#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

USIKUU HUU JIRANI MAJI MACHAFU AMECHACHAMAA NA HAKUNA MTU ANAYEWEZA KUMUONA
ANATIRIRSHA MAJI MACHAFU MFULULUIZO, WALA MTU HUWEZI KUYAONDOA, UKIYAONDOA ANATIRIRISHA MENGINE KAMA AMBAVYO AMEKUWA AKIFANYA JIKONI. KWA SASA ANATEGEMEA SANA MAJI MACHAFU
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 25TH AUGUST 2023

PLAN YA JIRANI MACHAFU KUENDELEA KUTIRIRISHA MAJI MACHAFU NYUMBANI KWA MHUSIKA


Leo ndiyo ametia fora, kwa sababu leo yalikuwa almost ni mavi, na siyo maji machafu tena

Zaidi ni kuwa amemtumia SMS mhusika akimweleza kuwa muda huu ameleta mafundi wa kushughulikia tatizo

Huwa analeta mafundi ambao wanaweza kufanya kitu nyumbani kwa mhusika

PLAN YA JMM ILIKUWA NI KULETA MAFUNDI SIKU YA IJUMAA na kwenye muda kama huu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 26TH AUGUST 2023
TUKIO LA KIPEKEE JAPO LA KAWAIDA, LILILOTOKEA OFISINI JANA IJUMAA TAREHE 25 AUGUST 2023 KATI YA MR X NA OFFICE MATE NUMBER MOJA (OM-1)


TANGU OM-1 AWASILI MAZINGIRA YA OFISINI MWEZI MARCH/APRIL, MHUSIKA ALIKUWA HAJAWAHI KUWAONA WAWILI HAWA WAKIWA PAMOJA AU WAKIWA WANAONGEA

KWA MARA YA KWANZA MHUSIKA ALIWAONA JANA IJUMAA WAKIWA WANAONGEA, NA MAONGEZI YAO YALIONEKANA KUWA NI YA KAWAIDA TU NA YALIFANYIKIA OFISINI KWAO OM-1 NA MHUSIKA, MR X ALIFIKA OFISINI HUMO

WAWILI HAWA WALITETA KITU NA BAADA YA MUDA KIDOGO, WALIONDOKA KILA MMOJA KWA WAKATI WAKE NA HATIMAYE KWENDA KUINGIA KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPE AMBACHO KILIKUWA WAZI;.

KULIKUWA NA BINTI AMBAYE AMEKUWA AKIENDELEA KUFANYA KAZI ZAKE HUMO TANGU J3 YA WIKI HII

KIJANA MWINGINE PIA AMBAYE NI MWAJIRIWA MPYA, NAYE ALIWA-JOIN KWENYE CHUMBA HICHO NA HIVYO CHUMBA HICHO KUWA NA WATU WANNE

KAMA KUMBUKUMBU ZAKE MHUSIKA ZIKO SAWA, ILIKUWA NI MARA YA KWANZA KWA MHUSIKA KUMUONA OM-1 AKIINGIA KWENYE CHUMBA HICHO CHA MICROSCOPE, ISIPOKUWA YULE KIJANA MWINGINE NDIYO AMEKUWA NA MAZOEA YA MARA KWA MARA YA KUINGIA KWENYE CHUMBA HICHO, ILA SI OM-1

UHAKIKA ALIONAO MHUSIKA HADI MUDA HUU NI KWMBA MR X, OM-1 NA WENGINE WAWILI WALIOBAKI, WALIKUWA WANA LAUNCH MBINU NYINGINE MPYA YA KUFANYA KAZI KWENYE "MICROSCOPIC LEVEL", POSSIBLY BAADA YA MBINU ILIYOKUWEPO AWALI KU-PROVE FAILURE. HII NI HAKIKA

KILICHOBAKI SASA NI KWA MHUSIKA KUWEZA KUJUA WANATUMIA CODE GANI NA AKISHAIJUA CODE YAO, IT HARDLY TAKES SECONDS ONLY KUI-DECODE NA MAELEZO YAKE KAMILI ATAYALETA TENA HUMU JUKWAANI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KILICHOFANYIKA KUTOKEA MADHABAHUNI KANISA A JUMAPILI ILIYOPITA YA TAREHE 20/08/2023

KWA KU-TAKE ADVANTAGE YA TANGAZO LA MSIBA ULIOMHUSU KM-A AMBAYE HAKUWEPO SIKU HIYO, KIONGOZI KAIMU WA KM-A ALITUMIA NAFASI YA TANGAZO HILO KURUSHA PEPO KWENYE EXTENDED FAMILIES


BAADA YA HAPO PEPO HUYO ALIKUWA TRANSLATED KWENDA KWENYE FAMILIA ZINGINE ZA KAWAIDA, YAANI SINGLE FAMILIES NA NUCLEAR FAMILIES

PEPO HUYO NDIYE ALIYEKUWA ANATUMIWA NA JIRANI MAJI MACHAFU, KUFURISHA MAJI YENYE KINYESI NYUMBANI KWA MHUSIKA; FAMILIA YA JIRANI MAJI MACHAFU NDIYO ILIYOTUMIWA KUUFUNUA UKWELI HUU.

MHUSIKA ANAO MAKAMANDA WAKE WAWILI MAHIRI SANA PALE NYUMBANI KWAKE NA JIRANI MAJI MACHAFU

TUKIO LA MR X KUINGIA TENA KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES SIKU YA IJUMAA
TUKIO LA MR X NA OM-1 KUINGIA CHUMBA CHA MICROSCOPES SIKU YA IJUMAA LILIHUSIANA NA LOCATION MPYA AMBAYO KWA WIKI YOTE, NDANI YA CHUMBA HICHO KUMEKUWA NA MTU AKIWA ANAFANYA KAZI KUTOKEA HUMO AMBAYE NI MPYA KWENYE LOCATION HIYO KWA SABABU NI MWAJIRIWA MPYA

MAMBO MAKUU MANNE YANAONEKANA KWENYE TUKIO HILO LA IJUMAA

MOSI: MTU AMBAYE AMEKUWA AKIKITUMIA CHUMBA HICHO NI MTUMIAJI MPYA KWENYE CHUMBA HICHO, NA HIVYO MPYA PIA KWENYE LOCATION HIYO

PILI: UHUSIANO WA FAMILIA YA MTU HUYU NA WAFANYAKAZI WENGINE IDARANI NI MPYA PIA KWA SABABU NI MWAJIRIWA MPYA

TATU: KABLA YA SIKU HIYO, OM-1 ALIKUWA HAJAWAHI HATA SIKU MOJA KUINGIA KWENYE CHUMBA HICHO NA HIVYO ILIKUWA PIA NI LOCATION MPYA KWAKE; NA KAMA ALIWAHI BASI ITAKUWA ILIKUWA NI KWENYE MUDA AMBAO MHUSIKA HAKUWEPO MAENEO YALE KARIBU

NNE: MR X ALIKUWA AMEPITISHA SIKU NYINGI BILA KUINGIA NDANI YA CHUMBA HICHO

KWA TAARIFA TU NI KWAMBA PASIPO UBUNIFU WA LOCATION MPYA, KITU WLICHOKUWA WAMEPANGA KUFANYA KISINGEWEZA KUFANIKIWA: NA HII NAYO NI TOPIC NYINGINE AMBAYO MHUSIKA ATAKUJA KUIONGELEA KIVYAKE HUKO MVELE YA SAFARI

KWA HIYO, LOCATION ZINGINE ZA KAWAIDA AMBAZO SIYO NGENI, ZISINGEWEZA KUTOA MATUNDA YALIYOKUWA YAMEKUSUDIWA KWENYE COMBINATION YA WATU HAO WANNE NDANI YA CHUMBA HICHO

TUKIO HILO LILIFANYIKA LIKIWA NI MBADLA WA KILE AMBACHO AWALI KIMEKUWA KIKIFANYWA NA BINTI WA MR X KANISANI KWA WIKI KADHAA ZILIZOPITA

BAADA YA KUWA AMETOKA NYUMBANI KWAO, BINTI WA MR X AMESHAGEUKA NA KUWA NI EXTENDED FAMILY KWA FAMILIA YA MR X, NA HIVYO BINTI HUYO ALIKUWA AKI-OPERATE KATIKA LEVEL HIYO YA FAMILIA, HUKU WAKATI HUO HUO, AKIWA YUKO LINKED NA MTU OFISINII KWA MHUSIKA KWA KUTUMIA FEATURES ZILIZOSHAHIBIANA KWENYE MIILI YAO, KATI YAKE BINTI NA HUYO MTU MWINGINE ALYEPO MAZINGIRA YA OFISINI KWA MHUSIKA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU
HAPO JU MHUSIKA ANASEMA KUWA PEPO LILIRUSHWA KWENYE EXTENDED FAMILIES KWA SABABU NUCLEAR FAMILIES TAYARI ALIKUWA AMESHAZISHUGHULIKIA ISIPOKUWA AKAZI-OVERLOOK HIZO ZINGINE

KWA HIYO, HADI KUFIKIA MUDA HUO, HAPAKUWEPO TENA UWEZEKANO WA MTU KURUSHA PEPO KWENYE NUCLEAR FAMILY ISIPOKUWA KWA KULI-TRANSLATE TU PEPO KWENDA HUKO,BAADA YA KUWA LIMERUSHWA MAHALI PENGINE AMBAKO SI KWENYE NUCLEAR FAMILY

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
ZAIDI NI KUWA ANGALAU KUNA INCIDENCE MOJA AMBAYO INATHIBITISHA KUWA OM-1 AKISHAONEKANA KWENYE CHUMBA AMBACHO HUWA HAONEKANI MARA KWA MARA, KUNA TUKIO LIKO MBELE LINAKUJA KUTOKEA KWENYE CHUMBA HICHO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 28TH AUGUST 2023

KWA WAUMINI WA KANISA A:

KM-A AMESHARUDI TENA KWENYE MAFUNDIHO YAKE YA KUMSIFU SHETANI

BAHATI MBAYA MHUSIKA AMEUKOSA KWENYE MTANDAO, USHAHIDI ALIOKUWA AMEUFADHI KICHWANI KWAKE KUHUSIANA NA SOMO LA KM-A KWA JUMAPILI MBILI ZA TAREHE 13/08/2023 NA TAREHE 20/08/2023


