KIPINDI KINACHO-COVER MUDA WA UTAFITI HUU; KUANZIA JUNE 2023 HADI JANA J2 YA TAREHE 12/11/2023
Kipindi cha utafiti huu kinaanzia mwanzoni mwa mwezi wa sita; wakati wa likizo kuu ya wanafunzi kwa mwaka huu huku kikipitia kwenye J2 nyinhine moja muhimu sana ambayo
kiongozi wa chama cha wanaume kutoka jimbo alifika kwa MKUTANO WA DHARURA NA WANAUME WOTE Kanisani hapo, na hadi kufikia J2 ya jana ya tarehe 12/07/2023 ambayo (J2 hiyo) ilikuwa pia na mgeni mwingine
kiongozi wa chama cha wanaume (tofauti na yuke wa kwanza
) kutoka jimbo amabye naye pia alifika Kanisani hapo kwa ajili ya MKUTANO MWINGINE TENA WA DHARURA NA WANAUME WOTE Kanisani hapo
KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA NA KULELEZEA KILE KILICHOMO KWENYE UTAFITI WAKE
YALE YA MUHIMU SANA YALIYOJIRI KWENYE IBADA YA JANA J2 YA TAREHE 12/07/2023
Kwenye matangazo ya wiki ya J2 kabla ya ile ya jana, yaani matangazo ya J2 ya tarehe 05/07/2023,
Kiongozi wa Zamu (KWZ) alitangaza kuwa J2 ya tarehe 05/07/2023, kungekuwa na Ibada mbili kama ilivyo kawaida siku zote
- Hata hivyo, jana J2 mhusika alifika Kanisani na kukuta kuna Ibada moja tu na si mbili kama ilivyokuwa imetangazwa awali kwenye matangazo ya J2 ya tarehe 05/07/2023
- Mhusika alikuja kugundua kuwa ibada ilikuwa moja J2 hiyo baada ya kuwa amewasili Kanisani muda wa baada ya saa 3 na nusu, na ilikuwa ni wakati wa matangazo ya KWZ, Ibada ikiwa tayari imeshamalizika
Baada ya KWZ kupanda jukwaani wakati wa matangazo hayo, alitoa
comment ya kuwalaumu waumini kuwa kuna wengine walifika Kanisani hapo J2 hiyo wakiwa wamepanga kuhudhuria Ibada ya pili wakati J2 iliyopita (yaani ya tarehe 05/11/2023) KWZ aliwatangazia waumini wote kuwa J2 ya leo (yaani J2 hiyo ya jana tarehe 12/11/2023) kungekuwa na Ibada moja tu,
kitu ambacho hakikuwa kweli bali ulikuwa ni uongo, KWZ wa J2 ya jana alikuwa anaongopa kwa makusudi
Ukweli usipoingika ni kwamba J2 ya tarehe 05/11/2023
KWZ aliwatangazia waumini kuwa J2 ya jana tarehe 12/11/2023 kungekuwa na Ibada mbili kama kawaida
Na kwa bahati mbaya zaidi Kiongozi huyo wa zamu kwa J2 iliyokuwa imepita nyuma yenye mabadiliko ya ratiba, hakuwepo mazingira ya Kanisani jana kuweza kulithibitisha hilo
KILE ALICHOKIONA YEYE MHUSIKA JANA HIYO HIYO KUTOKANA NA MABADILIKO HAYO YA GHAFLA
MABADILIKO HAYO HAYAKUWA YAMEOANGWA HADI KUFIKIA SIKU YA J2 HIYO ASUBUHI WAKATI WA IBADA YA KWANZA ISIPOKUWA YALIKUJA KUPANGWA BAADAYE J2 HIYO ASUBUHI BAADA YA IBADA YA KWANZA KUMALIZIKA NA HIVYO KUTEKELEZWA J2 HIYO HUSIKA WAKATI WA MATANGAZO YA KIONGOZI WA ZAMU (KWZ)
Ufafanuzi ya hiki alichokiandika hapa mhusika ni kama ufuatavyo hapa chini
Baada ya Ibada kuwa imemalizika na sadaka ya Ibada kuu kuwa imetolewa, kama ilivyo kawaida
KWZ alipanda jukwaani madahabahuni kwa ajili ya mambo mawili makuu
- MOSI: Kukaribisha wageni wote waliokuwa wamehudhuria kwenye Ibada hiyo
- PILI: Kutangazoa ratiba ya vipindi Kanisani hapo kwa wiki iliyokuwa inafuata ya kuanzia J3 ya tarehe 13/11/2023 hadi J2 ya tarehe 19/11/2023
Baada ya KWZ kupanda madhabahuni kwa ajili ya mambo hayo mawili,
hapo ndiyo mchezo ulipofanyikia kwa kuchomekea hapo katikati, jambo jingine la tatu na hivyo kupelekea Kiongozi huyo (baada ya kuwa amechokmkeea jambo jingine katikati) kusema kuwa
KWZ wa J2 iliyokuwa imepita nyuma alitangaza kuwa kungekuwa na Ibada moja, kitu ambacho hakikuwa kweli
KILE ALICHOCHOMEKEA KWZ HUYU J2 NA HIVYO KUMPELEKEA KUTAMKA KUWA IBADA YA SIKU HIYO NI MOJA NA SI MBILI
Baada ya KWZ huyo kuwa amewakaribisha wageni,
hakuendelea na matangazo ya ratiba ya wiki inayofuata kama ilivyo kawaida siku zote, isipokuwa kabla ya kuanza kutoa matanagazo ya wiki, alichomeka kitu kingine cha nyongeza ambacho kawaida huwa hakipo kwenye matangazo ya KWZ
KWZ huyo alimkaribisha mtu ambaye alikuwa amesafri kwenda kwenye mikutano ya injili, kwa ajili ya kulisalimia Kanisa na kutoa ushuhuda wa namna kazi ya Mungu ambavyo imekuwa ikifanyika pindi alipokuwa yupo huko
- Kawaida kitu hiki cha mtu kukatribishwa katikati ya matanagzo ya KWZ, huwa hakifanyiki wakati wa matangazo hayo ya KWZ isipokuwa huwa kinafanywa wakati wa awamu ya pili ya matangazo ya KM-A na huwa kinafanywa na KM-A mwenyewe kama yupo; na kama hayupo, huwa kinafanywa na Kiongozi yule ambaye anakuwa amekaimu nafasi yake
- Mtu huyu aliyekaribishwa kwa mtindo huu ni yule ambaye pia ni kiongozi kwenye chama cha vijana kanisani hapo (tumwite KCV) na ambaye katika kipindi cha hivi karibuni, amebarikiwa kupata mtoto mdogo mzuri mchanga
Kwa mara ya kwanza,
mtoto huyu mzuri wa kiongozi huyu, alionekana Kanisani J2 ya tarehe 30/07/2023; siku ambayo ugeni wa kwanza wa Kiongozi wa chama cha wanaume kutoka jimboni, ulifika kwa ajli ya MKUTANO WA DHARURA na wanaume wote Kanisani hapo
Vile vile siku hiyo, ndiyo ilikuwa ni J2 nyingine ambayo Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A), alikuwa ameagiza waumini wote wenye watoto wachanga, wawalete tena watoto hao Kanisani (kwa awamu nyingine ya pili ndani ya miezi michache,) kwa ajili ya ubarikio ikiwa ni pamoja na watoto hao kiuingizwa kwenye database ya Kanisa
NDANI YA KIPINDI HIKI CHA UTAFITI WA MHUSIKA KUANZIA MWEZI JUNE MWANZONI HADI KUFIKIA J2 YA JANA TAREHE 12/11/2023
Ndani ya kipindi hiki tajwa hadi kufikia J2 ya jana, KCV aamebahatika kusimama mbele madhabahuni mara ya tatu
- Mara ya kwanza KCV alisimama mbele ya madhabahu kwenye J2 ile ya ubarikio wa watoto
- Mara ya pili, KCV alisimama madhabahuni kwenye siku ya sikukuu ya vijana
Siku ya ubarikio wa watoto kwa mkupuo wa pili, ndiyo siku ile ambayo kulikuwa na ugeni wa kwanza kutoka jimboni, na ndiyo siku ambayo kulikuwa na MKUTANO WA DHARURA WA WANAUME
Kwa mara zote hizi tangu siku ya ubarikio wa watoto, KCV amekuwa akisimama juu madhabahuni au mbele ya madhabahu kwa ajili ya ku-
RENEW PEPO kwenye madhabahu
Kwa mara ya kwanza RENEWAL hiyo ilishindikana jana J2 ya tarehe 12/11/2023 na baada ya kushindikana, ikapelekea
KWZ kupata mwanga sasa wa namna ratiba ya J2 hiyo inavyotakiwa kuwa na ndiyo maana KWZ alikuwa ameagizwa na KM-A, kuuchomeka ukaribisho wa KCV katikati ya matangazo hayo, tofauti na ulivyo utaratibu wa siku zote
Kwa hiyo baada ya KCV kutoka madhabahuni, KWZ ndiyo akapata mwanya sasa wa kutoa
comment ya kwamba Ibada ya J2 hiyo ni moja na si mbili, na
Ibada ya J2 inayofuata ndani ya wiki hii tuliyonayo, nayo pia kutangazwa kuwa imekuwa ni moja
AINA YA PEPO HUYU ALIYEKUWA ANATAKIWA KUWA RENEWED KUPITIA UTARATIBU WA J2 ILIYOPITA:
ANAFANYA KAZI KUANZIA KWENYE KIUMBE KILICHO TUMBONI CHENYE SEKUNDE KADHAA TU
Ni pepo anayefanya kazi kupitia
kwenye makuzi ya binadamu, yakiwemo mabadiliko ya maumbile ya binadamu tangu akiwa tumboni hadi kuzaliwa na kukua hadi kufikia mzee mtu mzima
umri wa zaidi ya miaka 70 na kuendelea
- Pepo huyu anafanya kazi kuanzia kwenye kiumbe aliye tumboni mwa mama yake, mara tu mbegu ya kike inapoungana na mbegu ya kiume kwa ajili ya process ya kuanza kutengeneza kiumbe kuanzia tumboni
- Kwa hiyo kutokea hapo, pepo huyu anafanya kazi muda wote kuanzia mtoto akiwa bado yupo tumboni mwa mama yake hadi anazaliwa na kuendelea kukua hadi kufikia utu uzima umri wa zaidi ya miaka 70 na kuendelea
Hapa ndiyo pale wanapoingia wale watoto mapacha waliopoteza maisha hivi karibuni, baada ya kufanyiwa dawa za kuongeza maumbile na mganga wa kienyeji
BAADA YA PEPO HUYU KUSHINDIKANA KUWA RENEWED KUTOKEA MADHABAHUNI J2 HIYO
Uwezeakano wa KM-A kuendellea kusimama madhabahuni ukawa umekoma tena kuanzia jana J2
KM-A ndiye ambaye kwa J2 zote za hivi karibuni, amekuwa akisimama madhabahuni na somo lake linalohusina na nchi zile ambako kuna vita vinaendelea,
kuna MURDERS NA PIA CRIMES zinaendekea huko
- Kwenye J2 ya kwanza (29/10/2023) baada ya KM-A kuwa amefundisha somo hilo, ajali za barabarani zimetokea na kuua watu kadhaa
- Kwenye J2 ya pili (05/11/2023) akiwa anaendelea tena na somo hilo; wiki iliyofuata kumetokea ajali MBILI
- Moja ni ya barabarani ambayo ni VERY RARE iliyohusisha magari zaidi ya matatu (COMPUND ACCIDENT)
- Nyingine ni ile iliyohusisha mali za wajasiriamali kuungua kwa moto huko mkonani, baada ya jengo kuungua moto
Hata hivyo, hii nayo ni topic nyingine inayojitegemea na mhusika atakuja kuielezea kwa urefu na upana huko mbele ya safari
BAADA YA KCV NA MGENI KUTOKA JIMBO KUWA WAMESHINDWA KUFANYA KITU KWENYE MADHABAHU
Ndiyo sasa ukawa tayari umetangazwa mkutano mwingine wa dharura kwa ajili ya wanaume wote, MKUTANO AMBAO ULIHUSISHA MGENI HUYO KUTOKA NJE YA KANISA, NA AMBAYE
UMRI WAKE NI ZAIDI YA MIAKA 70
Huyu mgeni alikuwa amewekwa kwenye PLAN B, kiasi kwamba kama KCV angeweza kufanikiwa ku-RENEW PEPO pale juu madhabahuni, mgeni huyu asingehitajika tena J2 hiyo
Hii ni kutokana na ukweli kuwa wakati wa Ibada, mgeni huyu alikuwa amekaa viti vya nyuma kabisa
tofauti na ilivyo kawaida kwa wageni wote Kanisani hapo; hakuwa amekaa mbele
Namna ya ukaaji wa kiongozi huyu ndani ya Ibada J2 hiyo, ilikuwa ni ya kujaribu kum-cover na macho ya waumini na
possibly camera pia
kwa sababu siyo mgeni sana Kanisani hapo, kiasi kwamba kama ingetokea mambo yakaenda vizuri baada ya KCV kuwa amepanda madhabahuni, possibly yeye asingehitajika tena, na hivyo alitakiwa asiweze kuonekana na macho ya waumini walio wengi kuwa alikuwepo mahali pale J2 hiyo
Hata hivyo baada ya failures kutokea, ilibidi sasa kubadilisha LOCATION na hivyo wanaume wote kuombwa kuhamia ukumbi wa SULEMANI kwa ajili ya
MKUTANO WA DHARURA WA WANAUME WOTE
SIKU AMBAYO PEPO HUYU ALIRUSHWA KWA MARA YA KWANZA KANISANI HAPO: ILIKUWA NI J2 ILE YA UGENI WA KWANZA WA KUTOKA JIMBONI
PEPO huyu aliyekuwa anahitajika kuwa
renewed, ALIRUSHWA kwa mara ya kwanza J2 ya tarehe 30/07/2023, siku ambayo kulikuwa na ubarikio wa awamu nyingine ya watoto wachanga, na katika siku ambayo KULIKUWA NA
UGENI WA MJUMBE MWINGINE KUTOKA JIMBO NA AMBAYE ALIKUJA KUFANYA MKUTANO WA DHARURA NA WANAUME
Kwenye siku hiyo ya kwanza pepo huyu aliporushwa,
mhusika alianza kuwa anamuona akiwa yupo kwenye DATABASE na pia kwenye ORGABISATION HIERARCHY
Kawaida Pepo yoyote akisharuswa, maana yake ni kwamba kuna mlango wazi mahali fulani, na mlango huo adui huwa anajaribu kuuficha kwa kutumia mbinu ya kumuelekeza mtafiti mahali pengine kama vile kwenye DATABASE au kwenye ATTRIBUTES za ENTITIES, ili isiwe rahisi kumgundua kuwa yuko wapi
Kwa mara nyingi sana, pepo wa aina hii huwa wanelekezwa kwenye maumbo ya wanawake wa kuvutia na kwa kipindi cha hivi karibuni, pepo
huyu alielekezwa pia kwenye mabadiliko ya maumbile ya vifuani ya mabinti wanaopevuka kama mhusika ambavyo amewahi kudokeza hapo awali
- Kuhusiana na matukio ya mabinti wanaopevuka, kwa mara ya kwanza mhusika aliyaona kwa MR & MRS X siku ya tangazo la uchumba
- Baada ya hapo ndiyo binti mwingine wa Kanisani alitokeza ghafla ofisini kwa mhusika, akimtafuta mama wa kiroho wa mhusika
Baada ya hapo, kesho yake tu watoto wawili mapacha walifariki dunia huko mkoani baada ya kupewa dawa na mganga wa kienyeji, ya kuongeza maumbile yao ya vifuani
TUKIRUDITENA HAPO KANISA A: KIINI CHA HAYA YOTE IKIWA NI PAMOJA NA MABADILIKO YA GHAFLA YALIYOTOKEA J2 YA TAREHE 12/11/2023
Ni KM-A!
KM-A ameshashuka madhabahuni, hawezi kupanda juu madhabahuni tena
Hata hivyo kwa kuanzia J2 hiyo ya jana,
KM-A tayari ameshaanza jitihada za kuanza mkakati mwingine wa kupandisha juu kwa kuaznia chini ya madhabahu.
MBINU ALIYOTUMIA KM-A KUFICHA PLAN YAKE HII YA MKAKATI WAKE WA KUPANDIISHA TENA JUU YA MADHABAHU J2 HIYO
Kwenye J2 hii tajwa, KM-A alitangaza mkutano na wanawake wote ndani ya Kanisa na alisimama kwenye mimbari kwa
dakika za kutosha akiwa anawasomea akina mama hao mafungu kutoka kwenye Maandiko Matakatifu ya bIBLIA
Huo haukuwa mkutano bali ilikuwa ni
cover ya Ibada akiwa anafanya mazoezi kutokea chini ya madhabahu
Mbali na hilo, SEMINA ILIYOTANGAZWA KWA WIKI HII KUAZNIA J5 HADI IJUMAA huku ibada ya J2 ijatyo ikiwa ni moja, NDIYO ILE ILIYOKUSUDIWA KUMSADIA KUENDELEA KUFANYA MAZOEZI YA KUPANDISHA JUU NA KUSHUKA CHINI YA MADHABAHU KWA KIFICHO, BILA WAUMINI KUNG’AMUA KUWA ATAKKUWA ANAFANYA MAZOEZI; mithili ya vle livyowahi kufanya alipokuwa anafundisha somo la MWILI, NAFSI NA ROHO, lililopelekea akarusha pepo kwa waumini wote kwenye nyanja hizo tatu mnamo Desemba 2020
………………………………inaendelea