#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: TUESDAY 09TH MAY 2023

TAA ZINAZOBADILIKA RANGI KWA KUFUATA RANGI ZA UPINDE WA MVUA ZILIZOWEKWA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A


Taa hizi zimewekwa kwenye ngazi za kupandishia juu ya Madhabahu ya Kanisa A na huwa zinabadilika rangi kwa kufuata RANGI ZA UPINDE WA MVUA; continuously kwa muda wote ambao huwa zinakuwa zimewasha
  • Zipo pia baadhi ya taa hizo ambazo huwa hazibadiliki rangi
  • ALAMA YA UPINDE WA MVUA NI YA MASHOGA na kuna uwezekano mkubwa sana uongozi wa Kanisa A wakashtakiwa kwa kukiuka intellectual property laws
Na kwa sababu viongozi wa Kanisa A siyo mashoga, uwezeakano mkubwa ni kwamba taa hizo watazibadilisha muonekano wake na kuwa tofauti, haraka iwezekananvyo
  • Taa hizo zitaweza kuendelea kuwepo iwapo tu Kanisa A linaongozwa na MASHOGA. Kama haliongozwi na MASHOGA, taa hizo zitarekebishwa au zitaondolewa kabisa
  • Organisataion za mashoga zimeshasemekana kuwa zipo zinajulikana na hivyo wanachama wake hawatakiwi kujificha ndani ya nyumba za Ibada. Waondoke Kanisani wanakiuka maadili yao kwa sababu wanalazimika kufanya kazi kimya kimya wakiwa kwenye organization nyingine ambayo siyo yao, wakati hata ile ya kwao wanayostahiki kuifanyia kazi ipo
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Unawezaje kuweka taa za urembo wa kubadilika badilika na zikawa ziko PERMANENT kwenye madhabahu; kitu ambacho kinaweza kupelekea waumini wakati wa Ibada, kuwa wana-concentrate na taa badala ya kuwa wanawasilkiliza mtumishi wa Mungu wanaosimama madhabahuni?
Kuweka taa hizo kwa muda kama vile wakati wa sikukuku fulani fulani, inawezekana ila siyo taa za aina hiyo kuwepo PEMANENTLY kwenye madahabahu
Taa hizi zimefungua code moja ambayo ilikuwa inamsumbua sana mhusika tangu kipindi kirefu nyuma.
Maana haiwezekana mtu ambaye ni PhD holder kung'ang'ania kwenye utumishi ambao hata qualifications zake hana; halafu mtu huyo huyo kila J2 yeye ni msimamo mmoja tu wa kutoa matangazo ya ulawitii bila kujali malalamiko ya nyuma. Angalau sasa mhusika anaanza kupata picha halisi
 
UPDATE: WEDNESDAY 10TH MAY 2023

MWENDELEZO KUTOKEA KWENYE POST HII HAPA #1,424 ; WA MAELEZO YANAYOHUSIANA NA KUSHUSHWA CHEO IKIWA NI PAMOJA NA KUKATWA MSHAHARA WA MHUSIKA, KUANZIA MWAKA 2014

MAELEZO MAFUPI YA UTANGULIZI

Mwaka 2014
mhusika alishushwa cheo kwa mara ya kwanza ikiwa ni pamoja na kukatwa mshahara wake

Effective date ya kushushwa cheo hicho ilikuwa ni Julai mosi 2012, tarehe ambayo aliwahi kupanda cheo na kufikia ngazi ya mwisho kabisa kwenye kada yake, yaani ngazi H kama ambavyo ameiita kwenye maelezo yake humu jukwaani

Kwa hiyo mhusika alishushwa cheo mwaka 2014 w.e.f. 1st July 2012, kutoka ngazi ya mwisho kabisa H kwenda ngazi F

  • Baada ya hapo, zaidi ya miaka mitano baadaye, Ilipofika mnanamo Novemba 2017, mhusika aliletewa barua nyingine tena ya kushushwa tena cheo kwa mara ya pili, safari hii kwenda ngazi G; w.e.f. 1st Novemba 2017
  • Na kwa sababu ngazi G ni kubwa kuliko ngazi F, barua ya kumshusha cheo kwa mara ya pili ilikuwa imebeba kiwango cha mshahara ambao ulikuwa ni mkubwa ukilinganisha na ule ambao alikuwa anaupata kwenye ngazi F
Mshahara huo mpya ulikuwa uanze kulipwa kuanzia Novemba 2017

  • Novemba 2017 ikapita mshahara huo hakuuona
  • Desemba 2017 nayo pia ikafipita lakini mshahara huo mpya hakuuona
Baada ya hapo alipiga simu kwa kutumia extension; kwenye kitengo cha mishahara akiulizia ni nini kilikuwa kimetokea mshahara mpya hajauona

MHUSIKA ALITAKIWA AKAONANE KWANZA NA HR KABLA YA MSHAHARA MPYA WA BARUA YA NOVEMBA 2017 KUANZA KULIPWA

Baada ya kuwa amepiga simu kitengo cha mishahara, mhusika alipewa maelekezo kuwa alitakiwa kwenda kuonana na HR kwanza kabla ya mshahara huo mpya kuanza kulipwa

