUBUHI ALIPAKI LIKIWA SAWASAWA HALINA SHIDA YOYOTE, JIONI ANAKUJA KULICHUKUA WAKATI WA KURUDI NYUMBANI AMELIKUTA LIKIWA NA TATIZO KUBWA
ATALIPELEKA TENA GEREJI SIKU YOYOTE KUANZIA J3 YA WIKI IJAYO. KUTOKANA NA.HALI HIYO, KWA MARA NYINGINE TENA J2 HII ATAKOSA KUHUDHURIA IBADA KANISANI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 06TH MAY 2023

TAA ZINAZOBADILIKA RANGI KWA KUFUATA RANGI ZA UPINDE WA MVUA ZILIZOWEKWA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A


Taa hizi zimewekwa kwenye ngazi za kupandishia juu ya Madhabahu ya Kanisa A na huwa zinabadilika rangi kwa kufuata RANGI ZA UPINDE WA MVUA; continuously kwa muda wote ambao huwa zinakuwa zimewasha

  • Zipo pia baadhi ya taa hizo ambazo huwa hazibadiliki rangi
  • ALAMA YA UPINDE WA MVUA NI YA MASHOGA na kuna uwezekano mkubwa sana uongozi wa Kanisa A wakashtakiwa kwa kukiuka intellectual property laws
Na kwa sababu viongozi wa Kanisa A siyo mashoga, uwezeakano mkubwa ni kwamba taa hizo watazibadilisha muonekano wake na kuwa tofauti, haraka iwezekananvyo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Dokezo muhimu la nyongeza

Taa hizo zilizopo Kanisa A zitaweza kuendelea kuwepo iwapo tu Kanisa A linaongozwa na MASHOGA. Kama haliongozwi na MASHOGA, taa hizo zitarekebishwa au zitaodolewa kabisa


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Organisataion za mashoga zimeshasemekana kuwa zipo zinajulikana na hivyo wanachama wake hawatakiwi kujificha ndani ya nyumba za Ibada. Waondoke Kanisani wanakiuka maadili yao kwa sababu wanalazimika kufanya kazi kimya kimya wakiwa kwenye organization nyingine ambayo siyo yao, wakati hata ile ya kwao wanayostahiki kuifanyia kazi ipo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…