#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

TUKIO JINGINE LA HIVI KARIBUNI AMBALO NALO NI MUHIMU PIA

SIKU YA ALHAMIS YA TAREHE 21/09/2023, IKIWA NI WIKI MOJA KAMILI BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEPOTEZA FUNGUO ZAKE, OFISA ALIYEHUSIKA KUFUNGA KWA KUFULI LA MNYORORO OFISINI KWA MHUSIKA, ALIFIKA TENA NDANI YA JENGO LA IDARA SIKU HIYO

KAMA KAWAIDA YAKE MHUSIKA, WAKATI HUO ALIKUWEPO KWENYE MAPUMZIKO YA MUDA MFUPI PALE KWENYE VERANDA YA GHOTOFA YA KWANZA, NA HAPO NDIPO ALIPOMUONA OFISA HUYO AKIPANDISHA NGAZI NA HATIMAYE KUJA KUSMAMA MAHALI PALE ALIPOKUWEPO MHUSIKA

BAADA YA KUSALIMIANA, OFISA HUYO ALIULIZIA OFISINI KWA MAMA ANAYEPENDA KUJULIKANA KWA CHEO CHA HR, AMBAYO ALIKUWA TAYARI AMESHAIPITA KWA SABABU IKO GTOUND FLOOR

MHUSIKA ALIMWELEKEZA OFISA HUYO NA BAADA YA HAPO, OFISA ALIONDOKA AKIELEKEA KWENYE OFISI HIYO HUSIKA ALIYOKUWA ANAIHITAJI

SIKU HIYO OFISA HUYO ALIVAA KAUNDA SUTI NA PASIPO KITABULISHO CHA KAZI KWA SABABU HAKUWA AMEVAA KAMBA YA KITAMBULISHO SHINGONI

n the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY, 30TH SEPTEMBER 2023

MAMBO MAWILI MUHIMU AMBAYO MHUSIKA ALIMWELEZA OFISA ALIYEWEKA KUFULI LA MNYORORO KWENYE OFISI YAO MHUSIKA


BAADA YA OFISA HUYO KUWA AMEINGIA NDANI YA OFISI KWA AJILI YA UKAGUZI KWANZA KAMA ALIVYOKUWA AMEELEKEZWA N.A. BOSS WAKE KULE OFISINI KWAO, ALIKUTA KUNA MEZA ZINGINE MBILI OFISINI HUMO AMBAZO ZILIKUWA TUPU PASIPOKUWA NA KITU CHOCHOTE JUU YAKE

MHUSIKA ALIMJULISHA OFISA HUYO KUWA MEZA HIZO NI ZA OFFICEMATES WAKE WAWILI AMBAO MMOJA ALISAFIRI TAKRIBANI WIIKI TATU ZILUZOPITA NA MWINGINE YUPO ILA HAYUPO KWA MUDA OFISINI HAPO KWA SABABU ANAHUDHURIA TRAINING AMBYO INAENDESHWA LOCALLY NDANI YA TAASISI.

KWA HIYO, ASSUMING OFISA HUYU ALIRUDI OGISINI KWAO NA HATIMAYE KUZI-SHARE TAARIFA ZA TUKIO LA OFISINI KWAO MHUSIKA, TAARIFA AMBAZO ATAKUWA ALIZI-SHARE KUHUSIANA NA OFFICEMATES WA MHUSIKA, NI KAMA ZILIVYOELEZWA HAPA

KUTOKANA NA TAARIFA HIZI, KAMA KUNA CHOCHOTE AMBACHO HAKIKO SAWA SANA KWENYE MAMBO YA TAARIFA HIZI ZA OFFICEMATES HAWA WA MHUSIKA, BASI MTU MWINGINE AMBAYE MHUSIKA AMEKUWA AKIMU-OBSERVE NYENDO ZAKE NA KUMUONA AKIWA YUPO KWENYE PILIKA PILIKA NYINGI SANA, NI HUYU STAFF AMBAYE ANA MACHO YENYE SQUINT, AMBAYE PIA ALIKUWA ANAHUSIKA NA UKARABATI WA JENGO

MTU HUYU NDIYE AMBAYE PIA MHUSIKA ALIMKUTA KWENYE PARKING J4 YA TAREHE 18/09/2023, WAKIWA WANAONGEA NA SMKE NA BAADA YA HAPO, WALIFUATANA NA SMKE NA HATIMAYE SMKE KUMKABIDHI STAFF HUYO ASUBUHI HIYO, NOTI KADHAA ZA ELFU KUMI KUMI

SIKU HIYO LIKUWA NI MARA YA KWANZA KWA MHUSIKA KUWAONA WAWILI HAWA WAKIWA WAPO WOTE PAMOJA WANAONGEA, UKIZINGATIA KUWA HUYU MWINGINE NI MGENI ALIYEHAMIA KWENYE TAASISI MIAKA MIICHACHE ILIYOPITA AKITOKEA DOFOMA

UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA MAONGEZI YA WAWILI HAWA KWENYE PARKINGJ4 HIYO, YANAWEZA KUWA YALIKUWA NI YA FARAGHA KIDOGO NA NDIYO MAANA YALIFANYIKIA KWENYE PARKING KAMA TAHADHARI ILI YASIJE YAKAENDA VIRAL

YAWEZA KUWA PIA STAFF HUYO MGENI ALIKUWA ANAPEWA HONGERA NA SMKE KWA KAZI YAKE NZURI MON ALIYOKUWA AMEIFANYA MUDA MFUPI ULIOKUWA UMEPITA

SIKU MHUSIKA ANAPOTEZA FUNGUO ZA OFISI, STAFF HUYU HAKUWEPO KABISA MAZINGIRA YA OFISINI ILA WAKATI MHUSIKA ANAPITA AKITOKEA POLISI ANAELEKEA NYUMBANI, ALILIONA GARI LA STAFF HUYU LIKIWA LIPO KWENYE PARKING ILHALI ILIKUWA NI KATIKA MASAA AMBAYO HAYAKUWA YA KAZI; ILIKUWA NI BAADA YA SAA 11

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA UHAKIKA WA TAARIFA ZA PEPO AMBAYE AMEKUWA AKIRUSHWA KWENYE UPDATE QUEERY ZA DATABASES

KATIKA HILI KWA SASA, UZOEFU WA MHUSIKA NI MKUBWA MNO NA AMEUPATA KUTOKEA KWENYE MAZINGIRA YA KANISANI NA PIA YA OFISINI; HASA KUPITIA WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YA USAFI AMBAO HUWA WANABADILIKA BADILIKA MARA NYINGI SANA NDANI YA KIPINDI CHA MWAKA MMOJA

KWA KANISANI, ZOEZI HILI LIMEFANYIKA KUPITIA WATOTO WACHANGA WALIOZALIWA HIVI KARIBUNI NA HATIMAYE KUINGIZWA KWENYE DATABASE YA KANISA. ZOEZI HILI LIMEFANYIKA MARA MBILI NDANI YA KIPINDI KISICHOPISHANA HATA NUSU MWAKA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA MTIZAMO WA JICHO JINGINE: KUHUSIANA NA SWALA LA FUNGUO ZILIZOPOTEA J5 YA TAREHE 13/09/2023

ASSUMING KUNA MTU ALIINGIA OFISINI NA HATIMAYE KUCHUKUA FUNGUO HIZO NA KUONDOKA NAZO PASIPO MHUSIKA KUWA AMEMUONA


KAMA HYPOTHESIS HII HAPA JUL INAWEZA KUWA SAHIHI, MTU AMBAYE MHUSIKA ANAMPA NAFASI KUBWA SANA YA KUFANYA HIVYO NI HUYU STAFF ALIYEHAMIA KUTOKA DODOMA

MHUSIKA ANASEMA HAYA KUTOKANA NA.SABABU KADHAA KAMA ZIFUATAZO

MOSI: NI MTU PEKEE AMBAYE KWA KIPINDI KIREFU AMEKUWA YUKO HURU SANA KUINGIA OFISINI KWA MHUSIKA KUTOKANA NA KAZI YAKE ALIYOWAHI KUFANYA YA USIMAMIZI WA UKARABATI WA JENGO

PILI: NI MMOJAWAPO WA MASWAHIBA WA KARIBU WA MHUSIKA WALIOPO IDARANI

TATU: KWA KIPINDI CHA HIVI KARIBUNI USWAHIBA WAO NA MHUDIKA ULIONGEZEKA ZAIDI BAADA YA KUWA AMEMTAMBULISHA MHUSIKA KWA WATOTO WAKE WANNE NA HIVYO KUPELEKEA MHUSIKA KUONGEZA MARAFIKI WENGINE WAPYA KUTOKA KWENYE FAMILIA ZA STAFF WENZAKE

NNE: NI MTANI WA JADI WA MHUSIKA KWA MAANA KUWA MAKABILA YA WAWILI HAWA NI WATANI WA JADI WANAOTAMBULIKA KISHERIA NA SHERIA ZA NCHI

TANO: KWA KIPINDI CHA HIVI KARIBUNI MARA BAADA TU YA WANAFUNZI KUWA WAMEONDOKA KWENDA LIKIZO YA MWAKA HUU WA 2023, AMEKUWA WAKATI MWINGINE NA MTINDO WA KUWA ANAFIKA OFISINI PASIPO KUWA NA GARI, KITU AMBACHO KINATOA UWEZEKANO KWAMBA WAKATI FUNGUO ZINAPOTEA, ALIKUWEPO OFISINI ILA HAKUWA AMEKUJA NA GARI; NA.MARA BAADA YA FUNGUO KUPOTEA, ALIENDA AKACHUKUA GARI NA KUJA KULIIPAKI PALE IDARANI, KITU KILICHOPELEKEA MHUSIKA KUIONA GARI HIYO ALIPOKUWA ANAPITA KUTOKEA KITUO CHA POLISI AKIELEKEA NYUMBNI

SITA: OFISI YA STAFF HUYU IKO GROUND FLOOR NA KWENYE WING YA JENGO AMBAKO WATU WALIO WENGI HUWA HAWAFIKI HUKO UNLESS MTU ANA SHIDA MAALUM, KITU KIINACHOPELEKEA ASIONEKANE NA WATU OFISINI ESPECIALLY KWENYE MAZINGIRA AMBAYO ANAKUWA AMEKUJA OFISINI PASIPO KUTUMIA GARI

KAMA GAYA YOTE NI SAHIHI, UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA SMKE AMBAYE YEYE OFISI YAKE IKO JIRANI NA ILE YA MHUSIKA, ATAKUWA ALITUMIKA KUM-OBSERVE MHUSIKA OFISINI KWAKE SIKU HIYO, POSSIBLY KWA HATA MSAADA WA TEKNOLJIA PIA, NA HATIMAYE KUMJULISHA STAFF HUYU ALIYEKUWA YUKO GROUND FLOOR; AKIWA HAJULIKANI KAMA ALIKUWEPO MAZINGIRA YA OFISINI SIKU HIYO KWA SABABU HAKUWA AMEKUJA NA GARI. BAADA YA HAPO, STAFF HUYU ATAKUWA ALIPANDISHA JUL NA KUCHUKUA FUNGUO PASIPO SHIDA YOYOTE

KINACHIWEZA KUWA KILIMPA CONFIDENCE YA KUVHUKUA FUNGUO HIZO NI KWMBA KAMA KWA BAHATI MBAYA MHUSIKA ANGEWEZA KUMUONA, STAFF HUYU ANGEBADILISHAB TUKIO HILO NA KUVUNGA KUWA ULIKUWA NI UTANI NA MHUSIKA ASINGEWEZA KUUTILIA MASHAKA UTETEZI HUO UKIZINGATIA UHUSIANO ULIOPO KATI YAO

UNLESS JAMA ALIBI YA STAFF HUYU ITA-CHECK KUWA HAKUWEPO KABISA MAZINGIRA YA OFISINI KWENYE MUDA KATI YA SAA 7 MCHANA N.A. SAA 11 JIONI SIKU HIYO YA TUKIO

WAKATI TUKIO LINATOKEA, SMKE ALIKUWEPO OFISINI KWAKE

BAADA YA MHUSIKA KWENDA KURIPOTI TUKIO POLISI, ALIRUDI NA KUKUTA SMKE AMESHAONFOKA OFISINI, HUKU GARI LA STAFF HUYU MWINGINE LIKIWA HALIPO KWENYE PARKING