Ushahidi aliotaka kuutumia mhusika kwenye post hii kutoka kwenye mtandao haupo, Ibada haziko LIVE tena siku hizi

Kichwa cha somo analoendelea nalo KM-A hakina shida yoyote isipokuwa BAADHI ya mafungu anayotumia anayaelezea kwa namna ya kumsifu shetani, huku waumini akiwashusha chini kwa kuwaeleza kuwa shetani alikuwa ni kerubi aliyekuwa ameumbwa kwa kiwango cha juu mno, kiasi kwamba waumini wasipomcha Mungu, hawawezi kumshinda shetani, na kweli KM-A yuko sahihi, hakosei

Hapa KM-A anakuwa yuko sawa kwa sababu andiko hilo lipo kwenye Maandiko Matakatifu ya Biblia.

  • Hiyo ilikuwa ni J2 ya tarehe 27/08/2023
  • Somo lake linaloendelea linahusiana na kicho cha waumini kwa Mungu wao
  • Mbali na hayo, kwenye J2 ile nyingine ya aliyosimama mara ya kwanza tarehe 13/08/2023, alitoa mfano wa Yusufu aliyewahi kulazimishwa na mke wa mfalme wafanye mahusiano lakini kutokana na kicho cha Yusufu kwa Mungu wake na heshima yake kwa mfalme, Yusufu alimkakatalia mke wa mfalme kufanya dhambi hiyo
Baada ya kutoa maelezo hayo J2 hiyo, ilifikia mahali fulani KM-A akawaomba waumini waulizane swali, kila mmoja amuuulize aliye jirani naye kama iwapo angekuwa yeye angeombwa kufanya mahusianao ya namna hiyo, angeweza kukataa

  • Huu ni mfano wa swali lililohusiana sawia kabisa na kichwa cha somo isipokuwa kuna ujanja ulitumika kwenye kutunga swali la kuwaomba waumini waulizane.
  • Swali alilotunga lilikuwa linawadhalilisha waumini na kuwaona wako chini sana kiimani, halafu mjaribu wao ambaye ni shetani, akiwa juu zaidi
Alternatively, KM-A angeweza kufundisha somo hilo kwa maelezo tu na si kwa kuwaomba waumini waulizane swali wao kwa wao

Ni kwa bahati mbaya tu ushahidi wa kwenye mtandao umekosekana ha hivyp mhusika hataweza kutoa ufafanuzi zaidi katika hili.

YAFUATAYO HAPA CHINI NI BAADHI TU YA MAFUNGU MUHIMU SANA KUTOKA KWENYE BIBLIA YANAYOHUSIANA NA KICHO KWA MUNGU, NA AMBAYO YOTE KM-A HAKUYATUMIA

Mwanzo 6:22


Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.

Kutoka 19:5

Sasa basi ikiwa mtaitii sauti yangu kweli kweli, na kulishika agano langu, hapo ndipo mtakapokuwa tunu kwangu kuliko makabila yote ya watu; maana dunia yote pia ni mali yangu

Mambo ya walawi 18:26

Kwa hiyo mtazishika amri zangu na hukumu zangu, wala msifanye machukizo hayo mojawapo; yeye aliye mzalia, wala mgeni aketiye kati yenu

Kumbukumbu la Torati 5:27

Enenda karibu wewe, ukasikie yote atakayoyasema Bwana, Mungu wetu; ukatuambie yote atakayokuambia Bwana, Mungu wetu; nasi tutayasikia na kuyatenda.

2Wafalme 22:13

Enendeni, mkamwulize Bwana kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya Bwana ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

Mhubiri 12:13

Hii ndiyo jumla ya maneno; yote yamekwisha sikiwa; Mche Mungu, nawe uzishike amri zake, Maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu

Isaiah 1:19

Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi

Yeremia 7:23

lakini naliwaamuru neno hili, nikisema, Sikilizeni sauti yangu, nami nitakuwa Mungu wenu nanyi mtakuwa watu wangu; mkaende katika njia ile yote nitakayowaamuru mpate kufanikiwa.

Zacharia 6:15

Nao walio mbali watakuja na kujenga katika hekalu la Bwana, nanyi mtajua ya kuwa Bwana wa majeshi amenituma kwenu. Na haya yatatokea, kama mkijitahidi kuitii sauti ya Bwana, Mungu wenu.

Mathayo 7:21

Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.

Yohana 14:15

Mkinipenda, mtazishika amri zangu.

Yohana 15:10

Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu; kama vile mimi nilivyozishika amri za Baba yangu na kukaa katika pendo lake.

Fungu alilotumia KM-A J2 iliyopita la Ezekiel 28:14, linalohusina na shetani kuumbwa kama kerubi aliyekuwa amepakwa mafuta, si mojawapo kati ya mafungu haya yanayohusiana na kicho cha waumini kwa Mungu wao

Ezekiel 28:14

Wewe ulikuwa kerubi mwenye kutiwa mafuta afunikaye; nami nalikuweka hata ukawa juu ya mlima mtakatifu wa Mungu, umetembea huko na huko kati ya mawe ya moto.

Fungu hili halina uhusano wowote na KICHO CHA WAUMINI KWA MUNGU WAO, isipokuwa KM-A aliamua kulitafutia tu uhusiano wa kijanja kijanja na somo lake linaloendelea kwa sababu alihitaji kulitumia

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 28TH AUGUST 2023

KUHUSIANA NA HUJUMA ZA MAJI MACHAFU NA PIA HUJUMA ZA MIUNDO MBINU YA MAJI MACHAFU MAHALI ANAPOISHI MHUSIKA
SUPERVISOR WA WAFANYAKKAZI WA MAJI TAKA NDIYE ANAYEHUSIKA ZAIDI NA MATUKIO HAYO

Kwenye swala hili, mhusika alishafanya utafiti na kubaini kuwa mhusika mkuu wa hujuma hizi ni SUPERVISOR wa wafanyakazi wanaohusika na miundo mbinu ya maji taka, na huyu ndiye aliyehusika hata kwenye matukio ya mwaka jana muda kama huu


Mbali na hilo, mtu huyu pia huwa anao mtandao wake kule ofisini kwake miliki ya nyumba na ni kati ya watu ambao mhusika huwa anakuwa na tahadhari nao kubwa sana pindi anapokuwa amelazimika kuelekea maeneo hayo ya miliki ya nyumba

  • Mtu huyu huyu ndiye pia amekuwa akishirikaina na jirani mwingine ambaye hadi mwaka uliopita, alikuwa ni OFISA WA NYUMBA na pia jirani wake mhusika
  • Mbali na haya yote, JIRANI MAJI MACHAFU NA SUPERVISOR wa wafanyakazi wa maji taka, ni watu wanaotoka sehemu moja na wanaongea lugha moja ya kuzaliwa
Baadhi ya tu posts ambazo mhusika aliwahi kuzileta humu jukwaani mwaka jana kuhusiana na SUPERVISOR huyu ni hizi hapa

#1,067 , #1,069, #1,070 , #1,074

Ilikuwa ni baada ya kutokea matatizo nyumbani kwa mhusika yanayofanana na haya yaliyotokea mwaka huu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 29TH AUGUST 2023

TUKIO MUHIMU LILILOJIRI MUDA HUU OFISINI KWA MHUSIKA; MKUU WA MAJOR UNIT NA OFISI YA MKUU WA IDARA WANAWEZA KUWA WAMEHUSIKA


Dakika chache zilizopita, dakika chache sana baada ya saa kumi kamili, mgeni binti mrembo amefika na kugonga ofisini kwa MKUU WA MAJOR UNIT, ambaye hakuwepo
  • Baada ya hapo, mgeni huyu amenyoosha moja kwa moja hadi mlangoni mwa ofisi ya mhusika iliyokuwa wazi
  • Mhusika alikuwa peke yake ofisini, OM-1 alikuwa ametoka
NAMNA OM-1 ALIVYOTOKA OFISINI, KABLA YA BINTI KUWASILI

Dakika kadhaa zilizokuwa zimepita nyuma kabla ya binti kuwasili, yeye mhusika alikuwa ametoka kidogo

Wakati mhusika anarudi, akiwa bado yuko kwenye korido, alimuona OM-1 naye akitoka na hivyo wawili hawa kuipishania kwenye korido, mhusika akiwa anaelekea ofisini na OM-1 akiwa anatoka ofisini
  • Kwa hiyo binti huyu amefika ofisini na kumkuta mhusika akiwa peke yake, huku akiwa ana shida ambayo alihitaji kusadiwa na MMU lakini kwa sababu hakumkuta, alitamani mhusika ndiye amsaidie
  • Mhusika hakuwa na ufahamu wowote kuhusiana na kile ambacho binti alihitaji maelezo yake kwa sababu kilikuwa ni professional, na mhusika hajasomea mambo hayo
Kwa hali hiyo mhusika alimwelekeza binti apandishe juu Ofisi ya Mkuu wa Idara

Hapo hapo binti alitoa maelezo kuwa huko ndiko alikotokea na wenye ofisi hiyo ndio waliomwelekeza ashuke chini ofisini kwa MMU


Mhusika alimjulisha binti kuwa yeye hana ufahamu wowote wa kile alichokuwa anakihitaji, na maongezi yao yaliishia hapo na hatimaye binti kuondoka

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 30TH AUGUST 2023

UHUSIANO ULIOPO KATI YA DATABASE NA MAISHA YA KILA SIKU YA MWANADAMU


Kila kitu ambacho mtu huwa anafanya kila siku, kinaweza kuelezewa na DATABASE

DATABASE:

Definiton:

A database is an organized collection of data

The data is typically organized in such a way as to model aspects of real life and in a way that supports processes that require information such as those of modeling the availability of storage in the kitchen

REAL LIFE EXAMPLES OF DATABASE TRANSACTIONS IN OUR DAILY LIFE

For instance data from the database may be supportive in finding required items with quantity details.

Like, suppose we want to find how much rice is remaining in a rice pot, then we can simply get the details of that container



Suppose our food is stored in the kitchen. If at one time we happen to find the rice pot empty, then we can re-fill it by simply putting (inserting) new rice into the pot. In doing so, we are therefore using the INSERT and UPDATE statement

On the other hand, suppose we normally use sugar daily for making tea.

If we happen to find that there is very little sugar left, then we can simply add more sugar; and in doing so, we are using the INSERT and the UPDATE statements

Some products are associated with manufacturers’ expiry dates. If it happens that any of the item has expired, then can simply throw that item into the dustbin; and in doing so, we will be using the DELETE command

In some situations in our daily dealings, we use the same name for two different items, which sometimes leads to conflicting item names. To solve this problem, we may need to RENAME any of the two items.
 
DELETE NA UPDATE COMMAND KAMA AMBAVYO ZIMEWAHI KUTUMIKA KWENYE MOJAWAPO YA MATUKIO NDANI YA MAZINGIRA YA KANISA A

Kwa kipindi cha hivi karibuni, commands hizi ziliwahi kutumiwa Kanisani na KM-A J2 moja alipowahi kusimama madhabahuni na kuwafukuza waumini aliodai kuwa walikuwa ni wazinzi

  • Alianza kwa kutoa wasifu wao na pia kuonyesha picha zao kwenye screen, ambavyo hivi vyote vilikuwa ni ATTRIBUTTES zao, huku wao wakiwa ni ENTITIES/ TABLES
  • Baada ya hapo, baadhi yao alizitangaza sehemu zao mpya (LOCATIONS) walizokuwepo baada ya kuwa amewafukuza
  • Hatimaye tena alihitimisha kwa kusema kuwa kuanzia siku hiyo waumini hao hawakuwa tena waumini wa Kanisa A
Kwa kusema maneno hayo, KM-A alikuwa kwa wakati huo huo mmoja, ana DELETE na pia ku-UPDATE DATABASE ya Kanisa A

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 04TH SEPTEMBER 2023

KWA KUZINGATIA MAELEZO MAFUPI YALIYOPO KWENYE POST MBILI ZA MWISHO HAPO JUU

TUKIRUDI NYUMA TENA KWENYE TUKIO LA TAKAKTAKA ZILIZOWAHI KUONYESHWA ZIKIWA ZIMERUNDIKANA NYUMBANI KWA MTU MAENEO YA BUGURURUNI, TAKATAKA AMBAZO MHUSIKA ALISHAWAHI KUZIONGELEA KUPITIA POSTS HIZI HAPA


#1,310, #1,319 , #1,341 , #1,509 , #1,508 , #1,507

Awali ya yote, TAKATAKA ziliwahi kutupwa JALAANI (DELETE-command)

Baada ya hapo, TAKATAKA hizo zilianza kukusanywa tena (COLLECT/ RESTORE-commands) na hivyo kwenda kuhifadhiwa kwenye nyumba moja huko Buguruni

Baada ya muda kupita tangu zilipokusanywa, TAKATAKA hizo zikawa DELETED tena na hivyo kurudishwa tena JALALANI

Hapa issue ni simple kwamba kwa kipindi hicho, pepo alirushwa kwenye commands hizi ambazo ni DELETE, COLLECT, RESTORE

Mbali na hilo, pepo huyo alirushwa pia kwenye MAJALALA yote, popote pale yalipo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA TAKATAKA ZA JALALANI

Hizo commands zilizotajwa hapo juu zikisharushiwa mapepo kwa mtindo huo, pepo huyo anakuwa na uwezo wa kufanya kazi hata kwa watu wanao-DELETE ma-file kwenye computer zao au wanao-RESTORE DELETED FILES kutoka kwenye RECYCLE BIN

Hapa RECYCLE BIN inakuwa ndiyo JALALA, na DELETED FILES zikiwa ndiyo TAKATAKA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 06TH SEPTEMBER 2023
NB:
Mwaka huu mhusika hatachukua likizo yake ya kila mwaka kutokana na mazingira tatanishi aliyoyaona kwenye sehemu anayoishi

Kwa hali hiyo, mhusika ataendelea kuwepo muda wote ofisini, na possibly atachukua likizo mwakani ila si mwaka huu


YALE MUHIMU YALIYOJIRI KWENYE MAZINGIRA YA MHUSIKA KWENYE KIPINDI CHA WIKI HIZI MBILI, WIKI HII NA ILE ILIYOPITA


Siku ya Alhamis ya wiki iliyopita tarehe 31/08/2023, baada ya mhusika kuwa ametoka ofisini, alinyoosha moja kwa moja hadi Mlimani City (MC) kwa shughuli ndogo ndogo za hapa na pale

Baada ya kuwa amezunguka huko kwa dakika kadhaa, hatimaye aliamua kuanza kurudi nyumbani
  • Wakati anaamua hivyo, alikuwa yupo ndani ya jengo na alipotoka nje, umbali kama wa mita 30 hivi alimuona mtu kwa kisogo na akahisi kuwa alikuwa anamfahamu mtu huyo
  • Alikuwa amesimama na watu wengine wawili huku wote watatu wakiwa na VIMO (heights) tofauti tofauti, kwa maana kwamba urefu wao kwenda juu, haukuwa sawa, wote watatu walikuwa wanatofautiana vimo
Baada ya mhusika kufika mahali pale walipokuwepo, aligundua kuwa hisia zake zilikuwa sahihi kwa sababu mmoja wao alikuwa ni Kiongozi Msaidizi wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (tumwite KM-KM-A)
  • Mhusika alisalimiana na watu hao na baada ya maongezi mafupi, aliwaaga na kuondoka.
  • Walikuwa wamesimama nje usawa wa benki moja; sehemu ambayo walionekana kama walikuwa wamekimbia kwa muda que iliyokuwepo ndani ya benki na hivyo kuamua kupunga upepo nje kwa muda mfupi
Wakiwa wako pale, KM-KM-A alimjulisha mhusika kuwa wale aliokuwa nao pale walikuwa ni viongozi wenzake wa Kanisa na ambao wao kazi yao kubwa huwa wanaifanyia nje ya nchi

…………………………….inaendelea
 
…………………………….inaendelea

Miongoni mwa watu hao watatu aliokutana nao mhusika maeneo jirani na benki, VIMO vya viongozi wale wawili waliokuwa na KM-KM-A vilikuwa VIMO VIGENI au vipya machoni kwake

BAADA YA MHUSIKA KUTOKA MLIMANI CITY


Alinyoosha moja kwa moja hadi maeneo jirani na sehemu anayoishi na kuanza kununua baadhi ya mahitaji aliyokuwa amepungukiwa nyumbani

  • Huwa ana kawaida kwamba anapokuwa yupo maeneo hayo, ana mazoea ya kupaki gari lake sehemu moja, anapokuwa ameikuta sehemu hiyo ipo wazi
  • Siku hiyo, jirani na sehemu hiyo alikuta gari la BOSSXX, mkuu wa sasa wa kitengo cha matetemeko ya ardhi, likiwa limepaki pale
  • Mhusika hakuweza kuona kama ndani ya gari hilo kulikuwa na mtu ama la
  • Baada ya mizunguko ya hapa na pale, hatimaye mhusika alirudi na kukuta gari la BOSSXX limeshaondoka, na mahali pale lilikuwa limepaki tena gari jingine la Mkuu wa Idara (MWI)
  • Ndani ya gari la MWI kulikuwa na mwenza wake MWI, akiwa amepakata kitoto kichanga mikononi (hivi watoto wachanga nao pia wanaweza kuwa wana VIMO?)
  • Mtu mwingine aliyekuwemo ndani ya gari hilo ni MWI mwenyewe na ndiye aliyekuwa amekaa nyuma ya usukani
Mhusika alisalimiana nao wakiwa wapo ndani ya gari, na hatimaye aliwaaga na kuelekea kwenye gari lake na kuondoka

Kama watoto nao pia wana VIMO, basi kimo cha mtoto mchanga aliyekuwa kwenye gari la MWI, nacho pia kilikuwa KIGENI kwa mhusika.

Hiyo siku ya Alhamis ya tarehe 31/08/2023 ikapita

JUMAPILI ILIYOPITA YA TAREHE 03/09/2023 WAKATI MHUSIKA ALIPOKUWA ANAINGIA MAZINGIRA YA KANISANI

Mhusika aliingia maeneo ya Kanisani na kukuta Ibada ya kwanza ikiwa bado inaendelea ila ilikuwa inaelekea mwishoni; ulikuwa ni wakati wa matangazo

  • Ulikuwa ni wakati wa tangazo la uchumba na watu walikuwa wanajiandaa kujipanga kwenye QUE ya kwenda kutoa zawadi
  • Mhusika wa tangazo hilo alikuwa KM-A
  • Baada ya muda, watu walianza kumiminika kwenda kutoa zawadi kwa ajili ya wachumba
  • Miongoni mwa watu waliokuwepo kwenye QUE hizo, ni WAGENI ambao walikuwa wamefika Kanisani hapo siku hiyo tu kwa ajili ya kushuhudia tukio hilo, na ambao si waumini wa siku zote wa Kanisa A
Kwa hiyo kwenye QUE hiyo ya kwenda kutoa zawadi, kulikuwa pia na VIMO VIGENI kwa mhusika

Hilo tukio la VIMO VIGENI vya JUMAPILI nalo pia likapita

JUMATATU YA TAREHE 04/09/2023 MHUSIKA AKIWA MAZINGIRA YA OFISINI:TUKIO JINGINE TENA J3 HIYO LILILOHUSIANA NA KITASA CHA MLANGO

MHUSIKA AINGIA TOILET NA BAADA YA KUWA AMEMALIZA KUJIHUDUMIA, MLANGO UKAGOMA KUFUNGUKA NA HIVYO KUSHIMDWA KUTOKA HUMO


Asubuhi hiyo, mhusika aliingia washroom kwa ajili ya kujisadia haja kubwa

Baada ya kumaliza; wakati wa kutoka, LOCK ambayo aliitumia kufunga mlango wakati anaingia na ikakubali na kufunga vizuri kama ambavyo imekuwa ikifanya kazi siku zote, ilionekana kuwa imefyatuka

Kitendo cha LOCK hiyo kufyatuka, kulipelekea ikashindwa kuzungusha tofali linalotakiwa kutoka kwenye upande mwingine wa mlango ili mlango uweze kufunguka, na hivyo mlango huo kushindwa kufunguka

NAMNA LOCK HIYO ILIVYOTENGENEZWA

Kwa nje ina kitu kama kishikizo kikubwa cha shati na ambacho katikati kina alama ya minus (--), huku kwa ndani, ikiwa ina NOB ambayo ukiizungusha CLOCKWISE nyuzi 90 inakuwa imefika mwisho na ina lock mlango na ukiizungusha ANTI- CLOCKWISE nyuzi 90 inakuwa imefika mwisho pia na ina unlock mlango

NOB hiyo ndiyo iliyokuwa imefyatuka kiasi kwamba ilikuwa haiwezi tena kulizungusha tofali la kufunga au kufungua mlango na ilikuwa inazunguka bila kuzingatia limit ya zile nyuzi 90 za CLOCKWISE na ANTI- CLOCKWISE
………………………………inaendelea
 
BAADA YA MLANGO KUSHINDWA KUFUNGUKA NA HIVYO MHUSIKA KUWA YUKO LOCKED NDANI YA CHOO

Mhusika aliamua kupanda juu ya sink la choo ambapo watu huwa wanakaa na hatimaye kushika juu ya ukuta wa choo, kwenye sehemu iliyokuwa wazi

Hapo aliamua kupaza sauti ili watu wanaopita nje wamsikie, na baada ya takribani dakika mbili hivi, kijana ambaye yuko field; ambaye alikuwa wakati fulani anafanya kazi kwenye mafaili yaliyoko chumba jirani na ofisi yao mhusika, alimsikia mhusika

Kijana aliiona hali hiyo na baada ya hapo alitoka akaenda akarudi na wenzake

MKAKATI WA UOKOAJI

Baada ya majadiliano ya hapa na pale, utaratibu ulikubalika kwamba mhusika apewe stuli mbili kwa ndani ili aziunganizshe halafu apande juu yake, halafu apite juu ya ukuta wa choo kwa sababu kulikuwa na nafasi juu kati ya ukuta na paa

  • Stuli zingine mbili zilipangwa pia nje ya sehemu ambapo alitakiwa akanyage miguu yake atakapokuwa anatoka nje
  • Utaraibu huo ulifanyika na mhusika akaanza kupanda juu tayari kwa kutoka
  • Humo ndani ilibidi akanyage pia kwenye sink la maji ya kufashia choo, ambalo kwa bahati mbaya, lilitoboka na kung’oka kutoka ukutani
Hata hivyo alijitahidi kutumia stuli mbili alizokuwa amepewa na hatimaye kuweza kupanda juu ya ukuta

Pale juu kwenye ceiling, kulikuwa na tube lights ambazo ilikuwa almanusura azivunje kwa kuzipiga kichwa, lakini vijana waliokuwepo walimtahadharisha baada ya kuwa wameona reflection ya mwanga iliyokuwa inatokana na mwanga wa taa hizo kuakisiwa kwenye kichwa cha mhusika

KIMO CHA STULI MBILI ZILIZOKUWA ZIMEPANGWA NJE ILI MHUSIKA AKANYAGE HAPO NA HATIMAYE AWEZE KUSHUKA CHINI NJE YA CHOO


Hapa ndipo zoezi lile la VIMO lilipoingia tena

Stuli hizo zilionekana kuwa ni fupi, KIMO chake kilikuwa hakitoshi kwa KIMO cha mhusika kuweza kufikisha miguu yake pale

  • Kutokana na hali hiyo, ilibidi kuongeza stuli nyingine ya TATU
  • Baada ya kuongeza stuli ya tatu, KIMO cha stuli kilitosha na hivyo kuendana na KIMO cha mhusika aliyehitaji kutoka nje ya chumba hicho maalumu
Mhusika alitoka salama na bila jeraha lolote, ispokuwa SINK la kuflashia lilitoboka na hilo ndiyo lingeweza kumjeruhi

Wakati mhusika anatoka ofisini kuelekea chooni, ilikuwa ni katika muda ambao wote wawili mhusika na OFFICE MATE-2 (OM-2), walitoka ofisini kumpisha binti ofisini kwa ajili ya usafi

OM-2 naye alikuwepo pia kwenye tukio hilo na ni mmojawapo wa wale waliosaidia kuleta stuli

Zaidi ni kuwa KIMO cha ukuta ambao mhusika aliupita kwa juu, kilikuwa ni KIMO KIGENI kwake, na pia kwa mtu mwingine yeyote kwa sababu tukio la aina hii lilikuwa ni la kwanza tangu jengo lianze kufanya kazi

KWA UCHUNGUZI WAKE WA KINA KWA KUANGALIA MATUKIO KABLA NA BAADA YA TUKIO HILI LA MLANGO WA CHOO KUGOMA KUFUNGUKA AKIWA YUPO NDANI YA CHOO


Aliyehusika na ku-organise tukio hili ni ADMINISTRATIVE OFFICER (AO) ambaye huwa anapenda kuitwa HR ila hajaajiriwa kama HR, wakishirikiana na KATIBU MUHTASI WA MKUU WA IDARA (KMWI)

Wengine ni MR X pamoja fundi wa vitasa vya milango ambaye wanamfahamu wao, huwa wanamleta idarani. Mhusika hamfahamu na wala hajawahi kumuona

Uwezekano mkubwa ni kwamba fundi Huyu ndiye ambaye waliwahi kumleta kwenye tukio jingine la mwisho la kitasa cha mlango liliotokea pia siku ya J3 hivi karibuni

Angalau kwa sasa, mhusika ameshabaini kuwa AO ndiye amekuwa aki-plan matukio yote tangu waajiriwa wapya walipoanza, na ameendelea hadi kufikia kuwa anawatumia hata hawa ambao ni wanafunzi wa field

Taarifa zaidi kuhusiana uhusika wa watu hawa zinafuata
 
NB

IKUMBUKWE KUWA HAYA YOTE YAMETOKEA HUKU MHUSIKA AKIWA BADO HAJALIPWA MASLAHI YAKE ANAYODAI SIKU ZOTE MIAKA NA MIAKA

HAKUNA CHOCHOTE ALICHOKIKUTA BENKI MWEZI ULIOPITA WA AUGUST 2023, na mhusika hana mpango wa hivi karibuni wa kuandika barua ya kukumbushia maslahi hayo, labda mwakani 2024


BAADA YA MHUSIKA KUOPOLEWA NDANI YA CHUMBA CHA CHOO

Mhusika alikwenda kuliripoti tukio hilo ofisini kwa MWI, ambako alimkuta KMWI

Huyu alizipokea taarifa hizo huku akisema kuwa kitasa hicho hakingeweza kufanyiwa kazi siku hiyo kwa sababu wahusika wote hawakuwepo, ambao mmoja wao ni MR X

J3 hiyo MR X hakuwa amebahatika kufika ofisini siku nzima na huyo mwingine yuko safari kikazi

Huku nje, AO naye alikuwa ameiona hali hiyo na kutoa ahadi kuwa ataishughulikia na jana J4 ndiyo pale AO alipomtaarifu mhusika kuwa fundi alikuja na kuufungua mlango

HITIMISHO

Siku alipokuwa ameenda Mlimani City, ndiyo siku ambayo alifika benki pia na huko hakukuta kitu chochote

Akiwa anatoka huko benki, njiani ndiyo alikutana na KM-KM-A na wenzake wawili, BOSSXX pamoja na MWI na familia yake

Kwa sasa MWI hayupo, kuna KAIMU wake

……………………itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU
Siku mhusika alipokutana na msaidizi wa KM-A pale Mlimanic City, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa wawili hawa kukutana Mlimani City tangu maduka yake yafunguliwe mwaka 2006
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 07TH SEPTEMBER 2023

KUHUSIANA NA TANGAZO LA KUBARIKI WATOTO WADOGO KWENYE IBADA ZOTE MBILI J2 IJAYO, UKILIHUSIANISHA NA MAELEZO YA “VIMO” YALIYOPO KWENYE POSTS ZILIZOPO HAPO JUU


Tangazo hli lina walakini mkubwa ndani yake kwa sababu:

  • Katika hali ya kawaida, kwa miaka yote Kanisa limekuwa likibariki watoto wadogo mara moja tu kwa kila mwaka
  • Hata hivyo kwa mwaka huu, ndani ya kipindi cha miezi michache sana, Kanisa linakwenda kubariki watoto kwa mara ya pili, kwa sababu si muda mrefu umepita tangu zoezi hilo lifanyike ndani ya mwaka huu wa 2023
Kinachotafutwa hapa si baraka kwa watoto bali ni UPDATE ya DATABASE, pamoja na hili swala la “VIMO”.

VIMO VIPYA vinatakiwa vionekane kwa mara nyingine tena machoni mwa waumini J2 ijayo ya tarehe 10/09/2023

UHUSIANO ULIOPO KATI YA KM-A NA WATOTO KANISANI HAPO

Kwa nje, KM-A anaonekana kuwa ni mmojawapo wa watu wanaopenda sana watoto; na kwa viongozi wote waliopo Kanisani hapo, KM-A ndiye anayeongoza kuonyesha dalili nzuri sana za kuwapenda watoto

Hata hivyo, inaweza ikawa ni kinyume chake kwa ndani. Pengine si sawa kwamba KM-A anawapenda watoto. Mtu ambaye kila mara kwa mara anapenda kupanga na kufanya matukio ya ajabu ajabu tu tena kwenye nyumba za Ibada, hawezi kuwa anawapenda watoto

BAADHI TU YA POSTS ZA NYUMA AMBAZO MHUSIKA AMEWAHI KUULALAMIKIA UNAFIKI WA KM-A KWA WATOTO

Ni hizi hapa

#1,538 , #1,498 , #1,492 , #1,491 , #1,489 , #1,480 , #1,478 , #1,025 , #1,024 , #845 , #844

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…