#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: TUESDAY, 19TH SEPTEMBER 2023

COINCIDENCE YA KIPEKEE ILIYOJIONYESHA KWENYE MATUKIO MAWILI YA HIVI KARIBUNI YA VITASA VYA MILANGO YALIYOFUATANA; YAANI TUKIO LA WIKI JANA NA LILE THE IMMEDIATE LILOPITA KABLA YA HILI LA SASA

TUKIO LA AWALI LA KITASA CHA MLANGO


Hili lilitokia miezi kadhaa iliyopita, mwaka jana mwishoni au mwaka huu mwanzoni

Kabla halijatokea, mhusika alianza kwa kupata shida kwanza kwenye gari lake, GIA za gari lake ziligoma kuingia

  • Baada ya hapo, mhusika alilichukua gari na kulipeleka gereji
  • Baada ya hapo tena, wiki liliyofuata baada ya mhusika kuwa ametoka gereji, KITASA CHA MLANGO KILIHARIBIKA
Hapo sasa aliletwa FUNDI WA VITASA VYA MILANGO KUTOKA GEREJI na kuja kushughulikia kitasa na kukiweka sawa

Hilo lilikuwa ni tukio lile la awali

TUKIO LA KITASA CHA MLANGO LA WIKI JANA

Mhusika alipoteza funguo za ofisi akiwa peke yake ofisini kwake na taarifa za namna funguo hizo zilivyopotea, tayari ameshazileta humu jukwaani

Baada ya hapo, kitasa cha mlango mmoja kimebadilishwa na kilibadilishwa na fundi ambaye atakuwa alifanya kazi hiyo kati ya siku za Ijumaa au Jumamosi wiki iliyopita kwa sababu funguo zilipotea J5

Mhusika hakuwepo mazingira ya ofisini wakati kitasa hicho kinabadilishwa

Kwa hali hiyo, jana J3 ya tarehe 18/09/2023 mhusika alikabidhiwa tena na Mkuu wa Idara funguo zingine mpya za vitasa vyote viwili vya milango

COINCIDENCE ILIYOJITOKEZA KWENYE MATUKIO HAYA MAWAILI

GIA ZA GARI ZIMEGOMA TENA KUINGIA

J3 ASUBUHI MHSIKA ALIIFIKA OFISINI AKIWA NA GARI LAKE LIKIWA SALAMA


Hata hivyo, jioni wakati anaondoka kurudi nyumbani, GIA ZA GARI ZILIANZA KUGOMA TENA KUINGIA na hivyo mhusika analazimika muda huu kurudi tena gereji

Katika hali ya kawaida, mhusika alitakiwa alipeleke tena gari hilo gereji JANA JIONI BAADA YA KUWA AMETOKA OFISINI

Mhusika atalipeleka tena gari gereji leo na ni kwenye gereji hiyo hiyo kule aliko yule FUNDI WA VITASA VYA MILANGO

Matukio haya sasa yanakuwa MONOTONOUS, unless kama kuna kitu ambacho kinaendelea kwa upande wa mahasimu wake, ambacho mhusika hana taarifa zake


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUISIANA NA SWALA LA MHUSIKA KUPOTEZA FUNGUO WIKI JANA

Linaweza kuwa ni la kiroho na mhusika anaendelea kulifanyia kazi, na linaenda vizuri sana.

Pattern
iiliyojionyesha hadi siku ya leo ni kuwa huwa akienda sehemu, anakwenda anapoteza kitu huko huko alikoenda au anakuja kupoteza siku kadhaa baadaye, baada ya kuwa ametoka huko. Mhusika huwa hana tabia ya usahaulifu na wala huwa hana roho ya kupoteza vitu

Ni matukio matatu sasa ndani ya muda wa siku chache sana, mawili kati yake yakiwa yanapishana kwa siku tu na si wiki

Mhusika atalifanyia kazi swala hili kwa ufasaha
Kwa wale walio upande wake, anawaomba wamwanini SANA katika hili


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY, 24TH SEPTEMBER 2023

TABIA YA ASKARI WA KANISANI KUTENGENEZA MAZINGIRA YA KAMA HUWA WANA NAMNA FULANI YA MAONGEZI YA FARAGHA NA MHUSIKA IMERUDI TENA

J2 YA WIKI ILIYOPITA
WAKATI MHUSIKA ANAONDOKA MAZINGIRA YA KANISANI BAADA YA IBADA KUMALIZIKA, PALE GETINI ALIOMBWA ASIMAMAME. ALIYEFANYA HIVYO NI ASKARII YULE MZEE AMBAYE ANAWAZIDI ASKARI WOTE KWA UMRI KANISANI HAPO

VILE VILE J2 YA LEO
WAKATI MHUSIKA YUPO NDANI YA KANISA IBADA IKIWA TAYARI IMEANZA, PALE MWANZONI KABISA MARA TU BAADA YA VYOMBO VYA MUZIKI KUPIGWA NA WAIMBAJI KUANZA KUIMBA, ASKARI MWINGINE TENA ALIFIKA NDANI YA NYUMBA YA IBADA NA KUMNONGONEZA KITU MHUSIKA AMBACHO KILIMHITAJI ATOKE NJE KWA MUDA.

MHUSIKA HAKUWEZA KUTOKA NJE KWA SABABU KITU ALICHONONG'ONEZWA NA ASKARI HUYO HAKUKIELEWA

ASKARI HUYO NI YULE AMBAYE ALIFUNGA NDOA MWAKA JANA MAJIRA KAMA HAYA NA AMBAYE ALIANZISHA TABIA YA KUWA ANAMFUATA MHUSIKA KISIRI SIRI UCHOCHORONI BAADA YA KUWA ASKARI HUYO AMEMPATIA MHUSIKA KADI YA MCHANGO WA HARUSI

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMETOA MCHANGO HUO AMBAO ULIKUWA NI MKUBWA KIASI CHA KUTOSHA MHUSIKA KUPEWA KADI YA MWALIKO, ASKARI HUYO ALUSAHAU KUMPATUA KADI YA MWALIKO MHUSIKA

VILE VILE KUHUSIANA NA TUKIO LA ASKARI J2 ILIYOPITA MHUSIKA HAKUWEZA KUSIMAMA PALE GETINI BAADA YA KUPUNGIWA MKONO NA ASKARI MZEE AKIOMBWA AFANYE HIVYO KWA SABABU YEYE NA ASKARI HUYO HAWANA MAONGEZI YOYOTE AMBAYO NI YA FARAGHA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UKIYAUNGANISHA MATUKIO HAYA YA ASKARI WA KSNISANI NA TUKIO LA MHUSIKA OFISINI J3 YA TAREHE 18/09/2023 LA GIA ZA GARI KUGOMA KUINGIA, JIONI WAKATI MHUSIKA ALIPOKUWA ANATOKA OFISINI AKIRUDI NYUMBANI

ANGALAU MATUKIO HAYA MAWILI YANAONYESHA KUWA ASKARI WA GETINI SIKU YA J2 YA TAREHE 17/09/2023 ALIJUA KUWA KESHO YAKE J3 MHUSIKA ANGEPATWA NA TUKIO LA GIA ZA GARI LAKE KUGOMA KUINGIA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 25TH SEPTEMBER 2023

KUHUSIANA NA TUKIO LA HIVI KARIBUNI LA MHUSIKA KUPOTEZA FUNGUO ZA OFISI AKIWA YUPO PEKE YAKE OFISINI


HATIMAYE SWALA LA MHUSIKA KUTOKUWA ANAPATA TAARIFA ZINAZOTOKA NA CIRCULAR ZA KUTOKA NGAZI ZA JUU LIMEANZA KUMLETEA MATATIZO

KUKOSA TAARIFA HIZO KUNAANZA KUMPELEKEA AANZE KUWA-DOUBT WATU WANAOWEZA KUWA NI WA MSAADA KWAKE


Ukiondoa circular ambazo huwa zinawekwa kwenye mtandao, kwa sasa mhusika ana takribani miaka miwili bila kusoma circular yoyote kutoka ngazi za juu, na hana uhakika kama kweli ngazi za juu zimekuwa kimya kwa kipindi chote hicho

Hali hii imepelekea mhusika kuwa na mashaka na baadhi ya matukio yaliyotokea baada ya kuwa amepotelewa fungo za ofisi yake J3 ya tarehe 11/09/2023
  • Hata hivyo, mashaka yake ni ya msingi ambayo anaweza kuwa nayo mtu mwingine yeyote yule mwenye akili timamu
  • Kupotea kwa funguo hizo kumesababisha mhusika kuwa na mashaka hayo kwa sababu taasisi anayofanyia kazi ni kubwa na hivyo si rahisi kuwajua viongozi wake wote na vitengo vyao vya sasa kwa sababu mabadiliko huwa yanatokea ndani ya taasisi, ambayo baadhi yake huwa hayawekwi kenye mtandao
Mashaka haya ya mhusika yametokea baada ya kuwa ameenda kuripoti swala la kupotea kwa funguo za ofisi yake, kwenye ofisi husika inayohusika na usalama wa ndani ya Taasisi

Ofisi hiyo ndiyo ile iliyohusika na uwekaji wa kufuli la muda kwa ajili ya usalama wa ofisi yake

YALE YALIYOTOKEA SIKU HIYO KABLA MHUSIKA HAJAENDA KURIPOTI TUKIO KWENYE OFISI HIYO YA USALAMA

Kwanza alienda Kituo cha Polisi na kuripoti tukio, na hatimaye kupewa RB

Baada ya hapo, Polisi walimuelekeza kwenda kuwaona MAOFISA wengine ambao wao ni waajiriwa wa TASISI, KWA AJILI YA USALAMA WA OFISI

Baada ya hapo, mhusika alitoka kituoni na kuelekea kwenye ofisi husika aliyoelkezwa na Polisi, ambayo iko jirani tu na Kituo cha Polisi

BAADA YA MHUSIKA KUFIKA KWENYE OFISI YA MAAFISA USALAMA WA TAASISI
Pale nje alimkuta OFISA mmoja mwenye cheo kikubwa kuwazidi wote ofisini hapo, akiwa amekaa nje kwenye kiti usawa wa DIRSISHA LA OFISI
  • Ndani ya ofisi kwenye kaunta, usawa wa dirisha alilokuwa amekaa SENIOR OFFICER (tumwite SO), kulikuwa na MAOFISA wengine JUNIORS wawili
  • MAOFISA hawa wote watatu walikuwa wamevaa UNIFORM na huyu aliyekuwa amkeaa nje yaani SO, alikuwa na uwezo wa kusikilizana na maofisa hao wengine wawili waliokuwa ndani kwenye kaunta, kwa kupitia dirisha hilo lililokuwa wazi na ambalo lilikuwa liko chini sana
WASIFU MFUPI WA OFISA HUYU ALIYEKUWA AMEKAAA NJE

Kwa uelewa wake, mhusika alikuwa anakadria kuwa SO huyu aliyekuwa amkaa nje usawa wa dirisha la kaunta, atakuwa alikuwa amestaafu kazi possibly mika 7 au 8 iliyopita, ila mhusika hakuwa amesikia taarifa rasmi za nafasi ya SO huyu kuwa replaced na Ofisa mwingine mbadala
  • Kwenye vipindi tofauti tofauti huko nyuma tangu mhusika amfahamu, SO huyu amekuwa akishikilia wadhifa wa aidha MKUU WA IDARA wa Idara hiyo, na wakati mwingine MKUU WA IDARA MSAIDIZI
  • Vile vile, ofisa huyu wanamfahamiana na mhusika tangu kipindi kirefu nyuma isipokuwa hadi siku hiyo ya tukio, mhusika alikuwa amepitisha muda wa kutosha pasipo kuwa ameonana na ofisa huyu mazingira ya ofisini na ndiyo maana alidhani kuwa pengine alikuwa yuko nje ya ofisi akiwa tayari ameshastaafu
………………….inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUFIKA OFISINI KWA SO NA KUMKUTA AKIWA YUPO NJE AMEKAA USAWA WA DIRISHA LA KAUNTA

Mhusika alisalimiana na SO na baada ya hapo, SO alitamani kujua ni nini kilikuwa kimempeleka pale mhusika

  • Mhusika alimweleza SO mwanzo mwisho wa tukio huku maofisa wengine wawili waliokuwa ndani ya kaunta, nao wakiwa wanasikia pia
  • Mhusika na SO wakiwa bado wanaendelea na maongezi yao, muda huo huo aliingia OFISA mwingine wa nne (tumwite OFFC-4), ambaye alionekana alikuwa ametoka kidogo mazingira ya ofisini, akiwa amevaa kiraia
Ofisa huyu alivaa kamba ya kitambulisho shingoni, huku kitambulisho akiwa amekiweka kwenye mfuko wa shati

  • Vile vile, OFFC-4 alikuwa amebeba radio call mkononi ambayo ilikuwa iko active kwa maana kuwa ilikuwa inatoa visauti vile vya mbali vya mawasiliano ya maofisa wengine waliokuwa sehemu zingine tofauti na mahali pale alipokuwapo yeye
  • OFFC-4 alikuwa ni mgeni kabisa machoni pa mhusika isipokuwa:
alifanana exactly na mfanyakazi mwingine ambaye naye yupo ndani ya taasisi, na ambaye karibia mara zote, mhusika amekuwa akikutana na mfanyakazi huyo mwingine kwenye Ofisi ya Mkuu wa Taasisi wa sasa, pindi mhusika anapokuwa ameenda kwenye ofisi hiyo

Angalau mara moja, barua ya mhusika ilishawahi kupokelewa na mfanyakazi huyu kwenye ofisi hiyo tajwa

OFFC-4 na mfanyakazi huyu ambaye mhusika amekuwa akikutana naye kwenye Ofisi ya Mkuu wa Tasasis wa sasa, wamefanana utadhani ni identical twins, isipokuwa tu OFFC-4 ni mwembamba kidogo kwa umbo ukimlinganisha na yule mfanyakazi mwingine

Mbali na hilo vimo vyao vinaweza kuwa sawa pia au kama vinapishana, basi ni kwa scale ndogo sana ambayo mtu huwezi kui-notice inapotokea umekutana na mmoja wao tu

BAADA YA OFFC-4 KUWA AMEWASILI HAPO OFISINI NA KUWAKUTA SO NA MHUSIKA WAKIWA KATIKA MAONGEZI

Huku SO akiwa amekaa pale pale nje, alimpa maelekezo OFFC-4 (ambaye alikuwa amevaa kiraia) kuambatana na mhusika kuelekea ofisini kwa mhusika kwa ajili ya kuangalia usalama wa ofisi, kitu ambacho mhusika mwenyewe ndiyo alikuwa exactly anakihitaji sana kwa muda huo

  • Mbali na hilo, SO alimwelekeza OFFC-4 achukue pia kufuli ili akaifunge ofisi kwa muda hadi pale vitasa vya milango vitakapokuwa vimebadilishwa
  • OFFC-4 alipokea maelekezo hayo, na baada ya hapo, mhusika alipata tena nafasi ya kuingia ndani kaunta na kuanza kuandikisha tena maelezo ya tukio kwa maofisa wale wawili waliokuwa ndani wakiwa wamevaa sare, akiwaacha OFFC-4 na SO wakiwa wapo pale nje
Baada ya mhusika kuandikisha maelezo, alitoka nje tayari sasa kwa kuambatana na OFFC-4 wakiwa na kufuli, kuelekea ofisini kwa ajili ya kucheki usalama wa ofisi na pia kuifunga ofisi kwa kufuli la watu wa usalama kama SO alivyokuwa ameleelekeza

Kwa mfanyakazi mwingine mwenyeji ndani ya taasisi ambaye atakuwa aliwaona mhusika na OFFC-4 wakiwa wote siku hiyo, atakuwa alidhani kuwa mhusika alikuwa ameambatana na yule mfanyakzi wa siku zote ambaye huwa yupo ofisini kwa Mkuu wa Taasisi, ukizingatia kuwa OFFC-4 alikuwa amevaa kiraia

…………………..inaendelea
 
KABLA MHUSIKA NA OFF-4 HAWAJAANZA SAFARI YA KUELEKEA OFISINI KWA MHUSIKA

OFF-4 alishauri kuwa wao wawili, yaani yeye na mhusika watangulie ofisini kwenda kucheck usalama wa ofisi kwanza, halafu maofisa wengine tena watafuata nyuma wakiwa na pikipiki pamoja na kufuli lile ambalo huwa linatumia mnyororo

Ushauri huu wa kuwahi ofisini, ndiyo ule ambao mhusika alikuwa hasa anauhitaji kwa sababu hadi kufikia muda huo, ofisi ilikuwa ipo wazi, ikiwa imefungwa kwa kurudishiwa grill tu huku watu waliokuwa wamebaki kwenye floor nzima ya jengo hilo wakiwa ni wawili tu; mnunuzi wa gari (MWG) na SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMK)

Hadi kufikia muda mhusika na OFF-4 wanafika mazingira ya ofisini kwa mhusika, ni MWG tu aliyekuwa bado yupo ofisini; SMK alikuwa tayari ameshaondoka

Kwa kuanzia, mhusika na OFF-4 walielekea jirani na Kituo cha Polisi mahali ambapo mhusika alikuwa amepaki gari lake, na hatimaye walipanda kwenye gari wakiwa wawili na kuanza safari ya kuelekea ofisini kwa mhusika

Kwa mfanyakazi yeyote mwenyeji ambaye atakuwa aliwaona wawili hawa wakiwa kwenye gari la mhusika siku hiyo, atakuwa alidhani kuwa mhusika alikuwa amemchukua kwenye gari lake, mfanyakazi mwenzake yule ambaye huwa yuko kwenye ofisi ya Mkuu wa Taasisi wa sasa

BAADA TA MHUSIKA NA OFF-4 KUWASILI MAZINGIRA YA OFISINI


OFF-4 alimuuliza maswali machache mhusika wakiwa ndani ya ofisin na baada ya hapo OFF-4 alitoka nje kwenye cooridor na kuanza kuongea na radio call

OFF-4 alikuwa anaongea na wale wenzake waliokuwa wanaleta kufuli, akiwaelekeza wapandishe juu floor ya kwanza

Baada ya muda mfupi kupita kufuatia maongezi hayo ya radio call, waliingia vijana wawili wakiwa wamevaa kiraia, wakiwa wambeba kufuli lenye minyororo

  • OFF-4 alifunga office kwa kushirikiana na vijana hao wawili.
  • Kabla hajafunga ofisi, OFF-4 alimkumbusha mhusika kuchukua chochote kile alichokuwa anakihitaji kabla ofisi haijafungwa, kama kilikuwepo
Mhusika hakuwa na chochote alichokuwa anakihitaji na hivyo hakuchukua chochote

Wakati huo huo, MWG naye alikuwa ametoka ofisini kwake akishuhudia ofisi ya mhusika ikiwa inafungwa

BAADA YA OFISI KUWA IMEFUNGWA KWA KUFULI LENYE MINYORORO

Mara baada tu ya ofisi kuwa imefungwa, vijana waliokuwa wameleta kufuli waliondoka na kuwaacha mhusika, OFFC-4 na MWG wakiwa kwenye scene ya tukio

Baadaye kidogo mhusika na OFFC-4 waliamua kutoka nje ya jengo na MWG alirudi ofisini kwake

Pale nje kwenye parking OFFC-4 akawa yuko willing kutembea kwa miguu kurudi ofisini kwake, lakini mhusika alimsihi apande tena kwenye gari ili aweze kumrudisha sehemu aliyokuwa amemtoa

OFFC-4 alipanda kwenye gari na mhusika alimrudsiha hadi kwenye ofisi alikokuwa amemtoa

BAADA YA MHUSIKA KUFIKA TENA OFISINI KWA SO KWA MARA NYINGINE

SO hakuwepo tena kwenye kiti alichokuwa amekaa pale nje, alikuwa ameondoka

Mhusika aliwauliza wale maofisa wawili waliokuwa wapo kaunta kuwa SO alikuwa wapi na walimwelekeza kwenye ofisi nyingine iliyokuwapo pale mbele jirani

Mhusika alishika kitasa cha mlango, ofisi ilikuwa wazi isipokuwa SO hakuwamo ofisini humo

Baada ya hapo, mhusika aliingia kwenye gari lake na kunyoosha kuelekea nyumbani akipitia njia ile inayopita jirani na ofisini kwake

Hiyo ilikuwa ni siku ya J5 ya tarehe 14/09/2023

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 27TH SEPTEMBER 2023

MAZINGIRA YALIVYO OFISINI KWAO MHUSIKA HADI MUDA HUU

BAADA YA OM-1 KUSAFIRI, OM-2 NAYE AMEANZA KUONYESHA DALILI STRONG ZA KUKWEPANA NA WATU WALIOPO OFISINI, MITHILI YA ALIVYOKUWA ANAFANYA OM-1


OM-1 alisafiri kikazi takriban mwezi mmoja umepita na hivyo ofisini wapo mhusika na OM-2 tu

Kwa hiyo, matukio yote ya hivi karibuni yaliyyotokea kuanzia lile la mhusika kushindwa kutoka chooni, yametokea OM-1 akiwa tayari yupo safari

CHRONOLOGY YA MATUKIO MUHIMU TANGU OM-1 ALIPOSAFIRI

Kwenye wiki ya kwanza ambayo mhusika walibaki wawili na OM-2 ofisini, J3 yake mhusika alikwama chooni mlango ukiwa umegoma kufunguka

Baada ya hapo, pale katikati ya wiki hiyo hiyo binti aliyekuwa amekuja kwa ajili ya mafunzo ya vitendo, alifika ofisini kwa mhusika na kumuuzia mhusika chemicals za kusafishia sink la choo au tiles. OM-2 alikuwepo ofisini siku hiyo ila alikuwa ametka kidogo

BAADA YA WIKI HIYO KUWA IMEPITA NA KUANZA WIKI NYINGINE TENA


J3 ya tarehe 11/09/2023 mhusika alifika ofisini na kukuta OM-2 hayupo mazingira ya ofisini na wala laptop yake haikuwepo ofisini

Kwa hiyo J3 hiyo wafanyakazi wa usafi hawakumkuta OM-2 ofisini muda walipokuwa wamefika kwa ajili ya kufanya usafi ofisini hapo

  • Ilipofika mida ya jioni, OM-2 alifika ofisini na hatimaye kumjulisha mhusika kuwa kwa wiki yote hiyo, atakuwa yupo kwenye training inayofanyikia ndani ya Taaisi
  • J4 ya wiki hiyo OM-2 akawa yuko kwenye training tena na hakufika kabisa mazingira ya ofisini kwa siku nzima
  • J5 pia OM-2 akawa yuko kwenye training na hakuonekana kabisa mazingira ya ofisini kwa siku nzima
Hata hivyo, J5 hiyo ndiyo siku mhusika alipopoteza funguo akiwa yupo peke yake ofisini

Kutokana na hali hiyo, mhusika alillazimika kumpigia simu OM-2 siku hiyo ili kujua kama alakuwa bado yupo mazingira ya ndani ya Taasisi muda huo, ili aje afunge ofisi kwa muda wakati swala la usalama wa ofisi litakapokuwa linashughulikiwa kule Polisi

OM- 2 alimjibu mhusika kuwa tayari alikuwa ametoka na alikuwa mbali kwa muda huo na kwamba hata nyumbani kwake hakuwepo pia ila alikuwa mtaani

………………….inaendelea
 
.................................inaendelea
Baada ya maongezi hayo ya simu, mhusika na OM-2 walikuja kufanya tena maongezi ya simu pale mhusika alipompigia OM-2, mhusika alipokuwa tayari yupo kituo cha Polisi, na ndiyo ilikuwa simu ya mwisho waliyofanikiwa kuongea wawili hawa, na baada ya hapo, simu ya OM-2 ilianza kuwa haina majibu kila mhusika alipokuwa anajaribu kuipigia

BAADA YA FUNGUO KUPOTEA, OFISI ILIFUNGWA J5 JIONI, MKUU WA IDARA ALIKUWA YUPO SARAFI

Ilipofika J3 ya tarehe 18/09/2023, mhusika alikabidhiwa funguo zingine na Mkuu wa Idara (MWI), ambaye alikuwa tayari amesharudi kutoka safari


  • OM-2 hakuwepo mazingira ya ofisini wakati MWI anamkabidhi mhusika funguo
  • Alikuwa bado yupo kwenye training nyingine tena ya pili iliyoanza J3 hiyo ya tarehe 18/09/2023 na ilikuwa inaishia Alhmais ya tarehe 21/09/2023
Kwa hiyo J3 hiyo wafanyakazi wa usafi hawakumkuta tena OM-2 ofisini kwa MARA YA PILI muda walipokuwa wamefika kwa ajili ya kufanya usafi ofisini hapo

Mbali na hayo J3 hiyo wakati wa makabidhiano ya funguo, MWI alimtaarifu mhusika kuwa vitasa vilikuwa vimebadilishwa mapema tu ndani ya wiki ya upotevu wa funguo na hatimaye funguo zingine kukabidhiwa kwa OM-2 kwa sababu OM-2 alihitaji kutumia ofisi kwenye siku mbili za Alhmisi na Ijumaa zilizokuwa mbele ya wiki hiyo ya upotevu wa funguo

Hiki kitu ndiyo kilimpa shida kidogo mhusika kichwani kwa sababu, ukiondoa siku ile ya J3 jioni ya wiki ambayo funguo zilipotea na siku ambayo OM-2 alifika ofisini na kumkuta mhusika akiwa anatokea kwenye training iliyokuwa imeanza siku hiyo,, kwa siku zingine zote ambazo mhusika alikuwa anakuwa yupo mazingira ya ofisini, hadi kufikia J5 ile ya upotevu wa funguo, OM-2 hakuwa ameonekana tena ofisini na hivyo hakuwa ameonana na mhusika

Majibu hayo ya MWI kwa mhusika yalimaanisha kuwa baada ya mhusika kupoteza funguo siku ya J5 huku OM-2 akiwa hayupo mazingira ya ofisini, baada ya hapo OM-2 alirudi tena mazingira ya ofisini kwa siku za Alhamis na Ijumaa za wiki hiyo, tofauti na ilivyokuwa muda kabla mhusika alikuwa bado hajapoteza funguo

KUHUSIANA NA TRAINING YA PILI YA OM-2 ILIYOANZA J3 YA TAREHE 18/09/2023 NA KUISHIA ALHAMIS YA TAREHE 21/09/2023


Tofauti na ilivyokuwa kwenye training ya kwanza, kwa hii ya pili OM-2 alikuwa anaanzia kwenye training kwanza na ulipokuwa unafika muda wa kuanzia saa 9:30 alasiri, OM-2 alikuwa anafika tena ofisini na kumkuta mhusika

Kwa siku zote za mtindo huu wa OM-2, mara zote mhusika amekuwa akitoka ofisini kurudi nyumbani na kumuacha OM-2 akiwa bado anaendelea na kazi zake ofisini

Kwenye training ile ya mwanzo kwenye wiki ambayo mhusika alipoteza funguo, OM-2 alikuwa hafiki ofisini asubuhi wala jioini

BAADA YA TRAINING YA PILI YA OM-2 KUHITIMISHWA WIKI JANA SIKU YA ALHAMIS YA TAREHE 21/09/2023


Kesho yake Ijumaa asubuhi, mhusika alimkuta OM-2 akiwa tayari ameshaingia ofisini

Kwa siku hiyo, tofauti na ilivyo kawaida yake siku zote kwamba huwa anakuwa na simu moja tu SMARTPHONE, kwa siku hiyo OM-2 alikuwa amebeba simu mbili; nyingine ya pili ikiwa ni zile ndogo ambazo SIYO SMART

  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona OM-2 akiwa na simu nyingine hiyo ndogo isiyokuwa smart
  • Baada ya muda, OM-2 alichukua simu hiyo ndogo na kumpigia OM-1, ambaye bado yuko safari
  • Baada ya maongezi kidogo, OM-2 alimuomba mhusika kama alikuwa pia anaweza kuongea na OM-1
Mhusika alishukuru na hatimaye kuchukua simu hiyo na wakaongea na OM-1; ambaye alisema kuwa karibia kurudi tena ofisini

MUDA KITAMBO IJUMAA HIYO BAADA YA MHUSIKA KUPEWA SIMU NA OM-2 ILI AONGEE NA OM-1 AMBAYE BADO YUPO SAFARI

OM-2 alimuaga mhusika kuwa anaondoka ofisini na hatarudi tena kwa sababu alikuwa na swala muhimu la kushughulikia Bank. Muda ulikuwa ni wa asubuhi majira ya kama ya saa tano hivi

  • Kwa hiyo Ijumaa hiyo OM-2 hakukaa tena ofisini
  • Kwa reference ya mhusika, hadi kufikia Ijumaa hiyo, OM-2 akawa amekamilisha WIKI MBILI za kuwepo kazini pasipo kuonekana na watu wa waliopo mazingira ya ofisini kwake
BAADA YA OM-2 KUONDOKA OFISINI IJUMAA HIYO

Hazikupita hata dakika 15, BOSS XX aliingia ofisini kwa mhusika

  • Huyu alikuwa anapita tu kumjulia hali husika na pia kumtaarifa kuwa amekuwa relocated kiajira kutoka kwenye Taasisi hiyo na hivyo amehamishiwa kwenye Taasisi nyingine
  • Kutokana na relocation hiyo, BOSS XX alimjulisha mhusika kuwa alikuwa amefika kwa ajili ya kufanya clearance ofisini hapo tayari kwa kuhamia sehemu nyingine
Mara ya mwisho, BOSS XX alifika ofisini kwa mhusika ilikuwa ni mwaka jana August 2022 na alifika siku hiyo akiwa na mission maalum kwa ajili ya ku-LAUNCH WEAPON inayohusika na maswala ya LOCATION

  • Kwa hiyo, BOSS XX alifika muda mfupi tu baada ya OM-2 kuwa ameondoka ofisini Ijumaa hiyo
  • Baada ya OM-2 kuondoka ofisini siku hiyo, hakuonekana tena ofisini tangu siku hiyo hadi ilipofika JANA J4 YA TAREHE 26/09/2023
Kwa hiyo J3 ya tarehe 25/09/2023 wafanyakazi wa usafi hawakumkuta tena OM-2 ofisini kwa MARA YA TATU muda walipokuwa wamefika kwa ajili ya kufanya usafi ofisini hapo

Mbali na wafanyakazi hawa wa usafi, kuna kundi la watu lilirudi ofisini J3 ya tarehe 18/09/2023 kutoka field ambalo uhakika alionao mhusika ni kwamba kati ya watu hao, ni watu wawili tu kwa sasa ambao wanaweza kuhakikisha kuwa OM-2 yupo mazingira ya ofisini

  • Watu hawa ni dereva wa MKUU WA MAJOR UNIT, pamoja na binti ambaye aliwahi kumchukua OM-1 (office mate yule mwingine ambaye bado yupo safari) kumpeleka kwenye viwanja vya sabasaba, kipindi binti huyu alipokuwa ana-Kaimu Ukuu wa Idara.
  • Tukio hilo lilitokea baada ya mhusika kutoa taarifa kuwa kwa kipindi hicho, OM-1 alikuwa ameanza kuonyesha dalili za wazi za kuwa anakwepana na watu idarani wakiwemo wanafunzi
Mbali na hilo, ukiondoa siku ya leo J5, kwa siku zingine zote kuanzia jana na kurudi nyuma hadi kwenye kipindi cha wiki mbili za training ya OM-2; OM-2 na SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMK) hawajawahi kuonana kwa sababu muda wao wa mazingira ya ofisini mara zote umekuwa ukipishana

  • SMK anapokuwa yupo ofisini, OM-2 anakuwa yuko kwenye training na OM-2 anapokuwa amerudi kutoka kwenye training, SMK nakuwa ameshaondoka ofisini
  • Kwa upande wa MWI, mara ya mwisho mhusika kuwaona MWI wakiwa pamoja na OM-2 ilikuwa ni siku MWI alipokuwa anamkabdihi OM-2 funguo za ofisi, zaidi ya miezi mitatu iliyopita
Vile vile kwa siku ya Ijumaa iliyopita, binti mwingine amnbaye si mwajiriwa ila huwa anakuwepo mazingira ya ofisini kwa mume wake ambaye mume ni mwajiriwa, naye pia alifika ofisini kwao mhusika akimuulizia OM-2,

  • Ilikuwa ni baada ya OM-2 kuwa tayari ameshaondoka ofisini
  • Mbali na huyo, J3 ya wiki hii, binti mwingine ambaye yeye ni mwajirwa mpya kutoka kwenye ile idara nyingine, naye pia alifika ofisini akimuulizia OM-2
Hizi kwepa za watu hawa kukwepana kwepana kwa makusudi mazingira ya ofisini zinamaanisha nini?

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA HIYO KWA PATTERN HII ya uwepo wa OM-2 mazingira ya ofisini, tuseme kwa mfano mtu mmoja mahali fulani akiamua kuwauliza wafanyakazi wa usafi kuwa kwa wiki tatu mfululizo zilizopita mhusika amekuwa akikaa na nani ofisini kwake, wafanyakazi hao watajibu kuwa amekuwa yuko peke yake na watakuwa wako sahiihi asilimia 100

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KILE WALICHOKUWA AWALI WAMEPANGA KUFANYA MHUSIKA NA OM-2 BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEPOTEZA FUNGUO J5 YA TAREHE 13/09/2023

Kwanza baada ya funguo kupotea, mhusika alimpigia OM-2 na kumjulisha kuhusiana na tatizo hilo la funguo za ofisi kupotea

OM-2 alisema kuwa kwa wakati huo alikuwa yuko mbali mno na isingekuwa rahisi kwa yeye kurudi na kuja kufunga ofisi

Baada ya hapo, OM-2 alishauri kuwa kwa siku hiyo, mhusika arudishie tu milango ya ofisi halafu kesho yake Alhamis swala hilo liweze kufanyiwa kazi

Hata hivyo, mhusika aliendelea kumsisitiza OM-2 alete funguo za ofisi ili waifunge kwanza kwa siku hiyo isilale wazi, kitu ambacho hatimaye OM-2 aliafiki; ila akasema kuwa angechelewa kufika mazingira ya ofisini kwa sababu alikuwa yupo mbali mno

Hapo ilikuwa ni muda wa baada ya saa 10:30 alasiri

BAADA YA MHUSIKA KWENDA KURIPOTI SWALA LA FUNGUO KWENYE VITUO VYA POLISI

Mkuu wa Kituo kile cha ndani (SENIOR OFFICER-SO) alishauri litumike kufuli la Polisi kwa sababu funguo za OM-2 nazo zilikuwa pia hazifai kutokana na kuwa kopi yake tayari ilikuwa imepotea

Baada ya hapo ndiyo mhusika aliweza kuambatana na OFF-4 kutokea hapo kituoni, na hatimaye kufanikiwaa kuifunga ofisi kwa kufuli lenye minyororo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
HAWA WATU KUENDELEA KUFANYA HAYA YOTE KAMA KWELI YANA SHIDA MAHALI FULANI NA SI COINCIDENCES TU, LAZIMA WATAKUWA NA BACKUP YAO NZITO IKIWA IMECHOMEKA MAHALI FULANI AMBAPO WANA UHAKIKA KUWA ITAWEZA KUWAPATIA MATUNDA WANAYOHITAJI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWENYE WIKI YAKE YA PILI YA TRAINING, OM-2 ALIKUWA ANARUDI OFISINI BAADA YA SAA TISA NA NUSU, AKIPISHANA NA WAFANYAKAZI WA USAFI AMBAO WAO HUWA WANAFUNGA KAZI ZAO NA KUONDOKA KWENYE MUDA HUO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 28TH SEPTEMBER 2023

DOKEZO MUHIMU
BADO WANASHUGHULIKA NA MACHO YA NCHI (MYN) KAMA WALIVYOWAHI KUFANYA KWENYE MATUKIO YA NYUMA LIKIWEMO LA BAADHI YA WATEULE KUGOMEA TEUZI ZA MACHO YA NCHI (MYN) NA PIA MGOMO WA WAFANYABIASHARA KARIAKOO


KWA KUANZIA

TUKIO LILILOMTOKEA MHUSIKA J5 YA TAREHE 13/09/2023 LA KUPOTELEWA FUNGUO OFISINI AKIWA PEKE YAKE, LILITOKEA BAADA YA MYN KUWA YAMEFANYA MABADILIKO KWENYE DATABASE YA NCHI

BAADA YA TUKIO HILO MYN YAKAWA YAKO KWENYE ZIARA YA SIKU KADHAA KUONYESHA KUWA WALIOKUWA WAMEPANGA TUKIO LA J5 TAJWA, WALIKUWA WAMEFANYA TIMING ILI LITOKEE KATIKA MUDA AMBAO MYN YATAKUWA KWENYE SHUGHULI NYINGINE MUHIMU ZA NCHI; WAWEZE KUPATA UNAFUU, JUST IN CASE PLAN YAO ITA-ABORT.