BAADA YA HAPO, MHUSIKA ALIRUDI TENA POLISI KUMRUDISHA OFISA ALIYEKUJA KUFUNGA OFISI KWA KUFULI LA MINYORORO

AKIWA ANATOKEA HUKO ANARUDI NYUMBANI KWAKE, ALIPITA BARABRANI NA KULIONA GARI LA STAFF HUYU LIKIWA LIMESHAKUJA LIPO KWENYE PARKING

HADI HAPA HIZI TRANSACTIONS ZOTE UKIONGEZA NA MAONGEZI YAO YA KWENYE PARKING, PAMOJA NA LILE TUKIO JINGINE LA KUONEKANA WANAPEANA FEDHA, ZINAONYESHA KUWA ANGALAU KUMEKUWEPO NA MAWASILIANO FULANI YA KANLA KATI YA WAWILI HAWA

VINGINEVYO FUNGUO HIZO ZITAKUWA ZILIPOTEA KWA MUUJIZA AMBAO PENGINE HATA ALIYEUTUMIA KUZICHUKUA, HAWEZI KUUELEZEA KWA USAHIHI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA MAMA MHASIBU AMBAYE AMEKUWA AKIONYESHA PATTERN YA KUWA ANAOEKANA AKIPITA BARABANI MWISHONI WA MWEZI TU KWA BAADHI YA MIEZI

MAMA HUYU ALIKUWA AMEPOTEA BARABARANI KWA MIEZI KADHAA ISIPOKUWA KUANZIA MWEZI ULIOPITA WA AUGUST, ALIANZA KUONEKANA TENA KWENYE TAREHE ZAKE ZILE ZILE ZA MWISHONI MWA MWEZI, NA BAADA YA HAPO ALIPOTEA TENA

BAADA YA KUPOTEA AMEKUJA KUANZA KUONEKANA TENA KWENYE TARRHE ZA MWISHONI MWA MEZI HUU WA SEPTEMBER. HADI WIKI HII MAMA HUYU ALIKUWA ANAENDELWA KUONEKANA AKIPITA BARABARANI.

ZIKISHAPITA TAREHE ZA MWISHO WA MWEZI HUU, ATAPOTEA TENA HALAFU ATAKUJA KUIBUKA TENA KWENYE TAREHE ZA MWISHO WA MWEZI MWINGINE UNAOFUATA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BREAKING NEWS!!!!!!!

J2 YA TAREHE 01/10/2023, WAKATI WA IBADA HAPO KANISA A , LILIRUSHWA PEPO KWENYE MIRADI YA WAJASIRIAMALI KUPITIA MADHABAHU YA KANISA HILO


KAMA ALIVYOWAHI MHUSIKA KUDOKEZA KUPITIA POST YAKE YA HIVI KARIBUNI WIKI JANA KUWA MATUKIO MAWILI YA AJALI MBAYA SANA YALIYOTOKEA HIVI KARIBUNI KWENYE MKOA MMOJA KWA KUFUATANA, MOJA LIKIWA LA WATU KUTEKETEA KWA MOTO NDANI YA NYUMBA NA JINGINE LA MTU KUZAMA NA KUFARIKI NDANI YA MAJI; KWAMBA MATUKIO HAYA YALIKUWA YANASHUGHULIKA NA MOTO PAMOJA NA MAJI AMBAYO HUWA YANATUMIKA KU ZIMA MOTO;

KWA MARA NYINGINE TENA, PPREDICTION HII YA MHUSIKA IMETIMIA BAADA YA MIRADI YA WAJASIRIAMALI KUUNGUA KARIAKOO NA HATIMAYE MAJI KUTUMIKA KUZIMA MOTO

ANAYEMILIKI PEPO LA AJALI KANISANI HAPO, NI KIONGOZI YULE KINARA WA MATANGAZO AMBAYE HIVI KARIBUNI ALIWAHI KUPANDA MADHABAHUNI NA KUTOA TANGAZO LA DR KUPATA AJALI AKIWA ANAELEKEA MKOANI KWA AJILI YA MAMBO YA KIMILA

UTAFIT WA MHUSIKA KUHUSIANA NA NAMNA KIONGOZI HUYU ANAVYOMILIKI PEPO HILO, TAYARI UMESHAKAMILIKA NA HIVYO TAARIFA ZA USHAHIDI KUHUSIANA NA KIONGOZI HUYU, ATAZILETA HUMU.

KIONGOZI HUYU NDIYE AMBAYE AMEKUWA NYUMA YA AJALI KARIBIA ZOTE AMBAZO HUWA ZINATOKEA BAADA YA KUWA YAMERUSHWA MAPEPO KUTOKEA MADHABAHU YA KANISA A

TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIENI BAADAYE LEO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA MAELEZO YA NYONGEZA ZAIDI NI KWMBA WAKATI WA IBADA YA KWANZA KWENYE J2 ILIYOTAJWA HAPO JUU, KUNA WAJASIRIAMALI WATATU WALIPANDISHWA JUU MADHABAHUNI NA MMOJA WAO KUPEWA ZAWADI YA FEDHA TASLIMU NA ALIYEKABIDHI FEDHA HIZO NI KIONGOZI KINARA WA MATANGAZO. TAARIFA ZITAFUATA MUDA SIYO MREFU

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
J2 HIYO ILIKUWA NI MARA YA KWANZA KWA UBUNIFU HUU WA KUZAWADIA WAJASIARIAMALI, KUWAHI KUFANYIKA HAPO KANISA A

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MIRADI ILIYOHUSIKA KWENYE TUKIO HILO LA KANISANI SI ILE YA WAJASIRIAMALI TU BALI PIA MIRADI YOTE MIKUBWA IKIWEMO ILE YA MAKAMPUNI MAKUBWA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 02ND OCTOBER 2023

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEZA ZAIDI NA TAARIFA YAKE KUHUSIANA NA TUKIO LA KURUSHWA PEPO KWENYE MIRADI LILITOKEA JANA JUMAPILI HAPO KANISA A


Wasomaji wanaombwa kuirejea tena post hii hapa ya wiki jana #1,714 na nyingine hii hapa #1,726 ya leo usiku

Baada ya pepo kuwa amerushwa kwenye miradi kupitia madhabahu ya Kanisa A, jana hiyo hiyo jioni miradi ya wajasiriamali Kariakoo iliungua moto na hivyo MAJI KUTUMIKA KWA AJILI YA KUUZIMA MOTO HUO

Mbaya zaidi, moto huo ulionekana ukiunguza jengo moja la ghrorofa ambalo lilikonekana kuwaka kwa bidii sasa kwa sababu lilikuwa kwenye stage ya ujenzi ambayo lilikuwa bado lina ile miti inayotumika kwenye ujenzi

Moto huo utakuwa ulikuwa na akili sana kwa sababu ulichagua hata sehemu nzuri ya kwenda kuteketeza, sehemu ambayo kulikuwa na jengo lenye miti

……………..inaendelea
 
MAELEZO YA UTANGULIZI: KUHUSIANA NA KIONGOZI KINARA WA MATAGAZO (KWM)

PATTERN YA MATUKIO YA KIONGOZI HUYU KANISANI ANAPOKUWA AMESIMAMA JUU MADHABAHUNI


Tukianzia mwanzoni mwa mwezi Septemba 2022 (mwaka jana), na kwenye J2 ya kwanza kabisa ambayo Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A) alianza likizo yake ya mwaka

  • KWM alsimama Madhabahuni J2 hiyo,kutoa tangazo la papo kwa papo lililohusiana na ORGANISATION STRUCTURE ya Kanisa
  • Tangazo hilo lilikuwa la papo kwa papo kwa maana kuwa maelezo yake ya awali hayakuwa yamewahi kutolewa kabla na hata baada ya tangazo hilo kutolewa J2 hiyo, KWM hakusema kwa nini aliamua kutoa tangazo hilo siku hiyo
Baadaye tena siku zilivyoenda mbele KWM alirekodiwa akiwa anaongelea maswala kadhaa Kanisani hapo ikiwa ni pamoja na kumpongeza KM-A, mkanda ambao ulirushwa kwenye screen za TV zilizopo Kanisani hapo

  • Hapo ilikuwa ni mwanzoni mwa mwezi Desemba 2022 kwenye J2 ya sikukuu ya Kitaifa ya viongzozi wote wakuu wa maKanisa
  • Baada ya hapo, kwenye J2 nyingine tena ya kilele cha Sikukuu ya Watoto ya mwaka huu wa 2023, KWM alipandisha juu Madhabahuni na kuanza kufanya mahojiano na Redio ya kuigiza ya watoto iliyokuwa imetayarishwa kwa ajili ya siku hiyo
Mifano hii miwili inatosha na inaonyesha kuwa matukio haya yote aliyoyafanya KWM kwa ujumla wake ni MATUKIO ya ujumla au au GENERAL EVENTS

MBALI NA GENERAL EVENTS, MATUKIO MENGINE ALIYOYAWAHI KUYAFANYA KWM MADABAHUNI BAADA YA GENERAL ENVENTS KWA KIPINDI HIKI TU CHA KUANZIA SEPTEMBA 2022 MWAKA JANA


Mbali na matukio mawili yaliyotajwa hapo juu, matukio mengine ambayo ni tafauti yaliyowahi kfanywa na KWM, YOTE YALIHUSIANA na kuitisha maombi yaliyohusiana na ULAWITI na/ UZINZI, ukiondoa tangazo moja tu la mwisho ambalo lenye we lilihusiana na AJALI

TANGAZO LA MWISHO KABISA LA KWM KABLA YA J2 YA TAREHE 24/09/2023

Mbali na hayo, tangazo la mwisho kabisa alilowahi kulifanya KWM huko nyuma kabla ya J2 hizi mbili zilizofuatana, yaani ile ya tarehe 24/09/2023 na ile ya jana tarehe 01/10/2023 ni lile lililohusiana na AJALI iliyowahi kuisibu familia ya DR, kwa maana ya kwamba kabla ya J2 hizi mbili tajwa kuwadia, KWM aliwahi kusimama madhabahuni mara ya mwisho kwenye J2 ile ya tangazo la AJALI ya familia ya DR

Kwa hiyo, baada ya tangazo hilo la AJALI, KWM hakuwa amewahi kusimama tena madhabahuni hadi ilipofika J2 ya tarehe 24/09/2023

SOMO LA IBADA KUU SIKU YA J2 YA TAREHE 24/09/2023; SIKU AMBAYO KWM ALIREJEA TENA MADHABAHUNI

Mojawapo ya themes ziliookuwa kwenye SOMO LA J2 HIYO, ilikuwa ni UZINZI WA KANISA LA KORINTHO

Kwa hali hiyo, KWM alirejea tena madhabahuni baada ya UZINZI kuwa umetamkwa tena kutokea madhabahuni, au kuwa umefundishwa ndani ya SOMO LA IBADA KUU SIKU YA J2

PATTERN YA KIPEKEE ILIYOPO KWENYE MLOLONGO WA MATUKIO HAYA YANAYOHUSIANA NA KWM ANAPOKUWA AMEPANDA JUU MADHABAHUNI

Kwa muda wote huu wa mwaka mzima tangu Septemba 2022, KWM amekuwa akishughulika na mambbo yafuatayo

GENERAL ENENTS mfano wake mmoja ukiwa ni lile tukio alilowahi kuonekana akiongea kwenye screen za TV za Kanisani

SPECIFIC EVENTS

Hizi NI AINA ZA KESI KWENYE JAMII YOYOTE ILE na ambazo zimegawanyika kwenye makundi yafuatayo

  • ACCIDENTAL CASES kama vile AJALI
  • CRIMINAL CASES kama vile UHALIFU usiokuwa mauaji au kesi za MADAI
  • MURDER CASES au kesi za MAUAJI
Kwa maana kuwa

  • UZINZI ni crime
  • ULAWITI ni crime
  • AJALI ni composite event/case ambayo KESI zake zinaweza kuungansha CASES ZOTE ZA CRIME NA/ MURDER PIA
  • CRIMINAL CASE inaweza kuwa pia kwa mtu anayedai au anayedaiwa na katika level yoyote ile ikiwemo ya FAMILIA, ORGANISATION, TAIFA AU KIMATAIFA
Kwa hali hiyo, mdai au mdaiwa anaweza kuwa ana kesi iliyo MAHAKAMANI, au kwenye vyombo vingine vya kinidhamu kama vile FAMILIA, OFISINI, KWENYE SERIKALI YA MTAA, n.k.



KWM AMEKUWA AKITUMIA PROFESSION YAKE KWENYE MADHABAHU YA KANISA A, KUFANYA HAYYA YOTE YALIYOTAJWA HAPO JUU

Kwa hiyo, KWM amekuwa akitumia PROFESSION yake aliyonayo, kuendesha mambo haya kupitia Madhabahu ya Kanisa A, huku cover ya vyote hivi akiwa ameifunika kwenye maneno matatu, ULAWITI, UZINZI NA AJALI

MFANO HALISI WA HIVI KARIBUNI WA MATENDO HAYA YA KWM

Kwenye J2 ya mwisho ile aliyowahi kutoa tangazo la AJALI


Siku hiyo KWM hakuwa KIONGOZI WA ZAMU

Baada ya Kiongozi wa Zamu kumaliza kutoa matangazo yake J2 hiyo, alimkaribisha KWM akisema kuwa alikuwa naye pia alikuwa na tangazo jingine

Kwa hiyo ilikuwa ni lazima kwamba TANGAZO LA AJALI LITOLEWE NA KWM TU NA SI KIONGOZI MWINGINE KANISANI HAPO

BAADA YA KWM KUWA AMESIMAMA JUU MADHABAHUNI, alitangaza ajali ya familia ya DR, kitu ambacho Kiongozi wa zamu angeweza kikutangaza pia

Ikumbukwe kuwa baada ya KWM kusimama J2 hiyo na kutangaza ajali ya familia ya DR na hatimaye kuliomba Kanisa zima lisimame na kuomba kwa ajili ya ajali hiyo, J2 nyingine iliyofuata, KM-A naye alisimama madhabahuni na kuliomba tena Kanisa zima lisimame kuombea AJALI, na baada ya hapo AJALI ZILIANZA KUTOKEA tena

Kwa hiyo, KM-A NAYE ALIFUATISHA NYEDO ZA KWM J2 ILIYOFUATA NA NDIPO AJALI ZILIPOANZA KUMIMINIKA

HITIMISHO


Mhusika hana namna ya kuweza kupata maneno sahihi zaidi ya kuweza kusisitiza zaidi maelezo haya kuhusiana na utafiti wake huu ila uhakika alionao hadi muda huu ni kuwa KWM NDIYE HASA ANAYEHUSIKA NA KUWEKA MAPEPO YA AJALI KWENYE MADHABAHU YA KANISA A

  • Mbali na hilo, KWM anatumia CODES ambazo ni MANENO YA ULAWITI, UZINZI NA AJALI, maneno ambayo ndani yake yamefunika CRIMINAL CASES, MURDER GASES na pia EVENTS ZINGINE ZA KAWAIDA ZISIZOHUSISHA CRIME AU MURDER
  • Maneno haya ya ULAWITI, UZINZI NA AJALI yakitamkwa na KWM akiwa amesimama madhabahuni, KESI ZOTE ZA AINA HII ZINAZOJULIKANA NA WATU ZINAPATA SHIDA na pia AJALI ZINATOKEA
Ndiyo maana event ya jana J2 ya tarehe 01/10/2023 ya KWM kusimama juu madhabahuni kutoa zawadi kwa mjasiriamali mwenye wazo bora la MRADI, limepelekea MIRADI YA WAJASIRIAMALI KARIAKOO KUUNGUA KWA AJALI YA MTOTO

Katika hali ya kawaida, zawadi hiyo ya ujasiriamali ingeweza kutolewa na Kaimu wa KM-A ambaye naye pia alikuwepo kwenye Ibada, kumuwakilisha KM-A ambaye hakuwepo kwa ajili ya dharura ya msiba

Kulingana na ORGANISATION STRUCTURE ambayo alliwahi kuisoma yeye mwenyewe KWM mbele ya waumini mwaka jana kipindi KM-A alipokuwa amesafiri kwenda likizo, KIONGOZI AMBAYE NI THE MOST SENIOR PINDI KM-A ANAPOKUWA HAYUPO KANISANI, NI HUYO KAIMU WA KM-A NA SI KYEYE KINARA WA MATANAGAZO (KWM)

Kama alivyowahi mhusika kutanhibisha kwenye post yake ya nyuma, hatimaye kweli MAJI YAMEONKENA YAKIZIMA MOTO

KWM NDIYE HASA AMBAYE AMEKUWA AKI-ENGINEER MATUKIO YA AJALI MBALI MBALI AMBAZO ZIMEKUWA ZIKITOKEA NA AMEKUWA AKIFANYA HIVYO KWA KUTUMIA PROFESSION YAKE NA KUTOKEA KWENYE MADHABAHU YA KANISA A


Huyu ndiye ambaye miaka kadhaa iliyopita, aliwahi kusababbisha ajali ya taa za nyuma za gari la mhusika

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KWENYE TUKIO LA ZAWADI YA UJASIRIAMALI LA J2 YA TAREHE 01/10/2023

Lilikuwa ni la kwanza kuwahi kufanyika hapo Kanisa A

Aliyehusiaka na kutoa tangazo la EVENT hiyo madhabahuni, ni binti ambaye amekuwa akitoa matangazo mengine ya awali yaliyofanana na hilo, na ambayo karibia mara zote yamekuwa yakimhusisha KWM

WASIFU WA KIPEKEE WA BINTI HUYU


Ana mashavu mazuri yaliyotuna kidogo mithili kama yameng’atwa kidogo na nyuki

Kwa wasifu huu, mhusika anao ushauri ufuatao kwa waumini wote wa Kanisa A

Kwamba waumini wote wa Kanisa A waangalie kama yupo mtu mwingine yeyote mwenye mashavu ya aina hii na ambaye anaweza kuwa yupo kwenye makundi yafuatayo

  • Miongoni mwa washririki waliokuwa kwenye shindano hilo la ujasiriamali
  • Miongoni mwa wazazi au watu wengine walio na uhusiano na washiriki waliokuwa kwenye shindano hilo
Mbali na hilo, mhusika anawaomba WAUMINI WA KANISA A, wamuweke kwenye maombi binti huyu ili mambo yake ambayo amekuwa akifanya kila mara Kanisani hasa anapokuwa amesimamama madhabahuni, yaweze kuwa wazi zaidi kwao

IKUMBUKWE KUWA MARA YA MIWSHO NI BINTI HUYU ALIYEWAHI KUSIMAMA MADHABAHUNI KWA WIKI NZIMA AKIFUNDISHA MAMBO YA UAJSIRIAMALI KANISANI; WIKI NZIMA NA TANGU PALE HAJAWAHI KUONEKANA MADHABAHUNI AKIFUNDISHA KITU KINGINE CHOCHOTE KILE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
USHAURI WA MHUSIKA KWA WATANZANIA WENGINE, HASA WALE WALIOKO KWENYE MAMLAKA ZA UTEUZI

Essentially watu hawa watatu, Senior Mstaafu wa Kike, (SMKE), Senior Mstaafu wa Kiume, (SMME) na Kinara wa Matangazo (KWM) ni waajiriwa wa Taasisi moja, na katika muda tofauti tofauti wameweza kushika nyadhifa mbali mbali kwenye mamlaka muhimu kabisa za maamuzi ya nchi

Possibly, pamoja na kwamba haya yaliyomo humu yanaweza kuwa ni tuhuma tu kwao, still tuhuma hizi zinatoa alarm kwa mamlaka za uteuzi kwamba pengine kwenye Taasisi mama waliyoibukia watatu hawa hadi kufikia hapo walipo, kunaweza kukawa na mchanganyiko wa watu ambao wengine wanaweza kuwa wamejichomeka pale kwa malengo yao binafsi tu na si kwa ajli ya manufaa ya nchi

Hivyo mhusika alikuwa anashauri kuwa ikiwezekana TEUZI ZOTE ZA WATU WANAOTOKEA KWENYE TAASISI HUSIKA NA WATU HAWA WATATU, SCANNING YAO KWA AJLI YA UTEUZI WA NAFASI ZINGINE ZA JUU, IWE INAFANYIKA KWA UZITO AU UKALI ULIO MARA MBILI ZAIDI UKILINGANISHA NA TEUZI ZA WATU WA AINA HIYO HIYO WANAOTOKEA KWENYE TAASISI ZINGINE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE:WEDNESDAY 04TH OCTOBER 2023

OBSERVATIONS:


MHUSIKA YUPO AKIWA ANAENDELEA NA OBSERVATIONS ZAKE HASA JUU YA WATU WALIOPO KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWAKE BAADHI YAKE WAKIWA NI


  • Senior Mstaafu wa Kike (SMKE)
  • MR X, ambaye amaesharudi kutoka Safari na ambaye J3 asubuhi alifika ofisni kwa mhusika ila kwa bahati mbaya, hakufanikiwa kumkuta OFFICE MATE-2 (OM-2) kwa sababu alikuwa ametoka kidogo
  • OM-2 ambaye siku chache zilizopita, alibahatika kuongea na MR X alipokuwa yupo safari
Wote MR X na OM-2 wapo ofisini isipokuwa mhusika hana uhakika kama wamefanikiwa kuonana au kusalimiana

Taarifa zaidi zitafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 06TH OCTOBER 2023

MHUSIKA AMELAZIMIKA KUWEKA POST HII HAPA LEO ILA UTAFITI KUHISNA NA YALE YALIYOMO KWENYE POST HII, BADO HAUJAKAMILIKA


Kwa hali hiyo, mhusika atakuja kuirejea tena post hii kwenye siku zijazo huko mbele

UTAFITI ANAOENDEKEA NAO MHUSIKA KWA MUDA HUU

ALIUANZA AIDHA ILIKUWA NI J2 YA TAREHE 13/08/2023 AU J2 YA TAREHE 20/08/2023, HAKUMBUKI VIZURI, NA ILIKUWA NI KWENYE MAZINGIRA YA KANISANI


Mhusika bado ananendelea na utafiti huu hajaukamilisha, bado ila ameona kuna haja ya kuyaongelea baadhi tu ya yale yaliyomo kwa utafiti huo

Kwenye J2 tajwa, mhusika akiwa anaingia ndani ya uzio wa nyumba ya Ibada au Kanisa, pale getini wakakutana na shemeji yake ambaye walikuwa hawajaonana siku nyingi kidogo kwa sababu ya kupishana kwenye Ibada
  • Shemeji huyu alikuwa amembatana na binti yake wa mwisho, ambaye alikuwa ni kitoto kichanga mwaka 2014 kipndi mhusika anahama kutoka Kanisa A na kwenda Kanisa B
  • Mhusika aliondoka Kanisa A na kumwacha binti huyu akiwa ni kitoto kichanga, na anakumbuka kwa sababu alikuwa akimbeba mara kwa mara pale Kanisani
Walipokutana siku hiyo pale getini, mhusika aligundua kuwa binti huyu kwa sasa anakaribia kumzidi urefu mama
  • Baada ya kukutana, mhusika na shemeji walisalimiana pale getini, na baada ya hapo mhusika akamweleza shemeji yake kuwa karibia wameshalingana na mtoto wakati juzi tu alikuwa ni kitoto kichanga
  • Shemeji alimjibu mhusika kuwa mtoto lazima awe hivyo kwa sababu baba yake ni mrefu pia
Hilo tukio likapita

BAADA YA KUWA ZIMEPITA J2 ZINGINE TENA MBILI AU TATU MBELE


Shemeji na mtoto wakamkuta tena mhusika safari hii akiwa amekaa kwenye kiti ndani ya Kanisa, akiwa anasubiria Ibada ya pili, Ibada ya kwanza ikiwa tayari imeshapita
  • Baada ya kusalimiana, mama na mtoto wakaelekea sehemu nyingine mbele ambapo alikuwepo baba wa mtoto
  • Sehemu hiyo alipokuwepo baba wa mtoto, ilikuwa ni mbele kidogo ila nje ya Kanisa na upande wa kushoto wa pale alipokuwa amekaa mhusika
Mojawapo ya lango kuu la Kanisa la upande huo lilikuwa wazi na hivyo mhusika alikuwa na uwezo wa kumuona baba wa mtoto aliyekuwa nje, kutokea pale yeye (mhusika) alipokuwa amekaa ndani ya nyumba ya Ibada

Hilo tukio nalo likapita……..

J3 YA WIKI HII TAREHE 02/10/2023:

BINTI WA KANISANI, RIKA SAWA NA YULE AMBAYE MAELEZO YAKE YAKO HAPO JUU, AONEKANA OFISINI KWAO MHUSIKA KWA MARA YA KWANZA


Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika, kukutana na binti huyu kwenye mazingira ambayo si ya Kanisani
  • Mhusika akiwa yupo nje ya ofisi kwenye veranda baada ya kuwa amewapisha watoto wa usafi, binti huyu alionekana akiwa anapandisha ngazi za kuelekea ghorofa ya kwanza ya jengo hilo
  • Kabla hajazimaliza ngazi, binti na mhusika walikutanisha macho na baada ya kusalimiana, binti alishangaa kumuona babu yake pale
Babu alimweleza mjukuu kuwa hapo ndiyo ofisini kwake, lakini naye pia wakati huo huo, akataka kujua kuwa binti alikuwa anaelekea wapi muda huo

Binti alimjibu mhusika kuwa alikuwa anaelekea kwa BIBI YAKE, ambaye (BIBI) ni staff-mate wa mhusika na ambaye pia MAMA WA KIROHO WA MHUSIKA

Mhusika alimweleza mjukuu kuwa alikuwa amekosea jengo na akamwelekeza jengo sahaihi ilipo ofisi ya BIBI yake, ambalo ni jengo jirani tu na lile la mhusika

HITIMISHO
Unless kukutana kwa mhusika na mjukuu wake pale ofisini J3 ya wiki hii ilikuwa ni pure coincidence nyingine tena

Vingnevyo kuna pattern ambayo mhusika ameshaanza kuiona ikijitokeza, ya mashambulizi ya kiroho yanayofanywa kwa njia zifuatazo

AIDHA
Yanafanywa kwa kuelekezwa KWA MABINTI
wanaoanza kuonyesha kwa mara ya kwanza, mabadiliko ya maungo yaliyopo kwenye vifua vyao

AU
Yanafanywa KWA KUWATUMIA mabinti
hao wanaoanza kuonyesha kwa mara ya kwanza, mabadiliko ya maungo yaliyopo kwenye vifua vyao

AU
Yanafanywa kwa kutumia njia zote mbili zilizotajwa hapo juu vinafanyika

Na hadi kufikia muda huu, tayari kuna vifo viwili vywa WANAFUNZI WATOTO MAPACHA vimeshajitokeza huko mkoani
  • Na safari ni wanafunzi tena
  • Wazazi waliwapeleka watoto kwa mganga wa kienyeji, kwenda kuwekewa dawa ya kubadilisha maungo ya vifua vyao, ilhali wazazi hao walijua kuwa watoto wao ni wanafunzi??????!!!!!!!!!!!!
Kwa nini wazazi hawa angalau wasingewaozesha tu watoto wao na mabadiliko mengine yangefuata baadaye wakiwa tayari wako kwenye ndoa? Wao hawaiogppi Serikali? Na wasukumua walivyo waoga kwa Serikali, one can just imagine!!

Kwa juu juu, mtu anaweza akaliona tukio hili kuwa ni la kawaida tu ila kwa undani wake halisi, linaweza kuwa lina maswali mengi zaidi kuliko majibu

Mhusika ameiweka hapa post hii na atakuja kuirudia tena huko mbele ya safari pindi atakapokuwa amekamilisha utafiti wake; NI LAZIMA ATARUDI TENA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 09TH OCTOBER 2023

KILE KILICHOKUWA NYUMA YA HATUA YA KM-A J2 YA TAREHE 08/09/2023, YA KUWAOMBA WAUMINI WASIMAME KWA AJILI YA KUIOMBEA NCHI AMBAYO IPO KWENYE MAPIGANO


Kilichopelekea KM-A kuwaomba waumini wasimame kwa ajli ya kuiombea nchi ambayo iko kwenye mapigano alipokuwa amesimama JUU MADHABAHUNI, motive yake haikuwa usalama wa nchi hiyo bali kwenye MURDERS na CRIMES zinazoendelea huko kutokana na vita hivyo

Kwa hivyo KM-A alikuwa anafanya kazi kwenye mkondo sawa na ule waliowahi wa siku za hivi karibuni kwenye J2 mbili zilizokuwa zimefauatana, yeye pamoja na KINARA WA MATANAGAZO (KWM), ambapo kwenye J2 ya kwanza, KWM alisimama madhabahuni na kuwaomba waumini waombee ajali, na J2 nyingine iliyofuata, KM-A naye pia alifanya hivyo

Hata J2 ya jana tarehe 08/09/2023 KM-A alikuwa kwenye mkondo huo huo isipokuwa nchi aliyoitaja litumika kama kivuli tu cha kuficha sababu iliyokuwa nyuma ya KM-A kuwaomba waumini kufanya maombi hayo

FACTS ZINAZOPELEKEA MHUSIKA KUSEMA HAYA JUU YA HATUA HIYO YA KM-A

Mnamo May 2014, mhusika alichomoka kutoka Kanisa A na kuhamia Kanisa B

Huko alienda akakuta kuna maombi ya kila J2 ya kuliombea Taifa hilo amablo liko kwenye vita karibia miaka yake

  • Mhusika aliingia J2 ya kwanza huko Kanisa B akakuta kuna ombi la nchi hiyo kwa kila wiki siku za J2, na aliondoka huko akiacha ombi hilo likiwa linaendelea na halikuwahi kukosekana hata J2 moja
  • Hata hivyo, mhusika aliondoka Kanisa A akaacha hakuna ombi la aina hiyo lililowahi kufanyika hata siku moja, na alirudi akakuta ombi hilo halipo hadi ilipofika J2 ya jana tarehe 08/09/2023
Kwa kumbukumbu zake mhusika, tangu awahi kuwepo Kanisa A, ilikuwa ni J2 ya kwanza jana tarehe 08/09/2023 kusikia ombi linalohusiana na nchi hiyo ambayo ipo kwenye vita muda wote

Nchi hii imekuwa kwenye vita almost muda wote na hapo kabla, KM-A hakuwahi kusikika hata mara moja akiwaomba waumini waiombee nchi hiyo kwenye Ibada yoyote ile, isispokuwa kwa J2 ya jana peke yake

Kwa hiyo, kwenye J2 hii husika, KM-A alikuwa yupo kwenye mambo mengiine kabisa ambayo yamekuwa yakiratibiwa na KWM na ambayo yamekuwa yakitumika kama MIITO YA AJALI NA MAJANGA MENGINE YANAYOHISANA NA CRIMES NA MAUAJI NDANI YA NCHI

Wanatumia matukio ya ajali na mauaji, au matukio yanayosababisha mauaji

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA SWALA LA KINARA WA MATANAGAZO (KWM) KUPANDA TENA MADHABAHUNI KWA MARA YA KWANZA J2 YA TAREHE 24/09/2023 BAADA YA KUWA AMEPITISHA MIEZI KADHAA PASIPO KUFANYA HIVYO

Kwenye J2 hiyo tajwa, Kiongozi wa Zamu hakuwa KWM bali alikuwa ni Kaimu wa KM-A

Hata hivyo, wakati wa matangazo yake, KM-A aliwatangazia waumini kuwa ndani ya wiki hiyo ya zamu yake, Kaimu wa KM-A alilazimika kusafiri kwenda Mbeya baada ya kupata dharura ya msiba uliotokea huko

  • Wakati KM-A anatoa tangazo hilo J2 hiyo, Kaimu KM-A alikuwepo kwenye Ibada, alikuwa tayari amesharudi kutoka Mbeya kwenye msiba
  • Hata hivyo, KM-A hakumkaribisha Kaimu KM-A ili kuwasalimia waumini na kuwajulisha juu ya safari yake ya msiba uliokuwa umetokea Mbeya
  • Kitendo hiki cha KM-A kutokumkaribisha Kaimu KM-A kuwasalimia waumini baada ya kuwa ametoka kwenye safari ya tatizo kubwa kama hili, si kawaida yake KM-A, na wala pia si kawaida kwa utaratibu uliozoeleka siku zote Kanisani hapo, kwa Kiongozi kupata msiba na kusafiri halafu Kiongozi kurudi Kanisani na kuja KUKASUSHA
Kwa hiyo baada ya dharura hii kumpata Kaimu KM-A, zamu yake ilibidi ichukuliwe na KWM; na somo kuu la Ibada ya J2 hiyo liliongelea pia uzinzi wa Kanisa la Korintho

HITIMISHO


J2 hiyo, KWM alianza kupanda madhabahuni KABLA uzinzi wa Kanisa la Korintho haujasemwa na alikuja akapanda tena BAADA ya uzinzi wa Kanisa la Korintho kuwa aumeshasemwa, kwa sababu alikuwa ni Kiongozi wa Zamu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA UTAFITI AMBAO MHUSIKA BADO ANAENDELEA NAO, UNAOHUSIANA NA MABADILIKO YA MAUNGO YA MABINTI KWENYE VIFUA VYAO, KAMA AMBAVYO AMESHADOKEZA KWENYE POST ZAKE ZA AWALI ZILIZOPO HAPO JUU

KUNA TATIZO MAHALI FULANI NA KIINI CHA TATIZO LENYEWE NI MRX NA MRS X


Kwa taarifa ambazo mhusika ameshizikusanya hadi kufikia muda huu, yule shemeji pamoja na binti ambao walikutana na mhusika getini wakati anaingiza gari ndani ya uzio wa Kanisa, hawakuwa chanzo cha tatizo isipokuwa wao walikuwa kwenye PROCESS YA KU-RENEW TU

Chanzo cha tatizo hilo walikuwa ni MR X na MRS X na walilipandikiza kwenye J2 moja ambayo kulikuwa na tangazo la Uchumba Kanisani hapo wakati wa Ibada ya kwanza, tukio ambalo mhusika alilikuta likiwa linaendelea

J2 hiyo ilikuwa ni kati ya zile ambazo watoto wanaokaa shuleni boarding, walikuwa wamefunga shule na hivyo kuwepo mazingira ya Kanisani kwa mara ya kwanza J2 hiyo na hivyo na wao kufanikiwa kulishuhudia tukio hilo

J2 hiyo ndiyo kulitolewa tangazo hilo la Uchumba

Mhusika anakisia kuwa tangazo la uchumba huo ni lile lililofuatana na lile la J2 ya jana tarehe 08/09/2023, au la tatu kutoka kwenye lile la jana, na lilitolewa mwishoni mwa mwezi wa August 2023

Mtoto aliyefanikiwa kufika ofisni kwa mhusika J3 iliyopita ya tarehe 02/09/2023, naye pia alikuwa kwenye process ya ku-renew tu kama alivyowahi kufanya shemeji yake mhusika

RENEWAL PROCESS hii is STRICTLY a function of (NEW) LOCATION, kwa maana kuwa anayehusika na kufanya hiyo RENEWAL, anatakiwa akutane na mhusika kwenye AIDHA a COMPLETELY NEW LOCATION kwa maana kuwa inatakiwa kuwa ni LOCATIION ambayo hajawahi kukutana naye pale kabla AU kama alishawahi basi iwe ni katika muda mrefu sana uliopita

Utafiti huu mhusika bado anaendelea nao na taarifa zake kamili zitawajieni hapo baadaye. Muhimu tu ni kwamba utafiti huu unacho kitu na hivyo ni lazima utakuja kuwa na kitu cha pekee ndani yake

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MAREKEBISHO MUHIMU KWENYE TAARIFA ZILIZOPO HAPO JUU

Tangazo la uchumba lililotajwa hapo juu, ni lile lililotolewa mwezi wa Sita wakati watoto wanaosoma bparding, walipokuwa wapo kwenye likizo kuu ya mwaka

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA WAUMINI WA KANISA A WENYE NIA NJEMA NA AMBAO WAMEKUWA WAKIGUSWA NA KILE AMBACHO KIMEKUWA KIKIENDELEA KWENYE MADHABAHU YA KANISA HILO

TAAFIFA MUHIMU NI KWAMBA KWENYE ULIMWENGU WA ROHO, MADHABAHU HIYO TAYARI IMESHAFANYA KAZI YAKE, SUBIRINI MATOKEO YAKE KWENYE ULIMWENGU WA MWILI MTAYAONA MUDA SIYO MREFU

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom