#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

  • Mbali na haya yote, Kanisa hili lilitakiwa kuwa limeshaanza kutumika mwaka jana, possibly muda kama huu, kama sikosei. Hela kwa ajili ya ujenzi wa madhabahu zilishachangwa nadhani zaidi ya mil 300. Baada ya hela kuchangwa ilifanyika kaziya kujenga kwanza ngazi za madhabahu kwa kutumia tofali tu na baada ya hapo pilika pilika zote zikasita hadi leo. Na kama madhabahu ilitakiwa kuagizwa kutoka China, bado kulikuwa na muda wa kutosha, kwamba madhabahu hiyo ingekuwa imeshawasili Dar es salaam hata kabla ya kuanza kwa gonjwa hili la Corona.
  • Mhusika wa taarifa hii anadhani kuwa pengine sasa hivi mtu akiuuliza uongozi kwa nini madhabahu bado haijakamilika, anaweza akaambiwa kuwa ni sababu ya Corona
 
Maneno aliyoya-quote mwandishi kwenye post hiyo hapo juu, mhusika bado anazidi kusisitiza kuwa yako sahihi sana, na anatoa challenge kwa uongozi wa Knisa A, kuyakanusha iwapo tu kama mhusika hayuko sahihi kuwa:
  • Hapo kabla, kiasi cha takriban million 300 zilikuwa tayari zimeshachangwa na kutangazwa mbele ya waumini wote wa Kanisa A
  • Ujenzi wa madhabahu ulianza baada ya kupatikana kiasi hicho cha fedha
  • Baada ya ujenzi wa madhabahu kuanza, matofali yalijengwa kwenye madahabahu hiyo halafu ujenzi ukasimama kwa muda mrefu sana, halafu ndiyo ugonjwa wa Corona nao ukaingia
Mhusika ameahidi ataliongelea kwa kina sana swala hili kuanzia January 2021, na ana sababu zake maalumu za msingi kwa kufanya hivyo

Pia mhusika ataongelea maswala kadhaa yanayohusiana na Kanisa B, baada ya kuona kuwa kuna baadhi ya watu kutoka kwenye makanisa haya mawili, wameshaanza tena kufanya networking kwa nia ambayo yeye anaoina kuwa si njema sana

Kimsingi alikuwa ameamua kuacha kabisa kuyaongelea maswala ya Kanisa B, baada ya kuwa ameona kuwa hapakuwa na haja ya kufanya hivyo. Hata hivyo ameona kuna kama kiujanja ujanja Fulani kimeanza kujitokeza, kinachofanywa na baadhi ya waumini kwenye makanisa haya mawili, ujanja ambao anaona ni vizuri zaidi nao akauweka wazi mbele ya public

MUBARIKIWE TENA NA BWANA​
 
Once again, you stay tuned for more news updates from now onwards
MUBARIKIWE SANA KWA MEMA YOTE YAILIYOPITA HIVI KARIBUNI
 
UPDATE: FRIDAY 06 NOVEMBER 2020



TUKIO LA KIPEKEE (LA KAWAIDA) AMBALO MWANDISHI WA HABARI HIZI HATAWEZA KULISHAU


Leo mwandishi wa habari anaomba apumzike kidogo kuwaletea habari za mhusika, isipokuwa anapenda agusie habari za tukio alilowahi kulishuhudia yeye mwenyewe, kwa kiasi fulani likiwa ni tukio la kawaida tu ila ambalo hataweza kulisahau katika maisha yake yote



MAELEZO YA TKIO LENYEWE

Kuna kipindi aliwahi kusafiri nje ya nchi, nje ya Afrika. Siku akiwa yuko safarini kurudi nyumbani, akiwa yupo uwanja wa ndege Amsterdam Schiphol, Uholanzi, anasubiri ku-check in:

  • Ikawasili ndege nyingine uwanjani hapo iliyokuwa imetoka Marekani
  • Ndege hiyo ilikuwa na kundi la wa-Tanzania kadhaa ambao walikuwa wanatokea Marekani, nao wakiwa wanarudi Tanzania
  • Wa-Tanzania hawa walikuwa wanaunganisha ndege uwanjani hapo na hivyo walikuwa wako booked kwenye ndege ile ile ambayo mwandishi wa habari hizi alikuwa anasafiri nayo
Kwa hiyo siku hiyo kulitokea coincidence hii ya kundi la wa-Tanzania kadhaa kujikuta wako kwenye check in conter rmoja wakisubiria ku-check in kwenye ndege ya Amsterdam--Kilimanjaro--Dar es Salaam; coincidence ambayo ni ya kawaida sana kwa sababu mara nyingi huwa ni kawaida kuwatokea watu ambao huwa wanasafiri mara kwa mara

Kama ilivyo kawaida kwa wa-Tanzania (au wa-Tanzania na wa-Kenya wakati mwingine); wakishakutana mahali pamoja safarini ugenini, huwa wana tabia ya kutengeneza mazingira kama vile wako nyumbani Bongo, ukizingatia kuwa mara nyingi ugenini huwa kwa namna moja ama nyingine, wakati mwingine huwa wamekosa kidogo ile nafasi ya kuongea Kiswahili kwa namna kama ile ya wanapokuwa wako Bongo. Kwa hiyo siku hiyo ilitokea wabongo wakafanikiwa kutengeneza kwa mara nyingine tena, mazingira ya kama wako Dar es Salaam, ndani ya uwanja wa ndege wa kimataifa, ndani ya nchi nyingine, kwa muda mfupi uliokuwa umebaki wakiwa wanasubiri ku-check in.

Kati yao katika kundi la wa-Tanzania waliokuwa wamewasili na ndege ya kutoka Marekani wakiunganisha kuja Dar es Salaam, walikuwepo vijana watanashati wawili, mmoja aliitwa Felix Mung’uto na mwingine Jonh Mndolwa. Mwandishi bado anawakumbuka vijana hawa japo hajabahatika tena kukutana nao tangu siku hiyo hadi leo, kwa sababu kwa kipindi kifupi sana walichofanikiwa kuwa pamoja hapo uwanjani, ilitokea wakawa kama ni marafiki wanaofahamiana siku nyingi. Hii ndiyo sababu pekee inayomfanya mwandishi awe na kumbukumbu na vijana hawa hadi leo. Miongoni mwao vijana hao, walikuwepo pia mabinti watanashati kadhaa, waliokuwa wameambatana nao kutoka Marekani.

Mmojawapo wa mabinti waliokuwa wameambatana na vijana hao, alikuwa ni mtoto binti wa miaka kati ya 13-14

Wabongo hawa wakiwa hapo na wakiwa wapo kwenye maongezi yaliyokolea wanachapa stori” huku Kiswahili kikiwa kinamiminika kama vile tayari wameshafika bongo:

  • Ilitokea ikawasili uwanjani hapo, ndege nyingine tena ila yenyewe ilikuwa imetokea Tanzania
  • Ndege hiyo ilikuwa na wa-Marekani weusi wawili mwanamme na mwanamke
  • Wawili hawa wao walikuwa wanatoka Tanzania wakielekea Marekani
  • Nao pia walikuwa wana connect ndege yao kutokea Amsterdam Schiphol kwenda Marekani
  • Zaidi ni kuwa walikuwa wanafahamiana na baadhi ya watu waliokuwa kwenye kundi la kwanza lililokuwa limewasili kutoka Marekani likisubiri ku-check in kwa safari ya kuelekea Dar e s Salaam, akiwemo mtoto huyo wa miaka 13-14
  • Kwa hiyo watu hawa wawili walipishana na kundi hili la kwanza lililokuwa likitoka Marekani kurudi Dar, wao wakiwa wanaelekea Marekani, (ambako kundi hilo lilikuwa linatoka)
  • Watu hawa wawili walipitia kwenye check in counter yetu pale tulipokuwa, nao wakiwa wanaelekea kwenye check in counter nyingine kwa ajlli ya kunganisha ndege ya safari yao ya kurudi Marekani
Kama kawaida, maongezi yetu yakiwa bado yamekolea mahali pale tulipokuwa, nikiwa nimebeba na mfuko wangu mkononi nilionunua kutoka kiosk maarufu uwanjani hapo kinachoitwa “See Buy Fly”, na mfuko wenyewe ukiwa una jina la kioski hicho, mara niliona watu wawaili weusi, mwanamke na mwaname wakielekea pale tulipokuwa tumeweka makazi yetu. Baada ya hapo, ghafla tena nikamuona huyu mtoto wa miaka kati ya 13-14 anapiga kelele kama za kilio hivi, huku akiwakimbilia wale watu wawili; akaenda akamrukia yule mwanamme na kumkumbatia kwa kumning’inia shingoni akiwa amemganda kwa kumkubatia

  • Mwanzo wa tukio hili ulinisababisha mimi nikadhani ni furaha ya mtoto huyo kuwaona watu anaofahamiana uwanjani hapo
  • Baada ya sekunde kadhaa kupita, nikagundua kuwa kumbe haikuwa furaha, ilikuwa ni huzuni
  • Mtoto alikuwa analia huku watu hao wakiwa wanaendelea kumbembeleza, wote wawili mwanamme na mwanamke, huku mtoto akiendelea kung’ang’ania shingoni mwa aliyekuwa wamekumbatiana
  • Ghafla tena maongezi yetu mahali pale nayo yakawa yamekatika kwa muda, na Kiswahili kikapungua
Baada ya tukio hili, ikabidi sasa mimi niulize ni nini kilikuwa kinaendelea, kwamba kwa nini watu hao walifika mahali hapo halafu mtoto akalipuka kilio cha kushangaza hadi ikapelekea aanze kubembelezwa na bado alikuwa anaendelea kulia.

Wale watu waliokuwa wameambatana na mtoto huyo walinipa maelezo haya, kwamba:

  • Wale watu wawili waliofika mahali pale na kupelekea mtoto kuanza kulia, walikuwa ni wa-Marekani ambao wamekuwa wakiishi na kufanya kazi Tanzania kwa miaka kadhaa, kwenye shirka moja la dini
  • Siku hiyo nao walikuwa wako safarini kurudi Marekani, na kwamba walikuwa wameondoka Tanzania kimoja, walikuwa hawarudi tena
  • Wakati wakiwa wapo Tanazania, walikuwa wamefanyika mbaraka na msaada sana kwa mtoto huyu aliyekuwa analia akiwa amewakumbatia
  • Mtoto huyo alikwa ni yatima
  • Wao ndiyo walikuwa wanampatia misaada mbalimbali ikiwemo kumchukua na gari lao kumpeleka na kumrudisha kutoka shule alikokuwa anasoma, ambayo ilikuwa iko mbali sana
  • Mtoto huyo alikuwa analia kwa sababu alikuwa hana mwingine tena wa kumpa msaada wowote ikiwa ni pamoja na kumpeleka na kumrudisha kutoka shule ambayo ilikuwa ni mbali mno, kwa sababu alikuwa yatima
Kipindi hicho hizi shule zetu za Sekondari za kata zilikuwa hazipo, hata chuo Kikuu cha Dodoma nacho pia kilikuwa hakipo



MORAL OF THE STORY:

Rais Msataafu wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete, kati ya mabomu aliyowahi kutegua katika nchi hii, ni kuanzisha Chuo Kikuu cha Dodoma pamoja na shule za Sekondari za Kata. Hizi ideas za JK zilikuwa superb, na wa-Tanzania wataendelea kumkumbuka sana kwa mambo haya mawili makubwa mno!

Vile vile, sera ya elimu bure ya Sekondari kwa kipindi hiki cha awamu ya tano, ikiongezea katika kupigilia msumari wa kuhakikisha kuwa bomu hilo linateguliwa milele kabisa

Isaya 54:14

Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.



MUBARIKIWE TENA NA BWANA

elly obedy
 
20 “You are my war club, my weapon for battle— with you I shatter nations, with you I destroy kingdoms, 21 with you I shatter horse and rider, with you I shatter chariot and driver, 22 with you I shatter man and woman, with you I shatter old man and youth, with you I shatter young man and young woman, 23 with you I shatter shepherd and flock, with you I shatter farmer and oxen, with you I shatter governors and officials 24“Before your eyes I will repay Babylon and all who live in Babylonia for all the wrong they have done in Zion,” declares the LORD. 25 “I am against you, you destroying mountain, you who destroy the whole earth,” declares the LORD. “I will stretch out my hand against you, roll you off the cliffs, and make you a burned-out mountain. 26 No rock will be taken from you for a cornerstone, nor any stone for a foundation, for you will be desolate forever,” declares the LORD.
 
UPDATE: TUESDAY 11th NOVEMBER 2020

KANISA A:


Hali kwa sasa iko namna hii:
  • Mambo yote ni shwari, sababu COVI-19 haipo tena
  • Tatizo moja kubwa ni kwamba Ibada bado zinaendeshwa kama vile ilivyokuwa wakati wa COVI-19
  • Inaonekana kama "Somo la Uanafunzi na Maandiko" limehamishwa moja kwa kutoka siku za Jumapili na kwenda Jumatano, na somo lililokuwepo hapo awali kwenye siku ya Jumatano, possibly limefutwa kabisa
  • Kwa maana hiyo mafundisho yale yaliyokuwa yakifanyika Jumatano, yamefutwa, yamekuwa ovewritten na somo la uanfaunzi na maandiko
  • Kutokurudishwa kwa somo la uanafunzi na maandiko kwenye ratiba yake ya kawaida, yawezekana pia ni kwa sababu likirudishwa Jumapili, Kiongozi Mkuu hataweza tena kuwa anawapanga watu kama alivyokuwa akifanya huko nyuma
  • Wale waliokuwa wanasimama kwenye JENGO JIPYA, hataweza tena kuwaambia wasogee mbali na sehemu somo linapofundishwa
  • Maelezo haya yanaweza kuwa yako sahihi kabisa kwa sababu mpaka muda huu, hakuna tangazo lolote lililotolewa kwa waumini, linalohusiana na uhalali wa kuendelea kutumika kwa ratiba hii mpya iliyokuwa ikitumika wakati wa COVID-19, wakati COVID-19 yenyewe taryari imeshaisha
  • Kwa hiyo COVID-19 imekuwa tena kisingizio cha kuhalalisha ratiba mpya Kanisa A iliyopelekea kufutwa kwa baadhi ya vipindi muhimu kama mafundisho ya Jumatano, kwa sababu mafundisho hayo kwa sasa ndiyo yamekuwa replaced na somo la uanafunzi na maandiko ambalo kimsingi linatakiwa lifanyike siku za Jumapili
  • Ndiyo ratiba ilivyokuwa siku zote hapo awali, kabla ya ujio wa COVID-19, na ndiyo utaratibu wa makanisa yote alias na Kanisa A, kwa Tanzania nzima
  • Vinginevyo kama kungekuwa na sababu ya msingi kwa ratiba hii mpya kuendelea kutumika, basi waumini walitakiwa kujulishwa
  • Nadhani ni muhimu sana waumini kupewa taarifa za mabadiliko muhimu kama haya, na ndiyo maana hata kipindi kile waumini walipokuwa wamebadilika na kuwa wazinzi, viongozi hawakusita kulivalia njuga swala hilo la uzinzi kwa Ibada kemu kemu
  • Ibada ya Jumatano ni haki ya naumini. Kama vile walivyokuwa na haki ya kujulishwa juu ya uzinzi, wana haki pia ya kujulishwa juu ya mabadiliko haya makubwa ya ratiba yaliyojitokeza baada ya COVID-19 kuisha
  • Kanisa A inaonekana kama ni nyumba pekee ya Ibada ambayo huwa haihamasishi waumini kurudi Kanisani jioni kwa ajili ya Ibada za jioni, siku za Jumapili
  • Ni nyumba pekee ya Ibada, ambayo haina ratiba maalumu ya vipoindi vya kila wiki, ratiba huwa inakuwa kichwani kwa watu.
Ukitembelea nyumba zingine za Ibada popote pale, pale nje utalakiwa na kibao kinachoonyesha Jina la Kanisa kikiwa pamoja na ratiba za Ibada kwa wiki nzima. Nadhani ni Kanisa A tu ambalo halina kibao kinachoonyesha ratiba za Ibada kwa wiki
Labda kwa vile mhusika hajawahi kutembelea makanisa mengi idadi ya kutosha, pengine anaweza akawa hayuko sahihi sana katika hili

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kwamba badala ya COVID-19 kuisha halafu ikasababisha pengine kuongezeka kwa Ibada ambazo hazijawahi kuwepo kama vile ya ile ya akina Baba, na kwa tahadhari kwamba lisije likarudi janga jingine tena huko mbele ya safari linalofana na hili lililopita, lakini kwa kinyume chake, COVID-19 inaisha na kuondoka na Ibada nyingine tena na kupelekea vipindi vya Ibada kupungua

Kwa Kanisa A, uongozi ni ajira, siyo wito kutoka kwa Mungu. Ni kwa sababu tuhuma zinazowakabili viongozi hawa hazifanani hata chembe na tuhuma za mtu ambaye ni mtumishi wa Mungu, na wala si tuhuma za kawaida hata kwa mtu mwingine yeyote yule ambaye si mtumishi wa Mungu.

Kwa watumishi hawa kuweza kubadilika, possibly walihitaji external augering kama ungekuwepo uwezekano huo, kitu ambacho kwa sasa hakiwezekani kwa sababu wana operate wakiwa ndani ya sytem ambayo ni "very delicate", kuweza ku-deal nayo externally. Inaonyesha kama wana mizizi kwenye system yao ya ndani, na ndiyo maana wanaendelea kufanya kila wanachopenda kufanya bila hofu yoyote, hata kama wanajua kabisa kuwa kiko nje ya misingi

Hizi tuhuma wala haziendani kabisa na watu ambao huwa wanaosimama kwenye madhabahu ya Mungu; haziendani kabisa na watu wa namna hiyo hata chembe
 
Ushauri hapa ni kuwa Kiongozi Mkuu airudishe Ibada ya somo la uanafunzi na maandiko nkwenye muda wake kama ulivyo utaratibu kwa Tanzania nzima, kwa makanisa mengine yote yanayofana na Kanisa A . Pia aendelee tu na ule mtindo wake wa awali wa kuwapanga waumini kwenye somo hilo halafu yeye anaondoka kwenda kunywa chai, kuliko kulihamisha somo hilo na kupelekea kufutwa kwa kipindi kingine ambacho ni cha muhimu muno.

Na iwapo pengine labda kuna sababu za msingi za mabadiliko haya makubwa ya ratiba, basi sababu hizo ziwekwe wazi mbele ya waumini ili wazijue
 
Kipindi hiki cha somo la uanafunzi na maandiko ni busarai kikarudi kwenye ratiba yake ya kawaida, halafu kama kuna uwezekano labda chai ndiyo ifutwe, au isogezwe mbele ili kumuwezesha Kiongozi Mkuu naye kushiriki kwenye Ibada hii muhimu. Siyo anawapanga waumini namna ya kukaa utafikiri kondakta anapanga abiria ndani ya daladala, halafu yeye anaondoka kwenda kunywa chai. Ni aibu sana mtu wa aina yake kulalamikiwa kwa jambo la kijinga kama hili!
 
......... "twakushangilia Mungu wetu, twakupigia makofi..." au ...."waliokaa tusimame. makofi..."

Ukisikia tu haya maneno, halafu makofi yanapigwa kabla ya neno "Amina"., ujue siku hiyo hakuna usingizi usiku

Kanisa A kuna watu wachache wameshashindika, akiwemo Kiongozi Mkuu

Kuna Ibada zingine hata huwezi ukasikia watu wanaambiwa "chukua daftari na kalamu inayoandika". Ukiona waumini hawajakumbushwa kuchukua kalamu na karatsi inayoandika, ujue siku hiyo inaweza isiwe na mafungu yatakayosomwa kutoka kwenye biblia, au kama yapo basi ni fungu, siyo mafungu

Yaani he wishes he had also the means to intervene, physicaly. Na huko mbele ya safarii yake watu wengine wasije wakarudia makosa ya namna hii, halafu kwa bahati mbaya akawa ana mamlaka ya yeye mwenyewe kuingilia kati. Litakuwa ni kosa la karne kwa watu hao.

Halafu majitu mengine akiyaangalia yanasimama kwenye madhabahu wala hayafanani kabisa na upumbavu huu


EBR. 6:4-6 SUV​

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
UPDATE: 30 NOVEMBA 2020



BAADHI YA YANAYOJIRI MUDA HUU HAPO KANISA A:

MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA ZIMETENGENEZA FURSA NYINGINE KWENYE KANISA A, SAWA NA ILE ILIYOTENGENEZWA NA UJIO WA COVID-19 MWEZI APRIL 2020


Safari hii sehemu husika ni kwenye banda la watoto, ambalo huwa wanatumia kuabudu kama nyumba yao ya Ibada

  • Utafiti kwa kutumia muda wa kutosha hatimaye umeonyesha kuwa kuna bonde lililoachwa kwa makusudi, kwenye banda la watoto ambalo linatuamisha maji mengi kiasi, na hivyo limetengenezwa na kuachwa hapo makusudi
  • Bonde hilo limeachwa pembezoni mwa banda hilo na hivyo kupelekea maji kujitenga na kusababisha baadhi ya watoto kuingia bandani kwa kukanyaga juu ya makreti ya soda yaliyopangwa chini ili kuwakinga wasikanyage maji
  • Watoto wanaoingia bandani kwa mtindo huo ni wale tu ambao wana uwezo wa kukanyaga juu ya makreti hayo, wengine wasiokuwa na uwezo huo inabidi wakanyage kwenye maji
  • Bonde hilo linalotunza maji hayo pindi mvua inaponyesha, na limekuwa likitunza maji hayo tangu msimu wa mvua za mwaka huu uanze
  • Hapo kabla bonde hilo halikuwahi kuwepo na hivyo hakuna maji yaliyokuwa yakijitenga hapo siku za nyuma
  • Inaonyesha kama kuna ukarabati ulifanyika na hiyo sehemu hiyo ndiyo ikawa imejitengeneza hivyo kutokana na pilika pilka za kazi iliyokuwa ikiendelea mahali pale
  • Kwa hiyo mafundi baada ya kumaliza kazi yao, hapakufanyika jitihada zozote za kulisawazisha na hivyo bonde hilo limeenfdelea kuwepo mpaka leo hii
Kwa utafiti mdogo sana wa kiroho ambao mpaka sasa mhusika ameshaufanya kuhusiana na maji yanayojitenga mahali hapo, ni kwamba maji hayo yanafanya kazi sawa na kile kinyesi kilichokuwa kimeachwa kinatiririka kule kwenye chemba ya banda la wakubwa

Kwa hiyo kuna kuna air base nyingine mpya ya mapepo imetengenezwa kwenye banda hilo la watoto, na carrier wa mapepo hayo safari hii ni watoto, wao ndiyo wanaoya-supply kwenye sehemu zingine ndani na nje ya nyumba hiyo ya Ibada, nadhani hadi hata majumbani kwao wanakoishi au majumbani kwa watu wengine



UTHIBITISHO JUU YA UWEPO WA KARAKANA MPYA YA MAPEPO KWENYE BANDA LA WATOTO


  • Nyumba ya Ibada ya watoto hawa ni Banda, siyo nyumba
  • Kwa watoto wa umri wao, na kutokana na tabia zao zilivyo, banda hilo linawafaa zaidi kuliko nyumba yenye kuta ambayo ingeweza kuwa-confine ndani
  • Hii ni kutokana na ukweli kuwa watoto wa umri huo wanahitaji kukaa kwenye sehemu ambayo ina uwazi na yenye hewa ya kutosha ukizingatoa kuwa huwa wana pilika pilika nyingi sana muda wote
Kwa hiyo banda hilo linawafaa sana watoto hawa Kanisani hapo, kiasi kwamba pengine labda hapana hata haja ya kujenga nyumba kama Kanisa lao, kwa ajili ya ya Ibada zao.

Kwa hiyo kwa upande mwingine, maamuzi ya kuwatengenezea watoto banda hilo yalikuwa ni ya hekima sana.

Kwa hali hiyo basi ni wazi kabisa kuwa kuna gharama ya fedha, tena kubwa tu ambayo Kanisa A imewakwepa (na si kwamba wao wameikwepa) ambayo walitakiwa waiingie kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Ibada kwa ajili ya watoto hao.



TATIZO AMBALO LIMEKUWEPO KWA MUDA MREFU KWENYE BANDA HILO LA WATOTO

Pamoja na sifa nzuri za banda hilo, bado kumekuwepo na tatizo kubwa kwenye banda hilo, na kwa muda mrefu, mithili ya lile lililokuwa likisumbua kwenye banda la watu wazima.

Wakati lile la watu wazima lilikuwa linasumbuliwa na kinyesi kilichokuwa kinavuja kutoka kwenye chemba, hili la watoto lenyewe lina tatizo tofauti na hilo, isipokuwa linatuamisha maji kwenye sehemu ya kuingilia



Ni kwamba sehemu ya kuingilia ndani ya banda hilo, inayotumiwa na watoto pamoja na walimu wao, kuna kama bonde ambalo linaweza kuwa lilitengenezeka wakati mafundi wanafanya kazi zao kwnye banda hilo

  • Inaonyesha kama baada ya mafundi kumaliza kazi yao, hawakupewa maelekezo ya kuhakikisha kuwa wanalisawazisha ili maji yasiweze kutuama pale pindi mvua inapokuwa imenyesha
  • Kwa hiyo mafundi hawakupatiwa resources za kuweza kulisawazisha bonde hilo
  • Kwa hiyo bonde hilo lipo mpaka leo na linaonyesha kama “permeability” yake ni ndogo kutokana na ukweli kwamba kunaweza kukawa kuna chembe chembe za cement ambazo zilibaki zimesakafia pale chini, na ndizo ambazo zinasababisha maji yatuame pale kwa muda mrefu
Kutokana na hali hiyo basi, bonde hilo limekuwa likituamisha maji pale tangu ukarabati wa mwisho wa banda hilo ulivyomalizika na katika kipindi chote cha mvua za msimu wa mwaka huu



MAISHA YA WATOTO NA WALIMU WAO KWENYE BANDA HILO

  • Kwa mtu mzima, ili uweze kuingia kwenye banda hilo, inabidi utumie hatua kubwa, yaani hatua ndefu
  • Hata hivyo, kuna baadhi ya sehemu ambazo hata hatua za mtu mkubwa haziwezi kutumika kwa sababu urefu wake unazidi hatua za mtu
  • Kwa hiyo kwenye sehemu hizo, kuna makreti matupu ya soda, yamepangwa kwenye maji hayo na kuzama kiasi na kubakiza migongo juu
  • Makreti hayo ndiyo yanayotumika sasa kukanyaga juu yake, halafu ndiyo mtu anapita na kuingia kwenye banda hilo
  • Watoto pia, hasa wale wenye umri mkubwa kiasi, wanakanyaga kwenye makreti hayo
  • Wale wadogo kabisa lakini ambao wana uwezo wa kutembea, inabidi walimu wao wawabebe na kuwaingiza kwenye banda hilo
  • Wengine wale wenye umri wa kati, inabidi wakanyage kwenye maji hayo kwa sababu hata hayo makreti ya soda yaliyopangwa hapo, hayatoshi
  • Still, hata wale watoto wenye uwezo wa kukanyaga juu ya makreti hayo, kuna wakati inabidi wayakanyage maji hayo inategemea na uelekeo ambao motto huyo anatokea kwa sababu kama ilivyoelezwa hapo juu, makreti hayo hayatoshi na yamewekwa kwenye kipande tu cha sehemu


MADHARA YANAYOWEZA KUTOKEA KUTOKANA NA MAJI HAYO

  • Maji hayo ni mengi kiasi na yanaweza kuwa hatari sana kwa baadhi ya watoto hasa wale ambao ni wa umri wa chini kabisa, isipokuwa tu uzuri ni kwamba watoto wa rika hili la chini kabisa, mara zote huwa wanakuwa karibu sana muda wote na walimu wao, na muda wote kunakuwa na walimu wapo pamoja na watoto
  • Hata hivyo ukweli ni kuwa, kungekuwa na uwezekano wa kwamba walimu wote huwa wakati mwingine wanatoka kwenye banda hilo na kuwaacha watoto peke yao, maji hayo yana uwezo wa kuhatarisha maisha ya baadhi ya watoto na hata kusababisha upotevu wa maisha ya watoto, iwapo ikitokea mtoto akaanguka humo kwa bahati mbaya. Kwa uwingi wa maji unaotuama pale, uwezekano wa hatari hiyo unaweza kuwepo kwa kiasi kikubwa, sema tu walimu wa watoto ni waangalifu.Mashahidi wa maelezo haya ni walimu wote wa watoto hao
Hata hivyo Mungu azidi kuhimidiwa tu kwamba hali huwa haiko hivyo, muda wote walimu huwa wanakuwa na watoto, na wale wadogo kabisa muda mwingi wanakuwa wamewabeba

  • Ni wazi kuwa maji yaliyotuama mara zote huwa ni chanzo kikubwa sana cha magonjwa ya kuambukiza. Kumbuka kuwa baadhi ya watoto wanayakanyaga maji haya wanapokuwa wanatoka na kuingia kwenye banda hilo, tena wengi tu
  • Vile vile maji yaliyotuama, ni chanzo kikubwa sana cha mazalia ya mbu. Mpaka muda huu kuna baadhi ya waumini wa kike ambao huwa wanalazmika kuhudhuria Ibada za jioni wakiwa na khanga za ziada kwa ajili ya kujifunga miguuni wakati wa Ibada kama njia ya kuwawezesha kukwepa kung’atwa na mbu
  • Mhusika hajawahi kuhudhuria mikesha inayofanyika Kanisani hapo, lakini nadhani hata wale ambao huwa wanafanya hivyo nao pia wanaweza wakawa wana ushuhuda wa ufasaha zaidi kuhusiana na swala hili la uwepo wa mbu.
  • Hoja ya mhusika hapa ni kuwa ni kawaida kwa mazingira yetu kuwepo mbu, lakini bado hatuna haki ya kutengeneza kwa makusudi mazingira kwa ajili ya mazalia ya mbu


KIPINDI AMBACHO MAJI HAYO YAMEKUWA YAKITUAMA MAHALI HAPO

Hali hii ya maji haya yaliyotuama, imekuwa hivyo kwenye msimu wa mvua za mwaka pindi zilipoanza kunyesha, na mhusika anadai kuwa mara ya mwisho kukuta hali iko hivyo ilikuwa ni Jumapili iliyopita ya tarehe 29 Novemba 2020.

Inaonyesha pengine waumini wenye watoto hao, labda hawatoi zaka na sadaka za kutosha kuuwezesha uongozi wa Kanisa A, kupata fedha za kutosha kusawazisha bonde hilo na possibly labda wengi wao wanamalizia pesa zao kwenye uzinzi, (maana uongozi huwa unawatuhu hivi) wanashindwa kutoa zaka na sadaka kama inavyotakiwa. Kwa hiyo watoto hao na walimu wao watajijua wenyewe na banda lao.

Vinafanyika vitu Kanisani hadi mtu unashindwa kuelewa kama kuna watumishi wa Mungu kwenye nyumba hiyo ya Ibada!

Hata hivyo, ukweli ni kuwa bonde hilo limeachwa hapo makusudi, kwa kusudi maalumu.



NYONGEZA YA MUHIMU

KUHUSU JUMAPILI IJAYO YA TAREHE 06 DESEMBA 2020 ALMAARUFU KAMA “SIKU YA KUMSHIKA MKONO MCHUNGAJI”

Mhusika anaomba aongee machache kuhusiana na siku hii, akiihusianisha na uzoefu aliowahi kuupata kutoka Kanisa B, kule alikohamia mwaka 2014 akiwa anatokea Kanisa A

Kipindi akiwa bado yupo Kanisa A (kabla hajahamia Kanisa B); kwenye siku hiyo tajwa, mhusika alikuwa anashuhudia mambo yafuatayo kila ilipokuwa siku hiyo inawadia

  • Zawadi zilitolewa kwa Kiongozi Mkuu (KM) ikiwa ni pamoja na kadi moja kubwa sana
  • Zawadi zilikuwa zinatolewa pia kwa viongozi wengine wasaidizi isipokuwa wao kadi zao zilikuwa ni zile ndogo za kawaida, hazikuwa kubwa kama ile ya KM
  • Ibada zilikuwa zinafanyika kwenye mfumo kama wa sherehe hivi, na si kama Ibada ya kumwabudu Mungu


Baada ya kuhamiia Kanisa B mwaka 2017, kila ilipokuwa inawadia siku hiyo, mhusika akaenda akakutana na mambo kadhaa yafuatayo hapa chini. Ni kati ya mambo ambayo Kanisa hili B atalisifu hata mbele ya uwepo wa Mungu (physical presence of God

Mhusika aligundua kuwa kwenye Kanisa B, siku hiyo haikuwa siku ya viongozi kupewa zawadi za fedha na vitu isipokuwa ilikuwa:

  • Ni siku ya kuwaanda viongozi hao (pamoja na wake zao/ waume zao) kwa ajili ya utumishi wa Mungu kwa mwaka mwingine unaofuata
  • Ni siku ya kuwaombea watumishi wote hawa na Ibada ya siku hiyo huhudumiwa na muumini mwingine yeyote wa kawaida, hata asiyekuwa na cheo chochote Kanisani
  • Wakati wa Ibada, watumishi wote hawa (na wake zao/ waume zao) hukaribishwa kupita mbele ya madhabahu na kupiga magoti
  • Baada ya hapo kiongozi anayehusika na huduma ya Ibadaa huanza kuwaombea huku akipita na kuwawekea mikono kila mmoja, (mtu na mke wake, mtu na mume wake) wakiwa wamepiga magoti mbele ya madhabahu, huku kanisa zima nalo likiwa llianawaombea
Hiki ndicho huwa kinafanyika Kanisa B kwa ajili ya kuwaandaa watumishi hawa kwa utumishi wa mwaka mwingine unaofuata, na hatimaye zawadi nazo huwa zinatolewa, ila ni by the way. Zawadi huwa siyo dili sana kanisa B.

Mpaka hapa sasa, waumini wanaweza kulinganisha namna ambavyo siku hizi mbili huwa zinasherehekewa kwenye nyumba hizi za mbili za ibada, kama ifuatavyo:



HUKO KANISA B, siku hii ni siku ya:

  • Viongozi wote (na wake au waume zao) kupiga magoti mbele ya madhabahu wakiwa wameelekea kwenye madhabahu na kuombewa huku wakiwekewa mikono kwa ajili ya utumishi wa mwaka mwingine unaofuata
  • Muumini yeyote yule aliyeteuliwa kuhudumu kwenye ibada ya siku hiyo, huwawekea mikono viongozi hao kwa ajili ya utumishi mwingine ulio mbele yao
  • Kanisa zima kuwaombea watumishi hawa wakiwa wamepiga magoti mbele ya madhabahu


HAPA KWETU KANISA A siku hii ni siku ya:

  • Kumshika mkono KM, kumpa zawadi na pesa
  • KM kupita mbele ya madhabahu, si kwa ajili ya kupiga magoti ili awekwe wakfu tena kwa ajili ya utumishi wa mwaka mwingine unaofuta, hapana, bali apokee zawadi. Huwa anakaribishwa na ubavu wake pia kwa ajili hiyo tu ya kupokea zawadi
  • Viongozi wengine nao pia huwa wanakaribishwa kwa minajili ile ile na kwa staili ile ile
Hapo kabla, kipindi mhusika hajahamia Kanisa A alikuwa anaona zawadi zinatolewa kwa KM zikiwa zimeambatana na kadi moja kubwa sana, halafu wasaidizi wake walikuwa wanapewa hizi kadi ndogo za kawaida.

Hata hivyo, tangu arudi kutoka Kanisa B mwaka 2017 amekuwa akiona zawadi zinatolewa kwa KM zikiwa zimeambata na kadi yenye ukubwa sawa na kadi za viongozi wale wenzake.

Hiki ndicho kinachoendelea kufanyika Kanisa A mpaka leo.

Tofauti moja kubwa sana iliyopo kati ya Kanisa A na Kanisa B ni kwamba ni kawaida kabisa kwa Kanisa B kumuona kiongozi amepiga magoti mbele ya madhabahu kwenye siku hii husika akiwa anaombewa na waumini, wakati kwa Kanisa A hiki kitu hakiwezekani na hakijawahi kufanyika hata siku moja. Yaani umuone kiongozi wa Kanisa A amepiga magoti mbele ya madhabahu? Hicho kitu hakipo

Hawa viongozi wa Kanisa A, inaonyesha kama:

  • Wana upako wa hali ya juu muno, kiasi kwamba hawahitaji kabisa kupiga magoti mbele ya madhanbahu kwa ajili ya kuombewa na waumini ambao hawana cheo kama kile cha wao
  • Wana uwezo wa kunena kwa lugha
  • Hawajawahi hata siku moja na wao kuonekana wakiwa wamepiga magoti mbele ya madhabahu


Possibly, hao wengine wa kule Kanisa B, wao huwa wanapiga magoti mbele ya madhabahu kwa sababu pengine labda wao hawana upako kama ule wa wale wa Kanisa A. Kwanza hao wa kule Kanisa B huwa hata hawaneni kwa lugha na hivyo inawezekana wakawa hata hawana Roho Mtakatifu na ndiyo maana wao huwa wanapiga magoti mbele ya madhabahu siku ya kumshika mkono mchungaji



HITIMISHO


Mhusika akiwa bado yuko Kanisa B alikokuwa amehamia, ilikuwa ni LAZIMA kumuona kiongozi mkuu kila alipokuwa akifika ASUBUHI kabla ya Ibada kuanza, akipiga magoti madhabahuni na kuanza kuomba, halafu baada ya hapo ndiyo Ibada inaanza. Vile vile viongozi wengine nao pia walikuwa wanafanya hivyo hivyo, walipokuwa wanaingia kwenye Ibada asubuhi

Huku kwetu Kanisa A, huwezi ukaona kitu kama hicho, watu ni viongozi Kanisani lakini utawaona wanajisondeka tu Kanisani utafikiri wanaingia chooni.

Zaidi ni kuwa kila siku asubuhi, huwezi hata siku moja, kumuona KM akiwa ameshaingia Kanisani na kuketi kabla ya Ibada kuanza. Yeye siku zote kawaida huwa ni lazima aingie kanisani wakati Ibada ya Kusifu na Kuabdu imeshaanza. Kabla ya hapo huwezi kumuona. Unajiuliza labda kwa sababu madhabahu iko kwenye banda haiko kwenye kanisa lenye kuta? Huwa anaingia tu tena kienyeji sana utafikiri ni mtu anaingia chooni



Mwisho kabisa ila si kwa umuhimu, kipindi mhusika aliporudi tena Kanisa A (safari hii akiwa ametokea Kanisa B) , alijaribu kuwasiliana na kiongozi mmojawapo wa Kanisa A (siyo KM) wakati kama huu ilipowadia wa siku kwa ajili ya wachungaji, kwamba waifanye kama ambavyo huwa inafanyika huko Kanisa B alikokuwa ametokea, kwamba viongozi na wake zao au waume zao, (wa Kanisa A) nao wawe wanapita mbele ya madhabahu, wanapiga magoti na kuombewa.

Baada ya hapo, kilichotokea ni kwamba huyu kiongozi mhusika aliongea naye wala hakuonekana kabisa siku hiyo, wakati kawaida alitakiwa awepo, na utaratibu huu alioushauri mhusika wala haukufanyika.

Kwa wale ambao wamekuwa wakimfuatilia mwandishi tangu kipindi kirefu nyuma, kiongozi huyu anayemwongelea hapa ni yule ambaye aliwahi kusema “ukiona watu wanaanza kulalamika Kanisani ujue wamekosa kazi ya kufanya” Kiongozi huyu hakuhudhuria siku hii tajwa mwaka 2017, hakuwepo

Ukweli usiopingika ni kuwa viongozi wa Kanisa A wapo kwa ajili ya kupita mbele ya madhabahu (na wake zao) ili wapokee zawadi, hawapo kwa ajili ya kupita mbele ya madhabahu ili waombewe na kuwekewa mikono kwa ajili ya huduma iliyoko mbele yao na kwa ajili ya utumishi wa Mungu.

Hawa wa Kanisa A wao utumishi kwao wao ni by the way. “kikubwa kwao ni mbesa”.

Still, inaonekana kama labda pia hayupo muumini mwingine wa kawaida aliye na upako wa kuwaombea viongozi hawa, isipokuwa wao pekee tu ndiyo wenye upako wa kuwaombea wengine na si wao kuombewa na waumini wengine



Na kwa staili hii ya viongozi hawa wa Kanisa A, LAZIMA TU BANDA LA WATOTO LIFURIKE MAJI na lazima tu watoto wawekewe makreti ya soda kwa ajili ya kukanyaga ili waingie bandani

Kama banda lenyewe tu linageuzwa kichaka cha mapepo kiasi cha hadi kufikia hatua ya kuyaweka maisha ya watoto wadogo hatarini, utumishi wa watu hawa uko wapi?

Kama mhusika yuko sahihi, Mungu lazima ataendelea kujibu maombi yake, na kama hayuko sahihi, basi Mungu atawabariki sana watumishi hawa

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA YA MUHIMU

KUHUSU JUMAPILI IJAYO YA TAREHE 06 DESEMBA 2020 ALMAARUFU KAMA “SIKU YA KUMSHIKA MKONO MCHUNGAJI”

Mhusika anaomba aongee machache kuhusiana na siku hii, akiihusianisha na uzoefu aliowahi kuupata kutoka Kanisa B, kule alikohamia mwaka 2014 akiwa anatokea Kanisa A

Kipindi akiwa bado yupo Kanisa A (kabla hajahamia Kanisa B); kwenye siku hiyo tajwa, mhusika alikuwa anashuhudia mambo yafuatayo kila ilipokuwa siku hiyo inawadia


  • Zawadi zilitolewa kwa Kiongozi Mkuu (KM) ikiwa ni pamoja na kadi moja kubwa sana
  • Zawadi zilikuwa zinatolewa pia kwa viongozi wengine wasaidizi isipokuwa wao kadi zao zilikuwa ni zile ndogo za kawaida, hazikuwa kubwa kama ile ya KM
  • Ibada zilikuwa zinafanyika kwenye mfumo kama wa sherehe hivi, na si kama Ibada ya kumwabudu Mungu


Baada ya kuhamiia Kanisa B mwaka 2017, kila ilipokuwa inawadia siku hiyo, mhusika akaenda akakutana na mambo kadhaa yafuatayo hapa chini. Ni kati ya mambo ambayo Kanisa hili B atalisifu hata mbele ya uwepo wa Mungu (physical presence of God

Mhusika aligundua kuwa kwenye Kanisa B, siku hiyo haikuwa siku ya viongozi kupewa zawadi za fedha na vitu isipokuwa ilikuwa:


  • Ni siku ya kuwaanda viongozi hao (pamoja na wake zao/ waume zao) kwa ajili ya utumishi wa Mungu kwa mwaka mwingine unaofuata
  • Ni siku ya kuwaombea watumishi wote hawa na Ibada ya siku hiyo huhudumiwa na muumini mwingine yeyote wa kawaida, hata asiyekuwa na cheo chochote Kanisani
  • Wakati wa Ibada, watumishi wote hawa (na wake zao/ waume zao) hukaribishwa kupita mbele ya madhabahu na kupiga magoti
  • Baada ya hapo kiongozi anayehusika na huduma ya Ibadaa huanza kuwaombea huku akipita na kuwawekea mikono kila mmoja, (mtu na mke wake, mtu na mume wake) wakiwa wamepiga magoti mbele ya madhabahu, huku kanisa zima nalo likiwa llianawaombea
Hiki ndicho huwa kinafanyika Kanisa B kwa ajili ya kuwaandaa watumishi hawa kwa utumishi wa mwaka mwingine unaofuata, na hatimaye zawadi nazo huwa zinatolewa, ila ni by the way. Zawadi huwa siyo dili sana kanisa B.

Mpaka hapa sasa, waumini wanaweza kulinganisha namna ambavyo siku hizi mbili huwa zinasherehekewa kwenye nyumba hizi za mbili za ibada, kama ifuatavyo:



HUKO KANISA B, siku hii ni siku ya:


  • Viongozi wote (na wake au waume zao) kupiga magoti mbele ya madhabahu wakiwa wameelekea kwenye madhabahu na kuombewa huku wakiwekewa mikono kwa ajili ya utumishi wa mwaka mwingine unaofuata
  • Muumini yeyote yule aliyeteuliwa kuhudumu kwenye ibada ya siku hiyo, huwawekea mikono viongozi hao kwa ajili ya utumishi mwingine ulio mbele yao
  • Kanisa zima kuwaombea watumishi hawa wakiwa wamepiga magoti mbele ya madhabahu


HAPA KWETU KANISA A siku hii ni siku ya:


  • Kumshika mkono KM, kumpa zawadi na pesa
  • KM kupita mbele ya madhabahu, si kwa ajili ya kupiga magoti ili awekwe wakfu tena kwa ajili ya utumishi wa mwaka mwingine unaofuta, hapana, bali apokee zawadi. Huwa anakaribishwa na ubavu wake pia kwa ajili hiyo tu ya kupokea zawadi
  • Viongozi wengine nao pia huwa wanakaribishwa kwa minajili ile ile na kwa staili ile ile
Hapo kabla, kipindi mhusika hajahamia Kanisa A alikuwa anaona zawadi zinatolewa kwa KM zikiwa zimeambatana na kadi moja kubwa sana, halafu wasaidizi wake walikuwa wanapewa hizi kadi ndogo za kawaida.

Hata hivyo, tangu arudi kutoka Kanisa B mwaka 2017 amekuwa akiona zawadi zinatolewa kwa KM zikiwa zimeambata na kadi yenye ukubwa sawa na kadi za viongozi wale wenzake.

Hiki ndicho kinachoendelea kufanyika Kanisa A mpaka leo.

Tofauti moja kubwa sana iliyopo kati ya Kanisa A na Kanisa B ni kwamba ni kawaida kabisa kwa Kanisa B kumuona kiongozi amepiga magoti mbele ya madhabahu kwenye siku hii husika akiwa anaombewa na waumini, wakati kwa Kanisa A hiki kitu hakiwezekani na hakijawahi kufanyika hata siku moja. Yaani umuone kiongozi wa Kanisa A amepiga magoti mbele ya madhabahu? Hicho kitu hakipo

Hawa viongozi wa Kanisa A, inaonyesha kama:


  • Wana upako wa hali ya juu muno, kiasi kwamba hawahitaji kabisa kupiga magoti mbele ya madhanbahu kwa ajili ya kuombewa na waumini ambao hawana cheo kama kile cha wao
  • Wana uwezo wa kunena kwa lugha
  • Hawajawahi hata siku moja na wao kuonekana wakiwa wamepiga magoti mbele ya madhabahu


Possibly, hao wengine wa kule Kanisa B, wao huwa wanapiga magoti mbele ya madhabahu kwa sababu pengine labda wao hawana upako kama ule wa wale wa Kanisa A. Kwanza hao wa kule Kanisa B huwa hata hawaneni kwa lugha na hivyo inawezekana wakawa hata hawana Roho Mtakatifu na ndiyo maana wao huwa wanapiga magoti mbele ya madhabahu siku ya kumshika mkono mchungaji



HITIMISHO


Mhusika akiwa bado yuko Kanisa B alikokuwa amehamia, ilikuwa ni LAZIMA kumuona kiongozi mkuu kila alipokuwa akifika ASUBUHI kabla ya Ibada kuanza, akipiga magoti madhabahuni na kuanza kuomba, halafu baada ya hapo ndiyo Ibada inaanza. Vile vile viongozi wengine nao pia walikuwa wanafanya hivyo hivyo, walipokuwa wanaingia kwenye Ibada asubuhi

Huku kwetu Kanisa A, huwezi ukaona kitu kama hicho, watu ni viongozi Kanisani lakini utawaona wanajisondeka tu Kanisani utafikiri wanaingia chooni.

Zaidi ni kuwa kila siku asubuhi, huwezi hata siku moja, kumuona KM akiwa ameshaingia Kanisani na kuketi kabla ya Ibada kuanza. Yeye siku zote kawaida huwa ni lazima aingie kanisani wakati Ibada ya Kusifu na Kuabdu imeshaanza. Kabla ya hapo huwezi kumuona. Unajiuliza labda kwa sababu madhabahu iko kwenye banda haiko kwenye kanisa lenye kuta? Huwa anaingia tu tena kienyeji sana utafikiri ni mtu anaingia chooni



Mwisho kabisa ila si kwa umuhimu, kipindi mhusika aliporudi tena Kanisa A (safari hii akiwa ametokea Kanisa B) , alijaribu kuwasiliana na kiongozi mmojawapo wa Kanisa A (siyo KM) wakati kama huu ilipowadia wa siku kwa ajili ya wachungaji, kwamba waifanye kama ambavyo huwa inafanyika huko Kanisa B alikokuwa ametokea, kwamba viongozi na wake zao au waume zao, (wa Kanisa A) nao wawe wanapita mbele ya madhabahu, wanapiga magoti na kuombewa.

Baada ya hapo, kilichotokea ni kwamba huyu kiongozi mhusika aliongea naye wala hakuonekana kabisa siku hiyo, wakati kawaida alitakiwa awepo, na utaratibu huu alioushauri mhusika wala haukufanyika.

Kwa wale ambao wamekuwa wakimfuatilia mwandishi tangu kipindi kirefu nyuma, kiongozi huyu anayemwongelea hapa ni yule ambaye aliwahi kusema “ukiona watu wanaanza kulalamika Kanisani ujue wamekosa kazi ya kufanya” Kiongozi huyu hakuhudhuria siku hii tajwa mwaka 2017, hakuwepo

Ukweli usiopingika ni kuwa viongozi wa Kanisa A wapo kwa ajili ya kupita mbele ya madhabahu (na wake zao) ili wapokee zawadi, hawapo kwa ajili ya kupita mbele ya madhabahu ili waombewe na kuwekewa mikono kwa ajili ya huduma iliyoko mbele yao na kwa ajili ya utumishi wa Mungu.

Hawa wa Kanisa A wao utumishi kwao wao ni by the way. “kikubwa kwao ni mbesa”.

Still, inaonekana kama labda pia hayupo muumini mwingine wa kawaida aliye na upako wa kuwaombea viongozi hawa, isipokuwa wao pekee tu ndiyo wenye upako wa kuwaombea wengine na si wao kuombewa na waumini wengine



Na kwa staili hii ya viongozi hawa wa Kanisa A, LAZIMA TU BANDA LA WATOTO LIFURIKE MAJI na lazima tu watoto wawekewe makreti ya soda kwa ajili ya kukanyaga ili waingie bandani

Kama banda lenyewe tu linageuzwa kichaka cha mapepo kiasi cha hadi kufikia hatua ya kuyaweka maisha ya watoto wadogo hatarini, utumishi wa watu hawa uko wapi?

Kama mhusika yuko sahihi, Mungu lazima ataendelea kujibu maombi yake, na kama hayuko sahihi, basi Mungu atawabariki sana watumishi hawa


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Kwa hiyo kwa namna mhusika alivyopata picha ya siku hii tajwa pindi alipokuwa yuko Kanisa B, ni kwamba siku hii SIYO SIKU YA KUMSHIKA MKONO MCHUNGAJI bali ni SIKU YA KUMUANDAA KIROHO KWA AJILI YA UTUMISHI MWINGINE KWA MWAKA UNAOFUATA.

Still, Kanisa haliwezi tu kumuandaa kiroho halafu likashindwa kumbariki na kitu kingine chochote kimwili na kumpongeza kwa kazi aliyofanya kwa kipindi chote kilichopita. Kwa hiyo inabidi sasa na zawadi za fedha na vitu vingine nazo ziwepo, ilka hizi siyo core bali core ni mission ya Mungu

Hii dhana kuhusiana na siku hii pengine labda kama kuna uwezekano, mamlaka zilizoipitisha ziweze kuitolea tafsiri kwa mara nyingine tena, kwa sababu mtu anapoibuka na kusema siku ya kumshika mkono mchungaji, kwani huko nyuma alikuwa anaishije? Je, si kanisa ambalo linakuwa limemshika mkono siku zote za mwaka? Je, siku hiyo pamoja na kwamba kanisa litampa zawadi na fedha, je magnitude ya fedha na zawadi anazoapta siku hiyo, zinaweza kuuzidi mkono mkubwa wa Kanisa ambao huwa unakuwa umemshika mchungaji kwa muda wote wa mwaka mzima?

Maana mtu anaposema siku ya kumshika mkono mchungaji, tafsiri yake wakati mwingine inakuwa kama ndiyo siku pekee ambayo Kanisa linamuwezesha mchungaji kujikimu kwa maisha yake yote yaliyo mbele yake kwa muda wote wa mwaka mzima. Hii tafsiri haiko sahihi na wala haiko kiroho, iko kibiashara zaidi ndani ya nyumba ya Mungu

Mhusika yeye anavyoona ni kwamba waumini wa Kanisa B kule alikowahi kuhamia, mchakato wao ndiyo uko sahihi na uko kiroho zaidi; kwamba hii ni siku ya kumuaandaa mchungaji kwa ajili ya utumishi kwa mwaka mwingine unaofuata., Swala la zawadi na pesa ni ziada tu ya nyongeza ambayo hata ikikosekana kabisa siku hiyo, mchungaji hawezi kushindwa kufanya kazi yake kwa kipindi kinachofuata, wala hawezi kushindwa kuishi kwa sababu zaka na sadaka bado zitaendelea kuwepo.

Tatizo kubwa kabisa lililopo Kanisa A, ni huyu mtu KM kukabidhiwa taasisi halafu yeye akadhani anaweza kuiongoza kama vile anavyoongoza familia yake, yaani yeye anaona kama amemilikishwa badala ya kuona kuwa amekabidhiwa

Tatizo jingine ni kwamba kuna aina ya ujasiriamali Kanisani hapo, kitu ambacho ni kosa kubwa kufanyika kwenye nyumba ya Ibada. Unakuta kuna watu wanasisitiza sana siku hii kwa ajili ya zawadi na fedha kwa mchungaji,utafikiri kwamba asipopata zawadi na fedha kwenye siku hii, hawezi tena kuishi au kutoa huduma kwenye mwaka unaofuata.

Hivi huu ujasiriamali kwenye kwenye hii nyumba ya Mungu utaisha lini?
 
UPDATE: 1 DECEMBER 2020

KILINACHOENDELEA KWENYE BANDA LA WATOTO HATIMAYE CHAPELEKEA KUTENGULIWA KWA KITENDAWILI CHA SIKU ILE AMBAYO MHUSIKA ILIBIDI APANDE JUU KWENYE MADHABAHU KWENDA KUZIMA FENI ZILIZOKUWA ZIMEACHWA ZIKIWA ZINATEMBEA


Ikumbukwe kuwa huko nyuma, mhusika aliwahi kuleta kisa cha asubuhi ya siku moja, baada ya kukuta hakuna mtu hata mmoja Kanisani, lakini feni za kwenye madhabahu zilikuwa zinatembea, hali iliyopelekea apandishe juu madhabahuni kwenda kuzima feni hizo. Ni kwa sababu switch yake (feni hizo) nayo pia iko pale pale juu madhabahuni

Vile vile kwa hivi karibuni, wiki kama tatu ama nne zilizopita, mhusika alifika Kanisani na kukutana na tangazo lililowahitaji wanaume wote wakusanyike mara baada ya Ibada ya kwanza.

  • Tangazo hili hata hivyo liliwahusu wale waliokuwa wamehudhuria Ibada ya kwanza
  • Yeye alihudhuria Ibada ya pili, lakini wakati tangazo linatoka, alikuwa tayari ameshawasili Kanisani
  • Na kwa sababu liliwahusu wanaume, basi hakuona haja ya kusubiria taarifa za tangazo hilo kwenye Ibada ya pili
  • Aliamua kujiunga kwenye kundi hilo na ili kusikia tangazo hilo
  • Tangazo lenyewe linahusiana na sadaka ambayo karibia ilikuwa inataka ku-expire, kwa sababu huwa inatolewa ndani ya mwaka, yaani kabla haujaisha
  • Taarifa zilizotolewa ni kwamba sadaka hiyo ilikuwa inahitajika, lakini wakati uo huo wanaume wote walikuwa bado hawajatoa sadaka hiyo; ilhali mwaka nao unakaribia kumalizika
  • Kwa hiyo uongozi husika uliwaomba wanaume, wale waliokuwepo tu kwa siku hiyo. kutoa sadaka hiyo, hata kama ni pungufu ya kiasi kilichokuwa kimepangwa kwa kila mwanaume
Baada ya hapo kapu liliwekwa mbele ya madhabahu na watu karibia wote walipita mbele ya madhabahu na kutoa sadaka hiyo, mhusika akiwa mmoja wao. Hatimaye kapu hilo lilichukuliwa pamoja na sadaka. Zaidi ni kuwa sadaka hiyo haikuombewa, kitu ambacho ni cha kawaida sana hapo Kanisa A

KUSANYIKO LA WANAUME SIKU HIYO, UKIHUSIANISHA NA TUKIO LA SIKU ZA NYUMA, LA MHUSIKA KUZIMA FENI ZILIZOKUWA ZIMEACHWA ZIKITEMBEA KWENYE MADHABAHU



Tukirudi nyuma kidogo, siku hiyo kabla mhusika hajajumuika na waumini hao waliokuwa wamehudhuria Ibada ya kwanza

  • Wakati anawasili kanisani hapo akiwa anatokea nyumbani, alivutiwa kupitia kwenye banda la watoto ambalo lipo pembezoni kidogo mwa geti la kuingilia kanisani hapo
  • Kwa hiyo viatu alivyokuwa amevaa, vilikanyaga sakafu ya banda hilo la watoto; ambayo ndiyo nyumba wanayoabudia
  • Baada ya kutoka pale ndiyo sasa akaenda akajumuika na waumini wa Ibada ya kwanza
  • Kwa kipindi hicho alikuwa bado hajagundua kama kuna tatizo kwenye banda hilo la watoto
  • Siku hiyo wakati anapita na kukaa kidogo kwenye banda hilo la watoto, Ibada ya kwanza ilikuwa bado haijaisha na matangazo yalikuwa bado hayajatolewa
  • Ibada ilipofika mwisho ndiyo kukawa na tangazo sasa ambalo lililowahitaji wanaume wakutane mara baada ya Ibada hiyo na hatimaye sasa baada ya hapo, mambo mengine nayo yakapata nafasi ya kuendelea kama yalivyoelezwa hapo juu, sadaka ya wanaume
Hatimaye ibada ya siku hiyo ilipita na mhusika akarudi nyumbani kwake

Baada ya kutoka Kanisani siku hiyo, usiku akiwa amelala akagundua kuwa kuna tatizo mule ndani kwake. Baada ya kuwa amefanya sala na maombi kwa mud, akagundua kuwa tatizo lilikuwa kwenye kiatu alichovaa siku hiyo na ambacho usiku huo kilikuwa chumbani mle alimokuwa amelala

  • Mpaka hapa yeye kwa akili yake akajua kuwa shambulio kwenye kiatu hicho limetokana na kukanyaga sakafu ile mbele ya madhabahu, wakati anatoa sadaka, kumbe hapana
  • Kwa hiyo, kwa siku kadhaa akawa ameendelea kuwa na uelewa huo, kwamba shambulio hilo kwenye kiatu chake lilitokea kwenye sakafu iliyoko mbele ya madhabahu
Baada ya siku kadhaa kupita, akagundua kuwa uelewa wake wa awali haukuwa sahihi, isipokuwa ukweli ni kwamba kiatu hicho alichokuwa amevaa siku hiyo kilitukmika kama nyenzo ya ku-transfer pepo kutoka banda la watoto kupeleka kwenye sakafu iliyopo mbele ya madhabahu.

  • Ni sakafu ambayo wachungaji huwa ni lazima waikanyage pindi wanapokuwa wanaelekea juu madhabahuni
  • Kwa hiyo kiatu chake siku hiyo kilitumika kupeleka pepo kwenye sakafu hiyo iliyopo mbele ya madhabahu
  • Vile vile, mtu mwingine yeyeote aliyekanyaga kwenye sakafu hiyo na kupandisha juu madhabahuni, naye pia alifanya kazi ya kumpandisha pepo huyo madhabahuni
  • Pepo huyo ni yule aliyetokea kwenye banda la watoto


KIONGOZI MKUU AHUDUMU KWENYE IBADA HIYO YA PILI (NADHANI HATA YA KWANZA PIA ALIKUWA AMEHUDUMU YEYE, HANA UHAKIKA) BAADA YA KUWA HAJAFANYA HUDUMA ZA IBADA ZA JUMAPILI KWA KIPINDI KIREFU SANA

  • Mbali na ukweli kwamba tangazo la wanaume kukutana siku hiyo yeye ndiyo alilisisitiza sana mara baada ya kwanza Ibada kuisha, Ibada ya siku hiyo ilihudumiwa na Kiongozi Mkuu na alikuwa anajaribu sana kunena nena kwa lugha akiwa madhabahuni
  • Makofi ya “waliokaa tusimame” pia huwa haachani nayo, na kwa kipindi cha hivi karibuni wakatiwa mgongano huu, anajaribu sana kuya-maintain makofi hayo ili yaonekane kuwa ni ya kawaida sana kwake na kuwa hayana kitu kingine cha ziada
  • Alihudumu Ibada hii baada ya kuwa amepotea madhabahuni (kwa huduma za Ibada kuu za Jumapili) kwa kipindi kirefu sana


KILICHOPELEKEA KUTOLEWA TANGAZO LA KUSANYIKO LA DHARURA LA WANAUME

Kawaida, sadaka huwa zinakusanywa na watumishi kwa kupitisha vyombo maalumu vya sadaka. Kwa hali hii basi, ilionyesha wazi kabisa kuwa uwezekano wa mhusika kuwa angeweza kukanyaga sakafu hiyo iliyo mbele ya madhabahu siku hiyo ulikuwa mfinyu sana kwa sababu si sehemu ambayo waumini walio wengi huwa wanatokea kupita mara kwa mara.

  • Ni nadra sana kwa waumini walio wengi kuonekana wamesimama au wakipita kwenye eneo hilo
  • Kwa hali hiyo basi, kulihitajika mechanism ya kumfanya mhusika akanyage kwenye sakafu hiyo siku hiyo
Kwa hiyo kulihitajika mkakati ambao ungeweza kumpelekea asogee na kukanyaga sehemu hiyo, na mkakati huo ulikuwa ni hiyo sadaka ya wanaume ambayo ilikuwa imebakiza siku chache ku-expire

Baada ya hapo Ibada ya pili ilifuata na Kiongozi Mkuu (KM) akapita kiulanini akikanyaga taratibu kwenye sakafu hiyo akipandisha madhabahuni

Kitu cha pekee kabisa alichonacho KM ni kwamba huwa hawezi kupandisha juu madhabahuni siku za Ibada kuu, pasipo kuwa ana nyongeza nyingine ya ziada nje ya nguvu anayotakiwa kuwa nayo mtumishi wa Mungu. Hilo huwa halipo. Akionekana yupo juu madhabahuni, ujue ana ziada nyingine ya pembeni, vinginevyo hawezi. Tatizo tu linakuwa ni kwamba si mara zote anaweza akagundulika na siri zake hizi za ajabu kwa sababu yeye naye anatumia ujanja kuficha. Haya yanayotokea kugundulika pengine yanaweza yakawa ni kama asilimia moja tu ya yale yote ambayo huwa anafanya na yanapita bila kugunduliwa

HITIMISHO​

Tukirudi sasa kwenye tukio la mhusika kuzima feni zilizokuwa zimeachwa zinatembea peke yake madhabahuni, ni kwamba hapa napo mbinu iliyotumika ni ile ile kama ya siku ya sadaka ya wanaume. Tofauti noja kubwa tu ni kwamba alikuwa amevaa kiatu ambacho kilikuwa tayari na shambulizi ambalo hawezi kujua kwa sasa kuwa alikuwa amelipata akiwa eneo gani ndani ya nyumba hiyo ya Ibada.

Kwa hiyo feni hizo ziliachwa makusudi ili mhusika apandishe juu madhabahuni, kiatu chake kilikuwa kinahitajika kikanyage juu ya madhabahu hiyo

Kutokana na ufahamu huu wa uhakika alionao kwa muda huu, mhusika anaomba maangalizo kadhaa yafuatayo

Switch za feni alizozigusa wakati anazima feni, yaweza kuwa zenyewe hazikuwa na uhusiano na motive ya kum-prompt kupanda madhabahuni kwa sababu kinachobainika kwa uhakika kabisa mpaka muda huu, ni kiatu alichokuwa amevaa miguuni

Vile vile tukirudi nyuma kidogo kwenye siku ile ya mgogoro wa Sanitizer, baada ya kuwa amenawishwa Sanitizer kwa lazima, hatimaye aliamua kwenda kunawa tena kwenye bomba la maji lililoko kwenye washrooms za wanaume

  • Baadaye tena wakati wa Ibada, alilazimika kuelekea sehemu hiyo na alipofika huko, akamkuta “mhubiri wa uzinzi” au mnunuzi wa sanitizer, ametangulia huko akiwa ananawa mikono kwenye bomba hilo
  • Hiki kitu nacho kilimfikirisha sana na akadhani kuwa labda pengine ni kwa sababu mhusika aliwahi kugusa bomba hilo siku hiyo hapo kabla wakati anainawa sanitizer ile aliyokuwa amenawishwa kwa nguvu
Yaweza kuwa “mhubiri wa uzinzi” alifanya hivyo makusudi kumfanya mhusika a-concentrate zaidi kwenye kile anachogusa kwa vidole vya mikono yake, na si kwenye viatu ambavyo huwa anavaa miguuni.



MUBARKIWE TENA NA BWANA


elly obedy
 

EBR. 6:4-6 SUV​

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

elly obedy
 
UPDATE: 2 DECEMBER 2020

SHAMBULIO JINGINE LA KIROHO (LA TATU, KATIKA KIPINDI CHA HIVI KARIBUNI) AMBALO LILILKUWA LIMEPANGWA KUFANYWA KWENYE GARI LA MHUSIKA SIKU YA
JUMAPILI ILIYOPITA YA TAREHE 29 DEMEBER 2020

UTANGULIZI

  • Tokea kipindi kile cha mgogoro wa Sanitizer mwezi April mwishonI, tangia hapo mhusika aliamua sasa kuwa anahudhuria Ibada ya pili ambayo kawaida huwa inaanza baada ya saa tatu na nusu au saa nne
  • Kabla ya hapo alikuwa anahudhuria Ibada ya asubuhi ambayo kawaida huwa inatanguliwa na kipindi cha morning glory ambacho huwa kinaanza saa 12 asubuhi
  • Kwa hiyo kwa kipindi hicho, kawaida alikuwa anawasili Kanisani hapo muda wa saa 12 kasoro, muda mfupi tu kabla ya Ibada ya morning glory kuanza
  • Baada ya mgogoro wa Sanitizer, ndiyo sasa akawa amebadilisha ratiba na kuanza kuhudhuria Ibada ya pili
  • Kutokana na mabadiliko haya, muda wake kuwasili Kanisani hapo nao pia ulibadilika, kiasi kwamba karibia mara zote amekuwa akiwasili Kanisani hapo baada ya saa tatu aubuhi
  • Kwa hiyo kwa ujumla, ratiba yake imekuwa hivi tangu mwishoni mwa mwezi April mwaka huu wa 2020 na baada ya mgogoro wa Sanitizer kuwa umetokea
Pamoja na hayo, katika kipindi cha kuanzia April 2020, mpaka muda huu, mhusika amefanikiwa kuhudhuria Ibada mbili za asubuhi na pia kukosa mbili vilevile.

Ibada hizi ambazo huwa zinakuwa moja na si mbili, ni miongoni mwa Ibada za Jumapili ambazo kutokana na sababu fulani fulani za msingi, wakati mwingine uongozi wa Kanisa hulazimika kuzitangaza hivyo Huu utaratibu huwa upo na ninadhani ni wa kawaida katika kila nyumba ya Ibada, mbali na Kanisani A kwenyewe

Hata hivyo, pamoja na kuwa utaratibu huu (wa kuwa wakati mwingine na Ibada moja badala ya mbili) ni wa kawaida kabisa, kuna mashambulio (ya kiroho) yamekuwa yakifanyika kwenye gari la mhusika wakati Ibada zikiwa zinaendelea, gari lake likwa limepaki nje ya gate:
  • Kwa kipindi hiki, kwenye siku zote zile ambazo Ibada inakuwa ni moja, mhusika huwa anapaki gari lake nje.
  • Ni kutokana na mabdiliko ya ratiba yake ya kuwasili Kanisani hapo, kwa sababu muda ambao huwa anawasili haumpi tena nafasi ya kukuta nafasi ndani ya uzio wa Kanisa na kupaki gari lake ndani
  • Huwa anafika wakati ndani tayari parking zikiwa zimejaa
  • Kwa hiyo kama Jumapili husika ina Ibada moja, mhuiska huwa anapaki gari lake nje
  • Hata hivyo si yeye tu anayepaki hivyo ila yapo pia magari mengine mengi tu waumini wengine ambao nayo pia huwa yanapaki nje siku ya aina hiyo
  • Details za namna ambavyo mashambulizi hayo ya kiroho huwa yanavyofanywa kwenye gari lake likiwa limepaki nje, (na ambayo huwa hayafanywi akiwa amepaki ndani), hana maelezo yake ya kina kwa sababu hata hajui huwa yanafanyika kwa namna gani isipokuwa kikubwa tu ni kwamba gari lake huwa liashambuliwa kila anapokuwa amepaki nje wakati Ibada ikiwa inaendelea
  • Baada ya hapo, ndiyo sasa huwa anapata ujumbe wa uhakika kuwa gari lake limeshambuliwa, akiwa tayari yuko nyumbani na ameshatoka Kanisani
  • Hilo tu ndiyo analojua basi, haya mengine hana ufahamu nayo.
JUMAPILI NNE ZA IBADA MOJA AMBAZO ZIMESHAJITOKEZA MPAKA SASA UKUANZIA MWISHONI MWA MWEZI APRIL 2020
  • Jumapili hizi nne zimewahi kujitokeza katika interval tofauti tofauti
  • Jumapili mbili zilizotangulia mwanzo alifanikiwa kuhudhuria Ibada zake, na gari lake lilishambuliwa kwenye Ibada za Jumapili zote hizi mbili
  • Jumapili ile ya tatu hakuhudhuria Ibada yake, kwa sababu ambazo atazitaja muda si mrefu
  • Jumapili ya nne nayo pia alihudhuria, ila akiwa hajui kama ilikuwa ni ya Ibada moja, kuna mabadiliko ya ghafla yalitokea katikati iya wiki ambayo yeye mhusika hakufanikiwa kuyapta.
  • Jumapili hii ya nne ni hii ya juzi tarehe 29 Novemba 2020
Kwa hiyo kwenye Jumapili hii ya nne, mhusika alihudhuria lakini hakushiriki Ibada hiyo kwa sababu alikuta iko mwisho, watu wameshaanza kutoa sadaka. Baada ya kuona hivyo aliamua kurudi nyumbani, hakwenda kuabudu kwenye nyumba nyingine ya Ibada.

MAELEZO KUHUSIANA NA JUMAPILI MBILI ZA MWANZO ZA IBADA MOJA AMBAZO MHUSIKA AMEWAHI KUHUDHURIA NA GARI LAKE LIKASHAMBULIWA.
  • Jumapili ya kwanza ilikuwa ni ile ya Sikukuu ya Watoto kwa mwaka huu wa 2020, baada ya ugonjwa wa Corona kupita. Siku hiyo alipaki gari lake nje na lilishambuliwa
  • Jumapili ya pili ilikuwa ni ile ya maombi ya shukrani baada ya Corona kuisha. Siku hiyo nayo alipaki gari lake nje na lilishambuliwa tena
JUMAPILI YA TATU YA IBADA MOJA: HAKUHUDHURIA IBADA JUMAPILI HIYO
  • Hii ni Jumapili iliyokuja kutokea kipindi cha baadaye kidogo ila haikuwa mbali sana kutokea kwenye Jumapili ile ya maombi ya kwa ajili ya kuisha kwa Corona
  • Mhusika hakuhudhuria Ibada siku hiyo kukwepa gari lake kushambuliwa, aliamua kukaa nyumbani
  • Mhusika hazikumbuki vizuri sababu zilizopelekea Jumapili hiyo kuwe na Ibada moja, ila anachokumbuka tu kuwa hazikuwa za msingi sana ukilinganisha na zile za Ibada mbili za mwanzo zilizotangulia kutajwa hapo juu
  • Aliyetoa tangazo hili la uwepo wa Ibada moja alikuwa ni Kiongozi Mkuu (KM)
  • Sababu zilizomfanya mhusika kuacha kuhudhuria Ibada hiyo ni kukwepa mashambulizi kwenye gari lake ambayo yamekuwa yakielekezwa kwenye gari hilo pindi anapokuwa limepaki nje wakati wa Ibada
  • Ni IJumapili pekee kwa mwaka huu wa 2020 ambayo amewahi kukosa Kanisani
  • Kama asingekuwa amekosa Ibada hiyo kwa mwaka huu wa 2020, basi hadi kufikia Januari 2021; alikuwa anaenda kuweka rekodi ya kufikisha miaka miwili kamili akiwa anahudhuria Kanisani bila kukosa hata Jumapili moja, na kwenye Kanisani la mahala pamoja, na si kwenye makanisani mengi na kwa kuruka ruka kutoka kanisa hili kwenda lile; kwa staili ya waumini ambao KM yeye huwa anawaita kama Helicopter Christians (ana vichekesho sana kwa upande mwingine!)
  • Rekodi hii si ya ajabu na inawezekana kabisa kwa mtu ambaye huwa hasafiri kwenda mahali popote pale
Kabla ya Jumapili hiyo tajwa ambayo kwa mara ya kwanza ndani ya mwaka huu wa 2020 mhusika alikosa kuhudhuria Ibada Kanisani, hapo kabla, Jumapili nyingine ya mwisho ambayo aliwahi kukosekana kanisani ilikuwa ni ya Desemba 2018

  • Kipindi hicho alikosa kanisani kwa wiki nne mfululizo
  • Ilikuwa ni baada ya Jumapili moja iliyofuatana na hizo alizokosa, kufika Kanisani halafu likarushwa lile pepo lililokuwa maarufu kwa ajili ya kumshambulia koo, na alilowahi kuliongelea kwa kirefu sana huko nyuma kwenye uzi huu
Kitendo hicho kilimsikitisha sana na aliamua kupumzika nyumbani kwa muda wa wiki nne mfululizo bila hata kwenda kwenye Kanisa jingine lolote lile, mahali pengine popote pale.

Kwa ujumla tu ni kwamba hajawahi kukosa kwenda Kanisani pasipo sababu ya msingi, tangu awe muumini na mwenye kuhudhuria Ibada Kanisani, tangu mwaka 2011

JUMAPILI YA NNE (TAREJHE 29 NOVEMBA 2020) YENYE MABADILIKO YA DHARURA AMBAYO YALIPELEKEA KUWE NA IBADA MOJA (BADALA YA MBILI KAMA ILIVYOKUWA IMETANGAZWA AWALI KWENYE IBADA YA JUMAPILI ILIYOTANGULIA IBADA HIYO)

Kwa taarifa alizozipata mhusika ni kwamba mabadiliko hayo yalirasmishwa wakati wa Ibada ya jioni, siku ya Jumatano ya wiki hiyo ambayo Jumapili hiyo iliangukia.
  • Hata hivyo taarifa za mabadiliko haya hazikumfikia mhusika kwa sababu yeye siku hizi anahudhuria Ibada za Jumapili tu, ilhali tangazo lenyewe lilitoka katikati ya wiki, kwenye Ibada ya jioni
  • Ibada za katikati ya wiki hahudhurii tena baada ya kuwa ratiba yake imebadilika na kuwa inaisha saa moja usiku wakati yeye limit ya muda wake kuwepo Kanisani hapo kwa muda wa jioni, ni saa 12 jioni
  • Limit hiyo ya saa 12 jioni inatokana na ukweli kwamba, kwake yeye mhusika, kwa muda mwingine wowote baada ya huo kwenye mazingira ya Kanisani hapo, ulishaonekana kuwa ni hatari kwake, sawa tu na kama yalivyo mazingitra mengine yoyote ya hatari kwa binadamu, yaliyopo sehemu nyingine mahali popote pale ambapo si sehemu ya nyumba ya Ibada
  • Kwa hiyo kwa muda wowote ule baada ya saa 12 jioni, sehemu hiyo inaweza kuwa ni hatari kwake sawa tu na sehemu nyingine za hatari ambazo binadamu wanazijua na wanaziogopa
  • Ushahidi wa uhatari katika mazingira ya nyumba hiyo ya Ibada anao, ila maelezo yake nayo yanahitaji pia muda wake wa kipekee kuweza kuyaelezea
  • Kwa hiyo mhusika alihudhuria Ibada hii lakini hakushiriki kwa sababu aliikuta iko mwishoni waumini wakiwa wameshaanza kutoa sadaka
  • Baada ya kuona hivyo, alipitia tena kwenye banda la watoto, na hatimaye kutoka nje na kuanza safari ya kurudi nyumbani moja kwa moja
Wakati mwingine huwa anakuwa na kawaida ya kuhamia Kanisa jingine na kwenda kushiriki ibada huko. Siku hii hakufanya hivyo kwa sababu ya uhakika wake kuwa mabadiliko haya yalipangwa hapo kabla ila yaliachwa kutangazwa kwa makusudi Jumapili iliyotangulia ya tarehe 22 Desemba 2020. Maelezo ya mpango huu ulivyofanyika yatafuata baadaye huko mwishoni

Zaidi ni kuwa, mtindo wa mabadiliko haya, kwa kiasi Fulani unashabihiana kabisa na ule uliowahi kutumika kubadilisha Ibada ya mafundisho ya jioni kuwa maombi; siku ambayo nabii alitoa ujumbe na kupelekea mabadiliko ya aina hiyo.

AMBACHO MHUSIKA ANGEFANYA KAMA JUMAPILI HIYO INGEKUWA IMETANGAZWA TANGU AWALI KUWA ITAKUWA NI YA IBADA MOJA,
  • Cha kwanza kabisa ambacho angefanya, asingehudhuria Ibada hiyo
  • Wala asingeenda mahali pengine popote pale
  • Ni kwa sababu tayari alikuwa ameshaona indicators za maandalizi ya shambulio hilo hapo kabla ndani ya siku za wiki hiyo, isipokuwa akawa amezi-ignore baada ya kukosa viunganishi vya uhakika kuhusiana na taarifa alizokuwa anazipokea kutoka kwenye ulimwengu war roho
  • Jumapili husika baada ya kufika Kanisani na kukuta kuna mabadiliko ya Ibada moja badala ya zile mbili za kawaida, ndiyo kuanzia hapo sasa akaanza kupata muunganiko wa taarifa alizokuwa amezipokea awali, (lakini akazi-ignore), kwa uhakika na kwa usahihi zaidi. Taarifa hizo hatimaye zilipelekea kumpa muunganiko wa matukio na hivyo kumfanya athibitishe kuwa lalichokuwa anakiona awali kwenye ulimwengu war roho, kiklikuwa kiko sahihi isipokuwa tu kilikuwa kinamiss baadhi ya taarifa muhimu za kuyaunganisha ma-gape yaliyokuwa yanajitokeza
  • Mungu akishakupa warning huanzi tena kupuyanga, kule na kle, unaenda kutafuta shelter
Hivyo basi, ndiyo maana baada ya mhusika kutoka kanisani siku hiyo, alinyoosha moja kwa moja nyumbani, wala hakwenda sehemu nyingine yoyote ile

Uhakika ni kuwa mamlaka zilizotoa tangazo la mabadiliko hayo (katikati ya wiki) ambayo mhusika hakuyapata na hivyo kumpelekea ahudhurie Ibada hiyo bila kujua kuwa kulikuwa na mabdiliko, ZILIMHITAJI AHUDHURIE IBADA HIYO

Maelezo bado yanakuja

……………………………Inaendelea

EBR. 6:4-6 SUV​

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

elly obedy
 
UPDATE-2: 2 DECEMBER 2020

VIASHIRIA VYA SHAMBULIZI ALIVYOVIONA MHUSIKA LAKINI AKASHINDWA KUVITILIA MAANANI,
NDANI YA WIKI KUELEKEA JUMAPILI ILE YA MABADILIKO YA RATIBA YA IBADA

Mhusika hakumbuki vizuri, ila anadhani ilikuwa aidha ni Jumatatu au Jumanne ya wiki ambayo katikati yake, kulifanyika mabadiliko ya ratiba ya Ibada za Jumapili kutoka mbili kwenda moja. Yaani hapa mhusika anaongelea wiki ya kuanzia tarehe 23-29 Novemba

  • Asubuhi akiwa anatoka nyumbani kuelekea kazini, akawa ameongozana na gari moja ndogo, ilikuwa mbele yake
  • Gari hiyo ilikuwa inakimbiia kwa mwendo kama inataka kusimama hivi au kama vile inaendeshwa na dereva ambaye haja-concentrate sana kwenye usukani, yaani kama vile labda alikuwa anaongea na simu na mawazo yake yalikuwa yamejikita zaidi kwenye kuongea na si katika kuendesha gari
  • Hata hivyo gari hiyo ilikuwa inanekana kutokuwa na loophole ya kutaka kumpisha mtu aliye nyuma yake na kipande cha bararaba sehemu hiyo si kizuri sana kwa mtu uliye nyuma kumpita aliye mbele, hata kama anakimbia kwa mwendo mdogo
  • Hatimaye ghafla gari hiyo ikawa imeongeza mwendo mara baada ya kufika sehemu ambayo kulikuwa na mzoga wa mnyama mdogo aina ya ngedere
  • Mnyama huyo alionekana kama amegongwa, na mzoga wake ulikuwa upande wa barabara ambao gari hizi mbili zilikuwa zinatembelea
  • Mara baada ya gari iiliyokuwa mbele kuongeza mwendo, ndiyo sasa ikawa imetoa mwanya wa mhusika naye kuuona mzoga huo, lakini kwa ghafla sana kiasi ambacho angeweza hata akaukanyaga, ila alibahatika kuukwepa
Mara tu baada ya mhusika kuukwepa mzoga huo:

  • Akawa amepata picha kuwa gari hiyo iliyokuwa mbele yake, ilikuwa inatembea kwa mwendo mdogo ili ku-mguide asiwe mbali nayo, na asiweze kuona kilichokuwa kinakuwa kiko mbele ya barabara
  • Vilevile gari hiyo ilikuwa inaonekana kutokumruhusu aipite hata kama huko mbele kungetokea nafasi ya yeye kui-overtake
  • Hivyo gari hii ilikuwa inamu-guide asiweze kuona kilchoko karibu mbele yake ikiwa ni pamoja na mzoga wa mnyama huyo mdogo ulliokuwa barabani,
  • Ilionekana kuwa tangu walipoanza kuongozana, dereva wa gari ndogo alikuwa anajua kuwa kulikuwa na mzoga huko mbele ya barabara na mahali gani
  • Ni kwa sababu baada ya kufanya haya yote, gari hii iliongeza mwendo mara baada tu ya kuwa imeupita mzoga huo, kiasi cha kumsababisha mhusika kuukwepa kwa shida, na ilikuwa karibia augonge
Mzoga huo haukuwa umeharibika sana, na ulikuwa ni wanyama hawa wadogo ambao ni mara chache sana kugongwa na gari barabani. Hakuwa mbwa wala paka

Tabia za dereva wa gari lililokuwa mbele yake, zilimpelekea mhusika ajaribu kufikiria kitu kuwa gari hiyo ilikuwa na nia ya kumsababisha mhusika aukanyage mzoga huo kwa sababu kadhaa kama ifuatavyo:

  • Kama ilivyoelezwa hapo juu, mwendo wa gari hiyo ulikuwa mdogo lakini bado ulikuwa unaonekana kutotoa mwanya wa gari liliokuwa nyuma kupita
  • Gari hiyo ilikuwa inasababisha mhusika aitegemee kwa taarifa za kila kilichokuwa mbele ya barabara hiyo muda wote pindi alipokuwa ameongozana nayo
  • Ilionekena kama gari hiyo ilikusudia kumsababisha mhusika akanyage mzoga huo kwa sababu ilibadilisha mwendo mara tu baada ya kuupita mzoga huo na almanusura yeye augonge tena
  • Mzoga huo ulikuwa ni wa mnyama mdogo amabye ni ni nadra sana kumuona akiwa amegongwa barabarani, ni mjanja muno tofauti na paka au mbwa
  • Haukuwa umeharibika sana kiasi cha kuonyesha kuwa ni kweli amekufa kwa kugongwa na gari
Kwa hiyo tabia za dereva wa gari lililokuwa mbele ya mhusika, ukianganisha na wasifu wa mnyama aliyekuwa amegongwa barabarani, na pia hali halisi ya mzoga wa mnyama huyo kama ilivyokuwa inaonekana, vyote hivi vilipelekea mhusika apate mawazo mbadala kwamba:

  • Pengine mnyama huyo hakuwa amegongwa bali aliuliwa na watu halafu akategeshwa mule barabarani
  • Dereva wa gari lililokuwa mbele ya mhusika alikuwa anam-guide mhusika ili akaukanyage mzoga
Katika mazingira ambayo vitu hivi vyote viwili vinakuwa ni kweli na kama vilivyoainishwa hapa, basi moja kwa moja hapa panakuwa ni maandalizi ya uhakika kabisa ya shambulio la kiroho kwa mtu yeyote yule ambaye anatakiwa kukanyaga mzoga huo kwa kutumia gari lake, kwake yeye mwenyewe pamoja na gari lake pia

Hata hivyo viashiria hivi vya maandalizi haya ya mashambulizi mhusika alivitupilia mbali (alivi-ignore) baada ya kuwa ametafakari mambo kadhaa yafuatayo, kutokana na uzoefu wake wa siku nyingi, kwamba mara nyingi, kama siyo mara zote:

  • mashambulizi kwake yamekuwa yanakuwa coordinated kutokea Kanisani, hasa kwa wiki zile ambazo kunakuwa na “special program” ina run kansani
  • Program hizo zinakuwa aidha ni maombi au Semina ya siku kadhaa ndani ya wiki (tuseme kuanzia labda Jumatano hadi Ijumaa), ambapo siku ya Jumapili huwa inakuwa ni hitimisho
  • Mhudumu anakuwa ni mtu kutoka nje ya Kanisa A
Baabda ya kuwa ametafakari yote haya na akaongezea tena na kiashiria kingine kipya cha hivi karibuni cha uwepo wa Ibada moja badala ya mbili, vyote hivi akakuta havipo vyote Kanisani kwa wiki hiyo kwa sababu

  • Matangazo yote ya wiki inayofuata ambayo yalisomwa Jumapili ya tarehe 22/12/2020 yalionyesha kuwa ratiba ya wiki inayofuata ilikuwa ni ya kawaida
  • Ratiba ilikuwa na mambo yote ambayo ni “routine program”, tu na si mengineyo, yakiwemo mafundisho ya Jumatano kuanzia saa 11 mpaka saa moja jioni, na vile vile maombi ya Ijumaa kwa muda huo huo
Kwa hiyo mapaka hapa akawa amekosa viashiria vyote vya maandalizi ya shambulio kwa sababu alibaini kuwa hapakuwa na Semina wala:

  • Maombi ya siku kadhaa mfululizo
  • Mhudumu kutoka nje ya madhabahu ya Kanisa A
  • Ibada moja bali Ibada zilikuwa mbili


HITIMISHO

Baada ya mhusika kufika Kanisani Jumapilii iliyopita ya tarehe 29/12/2020, mhusika ndiyo akabanini kuwa kulifanyika mabadiliko ya ratiba yaliyopelekea hivi vyote ambavyo amevitaja hapa mwisho, kuwepo vyote ndani ya wiki hiyo. Hana uhakika sana kuhuisana na maombi lakini nadhani pengine labda semina hiyo ilitanguliwa na maombi kwa siku za Jumatatu na Jumanne, kutoka kwenye kundi maalumu la watu, halafu Semina nayo ndiyo ikaanza tena siku ya Jumatano

Baada ya kufika kanisani na kukuta mabadiliko hayo, aliamua kupita kwenye banda la watoto kuangalia hali ya hewa pale ikoje. Baada ya kutoka pale, alipata ujumbe mzuri tu wa kutosha, kwamba bado hapakuwa sawa, air base ya mapepo imehamishiwa hapo, na kama iliwahi kuwepo kabla, basi imefanya kuimarishwa.

Baada ya kuona haya yote, aliamua kurudi nyumbani moja kwa moja kwa sababu tayari alikuwa amesha-confirm alerts za ndani ya wiki zilikuwa ziko sahihi sana

Huyu mtu Kiongozi Mkuu kama kweli atakuwa hana tatizo lolotte kubwa sana kichwani, basi nadhani atakuwa anamiliki mtandao ambao ni very powerful; au anavyo vyote viwili hivi

Iwapo kama ingetokea ratiba ya Ibada moja kutangazwa kwenye Jumapili ile nyingine kabla ya hii tajwa na mhusika akasikia ratiba hiyo, asingehudhuria Ibada hiyo. Kwa hiyo KM alijua kuwa akifanya hivyo, mhusika hatahudhuria kwa sababu hapo kabla KM ameshawahii kumuona mhusika akifanya hivyo

Ilifantika hivyo makusudi kwa nia ya kum-trigger afike tena kwenye banda la watoto, na possibly baada ya hapo aelekee mahali pengine (akiwa ameshapokea na full charge kutoka kwenye banda la watoto) ambako wangekuwa wanaendelea kumu-monitor kwa kutumia surveillance mechanisms zao, kwa sababu walikuwa tayari wamejiandaa kabla, na hivyo possibilities na options zote za hatua ambazo mhusika alitakiwa kuchukua baada ya hapo, walikuwa wameshaandaa alternatives zote za namna ya ku-deal nazo



MUBARIKIWE TENA NA BWANA

EBR. 6:4-6 SUV​

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

elly obedy
 
TODAY'S PUZZLE (kwa wale tu wanaopenda kufuatilia mambo madogomadogo yalijificha sana)

MUHIMU: (Wasomaji wa taarifa hizi wanajulishwa kuwa mwandishi wa habari hizi naye pia anapenda sana umbea, ni mmbea kama nini waswahili huwa wanasema)

Mhusika wa habari hizi akasafiri kimasomo nje ya nchi, nje ya Afrika
  • Alikuwa anaishi mji A anasoma mji B
  • Alikuwa anatumia takriban nusu saa hadi dakika arobaini kutoka nyumbani hadi kufika chuoni
  • Alikuwa anatumia usafiri wa treni na bus vyote kwa pamoja
  • Wakati mwingine alikuwa anatumia treni peke yake, halafu ule umbali unaobaki wa kupanda Basi alikuwa anaamua anatembea kwa miguu
Baada ya muda mmoja wa wenyeji wake waliokuwa huko na ambao walimpeleka huko kimasomo, akamuuliza kama anajua kuendesha gari
  • Mhusika akasema hajui, ikaishia hapo
  • Baada ya siku kadhaa kupita, mwenyeji wake huyo huyo akamuuliza tena mhusika kama anajua kuendesha Baiskeli
  • Mhusika akasema anajua isipokuwa asingependa kuwa na Baiskeli kwa sababu hajazoea kuendesha upande wa kulia, amezoea kuendesha upande wa kushoto.
Huko alikokuwa wao huwa wanaendesha vyote magari, pikipiki na Baiskeli, wakiwa upande wa kulia.Hii incidence nayo ikawa imeishia hapa

Muda wake wa masomo ukaisha akarudi nyumbani salama

MIAKA MITANO BAADAYE..............Akarudi tena masomoni, kwenye nchi hiyo hiyo, isipokuwa safari hii mji tofauti, na chuo tofauti

Na kwa wale ambao wamekuwa wakifuatilia uzi huu tangu mwanzo.............

  • Safari hii akatokea sasa yule kijana aliyekuwa anauza baiskeli kwa bei ya kutupa, akiwa anataka kumuuzia mhusika
  • Mhusika akakatazwa na rafiki yake aliyekuwa anafanya kazi mapokezi kwenye hotel hiyo, asiinunue baiskeli hiyo, na hakuinunua
  • Baada ya muda, muuza Baiskeli akarudi tena na mama wa makamo aliyehitaji msaada wa pesa, wakafanikiwai kufika hadi chumbani kwenye Hotel aliyokuwa anaishi mhusika, baada ya mhusika kupigiwa simu kutoka mapokezi na huyo rafiki yake aliyewahi kumshauri asinunue baiskeli
  • Mhusika akawapa pesa ya mkopo kama elfu hamsini hivi ya kitanzania, na kuwa-despatch haraka wakaondoka chumbani kwake
  • Hii incidence nayo ikawa imeishia hapo
Hatimaye tena muda wake wa masomo yake ukaisha na mhusika akarudi nyumbani salama, ila safari hii kwa matatizo kidogo kwa sababu ilikuwa kidogo tu aachwe na ndege pale uwanja wa ndege, siku anarudi nyumbani, baada ya kuonekana kuwa amezidisha uzito wa mizigo aliyotakiwa kufsafiri nayo

Baada ya hapo, ikiwa imeshapita takribani ZAIDI ya miaka 10 tangu tukio la mwisho litokee, yaani lile la kutaka kuuziwa baiskeli kwa bei ya kutupa, yakawa yametokea matukio mengi tena yanayoshahibiana na hayo, ila safari hii akiwa hapa hapa nyumbani Tanzania. Kuanzia hapo sasa ndiyo akaanza kuyapitia tena upya matukio yote ya nyuma mpaka yale yaliyowahi kutokea akiwa yuko nje ya nchi.

Kwa hiyo msomaji hapa anweza kubaini kuwa kwenye safari hizi mbili ambazo aliwahi kusafiri nje ya nchi:

KWENYE SAFARI YA MWANZO:
Kuna baiskeli na gari ambavyo hivi vyote viwili hakuwahi kuviomba wala kusema kuwa alikuwa anavihitaji, ila aliombwa awe navyo

KWENYE SAFARI YA PILI: Kuna baiskeli nyingine tena imejitokeza, ambayo ilikuwa ina ushawishi wa hali ya juu kwa sababu ilikuwa inauzwa kwa bei ya kutupwa. Pia kuna mama ambaye possibly alitarajiwa kuu-replace urafiki uliokuwepo kati ya mhusika na binti wa mapokezi
Huu urafiki mwingine wa pili kama ungetokea, basi kuna uwezekano pengine wangeweza hata kusafiri nje ya nchi, hiyoi kwa sababu mama huyo hakuwa raia wa nchi hiyo, bali wa nchi jirani na nchi hiyo. Yule wa mapokezi ndiyo alikuwa raia!

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

EBR. 6:4-6 SUV​

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
Back
Top Bottom