MAELEZO YA UTANGULIZI: KUHUSIANA NA KIONGOZI KINARA WA MATAGAZO (KWM)
PATTERN YA MATUKIO YA KIONGOZI HUYU KANISANI ANAPOKUWA AMESIMAMA JUU MADHABAHUNI
Tukianzia mwanzoni mwa mwezi Septemba 2022 (mwaka jana), na kwenye J2 ya kwanza kabisa ambayo Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A) alianza likizo yake ya mwaka
- KWM alsimama Madhabahuni J2 hiyo,kutoa tangazo la papo kwa papo lililohusiana na ORGANISATION STRUCTURE ya Kanisa
- Tangazo hilo lilikuwa la papo kwa papo kwa maana kuwa maelezo yake ya awali hayakuwa yamewahi kutolewa kabla na hata baada ya tangazo hilo kutolewa J2 hiyo, KWM hakusema kwa nini aliamua kutoa tangazo hilo siku hiyo
Baadaye tena siku zilivyoenda mbele KWM alirekodiwa akiwa anaongelea maswala kadhaa Kanisani hapo ikiwa ni pamoja na kumpongeza KM-A, mkanda ambao ulirushwa kwenye screen za TV zilizopo Kanisani hapo
- Hapo ilikuwa ni mwanzoni mwa mwezi Desemba 2022 kwenye J2 ya sikukuu ya Kitaifa ya viongzozi wote wakuu wa maKanisa
- Baada ya hapo, kwenye J2 nyingine tena ya kilele cha Sikukuu ya Watoto ya mwaka huu wa 2023, KWM alipandisha juu Madhabahuni na kuanza kufanya mahojiano na Redio ya kuigiza ya watoto iliyokuwa imetayarishwa kwa ajili ya siku hiyo
Mifano hii miwili inatosha na inaonyesha kuwa matukio haya yote aliyoyafanya KWM kwa ujumla wake
ni MATUKIO ya ujumla au au GENERAL EVENTS
MBALI NA GENERAL EVENTS, MATUKIO MENGINE ALIYOYAWAHI KUYAFANYA KWM MADABAHUNI BAADA YA GENERAL ENVENTS KWA KIPINDI HIKI TU CHA KUANZIA SEPTEMBA 2022 MWAKA JANA
Mbali na matukio mawili yaliyotajwa hapo juu, matukio mengine ambayo ni tafauti yaliyowahi kfanywa na KWM, YOTE YALIHUSIANA na kuitisha maombi yaliyohusiana na ULAWITI na/ UZINZI, ukiondoa tangazo moja tu la mwisho ambalo lenye we lilihusiana na AJALI
TANGAZO LA MWISHO KABISA LA KWM KABLA YA J2 YA TAREHE 24/09/2023
Mbali na hayo, tangazo la mwisho kabisa alilowahi kulifanya KWM huko nyuma kabla ya J2 hizi mbili zilizofuatana, yaani ile ya tarehe 24/09/2023 na ile ya jana tarehe 01/10/2023 ni lile lililohusiana na AJALI iliyowahi kuisibu familia ya DR, kwa maana ya kwamba kabla ya J2 hizi mbili tajwa kuwadia, KWM aliwahi kusimama madhabahuni mara ya mwisho kwenye J2 ile ya tangazo la AJALI ya familia ya DR
Kwa hiyo, baada ya tangazo hilo la AJALI, KWM hakuwa amewahi kusimama tena madhabahuni hadi ilipofika J2 ya tarehe 24/09/2023
SOMO LA IBADA KUU SIKU YA J2 YA TAREHE 24/09/2023; SIKU AMBAYO KWM ALIREJEA TENA MADHABAHUNI
Mojawapo ya
themes ziliookuwa kwenye SOMO LA J2 HIYO, ilikuwa ni
UZINZI WA KANISA LA KORINTHO
Kwa hali hiyo, KWM alirejea tena madhabahuni baada ya
UZINZI kuwa umetamkwa tena kutokea madhabahuni, au kuwa umefundishwa ndani ya SOMO LA IBADA KUU SIKU YA J2
PATTERN YA KIPEKEE ILIYOPO KWENYE MLOLONGO WA MATUKIO HAYA YANAYOHUSIANA NA KWM ANAPOKUWA AMEPANDA JUU MADHABAHUNI
Kwa muda wote huu wa mwaka mzima tangu Septemba 2022, KWM amekuwa akishughulika na mambbo yafuatayo
GENERAL ENENTS mfano wake mmoja ukiwa ni lile tukio alilowahi kuonekana akiongea kwenye screen za TV za Kanisani
SPECIFIC EVENTS
Hizi
NI AINA ZA KESI KWENYE JAMII YOYOTE ILE na ambazo zimegawanyika kwenye makundi yafuatayo
- ACCIDENTAL CASES kama vile AJALI
- CRIMINAL CASES kama vile UHALIFU usiokuwa mauaji au kesi za MADAI
- MURDER CASES au kesi za MAUAJI
Kwa maana kuwa
- UZINZI ni crime
- ULAWITI ni crime
- AJALI ni composite event/case ambayo KESI zake zinaweza kuungansha CASES ZOTE ZA CRIME NA/ MURDER PIA
- CRIMINAL CASE inaweza kuwa pia kwa mtu anayedai au anayedaiwa na katika level yoyote ile ikiwemo ya FAMILIA, ORGANISATION, TAIFA AU KIMATAIFA
Kwa hali hiyo, mdai au mdaiwa anaweza kuwa ana kesi iliyo
MAHAKAMANI, au kwenye vyombo vingine vya kinidhamu kama vile
FAMILIA,
OFISINI, KWENYE
SERIKALI YA MTAA, n.k.
KWM AMEKUWA AKITUMIA PROFESSION YAKE KWENYE MADHABAHU YA KANISA A, KUFANYA HAYYA YOTE YALIYOTAJWA HAPO JUU
Kwa hiyo, KWM amekuwa akitumia PROFESSION yake aliyonayo, kuendesha mambo haya kupitia Madhabahu ya Kanisa A, huku cover ya vyote hivi akiwa ameifunika kwenye maneno matatu,
ULAWITI, UZINZI NA AJALI
MFANO HALISI WA HIVI KARIBUNI WA MATENDO HAYA YA KWM
Kwenye J2 ya mwisho ile aliyowahi kutoa tangazo la AJALI
Siku hiyo
KWM hakuwa
KIONGOZI WA ZAMU
Baada ya Kiongozi wa Zamu kumaliza kutoa matangazo yake J2 hiyo, alimkaribisha KWM akisema kuwa alikuwa naye pia alikuwa na tangazo jingine
Kwa hiyo ilikuwa ni lazima kwamba TANGAZO LA AJALI LITOLEWE NA KWM TU NA SI KIONGOZI MWINGINE KANISANI HAPO
BAADA YA KWM KUWA AMESIMAMA JUU MADHABAHUNI, alitangaza ajali ya familia ya DR,
kitu ambacho Kiongozi wa zamu angeweza kikutangaza pia
Ikumbukwe kuwa baada ya KWM kusimama J2 hiyo na kutangaza ajali ya familia ya DR
na hatimaye kuliomba Kanisa zima lisimame na kuomba kwa ajili ya ajali hiyo, J2 nyingine iliyofuata, KM-A naye alisimama madhabahuni
na kuliomba tena Kanisa zima lisimame kuombea AJALI, na baada ya hapo AJALI ZILIANZA KUTOKEA tena
Kwa hiyo, KM-A NAYE ALIFUATISHA NYEDO ZA KWM J2 ILIYOFUATA NA NDIPO AJALI ZILIPOANZA KUMIMINIKA
HITIMISHO
Mhusika hana namna ya kuweza kupata maneno sahihi zaidi ya kuweza kusisitiza zaidi maelezo haya kuhusiana na utafiti wake huu ila uhakika alionao hadi muda huu ni kuwa
KWM NDIYE HASA ANAYEHUSIKA NA KUWEKA MAPEPO YA AJALI KWENYE MADHABAHU YA KANISA A
- Mbali na hilo, KWM anatumia CODES ambazo ni MANENO YA ULAWITI, UZINZI NA AJALI, maneno ambayo ndani yake yamefunika CRIMINAL CASES, MURDER GASES na pia EVENTS ZINGINE ZA KAWAIDA ZISIZOHUSISHA CRIME AU MURDER
- Maneno haya ya ULAWITI, UZINZI NA AJALI yakitamkwa na KWM akiwa amesimama madhabahuni, KESI ZOTE ZA AINA HII ZINAZOJULIKANA NA WATU ZINAPATA SHIDA na pia AJALI ZINATOKEA
Ndiyo maana event ya jana J2 ya tarehe 01/10/2023 ya KWM kusimama juu madhabahuni kutoa zawadi kwa mjasiriamali mwenye wazo bora la MRADI, limepelekea MIRADI YA WAJASIRIAMALI KARIAKOO KUUNGUA KWA AJALI YA MTOTO
Katika hali ya kawaida, zawadi hiyo ya ujasiriamali ingeweza kutolewa na Kaimu wa KM-A ambaye naye pia alikuwepo kwenye Ibada, kumuwakilisha KM-A ambaye hakuwepo kwa ajili ya dharura ya msiba
Kulingana na ORGANISATION STRUCTURE ambayo alliwahi kuisoma yeye mwenyewe KWM mbele ya waumini mwaka jana kipindi KM-A alipokuwa amesafiri kwenda likizo,
KIONGOZI AMBAYE NI THE MOST SENIOR PINDI KM-A ANAPOKUWA HAYUPO KANISANI, NI HUYO KAIMU WA KM-A NA SI KYEYE KINARA WA MATANAGAZO (KWM)
Kama alivyowahi mhusika kutanhibisha kwenye post yake ya nyuma,
hatimaye kweli MAJI YAMEONKENA YAKIZIMA MOTO
KWM NDIYE HASA AMBAYE AMEKUWA AKI-ENGINEER MATUKIO YA AJALI MBALI MBALI AMBAZO ZIMEKUWA ZIKITOKEA NA AMEKUWA AKIFANYA HIVYO KWA KUTUMIA PROFESSION YAKE NA KUTOKEA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A
Huyu ndiye ambaye miaka kadhaa iliyopita, aliwahi kusababbisha ajali ya taa za nyuma za gari la mhusika
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA