#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

KULE KANISA A NAKO AMBAKO NYUMBA HIYO YA IBADA BADO INASUBIRIA KUWEKWA

KWA SASA MHUSIKA YUPO TAYARI KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MBARAKA ALIOAHIDI KUSHIRIKI
, ISIPOKUWA ANASUBIRIA KWANZA NYUMBA HIYO YA IBADA IWEKWE WAKFU

Mnano Februari 2023 (mwaka huu), uongozi wa Kanisa uliwatangazia waumini wa Kanisa hilo kuwa ifikapo mwezi Oktoba 2023 nyumba hiyo ya Ibada itawekwa wakfu

Tangazo hilo liliambatana na ombi la kuwaomba waumini wote wa Kanisa A kushiriki kwenye mbaraka
ambao ulitangazwa siku hiyo, mbaraka ambao ulikuwa unaendana pia na shughuli ya kuwekwa wakfu nyumba hiyo ya Ibada, pale ifikapo mwezi Oktoba 2023, muda ambao sasa umeshapita

Hadi kufikia muda huu, nyumba hiyo ya Ibada bado haijawekwa wakfu, huku mhusika akiwa yupo anasubiria nyumba hiyo iwekwe wakfu kwanza halafu ndiyo aweze kutekeleza ahadi ya mbaraka aliouahidi mwezi Februari 2023

Kwa ujumbe huu, mhusika anawaomba sana Viongozi wa Kanisa A wasimcheleweshe kwenye kutelekeleza ushiriki wake kwenye mbaraka wake alioahidi, na anaamini kuwa hawatafanya hivyo

Kwa muda huu, yeye yupo tayari, isipokuwa anachoendelea kusubiria ni nyumba hiyo ya Ibada kuwekwa wakfu

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 13TH NOVEMBER 2023

KUHUSIANA NA POST HIII HAPA #1,735 AMBAYO MHUSIKA ALILAZIMIKA KUIWEKA TU MUDA HUKU UTAFITI WAKE UKIWA BADO HAUJAKAMILIKA, UKIWA BADO UNAENDELEA


Post hii #1,735 mhusika alilazimika kuiweka baada ya kutokea tukio la mabinti wawili mapacha, kupoteza maisha huko mikoani wakiwa kwenye harakati za kutengenezewa dawa ya kuotesha matiti na mganga wa kienyeji ili waweze kuolewa

Mhusika anafurahi kuwajulisha wasomjai wa uzi huu kwamba utafiti wake huo ulikamilika jana J2 ya tarehe 12/11/20223 akiwa yupo Kanisani

Matukio yaliyoyokea jana J2 Kanisani, ukunganisha na mengine ambayo tayari yalikuwa yameshatokea huko nyuma, yaliweza kuu-favour utafiti wa mhusika na hivyo kuweza kuukamilisha J2 hiyo

Taarifa zaidi zinafuata hivi punde
 
KIPINDI KINACHO-COVER MUDA WA UTAFITI HUU; KUANZIA JUNE 2023 HADI JANA J2 YA TAREHE 12/11/2023

Kipindi cha utafiti huu kinaanzia mwanzoni mwa mwezi wa sita; wakati wa likizo kuu ya wanafunzi kwa mwaka huu huku kikipitia kwenye J2 nyinhine moja muhimu sana ambayo kiongozi wa chama cha wanaume kutoka jimbo alifika kwa MKUTANO WA DHARURA NA WANAUME WOTE Kanisani hapo, na hadi kufikia J2 ya jana ya tarehe 12/07/2023 ambayo (J2 hiyo) ilikuwa pia na mgeni mwingine kiongozi wa chama cha wanaume (tofauti na yuke wa kwanza) kutoka jimbo amabye naye pia alifika Kanisani hapo kwa ajili ya MKUTANO MWINGINE TENA WA DHARURA NA WANAUME WOTE Kanisani hapo

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA NA KULELEZEA KILE KILICHOMO KWENYE UTAFITI WAKE

YALE YA MUHIMU SANA YALIYOJIRI KWENYE IBADA YA JANA J2 YA TAREHE 12/07/2023


Kwenye matangazo ya wiki ya J2 kabla ya ile ya jana, yaani matangazo ya J2 ya tarehe 05/07/2023, Kiongozi wa Zamu (KWZ) alitangaza kuwa J2 ya tarehe 05/07/2023, kungekuwa na Ibada mbili kama ilivyo kawaida siku zote

  • Hata hivyo, jana J2 mhusika alifika Kanisani na kukuta kuna Ibada moja tu na si mbili kama ilivyokuwa imetangazwa awali kwenye matangazo ya J2 ya tarehe 05/07/2023
  • Mhusika alikuja kugundua kuwa ibada ilikuwa moja J2 hiyo baada ya kuwa amewasili Kanisani muda wa baada ya saa 3 na nusu, na ilikuwa ni wakati wa matangazo ya KWZ, Ibada ikiwa tayari imeshamalizika
Baada ya KWZ kupanda jukwaani wakati wa matangazo hayo, alitoa comment ya kuwalaumu waumini kuwa kuna wengine walifika Kanisani hapo J2 hiyo wakiwa wamepanga kuhudhuria Ibada ya pili wakati J2 iliyopita (yaani ya tarehe 05/11/2023) KWZ aliwatangazia waumini wote kuwa J2 ya leo (yaani J2 hiyo ya jana tarehe 12/11/2023) kungekuwa na Ibada moja tu, kitu ambacho hakikuwa kweli bali ulikuwa ni uongo, KWZ wa J2 ya jana alikuwa anaongopa kwa makusudi

Ukweli usipoingika ni kwamba J2 ya tarehe 05/11/2023 KWZ aliwatangazia waumini kuwa J2 ya jana tarehe 12/11/2023 kungekuwa na Ibada mbili kama kawaida

Na kwa bahati mbaya zaidi Kiongozi huyo wa zamu kwa J2 iliyokuwa imepita nyuma yenye mabadiliko ya ratiba, hakuwepo mazingira ya Kanisani jana kuweza kulithibitisha hilo

KILE ALICHOKIONA YEYE MHUSIKA JANA HIYO HIYO KUTOKANA NA MABADILIKO HAYO YA GHAFLA

MABADILIKO HAYO HAYAKUWA YAMEOANGWA HADI KUFIKIA SIKU YA J2 HIYO ASUBUHI WAKATI WA IBADA YA KWANZA ISIPOKUWA YALIKUJA KUPANGWA BAADAYE J2 HIYO ASUBUHI BAADA YA IBADA YA KWANZA KUMALIZIKA NA HIVYO KUTEKELEZWA J2 HIYO HUSIKA WAKATI WA MATANGAZO YA KIONGOZI WA ZAMU (KWZ)


Ufafanuzi ya hiki alichokiandika hapa mhusika ni kama ufuatavyo hapa chini

Baada ya Ibada kuwa imemalizika na sadaka ya Ibada kuu kuwa imetolewa, kama ilivyo kawaida KWZ alipanda jukwaani madahabahuni kwa ajili ya mambo mawili makuu

  • MOSI: Kukaribisha wageni wote waliokuwa wamehudhuria kwenye Ibada hiyo
  • PILI: Kutangazoa ratiba ya vipindi Kanisani hapo kwa wiki iliyokuwa inafuata ya kuanzia J3 ya tarehe 13/11/2023 hadi J2 ya tarehe 19/11/2023
Baada ya KWZ kupanda madhabahuni kwa ajili ya mambo hayo mawili, hapo ndiyo mchezo ulipofanyikia kwa kuchomekea hapo katikati, jambo jingine la tatu na hivyo kupelekea Kiongozi huyo (baada ya kuwa amechokmkeea jambo jingine katikati) kusema kuwa KWZ wa J2 iliyokuwa imepita nyuma alitangaza kuwa kungekuwa na Ibada moja, kitu ambacho hakikuwa kweli

KILE ALICHOCHOMEKEA KWZ HUYU J2 NA HIVYO KUMPELEKEA KUTAMKA KUWA IBADA YA SIKU HIYO NI MOJA NA SI MBILI


Baada ya KWZ huyo kuwa amewakaribisha wageni, hakuendelea na matangazo ya ratiba ya wiki inayofuata kama ilivyo kawaida siku zote, isipokuwa kabla ya kuanza kutoa matanagazo ya wiki, alichomeka kitu kingine cha nyongeza ambacho kawaida huwa hakipo kwenye matangazo ya KWZ

KWZ huyo alimkaribisha mtu ambaye alikuwa amesafri kwenda kwenye mikutano ya injili, kwa ajili ya kulisalimia Kanisa na kutoa ushuhuda wa namna kazi ya Mungu ambavyo imekuwa ikifanyika pindi alipokuwa yupo huko

  • Kawaida kitu hiki cha mtu kukatribishwa katikati ya matanagzo ya KWZ, huwa hakifanyiki wakati wa matangazo hayo ya KWZ isipokuwa huwa kinafanywa wakati wa awamu ya pili ya matangazo ya KM-A na huwa kinafanywa na KM-A mwenyewe kama yupo; na kama hayupo, huwa kinafanywa na Kiongozi yule ambaye anakuwa amekaimu nafasi yake
  • Mtu huyu aliyekaribishwa kwa mtindo huu ni yule ambaye pia ni kiongozi kwenye chama cha vijana kanisani hapo (tumwite KCV) na ambaye katika kipindi cha hivi karibuni, amebarikiwa kupata mtoto mdogo mzuri mchanga
Kwa mara ya kwanza, mtoto huyu mzuri wa kiongozi huyu, alionekana Kanisani J2 ya tarehe 30/07/2023; siku ambayo ugeni wa kwanza wa Kiongozi wa chama cha wanaume kutoka jimboni, ulifika kwa ajli ya MKUTANO WA DHARURA na wanaume wote Kanisani hapo

Vile vile siku hiyo, ndiyo ilikuwa ni J2 nyingine ambayo Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A), alikuwa ameagiza waumini wote wenye watoto wachanga, wawalete tena watoto hao Kanisani (kwa awamu nyingine ya pili ndani ya miezi michache,) kwa ajili ya ubarikio ikiwa ni pamoja na watoto hao kiuingizwa kwenye database ya Kanisa

NDANI YA KIPINDI HIKI CHA UTAFITI WA MHUSIKA KUANZIA MWEZI JUNE MWANZONI HADI KUFIKIA J2 YA JANA TAREHE 12/11/2023

Ndani ya kipindi hiki tajwa hadi kufikia J2 ya jana, KCV aamebahatika kusimama mbele madhabahuni mara ya tatu

  • Mara ya kwanza KCV alisimama mbele ya madhabahu kwenye J2 ile ya ubarikio wa watoto
  • Mara ya pili, KCV alisimama madhabahuni kwenye siku ya sikukuu ya vijana
Siku ya ubarikio wa watoto kwa mkupuo wa pili, ndiyo siku ile ambayo kulikuwa na ugeni wa kwanza kutoka jimboni, na ndiyo siku ambayo kulikuwa na MKUTANO WA DHARURA WA WANAUME

Kwa mara zote hizi tangu siku ya ubarikio wa watoto, KCV amekuwa akisimama juu madhabahuni au mbele ya madhabahu kwa ajili ya ku-RENEW PEPO kwenye madhabahu

Kwa mara ya kwanza RENEWAL hiyo ilishindikana jana J2 ya tarehe 12/11/2023 na baada ya kushindikana, ikapelekea KWZ kupata mwanga sasa wa namna ratiba ya J2 hiyo inavyotakiwa kuwa na ndiyo maana KWZ alikuwa ameagizwa na KM-A, kuuchomeka ukaribisho wa KCV katikati ya matangazo hayo, tofauti na ulivyo utaratibu wa siku zote

Kwa hiyo baada ya KCV kutoka madhabahuni, KWZ ndiyo akapata mwanya sasa wa kutoa comment ya kwamba Ibada ya J2 hiyo ni moja na si mbili, na Ibada ya J2 inayofuata ndani ya wiki hii tuliyonayo, nayo pia kutangazwa kuwa imekuwa ni moja

AINA YA PEPO HUYU ALIYEKUWA ANATAKIWA KUWA RENEWED KUPITIA UTARATIBU WA J2 ILIYOPITA:

ANAFANYA KAZI KUANZIA KWENYE KIUMBE KILICHO TUMBONI CHENYE SEKUNDE KADHAA TU


Ni pepo anayefanya kazi kupitia kwenye makuzi ya binadamu, yakiwemo mabadiliko ya maumbile ya binadamu tangu akiwa tumboni hadi kuzaliwa na kukua hadi kufikia mzee mtu mzima umri wa zaidi ya miaka 70 na kuendelea

  • Pepo huyu anafanya kazi kuanzia kwenye kiumbe aliye tumboni mwa mama yake, mara tu mbegu ya kike inapoungana na mbegu ya kiume kwa ajili ya process ya kuanza kutengeneza kiumbe kuanzia tumboni
  • Kwa hiyo kutokea hapo, pepo huyu anafanya kazi muda wote kuanzia mtoto akiwa bado yupo tumboni mwa mama yake hadi anazaliwa na kuendelea kukua hadi kufikia utu uzima umri wa zaidi ya miaka 70 na kuendelea
Hapa ndiyo pale wanapoingia wale watoto mapacha waliopoteza maisha hivi karibuni, baada ya kufanyiwa dawa za kuongeza maumbile na mganga wa kienyeji

BAADA YA PEPO HUYU KUSHINDIKANA KUWA RENEWED KUTOKEA MADHABAHUNI J2 HIYO

Uwezeakano wa KM-A kuendellea kusimama madhabahuni ukawa umekoma tena kuanzia jana J2


KM-A ndiye ambaye kwa J2 zote za hivi karibuni, amekuwa akisimama madhabahuni na somo lake linalohusina na nchi zile ambako kuna vita vinaendelea, kuna MURDERS NA PIA CRIMES zinaendekea huko

  • Kwenye J2 ya kwanza (29/10/2023) baada ya KM-A kuwa amefundisha somo hilo, ajali za barabarani zimetokea na kuua watu kadhaa
  • Kwenye J2 ya pili (05/11/2023) akiwa anaendelea tena na somo hilo; wiki iliyofuata kumetokea ajali MBILI
  • Moja ni ya barabarani ambayo ni VERY RARE iliyohusisha magari zaidi ya matatu (COMPUND ACCIDENT)
  • Nyingine ni ile iliyohusisha mali za wajasiriamali kuungua kwa moto huko mkonani, baada ya jengo kuungua moto
Hata hivyo, hii nayo ni topic nyingine inayojitegemea na mhusika atakuja kuielezea kwa urefu na upana huko mbele ya safari

BAADA YA KCV NA MGENI KUTOKA JIMBO KUWA WAMESHINDWA KUFANYA KITU KWENYE MADHABAHU

Ndiyo sasa ukawa tayari umetangazwa mkutano mwingine wa dharura kwa ajili ya wanaume wote, MKUTANO AMBAO ULIHUSISHA MGENI HUYO KUTOKA NJE YA KANISA, NA AMBAYE UMRI WAKE NI ZAIDI YA MIAKA 70

Huyu mgeni alikuwa amewekwa kwenye PLAN B, kiasi kwamba kama KCV angeweza kufanikiwa ku-RENEW PEPO pale juu madhabahuni, mgeni huyu asingehitajika tena J2 hiyo

Hii ni kutokana na ukweli kuwa wakati wa Ibada, mgeni huyu alikuwa amekaa viti vya nyuma kabisa tofauti na ilivyo kawaida kwa wageni wote Kanisani hapo; hakuwa amekaa mbele

Namna ya ukaaji wa kiongozi huyu ndani ya Ibada J2 hiyo, ilikuwa ni ya kujaribu kum-cover na macho ya waumini na possibly camera pia kwa sababu siyo mgeni sana Kanisani hapo, kiasi kwamba kama ingetokea mambo yakaenda vizuri baada ya KCV kuwa amepanda madhabahuni, possibly yeye asingehitajika tena, na hivyo alitakiwa asiweze kuonekana na macho ya waumini walio wengi kuwa alikuwepo mahali pale J2 hiyo

Hata hivyo baada ya failures kutokea, ilibidi sasa kubadilisha LOCATION na hivyo wanaume wote kuombwa kuhamia ukumbi wa SULEMANI kwa ajili ya MKUTANO WA DHARURA WA WANAUME WOTE

SIKU AMBAYO PEPO HUYU ALIRUSHWA KWA MARA YA KWANZA KANISANI HAPO: ILIKUWA NI J2 ILE YA UGENI WA KWANZA WA KUTOKA JIMBONI

PEPO huyu aliyekuwa anahitajika kuwa renewed, ALIRUSHWA kwa mara ya kwanza J2 ya tarehe 30/07/2023, siku ambayo kulikuwa na ubarikio wa awamu nyingine ya watoto wachanga, na katika siku ambayo KULIKUWA NA UGENI WA MJUMBE MWINGINE KUTOKA JIMBO NA AMBAYE ALIKUJA KUFANYA MKUTANO WA DHARURA NA WANAUME

Kwenye siku hiyo ya kwanza pepo huyu aliporushwa, mhusika alianza kuwa anamuona akiwa yupo kwenye DATABASE na pia kwenye ORGABISATION HIERARCHY

Kawaida Pepo yoyote akisharuswa, maana yake ni kwamba kuna mlango wazi mahali fulani, na mlango huo adui huwa anajaribu kuuficha kwa kutumia mbinu ya kumuelekeza mtafiti mahali pengine kama vile kwenye DATABASE au kwenye ATTRIBUTES za ENTITIES, ili isiwe rahisi kumgundua kuwa yuko wapi

Kwa mara nyingi sana, pepo wa aina hii huwa wanelekezwa kwenye maumbo ya wanawake wa kuvutia na kwa kipindi cha hivi karibuni, pepo huyu alielekezwa pia kwenye mabadiliko ya maumbile ya vifuani ya mabinti wanaopevuka kama mhusika ambavyo amewahi kudokeza hapo awali

  • Kuhusiana na matukio ya mabinti wanaopevuka, kwa mara ya kwanza mhusika aliyaona kwa MR & MRS X siku ya tangazo la uchumba
  • Baada ya hapo ndiyo binti mwingine wa Kanisani alitokeza ghafla ofisini kwa mhusika, akimtafuta mama wa kiroho wa mhusika
Baada ya hapo, kesho yake tu watoto wawili mapacha walifariki dunia huko mkoani baada ya kupewa dawa na mganga wa kienyeji, ya kuongeza maumbile yao ya vifuani

TUKIRUDITENA HAPO KANISA A: KIINI CHA HAYA YOTE IKIWA NI PAMOJA NA MABADILIKO YA GHAFLA YALIYOTOKEA J2 YA TAREHE 12/11/2023

Ni KM-A!

KM-A ameshashuka madhabahuni, hawezi kupanda juu madhabahuni tena

Hata hivyo kwa kuanzia J2 hiyo ya jana, KM-A tayari ameshaanza jitihada za kuanza mkakati mwingine wa kupandisha juu kwa kuaznia chini ya madhabahu.

MBINU ALIYOTUMIA KM-A KUFICHA PLAN YAKE HII YA MKAKATI WAKE WA KUPANDIISHA TENA JUU YA MADHABAHU J2 HIYO


Kwenye J2 hii tajwa, KM-A alitangaza mkutano na wanawake wote ndani ya Kanisa na alisimama kwenye mimbari kwa dakika za kutosha akiwa anawasomea akina mama hao mafungu kutoka kwenye Maandiko Matakatifu ya bIBLIA

Huo haukuwa mkutano bali ilikuwa ni cover ya Ibada akiwa anafanya mazoezi kutokea chini ya madhabahu

Mbali na hilo, SEMINA ILIYOTANGAZWA KWA WIKI HII KUAZNIA J5 HADI IJUMAA huku ibada ya J2 ijatyo ikiwa ni moja, NDIYO ILE ILIYOKUSUDIWA KUMSADIA KUENDELEA KUFANYA MAZOEZI YA KUPANDISHA JUU NA KUSHUKA CHINI YA MADHABAHU KWA KIFICHO, BILA WAUMINI KUNG’AMUA KUWA ATAKKUWA ANAFANYA MAZOEZI; mithili ya vle livyowahi kufanya alipokuwa anafundisha somo la MWILI, NAFSI NA ROHO, lililopelekea akarusha pepo kwa waumini wote kwenye nyanja hizo tatu mnamo Desemba 2020

………………………………inaendelea
 
KWA UFUPI YALE AMBAYO MHUSIKA AMEYAONGELEA KWENYE POST HII ILIYOPO HAPO JUU

Kwa mara ya kwanza, pepo anayeongelewa kwenye taarifa hizi alirushwa J2 ya tarehe 30/07/2023 na alirushwa kwenye makuzi ya viumbe binadamu kuanzia mwenye umri wa sekunde moja tu aliyepo tumboni mwa mama yake, hadi kwa mtu mzima mwenye umri hata wa miaka zaidi ya 100

J2 hiyo kulikuwa na mgeni kutoka jimboni

Mgeni huyu ndiye aliyekuwa amekuja kutengeneza ile continuity ya pepo kufanya kazi kuanzia kwa kiumbe mwenye umri wa sekunde moja na kuendelea kwa sababu alikuwa ni mtu mgeni na akiwa kwenye LOCATION mpya

  • Wenyeji wa hapo Kanisani wasingeweza kufanikiwa na hivyo alihitajika mtu kutoka kwenye LOCATION nyingine na ambaye macho ya mhusika, yalikuwa yana siku ngyingi pasipo kuwa yamemuona
  • Watoto waliokuwa wameitwa kwa ajili ya ubarikio, baadhi yao walikuwa wameshafanyiwa hayo matayarisho hayo yanayohusiana na umri wa sekunde moja
J2 hiyo ilikuwa ni mara ya kwanza kwa kitoto kizuri cha KCV kuwepo Kanisani hapo na hivyo, kitoto hicho kilikuwa KIGENI kwenye NEW LOCATION

  • Kwa hali hiyo, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa kila muumini wa Kanisa A kukiona kitoto hicho Kanisani hapo
  • Baada ya siku hiyo kupita, RENEWAL ikawa sasa inafanywa na KCV ambaye ni baba wa kitoto, hadi J2 ya wiki iliyopita, renewal hiyo iliposhindikana kwa mara ya kwanza
Baada ya RENEWAL kushindikana, MGENI mwingine kutoka kwenye LOCATION nyingine akawa amehiitajika na ndiyo yule aliyefika J2 iliyopita, huku akiwa ametengenezewa mazingira yote yak um-cover ili asije akajulikana ni nini hasa kilikuwa kimemleta pale

IBADA KUSHTUKIZWA NA KUWA MOJA J2 HIYO

Kilichopelekea Ibada kuwa moja J2 hiyo ya tarehe 12/11/2023 ni uamuzi uliofanywa kijanja ndani ya siku hiyo ya Ibada, na hicho hicho ndiyo kile kilichopelekea kukatangazwa tena semina ndani ya wiki hii tunayoendlkea nayo; huku Ibada ya J2 inayokuja ikiwa ni moja badala ya mbili

Ibada kushtukizwa na kuwa moja J2 hiyo, ina uhusiano na pilika pilika za KM-A ambaye angeopenda muda mwingi kusimama madhabahunihuku akiendelea kurusha mapepo yanayosbabisha ajali kila kukicha

Matukio haya ya J2 iliyopita, yanaonyesha kuwa KM-A tayari ameshashuka tena Madhabahuni kwa wakati huu, hawezi kupanda tena na hivyo haya yote yanayoendelea ni mkakati wa yeye kujaribu kupanda juu madhabahuni tena akitumia siri ambayo waumini wa Kanisa A wanatakiwa wasiifahamu

KM-A mekuwa akiendelea kufanya huu mchezo kwa kipindi kirefu sasa kwa sababu Kanisa A lina miaka miwili tangu lianze kutumika ila pasipo kuwa limewekwa wakfu

Wasiwasi wa mhusika hapa ni kwamba, ikitokea GENUNELY Kanisa hilo likaja likawekwa wakfu; uwezekano mkubwa ni kwamba KM-A anaweza akawa hawezi hata tu kule kupita nje ya uzio wa nyumba hiyo ya Ibada; achilia mbali kuingia ndani ya uzio huo

MATUKIO MENGINE MUHIMU YALIYOTOKEA J2 YA ILE YA MWANZO YA TAREHE 30/07/2023; SIKU YA UGENI WA KWANZA KUTOKA JIMBONI NA J2 AMBAYO AWAMU YA PILI YA WATOTO WACHANGA WALIBARIKIWA

Baada ya mkutano wa dharura wa wanaume kumalizika, mhusika alitoka na kwenda kutupa chupa ya maji aliyokuwa anakunywa wakati mkutano ulipokuwa unaendelea

  • Akiwa anatokea huko, alikutana na KINARA WA MATANAGAZO (KWM) njiani na kuteta naye mambo kadhaa ambayo tayari alishawahi kuyasema humu jukwaani kupitia post yake ya siku za hivi karibuni nyuma
  • Baada ya kuachana na KWM, mhusika alienda akakutana na mgeni aliyekuwa amekuja kutoka jimboni kwa sababu wanafahamiana; isipokuwa walikuwa wamepitisha siku nyingi pasipo kuonana, takribani miaka miwili hivi
Mgeni huyu na mhusika waliwahi kuwa watu wa karibu sana mhusika alipokuwa amehama kutoka Kainsa A (la sasa) na kwenda Kanisa B

  • Mgeni huyu alikuwa ametokea Kainsa B
  • Baada ya kubadilishana mawili matatu na mgeni huyu, mhusika alitoka na kuelekea kwenye parking tayari kwa safari ya kurudi nyumbani
Jirani na pale mhusika alipokuwa amepaki gari lake, alimuona binti mke wa KCV akiwa pamoja na kile kitoto kizuri

Mhusika alisogea pale na kukiona kitoto hicho kwa mara ya kwanza ila hakukibeba kwa sababu mama yake alikuwa tayari yupo kwenye pilika pilika za kuondoka

  • Baada ya J2 hiyo kupita, J2 zingine zilizofuata mhusika hakubahatika kukibeba kitoto hicho isipokuwa kukiona tu kwa mbali kidogo wakati wa Ibada kwa sababu mhusika na mama wa kitoto walikuwa wanakaa karibu ila kwenye safu tofauti za viti
  • Hata hivyo, kwenye J2 ya tano au ya sita hivi, mhusika ndiyo alibahatika sasa kukibeba kitoto hicho baada ya Ibada kumalizika
Wakati huo kilikuwa kimebebwa na binti mwingine wa Kanisani hapo na alikuwa anatoka nje ya Kanisa akielekea kwenye ukumbi wa Sulemani

Kwa hiyo kwa mara ya kwanza mhusika alikibebea kitoto hicho akiwa kwenye ukumbi huo, ukumbi ambao ndiyo ule ambao mkutano wa dharura wa wanaume J2 ya tarehe 12/11/2023 ulifanyikia

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
RENEWAL NYINGINE YA PEPO HUYU ILIYOWAHI KUFANYIKA KWENYE UKUMBI HUO HUO WA SULEMAIN

Renewal hiyo iliwahi kufanyika kwenye mwezi wa nane (8) na ilifanyika kama ifuatavyo

J2 moja, mhusika aliwasili maeneo ya Kanisani kwa ajili ya Ibada ya pili na kupitiliza hadi kwenye Ukumbi wa Sulemain ambako akina mama wenye vitoto vichanga huwa wanapenda kukaa

  • Huko alienda akachukua kitoto kimoja, vile vilivyowahi kubarikiwa kwenye batch ya pili na hatimate kukibeba
  • Baada ya muda mhusika alikirudisha kitoto kwa mama yake na kuanza kunyoosha njia akielekea sehemu nyingine
Kabla hajafika mbali alisikia sauti inamwita kwa kilugha na alipogeuka, alimuona jamaa yake wa karibu; na pembeni yake kulikuwa na akina mama wanne ndugu zake wageni aliokuwa ameambatana nao kuja kwenye Ibada siku hiyo

  • Kawaida muumii huyu huwa anahudhuria Ibada ya pili, ila siku hiyo alikuwa amehudhuria Ibada ya kwanza; possibly sababu ya ugeni huo
  • Muumini huyu alimtambulisha mhuisika kwa wageni hao ambao umri wao ulikuwa una range kati ya miaka 45 na 72 kwa maana kuwa aliyeonekana mdogo kabisa kwenye kundi hilo alikuwa ana miaka takribani 45 na mkubwa kabisa alikuwa hapungui miaka 72
Walikuwa ni akina mama wanne na wakati huo mhusika hakujua kama walikuwa wamehudhuria Ibada ya kwanza isipokuwa wakati wa Ibada ya pili, mhusika hakumuona jamaa yake huyo ikiwa ni pamoja na wageni, walikuwa wameondoka

UPNEXT
KUHUSIANA NA SOMO LA MWENDELEZO LA KM-A LINALOHUSIANA NA NCHI AMBAYO KWA WAKATI HUU KUNA VITA INAENDELEA
 
KUHUSIANA NA SOMO LA MWENDELEZO LA KM-A LINALOHUSIANA NA NCHI AMBAYO KWA WAKATI HUU KUNA VITA INAENDELEA

Hivi karibuni mhusika aliwahi kutanbihisha humu jukwaani kupitia post yake kuwa:

  • Hata siku moja jawahi kumsikia KM-A angalau akiiombea tu nchi hiyo iliyoko kwenye vita, ambayo kwa muda huu amejikita kufundisha somo refu linalohusiana na nchi hiyo
  • Ukiangalia maudhui ya somo hilo ni VERY SENSITIVE na anachoongea kwenye somo hilo kiko sahihi kabisa, lakini kiko very sensitive kwa maana kuwa SPAN ya muda wake inamgusa angalau kila mtu aliyepo hai leo, ukiunganisha hadi wale wazee ambao wana umri wa kuanzia miaka 75, assuming wazee hao wanaweza kuishi (miaka 25 ijayo) hadi kufikia miaka 100
Mhusika hataki kuingia kwenye maudhui ya somo hilo la KM-A, ila anapenda agusie tu kuhusiana na SENSITIVITY ya somo hilo

Kwa kuzingatia SENSITIVITY taarifa zilizopo kwenye somo hilo, haileti mantiki ya KM-A kufundisha somo hili kwa muda huu tu na si wakati mwingine wowote ule hapo kabla, wakati taarifa hizo ni sensitive mno kwa waumini kiasi kwamba waumini hawa walitakiwa wawe wameshazisikia taarifa hizo mara nyingi tu kutoka kwake hapo kabla ya muda huu

Ingeleta mantiki tu iwapo taarifa hizi angekuwa anazitoa kwa wakati huu, akiwa anazirudia kwa mara nyingine ikiwa kama njia tu ya kuwakumbusha waumini na si kuwa anazifundisha kwa waumini hao kwa mara ya kwanza

Mhusika anakiri kwa kumbukumbu zake kabisa kuwa hapo kabla, hakuwahi kumsikia KM-A akiwa ana somo linaloongelea chochote kuhusiana na nchi hii iliyo vitani tofauti na anavyofanya sasa; yaani hata kule kuiombea tu; mhusika hajawahi kumsika KM-A akifanya hivyo

Kwa nini iwe sasa tu na katika muda ambao ambao MURDERS NA CRIMES ziko zinaendelea huko ukizingtaia kuwa

MOSI: Kupitia post za nyuma, mhusika amesha-establish pasipo shaka kabisa kuwa MURDERS na CRIMES zikitamkwa na mtu aliyesimama kwenye madhabahu ya Kanisa A iliyorushiwa mapepo, MAAFA YANATOKEA NCHINI?

PILI:
Kupitia post zake leo, mhusika amesha-establish kitu kingine tena pasipo shaka kabisa kuwa Madhabahu ya Kanisa A ilikuwa imesharushiwa mapepo, na MAAFA tayari yameshatokea baada ya KM-A kuwa amesimama kufundisha somo lake lenye mwendelezo, kwa J2 zile mbili za kwanza?

TATU: Kupitia post zake leo, mhusika amesha-establish kitu kingine tena pasipo shaka yoyote kabisa kuwa tayari KM-A ameshaikimbia tena madhabahu baada ya mapepo aliyokuwa amyarusha pale kuwa yametoroka?

KUHUSIANA NA UTARATIBU WA IBADA KUFULULIZA KUWA MOJA BADALA YA MBILI KWA KIPINDI HIKI


Ni rahisi zaidi kutunza mapepo kwa kutumia utaratibu wa Ibada moja badala ya mbili kwa sababu probability ya pepo kutoroka Ibada inapokuwa moja ni ndogo ukilinganisha na pale Ibada zinapokuwa mbili

Ndiyo maana wiki hii kuna semina na Ibada imetangazwa kuwa itakuwa ni moja. Kuna mtu atakuwa ameshaandaliwa kwa ajili ya kazi ya kurekebisha Madhabahu, na hivyo KM-A asingependa uwepo wa Ibada mbili Kanisani kwa sababu zinaweza kupelekea kuharibu kazi ya mtumishi huyo

HITIMISHO

Alichokilenga hasa KM-A kwenye somo lake ambalo amekuwa akifundisha sasa siyo ile maudhui ambayo ameiweka kwenye somo hilo, na ambayo actually iko sahihi, haijachakachuliwa

Kwenye somo hilo, KM-A yeye yuko kwenye ule upande mwingine kabisa unaohusiana na CRIMES NA MURDESR zinazoendeea huko, na hivyo maudhui ya somo hilo ni UNDER COVER tu ya kile kilichopo rohoni mwake. Rohoni mwake KM-A ana kitu kingine kabisa na si hicho anachoendekea kufundisha

Katika hili, fact inayowiana na ushahidi wa yaliyowahi kusemwa kabla ni kwamba baada ya KM-A kuanza kufundisha somo hili, ajali zimeshaanza kutokea mfululizo kila wiki, hadi zile ambazo ni very unique, COMPOUNDS ACCIDENTS

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 14TH NOVEMBER 2025

MWENDELEZO YA YALE YALIYOJIRI KANISA A J2 YA TAREHE 12/11/2023

KITU KINGINE KILICHOPLEKEA RATIBA YA IBADA YA J2 TAJWA KUWA MOJA BADALA YA IBADA MBILI KAMA ILIVYOKUWA IMETANGAZWA KABLA; MUDA HUO WA MATANGAZO WAUMINI WALIRUSHIWA PEPO NA KWZ


Muda ule wakati baadhi ya waumini wa Kanisa A wanalaumiwa na KWZ kuwa baadhi yao walifika kwa ajili ya kuabudu Ibada ya pili wakati Ibada iliyokuwa imetangazwa kabla kuwa ni moja (kitu ambacho hakikuwa kweli), KWZ ulifungua mlango mpya na hivyo akiwa yupo juu madhabahu, KWZ alirusha pepo kwenye waumini wote wa Kanisa A J2 hiyo

MAELEZO KAMILI YA NAMNA PEPO HUYO ALIVYORUSHWA

CHRONOCEPTION
Definition:
“Chronoception
refers to how the passage of time is perceived and experienced

“Although the sense of time is not associated with a specific sensory system, psychological and neuro-scientific research indicates that human brains do have a system governing the perception of time”


CHRONOCEPTION:
MARA YA MWISHO KIONGOZI HUYU ALIYEKUWA AMETOKA JIMBONI KUONEKANA KANISA A


Mara ya mwisho kiongozi huku kuonekana Kanisa A ilikuwa January mwaka 2021, na ilikuwa kwenye mkutano mwingine wa wanaume wa JIMBO ZIMA; tukio ambalo mhusika aliwahi kutoa maelezo yake kupitia baadhi ya maelezo yaliyoko kwenye post hii hapa #941

Ifatayo hapa chini ni nukuu ya baadhi ya tu ya maelezo husika kutoka kwenye post hiyo

Mwanzo wa kununukuu

………………………..“C: “WIKI NNE” BAADAYE: TENA; SIKU YA J2; TAREJHE 23 JANUARY 2022 (MWAKA HUU)

Kiongozi wa chama cha wanaume Kanisani hapo, akatangaza kuwa JUMAMOSI YA WIKI HIYO; YAANI TAREHE 29 JANUARY 2022 wanaume wote wanatakiwa kuwepo Kanisani kwa ajili ya Mkutano ambao ni wa ‘KANDA’(jina halisi si KANDA, ametumia neno hili kufanya encryption)
  • Mktano wa KANDA aana yake ni kwamba ulikuwa unajumuisha waumini si kutoka nje ya kanisa tu bali pia kutoka nje kwenye mikoa mingine nje ya mkoa wa Dar es Salaam
  • Kwa makisio yake mhusika; alitarajia kuwa idadi ndogo sana ya mkutano huu wangeweza kuhudhuria wanaume angalau 700
  • Yaani hao 700 ni kwamba asilimia 90 ya wanaume hawakuhudhuria
Hata hivyo mkutano huo ulihudhuriwa na watu wapatao 70 hivi, na wengi kati ya hao wakiwa ni wale waliokuwa wametoka Kanisa A

Mbali na hayo, muumini aliyekuwa anaongoza kikao, mzee very senior na mwenye miaka 70+ mada zake zikaanza kushamuliwa KITOTO SANA na watoto wadogo tu wa miaka 40+, hadi kufikia hatua ya kuwa mzee analazimishwa kuomba msamaha akiwa mbele madhabahuni, kisa tu kuna kitu alifanya ambacho kilionekana kumkwanza mtoto wa miaka 40+

Sijui labda kwa sisi ambao ni wachanga sana kiroho, kwa sababu mtumishi wa Mungu yuko mbele ya madhabahu, bahati mbaya amefanya kitu kimekukwaza, unaomba mike na kuanza kuongea kumwambia aombe msamaha, mbele ya waumini?

Wakati haya yakiwa yanaendelea, viongozi karibia wote wa Kanisa A walikuwepo

  • Kiongozi Mkuu wa Kanisa A alikuwepo
  • Kiongozi aliyetoa tangazo la kuzuia uchuuzi getini J2 iliyopita naye pia alikuwepo
  • Kiongozi huyu aliyehusika na taa za gari la mhusika naye pia alikuwepo; na hata yeye pia naye aliongea ila kwa si kwa kumshambulia mzee, alijaribu tu kuzi-challenge kidogo hoja alizokuwa ame-present mzee na katika manner ambayo ilikuwa ni acceptable iliyokuwa haimvunjii heshima mzee
Baada ya kuona haya yote yanaendelea, watu hawapo kwenye mkutano halafu na baadhi ya watu wanaongea pasipo staha utafikiri wapo kwenye ukumbi wa kawaida na si kwenye nyumba ya Ibada; wanashambulia mzee wa miaka 70+ katika namna ambayo utafikiri ni wanafunzi wa chuo wamekusanyika REV SQUARE; mhusika akaanza kupata mashaka na kilichokuwa kinaendelea kwenye mkutano

Ikumbukwe kuwa kiongozi aliyetangaza uwepo wa kikao hicho alikuwa ndiyo yule yule alyewahi kuitisha vikao viwili vya muda mfupi vya wanaume kimojawapo kikiwa ni kile ambacho aliwaomba wanaume washuhudie namna walivyobarikiwa na somo la nabii aliyewahi kusimama madhabahuni na kuwatukana waumini akiwaambia “mnawageuza wake zenu nyuma”
Zaidi ni kuwa vyombo kadhaa vya MEDIA, tena zile zinazoeleweka; nao pia walikuwepo siku hiyo


……………………..

Mwisho wa kununukuu


Kwa hiyo kiongozi huyu alikuwa amepitisha takribani miaka miwili, tangu mara ya mwisho alipowahi kuonekana Kanisa A

KIONGOZI MWINGINE ALIYEKUWA MWENYEJI WA MGENI HUYU KUPITIA CHAMA CHA WANAUME, UKIONDOA KM-A

Alikuwa ni MR X
Kwa swala hili la MR X kuhusiana na tukio hili, mhusika asingependa kumuongelea sana mtu huyu kwa sababu hadi kufikia mda huu, ameshaongea mengi mno kuhusu mtu huyu
Kwenye tukio hili, mhusika anayo dhana kwamba kile kitendo tu cha yeye (mhusika) kutoa maelezo ya tukio hili na amblao lilifanyika chini ya usimamizi wa MR X kama kiongozi wa chama cha wanaume, hatua hiyo pekee inatosha kabisa kuwawezesha watu wenye ufahamu mzuri kuweza kujua ushiriki SAHIHI wa MR X kwenye tukio hili

……………………….inaendelea
 
KUHUSIANA NA MGENI WA KWANZA KUTOKA JIMBO ALIYEWASILI KANISANI HAPO MWAKA HUU J2 YA TAREHE 30/07/2023

Wenyeji wa mgeni huyu walikuwa ni viongozi wale wale ambao mhusika ameshawataja hapo juu

Kwenye tukio la mkutano huo uliowahi kufanyika Januari 2021, kiongozi huyu naye pia alikuwepo kwenye mkutano huo

Kuanzia hiyo Januari 2021, kiongozi huyu naye vile vile hakuwa amewahi kuonekana tena Kanisani hapo hadi siku ya tarehe hiyo tajwa ya mwaka huu
  • Kwa mara zote hizi, wageni hawa wote wamekuwa wakifika Kanisa A kwa ajili ya theme moja kubwa ambayo ni kuwahamasisha wanaume wote Kanisani hapo, kutoa mchango wa TZS 24,000/=
  • Hakuna Ibada zozote zsa kila wiki za wanaume ambazo huwa zinafanyika Kanisani hapo na ndiyo maana upumbavu mwingi umekuwa ukiendelea Kanisani hapo kwa muda mrefu sasa
KM-A huwa hapendi Ibada za kila wiki za wanaume ziwepo Kanisani hapo kwa sababu anawaogopa wanaume anajua ni moto kwake kwa yale ambayo huwa anapenda aendelee kuyafanya

KUHUSIANA NA UTARATIBU WA SIKU ZOTE WA NAMNA AMBAVYO KAWAIDA MATANGAZO YA KANISA A HUWA YANATOLEWWA BAADA YA IBADA KUWA ZIMEMALIZIKA KWA SIKU ZA J2

Kawaida huwa yanatangulia kwanxza matanagzo kutoka kwa KWZ (au kwa viongozi wa zamu), halafu baada ya hapo hufuatia matangazo ya KM-A; na ambaye baada ya kumaliza matangazo yake huhitimisha na kufunga Ibada ya J2 husika.

Huu ndiyo utaratibu ambao umekuwepo kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni
  • Katika hali ya kawaida, KWZ au viongozi wa zamu, wao huwa wanatangaza mambo mawili makubwa ambayo ni uwepo wa wageni, kama wapo na pia ratiba ya wiki kwa wiki inayofuata
  • Katika hali ya kawaida, viongozi hawa huwa hawakaribishi wageni waliofika mahali pale kwa ajili ya kupanda juu ya madhabahu kulisalimia kanisa
Viongozi hawa vile vile huwa hawahusiki na ukaribisho wa wenyeji waliorudi kutoka safari baada ya kuwa wamesafiri kwa muda; kwa ajili ya kupanda juu ya madhabahu kulisalimia kanisa; unless KM-A hayupo Kanisani siku hiyo

Kwa hiyo katika hali ya kawaida, wakaribishwa wa aina hii wote huwa wanakaribishwa kupanda juu madhabahuni, na KM-A mwenyewe wakati wa matangazo yake ambayo kawaida huwa yanafanyika baada ya matangazo ya KWZ

Mbali na hilo, pale inapokuwa imetokea kwamba pengine KM-A hayupo Kanisani kwenye J2 husika, Kaimu wa KM-A ndiyo huwa anafanya kazi ya ukaribisho huo na huwa inakuwa kwenye muda ule wa matangazo ya awamu ya pili, na si kwenye muda wa matanagzo ya awamu ya kwanza ambayo huwa yanattolewa na KWZ

HITIMISHO

KWZ wa J2 ya tarehe 12/11/2023; alimkaribisha kiongozi wa chana cha vijana (KCV) aliyekuwa amesafri kwenda kwenye mikutano ya Injili, mara tu baada ya kuwa amesoma tangazo lake la kwanza la kuwakaribisha wageni, utaratibu ambao mhusika aliuona kwa mara ya kwanza ukifanyika Kanisani hapo

Katika hali ya kawaida, KCV alitakiwa kukaribishwa na KM-A wakati wa matangazo ya KM-A na si kukaribishwa na KWZ wakati wa matangazo ya KWZ

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KIINI CHA MATUKIO HAYA YOTE AMBAYO MHUSIKA AMEKUWA AKIYALEZEA HAPA: KM-A BADO ANASHAMBULIA KWA KUTUMIA MILANGO YA FAHAMU

Matukio haya yote yanaangukia kwenye milango ya fahamu ya mtu kuona na kusikia pia

Kwa hiyo hadi muda huu, KM-A bado ana operate kwa kutumia somo lake alilowahi kufundisha mwaka 2020 lililohusiana na NAFSI MWILI NA ROHO, ambapo alifanikiwa kurusha pepo kwenye milango yote mitano ya fahamu

Kile ambacho amekuwa akibaldilika tu with time, ni zile mbinu tu za namna anavyoitumia milango hiyo ya fahamu

Baadhi tu ya posts ambazo mhusika alishawahi kuzileta zikiwa na maelezo ya kile ambacho KM-A alishawahi kukifanya kuhusiana na milango ya fahamu ni hizi hapa

#420 , #1,160 , #1,279 , #1,342 , #1,478 , #1,592 , #1,602

HUKO OFISINI KWAO MHUSIKA NAKO AMBAKO MR X ANAENDELEA NA OPERTAIONS ZAKE

MR X AMESHAREJESHA TENA UTARATIBU WAKE WA KUTUMIA MICROSCOPES AKISHIRIKIANA NA WAFANYAKAZI WAWILI WALIOWAHI KUHAMIA WAKITOKEA DODOMA


Huko ofisini MR X naye bado anaendelea kutumia MICROSCOPES kama mbinu ya mashambulizi ya kupitia kwenye MACHO, isipokuwa kwa sasa ameadiilisha mbinu kwa maana kuwa kwa muda huu MR X hatumii tena mbinu zile za awali alizokuwa anazitumia kwa njia ya MICROSCOPES

  • Kwa hiyo kwa sasa MR X ana-operate tena kwa kutumia MICROSCOPES ila kwa kutumia mbinu na utaalamu mwingine ambao
  • Kwa wiki iliyopita, MR X alitumia masaa yasiyopungua kumi (10) akiwa yupo kwenye chumba cha microscopes, kwa siku mbili za J4 na J5
  • Ilikuwa ni baada ya kuwa amepitisha takribani nusu mwaka au zaidi, pasipo kuwa ameingia na kufanya kazi akiwa kwenye chumba hicho cha MICROSCOPES
Ilipofika Alhamis, MR X alileta kundi la kubwa la wanafunzi na kuliingiza humo halafu baada ya kuwa zimepita takribani dakika 10, wanafunzi hao aliwaondoa tena kwenye chumba hicho

  • Kwa wiki hii, jana J4 ya tarehe 13/11/2023 kundi jingine la wanafunzi lilikuja tena na kuchungulia tu kwenye chumba hicho halafu baadaye likaondoka.
  • Baada ya mhusika kuwahoji wanafuzni hao, walisema kuwa wamekosa funguo za kuingia ndani ya chumba hicho
Ilionekana kuwa wanafunzi hawa waliagizwa na mtu waje kwenye chumba hicho kwa kuahidiwa kuwa kungekuwa na kipindi, halafu baada ya hapo mtu aliyekuwa ana funguo akaamua kuwatelekeza kwa kujua kuwa hatimaye wangeondoka tu

Baada ya hapo, jana hiyo hiyo jioni kwenye mida ya karibia na saa 10, kijana mmoja aliyeonekana kuwa alitokea mtaani, alipewa funguo na kuja kukaa kwenye chumba hicho

Hadi mhusika anaondoka ofisini, kijana huyo alikuwepo kwenye chuba hicho

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UFAFANUZI KUHUSIANA NA MUUMINI KIONGOZI WA CAMA CHA VIJANA (KCV) HAPO KANISA A

KCV huwa pia ni mwimbaji kwa hiyo wakati mwingine huwa anapanda madhabahuni kwa ajili ya shughuli hiyo

Kutokana na hali hiyo, safari alizoziengelea humu mhusika zinazohusiana na KCV kusimama madhabahuni, hazihusiana na safari ambazo KCV huwa anasimama madhabahuni kwa ajili ya uimbaji

Zaidi ni kuwa hata mwenza wake pia naye ni mwimbaji isipokuwa yeye kwa sasa ana muda mrefu pasipo kusimama madhabahuni kutokana na ulezi wa kile “kimalaika”

Hata hivyo kwa kipindi cha hivi karibuni, mhusika ameshawahi kuisikia angalau mara mbili, sauti ya binti huyu ikiwa ipo kwenye baadhi ya nyimbo ambazo waimbaji huwa wanaweka kanda kwanza halafu wanaanza kuimba kwa kufuatisha

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 15TH NOVEMBER 2025

KUHUSIANA NA UTARATIBU KWA KU-RENEW MAPPEPO KWA KUTUMIA WAGENI KUTOKA NJE YA KANISA A


Kwa nini huwa inafanyika hivi? Je, watu wa kufanya renew ndani ya Kanisa A wanakuwa hawapo?

KWA NINI HUWA INAFANYIKA HIVYO?

Utaratibu huu unafanyika hivyo pale tu inapotokea kuwa watu waliopo ndani ya Kanisa A wamepoteza nguvu ya ku-renew mapepo hao

Hii huwa natokea hivyo baada ya RENEWERS hao kuzidiwa upako wa waumini waliopo Kanisani hapo; wauimini wale ambao huwa wanafika Kanisani hapo wakiwa na nia moja tu ya kufanya Ibada ya kweli ya kumuabudu Mungu mmoja Aliye Hai
  • Inapokuwa imetokea hivyo, inabidi sasa apatikane mtu mgeni mahali pale ambaye kwa siku za hivi karibuni, hajawahi kuwa na interactions za hapa na pale na waumini wa Kanisani hapo
  • Mgeni wa aina hii akishafika hapo Kanisani, na kufanikiwa kufanya RENEW, naye pia huchagua wawakilishi wengine kadhaa wa kumuwakilisha mahali pale atakapokuwa ameondoka
Mgeni huyu anaweza akafanya hivi kwa kuita kundi la watu mbele ya madhabahu na kwa kutumia sababu maalumu sana ambayo waumini wengine hawawezi kuitilia mashaka, halafu baada ya hapo akachagua waumini kutoka baadhi yao; na pasipo waumini wengine kugundua kuwa anachagua wawakilishi

Mbali na hao wa kuchaguliwa, wapo pia watu wengine ambao mgeni huyu huwa AUTOMATICALLY anawaachia uwakilishi

Hawa wao huwa hahitaji kuwapata kwa mtindo huu kuwatita mbele ya madhabahu na ni wale wenyeji wake ambao waliomualika Kanisani hapo.

Hawa huwa AUTOMATICALLY wanaingia kwenye kundi la uwakilishi wake anapokuwa ameondoka; na kuanzia hapa ndiyo pale MAMBO YA DATABASES yanapoingia tena

Kwa hiyo mzee aliyefika Kanisani J2 iliyopita, anao watu walioko kwenye rika lake ambao alikuja kwa ajili ya kuwarekebishia uwakilishi wao Kanisa hapo, baada ya kuwa wao wamepoteza nguvu hiyo

Vinginevyo hapakuwa na haja ya yeye kuitwa, assuming wahusika waliopo Kanisani hapo wasingekuwa wamepoteza nguvu hiyo

BAADHI TU YA IBADA AMBAZO WAWAKILISHI WA AINA HII WALIWAHI KUCHAGULIWA KUTOKA KWENYE KUNDI LA BAADHI YA WAUMINI KWA KUITWA MBELE YA MADHABAHU

MOSI:
Ni kijana mgeni aliyetambulishwa na mgeni wa kutoka Jimboni, kwenye mkutano wa wanaume J2 iliyopita; waliokuwepo kwenye mkutano huo walimuona kijana huyo

PILI: NI vijana wawili waliowahi kutumiwa na KM-A kwa demonstrations mwaka 2020 wakati alipokuwa anafundisha somo la MWILI, NAFSI NA ROHO

TATU: Ni kwenye J2 ile ya UTAMBULISHO WA IDARA MPYA YA MAMBO YA MUZIKI wakati wa Ibada ya pili (kwenye Ibada ya kwanza kitu hiki hakikuwa kimefanyika), ambapo siku hiyo baadhi ya waumini waliitwa na mgeni ambaye alikuja wakati wa IBADA YA PILI TU kupandisha juu ya madhabahu
  • Ilikuwa ni kwenye J2 ile ambayo mgeni huyu alikuja kuelezea uanzishwaji wa idara hiyo mpya ya mambo ya MUZIKI
  • Mgeni huyu alihudhuria Ibada ya pili peke yake ila alikuwa ni mgeni wa pili aliyefika Kanisani hapo J2 hiyo, aliyehusika na theme hii ya mambo ya MZIKI
  • Mgeni mwingine wa kwanza kabla ya huyu J2 hiyo, tayari alikuwa ameshafanya kazi hiyo wakati wa Ibada ya kwanza na kuondoka, baada ya yeye kuwa amehudhuria Ibada ya kwanza tu
  • Mgeni huyu wa kwanza aliondoka mara baada tu ya Ibada ya kwanza kumalizika na hivyo kutoa nafasi ya mgeni wa pili kuwepo wakati wa Ibada ya pili
Mgeni aliyekuwepo Ibada ya kwanza yeye hakufanya demonstrations, ila wa pili ndiyo alifanya kwa kuwaita baadi ya waumini juu ya madhabahu

J2 hiyo, mhusika aliwahi kwenye Ibada na hivyo wakati mgeni wa kwanza anaanza kutoa tangazo lake; mhusika alikuwepo Kanisani akimsikiliza

Baada ya kumaliza tangazo lake, mgeni huyu wa kwanza aliondoka na kuwa replaced na mgeni mwingine kwenye Ibada ya pili ambaye huyu wa pili sasa alilazimika kufanya demonstration kwa kuwaita watu juu madhabahuni

  • Katika hali ya kawaida, mgeni mwenye ujumbe kutoka nje, huwa ni mmoja huyo huyo kwa Ibada zote mbili kwenye J2 husika
  • Siku hiyo, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kuona ujumbe wa aina moja unaletwa Kanisa A na kutangazwa na wawakilishi wawili tofauti kwenye mojawapo ya kila Ibada, kwa Ibada mbili za J2 moja
…………………………….inaendelea
 
BAADHI TU YA IBADA AMBAZO WAWAKILISHI WALIWAHI KUCHAGULIWA…..

…..inaendelea

NNE:
Kwenye J2 ambayo KM-A alianza rasmi kutumia teknini ya DATABASE YA WATU NA MAKAZI, na akawa nachagua KEYS
Ilikuwa ni mwaka jana (2022), kwenye J2 ya kwanza kufuatia wiki ile iliyokuwa ni ya KONGAMANO LA JIMBO lilifanyika Kanisa A

Maelezo ya kamili kuhusiana na kile kilichowahi kutokea siku hiyo yako kwenye post hizi hapa: #1,177 #1,464

TANO: Kwenye J2 ya hivi karibuni ya Ibada ambayo mhudumu mgeni alimpandisha muumini mmoja juu madhabahuni na hatimaye wawili hao kuanza kuigiza namna ambavyo watumishi matapeli wamekuwa wakifanya ili kuwavutia watu wengi kuja kwenye Ibada hizo za kitapeli kusudi watumishi hao WAWEZE KUPIGA PESA NZURI kutoka kwa watu hao wanaoweza kuvutiwa na Ibada za namna hiyo

SITA: Kwenye J2 ambayo wageni wawili walifika kwa ajili ya kutoa TANGAZO LA MELI YA VITABU inayotembea, na ambayo ilikuwa inatarajiwa kuondoka siku hiyo hiyo jioni
  • Wahudumu wa siku hiyo walikuwa ni wageni VERY UNIQUE
  • Waumini kadhaa walipandishwa juu madhabahuni siku hiyo kwa ajili ya demonstrattion
Tukio hili mhusika aliliona siku hiyo hiyo lakini alsihondwa kuliongelea papo kwa papo kwa sababu lilikuwa limekaa TENGE KIDOGO na hivyo aliamua “KUKAUSHA”

Kuna matukio mengine ukiyaingia vibaya, yana-BACKFIRE kwako wakati unachokisema ni sahihi


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 17TH NOVEMBER 2023

BAADHI TU YA MATUKIO MUHIMU YALIYOJIRI KUANZIA WIKI ILE AMBAYO MHUSIKA ALIPOTEZA FUNGUO ZA OFISI AKIWA YUPO PEKE YAKE OFISINI HADI KUFIKIA MUDA HUU


Siku mhusika alipopoteza funguo za ofisi ilikuwa ni siku ya j5majira ya baada ya saa 7 mchana

OM-2 hakuwepo ofisini hapo ila alikuwepo kwenye mazingira mengine ya ofisini; alikuwa kwenye training iliyokuwa inafanyikia ndani ya Taasisi

Baada ya wiki hiyo kupita, J3 asubuhi ya wiki nyingine iliyofuata, mhusika alikaboidhiwa funguo zingine mpya za ofisi na MWI

MOJAWAPO YA NOTABLE EVENT OFISINI HAPO WAKATI MHUSIKA ANAKABIDHIWA FUNGUO NA MWI J3 HIYO ASUBUHI

J3 hiyo, mhusika alikuta ndani ofisini kuna RAMANI za kufundishia wanafunzi zikiwz zimewekwa juu ya meza, RAMANI ambazo siku ya J5 wakati anapoteza funguo, hazikuwepo ofisini hapo

J5 wakati mhusika anatoka ofisini baada ya ofisi hiyo kuwa imefungwa kwa kutumia kufuli la Maaskari, RAMANI hizo hazikuwepo; na wiki hiyo yote husika kuanzia J3 hadi J5 hiyo, mhusika alikuwa yupo peke yake ofisini; hapakuwa na RAMANI ofisini humo

Baada ya mhusika kuziona RAMANI hizo J3 hiyo pindi alipokuwa anakabidhiwa funguo na MWI , alimuuliza MWI kama alikuwa ana ufahamu wowote kuhusiana na RAMANI hizo, kitu ambacho MWI alikanusha

Baadaye jioni J3 hiyo (siku ambayo mhusika alikabidhiwa funguo), OM-2 alifika ofisini akiwa anatokea kwenye training

  • Baada ya OM-2 kutua begi lake na kabla hajakaa kwenye kiti au kuongea chochote na mhusika, alizichukua RAMANI hizo na kuondoka nazo akisema anazipelekea kule alikoagizwa kuzipeleka
  • OM-2 aliondoka na RAMANI hizo na kuzipeleka kwenye ofisi ghorofa ya juu; kwenye ofisi ya Kaimu MWI aliyewahi kumpeleka OM-1 (ambaye yupo safari hadi muda huu) kwenye viwanja vya Sabasaba
OM-2 aliemweleza hivyo mhusika baada ya kuwa amerudi kutoka kule alikokuwa amezipeleka RAMANI hizo

Zaidi ni kuwa OM-2 alieleza kuwa RAMANI hizo aliachiwa na MFD (Mfanyakazi aliyehamia kutoka Dodoma) wiki iliyokuwa imepita nyuma, (kwenye mojawapo ya siku za wiki ile ambayo mhusika alikuwa hayupo ofisini baada ya kupoteza funguo)

Siku hiyo MFD alikuwa anaelekea likizo na ndiyo maana ilibidi azikabidhi RAMANI hizo kwa OM-na wakati mhusika na OM-2 wanafayanya maongezi yao haya, MFD alikuwa tayari yupo likizo

……………………………….inaendelea
 
BAADA YA SIKU KADHAA KUWA ZIMEPITA KUTOKEA SIKU HIYO YA TUKIO LA RAMANI

Kwenye J5 moja ya wiki, MFD alirudi kutoka likizo kwa maana kuwa siku ya kwanza MFD kuonekana ofisini baada ya kuwa ametok likizo, ilikuwa ni siku ya J5

Kwenye wiki hiyo yote ambayo MFD alirudi kutoka likizo, MWI hakuwepo ofisini, alikuwa amesfairi

Vile vile, OM-2 naye pia hakuwepo ofisini kwa wiki yote hiyo; possibly alikuwa kwenye training nyingine, mhusika hakumbuki vizuri

KESHO YAKE ALHAMIS BAADA YA MFD KUWA AMERUDI KUTOKA LIKIZO

MFD alifika ofisini kwa mhusika akiwa na ameambatana na MAFUNDI WALE WA KUWEKA VIBAO VYA MAJINA YA WAFANYAKAZI kwenye milango ya ofisi zao

Kulikuwa bado kuna awamu ya wafanyakazi wachcahe ambao vibao vya aina hiyo vilikuwa bado havijawekwa kwenye milango ya ofisi zao; na mmoja wa wafanyakazi hao alikuwa ni OM-2, na ambaye kwa wakati naye vile vile alikuwa hayupo ofisini

  • MFD alimjulisha mhusika kuwa mafundi hao walikuwa wamerudi tena kuja kuweka vibao kwenye milango ya ofisi, na mhusika aliipokea taarifa hiyo na kuwaruhusu mafundi hao kuendelea na kazi yao
  • Baada ya hapo, mafundi hao waliweka kibao cha OM-2 na hatimaye waliondoka
Ikumbukwe pia kuwa kwa mara ya kwanza, mafundi hao walionekana ndani ya jengo wakiwa wanafanya kazi hiyo Alhamis ya tarehe 25/05/2023, MWI akiwa yupo safari

  • Baada ya hapo, mafundi hao walikuja wakarudi tena kwa safari ya pili; na safari hiyo pia MWI alikuwa amesafiri
  • Na kwa safari hii nyingine ya tatu ambayo mafundi hao waliletwa na MFD, kwa mara nyingine tena MWI alikuwa yupo safari
WIKI ILYOFUATA BAADA YA MAFUNDI KUWA WAMEWEKA KIBAO CHA OM-2KWENYE MLANGO WA OFISI

MWI alikuwa tayari amesharudi kutoka safari na alifanikiwa kufika ofisini kwa mhuiska, huku OM-2 akiwa hayupo, alikuwa bado hajarudi

MWI alikikagua kibao kilichowekwa na mafundi hao, na baada ya hapo alimuuliza mhusika kuhusiana na kibao kingine cha OM-1 (ambaye bado yupo safari) kuwa kwa nini hawakufanikiwa kukiweka

  • Mhusika alimjibu MWI hawakuwa nacho siku hiyo na kwamba kibao pekee walichokuwa nacho kilikuwa ni cha OM-2 tu
  • Baada ya hapo, MWI alitoa comment akisema kuwa inabdi warudi tena ili waje wakiweke pia kile cha OM-1
Hadi leo hii mafundi hao hawajarudi tena huku kazi yao hiyo iliyoanza MWISHONI MWA MAY 2023 ikiwa bado haijamalizika.

Hili tukio moja

……………………………….inaendelea
 
MATUKIO MENGINE MAWILI YA GARI LA MHUSIKA KUPATA MATATIZO YA GIA KUGOMA KUINGIA

TUKIO LA KWANZA


Baada ya kutokea, mhusika alilipeleka gari gereji na kufanyiwa matengenezo

Baada ya kuwa zimepita tarkribani wiki mbili au tatu, tatizo hilo lilirudi tena

KABLA MHUSIKA HAJALIRUDISHA TENA GARI GEREJI KWA AJILI YA MATENGENEZO KWA AWAMU YA PILI

MATUKIO MUHIMU KIPINDI GARI LIKIWA BADO NI BOVU; GIA ZIKIWA BADO ZINAINGIA KWA SHIDA


J5 ya terehe 25/10/2023 asubuhi, mhusika akiwa anatokea nyumbani kuelekea ofisini; baada ya kuwa amefika kwenye parking za ofisini, Dereva wa MWI akiwa na gari lake, alim-block kidogo mhusika na hivyo akawa ameshindwa kufanikiwa kukata kona ya haraka BILA KUPANGUA GIA ili kuingia kwenye parking

Dereva huyu naye pia alikuwa kwenye gari na alikuwa anajiandaa kutoka kwenye mojawapo ya parking, huku mhusika naye akiwa anataka kuingia kwenye mojawapo ya parking iliyokuwa kulia mbele ya ile aliyokuwepo dereva wa MWI
  • Baada ya tukio hilo kutokea, GARI LA MHUSIKA LILIZIMIKA, gia ziligoma kuingia
  • Haikuwa mara ya kwanza kwa tukio la aina hii kumtokea na hivyo, hakumlaumu mtu huyu aliyekuwa anajiandaa kutoka kwenye parking
Baada ya kuhangaika nalo kwa sekunde kadhaa, hatimaye mhusika alifanikiwa kuliondoa mahali pale na kuliweka vizurri kwenye parking

Hilo tukio likapita

JIONI SIKU HIYO YA J5 TAJWA WAKATI MHUSIKA ANATOKEA OFISINI KURUDI NYUMBANI

MAELEZO YA UTANGULIZI


Kwenye njia ambayo karibia mara zote mhusika huwa anapita, umbali wa takribani mita 300 kutokea ofisini kwake, huwa kuna kona kali ambayo huwa anakunja kushoto

Kwa wiki hiyo ambapo gari lake lilikuwa bado lina matatizo ya gia, ilikuwa kila akitaka kupangua gia ili kuweza kukata kona hiyo, gia zilikuwa zinagoma kutoka na hivyo kupelekea gari lake kuzimika likiwa kwenye kona hiyo

Kwa hiyo tangu wiki hiyo ianze, kwa siku mbili mfululizo za wiki hiyo zilizokuwa zimepita nyuma, yaani J3 na J4 gari hilo lilikuwa likimzimikia akiwa kwenye kona hiyo kwa siku zote hizo mbili

BAADA YA MHUSIKA KUKARIBIA KWENYE KONA TAJWA J5 HIYO, KONA AMBAYO GARI LAKE LIMEKUWA LIKIMZIMIKIA


Akiwa bado yupo mbali, alimuona binti staff-mate kutoka kwenye MAJOR UNIT nyingine, ambaye waliwahi kuwa majirani pia mahali ambapo mhusika bado anaishi hadi sasa

  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona binti huyu akiwa maeneo yasiyokuwa jirani sana na majengo ya ofisi, na pasipo kuwa anaendesha gari
  • Mara zote amezoea kumuona binti huyu akiwa anapita au wanapishaana akiwa anaendesha gari
Siku hiyo binti huyu hakuwa na gari na walikuwa wawili; alikuwa yupo ameambatana na mtu mwingine wa kiume ambaye mhusika hakumfahamu
  • Wawili hawa walikuwa wanatembea kwa mguu na walikuwa tayari wameshafika kwenye kona ile ile ambapo gari la mhusika limekuwa likimzimikia anapotaka KUPANGUA GIA ili aweze kukata kona hiyo
  • Baada ya kuwa amewaona watu hawa na kabla hajafika kwenye kona hiyo, mhusika alimsikia binti aki-shout kutokea mbali na kwa sauti ya juu akisema “LIFT”
Baada ya kusikia hivyo, mhusika aliamua kubadilisha njia na kupita njia nyingine ambayo ilikuwa haihitaji KUPANGUA GIA za gari kwa sababu kona hiyo ipo kwenye njia panda pia

Vinginevyo kama mhusika angeamua kukata kona pale ili kupita njia yake ya siku zote, lazima ingebidi APANGUE GIA na hapo lazima gari lingezimikiaa

Na kama ingetokea hivyo, kwa mtu mwingine aliyekuwa mbali na pale, angedhani kuwa mhusika alisimama pale ili kutoa “LIFT” aliyokuwa ameombwa na binti

Kwa hiyo kwa siku hiyo, mhusika aliamua kuchukua alternative route

MARA YA MWISHO FUNDI WA GARI ALISHAURI KUWA KAMA TATIZO LITATOKEA TENA, BASI INABIDI MHUSIKA ANUNUE SPARE KIT

KWA HIYO ILI KUWEZA KUMUDU MATENGENEZO YA AWAMU YA PILI, MHUSIKA ILIBIDI ASUBIRIE MSHAHARA


Ikumbukwe kuwa hadi kufikia J5 hiyo, mshahara wa mwezi Oktoba 2023 ulikuwa bado haujatoka

Mara ile ya kwanza mhusika alipolipeleka gari gereji baada ya gia kugoma kuingia, fundi wa gari alishauri kuwa kama tatizo lingejirudia tena, basi itabidi mhusika alirudishe tena ili likawekewe complete spare kit badala ya kubadilisha tu spare part kama fundi huyo alivyokuwa amefanya siku hiyo

Kwa hiyo hadi kufikia J5 hiyo ya tarehe 25/10/2023, mhusika alikuwa anaendeea kusubiria mshahara kwanza ambao ulikuja kutoka kesho yake Alhamis na siku hiyo ndipo alipofanikiwa kulirudisha tena gari hilo gerejji safari hii kwa kwa ajili ya kuwekewa spare kit na si kubadilisha spare part tu

………………………….itaendelea
I
n the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 22ND NOVEMBER 2023

KUHUSIANA NA WAFANYAKAZI WAGENI WAWILI WALIOTAMBULISHWA KWA MHUSIKA NA MWI MWEZI AUGUST 2023, NA KATIKA KIPINDI AMBACHO WAFANYAKAZI WENYEJI WALIKUWA HAWAPO OFISINI, WALIKUWA WAMEONDOKA KWENDA FIELD


Baada ya wafanyakazi wenyeji waliowahi kwenda field mwezi August 2023 kuwa washarudi tena ofisini na hatimaye wanafunzi nao kuwa wamesharudi na kuanza masomo kuanzia mwezi Novemba 2023, wafanyakzi hawa wageni hao waliowahi kutambulisha mwezi August, hawapo tena ofisini

Kipindi wanatambulishwa mhusika alishangaa kwa nini walitambulishwa muda huo ambao wafanyakzi wengine hawakuepo ofisini, na katika muda ambao wanafunzi walikuwa wameondoka kwenda likizo

Kwa muda huu, wanafunzi wapo wamesharudi kutoka likizo na wafanyakazi wenyeji nao wote wapo lakini wafanyakazi wageni wawili hao hawapo tena ofisni, huku ratiba ya vipindi ikiwa inaonyesha kuwa kuna kozi ambazo wanatakiwa kufundisha

Kuna dalili zinaanza kuonyesha za wafanyakazi hawa wageni kuanza kuchenganya na wafanyakazi wenyeji ikiwa ni pamoja na wanafunzi

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 27TH NOVEMBER 2023

TAARIFA KUHUSIANA NA MWENENDO WA OM-2 OFISINI MAZINGIRA YA OFISINI; OM-2 BADO ANAENDELEA KUKWEPANA NA STAFF KARIBIA WOTE IDARANI

MOSI:
Haendi lunch na akishakaa kwenye kiti ofisini, ni vigumu sana kutoka kuelekea sehemu nyngine, na akitoka hazizidi dakika mbili anakuwa amesharudi tena na kukaa

PILI: Haiingii chumba cha chai kunywa chai na wala hakai sehemu nyingine yoyote ile kama vile kupumzika kwa muda, tofauti na ofisini kwake

TATU: Hana interactions na staff wengine isipokuwa tu yule binti staff ambaye mume wake ni staff pia. Binti huyu huwa anafika mara kwa mara kuja kuonana naye ofisini

  • Binti naye huwa hakai kabisa ofisini kwake na hadi kufikia leo hii, mhusika hajawahi kubathatika kumkuta hata mara moja tu akiwa yupo ofisini kwake,
  • Kwa sasa binti huyu ana zaidi ya miezi mine yupo ofisini lakini mhusika pamoja na utafiti wake,hadi leo bado hajabahatika hata mara moja kumkuta yupo ofisini kwake
NNE: Kwa wiki ya pili sasa, wafanyakazi wa usafi wanapokuja kufanya usafi ofisini, OM-2 anapotelea ndani ya jengo, huwezi kumuona mahali anapokuwepo

Kwa mfano, J3 iliyopita kuna kundi la wanafunzi waliokuwa wanahitaji kukusanya project zao kwake, walikuwa wanamtafuta ila hawakuweza kumpata; ilibidi mhusika awahudumie kwa muda badala yake

J3 hiyo aliwapisha wafanyakazi wa usafi kwa kutoka akiwa pamoja na laptop yake kabisa

TANO:
KWA WIKI JUZI, angalau mhusika aliweza kumuona mara kadhaa OM-2 akiwa yupo darasani na wanafunzi, ISIPOKUWA KWA WIKI JANA, mhusika hajabahatika tena kumuona tena OM-2 akiwa katika mazingira hayo

Kwa WIKI JANA NZIMA, OM-2 amekuwa akitoka ofisini kuelekea kwenye vipindi darasani isipokuwa mhusika hakufanikiwa tena kubahatika kumona tena akiwa na wanafunzi kwenye madarasa yale ambayo awali alikuwa akimuona ndani ya wiki iliyokuwa imepita nyuma

KWA SIKU HII YA LEO J3 YA TAREHE 27 NOVEMBA 2023

Baada ya wafanyakazi wa usafi kufika kwa ajili ya usafi ofisini asubuhi hii, OM-2 AME-SUBLIME ndani ya jengo

Hiki kitu ndicho kilitokea pia J3 iliyopita ya tarehe 20 Novemba 2023
  • Hii haimaniishi kuwa OM-2 anakuwa amedhamiria kuwakwepa na staff wote, hapana isipokuwa lipo kundi ambalo analazimika kukwepana nalo kwa maigizo, huku kundi hilo likiwa linajua ni nini kinaendelea
  • Mojawapo ya watu waliopo kwenye kundi hili ni kama MKUU WA MAJOR UNIT, MKUU WA IADARA, SENIOR MSTAAFU WA KIKE, MFD na wengine kadhaa
Hata hivyo, lipo pia kundi la staff ambalo anakwepana nalo si kwa maigizo ila akiwa anamanisha na akiwa ana dhamira moja ya kukwepana nalo

Taarifa zaidi zitafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT
Mwendelezo wa maelezo yaliyopo kwenye/ yanayohusiana na post hii hapa
#1,775
 
………………..inaendelea kutokea kwenye post hii hapa #1,775

BAADA YA TUKIO LA MHUSIKA KUOMBWA “LIFT” J5 YA TAREHE 25/10/2023 KUWA LIMEPITA

Kesho yake Alhamis ya tarehe 26/11/2023 asubuhi akiwa anajiandaa kuelekea ofisini, mhusika alipokea ujumbe kwenye simu ukimjluisha kuwa mshara ulikuwa umeingia kwenye account yake

Siku hiyo sasa ndiyo mhusika aliamua kulipeleka gari lake gereji, isipokuwa alianzia ofisni kwanza

Kabla ya hapo, mhusika hakuwa na hela iliyokuwa inatosha kuliepeleka gari hilo gereji, ukizingata ushauri wa fundi siku ile alipokuwa amelipelkea kwa mara ywa kwanza

BAADA YA MHUSIKA KULIFIKISHA GARI GEREJI

Kama ilivyo kawaida siku zote, fundi mhusika aliondoka kwenda kununua spare kit kwa usafiri wa bodaboda

Baada ya kurudi na kifaa, fundi alifanikiwa kufunga spare kit hiyo

Hata hivyo fundi aligundua pia kuwa COMPRESSOR YA AC ambayo huwa haifanyi kazi, ilikuwa TAMPERED WITH kwa makusudi, muda mfupi kabla ya mhusika kuipeleka gari gereji

Kuna kitu kama CAP inayofunika kwenye tumbo la compressor, screws zake zlikuwa zimefunguliwa na cap hiyo kuondolewa na kukwekwa mahali fulani ambapo hakiuweza kudondoka chini, lengo ikiwa ni mhusika kuwaomba mafundi wa AC waweze kuirudishia cap hiyo kwa kuifunga upya; kazi ambayo ingekuwa nje ya kazi ile mama ambayo lilikuwa imepelekea mhusika alipeleke gari lake gereji

Compressor hiyo ya AC ndiyo ile ambayo hapo kabla, mhusika aliwahi kuleta habari zake humu kupitia kwenye baadhi ya post hizi hapa #964 #965 , #966 , #976 , #978 #1,146

Ikumbumbukwe pia kuwa kwa mara zote hizi mbili; patterni hii hapa ilijitokeza kuhusiana na MR X

Mara ya kwanza MR X alisafiri kwanza halafu baada ya muda mfupi, gari la mhusika liliharibika

Baada ya siku kadhaa, MR X alirudi kutoka safari na hatimaye alisafri tena kwa mara ya pili

Baada ya siku kadhaa kupita tena huku MR X akiwa ameshasafiri, gari la mhusika liliharibika tena kwa mara nyingine ya pili

MATUKIO MENGINE TENA BAADA YA WIKI HIYO KUPITA NA KUANZA WIKI NYINGINE TENA ILIYOANZIA J3 YA TAREHE 29/10/2023

……………………inaendelea
 
ASUBUHI YA J4 YA TAREHE 30/10/2023 WAKATI MHUSIKA ANATOKA NYUMBANI KUELEKEA OFISINI

Kwenye kituo cha daladala jirani na mahali pale anapoishi, mhusika alimpita mtu (tumwite MTU A) wanayefahamiana pasipo kumchukua mojawapo ya sababu ikiwa ni mhusika kutokujua kwa nini MTU A alikuwa yupo pale muda huo

  • Kwa kipindi chote cha takribani miaka 20 ambayo mhusika amekuwa akiishi eneo hilo, hajawahi kumkuta MTU A akiwa mahali pale
  • Mhusika alihamia kwenye eneo analoishi sasa na kumkuta MTU A akiwa tayari anaishi maeneno hayo
  • Mbali na hilo, ni kweli kwamba MTU A anaishi jirani na pale lakini kituo chake cha karibu zaidi cha kupandia daladala siyo hicho alipokuwepo siku hiyo; kituo chake cha karibu zaidi alikuwa amekipita/ amekiacha nyuma
  • MTU A hakuwa kwenye uelekeo wa ofisini kwake, alikuwa amechukua uelekeo mwingine
Zaidi ni kuwa dalili za siku za nyuma kuhusiana na MTU A, zilikuwa zinaonyesha kuwa huwa anayo gari na hivyo pengine kwa siku hiyo alikuwa amepata dharura iliyokuwa imepelekea asichukue garii lake

Mhusika alimpita MTU A pasipo kumchukua ila kwa kumuomba radhi kumuonyesha kuwa alikuwa na udhuru na hivyo asingeweza kumchukua kwa siku hiyo

BAADA YA MHUSIKA KUWASILI MAENEO YA OFISINI ASUBUHI YA SIKU HIYO YA J4

Kwa mara ya kwanza, MR X alirudi tena ndani ya CHUMBA CHA MICROSOCPE
kwa maana kuwa alianza tena kufanya kazi akiwa humo, baada ya kuwa amepitisha muda usiopungua nusu mwaka
  • Hapa MR X alikuwa tayari amesharudi kutoka kwenye safari yake ya ile ya pili
  • Kwa wiki hiyo, MR X alianza kufanya kazi akiwa kwenye chumba hicho cha MICROSCOPES, na alifanya kwa siku mbili mfululizo za J4 na J5
  • Kwa siku zote hizo mbili, MR X alikuwa anaingia humo asubuhi mida ya saa tatu na alikuwa anatoka humo kwenye late hours; possibly baada ya saa 12 jioni
Mhusika alikuwa antoka ofisini na kumuacha MR X akiwa bado yupo kwenye chumba hicho

SIKU MBILI TENA BAADA YA SIKU HIYO YA J4 KUPITA: ASUBUHI YA SIKU YA ALHAMIS YA WIKI HIYO MUDA MHUSIKA ALIPOKUWA ANATOKA TENA NYUMBANI KUELEKEA OFISINI

Kwa mara nyingine tena, mhusika alimpita MTU A; yule aliyewahi kumpita siku ya J4, akiwa kwenye kituo hicho hicho cha daladala, ila safari hii hakuwa peke yake; alikuwa na watu wengine wawili kituoni hapo

Mmoja wao watu hao alikuwa ni mama jirani anayeishi block jirani na lile la mhusika

  • Kwa siku hiyo pia, pamoja na kuwa mhusika na mama yule ni majirani, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumkuta mama huyu akiwa yupo amesimama kwenye kituo hicho
  • Mbali na mama huyo, alikuwepo pia mtu mwingine wa tatu mwanamme, ambaye huyo mhusika hakumfahamu
Watu wote hawa watatu walikuwa wamechukua uelekeo ule aliokuwa anaelekea mhusika

Mhusika alitoa udhuru tena kwa mara nyingine siku hiyo na hivyo hakuweza kuwachukua

  • Kwa matukio ya upande wa ofisini, siku hii ndiyo Alhamis ile ambayo baada ya mhusika kuwa amefika ofisini, ilitokea wakati fulani kundi kubwa la wanafunzi likaletwa kwa ajili ya kipindi kwenye chumba cha MICROSCOPES.
  • Hata hivyo baada ya muda mfupi kupita, kundi hilo liliondolewa tena kwenye chumba hicho, kabla ya OM-2 (ambaye muda wote asubuhi hiyo hakuwepo ofisini), kuonekana tena ofisini siku hiyo, baada ya kundi hilo la wanafunzi kuwa limeondoka
KITU UNIQUE KILICHOTOKEA KWENYE SIKU HIZI MBILI AMBAZO MR X ALIANZA KUONEKANA TENA AKIWA ANAFANYA KAZI KWENYE CHUMBA HICHO CHA MICROSCPES

KWA MARA YA KWANZA, PATTERN YA MUDA WA OM-2 KUINGIA OFISINI ASUBUHI ILIBADILIKA


Pattern ya awali ya OM-2 kuingia ofisini kabla ya siku hizo mbili, ilikuwa ni kawaida mara zote kwamba OM-2 alikuwa anaingia asubuhi ofisini kabla ya mhusika kuingia

Kwa siku hizo mbili ambzao MR X alianza kuonekana chumba cha MICROSCOPES, OM-2 alianza kuingia ofisini baada ya mhusika kuwa ameshafika ofisini kwanza

Kwa hiyo kwa siku zote hizo mbili za J4 na J5, MR X alikuwa akifika jirani na ofisi yao mhusika na OM-2 na kukuta OM-2 akiwa bado hajawasili ofisini

Kwa siku ya tatu ya Alhamis, OM-2 alikuwa ameonyesha dalili za kutokuonekana kabisa ofisini siku hiyo, ila alikuja kuonekana baadaye baada ya wanafunzi kuingia chumba cha MICROSCOPE

KWA SIKU YA ALHAMIS YA TAREHE 02 NOVEMBA 2023; AWALI OM-2 ALIKUWA AMEONYESHA DALILI ZA KUTOKUWEPO KABISA OFISINI SIKU HIYO

Aidha siku hiyo MR X naye alikuwa amesitisha kazi zake ambazo alikuwa amezifnaya kwa siku mbili mfululizo kwenye chumba cha MICROSCOPES, na OM-2 naye alikuwa hajawasili ofisini siku hiyo hadi kufikia mida ya saa 4 asubuhi

MUDA MFUPI BAADA YA SAA NNE ASUBUHI………..
  • Kundi kubwa la wanafunzi lililetwa kwa ajili ya kipindi kwenye chumba hicho cha MICROSCOPES
  • Hadi kufikia muda huo, OM-2 alikuwa bado hajaonekana ofisini siku hiyo
Baada ya kuona hivyo, mhusika aliamua kuripoti swala hilo humu jukwaani; issue kubwa hasa ikiwa ni OM-2 kuanza kuonyeshana dalili za kukwepana pia na wanafunzi, hasa baada ya wanafunzi kuwa wamerudi kutoka likizo

Mhusika akiwa yupo anajitayarisha kupost uzi kuhusiana na tukio hilo, ghafla wanafunzi hao waliondolewa tena kwenye chumba cha MICROSCOPES; na baada ya muda mfupi OM-2 alionekana tena ofisini ikiwa ni muda mfupi tu baada ya wanafunzi hao kuondoka kwenye chumba hicho

Ilionyesha dalili za kama OM-2 alikuwemo ndani ya jengo mahali fulani siku hiyo, na hivyo wakati wanafunzi wanaondolewa kwenye chumba cha MICROSCOPES, OM-2 aliamua kuhama tena kutoka mahali fulani kule alikokuwa na kuhamia ofisini kwake

COINCIDENCE NYINGINE ILIYOJITOKEZA HIVI KARIBUNI IKIONYESHA DALILI ZA KUFUTA PATTERN YA KUKWEPANA ILIYOKUWA IMEANZA KUJITOKEZA KATI YA WANAFUNZI NA OM-2

Ijumaa ya tarehe 17/11/2023
mhusika aliondoka ofisini kwenye mida ya saa kumi na moja kasoro, na alimwacha OM-2 akiwa yupo maeneo ya ofisini, isipokuwa alikuwa ametoka nje kidogo ya ofisi

Ilipofika J3 ya tarehe 20/11/2023; mhusika alifiks ofisini na kumkuta OM-2 akiwa na lundo la PROJECTS WRITEUP za wanafunzi akiwa amezikusanya mezani kwake

Ilionyesha kuwa AIDHA OM-2 alizikusanya PROJECTS hizo siku ya IJUMAA ya tarehe 17/10/2023 jioni baada ya mhusika kuwa ametoka ofisini; (kitu ambacho ni unlikely kwa sababu kwa muda huo wanafunzi walio wengi huwa wameshaondoka maeneno ya ofisini); AU zilikuwa tayari zimeshakusanywa na mtu mwngine kabla ya siku hiyo na baada ya hapo OM-2 alikabidhiwa PROJECTS hizo siiku hiyo ya IJUMAA jioni

Kwa hiyo hadi kufikia J3 hiyo ya tarehe 20/10/2023, PROJJECTS hizo zilikuwa bado zinaendelea kukusanywa na hadi kufikia muda ule ambao wafanyakazi wa usafi waliwasili ofisini kwa ajili ya usafi

Baada ya mhusika kuwa wamewapisha wafanyakazi hao, ndiyo pale sasa OM-2 alipopotea mazingira ya ofisini kwake akiwa na laptop yake na hivyo kupelekea mhusika kuingilia kati zoezi hilo kwa wanafunzi wale ambao walikuwa bado wanaendelea kukusanya PROJECTS hizo

KUHUSIANA NA SWALA HILI LA PROJECTS ZA WANAFUNZI: NAMNA UTARATIBU WA SIKU ZOTE WA UKUSANYAJI WA PROJECT HIZO ULIVYO

Kawaida kila mwanafunzi huwa ana SUPERVISOR wake na hivyo kila mwanafunzi huwa anatakiwa kukusanya PROJECT REPORT yake kwa SUPERVISOR wake; na huu ndiyo utaratibu wa taasisi zote za juu ikiwa ni pamoja na hata kwenye shule za Sekondari


Mhusika alikuwa hajawahi kuuona huu utaratibu wa sasa wa mtu mmoja kukusanya PROJECTS zote wakati kila PROJECT ina SUPERVISOR wake

…………………………….inaendelea
 
BAADA YA OM-2 KUPOTEA OFISINI J3 YA TAREHE 17/11/2023 ASUBUHI HUKU WANAFUNZI WAKIWA WANAENDELEA KULETA PROJECTS ZAO

Idadi ya PROJECTS ambazo mhusika alizikuta zikiwa pamoja na OM-2 asubuhi ya J3 tajwa, idadi yake iilikuwa takribani nusu ya projects zote za wanafunzi hao ambao wote wako mwaka wa mwisho

Baada ya hapo, PROJECTS zingine zilianza kumiminika J3 hiyo, huku OM-2 akiwa amekimbia ofisini

Mhusika aliendelea kuzipokea PROJECTS hizo

Baada ya siku hiyo kupita, mwanafunzi mwingine mmoja tu ndiyo alifika kesho yake siku ya J4 na kumkuta OM-2 akiwa yupo ofisini. Huyu ndiyo mwanafunzi pekee ambaye kwa mara ya kwanza, mhusika alishuhudia PROJECT yake ikipokelewa na OM-2

HITIMISHO
Hadi kufikia hapa;
Assuming
kwamba zile PROJECTS zingine ambazo mhusika alimkuta nazo OM-2 mezani kwake ofisini J3 ya tarehe 17/11/2023 (ambazo siku ya Ijumaa ya wiki iliyokuwa imepiata nyuma hakuwa nazo), HAKUWA AMEZIKUSANYA YEYE BALI ZILIKUSANYWA NA MTU MWINGINE NA HATIMAYE MTU HUYO NAYE KUZIIKABIDHI KWA OM-2, hadi hapa (by deduction or elimination) inaonyesha kuwa mwanafunzi pekee aliyewahi kukabidhi PROJECT yake kwa OM-2 ni mmoja tu; yaani yule ambaye alikabidhi ripoti yake siku ya J4

Hii ni kutokana na ukweli kuwa PROJECTS zingine zote zote zilizokabidhiwa J3, zilipokelewa na mhusika, huku wakati huo OM-2 akiwa hajulikani alikokuwa

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…