Baada ya kusikia hivyo, mhusika aliamua kutokufanya hivyo na kukaa kimya, na hajawahi kufanya hivyo hadi leo, kutokana na sababu kadhaa zifuatazo hapa chini

  • Mosi: utaratibu wa mtumishi wa umma kuanza kulipwa mshahara mpya huwa hauhitaji kwenda kumuona HR
  • Pili: HR huyu ndiye yule aliyewahi kushiriki kwenye mchakato wa awali wa makato ya kwanza kwenye mshahara wa mhusika mwaka 2014; kipindi hicho akiwa si HR bali kama supervisor wa watu waliokuwa wanafanya kazi kwenye kitengo cha LOSSON
  • Tatu: mtu huyu aliwahi kumtaka mhusika akaandike barua ya malalamiko ya kukatwa mshahara wake mwaka 2014, baada ya mhusika kwenda kumuona kipindi hicho akijaribu kudadisi sababu za kwa nini hasa mshahara wake ulikuwa umekatwa …..“nenda tu ukaandike barua nyingine……..”; hilo ndiyo lilikuwa jibu ambalo aliwahi kulipata kutoka kwa mtu huyu
Baada ya ushauri huo, mhusika hakuweza kuandika barua kama alivyoshauriwa kwa sababu jibu alilopewa lilimsaidia kujua kuwa mshahara wake ulikuwa umekatwa ili akaandike barua ya kuulizia kwa nini mshahara huo ulikuwa umekatwa

BAADA YA MHUSIKA KUSHINDWA KWENDA KUONANA NA HR MWISHONI MWA MWAKA 2017


Ilipofika February 2018, mshahara ambao ulikuwa angalau uongezeke kidogo kufuatia barua ya mshahara mpya iliyokuwa imetoka Novemba 2017, makato mengine ya asilimia saba (7%) ambayo maelezo yake mhusika tayari ameshayatoa kupitia post hii #1,424 , yalianzishwa tena kwenye mshahara huo wa zamani (mshahara wa barua ambayo ni w.e.f. 1st July 2012)

Baada ya hapo, miezi kadhaa mbele tena, barua hiyo iliyokuwa na mshahara mpya (mshahara wa barua ambayo ni w.e.f. 1st Novemba 2017), nayo ilifutwa tena kwa kutumia barua nyingine aliyoandikiwa mhusika na hivyo kupelekea:

  • Mhusika kushushwa cheo kwa mara nyingine ya tatu
  • Mhusika kuendelea kubaki na mshahara ule wa barua ya kushushwa cheo kwa mara ya kwanza mwaka 2014 ambayo ilikuwa w.e.f. 1st July 2012
Kwa hiyo hadi leo, mhusika yuko kwenye cheo cha mwisho cha ngazi H kwenye kada yake, huku akiwa anapokea mshahara wa ngazi G, mshahara ambao alianza kuupokea tangu Juni 2014, na ambao ni mshahara mdogo hata ukiulinganisha na ule wa ngazi F tu

…………………itaendelea


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 10TH MAY 2023

BAADA YA MHUSIKA KUANZA KUFUATILIA HAKI ZAKE ZILIZOTOKANA NA KUSHUSHWA SHUSHWA CHEO ALIKOKUELEZEA HAPO JUU:

MAMBO MAWILI MAKUBWA YALIYOKUJA KUTOKEA/ KUJITOKEZA BAADAYE

MOSI:
Usalama wake kuwa hatarini pindi mhusika anapokuwa ameingia ndani ya baadhi ya ofisi za wafanyakazi wenzake

Kulibuniwa mbinu za kijanja kwenye baadhi ya ofisi husika hasa zile zenye mamlaka ya kushughulikia maslahi za kuwa anakuwa prompted kuachwa kuachwa peke yake ndani ya ofisi hizo

Matukio ya aina hii yamekuwa ni mengi na hajaweza kupata nafasi ya kuweza kuyaelezea yote, isipokuwa mojawapo tu ya matukio hayo na ambalo ni la hivi karibuni sana, ni lile ambalo aliripoti humu mwisho, na ambalo lilitokea mwezi Septemba 2022 (mwaka jana); na hatimaye kuja kujirudia tena Novemba 2022 likiwa kwenye version nyingine

BAADHI TU ya wahusika wakuu wa matukio ya aina hii ni wafuatao
  • MKUU WA TAASISI mstaafu; ALIYESTAAFU Desemba 2017
  • Msaidizi wa Mkuu wa Taasisi msataafu, ambaye alistaafu Desemba 2014.
  • Huyu kwa jina jingine anajulikana kama SENIOR MSTAAFU WA KIUME, na alikuwa anafanya kazi idara moja na mhusika
  • Afisa Rasilimali watu (HR) ambaye huyu ndiye aliyepo hadi muda huu.
  • Huyu ndiye aliyekuwa anamhhitaji mhusika wakaongee ofisini kwake kwanza kabla ya mshahara wake kuongezeka kutokana na barua aliyoandikiwa (mhusika) mwanzioni mwa Desemba 2017
PILI: Mnamo mwaka 2018 au 2019, mhusika aliwahi kwa mara kadhaa, kuwa anafika ofisini kwa Mkuu wa Taasisi akiwa anafuatilia appointment ya kuoanana naye ili amweleze shida zake kuhusiana na maswal ahaya aliyoyaeleza hapo juu

Kabla hajafanikiwa kuonana naye, kwenye ile safari ya mwisho mhusika alifika kwenye ofisi tajwa na hatimaye kukutana na tukio ambalo halikuwa la kawaida sana.

Siku hiyo, mhusika alifika ofisini hapo na kumkuta Katibu Muhtasi (KM) huku boss wao (mhusika na KM akiwa ametoka kidogo).
  • Wakati wa maongezi yao (KM na mhusika), KM huyo alibadilika mood na kughafirika ghafla; na kwa sababu ambazo mhusika bado hajaweza kuzijua hadi leo
  • Baada ya kughafirika, KM alianza kumpigia simu boss wao, yaani Mkuu wa Taasisi, huku akiwa katika hali ambayo alikuwa kama anataka kulia
Kwa mtu aliyekuwa anapigiwa simu, au yule ambaye angebahatika kufika ofisini hapo muda huo na kuwakuta wawili hao, ilionyesha picha kama mhusika alifika pale na kumfanyia fujo binti huyo

Baada ya kuona hivyo, mhusika aliamua kuondoka haraka ofisini hapo kukwepa kesi kubwa ya kinidhamu ambayo angeweza kuipata siku hiyo; THIS WAS PLANNED A TRICK

Kwa safari za awali; mara zote mhusika alikuwa akiwakuta mabinti wawili ofisini humo ila kwa bahati mbaya, siku hiyo alimkuta mmoja tu akiwa yupo peke yake na yule mwingine wa pili walikuwa wamepishana kwenye korido mhusika alipokuwa anaelekea kwenye ofisi hiyo

Tangu siku hiyo, mhusika hajaweza tena kufika kwenye ofisi kwa ajili ya swala hilo, isipokuwa amekuwa akifika kwa ajili ya maswala mengine tu kama vile ya kuwasilisha nyaraka zake muhimu ofisi hapo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UPNEXT:
KILICHOTOKEA KATI YA MHUSIKA NA KATIBU MHUTASI WA MKUU WA IDARA (KMWI) J3 YA TAREHE 03/04/2023 9MWEZI JANA) KUHUSIANA NA FUNGUO ZA DARASA LA WANAFUNZI
 
UPDATE: SUNDAY 14TH MAY 2023

KABLA MHUSIKA HAJAONGELEA SWALA LA FUNGUO ZA KATIBU MUHTASI WA MKUU WA IDARA;

MHUSIKA ANAOMBA ALETE KWENU TAARIFA YA FUNGUO ZINGINE MPYA ALIZOKABIDHIWA NA MKUU WA IDARA (MWI) AMBAZO ZIMEANZA KUMLETEA MATATIZO USIKU ANAPOKUWA AMELALA NYUMBANI


Funguo hizi amekabidhiwa mhusika J3 ya wiki hii tarehe 10/05/2023 na Mkuu wa Idara, baada ya vitasa vya milango ya ofisi yake kubadilishwa

Vitasa vilivyobadilishwa vilikuwa na funguo zake, isipokuwq MWI ilimpendeza kubadilisha vitasa hivyo

  • Mhusika alishauri visibadilishwe, lakini MWI mwenyewe akasisitiza kuwa angependa avibadilishe
  • Maongezi haya yalifanyikia ndani ya ofisi ya mhusika, na pia kwenye korido kati ya mlango wa kuingia ofisini kwa mhusika na kwenye maabara ya MR X
  • Fundi aliyekuja kubadilisha vitasa aliletwa kutoka mtaani na aliletwa na mfanyakazi yule aliyewahi kuhamia kutoka Dodoma (huyu tumwite MFD)
MFD ndiye pia aliyewahi kufungua mmojawapo wa milango hiyo miwili ya vitasa vilivyobadilishwa, siku kadhaa nyuma kwenye tukio ambalo mmojawapo wa milango hiyo uligoma kufunguka, baada ya mhusika kuukuta umefungwa na hivyo kumshinda kuufungua

Mlango huu uliogoma kufunguka siku hiyo, una funguo zake isipokuwa tu zilikuwa haziwezi tena kuufungua baada ya vitasa vyake kuwa vimechengana kidogo na tundu ambalo tofali la kitasa huwa linaingia, na hicho ndicho kilipelekea mhusika ashindwe kuufungua siku hiyo

  • Mhusika alishangaa MFD aliweza kuufungua kirahisi tu na hakuelewa MFD aliwezaje kuufungua wakati watu wote walikuwa wameshashindwa kufunga wala kuufungua tangu miaka kadhaa nyuma
  • Mlango mwingine wa pili haukuwa na shida yoyote na funguo zake zilikuwepo zote
  • Kwa hiyo milango yote miwili iliyobadilishiwa vitasa ilikuwa na funguo zake isipokuwa tu ule mmoja ndiyo uliokuwa unahitaji marekebisho ya kuwekwa sawa tofali la kitasa ili liweze kuoana vizuri na tundu la kwenye mlango
Siku mlango ulipogoma kufunguka, MFD alilteta fundi akaufungua, huku akiacha KITASA CHA GRILL kikiwa kimeharibika

  • Kitasa hicho cha grill hakijawahi kufanyiwa tena matengenezo hadi leo na hivyo hakiwezi kufunga hadi leo
  • Kwa hiyo, hadi kufikia J3 ya tarehe 10/05/2023 wakati fundi anakuja kufanya matengenezo, kitasa pekee kilichokuwa kinahitaji replacement ni kile CHA GRILL na ambacho si kile alichokuja kurekebisha
Zaidi ni kuwa mhusika hakuona haja ya kuhoji kwa nini fundi aliyekuja kurekebisha kitasa alitoka mtaani na si kwenye taasisi

…………………….inaendelea
 
NAMNA MAZUNGUMZO YA MCHAKATO WA ULIOPELEKA KUBADILISHWA KWA VITASA VYA MILANGO HII MIWILI ULIVYOANZA

J3 ya tarehe 08/05/2023, MWI alifika ofisini kwa mhusika na kumuuliza habari ya funguo za vitasa vya milango ya ofisi yake, na mhusika alimjibu kuwa funguo zote zilikuwepo isipokuwa kitasa cha grill tu ndiyo kibovu
  • Mbali na hilo, mhusika alimjulisha MWI kuhusiana na swala la mlango ambao ulikuwa haufungi ambao nao pia pamoja na kuwa katika hali hiyo, funguo zake nazo zilikuwepo
  • Baada ya maongezi yao, wawili hao walikubaliana kuwa MWI ataongea na MFD ili aweze kushughulikia sawala la vitasa vyenye matatizo
Zaidi MWI alikuwa amekuja na taarifa nyingine nzuri kwamba kulikuwa tayari kuna mfanyakazi mwingine mpya pale idarani ambaye amesharipoti baada ya kuajiriwa, na ambaye atakuwa anakaa kwenye ofisi moja na mhusika

  • MWI alimjulisha mhusika pia kuwa mfanyakazi huyu alikuwa tayari yupo mazingira ya ofisini muda huo na kuahdi kuwa angempitisha baadaye maofisini akimtambulisha kwa wafanyakazi wengine na kwake pia
  • Maongezi yao siku hiyo yaliishia hapo na baada ya hapo MWI aliondoka.
Hiyo ilikuwa J2
J3 ikapita, MWI na mfanyakazi mpya hawakuonekana ofisini kwa mhusika, isipokuwa fundi wa kutengeneza vitasa ndiyo aliwasili.

FUNDI WA KUTENGENEZA VITASA KUTOKA MTAANI AWASILI IDARANI NA KUBADILISHA VITASA VYA MILANGO MIWILI

Muda mfupi kabla ya fundi kuwasili idarani, MFD alikuja na kuingia kwenye chumba cha maabara ya MR X na kuanza kufanya kazi zake akiwa humo.

Fundi aliwasili idarani na kumkuta MFD akiwa anaendelea kufanya kazi kwenye maabara ya MR X
Baada ya fundi kuwasili, MFD alifungua mlango wa maabara hiyo na kuanza kuongea na mhusika akiwa yupo ndani ya maabara hiyo, akiwa amesimama usawa wa mlango
  • MFD alimweleza mhusika kuwa fundi wa kurekeibisha kitasa ndiyo huyo aliyekuwa amesimama nje kwenye korido
  • Fundi huyu alikuwa amesimama kwenye kikorido kilichopo kati ya maabara ya MR X na ofisi ya mhusika
Kwa haraka haraka mhusika alijua kuwa kitasa atakachoanza nacho fundi ni kile cha GRILL ambacho kina wiki kadhaa sasa bila kufunga
  • Hata hivyo MFD alimwelekeza fundi kwenye kitasa kile ambacho tofali lake limepishana na tundu la bati
  • Baada ya hapo, mhusika alimuuliza MFD kuwa fundi huyo alikuwa ametoka wapi na kabla MFD hajajibu, fundi mwenyewe aliwahi na kujibu kuwa alikuwa ametoka kwenye CARPENTRY UNIT ya kwenye gereji ile ambayo mhusika huwa anafanyia matengenezo ya gari lake
Fundi alianza kazi na kitasa hicho, na kabla hajakikimaliza MWI naye aliingia na kumkuta fundi akiwa anaendelea na kazi yake
Baada ya kuwasili MWI alimwelekeza fundi abadilishe pia kitasa cha mlango ule mwingine wa pili
  • Hata hivyo, mhusika alishauri MWI kuwa kitasa hicho kisibadilishwe kwa sababu hakikuwa na kasoro yoyote na funguo zake zote zilikuwepo
  • Still, MWI aliona ni busara nacho pia kikabadilishwa, na baada ya hapo aliondoka na kumwacha fundi akiendelea na kazi yake
  • Wakati huo wote MFD alikuwa tayari amesharudi na ku-hiberate teana ndani ya maabara ya MR X
FUNDI AMALIZA KAZI NA KUKABIDH KOPI MOJA YA FUNGUO KWA MHUSIKA MHUSIKA NA ZINGINE KUONDOKA NAZO
Fundi alimaliza kazi na kumkabidhi funguo mbili mhusika na hatimaye kumuaga na kuondoka, MFD akiwa yupo ndani ya maabara na MWI naye akiwa tayari ameshaondoka
Kesho yake Alhamis, MWI alifika ofisini kwa mhusika akiwa na mfanyakazi mgeni, walisimama kwenye kikorido akamtambulisha mgeni kwa mhusika na hatimaye MWI kumkabidhi mgeni funguo za vitasa vipya viwili vilivyokuwa vimewekwa mlangoni
Baada ya hapo, mhusika alimkaribisha mgeni ili akae kidogo ofisini lakini mgeni alitoa uddhuru kuwa alikuwa na kazi ambayo tayari alikuwa anaifanya kwenye maabara nyingine ya MR X, kazi aliyokuwa amepewa na MR X mwenyewe

Still, mgeni alikubali kuingia na kukaa kidogo ndani na wakaongea kidogo na mhusika na hatimaye aliondoka

Hiyo ilikuwa J3 na possibly fundi alikuja J4.

Kwa hiyo, funguo alizokabidhiwa mhusika, hakuzichukua kutoka kwa MWI moja kwa moja, bali alikabidhiwa na fundi aliyekuja kutengeneza vitasa vya milango, baada ya fundi kuwa amekamilisha kazi yake

…………………..itaendelea


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA WAUMINI WA KANIS A A
KUHUSIANA NA TARA ZINAZOBADILIKA RANGI KWA KUFUATA MPANGILIO WA RANGI ZILIZO KWENYENUPINDE WA MVUA

RANGI ZILIZO KWENYE UPINDE WA MVUA HUWA ZIKO KWENYE MPANGILIO HUU
1. RED (NYEKUNDU)
2. ORANGE (CHUNGWA)
3. YELLOW (NJANO)
4. GREEN (KIJANI)
5. BLUE (BLUE)
6. INDIGO (???)
7. VIOLET (???)
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 16TH MAY 2023
TUKIO JINGINE LA KIPINDI CHA NYUMA LA KUBADILISHWA KITASA CHA MLANGO AMBALO NALO PIA LILIPELEKEA MHUSIKA KUKABIDHIWA NA MKUU WA IDARA, FUNGUO ZINGINE MPYA ZA KITASA KIPYA

Maelezo ya tukio la kubadilishwa kitasa na mhusika kukabidhiwa funguo mpya, mhusika alishawahi kuayaleta humu kupitia post hii hapa #659 ; ya tarehe 15 Juni 2021 (takribani miaka miwili iliyopita)

Ifuatayo hapa chini ni nukuu ya maneno yaliyopo kwenye post hiyo kuhusiana na swala la funguo za kitasa hicho kipya za zamani

".........................FUNGUO ZINGINE ZA CHUMBA KINGINE CHA MAABARA ZAPOTEA GHAFLA HIVI KARIBUNI NA KUPELEKEA KUBADILSHWA KWA KITASA

MAELEZO YA UTANGULIZI
Chumba hiki ni cha maabara na historia yake imekuwa kama ifuatavyo

  • Miaka yote huko nyuma tangu kuajiriwa kwake, mhusika amekuwa ana funguo za chumba hicho, isipokuwa kwa miaka ya hivi karibuni, takribani mitatu au mine iliyopita, mamlaka husika idarani iliamua kubadilisha kitasa cha chumba hicho na kuweka kingine ambacho mhusika hakupewa kopi ya ufunguo wake
  • Kuanzia pale sasa mhusika akawa hana uwezo tena wa kuingia kwenye maabara hiyo, isispokuwa tu pale inapotokea kuna mtu ndani
HALI YA MAABARA HIYO ILIVYOKUWA WIKI KADHAA KABLA MHUSIKA HAJAANZA KUFUNDISHA VIPINDI VYAKE
  • Mara zote amekuwa akifika humo na kumkuta mwanafunzi wa ngazi za juu ambaye amekuwa akikaa humo
  • Kila alipokuwa mwanafunzi huyu hayupo ndani ya chumba hicho cha maabara, mhusika alikuwa anafika huko na kukuta mlango ukiwa umefungwa kwa ufunguo
  • Baadaye takribani kama wiki moja kabla ya mhusika kuanza kufundsiha madarasa yake, mwanafunzi huyu hakuweza kuonekana tena kwenye chumba hicho cha maabara, na mlango wake ulianza kuonekana uko wazi muda wote
  • Mlango huo umeendelea kuwa wazi hadi wiki jana kilipopatikana kitasa kingine kipya na safari hii mhusika kufanikiwa kukabidhiwa na MWI, kopi ya ufunguo wa kitasa hicho
Hapo awali, na katika kipindi ambacho mhusika amekuwa hana ufunguo wa chumba hicho, muda wote amekuwa akikuta kikiwa kimefungwa isipokuwa tu pale ilipotokea kuna mtu ndani
HITIMISHO
Miaka yote chumba hicho kimekuwa na funguo na kilikuwa kinagfungwa muda wote pale ilipotokea hakuna mtu ndani, hali iliyopelekea mwaka jana wanafunzi aliokuwa nao mhusika, kuchungulia kupitia kwenye vioo, wakiangalia vifaa vilivyokuwa ndani ya chumba hicho kwa sababu mhusika hakuwa na ufunguo wa kuweza kuingia humo, na wala wakati huo hapakuwa tenaa na spea ya ufunguo wake ofisini kwa MWI
MACHACHE KUHSIANA NA FUNGUO MPYA ALIZOKABIDHIWA MHUSIKA HIVI KARIBUNI
Siku moja baada ya MWI kuwa amekabidhi kopi ya ufunguo wa chumba hicho kwa mhusika

  • MR X alifika ofisini kwa mhusika akiwa ameambatana na mfanyakazi mpya au mgeni, na wawili hao kukuta mhusika hayumo ofisini kwake
  • Mhusika alikuwa amepandisha juu ofisini kwa MWI
  • Muda mfupi baadaye, mhusika alirudi na kuwakuta wawili hao wakiwa wanamsubiri mlangoni kwake, na alipofika, aliwakaribisha ndani wakaingia
  • MR X alimtambulisha mfanyakazi mgeni kwa mhusika na pia alitoa maelezo kuwa mgeni huyo alikuwa anahitaji kukagua baadhi ya vifaa hapo idarani vikiwemo vile vilivyokuwa kwenye chumba kile ambacho mhusika alikuwa amekabidhiwa funguo mpya na MWI siku moja au mbili nyuma
  • Mhusika aliambatana nao hadi kwenye chumba husika na mgeni kufanikiwa kukagua vifaa hivyo
Hata hivyo,katika hali ya kawaida mfanyakazi mgeni huwa anatambulishwa kwanza kabla hajaanza ku-interact kikazi na wafanyakazi wenzake wasiomfahamu, na ambao hajawahi kutambulishwa kwao kama na wakaweza kumfahamu kama mmoja wao, na katika hali ya kawaida, mwenye jukumu la kufanya hivyo huwa ni MWI.
Mtu huyu aliyefika ofisini kwa mhuika wakiwa na MR X, hapo awali hakuwa ametambulishwa kwa mhusika na MWI au na mtu mwingine yeyote yule, pamoja na kuwa kabla ya hapo, kweli mhuiska alikuwa amewahi kumkuta ofisini kwa MWI ila hakuwahi kutambulishwa kwake. Tatizo analolipata mhusika hapa kwa sasa ni kwamba, awali kwa siku za hivi karibuni, kweli mhusika amewahi kumkuta mtu huyu ofisini kwa MWI lakini hakutambulishwa; na hatimaye tena MR X alifiika ofisini kwa mhusiika akiwa ameambatana na mtu huyu na si kwa ajili ya utambulisho bali tayari mgeni huyu akiwa ameanza majukumu yake kikazi................................................"


Mwisho wa kunukuu
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA MUHIMU

HALI ILIVYO SIKU YA LEO KWENYE MAZINGIRA YA OFISI ANAYOKAA MHUSIKA:

KUMEKUWA NA WIMBI LA WAGENI AMBAO SIYO WAKE YEYE MHUSIKA, ILA WANAOONYESHA NIA YA KUTAKA KUINGIA OFISINI KWAKE


Mhusika amebaini pattern ya wimbi la watu ambao inaonekana kuwa wanataka kuingia ofisini kwake huku na yeye mwenyewe akiwa yupo ndani ya ofisini kwake

Angalau kila mmoja wao amekuwa akitoa visingizio vya sababu ya kufanya hivyo

Inaonyesha kuna baadhi ya wafanyakazi wenzake mhusika ambao wametengeneza mazingira hayo

Kwa siku ya leo peke yake, mhusika amebaini idadi ya watu wa aina hiyo wapatao wanne, na kwa bahati mbaya kidogo leo officemate wake ambaye ni mfanyakazi mpya ana dharura, na hivyo inaonyesha tayari ameshaondoka mazingira ya ofisini kutokana na dharura hiyo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
USHAURI MUHIMU: MR X ASHAURIWE KUONDOA MAPAZIA NA MAKARATASI KWENYE KUTA ZA VIOO ZA MAABARA

Mhusika anashauri MR X ashauriwe kuondoa makaratasi pamoja na mapazia aliyoweka hivi karibuni kwenye kuta za maabara ambazo ni za vioo.

Maabara hiyo ina kuta za vioo na imekuwa iko hivyo kwa takribani miongo minne isipokuwa ni mwaka jana tu au mawaka juzi, ndiyo MR X aliamua kuviziba vioo hivyo baadhi kwa kutumia makaratasi na vingine kwa mapazia

Baada ya vioo kuzibwa, maabara hiyo inataka kugeuka na kuwa kijiwe ambacho ni accessible na baadhi ya watu kutoka nje ambao wanaweza wakawa siyo wazuri sana kwa mazingira ya ofisini
Ni maoni ya mhusika lakini

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 17TH MAY 2023

KILE KILICHOPELEKEA MHUSIKA AKAPATA SHIDA USIKU NA FUNGUO ZA VITASA VIPYA VILIVYOWEKWA WIKI JANA OFISINI KWAKE

MR X, MKUU WA IDARA PAMOJA NA MR M, WAMERUDI TENA WAKIFANYA KAZI KWENYE DATABASE YA WATU NA MAKAZI


Details za MR M zitafuata baadaye

Awali waliokuwa wanatumika kwa mtindo huu wa database ni wafanyakazi wa usafi tu, wakiwemo wale wawili ambao huwa wanatoka jengo jirani na kuja kuosha magari kwenye jengo la ofisi ya mhusika

Safari hii timu hii inesogea mbele kidogo

Imetumia loophole ya kauajiriwa wafanyakazi wapya wawili kwenye Taasisi; kwenye idara ya mhusika.

Watu hawa (waajiriwa wapya) wanaweza kuwa hawajui chochote kabisa kinachoendelea katika hili isipokuwa wanaweza kuwa wametuka tu na wajanja

Zaidi timu ikaenda mbali hadi kwenye garage ambako mhusika huwa anafanyia matengenezo ya gari lake na kwenda kuchukua fundi wa kufunga vitasa, badala ya kuwatumia mafundi wa Taasisi

Kwa waliosoma Database

“NEW EMPLOYEES” ni TABLE MPYA kenye DATABASE, yenye kuongeza ATTRIBUTES mpya na hivyo TUPLES mpya kwenye CURRENT DATABASE

Halikadhalika, “NEW FUNDI WA VITASA”, nayo pia vile vile ni TABLE MPYA kwenye CURRENT DATABASE

Mbali na hizo TABLES, kuna “NEW COURSE” vile vile ambayo hii mhusika ataiongelea kwa kirefu zaidi atakapokuwa anamwongelea MR M

Kwa hiyo COMMAND QUERRIES zilizohusika hapa ni

CREATE TABLE, ADD TABLE pamoja na UPDATE querry, katika kuhakikisha kuwa TABLES MPYA zimeongewa kwenye CURRENT DATABASE

Details za MR M zitawajia peke yake na yenyewe itakuwa ni stori ndefu kidogo. Details za mtu huyu nazo pia ziko linked na MKUU WA IDARA (MWI)

………………………itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU:
Kitu pekee ambacho mhusika hana uhakika nacho kwa sasa, ni kama zile funguo mpya alizokabidhiwa na MKUU WA IDARA, zimetengenezwa kwa material iliyo salama
 
NYONGEZA MUHIMU-2:
Katika kujaribu kuongea na mmojawapo wa wafanyakazi wapya asubuhi hii ambaye pia ni office-mate wa mhusika, mfanyakazi huyu amekiri akiwa mbele ya MKUU WA MAJOR UNIT na mfanyakazi mwingine wa pili aliyekuwepo, kwamba hadi kufikia muda huu, bado hajawafahamu wafanyakazi wengine idarani physically kwa sababu hajatambulishwa kwao physically isipokuwa kwenye ma-group ya mitandao ya jamii tu kama vile whattsup na kwenye email

Hata hivyo mfanyakazi mgeni amekiri kumfahamu mtu mwingine idarani ambaye ni MNUNUZI WA GARI (MWG); ambayehuyu kwa wiki hii (MWG) hajaonekana mazingira ya ofisini, japo muda wote, grill la ofisi yake limekuwa liko wazi, huku mlango wa ofisi hiyo ukiwa umefungwa muda wote

Obvious, wengine anaowafahamu mfanyakazi huyu mpya ni MR X na wafanyakzi wanaofanya kazi kwenye maabara ya MR X, akiwemo yule mfanyakazi mwingine mpya (wa pili)

Mhusika ameshaliwasilisha swala hili kwa MKUU WA MAJOR UNIT kwa sababu MKUU WA IDARA hayupo, yupo safari tangu wiki hii ianze

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 18TH MAY 2023

POSSIBLY KUNA STRESS MAHALI FULANI


Kwa sasa, inaonyesha dhahiri kuwa kuna baadhi ya watu ambao wameshaanza kupata matatizo ya kisaikolojia kwenye mazingira ya ofisini kwa mhusika

Mhusika ameliona hilo kwa sababu wakati mwingine huwa anapenfa kufanya fine jokes na watu anaowapenda, kiasi kwamba unafanya fines jokes na mtu mbele yao, halafu wao wanataka wa-take advantage ya utani huo kuwa ni halisi

Unafanya fine jokes na mtu mliye na mahusiano mema, halafu hapo hapo anaibuka mtu mwingine kuuchukulia utani huo kuwa ni serious, kwa intention ya ku-propagte false information baadaye ambazo zitakuwa ni advantageuos kwake

The fact is, kuna baadhi ya watu hapa duniani, walizaliwa to make friends only, isipokuwa huwa wanalazimika tu kuwa na maadui kwa sababu huwezi ukamzuia mtu kuwa adui yako, kama ameamua hivyo

Stressed people are always very strange people

Mhusika ameiona hali hii leo mazingira ya ofisini na ameshangaa sana

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU
Hiki kitu alichokieleza mhusika hapo juu ni hatari sana kwa maisha ya mtu kwa sababu eventually mtu wa aina hiyo anayegeuza fines jokes kati ya watu kuwa kitu halisi, anaweza hata akafanya kwa kisisrisiri shambulizi kwa mmojawapo wa wahusika akijua kuwa utani aliougeuza kuwa halisi ndiyo utachukuliwa kuwa sababu
 
UPDATE: FRIDAY 19TH MAY 2023
DOKEZO MUHIMU KHUHUSIANA NA DATABASE YA WATU NA MAKAZI

PATTERN ILIYOONEKANA HADI MUDA HUU, KWENYE MATUKIO MAWILI YA KIPEKEE SANA TANGU KUASISIWA KWA TAIFA LETU, AMBAYO YAMETOKEA KWA KUPISHANA MIEZI MICHACHE SANA.

TUKIO LA KWANZA:
TUKIO LA AJALI YA NDEGE
LILILOTOKEA MWISHONI MWA MWEZI NOVEMBA MWAKA JANA 2022

TUKIO HILI LILIKUWA NI LA KWANZA KATIKA HISTORIA YA NCHI YETU
TUKIO HILI LILITOKEA BAADA YA KURUSHWA PEPO KWENYE DATABASE YA WATU NA MAKAZI

TUKIO LA PLI:
TUKIO LA MGOMO MKUBWA WA WAFANYABIASHARA KARIAKOO:


MHUSIKA HANA UHAKIKA SANA NA TUKIO HILI KAMA NI LA KWANZA AMA LA, LAKINI KWA KIPINDI CHA KARIBIA MIAKA 33 YA UWEPO WAKE NDANI YA JIJI LA DAR ES SALAAM, HAJAWAHI KUSHUHUDIA HATA ULE MGOMO MDOGO TU WA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO.
KWA HIYO CHANCES NI KWAMBA YAWEZEKANA TUKIO HILI NALO LIKAWA NI LA KWANZA PIA TANGU KUASISIWA KWA TAIFA LETU

TUKIO HILI NALO PIA LIMETOKEA BAADA YA KUWA LIMERUSHWA PEPO KWENYE DATABASE YA WATU NA MAKAZI

MAELEZO YA KINA ZAIDI YATAFUATA BAADAYE
 
Mgomo wa wafanyabiashara umepamba moto ghafla tu hadi umepelekea kugharimu muda wa kiongozi wa ngazi za juu kabisa wa nchi; sawa tu kama alivyowahi kugharimika muda wake kwenye tukio lile la ajali ya ndege.

Assuming coincidences hizi mbili zilizotajwa hapo juu ni HYPOTHESES na kwamba hypotheses hizi zinaweza kuwa ni kweli, basi uwezekano mkubwa ni kwamba kiongozi mwingine anayetafutwa hapa ni yule kiongozi wetu wa kwenye Wizara ambayo huwa inawalipa wafanyakazi mishahara

Mkuu wa Mkoa alishindwa kitu kinachoashiria kama tukio ni la kupika

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
DOKEZO MUHIMU KUHISIANA NA MR M

Taarifa za awali za MR M ziliwahi kuja kwenu kipindi cha nyuma kupitia post hii hapa, #524 ‘ akiwa ametajwa kwa code ya XX_2 , kwa maana kuwa kipindi hicho alitajwa kama XX_2 ila kwa sasa anatajwa kama MR M
 
DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA MGOMO ULIOTOKEA KARIAKOO:

VIONGOZI WETU WALIZONGWA MNO NA KISHINDO CHA MGOMO HUO KIASI KILICHOPLELEKEA WAKA-OVERLOOK SWALA MOJA KUBWA N.A. LA MSINGI SANA.

MASWALA YA KODI NI TECHNICAL NA HIVYO ALIYESTAHILI KUUNDA TUME NI WAZIRI MWENYE DHAMANA, AKISHIRIKIANA NA WATU WAKE AMBAO NI WATAALAMU WA MASWALA YA KODI.

KWA HALI HIYO HATA KILE KIKOSI KAZI KILITAKIWA KISIVUNJWE IMMEDIATELY BALI POSSIBLY TERMS ZAKE ZIWE REVISTED TU NA WATAALAMU WA MASWALA YA KODI. HATUWEZI KUWA MAKOSA YA KITAALAMU TUNAYOFANYA INABIDI TUYASHUGHULIKIE KITAALSMU PIA

ASSUMING KWAMBA KWELI MGOMO HUO ULIKUWA UNA UHUSIANO NA DATABASE YA WATU NA MAKAZI, BAADHI TU YA "TABLES" AU " ENTITIES" AMBAZO ZITAKUWA ZINAHUSIKA NI
-WAMILIKI WA BIDHAA
-WAUZAJI WA BIDHAA
-WANUNUZI WA BIDHAA
-WATUMIAJI WA BIDHAA
-MITAA YA MAKAZI IKIWAKILISHWA NA KARIAKOO
.........n.k
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…