KWA HIYO WALI-PLAN HIVYO ILI WAKATI WA TUKIO, MYN YAWE YAMECONCNTRATE NA PILIKA PILIKA ZINGINE MUHIMU ZA MASWALA YA NCHI

WAKATI TUKIO LINATOKEA J5 TAJWA, SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMK) ALIKUWEPO OFISINI SIKU HIYO, ILA MHUSIKA ALIPORUDI KUTOKA KURIPOTI TUKIO POLISI, SMK ALIKUWA TAYARI AMESHAONDOKA, ALIKUWA AMEBAKI MNUNUZI WA GARI (MWG) PEKE YAKE

BAADAYE TENA, NDANI YA WEEKEND YA WIKI YA TUKIO HILO LA J5, SMK ALIONEKANA KWENYE VYOMBO VYA HABARI AKIWA YUPO DODOMA, IKIWA NI SIKU MBILI AU TATU TU BAADA YA TUKIO LA OFISINI

HII INAONYESHA KUWA, SMK ALIONDOKA KUELEKEA DODOMA SIKU CHACHE BAADA YA TUKIO LA OFISIN. UNLESS KAMA ALIENDA MWENYEWE HUKO KWA MATAKWA YAKE BINAFSI NA SI KWAMBA ALIHITAJIKA

WAKATI HUO HUO KULE KWENYE MKOA WA MATUJIO MAZITO MAZITO AMBAKO MWAKA JANA NOVEMBA KULITOKEA AJALI YA MBAYA YA NDEGE

HUKO KULITOKEA AJALI MBILI ZILIZOONYESHWA KWENYE VYOMBO VYA HABARI

MOSI :AJALI MBAYA SANA YA WANAFAMILIA KUUNGUA NA KUTEKETEA KWA MOTO WAKIWA NDANI YA NYUMBA.

TUKIO HILI LINAWEZA KUWA LILIKUSUDIWA KUSHUGHULIKA NA MOTO

PILI
: AJALI YA ANGALAU MTU MMOJA MVUVI ALIYEKUWA KWENYE MTUMBWI, KUFIA KWENYE MAJI, TUKIO AMBALO PIA LILITIKISA HUKO NA PIA KURUSHWA KWENYE VYOMBO VYA HABARI.

TUKIO HILI LINAWEZA KUWA LILIKUSUDIWA KUSHUGHULIKA NA MAJI AMBAYO KAWAIDA HUWA YANAZIMA MOTO

BAADA YA SIKU CHACHE KUPITA, MYN YAKAFANYA MAREKEBISHO MENGINE TENA KWENYE DATABASE YA NCHI
KAWAIDA HAYA MATUKIO YANAENDESHWA KWA KUKATIKA UMEME, ILA PIA KWA KUTUMIA MAWASILIANO YA MITANDAO


KWENYE MABADILIKO HAYA YA PILI, UMEME UKAWA UMEPELEKWA MAWASILIANO ILA BAADAYE TENA MUNGU AKAWA AMESEMA VINGINEVYO NA MYN YAKAONA VINGINEVYO NA HIVYO KUAMUA KUREKEBISHA

MYN YALIKUWA SAHIHI SANA KATIKA HILI, KWA SABABU KWA MARA NYINGINE TENA YALIONA KITU KINGINE KIZITO MNO, NA HIVYO MAWASILIANO YAMEENDELEA KUBAKI KWENYE MIKONO ILIYO SALAMA
...............inaendelea
 
BAADA YA MABADILIKO YA DATABASE YA NCHI, KULE KWENYE MKOA WETU WENYE MATUKIO MAZITO MAZITO

IKATOKEA TENA AJALI NYINGINE MBAYA SANAYA WATU WATATU KUFIA KWENYW SHIMO LA CHOO CHA SHIMO

PATTERRN ILIYOPO NI KWAMBA MABAFILIKO YANAPOTOKEA KWENYE DATABASE YA NCHI, WANARUSHA PEPO KWENYE UPDATE COMMAND N.A. BAADA YA HAPO

WANAKUWA WANA SILAHA YA KUWEZA KUFANYA SHAMBULIZI LOLOTE WANALOTAKA
KWA HIYO KWA WIKI HII, WALIKUWA WAMEPANGA SHAMBULIO JINGINE TENA KWA MHUSIKA KUPITIA OFISINI, NA KULE KANISANI KUNA PROGRAM MAALUMINAYOENDELA WIKI HII

MBALI NA HAYA YOTE, MHUSIKA ALIONA KITU JUZI KWENYE MEDIA KIKIONYESHA MMOJAWAPO WA WATU WALIOWAHI KUGOMEA UTEUZI WA MYN, AKIWA YUPO KWENYE UTATUZI WA MGOGORO WA AINA FULANI HIVI

CHANGAMKENI INUENI VICHWA VYENU, YAOMBEENI MYN YATAPOFUSHWA YASIWEZE KUONA. YASIPOONA, HAMTAONA MILELE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA TUKIO LA WATU KUPOTEZA MAISHA WAKIWA CHINI YA SHIMO LA CHOO

TUKIO HILI LINAWEZA KUWA LILIKUSUDIWA KUSHGUHULIKA N.A. ARDHI N.A. VYOTE VILIVYOKO CHINI YA ARDHI ZIKIWEMO UNDERGROUND MINES NA MASHIMO MENGINE KAMA YALE YA VYOO NA YA MAJI MACHAFU
 
MATUKIO MENGINE MCHANGANYIKO YALIYOJIRI SIKU ZA HIVI KARIBUNI BAADA YA OM-1 KUWA AMESAFIRI

MOSI
: KUHUSIANA NA MR X
KUNA SIKU OM-2 ALIPIGIWA SIMU NA MR X, AMBAYE NAYE PIA YUKO SAFARI. BAADA YA MAONGEZI YAO, OM-2 ALIMJULISHA MHUSIKA KUWA MR X YUKO CHINA. MHUSIKA ALISHANGAA KWA NINI SAFARI HIYO YA MR X HAIKUWAHI KUTAJWA KANISANI KWENYE MAOMBI YA WASAFIRI AMBAO HUWA WANAOMBEWA KILA JUMAPILI

PILI: KUHUSIANA FUNGUO NA VITASA VYA MILANGO VILIVYOBADILISHWA OFISINI KWAO MHUSIKA
FUNGUO ZA VITASA VYA MILANGO MIWILI ALIZOKABIDHIWA MHUSIKA NA MKUU WA IDARA (MWI), ZOTE NI ZA KUCHONGA, JAPOKUWA ILISEMEKANA KUWA KITASA KILICHOBADILISHWA KILIKUWA KIMOJA

HATA KWA KITASA KILE AMBACHO NI KIPYA, MHUSIKA ALIKABIDHIWA FUNGUO ZA KUCHONGA NA ALIPOULIZA KWA NINI FUNGUO HIZO ZIWE ZA KUCHONGA, ALIPEWA MAELEZO AMBAYO HATA HAKUYAELEWA

TATU: J3 YA TAREHE 18/09/2023 SIKU AMBAYO OM-2 ALIANZA TRAINING YAKE YA PILI ILIYOISHIA ALHAMIS
J3 HIYO VILE VILE, NDIYO SIKU AMBAYO MHUSIKA ALIKABIDHIWA FUNGUO MPYA NA MWI
WAKATI ANAKABIDHIWA, OM-2 HAKUWEPO, ALIKUWA YUPO KWENYE TRAINING.
BAADA YA MUDA WA TRAINING, OM-2 ALIFIKA OFISINI NA ALIPOTUA BEGI LA LAPTOP YAKE, HAKUKAA BALI ALITOKA TENA NJE YA OFISI

MUDA HUO HUO MHUSIKA NAYE ALIKUWA ANATAKA KUONDOKA OFISINI KURUDI NYUMBANI NA HIVYO ALIHITAJI KUWA NA UHAKIKA KAMA KWELI OM-2 ALIKUWA AMESHAKABIDHIWA FUNGUO MPYA ZA OFISI

HAPO MHUSIKA ALIAMUA KUMPIGIA MWI KUHAKIKISHA HILO KWA SABABU KIPINDI HICHO NDIYO KLE AMBACHO OM-2 ALIKUWA TAYARI HAPOKEI TENA SIMU ZA MHUSIKA

KWENYE MAONGEZI YAO, MWI ALIMHAKIKISHIA MHUSIKA KUWA OM-2 ALIKUWA NAZO FUNGUO ZA OFISI, HUKU MWI AKIONGEZA KUWA ALIYEKUWA AMEBAKI PASIPO KUWA NA FUNGUO HIZO NI OM-1 TU AMBAYE ALIKUWA BADO YUPO SAFARI

BAADA YA HAPO, MHUSIKA ALIFUNGA OFISI NA HATIMAYE KUELEKEA WASHROOM ZILIZOKO 2ND FLOOR

HUKO ALIFANIKIWA KUMUONA TENA OM-2 AKIWA ANATOKEA NDANI OFISINI KWA KAIMU ALIYEWAHI KUMPELEKA OM-1 VIWANJA VYA SABASABA

MHUSIKA ALIPORUDI TENA OFISINI ALIMKUTA OM-2 AKIWA TAYARI AMESHAFUNGUA OFISI AMEKAA KWENYE KITI CHAKE

MUDA SI MUDA, KAIMU NAYE ALIFIKA TENA OFISINI HAPO NA KUANZA KUBADILISHANA MAWILI MATATU NA MHUSIKA PAMOJA NA OM-2

WAKIWA WAPO KWENYE MAONGEZI HAYO, DEREVA WA MAJ NAYE ALIFIKA OFISINI HAPO NA KUISHIA KWENYE MLANGO WA NJE YA OFISI HIYO. HAPO ALIANZA KU-FUMBLE NA KITASA CHA MLANGO HUO WA NJE KWA DAKIKA KADHAA.

HUYU ALIKUWA ANAJARIBISHA FUNGUO ZINGINE ZA ZIADA ZA KITASA CHA MLANGO HUO, ALIZOKUWA AMEELEKEZWA NA MWI KWENDA KUZICHONGA

BAADA YA KUMALIZA KAZI YAKE, DEREVA HUYU ALIONDOKA NA PASIPO KUWASEMESHA CHOCHOTE WALIOKUWEPO OFISINI HAPO. ALIFIKA HAPO NA KUANZA KUFANYA KAZI YAKE NA ALIPOMALIZA, ALIONDOKA, PASIPO KUONGEA NA MTU YOYOTE.

BAADA YA MHUSIKA KUONDOKA OFISINI J3 HIYO NDIYO PALE GARI LAKE LILIPOANZA KUSUMBUA GIA NA HIYVYO KULAZIMIKA KULIPELEKA GARAGE KESHO YAKE J4

PICHA INAYOANZA KUJITOKEZA UPANDE WA MHUSIKA KWA SASA NI KWMBA JIONI HIYO WAKATI OM-2 ANAINGIA OFISINI AKITOKEA KWENYE TEAINING NA BAADA YA HAPO KUONDOKA GHAFLA OFISINI HAPO AKIELEKEA OFISINI KWA KAIMU, OM-2 HAKUWA NA FUNGUO ZA OFISI KAMA ILIVYOKUWA IMEDAIWA ASUBUHI YAKE NA MWI, ISIPOKUWA FUNGUO HIZO ZILIKUWA ZIMEHIFADHIWA OFISINI KWA KAIMU NA HUKO NDIKO ALIKOKUWA AMEELEKEZWA KWENDA KUZICHUKUA
...........inaendelea
 
J3 HIYO BAADA YA GARI LA MHUSIKA KUANZA KULETA MATATIZO YA GIA

MHUSIKA ALIHANGAIKA NALO HADI NYUMBANI KWAKE NA TAARIFA ZA KUHARIBIKA KWAKE HAKUMSHIRIIKISHA MTU YEYOTE

HATA HIVYO KESHO YAKE J4 ASUBUHI WAKATI YUPO ENEO LA PARKING ZA OFISINI, KULIJITOKEZA DALILI ZILIXOONYESHA KUWA ANGALAU WATU WAWILI ALIOWAKUTA WAKIWA WANAPIGA SOGA KWENYE ENEO HILO LA PARKING , WALIJUA KUWA MHUSIKA ANGEENDA GARAGE SIKU HIYO; NA KAWAIDA HUWA AKIENDA GARAGE, HUWA ANAENDA PIA BENKI MLIMANI CITY

HAWA WALIKUWA NI SENIOR MSTAAFU WA KIKE PAMOJA NA MSIMAMIZI WA UKARABATI WA JENGO, MFANYAKAZI ALIYEHAMIA KUTOKA DODOMA NA BABA YAO RAFIKI ZAKE MHUSIKA

J4 HIYO ASUBUHI, MHUSIKA ALIKUWA AMEAMUA KUANZIA OFISINI KWANZA BADALA YA KUNYOOSHA MOJA KWA MOJA KUELEKEA GARAGE

WATU HAWA WALIKAA HAPO KWENYE PARKING MAKUSUDI WAKISUBIRIA MUDA KWA KUKISIA ILI KUWEZA KUJUA NI WAPI MHUSIKA ANGELEKEA ASUBUHI HIYO BAADA YA KUWA AMETOKA NYUMBANI ASUBUHI; KAMA NI OFISINI AU GARAGE

MHUSIKA ALIWAACHA WATU HAWA WAKIWA HAPO KWENYE PARKING NA ALIPOFIKA OFISINI KWAKE, YULE MWIGINE ALIFIKA OFISI JIRANI YA SMK NA KUKABIDHIWA KIASI FULANI CHA FEDHA NOTI ZA ELFU KUMI KUMI

NOTI HIZO MHUSIKA ALIZIONA, NA ILIKUWA NI SIKU AMBAYO ALIKUWA ANATARAJIWA KWENDA BENKI

ILIKUWA NI MARA YA PILI KWA MHUSIKA KUSHUHUDIA TENDA LA NAMNA HII OFISINI; NA.MARA YA KWANZA LILIKUWA TAYARI LIMESHAFANYWA TAKRIBANI WIKI TATU ZILIZOKYWA ZIMEPITA NYUMA, NA KWA USHIRIKIANO KATI YA MKUU WA MAJOR UNIT (MMU), OM-2! NA BINTI MSAIDIZI WA KMWI OFISINI KWA MWI

SIKU HIYO PIA, ILIKUWA NI KWENYE SIKU AMBAYO MHUSIKA ALIKUWA ANATARAJIWA KWENDA BENKI

SIKU HIYO BINTI ALIANZIA OFISINI KWA MMU NA ALIPOTOKA, ALIINGIA TENA OFISINI KWAO MHUSIKA NA HATIMAYE KUMPA TAARIFA OM-2 KUWA ALIKUWA ANAHITAJIKA OFISINI KWA MMU

OM-2 ALIITIKIA WITO HUO NA ALIPORUDI, ALIKUWA AMESHIKA KIASI CHA FEDHA MKONONI NOTI ZA ELFU KUMI KUMI

TAFSRI ZA MATENDO HAYA ZINAHUSIANA NA VITU PERSONAL VYA MHUSIKA NA HIVYO MHUSIKA HAHITAJI KUTOA MAELEZO YA TAFSIRI ZAKE HUMU JUKWAANI

VINGINEVYO KWENYE OFISI ILIYO JIRANI N.A. OFISI YAO MHUSIKA INAYOTUNZA MAFAILI YA BINTI
BINTI HUYU MWENYE OFISI HII TAJWA ALIKKUWA AMEPITISHA SIKU KADHAA PASIPO KUONEKANA HUMO, ISIPOKUWA WIKI JANA ALIONEKANA HUMO KWA MDA MFUPI SANA, NA BADA YA SIKU HIYO, BINTI HUYU HAHAONEKANA TENA OFISINI HUMO HADI LEO HII

KWA TAARIFA ZAIDI NI KWMBA BINTI HUYU NI MTU MWINGINE WA TATU AMBAYE MHUSIKA ANAO UHAKIKA KUWA ALIMUONA OM-2 WAKIWA WAPO PAMOJA NA MHUSIKA OFISINI KWA SABABU ALIINGIA OFISINI KWAKE KIPINDI OM-2 AKIWA YUPO NDANI OFISINI AMEKAA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 29TH SEPTEMBER 2023

BAADA YA MHUSIKA KUTOKA GARAGE NA HATIMAYE KUELEKEA BENKI MLIMANI CITY J4 YA TAREHE 18/09/2023: HUKO ALIENDA AKAKUTANA TENA NA SENIOR MSTAAFU WA KIUME (SMME).


IKUMBUKWE KUWA ASUBUHI YA SIKU HIYO ALIWAKUTA SENIOR MSTAAFU WA KIKE WAKIWA KWENYE PARKING WANAONGEA NA STAFF MWINGINE

KATIKA MAISHA YAKE YOTE, ILIKUWA NI MARA YA PILI KWA MHUSIKA KUKUTANA NA SMME MLIMANI CITY NA MARA YA KWANZA KABISA MHUSIKA ALIWAHI KUKUTANA NA SMME MAENEO HAYO, ILIKUWA NI MWIANZONI MWA MWEZI MAY 2021 (MWAKA JUZI) NA ILIKUWA NI NDANI YA TAWI LA BENKI YA NBC

SIKU HIYO MHUSIKA ALIINGIIA BENKI KWA AJILI YA KUPOST HELA KWENDA NYUMBANI KWAO, BAADA YA FDR ACCOUNT YAKE YA MIAKA MIWILI, KUWA IME- MATURE KWA MARA YA KWANZA TAREHE 30/04/2023 NA MARA YA PILI ILIKUJA KUM- MATURE TENA KWENYE TAREHE HIZO HIZO MWAKA ULIOFUATA

KWA HIYO ANACHOTAKA KUONYESHA HAPA MHUSIKA NI KWAMBA MTU AKIWAONA SMK NA SMME, NA AMBAO PIA NI FAMILIA MOJA, WAMEJIPANGA KWA NAMNA FULANI, INABIDI AWE NA UHAKIKA KUWA PAMOJA NA KUSHUGHULIKA NA MAMBO YAO MENGINE YA SIKU ZOTE, W ANAKUWA PIA WANASHUGHULIKA NA MASWALA YA MBESA NA SI KITU KINGINE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MATUKIO MUHIMU YALIYOJIRI NDANI YA WIKI HII KUANZIA J3 YA TAREHE 25/09/2023

J3 YA WIKI HII, MHSIKA ALILETA TENA HUMU JUKWAANI MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA TUKIO LA KUPOTELEWA FUNGUO ZA OFISI LILILOTOKEA J5 YA TAREHE 13/09/2023 NA MAELEZO HAYO ALIYATOA KUPITIA POST HII HAPA #1,705 AMBAYO IPO KWENYE UKURASA HUU

WAKATI MHUSIKA ANATOA MAELEZO HAYO J3 HII, OM-2 HAKUWEPO OFISINI NA SIKU HIYO HAKUFANIKIWA KABISA KUFIKA OFISINI

HATA HIVYO KESHO YAKE J4 OM-2 ALIFIKA OFISINI

BAADA YA OM-2 KUWEPO OFISINI SIKU YA J4
KWENYE MUDA KAMA WA BAADA YA SAA TANO HIVI, OM-2 ALITOKA NJE YA OFISI NA AKAWA YUKO KWENYE KORIDO ANAONGEA NA MTU AMBAYE ALIONEKANA KUWA NI MGENI WAKE ALIYEKUWA ANAMTARAJIA

BAADA YA MUDA MGENI HUYU ALIWASILI NA OM-2 ALIMTAMBULISHA KWA MHUSIKA KUWA WALIHITIMU WOTE MWAKA MMOJA MASOMO YAO YA SHAHADA YA KWANZA, JAPO MHUSIKA HAKUWEZA KUKUMBUKA KAMA SURA HIYO ALIWAHI KUIONA KABLA

MGENI HUYU ALIKUWA ANA SHIDA OFISINI KWA MWI AMBAKO ALIKUWA AMEPEWA MAELEKEZO KWAMBA ASUBIRIE KWA MUDA

KWA HIYO MGENI HUYU ALIENDELEA KUKAA OFISINI KWAO OM-2 HUKU WAKIWA WANABADILISHANA HILI NA LILE

BAADA YA KUWA UMEPITA MUDA WA TAKRIBANI SAA MOJA, MHUSIKA ALITOKA KUELEKEA WASHROOMS, NA ALIPOKUWA ANARUDI, WALIPISHANA NA MGENI KATIKATI YA KORIDO.

WALIPOKUWA WANAPISHANA, MHUSIKA ALIMSEMESHA MGENI KWA KUMUULIZA KAMA ALIKUWA NDIYO ANAONDOKA, AMBAPO MGENI ALIKANUSHA

BAADA YA DAKIKA KADHAA, MGENI ALIRUDI TENA OFISINI NA HATIMAYE ULIWADIA MUDA WA KWENDA LUNCH

OM-2 NA MGENI WALUAGA KUWA WANAELEKEA LUNCH, KWENYE CANTEEN ILE YA STAFF

WAWILI HAWA WALIONDOKA KWENDA LUNCH NA MHUSIKA ALIENDELEA KUWEPO OFISINI AKIFANYA KAZI ZAKE

BAADA YA LUNCH YA OM-2 NA MGENI WAKE KUWA IMEPITA

OM-2 ALIRUDI OFISINI KUTOKA LUNCH AKIWA YUKO PEKE YAKE BILA MGENI WALIYEKUWA WAMEONDOKA NAYE KWENDA LUNCH


MHUSIKA ALIMUULIZA OM-2 KAMA MGENI ALIONDOKA NA OM-2 ALIJIBU KUWA ALIKUWA AMEPITIA KWA MUDA OFISINI KWA MWI KWA AJILI YA KUCHEKI SWALA LAKE LIMEFIKIA HATUA GANI

BAADA YA MUDA KWELI MGENI NAYE ALIRUDI TENA NA KUENDELEA KUWEPO OFISINI

KABLA YA SIKU HIYO, KUNA BAADHI YA WATU AMBAO MHUSIKA ALIKUWA AMEWATAARIFU KUWA ANGEELEKEA TENA BENKI J4 HIYO

HATA HIVYO, KWA TREND YA MATUKIO YALIYOKUWA YANAENDELEA OFISINI HAPO HADI KUFIKIA SIKU HIYO, MHUSIKA ALIAMUA KUACHA BENKI J4 NA HAJAENDA HADI LEO HII

KUHUSIANA NA SWALA LA OM-2 KWENDA LUNCH NA MGENI WAKE J4 HIYO

KWA TABIA ZA KUJIFICHA FICHA AMBAZO OM-2 AMEKUWA AKIZIONYESHA KWA SIKU ZA HIVI KARIBUNI, UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA OM-2 HAWAKWENDA LUNCH SIKU HIYO ISIPOKUWA WALITOKA TU OFISINI NA HATIMAYE KILA MMOJA KWENDA KU- HIBERNATE MAHALI FULANI POSSIBLY HUMO HUMO NDANI YA JENGO

MGENI HUYU WALIYEKUWA PAMOJA NA OM-2 ANAWEZA KUWA ALIKUWA NA SHIDA NYINGINE TU TOFAUTI NA MAELEZO YA OM-2 KWA MHUSIKA

DOKEZO LA KUMBUKUMBU MUHIMU KUHUSIANA NA KMWI

KWENYE TAMAA YA ILLEGAL MONEY, HALI YA KATIBU MUHTASI WA MKUU WA IDARA INAWEZA KUFANANISHWA NA YA MGONJWA ALIYE ICU HUKU AKIWA AMEZUNGUKWA NA MADAKTARI BINGWA WASIOPUNGUA KUMI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom