#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Kingine cha muhimu zaidi ambacho msomaji wa taarifa hii iliyopita hapa juu inabidi akielewe ni kwamba mawasiliano hayo yote (kwenye swala la gari na hatimaye baiskeli), yalikuwa yanafanyika kwa e-mail, yaani kwa njia ya maandishi. Hii ilikuwa ni muhimu kwa sababu ulitakiwa ushahidi concrete just in case kungekuja kutokea chochote kule mbele ya safari
 

EBR. 6:4-6 SUV​

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 

EBR. 6:4-6 SUV​

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
Kwa waumini wa Kanisa A:

Nadhani ilikuwa mwaka 2012 au 2013, ambapo lililotokea tukio la wizi wa kiasi kikubwa cha pesa hapo Kanisani A. Ni kwamba Ofisi zilimokuwa zimehifadhiwa ilibomolewa, na baada ya wizi huo kufanyika, hapakuwa na Kesi yoyote baada ya hapo. Ni wizi uliotokea halafu baada ya taarifa za tukio lenyewe kutolewa, ikaonekana kuwa kama kulikuwa na ujanja ujanja mwingi tu. Mwandishi wenu atawaletea tukio hili kuanzia January 2021, details zake muhimu bado anazo. Kwa muumini mwingine yeyote anayekumbuka vizuri namna wizi huo ulivyofanyika anaweza pia kuchangia, ila siyo lazima

Kawaida pesa nyingi huwa zinakuwa benki kwenye account za Kanisa, sasa je?
  • Kwa nini pesa hizo hazikuwa zimepelekwa Benki, and above that:
  • Why the coincidence kwamba hazikuwa zimekwenda benki (kitu ambacho siyo cha kawaida) halafu ndiyo wizi nao ukatokea?
  • Pamoja, na kusamehe, kwa nini hapakuwa hata na haja ya mamlaka zilizoibiwa pesa hiyo, kufuatilia angalau kwa nia ya kumfahamu mwizi, halafu ndiyo mamlaka hizo zimsamehe mhusika huo, baada ya kuwa amejulikana na waumini kuwa wamepewa taarifa ya mhusika huyo?
Wizi huu ulipotokea tu, immediately zikatokea argument za kuacha kufuatilia details za wizi huo.
Hata kama ni Kanisani kwamba watu wanamheshimu Mungu zaidi, lakini ilitakiwa angalau mwizi ajulikane kwanza ni nani, halafu ndiyo asamehewe. Hii ya kuacha tukio hewani ilionyesha kama kuna mamlaka zilikuwa zinaogopa uchunguzi wa dola juu ya tukio hilo, kwamba pengine kungeweza kutokea watu ambao wangeweza kuwa implicated na wizi huo ndani ya mamlaka ya Kanisa, hicho kitu kilikuwa ni obvious. Kawaida hapa duniani huwa haipo crime mission ambayo huwa inafanyika ikiwa na efficiency ya 100% fool proof, haipo

Tukio la wizi wa fedha hizi ukiliangalia kwa jicho pana halafu ukaunganisha na yale ambayo yamekuwa yakiendelea na ambayo bado yanaendelea mpaka muda huu, lazima tu mtu mwenye akili timamu apate picha ambayo ni blurred with very poor resolution, huwezi kupata picha ambayo ni clear
Zaidi ni kuwa ilikuwa ni mara ya kwanza kwa wizi kufanyika ndani ya nyumba hiyo ya Ibada. Ujanja ujanja ni mwingi sana kwenye nyumba hii ya Ibada

EBR. 6:4-6 SUV​

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Malaki 3:5
'' Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi."

Yer 23:29
“Je! Neno langu si kama moto? Asema Bwana; na kama nyundo ivunjayo mawe vipande vipande?"
 
UPDAT: 2 JANUARY 2021

INAONYESHA KAMA
KUNA MTU MWINGINE MMOJA KWENYE TAASISI NYINGINE TOFAUTI NA KANISANI/ OFISINI KWAKE MHUSIKA, AMBAYE NAYE NI “ A VERY POTENTIAL THREAT” KWA MHUSIKA

Mwishowe amelazimika kuingia kwenye taasisi nyingine baada ya kuwa amevumilia matukio ya baadhi ya watu kwenye taasisi hiyo kwa muda mrefu, na mengine ambayo hata hayavumiliki. Mtu huyu ambaye taarifa zake zinaletwa kwenu wasomaji, ni mfanyakazi wa Benki na ambaye si mmojawapo wa mameneja wa tawi la Benki hiyo kwa sababu meneja na kaimu wake walishajitambulisha kwake na anawafahamu

  • Kama atakuwa ana cheo basi kitakuwa si kati ya hivi viwili vilivyotajwa hapa juu, na mhusika anakiri kuwa hafahamu cheo cha mtu huyu mbali na kumfahamu kama mfanyakazi wa beki hiyo
  • Ni wa jinsia ya kike
  • Na kama baadhi ya taarifa zilizotolewa humu zitakuwa ni za bahati mbaya tu kwake kwamba hazimhusu yeye, basi atakuwepo mtu mwingine wa pili na anayefahamiana naye na ambaye huwa wanashirikiana kwa pamoja
Kikubwa zaidi, MTU HUYU ANAONYESHA KUWA, MNAMO JULY 2020 KIPINDI MHUSIKA ANAPATA MSIBA WA GHAFLA WA MDOGO KULE MWANZA, ALIKUWA YUKO COORDINATED NA MAHASIMU WA MHUSIKA AMBAO HUWA WANA-OPERATE MITANDAO MINGINE YA UHALIFU (YA KANISANI NA OFISINI KWAKE MHUSIKA), NA HIVYO ALIJUA PASIPO SHAKA KUWA KUTAKUWA NA TUKIO LA MSIBA KWA MHUSIKA MWEZI HUO, NA KWAMBA MHUSIKA ANGELAZIMIKA KUSAFIRI KWA GHAFLA.

BAADA YA HAPO HUYU MTU WA BENKI ALICHOFANYA NI KUZUIA NOTIFICATION YA SMS KWEMYE SIMU YA MHUSIKA, WAKATI MSHAHARA WA JULY 2020 ULIPOKUWA UMEINGIZWA KWENYE AKAUNTI YA MHUSIKA


  • Kawaida mhusika huwa anapata notification ya sms kupitia kwenye simu yake kila wakati kiasi cha pesa kinapoingia au kutolewa kwenye akaunti yake, bila kujali kuwa kiasi hicho kimetolewa au kuingizwa na nani
  • Hivyo huwa anapata notifications hizi pia kila wakati mshahara wake unapokuwa umeingia kwenye akaunti yake
  • Mnamo mwezi July 2020, mhusika hakupata notification ya sms kwenye simu yake mshahara ulipoingia kwenye akaunti yake
  • Muamala huu wa kuingizwa kwa mshahara wake mwezi July 2020, ndiyo transaction pekee iliyofanyika pasipo yeye kupata notification kwenye simu yake, tangu aanze kuitumia akaunti hii tangu alipoifungua kwa mara ya kwanza mnamo August 2018
  • Kwa hali hiyo hapo kabla hapakuwahi kutokea hata mara moja, scenerio ya kutolewa au kupokelewa pesa kupitia akaunti hiyo halafu mwenye akaunti akakosa notification ya sms kwenye simu yake.
  • Hicho kitu hakikuwahi kutokea kabla, isipokuwa tu kimetokea kwa mara ya kwanza (na ya mwisho pia) mshahara wa July 2020 ulipokuwa umeingizwa kwenye akaunti ya mhusika
  • Vile vile baada ya msahahara wa July 2020, mhusika hajawahi kukosa kupokea notification ya muamala wowote uliowahi kufanyika kwenye akaunti yake hadi leo hii January 2021


Benki hii tuiite Benki B (BB) na ambayo mhusika ana akaunti za aina mbili moja ikiwa ni ya fixed deposit na nyingine ya akiba au savings

Melezo ya kina kuhusu mfanyakazi huyu wa BB, yatafuata baadaye. Kwa sasa mhuiska anawaomba wasomaji waangalie machache kuhusiana na Benki A, ambayo mhusika alikuwa mteja wake kabla hajafungua zake kwenye BB. Hata mara baada ya kwuwa mhusika amefungua akaunti zingie mpya kwenye BB mnamo August 2018, bado pia aliendelea kuwa mteja wa Benki yake ya mwanzo, yaani Benki A, mpaka mnamo mwanzoni mwa mwezi April 2020 alipolaznika kuzifunga akaunti zote alizokuwa nazo kwenye Benki A (BA) na kuhamia kwa ujumla BB

Hapo awali kabla ya April 2020, mshara wa mhusika ulikuwa unaingia kupita akaunti yake iliyokuwa BA, na kuanzia April 2020, mshara wake umekuwa ukiingia kupitia BB. Hii ni baada ya kuwa amefunga akaumti zote alizokuwa nazo kwenye BA.

Kwa hiyo mpaka Desemba 2020, mshahara wake umwekuwa ukiingia kupitia akaunti yake ya BB na kwenye miamala ya mishahara yote ya kipindi chote hicho, amekuwa akipokea notifications pindi inapokuwa imeingizwa kwenye akaunti yake, isipokuwa tu kwa mshahara ule wa July 2020. Zaidi ni kuwa mhusika amewahi vilevile kupata notifications za sms pasipo kukosa hata mara moja kwa miamala mingine yote isiyokuwa na uhusiano na mishahara, ambayo ilishawahi kufanyaika kwenye akaunti yake, kila miamala hiyo ilipokuwa ikifanyika



Kwa kufupisha tunaweza kurudia kwa kusema kuwa:

  • Akaunti hizi alizonazo kwa sasa kwenye BB, alizifungua kwa mara ya kwanza mnamo August 2018, na hivyo kabla ya hapo hazikuwahi kuwepo
  • Kabla ya hapo mhusika alikuwa na akaunti zinazofanana kiasi na hizi kwenye Benki nyingine ambayo imeelezwa kuwa ni BA


KILICHOPELEKEA MHUSIKA KUFUNGUA AKAUNTI ZINGINE KWENYE BB

Ni kwamba kuna mazingira fulani yalijitokeza mwaka 2018 kwenye BA ambayo hayakuwa mazuri kwake kibiashara na hivyo ikabidi, ahamie BB ila pasipo kuwa amezifunga akaunti za BA kwa sababu mojawapo ya akaunti hizo ilikuwa inatumika kwa ajili ya kupokea mshahara wake.

  • Pia alikuwa na akaunti nyingine ya pili kwenye BA ambayo ilikuwa ina-operate kama multiple/variable deposts with fixed terms for withdrawals
  • Ilikuwa inaruhusu kuweka pesa muda wowote lakini unachukaua mara moja tu kwa mwaka
  • Ilikuwa inatoa interest rate ya chini ya 10% p.a ila juu ya 6% p.a.
  • Akaunti hii aliifungua tangu June 2016
  • Ilipofika mnamo July 2018, BA walishusha interet rate hadi asilimia sifuri nukta tano (0.5%) kinyume na makubaliano ya mkataba uliokuwepo wa akaunti hiyo, na pasipo taarifa yoyote (and without any official notifications), hali iliyosababisha mhusika kuingia hasara ya kiasi cha takribani shilling million kwa muda wa miezi miwili ya July na August 2018
Kutokana na hali hii, mhusika alilazimika kwenda BB ambao wao walimpa rate kubwa asilimia mbili juu (2% extra) ukilinganisha na rate ile ya mwanzo iliyokuwa inatolewa na BA (kabla BA hawajashusa rate hiyo na kuwa 0.5%)

Baada ya kuwa amefungua akaunti na watu wa BB, mhusika alihamisha fedha yake yote iliyokuwemo kwenye akaunti ya BA na kuihamishia kwenye akaunti ya Fixed Deposit ya BB.

  • Hata hivyo mhusika hakuifunga akaunti hiyo kwenye BA, ila aliamua kuiacha ikiwepo isipokuwa ikiwa ina minimu balance
  • Still, mhusika alikuwa pia anayo Savings Akaunti kwenye BA ambayo ndiyo mshahara wake ulikuwa unakuwa posted kupitia akaunti hiyo kila mwezi. Kwa hiyo akaunti hii nayo pia iliendelea kuwepo kwenye BA
Baada ya kuwa amehamishia fedha yake kwenye Fixed Deposit ya BB, huko nako alishauriwa kufungua Savings Account kabla hajafungua hiyo Fixed Deposit, kitu ambacho ni kawaida na ni kizuri na convenient sana kwa mteja pamoja na bakers wenyewe

Kwa hiyo mpaka August 2018, mhusika akawa anamiliki akaunti nne kwenye benki mbili tofauti, mbili zikiwa kwenye BA na zingine mbili kwenye BB, huku mshahara wake ukiwa unaendelea kuingia kupitia BA, yaani benki yake ile ya mwanzo

Zaidi ni kuwa BA ina tawi mahala pa kazi pa mhusika na ndipo alipokuwa amefungulia akaunti zake, ila BB haina tawi mahali hapo japo nayo vileilev haipo mbali kutoka mahala pa kazi pa mhusika

Mahala kule alikoenda kufungua akaunti na BB, nako pia kuna tawi jingine la BA. Kwa hiyo BA wao wako potepote wakati wakati BB wao wapo mahala pamoja

Kwa hiyo, kwa ufupi ni kwamba kushuka kwa riba mpaka 0.50% kwenye BA, ndiko kulimfanya mhusika akafungue akaunti zingine BB ila pasipo kuzifunga akaunti zake kwenye BA. Hata hivyo akaunti hizi (za BA) alikuja baadaye hivi karibuni, kulazimika kuzifunga (mnamo April 2020 takribani miaka miwili baadaye tangu afungue akaunti mpya na BB), kutokana na sababu zingine za msingi zilizojitokeza tena wakati huo; sababu ambazo kama zisingejitokeza, hakuwa na nia ya kuzifunga akaunti hizo. Maelezo ya sababu hizi zilizopelekea afunge akaunti hizi yatafuata baadaye



MWANZO WA MATUKIO YA UHUSIKA WA MFANYAKAZI HUYU WA BB, PURPOTEDLY TO BE A POTENTIAL THREAT

  • Kwa kuzingatia ukweli kuwa mhusika alifungua FDR ya mwka mmoja kwenye BB kuanzia mwishoni mwa August 2018, hivyo ilipofika mwishoni mwa August 2019, akaunti hiyo ikawa imeiva na kuwa ime-expire vilevile
  • Siku kadhaa kabla ya kuiva kwa akaunti hiyo, mhusika alifika Benki na kutoa notification ya kukumbushia pesa zake, yaani Principal Amount (PA) pamoja na riba zoe kwa pamoja, zingizwe moja kwa moja kwenye akaunti yake ya akiba, siku ya hiyo hiyo ya kuiva kwa akaunti hiyo, na si ninginevyo
Hata hivyo, baada ya siku ya kuiva kwa akaunti kuwadia, yaani siku ya 366 tangu siku ya kufunguliwa kwa akaunti hiyo, maelekezo ya mhusika hayakuzingatiwa, na mtu aliyehusika na ukiukaji wa taratibu hizi ndiye huyu ambaye maelezo yake yamesababisha mlolongo wa taarifa yote hii

  • Ni kwamba siku hiyo jjioni yake mfanyakazi huyu wa BB aliingiza riba tu (bila PA), tena riba iliyokuwa pungufu, kwenye akaunti ya akiba ya mhusika
  • Riba aliyoingiza ilikuwa pungufu kwa PA ya million tano (5,000,000/=), yaani PA tajwa hiyo riba yake ya mwaka mzima haikuingizwa, ilikuwa inakosekana
  • Na kwa sababu alipost riba iliyokuwa pungufu, alitarajia pia kuingiza PA (kwa muda ambao alikuwa ameupanga yeye kuwa ukifika ndiyo ataingiza PA hiyo) ambayo nayo ingekuwa pungufu pia, ila safari hii kwa kiasi hicho cha shilling million tano
  • Baada ya kuona hivyo mhusika alienda BB na kuonana na mfanyakazi husika aliyekuwa amefanya muamla huo na kumpa clarifications ya mapungufu yaliyokuwa yamejitokeza
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika na mfanyakazi huyo kuonana na kuongea
  • Mfanyakazi huyu aliyakubali marekebisho yote na kukubali kuyashughulikia haraka iwezekanavyo, kwa kuongeza kiasi cha riba kilichoonekana kupungua na pia kuingiza PA haraka iwezekanavyo kwenye akaunti ya akiba ya mhusika kwa sababu kwa wakati huo FDR tayari ilikuwa imesha-expire na mwenye pesa alikuwa haelewi wakati huo pesa yake hiyo ilikuwa iko kwenye akaunti gani ndani ya taasisi hiyo ya fedha
  • Na kama hela hiyo ilikuwa labda tuseme kwenye suspense akaunti, mhusika bado anajiuliza hadi leo kuwa, hiyo suspense account ilikuwa ni ya aina gani
Baada ya mhusika kuachana na mfanyakazi huyo, muda mfupi baadaye mhusika alipokea notification ya kuingizwa kwenye akaunti yake ya akiba, kiasi cha riba ile iliyokuwa imepungua, ila safari hii tena bila PA.

Mhusika hakumbuki ni siku ngapi zilipita bila ya PA hiyo kuwa posted kwenye aacount yake ya akiba, ila anachokumbuka zaidi ni kwamba:

  • Baada ya siku kadhaa kupita, ilibidi arudi tena BB kuonana na mfanyakazi huyo kujua ni nini kilipelekea aache kupost tena PA hiyo kwenye aacount ya akiba ya mhusika na pasipokuwa na notification ya aina yoyote kama walivyokubaliana siku walipoonana kwa mara ya kwanza hapo benki, ukizingatia kuwa namba ya simu ya mhusika ilikuwepo kwenye kila jalada lake lililopo hapo benki. Kwa hiyo mhusika aliamini kuwa kama kungekuwa na sababu ya msingi ya ucheleweshaji wa fedha hizo, mfanyakazi HUYO ANGEWEZA KUMTUMIA MWENYE FEDHA SMS AU HATA KUMPIGIA kumjulisha kitu kilichokuwa kinakwamisha fedha hizo kuingia kwenye akaunti ya mteja wake. (Kuna maelezo mengine yenye uhusiano na haya yaliyoandikwa hapa kwa herufi kubwa, yatafuata huko baadaye)
Baada ya mhusika kufika benki, mfanyakazi huyo alitoa maelezo ya udhuru wa mambo mawili kama yafuatavyo, kwamba”

  • Authorisation order ya kutoa fedha kutoka kwenye FDR ya mteja na kuziingiza kwenye savings account yake, inayotoka kwa mteja kwenda benki, bado ilikuwa haitoshi kufanya mfanyakazi huyo ahamishe pesa kutoka kwenye account XXXXXXX?????? (ambayo sasa kwa kipindi hiki account hii haikuwa FDR ya mteja mwenye fedha maana FDR iilikuwa tayari imesha--expire siku kadhaa nyuma)
  • Kawaida mteja anatakiwa ajaze withdrawal slip pamoja na deposit slip azitoe mwenyewe kwenye FDR yake na kuziingiza mwenyewe kwenye Savings Account yake
Assuming kweli utaratibu pekee unaokubalika ki-benki ulikuwa ndiyo huu ambao mfanyakazi huyu aiuelezeea kwa mhusika, msomaji inabdi akumbuke kuwa,

  • Mfanyakazi aliyekuwa anatoa maelezo haya kwa mhusika ndiyo yeye yule yule waliyekutana na mhusika kwa ajili ya ku-clear discrepancy iliyokuwa imejitokeza kwenye kiasi cha riba ambacho mwanzoni kiliwahi kuingizwa kwenye account ya mteja kikiwa pungufu
  • Kama utaratibu pekee wa kibenki kwa ajili ya PA ya mteja kuingizwa kwenye Savings account yake kweli ulikuwa uko hivyo, mfanyakazi huyu alitakiwa aliseme hilo mapema siku mteja alipofika hapo benki akiwa anataka PA iingizwe kwenye Saningd Account yake, na wakati huo FDR ikiwa tayari imesha-expire
  • Mfanyakazi huyu hakulisema hilo siku hiyo, na mteja alipoondoka mfanyakazi huyu haku-post tena PA kwenye aaccount yake kama walivyokubaliana, na pia alikaa kimya
  • Assuming kweli mfanyakazi huyu alikuwa yuko sahihi siku hiyo, na tuseme pengine labda alijisahau kumjulisha mteja utaratibu sahihi na kujikuta amemwacha akaondoka, bado hakuchukua hatua ya kumpigia hata simu mteja huyo kumjulisha kuwa utaratibu wa kuingiza fedha hizo kwenye savings account yake ulikuwa haujakamilika, na kwamba mteja alitakiwa kurudi tena benki kwa ajili ya kuweka sawa utaratibu huo. Hata hili nlo pia, mfanyakazi huyu hakufanya
Kwa hiyo siku mhusika alipofika Benki kwa ajli ya kufuatilia kwa mara nyingine tena swala hili la PA iliyokuwa imegoma kuingia kwenye akaunti yake ya akiba, alifuata maelekezo yaliyotolewa na mfanyakazi huyo na hatimaye hela hiyo iliingia kwenye account stahiki siku hiyo.

Na kwa wakati huo benki hiyo walikuwa wametoa ofa ya rate mpya ya 12% p.a kwa miaka miwili, kwa FDR, lakini kwa yale aliyokumbana nayo mteja kutoka kwa mfanyakazi huyu, alisita kufungua tena FDR nyingine na kuamua kuziacha hela zake kwenye akaunti ya akiba mpaka mwishoni mwa april 2020, yaani zikawa ziko idle kwa muda wa miezi minane mizima, kuanzia August 2019 mpaka 30 April 2020. Siku ya Mei Mosi 2020 ndiyo alipata tena courage ya kufungua tena FDR nyingine ila kwa rate ya kawaida ambayo iko chini ya 10% kwa sababu promotion ile ya 12 % ilikuwa tayari im eshapita.

Baada ya hapo, mwishoni mwa Desemba 2020, alijulishwa na mfanyakazi mwingine hapo benki kuwa kulionekana muamala kwenye akaunti yake, ulioonyesha kuwa takribani Shillingi elfu mbili (2,000/=) ziliingizwa kwenye akaunti yake hiyo kama riba iliyotokana na kiasi cha pesa kilichokuwa kimekuwepo kwenye account yake hiyo ya akiba kwa kipindi cha kuanzia January hadi Desemba 2019, kiasi cha riba ambayo kwa namna yoyote ile kilikuwa haiendani hata kidogo na kiasi cha fedha iliyokuwamo kwenye akaunti hiyo kwa muda wa wa mwaka mzima, hasa ukizingatia ukweli kuwa fedha kubwa yote iliyotoka kwenye FDR ilikaa kwenye account hiyo kwa muda wa miezi mine mizima tangu Septemba 2020 mpaka Desemba 2020,, kiasi kwamba kama angeamua kuziweka tena kwenye FDR kuanzia mwezi huo na kwa rate ya ofa iliyokuwepo ya 12%, kwa muda wa miezi hiyo minne ukiongeza na mingine tena minne ya mwaak huu, riba ya muda huo pekee ambao haufiki hata mwaka, ingechangia kwenye fedha hizo za PA, kiasi cha fedha isiyopungua nillion 6 kwa muda huo tu peke yake.

Baada ya kuelezwa kuwa kuna transaction ya riba ya TZS 2,000/= ilikuwa posted kwenye account yake, alihoji kwa nini walifamua kufanya hivyo. Mfanyakazi huyu mwingine wa sasa, akamshauri aandike barua ya madai kwa rate ya interest ya makubaliano ya kwenye savings account yake wakati alipokuwa anaifungua. Alipoandika barua na kuiwasilisha tena benki, aliikabidhi kwa mfanyakazi huyu na mara tu alipoondoka benki siku hiyo, akapta notification ya sms kwenye simu kiasi cha takribani laki mbili (200,000/=) kimeingizwa kwenye account yake kama UNDERPAID INTEREST, kiasi ambacho ni kidogo mara sita (6-times less) ukilinganisha na kiasi ambacho walikubaliana kama rate ya savings wakati wa kufungua account.

Akarudi tena benki kuuliza nini kilitokea mpaka laki mbili zikaingizwa kama riba kwenye account yake

  • Akashauriwa tena arudi akaandike barua ya rufaa
  • Akaadika barua safari hii akionyesha kwa ufasaha zadii kiasi cha pesa alichokuwa anastahili kupata kwa rate husika
  • Mwanzoni hakuwa amefanya hivyo, alionyesha rate tu na muda, na kuomba aongezewe asilimia moja ya nyongeza juu ya ile riba ya kawaida waliyokuwa wamekubaliana wakati wa kufungua akaunti
  • Kiasi cha pesa alichostahili kulipwa kutokana na maombi hayo, hakuwa amekionyesha kwa sababu wao benki wanazo details zote, wangepiga tu kulingna na rate aliyokuwa ameomba wakihusianisha na benki statement ya muda husika
  • Mawazo yake yeye yalikuwa ni kwamba kama kiasi hicho kingepungua kulingana na namna ambavyo alikuwa ameomba, basi angechukua statetement na kuitumia kwa ajili ya kuonyesha discrepancy ambayo ingekuwa imejitokeza
Kwa hiyo kwa safari hii ya pili, ilibidi aonyeshe kiasi halisi cha fedha kwenye barua ya madai. Hata hivyo mwisho wa mwaka 2020 kuna kiasi amekiona kimeingia kinachofanana na kile cha mwanzo, ambacho anahisi pengine labda ndiyo hiyo riba tena ya miezi minne ya mwaka 2020, (ile riba ya kwanza ilikuwa ni kwa ajili miezi mingine minne ya mwaka 2019). Hii riba ya sasa nayo vilevile iko pungufu zaidi ya mara 6 ya kiasi kilichoatakiwa na ambacho mteja alikuwa ameonyesha kwenye madai yake ya hivi karibuni

KILICHOTOKEA HIVI KARIBUNI KUHUSINA NA MFANYAKAZI HUYU AMBAYE HABARI ZAKE ZINAELEZWA HUMU

Wiki jana (wiki ya Christmas), siku ya Jumatano au Alhamis, mhusika alistukia anapokea sms kutoka benki

  • Sms haikutoka kwa mfanyakzi anayeongelewa hapa. Ila possibly kwa hawa watoto ambao huwa wanakuwa wapo customer service (CS)
  • Ilisomeka ikiwa inaonyesha kama mfanyakazi wa CS alikuwa ameagizwa kumwandikia mteja ujumbe huo
  • Ujumbe ulikuwa unamuomba mteja aende Benki akachukue barua ya majibu yake kuhusiana na madai yake ya riba hiyo ya miezi minane ambayo imeongelewa hapo juu
  • Sms pia ilisisitiza kuwa kama mteja hana nafasi, basi awajulishe ili wao watume mtu wa kumpelekea mteja huyo majibu ya barua yake, ofisini kwake
Huu utaratibu wa pili wa kuletewa majibu ofisini, mhusika aliubaini kwa uhakika kuwa ndani yake kulikuwa na mtego, isipokuwa kwa utaratibu ule wa kwanza akabaki hana uhakika sana kama nao pia ulikuwa na setup ya mtego ndani yake, yaani ule wa kuambiwa afuate barua ya majibu. Mhusika hakufanya vyote viwili na wala hakuujibu ujumbe huo mfupi, hadi jana Alhamisi (01/01/2020) alipostukia anapata notification ya kiasi kidogo cha fedha kuingia kwenye account yake ya fedha

Kwa kifupi tu I kwamba nmtego huu uliokuwa unataka kutumika hapa, set up yake ana uzoefu nayo kwa kwa miaka kdhaa sasa. Mbinu yake alishawahi kuiongela huko nyuma na akadai kuwa ilibuniwa na wataalamu fulani pindi alipokuwa yuko uhamishoni KANISA B, KULE AMBAKO ALIDAI KUWA WAPO WACHACHE LAKINI MAJASIRI, WAKATI KANISA A WAPO WENGI ILA WAOGA!

Kwa hiyo, kwa ufupi tu mi kwamba kuna mtu yuko BB ambaye naye amechachamaa, amevaa pensi anatroti, na alerts zote za mhusika zinamuonyesha kuwa mtu huyo yuko katika hali hiyo.

Zaidi ni kuwa kuna pilika pilika zimekuwa zikiendelea ofisini kwa siku kadhaa nyuma hadi kufikia wiki hiyo ya Christmas ambazo details zake asingependa kuzi-disclose sana, ila ambazo zinamthibitishia kuwa ile sms ya kutoka BB ilikuwa na mtego 100%, na ilikuwa na coordination na baadhi ya watu wa ofisini. Na kwa yale ambayo yamekuwa yakiendelea ofisini kwa wiki kadhaa nyuma hadi kufikia wiki hiyo ya Christmas, yalikuwa tayari yameshamuweka kwenye tahadhari ambayo mtego wa aina hiyo kutoka BB au mahali pengine popote pale, alikuwa anautarajia pasipo mashaka yoyote



HITIMISHO:

Kuna maandishi mwandishi aliyabold hapo juu, akidai kuwa kuna maelezo yake ya nyongeza yatafuata baadaye. Maelezo ya nyongeza kuhusiana na maandishi hayo ni kama ifuatavyo:

  • Ikumbukwe kuwa wakati PA inasuasua kuingia kwenye savings account ya mhusika mnamo August 2019, hapakuwa hata na sms ya kumjulisha mteja kuwa kuna tatizo lilikuwepo lililokuwa linapelekea PA iisiingie kwenye account yake kwa wakati
  • Lakini wiki jana alipokea sms ya kumtaka akachukue majibu ya barua benki, au aletewe ofisini kwake
  • Hizi issue mbili mtu akijaribu kuzilinganisha, ataona wazi kabisa kuwa ile ya kwanza ambayo mteja hakuwahi kutumiwa hata sms, ilikuwa na uzito mkubwa muno ukilinganisha na hii ya juzi ambayo mteja alibahatika kutumiwa sms ikimtaka akachukue majibu ya barua yake au aletewe ofisini
Hali hii pekee inathibitisha tena pasipo shaka kuwa hata kwenye issue hii ya pili kulikuwa na jambo lililokuwa limepinda pia

Huyu ndiyo mfanyakazi wa BB na namna anavyojaribu ku-operate kwenye mtandao wa watu hawa, na ambaye mwezi July 2020 ali-block nofication ya sms ya muamala wa mshahara wa mhusika pindi ulipoingia kwenye account. Kwa wakati huo, the arrangement was simple. Mhusika alitakiwa asafiri kwenda msibani, kwa hiyo alitakiwa awe na pilika pilika nyingi sana za hapa na pale na ndani ya siku moja tu, kabla hajaondoka ghafla kuelekea msibani; huku ruhusa ya mwajiri, huku pilika pilika za benki kwa ajili ya kutoa pesa ya mahitaji akiwa anajiandaa kuelekea msibani, n.k.



NEXT:

Kwa nini alifunga akaunti zote kwenye Benki A (BA) na kuhamia BB moja kwa moja



  • Tukio jingine la linaloshahibiana na hili la sasa lililowahi kuhusisha mtu/ watu wa BA kipidi cha nyuma mwaka 2017,
  • lilikuwa coordinated na mtu/ watu kutoka BA wakishirikiana na Mkuu wa Idara wa ofisini kwa mhusika, pamoja na MAMA-SENIOR MSTAAFU
Hatua alizochukua mhusika baada ya tukio hilo tajwa

  • Aliujulisha uongozi wote wa ngazi ya juu wa taasisi anayofanyia kazi kwa maandishi
  • Viongozi wote watano wa mwanzo wa ngazi za juu kabisa kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika aliwapa nakala ya barua ya malalamiko yake juu ya tukio hilo
  • Tukio lilihusiana na kutaka kumdhuru mhusika na baada ya hapo wahusika walikuwa wamepanga kuchukua kila kitu chake kilichokuwa benki, yaani fedha yake yote, wakishirikiana na baadhi ya watu wa BA wasiokuwa waaminifu
  • Kwa hiyo wahusika walishirkia na baadhi ya bankers wa BA
  • Katika tukio hili pia, MAMA-SENIOR MSTAAFU alikuwa miongoni mwao
Kwa kuwakumbusha tu wasomaji ni kuwa huyu MAMA-SENIOR MSTAAFU ni mama ambaye kwenye tukio la hivi karibuni la msiba uliotokea kwa Mkuu wa Idara, ndiye aliwahi kupaki gari pembezoni mwa bararbara jioni moja siku ya Alhamis, barabani nje na nyumbani kwa mfiwa

Mhusika akiwa anapita kurudi nyumbani jioni hiyo, gari ya mama huyu aliiona na akadhani kuwa mama huyu alifika pale kwa ajili ya kuwapa salamu tu ila kumbe haikuwa hivyo. Wakati huo mhusika alikuwa hajajua kuwa kuna tukio la kuondokewa na mtu lilikuwa limetokea nyumbani pale

Mhusika anaomba awe wazi na akiri kabisa bila kuficha kuwa kuna watu ambao kama wasingesoma na wakabahatika kuajiriwa ofisini, katika kutafuta pesa walikuwa ni majambazi tena yale ya kutumia silaha nzito Mkuu wake wa Idara akiwa mmoja wao! Mhusika anaomba akiri kabisa pia kuwa pamoja na yote haya, kabisa hamchukii hata kidogo mtu huyu isipokuwa anaonge kwa namna jinsi ambavyo huwa anamuona alivyo


EBR. 6:4-6 SUV​

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.
 
UPDATE: 3rd JANUARY 2021

SABABU ZA MSINGI ZILIZOPELEKEA MHUSIKA KUFUNGA ACCOUNT MBILI KWA MKUPUO KWENYE BENKI A (BA)


  • Mhusika amekuwa mteja wa BA tangu mwaka 1995
  • Kwa hiyo mara ya kwanza kufungua accont na BA ilikuwa ni mwaka 1995 na akaunti ya pili ndiyo ile aliyoifungua mwaka 2016
Baada ya kuwa FDR imeiva kwenye BB na hatimaye kiasi cha pesa hizo kuwa amekihamishia kwenye account ya savings, na hatimaye kiasi hicho kubaki kwenye akaunti kwa miezi minane; ilipofika April 2020 aliamua kufungua FDR nyingine na BB, (tayari alishaifungua, na ni ya miaka miwili).

Hata hivyo kabla hajafanya hivyo, na kipindi akiwa bado anajaribu ku-bargain rate ya FDR hiyo, kuna matukio kadhaa yalijitokeza. Ikumbukwe kuwa maeneo ilipo BB kuna tawi jingine tena la BA ambalo mhusika amekuwa akipata huduma mara kwa mara, pidni anapokuwa yuko maeneo hayo. Tawi hasa la mhusika la BA liko mahali pake pa kazi

Kwa hiyo mwezi April 2020 akiwa bado yuko kwenye harakati za kufungua FDR nyingine na BB

  • Akabaini kuwa tayari kulikuwa kumeshafanyika alliance ya namna fulani ya baadhi ya wahusika wa kwenye benki hizi mbili, kuhusiana na namna watakavyoshughulika na swala la FDR ya mteja wao huyu
  • Baada ya mhusika kugundua na kuamua kufanya utafiti wa haraka haraka kwa kuongea na wafanyakazi wa benki hizi mbili, kila mahali akiwa anawaonyesha kuwa ana nia ya kufungua nao akaunti hii ya FDR, alliance hii iliyokuwa imetengenezwa ikampa picha mhusika kuwa kwa sasa BA ndiyo wanaotoa rate ambayo ni ndiyo nzuri zaidi ukilinganisha na BB
  • Zaidi akabaini kuwa alliance hiyo ilikuwa na nia ya kum-influence mteja ahamishe tena hela yake kutoka BB na kuzirudisha kule alikowahi kuzitoa, yaani BA
  • Kwa hiyo alliance hiyo ilikuwa na nia ya kumfanya mteja ahame tena BB na kurudi BA
  • Ikumbukwe kuwa hawa BA ndiyo wale waliowahi kushusha riba kutoka asilimia iliyokuwa juu ya 6% na kuirudisha kwenye 0.5% na hivyo kumsababishia mteja hasara ya takribani shilling million moja ndani ya miezi miwili ya July na August 2018
Mhusika baada ya kuona alliance hii na kui-confirm pasipo shaka, aliona njia pekee ya kuukomesha ujinga huu, ni kuzifunga akaunti zote za BA, ambao kwa sasa ndiyo walikuwa wanatoa riba nzuri kuliko BB.

Kwa hali hiyo, mhusika hatimaye alienda kwenye tawi lake lililopo mahali pake pa kazi, akazifunga akaunti zote mbili alizokuwa nazo na BA, halafu baada ya hapo, alienda BB na kufungua FDR kwa rate ambayo ni ndogo kuliko ile iliyokuwa inasadikika kuwa inatolewa na BA. Katika hali ya kawaida, mtu unashindwa kuelewa kwamba watu ambao waliwahi kushusha riba mpaka 0.50%, leo tena hao hao wanaibuka ghafla na kutoa riba kubwa kuzidi ile ya BB. Inawezekana ila siyo rahis sana kihivyo

Kwa hiyo, movement ya wafanyakazi kwenye Benki hizi mbili haikumfurahisha mhusika na ndiyo maana aliamua kufunga akaunti zote kwenye BA na kubaki na zile za BB. Na kwa sababu mojawapo ya kaunti zilizokuwa BA ilikuwa inatumika kwa ajili ya kupokea mshahara wake, kuanzia pale sasa ikambdi abadilishe akaunti ya mshahara na kuwa ile ya akaunti iliyoko kwenye BB, na hivyo mshshara wake kuanzia pale ukaanza kuingia kupitia BB, tangia April 2020

  • Baada ya mhusika kuhamishia mshahara kwenye BB, aliendelea kupata notification kila mshahara wake unapoingia, na kama ilivyo kawaida ya akaunti hiyo.
  • Mhusika ameendelea kupata notifications hizo kwa miezi mingine yote tangia pale hadi Desemba 2020 isipokuwa kwa mwezi mmoja
Mwezi pekee ambao mhusika hakupata notification ya kuingia kwa mshahara huo ni Julai 2020

Hizi ndiyo sababu peke zilizompelekea mhusika akafunga akaunti zake zote na BA
 
UPDATE-2: SUNDAY 3rd JANUARY 2021

TUKIO JINGINE LINALOSHAHIBIANA NA HILI LA SASA AMBALO LENYEWE LILIHUSISHA MTU/ WATU WA BENKI A (BA) PAMOJA NA MKUU WA IDARA OFISINI KWA MHUSIKA, KIPINDI CHA NYUMA, MWAKA 2017,


  • Tukio lenyewe lilikuwa coordinated na mtu/ watu kutoka BA wakishirikiana na Mkuu wa Idara wa ofisini kwa mhusika, pamoja na MAMA-SENIOR MSTAAFU
  • Ilikuwa ni planned accident ambayo ilitarajiwa kumpotezea maisha, wahusika wakiwa na hawa waliotajwa hapa wakiwa wanashrikiana na baadhi ya wafanyakazi wa BA
  • Details zaidi za tukio hili mhusika anazi-withold kwa sababu tayari alishaziwasilisha kwa mamlaka husika kwenye tasisi anayofanyia kazi
Hata hivyo angependahe ku-share na wasomaji machache yafuatayo:

  • Mhusika akiwa ni mteja wa BA, sku moja akaamua kuingia kwetye ATM mahali fulani ambapo si kwenye tawi lake, ili achukue fedha
  • Baada ya kuingiza kadi, kadi hiyo ikamezwa machine
  • Machine ikampa ujumbe kuwa inabidi aende kwenye tawi lake akwaone wahusika
Mhusika akafuata maagizo kama ambavyo machine ilikuwa imemwelekeza, akaenda hadi tawi (tawi lipo mahpa kazi) kutaka kujua tatizo lilikuwq nini. Alipofika na kuonana na mhusika, akapewa amelezo kadhaa kama ifuatavyo:

  • Kwamba akaunti yake inahitaji kuwa updated. Kwa hiyo kuna taarifa muhimu za mteja huyo zilikuwa zinahitajika na watu wa BA
  • ABaada ya hapo. alipewa fomu ya kujaza pamoja na kuweka picha
  • Fomu hiyo iikuwa pia inahitaji aifikishe ofisini kwake kwa sababu kuna mahali kwenye fomu ambapo MKUU WA IDARA naye alikuwa anatakiwa kujaza
  • Wakati haya yote yanaendelea, account ya mhusika ilikuwa muda wote huo, imekuwa inactive
  • Wala mwenye aacount hakuwa na ATM card pia kwa sababu ilikuwa imemezwa na machine
  • Mteja huyu alitakiwa pia kupata ATM card nyingne mpya, baada ya kuwa amekamilisha utaratibu wa ku-update taarifa kwenye account yake
Wakati haya yote yakiwa yanaendela, MAMA SENIOR MSTAAFU naye sasa ndiyo akawa ameweka mtego wake ambao kama ungefanikiwa, ungesababisha mhusika kupotesa maisha katika muda na wakati ambao account yake ya fedha kwenye BA ilikuwa inactivated na hakuwa hata ana ATM card

Kwa kuwakumbusha tu wasomaji ni kuwa huyu MAMA-SENIOR MSTAAFU ni mama ambaye kwenye tukio la hivi karibuni la msiba uliotokea kwa Mkuu wa Idara, ndiye aliwahi kupaki gari pembezoni mwa bararbara jioni moja siku ya Alhamis, barabani nje na nyumbani kwa mfiwa

Jioni hiyo, mhusika akiwa anapita barabarani anatokea kazini kurudi nyumbani, alibahatika kuiona gari ya mama huyu imepaki pembezoni mwa barabara, usawa wa nyumbani kwa Mkuu wa Idara, na akadhani kuwa pengine alifika pale kwa ajili ya kuwapa salamu tu ila kumbe haikuwa hivyo. Wakati huo mhusika alikuwa hajajua kuwa kuna tukio la kuondokewa na mtu lilikuwa limetokea nyumbani pale

Mhusika anaomba awe wazi na akiri kabisa bila kuficha kuwa kuna watu ambao kama wasingesoma au kubahatika kuajiriwa ofisini, katika kutafuta pesa walikuwa ni majambazi tena yale ya kutumia silaha nzito Mkuu wake wa Idara akiwa mmoja wao! Mhusika anaomba akiri kabisa pia kuwa pamoja na yote haya, kabisa hamchukii hata kidogo mtu huyu isipokuwa anaongea kwa namna jinsi ambavyo huwa anamuona alivyo



HITIMISHO

Baada ya tukio la kumdhuru mhusika kutofanikiwa,

  • Mhusika alifanikiwa kukamilisha zoezi la ku-update taarfia za akaunti yake na watu wa BA
  • Baada tya hapo alikabidhiwa pia ATM card nyingine mpya
  • ATM card hiyo mpya ikawa imamletea matatizo nyumbani usiku anapokuwa amelala
  • Akaamua kuitupa, halafu akenda Benki na kuwadanganya kuwa amepoteza
  • Benki wakamuuzia ATM card nyingine, lakini nayo pia ikawa ina matatizo yale yale kama ya ile ya awali
  • Hiyo nayo pia akaitupa na kuacha kabisa kutumia ATM card
  • Akawa anaenda kuchukua pesa dirishani tu kila alipokuwa anahitaji pesa
Kwa hiyo kwa miaka kadhaa, amekuwa akichukua pesa kwa njia ya dirishani. Mpaka juzi April 2020 wakati anafunga akaunti zake na BA, hakuwa na ATM card

  • Siku mhusika/ mteja anaenda kufunga account zake, mhusika mmojawapo wa pale BA aligusia kuhusu swala la ATM card hiyo kwamba ilikuwa wapi
  • Alichojibu mhusika ni kuwa ATM ni mali ya mteja na kwamba haitakiwi kurudishwa Benki pindi mtu anapkuwa anafunga akaunti yake


ANGALIZO MUHIMU SANA:

UHUSIANO WA ATM CARD HIZI ZA BA NA BIMA YA AFYA AMBAYO MHUSIKA ALISHAINGIZWA KWENYE MAKATO YAKE MIAKA KDAHAA SASA ILA PASIPO YEYE KUWA MWANACHAMA WA BIMA HIYO


Kwa msomaji wa siku zote, atakumbuka kuwa

  • Mhusika aliwahi kuingizwa kwenye makato ya Bima ya Afya tangu Desemba 2014 hadi leo hii bado yapo yanaendela (January 2021) bila ya yeye kuwa amejiunga na Bima hiyo, yaani bila ya kuwa ni mwanachama
  • Kwa hali hiyo huwa anakatwa fedha ya michango ya Bima ya Afya mpaka leo, japo si mwanachama
Hata hivyo, utafiti ambao alliwahi kuufanya siku nyingi huko nyuma ulibainsha kuwa

  • Makato hayo ya BIma ya Afya hayakuanzishwa kwa makusudi ya kumkomoa kwenye kipato chake hapana
  • Nia hasa ya makato hayo ilikuwa ni kumfanya mhusika alazimike kujiunga na Bima ya Afya, na hatimaye achukue KADI YA BIMA YA AFYA
  • Kadi hiyo ya Bima ya Afya ndiyo iliyokusuwa imekusudiwa awali kuwa na PROPERTIES kama zile za ATM card alizowahi kupewa Benki A halafu hatimaye zikamshinda na akaamua kuzitupa
  • Ikumbukwe pia kuwa makato ya Bima ya Afya yalitangulia (mika kadhaa nyuma) kabla ya tendo la ku-update taarifa za akaunti kwenye BA


HITIMISHO

Kwa hiyo kilichofanyika hapa ni kwamba baada ya mhusika kugoma kujiunga na Bima ya Afya pamoja na kwamba huwa anakatwa pesa hadi leo, hali hiyo ilipelekea sasa asiweze kuchukua card ya Bima ya Afya. Baada ya mhusika kutochukua kadi hiyo, njia pekee sasa ikawa ni kufanya utaratibu mwingine mbadala ili mhuska achukue card nyingine mpya ya ATM kutoka Benki ikiwa ni mbadala wa ile ya Bina ya Afya

Baada ya hapo ndiyo ukawa sasa umefanywa mpango wa ATM card ya mhusika kumezwa na machine, ila safari hii wakiwa pia wana plan ya nyongeza kwamba kama wakifanikiwa, waweze kuchota na kiasi chote cha pesa mhusika alichokuwa nacho kwenye akaunti yake benki, ila kama wakishindwa kuchuka pesa hiyo, basi angalau wahakikishe kuwa mhusika ana card nyingine mpya, mbadala wa kadi ile ya BIma ya Afya ambayo mkakati wa kumfanya aichukue ulishindikana
 
MAELEZO MENGINE MAFUPI YA MUHIMU KUHUSIANA NA BENKI B (BB)

  • Hii ndiyo benki pekee ambayo mhusika ni mteja kwayo, hana uteja na benki nyingine yoyote ile kwa sasa, tofauti na benki hii
  • Mara ya kwanza alifungua akaunti mbili na BB mnamo August 2018
  • Wakati anafungua akaunti hiyo, alikuwa amekimbia kutoka Benki A, baada ya benki hiyo kushusha riba kwenye account yake hadi kufikia asilimia 0.50
  • Alipofungua akaunti hizi kwenye benki yake mpya BB, kwa moja (akaunti ya akiba) alikabidhiwa ATM card na kwa ile nyingin (FDR) alipewa risit
  • Baada ya kuwa viwili vyote hivi kuwa amevifikisha nyumbani kwake (ATM na risti), navyo tena vikaonekana dhahiri kumletea matatizo kama yale ya ATM za benki ile ya mwanzo alikokuwa amekimbia
  • Alichofanya baada ya hapo ni kuitupa ile ATM card halafu risiti ya FDR akaipiga picha na hatimaye kuichana.
  • Kwa hiyo mpaka hapo akawa amebaki na soft copy ya risit kutoka BB ila bila ATM card
  • Muda wa kuiva kwa FDR ulipofika, risiti ikawa inahitajika BB
  • Wakati huo yeye alikuwa tayari ameshaenda benki (muda wa kuiva FDR ulipokaribia) na kuwaambia BB kuwa risti pamoja na ATM vyote vimepotelea nyumbani kwake
  • Baada ya hapo BB walimshauri aende Polisi kuchukua LOSS REPORT
  • Alienda Polisi na akapewa loss report, ambayo ilimsaidia kuweza kupata hela zake kutoka kwenye FDR baada ya kuwa imeiva
  • Zaidi ni kwamba BB walimpa ATM card nyingine mpya, kwa mara ya pili


HITIMISHO

ATM card hii mpya waliyompa BB kwa mara ya pili mnamo August 2019, HAINA TATIZO LOLOTE NA ANAYO MPAKA LEO, japo huwa haitumii mara kwa mara


Kwa hiyo hata BB nao waliwahi kuambukizwa ugonjwa kutoka BA. Haya mambo watu huwa wanaambukizana. Ni kama jinsi ambavyo Kanisa B waliambukizwa na Kanisa A, baada ya mhusika kuwa amehama kutoka Kanisa A kwenda Kanisa B



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Hivyo basi; ATM card mpya waliyompa BB kwa mara ya pili mnamo August 2019, HAINA TATIZO LOLOTE NA ANAYO MPAKA LEO, ISIPOKUWA……

…………Risti ya FDR ya pili waliyompa mnamo mwezi May 2020 baada ya kuwa amefungua FDR kwa mara ya pili, yenyewe kwa sasa hivi hana, ana SOFT COPY yake tu aliipiga picha

Siku FDR hiyo itakapo-expire (Mei Mosi 2022) atawaomba tena wamshauri nini cha kufanya kwa kutokuwa na risti hiyo, na safari hii atawaeleza kwa kina sababu halisi za kwa nini atakuwa hana risti hiyo ya FDR

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY; 4th JANUARY 2021

MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA KADI ZA ATM ZA “BENKI A (BA)” ALIZOZIELEZEA HAPO JUU


Maelezo yake anaomba yaanzie mbali kidogo

  • Ni kwamba mwaka 2009 alienda kwenye mojawapo ya benki zilizopo kwenye eneo lake la kazi (hii sasa tuseme, tuiite Benki E (BE) na kuchukua mkopo wa miaka mitano
  • Makato ya mkopo huo yalianza Desemba 2009 na kumalizika Novemba 2014, halafu baada ya hapo makato ya Bima ya Afya nayo yakafuata tena mwezi uliofuata Desemba 2014
  • Makato haya ya mfuko huu yalikuja kama surprise kubwa kwake kwa sababu hakuwa na taarifa zozote zile ambazo ni official, achilia mbali ya yeye kutokuwa mwanacahma wa mfuko huo
  • Kutokana na ukweli kwamba alikuwa alihitaji mkopo kutoka BE, mhusika alilazimika pia kuwa na akaunti ya akiba na BE, kabla hajapewa mkopo huo
  • Mpaka marejesho ya mkopo huo yanakuja kumalizika, mhusika alikuwa ana akiba ya takribani shillingi laki mbili (TZS 200,000/=) kwenye akaunti yake hiyo na BE
Ilitokea siku moja wakati akiwa kwenye ATM anataka kuchukua hela, hapo hapo kwenye tawi lake, na ilikuwa ni katika kipindi ambacho tayari alikuwa ameshakamilisha marejesho ya mkopo wake na BE (yaani ilikuwa ni kwenye siku fulani baada ya Novemba 2014)

  • Kadi yake ya ATM ilimezwa na machine
  • Alipoingia ndani ya BE akaambiwa kuwa anatakiwa apate kadi nyingine yenye kuendana na mfumo mwingine mpya wa kisasa, na kwamba kadi ya aina ile kama aliyokuwa nayo yeye ilikuwa haiwezi kutumika tena
  • Kwa ufasaha zaidi ni kwamba, mfumo wa kadi za ATM wa BE ulibadilishwa na hivyo ukawa unahitaji kadi zingine tofauti na ile aliyokuwa nayo mhusika
Baada ya mhusika kupata maelezo hayo, akaona mlolongo wa kuomba ATM inayoendana na mfumo mpya alioelezwa unakuwa mrefu, na yeye alihitaji pesa on the spot.

  • Baada ya hapo mhusika aliamua kwenda kuchukua hela hiyo dirishani kwa bank teller
  • Alipofika kaunta, akaambiwa kuwa balance iliyopo kwenye akaunti yake imezuiliwa, hawezi kuichukua
  • Alipouliza kwa nini, maelezo yakawa mengi tena yasiyokuwa ya msingi
Mpaka hapa ni kwamba hii hela ilikuwa imezuliliwa isichukuliwe na mmiliki wa akaunti, kwa kutokea kaunta unless mmiliki huyo anapata ATM card mpya

Kwa wakati huo, akawa bado hawezi kupata picha ya kwa nini hela hiyo inabidi aweze kui-access tu pale atakapokuwa amepata ATM card mpya, alikuwa anshindwa kuelewa ni kwa nini!

  • Baada ya mlolongo na usumbufu wa muda mrefu, hatimaye, yaliibuka maelezo mengine mapya kwamba hela hiyo asingeweza kuichukua kwa sababu alikuwa bado anadaiwa deni la mkopo wake kwa mwezi mmoja wa mwisho, yaani ule wa Novemba 2014
  • Aliambiwa kuwa mwajiri wake hakuwahi kupost makato ya mwezi mmoja, yaani mkopo ule ambao makato yake yalikuwa yameshamalizika tangu Novemba 2014
  • Baada ya kuambiwa hivyo, alipeleka ushahiidi wa Salalry Slip ya Novemba 2014 kuonyesha kuwa makato yalifanyika na kwamba hadaiwi na BE, akidai wampe hela yake iliyokuwa imebakia kwenye akaunti yake
  • Zaidi aliwajulisha kuwa obligation yake yeye kwenye mkataba huo kama mkopajimkopaji ilikuwa ni kuhakikisha kuwa amekatwa pesa kutoka kwenye mshahara wake, halafu obligation ya kuhakikisha kuwa makato hayo yanawafikia BE ilikuwa ni ya kati yao wao BE na mwajiri
  • Kwa hiyo baada ya mhusika kuwahakikishia kuwa makato ya mwisho yalifanyika, aliendelea kusisitiza wampe hela yake, aichukue kupitia dirishani
  • Baada ya hapo, maelezo yakabadilika tena,
  • Mhusika wa BE akadai kuwa account hiyo haina hela, hela yote ilishaisha
  • Baada ya maelezo haya mapya, mteja naye akadai apewe Bank Statement
  • Alivyoomba Bank Statement akaambiwa inabidi alipie shilling elfu kumi na tano (TZS 15,000/=) ambazo kawaida huwa zinakatwa kutoka kwenye akaunti
  • Na kwa sababu akaunti yake ilikuwa haina hela, inabdi a-deposit kiasi hicho kwanza kwenye account hiyo, halafu ndiyo apewe statement
  • Mteja aliingiza hela hiyo kwenye account halafu baadaye alipewa hiyo Bank Statement
Alichokutana nacho kwenye Bank Statement hiyo ni siri yake. Hela yake hiyo ikawa imeyeyukia kwenye account hiyo, hakuendelea kuidai tena na hakuwahi kujaribu tena kufanya lolote lile lililohusiana na akunti yake hiyo kwenye BE tangu hapo

Mpaka hapa mhusika alikuwa bado hajajua ni nini kilikuwa kinaendelea

Ikumbukwe pia kuwa baada ya makato ya BE kuisha Novemba 2014, mwezi uliofuata yalijitokeza makato mengine tena ya Bima ya Afya, yaani Desemba 2014

  • Kwa hiyo Bima ya Afya wao walikuja ku-take–over immediately, baada ya makato ya BE kuwa yamemalizika
  • Obvious kama mteja angekubali kuchukua ATM card ya BE, pengine pasingekuwa na haja ya makato ya Bima ya Afya kuanza immediately Desemba 2014
  • Labda pengine makato hayo mapya yangeweza kuja kuanza baadaye na possibly, kwa motive nyingine tofauti na ile ya kuhakikisha kuwa mhusika anapata nafasi ya kupatiwa kadi nyingine mpya
Kutokea hapa sasa msomaji anaweza aka-connect dots na swala la ATM zile mbili ambazo mhusika aliwahi kuzichukua kutoka BA kama allivyoeleza hapo

Kwa hiyo mkakati wa kuhakikisha mhusika anapata kadi nyingie mpya ulianzia mbali na mlolongo wake kwa kifupi tunaweza kuuweka kama ufuatavyo

  • Walioanza kutaka kumpa kadi mpya walikuwa BE ambao alikuwa amechukua kwao mkopo wa miaka mitano
  • BE walianza kufanya mkakati huo baada ya kuwa ameshamaliza makato ya mkopo wake
  • Kuanzia Desemba 2014, BE pamoja na BIma ya Afya walianza kufanya kazi simultaneously, kujaribu kuangalia nani anaweza kufanikiwa kutoa kadi yake kwa mhusika
  • Baada ya hawa wawili wote kushindwa, ndiyo sasa akaingia BA ambaye yeye alifanikiwa kutoa kadi mbili ambazo hatimaye mhusika aliziharibu na kuzitupa


Huu ndiyo mchaktao halisi wa namna kadi zilivyokuwa zinakuwa engineered ili mhusika aweze kuzimiliki.

elly obedy

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE-2: MONDAY,; 4th JANUARY 2021

TUKIO JINGINE LA KIPEKEE (“RARE COINCIDENCE
)

Kuna mahali hapa Dar es Salaam, miaka kadhaa nyuma, mhusika aliwahi kununua ki-plot kidogo ila bado hajawahi kukifanyia kazi kwa sababu bado anajipanga

  • Plot hiyo iko mahali salama sana kwa sababu mtu aliyemuuzia mhusika anaishi mahali hapo akiwa almost amepakana na mpaka wa plot hiyo
  • Vile vile kuna jirani mwingine tena ambaye yeye amepakana moja kwa moja na plot hii ya mhusika, tumwite Jirani B (JB)
Mnano Septemba 2019, mhusika alibahatika kukutana kwa ghafla na JB pasipo kutarajia, maeneo ya ofisini kwa mhusika, na ndani kabisa ya jengo ilimo ofisi ya mhusika. Baada ya maongezi ya hapa na pale ikaonekana kuwa JB wanafahamiana kwa ukaribu kidogo na Mkuu wa Idara ya mhusika na huwa wana mawasiliano ya hapa na pale na mengine ya kikazi. Hata siku hiyo wakati wanaonana, JB alikuwa amekuja kikazi, alikuwa amepewa kazi na Mkuu wa Idara, ambayo alikuwa anaifanya ndani ya jengo hilo

  • Huyu JB alikuwa wazi sana kueleza kuwa yeye na Mkuu wa Idara ya mhusika wanafahamiana
  • Hata hivyo Mkuu wa Idara mwenyewe hajawahi kabisa hata siku moja kumweleza mhusika kuwa anafahamiana na mtu ambaye ni jirani yake, yaani JB
Anyway, mambo mengine ni social. Mtu anaweza labda akawa ni somehow antisocial, hapendi kukaa anaongea ongea kuhusu watu wengine

Hata hivyo, hoja ya mhusika hapa yeye ni kwamba, kwa kawaida, alitarajia kwamba kwa sababu JB na Mkuu wa Idara walikuwa wanafahamiana pasipo yeye mhusika kuwa anajua hilo, na ukizingatia ukweli kuwa JB alikuwa anajua siku nyingi nyuma kuwa Mkuu wa Idara na mhusika wapo Idara moja, katika hali hii mhusika alitarajia angalau siku moja, angewahi kupokea salaam kutoka kwa JB zikipitia kwa Mkuu wa Idara baada ya wawili hao kuwa wamewasiliana au kuonana. Hii ni kutokana na ukweli kuwa

  • JB alikuwa anajua kuwa Mkuu wa Idara na mhusika, wanafahamiana
  • Mkuu wa Idara alikuwa anajua kuwa JB na mhusika ni majirani
  • Kipindi kabla ya JB hajawahi kuonana na mhusika maeneo ya ofisini kwa mhusika, mhusika alikuwa hajui kama JB na Mkuu wa Idara wanafanhamiana,
Maana sasa kitendo cha mhusika kupata taarifa kuto kwa JB kwamba JB na Mkuu wa Idara wanafahaniana, wakati mkuu mweyewe yuko kimya siku zote hizo, wakati mwingine inaweza ikaleta tafsiri kama Mkuu wa Idara alikuwa hapendi ajulikane kama anafahamiana na JB, na kwamba JB aliropoka ku-expose kufahamiana kwake na Mkuu wa Idara

elly obedy

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY; 5th JANUARY 2021

MAELEZO MENGINE MAFUPI YA NYONGEZA KUHUSIANA NA “BENKI B (BB)”


  • Mara ya kwanza mhusika kuwa mteja wa BB ilikuwa mnamo August 2018
  • Tangia pale, ameshawahi kuandika barua kadhaa japo za mahitaji tofauti na hii ya hivi karibuni, ila zenye umuhumu mkubwa wa kuhitaji kupata majibu kutoka BB, sawa na hii ya hivi karibuni
  • Katika barua zote hizo za awali, hakuwahi kubahatika kupigiwa simu au kutumiwa sms iliyokuwa ikimhitaji akachukue majibu ya barua hizo
  • Majibu yote ya barua hizo alikuwa akiyapata kwa mdomo, pindi alipokuwa anapata muda wa kuonekana mahali ilipo BB
  • Otherwise pasipo kuonekana benki, ilikuwa wazi kuwa majibu hayo yangeendelea kuwa pending kwa kipindi kirefu kinachoendana na uwezekano wa nafasi yake yeye (mhusika) kuonekana physically mahali ilipo BB
Kwa hiyo ni barua ya hivi karibuni pekee ambayo majibu yake alibahatika kuitiwa. Still, majibu ya barua hiyo hayakuwa yanahitaji urgency ya kiasi hicho i



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE:WEDNESDAY; 6th JANUARY 2021

“RARE COINCIDENCE” NYINGINE AMBAYO INAWEZA KUWA IMETOKEA “KANISA A”


Msomaji inabidi azingatie kwa umakini kidogo maelezo ya mhusika kwenye taarifa hii kwamba, coincidence hii:

  • inaweza kuwa imetokea au haijatokea
  • uwepo wake unategemea kile ambacho kinaweza kuwa kimetokea katika uhalisia (if A then B, if not A then not B)


UTANGULIZI


Kuna kipindi kwenye maelezo yake ya nyuma, mhusika aliwahi kugusia swala la kipindi cha Ibada ya maombezi kuvamiwa na watu kutoka nje ya Kanisa A, na ambao walidhihirika kutokuwa na nia njema na kipindi hicho

  • Hiki ni kipindi ambacho huwa kinakuwepo kila Jumapili mara baada ya Ibada ya pili
  • Kawaida huwa kinaanza kwenye mida ya baada ya saa 7, ila kwa mara nyingi kuanza kwake hutegemea sana muda ambao Ibada ya pili ilimalizika
  • Washiriki wake walio wengi, ni waumini ambao huwa wamekuwepo na ambao huwa wameshiriki kwenye Ibada ya pili
Nadhani ilikuwa mwaka 2011 na 2012, ambapo kipindi hiki kilikuwa kinafanyikia kwenye la jengo la ghorofa, na kilikuwa kinafanyikia kwenye ghorofa ya kwanza ya jengio hilo lililo ndani ya uzio wa Kanisa A

  • Baadaye kipindi hicho kilihamishwa na kuwa kinafanyikia kwenye banda ambalo ni Kanisa kwa ajili ya Ibada ya watoto wadogo kabisa wale wa rika la mwanzo kanisani hapo
  • Banda hili ndiyo lile ambalo mhusika hivi karibuni alililamika kuwa linawekewa makreti ya soda pembezoni kwa ajili ya watoto kukanyaga juu yake, kukwepa kukanyaga maji ya mvua ambayo huwa yanajitenga pembezoni mwa banda hilo
  • Baada ya Ibada ya maombezi kuhamishiwa kwenye nyumba hiyo ya Ibada ya watoto wadogo, mamluki wa kuvamia Ibada hii ya maombezi, walianza kuonekana kwenye Ibada hiyo
Ni kwa sababu banda hilo liko karibu na geti la kuingilia Kanisani hapo hivyo ilikuwa ni rahisi zaidi kwa wao kuingia haraka haraka ndani na kujiunga na watu waliokuwa wanakuwa kwenye Ibada hiyo ya maombezi

  • Kule ghrorofani ambako Ibada hiyo mwanzoni ilikuwa inafanyikia, haikuwa rahisi sana kwa wavamizi hawa kufika sehemu hiyo. Ingekuwa rahisi sana kwa wao kustukiwa kwa sababu walikuwa wanakuja kutokea nje, wakati maombezi hayo washiriki wake wote huwa ni watu ambao wengi wao ni wale ambao wanakuwa wamehudhuria Ibada ya pili
  • Na kwa sababu ghorofa liko umbali wa kutosha kutoka getini, haikuwa rahisi kwa mtu mgeni na mwenye sura ngeni, kutembea kote kutoka getini hadi lilipo ghorofa hilo, na hatimaye kupandisha juu ghorofani kujiunga na maombi hayo
Ni katika wakati huu tu ambapo kipindi hiki kilihamia karibu na getini, ndiyo watu hawa nao walianza kuonekana kwenye Ibada hiyo

Kwenye mojawapo ya pilika pilika zao wavamizi hawa wa Ibada, kuna siku walionekana kuwasili wakiwa wamekodi tax, na mhusika kubahatika kuwaona kwa macho yake wakipokelewa na binti mmoja mwenyeji wa kanisani hapo, ambaye pia ni mmojawapo wa washiriki mahiri wa Ibada ya Kusifu na Kuabudu Kanisani hapo



MAELEZO YA TUKIO LENYEWE

Binti huyu ambaye ametajwa hapo juu, ni mshiriki mzuri sana na pia kiongozi mzuri sana wa Ibada ya kusifu na kuabudu na ni mara chache sana kwake kutokuonekana Kanisani. Hata hivyo kuna kipindi fulani aliwahi kupotea madhabahuni kwa muga mrefuu kiasi, na kwa sababu ambazo ni za msingi sana, na ambazo mhusika asingependa kuziongelea hapa

  • Baada ya kuwa amepotea kwa kipindi kirefu, hatimaye alirudi tena na akaendelea kushiriki kama kawaida
  • Hata hivyo, safari hii alirudi akawa mara zote anaimba kama mshiriki tu wa kikundi hicho, yaani mwimbaji wa kawaida na si kama kiongozi mwimbishaji
  • Baada ya binti huyu kuwa amerudi tena, kama kuna Ibada ya kusifu na kuabudu ambayo aliwahi kuiongoza kwa kuimbisha, basi atakuwa alifanya hivyo kwa kipande tu huku akishirikiana na mtu mwingine, ila si kwa Ibada nzima
Hata hivyo, hatimaye ilitokea Jumapili ya tarehe 26 Julai 2020 ambapo alibahatika kuongoza Ibada nzima ya kusifu na kuabdudu, mwenyewe peke yake, huku wenzake wote kwenye kundi hilo wakiwa ni waitikiaji tu

  • Tangia aache kuongoza Ibada hiyo, hadi Jumapili ya hiyo ya tarehe 26 Julai 2020, alikuwa amepitisha takribani mwaka mzima
  • Hii ni kutokana na ukweli kuwa hapo kabla, alikuwa pia ameacha kuonekana madhabahuni kwa udhuru uliotokana na sababu za msingi


HITIMISHO

Hata hivyo, tangu Jumapili hiyo tajwa, hajawahi tena kuongoza (kuimbisha) Ibada nzima ya kusifu na kuabudu yeye mwenyewe peke yake na kama amewahi, basi itakuwa ni katika mojawapo ya Jumapili zipatazo tatu zilizotokea mbele ya mwezi huo wa Julai 2020 ambazo mhuiska hakubatika kuwepo kwenye Ibada za Jumapili hizo

  • Hii inamanisha kuwa hadi leo hii January 2021, mhusika hajawahi kumuona tena binti huyu akiongoza Ibada hiyo kama alivyoongoza kwa mara ya mwisho tarehe 26 Julai 2020
  • Kipindi hiki urefu wake unaeleleka miezi sita sasa, au nusu mwaka
  • Vile vile, kabla ya tarehe hiyo tajwa, alikuwa pia amepitisha takriban mwaka mzima bila kuongoza Ibada hiyo
  • Kwa hiyo rekodi aliyonayo mhuiska kuhusiana na binti huyu hadi siku ya leo, inaonyesha kama tarehe 26 Julai 2020 aliongoza Ibada yote ya kusifu na kuabudu yeye peke yake bila kushirikiana na mtu mwingine, kwa mara ya mwisho
Wasomaji wa siku zote wa uzi huu watakumbuka kuwa tarehe hiyo tajwa ndiyo siku ambayo usiku wake mdogo wake na mhusika alipoteza maisha kule nyumbani kwao Mwanza

Unless binti huyu amewahi kuongoza Ibada zingine katika mojawapo ya Jumapili hizo tatu alizozitaja hapo juu, ambazo mhusika hakuwahi kuzishirirki; ila kama sivyo, kwamba hata Ibada hizo binti huyu hakubahatika kuwa kiongozi wake, basi tukio la binti huyu kusimama madhabahuni siku pekee ambayo mdogo wake na mhusika alipoteza maisha, ilhali hakuwa amefanya hivyo kabla ya siku hiyo kipindi kirefu nyuma, na hajawahi tena kufanya hivyo baada ya siku hiyo kipindi kirefu mbele, linaweza kumpelekea mtu yeyote yule mwenye akili timamu kuliita kama RARE COINCIDENCE

Hata hivyo, tukio hili haliwezi kuwa rare coincidence kama binti huyu amewahi kuongoza Ibada zingine kwenye Jumapili hizi tatu zilizojitokeza mbele ya Julai 2020 ambazo mhusika hakubatika kuwepo kwenye Ibada hizo

Siku hiyo pia alihudumu mtumishi wa Mungu kutoka nje ya nyumba ya Ibada ya Kanisa A, na mahubiri yake yalijikita zaidi kwenye utoaji, hali ambayo imepelekea mhusika kwa sasa, kulega lega zaidi kwenye swala la utaoji. Ni kwamba alikuwa tayari ameshalegea, ila kuanzia siku hiyo alilegea zaidi


elly obedy
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE:THURSDAY; 6th JANUARY 2021

NYONGEZA MUHIMU NA UFAFANUZI WA ZAIDA KUHUSIANA NA MASLAHI YA MHUSIKA AMBAYO AMEKUWA AKIYADAI KWA KIPINDI KIREFU SASA LAKINI PASIPO MAFANIKIO YOYOTE




Ikumbuke kuwa hapo awali, mhusika amewahi kuwashirikisha wasomaji mambo kadhaa kama yafuatavyo hapa chini kwamba

  • Kuanzia Julai mosi 2012, aliwahi kupandishwa daraja kutoka ngazi tuseme D hadi ngazi G, akirushwa ngazi mbili katikati ambazo ni E na F
  • Ngazi hiyo ni ya mwisho kabisa kwenye kada ambayo huwa anatumikia; hakuna ngazi nyingine tena iliyo juu ya hiyo kwenye kada hiyo
  • Barua ya kupandishwa cheo aliipata mapema mwezi Juni 2012, yaani kabla ya tarehe rasmi (Julai mosi 2012) ambayo kupandishwa kwake kwenda kwenye ngazi hiyo kulikuwa kunaanzia
Kwa hiyo wakati barua hiyo inamfikia mwezi huo wa Juni 2012, ilimwelekeza kuwa mshahara wake mpya utakuwa tuseme shilllingi GG (TZS GG)

  • Mshahara huu uliokuwa umeonyeshwa kwenye barua hiyo, ni ule ambao mtu wa ngazi hiyo alikuwa analipwa kipindi chote cha nyuma hadi kufikia tarehe 30 Juni 2012
  • Hata hivyo, kuanzia Julai mosi 2012, Serikali tayari ilikuwa imezaimia kupandisha mishahara ya wafanyakazi wote wa umma, na tarhe hiyo ilipofika, Srikali ilitimiza zama yake hiyo
  • Hali hii ikawa imepelekea mishahara yote kubadilika kuanzia tarehe hiyo, ikiwa ni pamoja na ule wa mhusika. Hivyo basi mshahara wa mhusika ambao alitakiwa kuupata kuanzia Julai mosi 2012, nao ulikumbwa tena na mabadiliko mengine mapya
  • Kwa hiyo tuseme ukawa umebadilika tena kutoka TZS GG na kuwa TZS GGGG kutokana na nyongeza ya jumla ya wafanyakazi wa umma
  • Ikumbukwe kuwa awali, mshahara huu ulibadilika kutoka TZS DD (kabla ya promotion0 na kuwa TZS GG (baada ya promotion, kuanzia Julai mosi 2012)
  • Still, kwenye tarehe hiyo hiyo ya Julai mosi 2012, Serikali ilipandisha tena mishahara na hivyo kupelekea mshahara huo kubadilika kwa mara nyingine tena kutoka TZS GG kwenda tuseme TZS GGGG
  • Pamoja na badiliko hili la pili kutokana na nyongeza ya Serikali, bado barua ya kupandishwa kwake mhusika aliyokuwa meipokea mwezi June 2012 ilikuwa inaonyesha mshahara ambao si ule aliotakiwa kulipwa tena kuanzia hiyo Julai mosi 2012
  • Hii ilitokana na ukweli kuwa barua hiyo isingewea kujiandika upya kuweza ku-accommodate badiliko jipya lililotokana na nyongeza mpya ya Serikali
  • Hata hivyo, baada ya Serikali kuwa imefanya mabadiliko hayo ya mishahara, mhusika hakuandikiwa barua nyingine tena ambayo ingekuwa inaonyesha namna gani mshahara wake ulivyobadilika kwa mara nyingine tena , kuanzia Julai mosi 2012 kutoka TZS GG kwenda TZS GGGG
  • Kwa hiyo kiasi kamili cha fedha kilichowahi kuongezeka kutokana na mabdiliko hayo ya pili mhusika hakikuweza kukijua na hivyo kushindwa kujua kuwa mshahara huo ulipanda kwa kiasi gani baada ya mabadiliko hayo
Ilipofika mwezi Julai 2012, mhusika alilipwa mshahara ule wa zamani, yaani TZS GG, uliokuwa umetajwa kwenye barua ya promotion, na ambao haukuwa na badiliko lililotokana na nyongeza ya Seilali ya Julai mosi 2012; na aliendelea kulipwa msahara huo kuanzia pale hadi Oktoba 2012

  • Hat hivyo, ikuanzia Novemba 2012 na kuendela, mhusika ndiyo alianza kulipwa mshahara mpya
  • Kiwango alichoanza kulipwa kutokana na mshahara huo mpya hakuwa amepewa barua ya kumjulisha kuwa ndiyo hicho anachostahili kulipwa, na hakuwahi kupewa barua hiyo hadi hii leo, na hivyo kumpelekea kutoweza kujua kama kiasi cha fedha alizokuwa analipwa kilikuwa sahihi ama la
  • Na kwa sababu vile vile kiwango hicho kilianza kulipwa mwishoni mwa mwezi Novemba 2012, alilazimika pia kudai malimbikizo ya mshahara huo mpya kwa miezi minne ya kuanzia Julai 2012 mpaka Oktiba 2012
  • Madai hayo ndiyo yakaja baadaye yakapelekea akushushwa cheo kuanzia Februari 2014 hadi leo
  • Baada ya kushushwa cheo, mhusika hakuweza kukubaliana na “terms and conditions” za barua ya kushushwa huko na hivyo alilazimika tena kufuta neno “I accept” na kubakiza neno “I do not accept” kwenye barua hiyo
  • Hata hivyo hayo yote bado hayakusaidia kitu na kuanzia mwezi Juni 2014, mshahara wake huo wa TZS GG, na ambao barua yake hakuwa amepewa, ulipunguzwa kwa kiazi cha TZS 700,000/=
  • Ikumbukwe kuwa huu ni mshahara ambao ulitakiwa ubadilike tena kwa kuongezeka kutoka TZS GG kwenda TZS GGGG baada ya nyongeza ile ya Serikali ya kuanzia Julai mosi 2012
  • Mshahara huu uliokuja kukatwa kiasi cha fedha kilichotajwa hapo juu, ndiyo ule ambao umeendelea kulipwa kwake tangu kipindi hicho (Juni 2014) hadi mwaka jana, yaani Novemba 2020
  • Kwa mwezi (jana) uliopita, yaani Desemba 2020 mshahara huo umebadilika na unaonekana kupanda kwa kiasi cha takribani shillingi laki sita (TZS 600,000/=)
  • Pengine ni matayarisho kwa ajili ya zoezi la TIN za wafanyakazi ila mhusika hana uhakika sana kwa sababu bado hajapata barua yoyote ya mabadiliko hayo hadi leo
  • Pengine mabadiliko hayo yanaweza yasiambatane na barua yoyote kwa sababu yanaonekana kama ni marekebisho ya mshahara tu ambao umekuwa unalipwa pungufu ya kiwango kilichotakiwa, isipokuwa sasa umerekebishwa ili kujiweka sawia na zoezi la TIN linalotarajiwa kuanza mwezi huu wa January 2012
Wasomaji wanaombwa wazingatie angalizo muhimu kwa kukumbuka ia kuwa

  • Julai mosi 2012, mshahara wa mhusika ulitakiwa ubadilike kutoka TZS DD kwenda TZS GG (kutokana na promotion) na hatimaye tena kutoka TZS GG kwenda TZS GGGG (kutokana na nyongeza ya Setikali)
  • Mabadiliko hayo hayakufanyika isipokuwa mshahara huo ulibadilika kutoka TZS DD kwenda TZS GG, kutokana na promotion tu basi
  • Kwa hiyo mshahara huu umekuwa unalipwa pungufu tangu Julai 2012 hata kabla ya tukio lile la kuja kukatwa tena jumla ya TZS 700,000/= lililotokea Juni 2014
  • Na tukio hilo la kukatwa TZS 700,000/=, lilipokuja kujitokeza hiyo Juni 2014, lilisababisha mshahara huo kupungua hadi kufikia kulingana na ule wa ngazi D, yaani TZS DD
  • Hali hii ilipelekea Afisa Rasilimali watu kumwandikia barua mhusika ya kumjulisha kuwa cheo chake ni ngazi D na mshahara wake ni TZS DD, mnamo August 2019
  • Hii ilikuwa ni katika kujaribu ku-reconcile ngazi ili viweze sasa angalau ku-match na mshahara wake ulivyo
  • Hata hivyo wakati mhusika anshushwa cheo kwa lazima mwaka 2014, alipewa cheo cha ngazi E (alitolewa kutoka G akarushhwa F na kuwekwa kwenye ngazi E)
  • Mpaka muda huu, ushahidi wa barua alizonazo mhusika zinaonyesha kuwa alishushwa kupelekwa ngazi E lakini akapewa msahahara wa ngazi D
  • Hii pia inaonyesha kuwa wakati akiwa bado hajashushwa cheo yaani alipokuwa bado yuko ngazi G, bado mshahara aliokuwa analipwa ulikuwa ni ule wa ngazi F, yaani iliyokuwa ngazi iliyokuwa nyuma yake
  • Kwa hiyo pamoja na kuwa mwaka 2012 mhusika aliawahi kupanda cheo hadi ngazi G, ukweli ni kwamba mhusika hakuwahi kulipwa mshaha wa ngazi hiyo katika kipindi chote alichokuwa akitumika katika ngazi hiyo, isipokuwa aliwahi kulipwa mshahara uliokuwa ngazi nyuma ya hiyo, yaani wa ngazi F
  • Kwa hiyo aliposhushwa cheo na kurudishwa chini kwenye ngazi E, tatizo hili likaendelea ku-propagate na ngazi zake, na hivyo kwa wakati huo sasa mshahara wake ukawa tena ni ule wa ngazi D
Kutokana na hali hii, ilipofika August 2019, Afisa Rasilimali watu alilazimika kumwandikia barua mhusika ya kumjulisha kuwa yuko ngazi D na mshahara wake ni TZS DD, ambao ndiyo unaoendana na ngazi hiyo. Kwa hiyo Afisa huyu alilazimika kumshusha cheo mhusika kwa mara nyingine tena ili mshahara na cheo chake viweze kuendana. Ni kwa sababu alikuwa ngazi E wakati msahara wake ukiwa ni ule wa ngazi D

Barua hii aliyoipokea mhusika kutoka kwa Afisa Rasilimali watu, ilikuwa inajaribu pia kufuta au kurekebisha barua nyingine ya mwaka 2017 ambayo mhusika aliwahi kuipokea ikiwa inatoka kwa Afisa Tawala, iliyokuwa imempa promotion kutoka ngazi E kwenda ngazi F kuanzia Novemba 2017, lakini ikiwa na mshahara wa ngazi E kama kawaida. Kwa hiyo barua hiyo nayo ilikuwa imempa promotion mhusika kwenda ngazi F lakini ilikuwa na mshahara wa TZS EE, badala ya ule wa kawaida wa TZS FF

Mabadiliko ya barua hii iliyowahi kutoka kwa Afisa Tawala, hayakuwahi kufanyiwa kazi hadi leo, baada ya mhusika kutakiwa kwanza kwenda kumuona Afisa Rasilimali watu kabla ya mshahara huo mpya kuanza kulipwa. Alishindwa kwenda kumuona Afisa huyo, na mabdailiko hayo hayakuwahi tena kufanyiwa kazi tangu pale

Kwa hiyo hadi lNovemba 2020 (mwaka jana), mshahara aloukuwa anapata mhusika ni ule wa Juni 2014, ambao alipewa baada ya ule aliokuwa nao mwanzo kuwa umekatwa shillingi laki saba





MATUKIO YALIYOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUPATA BARUA YA KUPANDISHWA CHEO MNAMO JUNI 2012

Kabla ya kuendelea mbele, mhusika anaomba awarudishe nyuma kidogo kuelezea ni nini kilitokea baada ya kuwa amepata barua ya kupandishwa cheo mnamo Julni 2012

  • Kuna siku aliyekuwa Katibu Muhtasi wa Idara anayofanyia kazi mhusika, aliomba aione barua (ya mhusika) ya kupandishwa kwake cheo
  • Mhusika alimpa mama huyo na alipoisoma, hatimaye alimjulisha kuwa promotion zote za mwaka huo zimefutwa, hazipo kwa sababu Serikali haina fedha
  • Baada ya muda kupita tena, huku mhusika akiwa bado anaendelea kupata mshahara ule wa zamani (tayari ilikuwa baada ya Julai 2012), Mkuu wa Taasisi anayofanyia kazi mhusika, aliitisha Mkutano wa Wafanyakazi wote wa taasisi nzima
  • Wakiwa kwenye ukumbi wa mkutano, Mkuu huyo naye alieleza kinagaubaga kwamba “promotion” zote za Julai 2012 hazitakuwa na ongezeko la mishahara kwa sababu Serikali haina Fedha
  • Aliyasema haya mbele ya kikao cha wafanyakazi wa taasisi yote
  • Huyu sasa akawa ni mtu wa pili kwa mhusika kumsikia akiongea taarifa za namna hiyo
  • Ikumbukwe pia kuwa Mkutano huo ulihudhuriwa pia na SENIOR MSTAAFU WA KIUME, ambaye wakati huo alikuwa hajastaafu
  • Huyu SENIOR MSTAAFU WA KIUME ndiyo yule wako Idara moja na mhusika, na kipindi hicho alikuwa na cheo cha pili kutoka juu, yaani baada ya Mkuu wa Taasisi (aliyewahi kuitisha mkutano), aliyekuwa anafuatia chini yake ni yeye.
  • Kwa hiyo huyu SENIOR MSTAAFU WA KIUME yeye ndiye alikuwa akikaimu nafasi ya Ukuu wa Taasisi pindi Mkuu wa Taasisi alipokuwa amepata udhuru nje ya kituo chake cha kazi
  • Kwa hiyo ilionyesha kuwa hapo kabla, hata yeye huyu naye pia taarifa hizi alizifahamu pasipo shaka na pengine ndiye aliyekuwa kumdokeza Katibu Muhtasi ambaye naye hatimaye alikuja kumdokeza mhusika hata kabla ya kikao hicho tajwa


…………………………………inendelea
 
…………………………………inendelea



HITIMISHO


Mpaka muda huu, ukiunganisha na nyaraka alizonazo, mhusika ameshabaini kuwa

  • Julai mosi 2012 alirushwa kutoka ngazi D (mshahara TZS DD) kwenda ngazi G (mshahara TZS GG) lakini akawa analipwa mshahara wa ngazi F (TZS FF)
  • Kwa hiyo alipandishwa mpaka ngazi G lakini akawa anapokea mshahara wa ngazi F
Off-set hii iliweza kuwa facilitated na mambo kadhaa yafuatayo

  • Mhusika kupata barua ya promotion kabla ya nyongeza ya mishahara ya Serikali; nyongeza iliyokuwa inaanzia Julai mosi 2012
  • Mhusika kutopewa barua ya marekebisho yaliyotkana na nyongeza ya Serikali iliyoanzia Julai mosi 2012
  • Mhusika kuanza kulipwa mshahara mpya miezi kadhaa mbele baada ya mwezi wa kwanza wa promotion yake (na nyongeza ya Serikali pia)
  • Mkuu wa Taasisi kutangaza kuwa hakungekuwa na nyongeza ya mishahara kwa promotion za mwaka huo, halafu baadaye nyongeza hizo zikawepo
Vile vile mis-match ya mshahara wake na cheo alichopata Julai mosi 2012 ndiyo vilivyosbabisha asiweze hata kupewa malimbikizo ya mshahara ya miezi mine ya Julai hadi Oktoba

Kwa kifupi mpaka hapa tunaweza kuaninsha mambo kadhaa yafuatayo:

  • Julai mosi 2012, mhusika alipanda cheo hadi ngazi G, yenye mshahara stahiki wa TZS GG
  • Julai mosi 2012 hiyo hiyo, mshahara wa TZS GG uliongezwa na Serikali na kuwa TZS GGGG
  • Kwa hiyo basi, Julai mosi 2012 mhusika alitakiwa kupata mshaharwa wa TZS GGGG
  • Hata hivyo, Julai mosi 2012 mhusika aliendelea kulipwa mshahara wa wa TZS GG badala ya ule wa TZS GGGG
  • Inaonyesha pia kuwa Julai mosi 2012 mshahara wa TZS GG (kabla ya nyongeza ya Serikali) ulibadilika na kuwa mshahara mpya wa ngazi F (baada ya nyongeza ya Serikali)
  • Kwa hiyo, kawaida mhusika alitakiwa kuwa na mshahara wa TZS GGGG lakini aliendelea kulipwa mshahara wa TZS GG
  • Mnano Juni 2014 baada ya kuwa ameshushwa cheo na kupelekwa ngazi E, mshahara wake ulitakiwa kuwa TZS EE, lakini alipewa mshahara wa TZS DD, yaani wa ngazi ile iliyokuwa nyuma yake
Mshahara huu wa TZS DD ndiyo amekuwa akiupokea tangu hiyo Juni 2014, tarehe ambayo mshahara wake uliwahi kupunguzwa

  • Amekuwa akilipwa mshahara huo tangu tarehe hiyo hadi hivi karibuni Novemba 2020, yaani hadi mwaka jana
  • Barua aliyoipata August 2019, ikimshusha cheo kutoka ngazi E kurudi D (nakala anayo), ina mshahara ambao ni mkubwa kwa zaidi ya laki tatu (TZS 300,000/=) ukilinganisha na ule ambao amekuwa akiupata siku zote hizo nyuma hadi kufikia Novemba 2020
  • Kwa hiyo tangu Juni 2014, pamoja na kuwa alikwa yuko ngazi E huku akiwa analipwa mshahara mdogo wa ngazi D, bado hata huo mshahara wan a ngazi ndogo umekuwa ukilipwa kwake kwa kiasi kilicho pungufu ya zaidi ya laki tatu
  • Baada ya zoezi la TIN kutangazwa, mshahara huo wa ngazi D umeonyesha kubadilika na kukaribiriana kabisa na ule wa ngazi E,
  • Calculations zake zlizofanya zinazohusisha net pay ya zamani na ile ya sasa, ukilinganisha pia na gross pay ya zamani, zinaonyesha kuongezeka kwenye mshshara wake wa sasa, kiasi cha takribani TZS 600,000/= gross
  • Hana uhakika sana na hili kwa sababu alikuwa blocked tangu mwezi February 2018kwenye website aliyokuwa amejisajili kwa ajili ya kupata Salary slip
  • Kwa hiyo hata Salary Slip nazo amekuwa hapati tangu hiyo February 2018 mpaka leo
  • Mwezi huo wa February 2018 alipokuwa blocked, ndiyo ule ambao alioanzishiwa makato mengne mapya ya nyumba kwenye mshahara wake, na pasipo ridhaa yake
  • Pamoja na kwamba hana salary slip, calculations zake bado zinaonyesha kuwa makato yote ambayo amekuwa akiyalalamikia, likiwemo lile la Bima ya Afya, bado yapo yanaendelea hata baada ya kiasi hicho cha fedha kuonyesha kuwa kimeongezeka kwenye mshshara wake kuanzia Novemba 2020
Zaidi ni kuwa mara ya mwisho mhusika aliwahi kulipwa malimbikizo ya mshahara, ilikuwa ni kabla ya January 2012. Baada ya pale, mamillion ya arrears watu huwa wanashangilia, huwa akiwa anayasikia kwenye mitambo tu

Nadhani labda inabdi awashukuru sana watumishi waliobuni swala la wafanyakazi wote wa umma kuwa na TIN. Hii hatua itasaidia sana katika kuhakikisha kuwa kila mtumishi analipwa mshahara anaostahili na si vinginevyo



MUBARKIWE TENA NA BWANA
 
Stay tuned. Story nyingine ya kufikirisha sana is just on its way towards the pages of this thread. Keep closer
Inajaribu kuchambua uhusiano ambao unaweza kuwa upo au ulikuwepo kati ya baadhi ya wafanyakazi wa BA, BB na Salary arrears zilizolipwa June/ July 2018
 
UPDATE:FRIDAY; 8th JANUARY 2021

BAADHI YA MAKATO YALIYOPO KWENYE MSHAHARA WA MHUSIKA YASIYOKUWA YA HIARI, NA AMBAYO HAYAKO KISHERIA, NA NAMNA AMBAVYO YANAWEZA KUWA NA UHUSIANO NA MATUKIO AMBAYO AMEKUWA AKIKUMBANA NAYO KUTOKA KWA BAADHI YA WAFANYAKAZI WA BENKI


Mhusika hapa anaomba agusie kidogo makato yote yaliyopo kwenye mshahara wake, na ambayo hayapo kisheria

  • Makato haya si yale ambayo yanahusiana na kodi ya Serikali au michango ya lazima ya Serikali kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kama vile PPF, hapana
  • Makato haya pia hayahusiani na michango yoyote ile ambayo mhusika aliwahi kuridhia mwenyewe kukatwa kutoka kwenye mshahara wake, kama vile michango yake kwenye chama cha wafanyakazi
  • Haya ni makato ambayo alikuja kustukia details zake zinaonekana kwenye Salary slip tu bila ya yeye kuwa na taarifa zozote za awali
  • Kwa ujumla ni makato ambayo hajawahi kuridhia au kuidhinisha yakatwe kutoka kwenye msahara wake
  • Kwa upande mwingine, ni makato ambayo yamekuwa yakikatwa kutoka kwenye mshahara wake kwa nguvu


Makato haya na muda pindi yalipoanza ni kama yafuatavyo hapa chini

  • MAKATO YALIYOANZA HIVI KARIBUNI KWA AJILI YA PANGO LA NYUMBA YA SERIKALI
  • Makato haya yalianza tangu mwezi February 2018 na huwa yanachukua asilimia saba (7%) ya gross pay yake kwa kila mwezi, na yamekuwepo yakiendelea hadi kufikia Desemba 2020
  • Kwa hiyo makato haya yana takribani miaka mitatu (3) kasoro mwezi mmoja tangu yaanze, au jumla ya miezi 35
  • Kwa hesabu za haraka haraka, kiasi ambacho ameshakatwa kutokana na makato haya mpaka muda huu, nacho pia hakipungui shilling million kumi
Makato haya aliyoyataja hapa juu ndiyo atayaongelea zaidi namna yanavyoonekana kama kuwa na uhusiano wa namna fulani na baadhi ya wafanyakazi wa Benki


  • MAKATO KWA AJILI YA MFUKO WA BIMA YA AFYA
  • Makato haya yalianza Desemba 2014 na huwa yanachukua asilimia tatu (3%) ya gross pay yake kwa kila mwezi
  • Makato haya yamekuwa yakiendelea hadi kufikia Desemba 2020
  • Kwa hiyo ni miaka saba (7) na mwezi mmoja umepita tangu makato yaanze, au jumla ya miezi 85
Kwa hesabu za haraka haraka, kiasi ambacho ameshakatwa kutokana na makato haya mpaka muda huu, hakipungui shilling million kumi



  • MAKATO YA MAJI KWENYE NYUMBA ANAYOISHI
  • Haya yalianza tangu January 2011 na yanaendelea mpaka leo
  • Ni kiasi cha TZS 25,000/= kwa kila mwezi na yamekuwa yakiendelea hadi Desemba 2020 ambapo yametimiza miezi 120 kamili tangu kuanzishwa kwake
  • Jumla ya kiasi chote ambacho ameshakatwa kutokana na makato hadi Desemba 2020 ni TZS 3,000,000/=
Kwa hiyo jumla ya makato ambayo mhusika anakatwa kwa nguvu bila kuwa ameridhia, ni haya matatu aliyoyaorodhesha hapa. Zaidi ya haya, hana makato mengine kwenye mshahara wake ambayo yanaendelea kufanyika bila ridhaa yake



MAELEZO KUHUSIANA NA MATUKIO YANAYOONYESHA KAMA KUNA UHUSIANO BAINA YA MAMBO HAYA MATATU: MAKATO YA NYUMBA KWENYE MSHAHARA WA MHUSIKA; MALIMBIKIZO YA MSHAHARA (AMBAYO MHSUIKA HAJALIPWA HADI LEO); NA BAADHI YA WAFANYAKAZI WA BENKI

Ikumbukwe kuwa kuna kipindi huko nyuma Serikali ilitangaza kulipa malimbikizo ya mishahara ya wafanyakazi wake, na hivyo kupelekea kuziagiza taasisi husika ambazo wafanyakazi wake walikuwa wanadai malimbikizo hayo, kuwasilisha majina na kiasi cha madai yao, kwenye wizara husika

  • Kwa bahati mbaya, taasisi anayofanyia kazi mhusika ilipeleka majina pungufu, baada ya kosa la msingi kuwa limejitokeza nadhani labda ilikuwa ni kwenye mfumo wao wa kompyuta wakati wa kuwasilisha taarifa hizo
  • Idadi ya majina yaliyopelekwa nadhani yalikuwa takribani 30 au 300, badala ya idadi kamili ya watu zaidi ya elfu mbili au elfu tatu
  • Taarifa za majina haya pungufu mhusika alizisikia kutoka kwenye vyombo vya habari.
  • Mhusika alibahatika pia kuyasoma kwenye gazeti, baadhi ya majina hayo yaliyobahatika kupelekwa wizarani kwa ajili ya mchakato wa malipo hayo
Mchakato huu ulikuwa ni ule wa awamu ya kwanza kabisa, na bada ya huo hatimaye awamu zingine nazo zilifuata tena

Baada ya hapo, kwenye mwezi Juni 2018, mhusika alibahatika kukutana na mtu ambaye (mtu huyo) alimjulisha kuwa wale wote waliokuwa wamebaki kwa ajili ya malipo hayo, walilipwa mwezi huo. Mbali na hivyo alikuwa anasikia pia kutoka kwenye vyombo vya habari kwa sababu kila awamu ya malipo hayo ilipokuwa inawadia, Serikali inatangaza.

  • Kuanzia pale sasa mhusika akawa anasubiria barua ya kumjulisha kuwa atalipwa malipo hayo, kutoka kwa mwajiri, lakini hakuwahi kuioana na hajaiona mpaka leo hii January 2021
  • Katika kipindi hicho vilevile na hata kabla ya hapo, mhusika alikuwa pia na madai yake mengine yeye peke yake, yaliyokuwa yametokana na kushushwa cheo pamoja na makato ya lazima yaliyokuwa yakiendelea kwenye mshahara wake kama alivyoyataja hapo juu
  • Hii ni kutokana na ukweli kuwa hadi kufikia Juni 2018, makato hayo yote matatu aliyoyataja hapo juu yalikuwa tayari yapo kwenye mshahara wake
  • Hayo ndiyo aliyokuwa akiendelea nayo hapo kabla ila hadi kufikia Juni 2018, alikuwa tayari ameamua kuacha kuyafuatilia kwanza
  • Madai hayo aliamuaa kuacha kuyafuatilia baada ya siku moja kukumbana na tukio ambalo halikuwa la kawaida sana
  • Nadhani ilikuwa April au mwanzoni mwa mei 2018, alibahatika kuingia ofisini kwa mkuu wa taasisi hiyo akiwa anafuatilia appointment ya kuonana naye, appointment ambayo alikuwa ame-ilodge kipindi kirefu nyuma ila nafasi ilikuwa bado haijapatikana
  • Ilikuwa ni katika kufuatilia majibu ya barua yake ambayo alimwandikia mkuu huyo kipindi kirefu nyuma lakini hakuwa amepata majibu ya barua yake hiyo
  • Akiwa ofisini hapo akiongea na Katibu Muhtasi aliyemkuta ofisini hapo siku hiyo, alistukia ghafla mwenzake ameghafirika na kuanza kutaka kulia, huku akimpigia simu bosi wake kumuuliza kama ana nafasi ya kwenye tarehe fulani ambayo mama huyo aliitaja
Baada ya kuona hivyo, mhusika alikimbia kutoka ofisini humo, na hajawahi kurudi tena ofisi hiyo kwa swala hilo lililokuwa limempeleka, hadi leo





………………………inaendelea
 
MATUKIO YALIYOWAHI KUJITOKEZA KABLA NA BAADA YA JUNI 2018, YAANI MWEZI AMBAO ILISEMEKANA KUWA MALIMBIKIZO YALILIPWA

Baada ya mhusika kupata fununu kuwa malimbikizo yalilipwa mwezi Juni (au July) 2018

  • Aliendelea kusubiria barua ya kumjulisha kuwa na yeye naye atalipwa pia, lakini hakuipata
  • Baada ya hapo aliamua kukaa kimya, kwa sababu alikuwa tayari ameamua kufanya hivyo hapo kabla, baada ya kuwa amekimbia kutoka kwenye ofisi ya mkuu wa taasisi, siku alipokuwa akifutailia appointment ya kuonana na mkuu huyo
Ikumbukwe pia kuwa mnamo February 2018, yalianzishwa makato ya lazima kwa ajili ya pango la nyumba anayoishi mhusika.

  • Haya ni makato ambayo yalianza kabla ya Juni 2018
  • Baada ya Juni 2018, Benki A (BA) nao wakashusha tena riba ya akaunti ya mhusika hadi kufikia asilimia sifuri nukta tano (0.50%)
  • Mabadiliko haya yanaonekana KAMA yalilenga kumfukuza kabisa mhusika kwenye tawi hilo
  • Vilevile, mwezi August 2018 (baada ya Juni 2018), mhusika akapokea barua ya kudaiwa fedha zaidi ya shillingi million mbili (TZS 2,000,000/=) kama pango la nyumba kwa miezi 7 ya nyuma ambayo hakuwa amekatwa pango hilo
  • Barua ilimjulisha kuwa pango la nyumba linatakiwa kulipwa kuanzia July 2017, na kwa sababu yeye alianza kukatwa pango hilo tangu February 2018, ilikuwa wazi kuwa alikuwa anadaiwa pango la jumla ya miezi 7 kuanzia July 2017 mpaka January 2018
  • Kiasi hicho kilichotajwa hapo juu ndiyo kile sasa alichotakiwa kukilipa kama pango la nyumba kwa miezi hiyo tajwa
  • Zaidi barua ilimwelekeza alipe pesa hizo kwenye akaunti ya Benki ya taasisi hiyo, akaunti ambayo jina lake, namba yake na tawi la Benki ilipo havikuwa vimetajwa kwenye barua hiyo
  • Ni wazi kuwa alitakiwa akawaone wahusika halafu ndiyo wampe jina na namba ya akaunti hiyo, na tawi la Benki pia
Mhusika hakulipa pesa hizo na hajawahi kuzilipa mpaka leo

Matukio haya yote yanaonyesha kama:

  • Kuna hela yake ambayo tayari ilikuwa ipo ndani ya mikono ya mwajiri wake ambayo ilikuwa inaendelea kutafutiwa uhalali wa kuanza kukatwa
  • Benki nao walipunguza riba kuanzia mwezi July 2018.
  • Punguzo hili linaonyesha kama walilifanya hela hiyo ikiwa ipo tayari ipo mikononi mwao. Yaweza kuwa ilikuwa tayari ipo kwenye benki ya mhusika ila ilikuwa bado haijapewa authorization na mwajiri
Na kutokana na taarifa hizi mpaka hapa sasa, msomaji inabidi sasa ajiongeze mwenyewe, assuming “hypothesis“ ya mhusika iko sahhi. Za kwako changanya na za mwenzako

Hivyo basi, iwapo kweli hii pesa iliwahi kuwepo BA

  • Inaweza kuwa ndiyo sababu BA walipunguza riba, kwa nia ya kumfukuza mweye fedha hizo mahali pale
  • Baada ya kuwa wamemfukuza mhusika, yaweza kuwa pia BA walikaa nayo fedha hiyo kwa makubalianao fulani na aliyekuwa bado ana mamlaka na fedha hiyo


…………inaendelea
 
…………inaendelea

MAELEZO YA ZIADA KUHUSIANA NA MFANYAKAZI WA BA AMBAYE MHUSIKA ALIKUWA AMEMUMAKI KAMA NDIYO MHUSIKA WA YOTE HAYA.

  • Mfanyakazi huyu ndiye yule aliwahi kumpa mhusika ATM card ya kwanza kabisa iliyowahi kumletea matatizo halafu akaitupa. Hata hivyo, ile nyingine ya pili hakuitoa yeye, alipewa na mfanyakazi mwingine
  • Ndiye pekee aliyekuwa mara nyingi sana (zaidi ya kawaida) akimpa balance ya akaunti zake mhusika au benki statement. Unless siku hiyo awe hayupo BA, lakini kama yupo ilikuwa lazima awe yeye
  • Kule kwenye tawi jingine la BA lilioko karibu na BB, nako vilevile kulikuwa na mtu mwingine mmoja wa aina hiyo hiyo
  • Hali hii imeanza kujitokeza pia hata kwenye Benki B, benki ambayo ndiyo pekee inayohodhi akaunti za mhusika kwa sasa. Huko nako pia ameona kama kuna baadhi ya wafanyakazi ambao hawako authorized kumpa balance au statement mhusika, isipokuwa wafanyakazi wawili ambao kila inapotokea kuwa mhusika anataka balance au statement, lazima wao ndiyo wahamie customer service kuja kumhudumia, wakati hata wale ambao huwa anawakuta na kuwaeleza shida zake wana uwezo wa kumhudumia kisawasawa
Turudi tena kwa mfanyakazi wetu wa BA tena

  • Ndiye anayehusika na online banking pamoja na kutoa e-statements za akaunti
  • Alikuwa amezuia mhusika asitumie online e-Banking, kwa sababu ambazo mhusika hakuwahi kuzifahamu hadi leo. Kuna kipindi mhusika hadi aliamua kwenda kujisajili kwa ajili ya huduma hii kwenye tawi lile jingine lilio karibu na BB
  • Mhusika alijaza fomu na kukamilisha kila kitu lakini hatimaye huko nako walimweleza kuwa swala lake inabidi akawaone watu wa kwenye tawi ambalo alifungulia akaunti yake
  • Kwa hiyo huyu mfanyakazi alikuwa amezuia hadi kwenye sytem ya Benki nzima
  • Ikumbukwe pia kuwa hapa mhusika hakuwa hata na na ile ATM card tu, mambo yote alikuwa anafanya kupitia dirishani
  • Hivyo alitamani kama angepata fursa ya kufanya sim banking au online banking
  • Hii nayo mama huyu alizuia
  • Kuna wakati pia alikuwa ana-block, e-statement za akaunti za mhusika, na ilipotokea akawa amefanya hivyo, the chances ni kwamba kulikuwa na kitu mbele kilikuwa kinaandaliwa kwa mhusika ambacho siyo kizuri, mithili ya kile alichowahi kugusia juzi kilichohusiana na tukio la kipindi kile alipotakiwa ku-update taarifa zake za benki
  • Ilikuwa imeshajidhihirisha wazi kabisa kwa mhusika kuwa mtu huyu alikuwa anapewa taarifa in advance halafu baadaye naye anashiriki kufanya kile ambacho ni sehemu yake kulingana na makubaliano ya mtandao wa wale aliokuwa pamoja nao
Kwenye system, e-statements kawaida huwa zinakuwa ziko AUTO lakini ilikuwa wakati mwingine lazima azidai kwa kwenda physically benki au ampigie simu huyu mama, alikuwa anazi-block

Ni mengi sana anaweza akaongea kuhusu mtu huyu, haya kwa sasa yanatosha



………………………..inaendelea
 
Back
Top Bottom