#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

Picha halisi ya tukio lenyewe ilianza tangu jana, ana mawakala wake anawatumia na muda huu wapo mazingira ya ofisini. Kabla ya leo, mhusika alikuwa hajajua kama Senior Msataafu ndiyo coordinator wa mchezo huo
 
Kuhusu SENIOR MSTAAFU WA KIUME, anashauri (strongly recommend) mamlaka husika zishauriwe kumpa muda wa kutosha apumzike nyumbani kwanza, aondoke kwa muda kwenye mazingira ya ofisini. Mamlaka zinazohusika zishauriwe kumpa release ya namna hiyo.
 
Kwa ushahidi alionao mhusika mpaka muda huu, mtu wa kwanza kumuona akifanya ujinga mazingira ya ofisini kwa mara ya kwanza alikuwa ni huyu SENIOR MSTAAFU WA KIUME, na taarifa hizi aliziwasilisha kwenye mamlaka aliyokuwa ameelkezwa. Kwa hiyo, mara ya kwanza mtu huyu kuonekana akifanya ujinga mazingira ya ofisini Ilikuwa Jumatatau ya 12.09.2016, siku mbili baada ya tetemeko la Kagera kuwa limetokea. Tetemeko la Kagera lilitokea Jumamosi ya tarehe 10.09.2016
Atamwongelea zaidi huyu mtu atakapokuwa anongelea watu wa Kanisa B, ambako ndiko ulikobuniwa mfumo anaozidi kuutumia huyu SENIOR MSTAAFU WA KIUME
Taarifa zake kuhusiana na matukio ya ajabu ajabu tayari alishaziwasilisha kwenye mamlaka husika tangu hiyo Septemba 2016
 
UPDATE: FRIDAY 15th JANUARY 2021

HITIMISHO KUHUSIANA NA MASWALA YALE AMBAYO ALIRUDI KWA AJILI YA KUYAGUSIA TENA KANISA A




Msomaji anazidi kukumbushwa kuhusiana na incidences hizi nne ambazo zimeshatokea na kuonyesha mfanano wa kipekee sana, nazo ni

  • Siku aliyokuta hakuna mtu Kanisanni na kulazimika kupanda juu ya madhabahu kwenda kuzima feni zilizokuwa zikitembea
  • Siku lilipotolewa tangazo la mchango kwa ajili ya wanaume wote na kulazimika kupita mbele ya madhabahu kwenda kutoa sadaka hiyo
  • Siku lilipotolewa tangazo la kila zone kukusanyika mahali pamoja Kanisani hapo, na zone yake ikawa imepangiwa kuktana sehemu ambayo ili uweze kuifika, inabidi upitie mbele ya madhabahu
  • Siku ya Jumapili iliyopita tarehe 10/01/2021 ambapo lilitolewa tangazo mara baada ya Ibada ya pili, likihusiana na mhitaji ambaye ili uweze kumuona, kutokana na sehemu aliyokuwa yupo mtu huyo, ilikuwa inabidi lazima upitie mbele ya madhabahu
Baada ya ufafanuzi huu mfupi, tunarudi tena kwenye makazi yetu mapya, yaani Kanisa B
 
UPDATE-2: FRIDAY 15th JANUARY 2021

“KANISA B” “KANISA B” “KANISA B” “KANISA B”


Kwenye maeezo yaliyopita, mhusika wa taarifa hizi alihitimisha kwa kusema kuwa:

  • Kiongozi Mkuu wa Kanisa B (KM-B) hakuhusika na kuhama kwake mhusika kutoka Kanisa hilo kurudi Kanisa A ambako ndiko aliko mpaka muda huu
  • Aliiyechangia kwa kiwango kikubwa kabisa kuhama kwa mhusika ni Mzee Kiongozi wa Kanisa B (MZK-B)
Kanbla hajaendelea zaidi kumwongelea MZK-B, anaomba kwa leo amgusie mshiriki mwingine maalumu Kanisani hapo, huyu tumwite MSH-B. Kuna mambo kadhaa ya kumwongelea mshiriki huyu kabla hajarudi tena kwa mtu maalum sana kanisani hapo ambaye ni MZK-B Huyu mtu ana umuhimu wa pekee, kwa sababu ndiye anaweza akwa kwa kiwango kikibwa, anahusika na ubunifiu huu ambao mambo yake yamekuwa yakiendelezwa ofisini na akina SENIOR MSTAAFU WA KIUME



………………..inaendelea
 
“KANISA B” “KANISA B” “KANISA B” “KANISA B”

WASIFU WA MSH-B KWA KIFUPI SANA


  • Walifahamiana na mhusika kwa mara ya kwanza mwishoni mwa mwaka 1999
  • Wakati huo MSH-B alikuwa Mkuu wa Shule moja ya binafsi hapa jijini Dar es salaam
  • Mhusika alifika shuleni hapo akisaka ajira, na alifanikiwa kupata nafasi shulemi hapo
  • Kwa bahati mbaya hakuweza kufanya kazi shuleni hapo kwa sababu alihitaji afundishe session ya mchana kuanzia saa 7
  • Shule ilikuwa na session mbili, ya asubuhi nay a mchana
  • Muda wake wa asubuhi alikuwa tayari anautumia kwa ajili ya kufundisha Shule nyingine ya Serikali ambayo alikuwa ameajiriwa
  • Aliamua kwenda kutafuta ajira nyingine ya nyongeza kwenye shule hiyo ya binafsi kwa sababu kipindi hicho ndiyo alikuwa ameajiriwa Serikalini kwa mara ya kwanza na kwa wakati huo, ilikuwa inabidi mwajiriwa mpa akae miezi angalau kuanzia minne (4) hadi sita (6) ndiyo aanze kulipwa mshahara
  • Ilikuwa inachukua muda huo kwa mwajiriwa mpya kuingizwa kwenye pay roll ya Serikali, na hivyo kipindi chote cha miezi ya kwanza ilibidi mtu awe na pesa yake ya kujikimu kabla hajaanza kulipwa rasmi mshahara
Kwa hiyo hii ndiyo motive iliyopelekea mhusika akaenda kutafuta ajira nyingine ya nyongeza ili kama ikiwezekana awe anafundisha kwenye shule mbili, ile ya Serikali na ya binafsi pia.

Akiwa kwenye interview siku hiyo

  • Aliomba apewe vipindi vya session ya mchana kwa sababu shule ilikuwa na session mbili, ya asubuhi na ya mchana pia
  • Baada ya usaili, alipewa nafasi shuleni hapo na kwa session hiyo ya mchana, lakini kwa bahati mbaya, baadaye mwalimu wa taaluma alibadilisha uamuzi na kumuomba mhusika achukue vipindi vya session ya asubuhi
  • Hapo ndiyo mkanganyiko uilipoanzia, na hatimaye mkanganyiko huo ulipelekea aachane na ajira hiyo na kubaki na ile ya awali ambayo alikuwa bado hajaanza kulipwa mshahara
Kwa hiyo kwenye shule hii, kipindi hicho MSH-B ndiyo alikuwa Mkuu wa Shule

Baada ya interview siku hiyo akiwa anatoka shuleni hapo, ilitokea coincidence kwamba Mkuu wa Shule naye alikuwa ana safari ya kuelekea mjini akiwa na gari lake binafsi. Kwa hiyo Mkuu wa Shule alimpa lift mwalimu huyu mpya, wakatoka wote shuleni hadi mjini, na ndiyo ikawa mwanzo wa kufahamiana.

Baada ya hapo walibahatika kuwa wanakutana mitaani japo kwa nadra sana, na hatimaye jioni moja tena walibahatika kukutana Kanisa B kwenye Ibada ya jioni, kipindi kabla mhusika hajahamia rasmi hapo Kanisa B. Ilitokea kama bahati tu kwamba siku moja mhusika alibahatika kuabudu mahali pale Ibada ya jioni, na ndiyo walipokutana tena kwa mara nyingine. Zaidi ni kuwa ilikuwa mara ya kwanza kwa mhusika kuabdu mahali pale

Baada ya hapo zilipita tena siku kadhaa, pasipo mhusika kuwa ameabudu mahali pale. Huku bugudha zikiwa zinaendelea kuzidi akiwa Kanisa A, hatimaye aliamua kuhama Kanisa A na kwenda Kanisa B, kule ambako aliwahi kuonana na Mkuu wake Shule, japo kipindi hiki sasa alikuwa tayari ameshastaafu

Hivi ndivyo mhusika aliwahi kufahamiana na mtu huyu na namna ambavyo walijikuta wako mahali pamoja kwenye nyumba moja ya Ibada



………………………inaendelea
 
MATUKIO AMBAYO MSH-B ALIWAHI KUYAFANYA MSH-B ILA KWA USIRI MKUBWA AU TAHADHARI KUBWA SANA



TUKIO LA KWANZA


Ikumbukwe kuwa mhusika alihamia Kanisa B mwanzoni mwa Juni 2014. Mwanzoni tena mwa mwaka uliofuata, yaaani 2015, aliamua kuwakaribisha washiriki wote wa kiume wafike nyumbani kwake kwa ajili ya Ibada pamoja na kupafahamu mahali anapoishi. Mhusika alifanya mawasiliano na uongozi wa wanaume Kanisani hapo na walimpa tarehe ya kukutana nyumbani kwake kwa ajili ya Ibada hiyo. Hata hivyo, baadaye tarehe hiyo ikiwa imekaribia, kusanyiko hilo liliahirishwa na hivyo kupelekea Ibada ya siku (iliyokuwa imepangwa kufanyikia nyumbani kwa mhusika) kufanyikia kanisani kama ilivyokuwa kawaida siku zote

Siku hiyo (ambayo Ibada ilitakiwa ifanyikie nyumbani kwa mhusika ila yakatokea mabadiliko na kupelekea ifanyikie Kanisani kama kawaida), wakati mhusika akiwa nje kwenye parking, anataka kutoka nyumbani ili aelekee kanisani

  • Alimuona kwa karibu MSH-B akiwa anakuja hapo nyumbani kwake
  • Baada ya kufika na kusalimiana wakiwa nje kwenye parking, MSH-B alisema kuwa hakuwa na taarifa za mabadiliko ya ratiba ya Ibada ya siku hiyo, na hivyo alikuja kwa ajili ya Ibada
  • Baada ya hapo wawili hawa walipanda ndani ya gari na kuanza safari kuelekea Kanisani huku wakibadilishana machache, katika kipindi chote hicho walipokuwa wakielekea Kanisani
Baada ya siku kadhaa kupita na matukio mengine kuwa yamejitokeza, huku mhusika akiwa anaendelea kupata picha halisi ya MSH-B namna alivyo, akaja kubaini kuwa siku hiyo ambayo MSH-B alifika nyumbani kwa mhusika akidai kuwa hakuwa amepata mabadiliko ya ratiba ya Ibada:

  • Alifanya hivyo makusudi na si eti kwa sababu hakuwa amepata ratiba ya mabadiliko ya Ibada ya siku hiyo
  • MSH-B alikuwa anataka kujua taarifa fulani fulani za mhusika pasipo watu wengine kujua, na hivyo njia pekee ilikuwa ni kuzipata taarifa hizo pindi wakiwa wapo wawili kwenye gari lake mhusika
Kuna siku nyingine tena aliwahi kutokeza mbele ghafla mazingira ya karibu kabisa na Kanisani na mhusika akamchukua tena kwenye gari lake. Na kwa tahadhari aliyokuwa nayo, ni kwamba huyu mtu aliwahi kupanda gari la mhusika mara mbili tu katika kipindi chote cha miaka mitatu ambayo mhusika aliwahi kuwepo Kanisa A

  • Taarifa zingine za mhusika alikuwa anazikusanya wakati wa maongezi ya kwaida, hasa kwenye siku za Ibada za jioni, mara baada ya Ibada hizo kuisha, yaani baada ya saa 12 jioni
  • Ni kwa sababu Ibada hizo huwa hawahudhurii watu wengi, na mara nyingi huwa zinaisha wakati giza linaingia na watu wengi huwa wakitoka Kanisani wanaelekea moja kwa moja kwenye magari yao na kuondoka muda huo huo
  • Kwa siku za Ibada kama za J2, huyu mtu alikuwa na muda wa kusalimiana tu na mhusika na si maongezi
  • Kwa hiyo maongezi yake na mhusika yalikuwa ni ya usiri sana, pengine usiri wa hata kukaribiana na ule wa “Kiongozi X wa Kanisa A (njoo ofisini nikutamkie mibaraka)”
Kwa kifupi tu tunaweza kusema kuwa, MSH-B ni mshiriki pekee wa Kanisa B ambaye alibahatika kupata taarifa nyingi za mhusika kutoka kwa mhusika mwenyewe, na kwa upande mwingine, hili ndilo kosa alilowahi MSH-B kufanya. Katika mazingira yote hayo alipokuwa akifanya hiyo “phishing” hakuweza kutengeneza mazingira ambayo yalikuwa ni “perfect fool proof”. Kuna mianya ilikuwa inajitokeza na mianya hiyo ndiyo imekuja kupelekea leo hii kuandikwa haya yote yanayoandikwa humu sasa

Hili sasa tuliite tukio la kwanza



……………………………….inaendelea
 
TUKIO LA PILI

Baada ya kuwa wameshirikishana mambo kadhaa (washiriki) wawili hawa, hatimaye ilionekana kuna mahali MSH-B aliguswa na hivyo ikampelekea kuwa willing kutoa msaada angalau wa kimawazo, kwa mhusika

  • Ni kweli kwamba mhusika alikuwa na hitaji na ambalo alikuwa amemshirikisha MSH-B pamoja na baadhi ya washiriki wengine Kanisani hapo
  • Halikuwa hitaji ambalo linaweza kuchukuliwa kuwa linahitaji privacy, hapana
  • Provided mtu unafahamiana naye na ni mshiriki ambaye unamwamini kuwa yuko sawa kiakili na kiroho pia, hitaji hilo lilikuwa wazi kwa kila mtu wa aina hiyo
  • Hata hivyo pamoja na kumshirkisha MSH-B, mhusika hakuwa amemuomba MSH-B kutoa msaada huo
  • Na kutokana na heshima aliyokuwa nayo mhusika kwa MSH-B (ukizingatia mambo kadhaa kama vile tofuti kati ya umri wao, mahusiano yao ya zamani kipindi wanafahamiana kwa mara ya kwanza, na pia mahusiano yao ya sasa kama washiriki wa kanisa la mahali pamoja) mhusika hakuona tatizo lolote kupokea msaada wa kimawazo japo kutoka kwa mtu ambaye hakuwa amemuomba msaada wa aina hiyo
  • Vile vile mhusika yeye kwa upande mwingine, alidhani pengine yaweza hata kuwa MSH-B ameshauriwa na uongozi wa kanisa akiwemo KM-B, kwamba aweze kutoa ushauri na msaada huo kwa mhusika
Wakiwa katika kushauriana kwao, ilitokea siku moja baada ya Ibada ya jioni

  • MSH-B alimwita mhusika pembeni ili waongee kwa faragaha, ila ndani ya Kanisa
  • Wakati huo kuna kikundi cha kwaya kilikuwa kilikuwa kinaendeea kufanya mazoezi ya nyimbo baada ya Ibada kuisha, na drums zilikuwa zinapigwa kwa mlio wa juu sana (ana maana yake kuyawekea bold maneno haya) kiasi kwamba hata kusilkilizana ilikuwa ni shida sana
Kwenye siku hii, hapakuwa na ulazima wa wawili hawa kuongea ndani ya Kanisa wakati tayari Ibada ilikuwa imeisha na ukizingatia kuwa wote walikuwa na mpango wa kuondoka hapo Kanisani kuelekea nyumbani Wangeweza kuongea wakasikilizana vizuri wakiwa nje pembezoni mwa kanisa, kukwepa kelele zilizokuwa zinatokana na vyombo vya muziki ndani ya Kanisa

Baada ya kuwa amemwita pembeni mhusika

  • MSH-B alifungua Biblia na kumsomea mhusika fungu kutoka kwenye maandiko matakatifu
  • Baada ya kuwa amelisoma fungu hilo, MSH-B alilihusianaisha na hitaji mojawapo la mhusika ambalo MSH-B alikuwa amejitoa mhanga kumsaidia au kulishughulikia
  • Mwishoni mwa maongezi hayo, MSH-B alimshauri mhusika kwamba J2 ya wiki inayofuata atoe sadaka ya shukurani kwenye Ibada ile ya asubuhi kabisa (morning glory) na sadaka hiyo aiweke kwenye bahasha
  • Sadaka hiyo ilikuwa ni kwa ajili ya hitaji lake mhusika ambalo MSH-B alikuwa ameamua kulivalia njuga
Ilipofika siku ya J2, mhusika alitekeleza maaelekezo ya “mentor”wake huyo kwenye Ibada ya asubuhi ya morning glory.

Baada ya hapo, muda kitambo kabla ya Ibada ya kwanza kuanza, mhusika aliamua kutoka nje ya Kanisa, na hapa ndipo kosa la kwanza lilipofanyikia

Akiwa mlangoni huku akiandaa miguu ikanyage ngazi za kutokea nje kabla hajashuka ngazi, alistukia mtu anamshika begani kwa nyuma, mtu huyo akiwa ndani ya Kanisa. Alivyotupa jicho nyuma akagundua kuwa mtu huyo alikuwa MSH-B. Hawakuongea mengi isipokuwa MSH-B alikuwa anataka kujua kama mhusika alitekeleza kama walivyokubaliana ndani ya wiki kuhusu sadaka. Mhusika alijibu neno moja tu la ndiyo na maongezi yao yakaishia pale. Mpaka hapa mtu yeyote mwenye akili timamu anaweza akaainisha mambo kadhaa kama iifuatavyo:

  • MSH-B alikuwa na uwezo wa kumuuliza mhusika kuhusu sadaka hiyo wakiwa ndani ya Kanisa
  • MSH-B alisubiria mhusika akiwa anatoka nje, akiwa mlangoni ambapo si ndani wala nje, na kumuuliza swali alilotaka kumuuliza
  • Hapakuwa na ulazima wowote wa MSH-B kuhitaji kujua kama mhusika alitoa sadaka hiyo, kwa uharaka wa namna hiyo, yaani mara tu baada ya Ibada husika kuisha ambayo mhusika alitoa sadaka
  • Kama MSH-B alihitaji kujua hilo kwa nia njema kabisa, angeweza kulifuatilia hata mara baada ya muda wa Ibada, au hata kwenye wiki zingine zilizokuwa zinafuata mbele ya J2 hiyo
  • Moangezi hayo yalichukua muda mfupi sana, kiasi kwamba MSH-B hakutaka kuonekana na watu akiwa anaongea na mhusika
Maongezi hayo:

  • Yalifanyikia sehemu ile ile ambayo yaliwahi kufanyikia maongezi ya Kiongozi Mkuu wa Kanisa A na mhusika siku kiongozi huyo (KM-A) alipofika Kanisani hapo kwa ajili ya huduma ya Ibada
  • Ni siku ambayo walipishana KM-A na mhusika, KM-A akiwa anaingia Kanisani na mhusika akiwa anatoka nje
Ikumbukwe pia kuwa,, siku hiyo, KM-A alikuwa amaambatana na kionngozi mwingine mwenyeji wa kanisani hapo ambaye hakuwa KM-B. Kwa hiyo kiongozi wa Kanisa B aliyewahi kuongelewa humu hapo awali hakuwa huyu ambaye ni Kiongozi Mkuu wa Kanisa B (KM-B)

HITIMISHO: TUKIO LA PILI

Yaliyotokea baada ya mhusika kuwa ametoa sadaka na hatimaye MSH-B kufuatilia na kujua kuwa mhusika alitoa sadaka hiyo, hatimaye kuna siku mambo haya yaliwahi kumfikia KM-B kwa sababu katika kipindi chake cha miaka mitatu alichowahi kuwepo Kanisa B, mhusika aliwahi kuwa na kesi mara mbili na MSH-B wakiwa wameshitakiana kwa kiongozi huyo

Kwa upande mwingine, Kanisa B lina watu wachache lakini ni wakorofi sana. Wananamfuata mtu na kuanza kumchokoza, wakiwa na mitego ya kumfanya ateleze halafu wapeleke mashtaka kwa Kionngozi Mkuu. Mhusika alipokaa nao na akawafahamu vizuri, aka-device mechanism ya kuwa anawawahi yeye kabla hawajamwahi

Kwa hiyo details za yaliyoendelea baada ya sadaka hiyo tayari anazo KM-B. Izingatiwe pia kuwa huyu KM-B si yule aliyeambatana na KM-A ambaye aliwahi kutamka maneno akimwambia KM-A kuwa “kumbe huyu mtu aliondka bila kukuaga’. Aliyewahi kutamka maneno haya ni msaidizi wa KM-B na si KM-B. Details zake huyu naye zitafuata baadaye kwenye mada hii hii ya Kabisa B



………………………….inaendelea
 
Akiwa anaendelea kuongelea matukio haya yaliyowahi kutokea pindi alipokuwa yupo Kanisa B, kwenye matukio haya atawongelea kiongozi mwingine anaitwa David Belela. Kule Kanisa A aliwahi kumwongelea David Kuselya, huku Kanisa B atamwongelea David Belela

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY 16th JANUARY 2021

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA SENIOR MSTAAFU WA KIUME


“SOMETHING “BEHIND THE SCENES” KWENYE BAADHI YA HAYA YANAYOENDELEZWA NA SENIOR MSTAAFU WA KIUME NA WENZAKE

Ni kwamba hawa watu katika kupanga mikakati yao, yaani huyu SENIOR MSTAAFU WA KIUME akiwa mmoja wao huwa wanakuwa na watu wao wanaosaidiana nao kwenye ulimwengu wa roho. Huu ni utafiti ambao mhusika ameufanya kwa zaidi ya miaka kadhaa sasa, tangu mwaka 2015.

Watu hawa:

  • Unaweza ukawaita kwa jina la waganga wao wa kienyeji, au kwa jina jingine linalofanana na hilo
  • Watu hawa huwa wanajichanganya na kundi la watu wanaofanya mazoezi ya kila jioni ya kutembea/ kukimbia kandokando mwa barabara
Mpaka mwaka jana (2020) mwezi wa 10, mtu wao kwenye kundi hili la wafanya mazoezi haya alikuwa mzee fulani wa makamo, miaka takriban 60-65

  • Alikuwa anavaa pensi pamoja na T-shirt
  • Alikuwa na miguu muscular kama mcheza mpira na mwili ulioshiba kiasi
  • Alikuwa anaonekana imara (strong) na alikuwa anapenda kukimbia kwa vihatua vidogovidogo ambavyo wakimbiaji walio wengi wa mazoezi hayo, huwa hawakimbii hivyo
Baadaye huyu mzee alipotea ghaflla, siku hizi haonekani tena barababani

Baada ya huyo, alikuja mwingine ambaye ndiyo yupo mpaka muda huu

  • Huyu wa sasa havai pensi wala T-shirt, ila mara nyingi anakuwa amevaa suruali nyeusi/ dark blue na koti zito jrangi ya maziwa (cream)
  • Huwa hakimbii bali anakuwa anatembea siku zote
Watu hawa huwa wako coordinated kiasi kwamba mhusika anapokuwa anatoka ofisini kuelekea nyumbani au Kanisani, basi wanakuwa na taarifa na hivyo wanaweka target ya kukutatana naye mahali popote akiwa bado yuko njiani, kabla hajapita na kutoka kwenye eneo husika la mazoezi yao

  • Yule wa zamani alikuwa anajipanga kwenye siku yoyote ile ambayo mhusika anakuwa anatoka ofisin au akielekea kanisani
  • Huyu wa sasa yeye huwa anakutana naye katika siku ambazo mhusika anakuwa anatoka ofisini akilekea nyumbani.
  • Huyu wa sasa huwa hawezi kufika eneo ambalo mhusika huwa anapita pindi anapokuwa anatoka ofisini kuelekea Kanisani
  • Ni kwa sababu huyu wa sasa huwa hakimbii, anatembea tu
  • Yule wa zamani alikuwa anakimbia ila kwa vihatua vidogo vidogo
  • Rika lao watu hawa almost liko sawa
Huu ni utafiti wa kimwili na wa kiroho ambao mhusika ana uhakika nao kwa zaidi ya asilimia 100%. Siyo utafiti wa mwaka mmoja au miwili, bali wa tangu mwaka 2015. Mara ya kwanza mhusika kugundua kuwa kulikuwa na watu wa namna hii wakiwa wamejichanganya kwenye kundi la watu wanaofanya mazoezi barabarani, ilikuwa July 2015

MAZINGIRA YA OFISINI AMBAYO YAMEKUWA YAKITUMIKA KUHIFADHI BAADHI YA WATU AMBAO WANAWEZA KUWA HAWANA NIA NJEMA, MITHILI YA WALIOKUWEPO JANA OFISINI TAREHE 15/01/2021

Ni kwenye vyumba vifutavyo vilivyo ndani ya jengo zilimo ofisi za wafanyakazi

  • Maabara ya PETROLOGY ambayo iko ground floor na ambayo mlango wake wa kuingliia uko tofauti na gate la kuingia kuelekea ghrorofa ya kwanza na ya pili ya jengo hilo
  • Maabara ya kompyuta inayokulikana kama PETREL, ambayo iko ghorofa ya kwanza
Possibility ya uwepo wa sehemu zingine tofutti na hizi inaweza pia kuwepo, ila kwa sasa utafiti wa mhusika ameweza kuainisha sehemu hizi mbili peke yake









MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NB: Yule anayevaa koti, ni koti zito ambalo mtu anaweza akalivaa akiwa yuko kwenye sehemu za baridi kama vile Ulaya. Jiulize sasa wewe mtu avae koti hilo hapa Dar es salaam, tena kwenye mazoezi ya kutembea barabarani!
 
Probably, hivyo vijisenti vya mhusika ambavyo vimekuwa vikishikiliwa kwa miaka kadhaa sasa, ndiyo sehemu yake inatumika kuwalipa baadhi ya watu kama hawa
 
Kwa hiyo matukio yote yaliyokuwa yakiendelea Kanisani A J2 iliyopita ya tarehe 10/01/2021 likiwemo lile la mhusika kutakiwa kupita mbele ya madhabahu na la mhubiri kusomewa maandiko matakatifu (aliyokuwa akiyatumia), na watu waliokuwa wamekaa kati ya waumini, badala ya yeye kuwa anasoma maaandiko hayo kutokea madhabahuni, kwa sasa inaonyesha dhahiri kuwa matukio hayo yalikuwa ni pre-cursor ya kile kilichokuwa kinatarajiwa kutokea ndani ya wiki inayofuata, yaani wiki hii
Mbali na hayo, tangu mwaka huu wa 2021 uanze, mtu wa mazoezi ya kutembea pembezoni mwa barabara naye alikuwa hajaonekana hata mara moja ila wiki hii naye pia alipata nafasi ya kuonekana kwa mara ya kwanza
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MFANYAKAZI WA BENKI B ALIYEZUIA SMS ALERT KWENYE SIMU YA MHUSIKA WAKATI MSHAHARA WA MHUSIKA ULIPOINGIA KWENYE AKAUNTI MWEZI JULAI 2020

Mfanyakazi huyu wa Benki B (BB) ndiye pia aliyetengeneza mbinu za kumsumbua mhusika kipindi cha maturity ya FDR yake ya mwanzo (August 2019). Mtu huyu alifanya hivyo akiwa na kusudi la kum-scare mhusika ili asifungue FDR nyingie kwa rate nzuri ya 12% ambayo BB walikuwa wametoa wkati huo.

Na kweli mfanyakazi huyu lengo lake hilo lilifanikiwa kwa sababu baada ya hapo, mhusika hakuweza tena kufungua FDR nyingine. Alikuwa bado anatafakari tukio lile lililokuwa limemtokea kwenye FDR ya mwanzoi. Hadi kufikia April 2020, rate hiyo ambayo BB walikuwa wameitoa, muda wake ulifikia mwisho na hadi kipindi hucho mhusika alikuwa bado hajafungua FDR nyingine. Hata hivyo, mwishoni mwa mwezi huo wa April, mhusika alifanikiwa kufungua FDR nyingie ila kwa rate ya kawaida tu, baada ya fedha yake kuwa imekaa kwenye Akaunti ya Akiba kwa muda wa zaidi ya miezi minane

Huyu mfanyakazi ndiyo yule aliyezuia sms-alert mwezi Julai, mwezi ambao mhusika alipata msiba wa kuondokewa na mdogo wake
 
UPDATE: MONDAY 18th JANUARY 2021



KANUNI KUBWA INAYOTUMIKA KURUSHA MAPEPO KANISANI KWA SASA


Ina stage kuu mbili

Kwanza, waumini wote kabisa:

  • Wanajengewa mazingira ya kisaikoljia (siyo halisi) kwamba wote kwa ujmla wao kama Kanisa, wamemkosea Mungu na hivyo inabidi wafanye toba kwa ajili ya msamaha
  • Kwa hiyo unatolewa ujumbe negative wa kuwaweka katika Saikolojia hiyo
Hiki kitu siyo kigeni kwenye nyumba yoyote ya Ibada na kwa waumini wa mahali pamoja, ni cha kawaida na huwa kinafanyika kila mahali, na kiko sahihi kabisa kwa sababu:

  • Ni kweli kwamba ukosefu wa mtu mmoja mmoja kwa Kanisa la mahali pamoja popote pale, ni ukosefu wa Kanisa zima. Hili halina ubishi hata Mungu akiamua kushuka physically, anaweza akathibitisha hilo pasipo shaka
  • Ni kweli ukosefu wa aina hii uanahitaji pia toba kwa ajili ya msamaha


TATIZO LILILOPO KANISA A AU LINAPOANZIA

Baada ya waumini wote kuwa wamekubaliana na hali ya kwamba wamefanya makosa, ndiyo sasa maandalizi yanaanza kufanyika

Wakati maandalizi haya yanafanyika, kunakuwa na mlolongo wa makosa yameshatajwa tayari ambayo wanaaminishwa kuwa wamemkosea Mungu, baadhi ya makosa hayo yakigusia, zile keywords zinazotumika kurusha mapepo hayo ambazo mhusika hana haja ya kuzielezea kwa mara nyingine tena

Vile vile maneno kwa mfano kama “tunazitupa kuzimu, tunazirudisha kuzimu” nayo pia yanatumika

Katika hali ya kawaida, maneno kama haya

  • Siyo maneno ya kufukuza mapepo, ni maneno ya kuwaamuru pepo warudi kule wanakokaa siku zote
  • Unapofanya hivyo, maana yake wanarudi kuzimu, halafu pengine wanaweza kwenda kuchukua na wenzao wengine halafu wakarudi tena pale pale walipokuwa, kwa idadi kubwa zaidi kuliko ile ya mwanzo
  • Kwa hiyo maneno hayo yanasababisha multiplicity ya mapepo kwenye sehemu husika badala ya kuwatoa
  • Mhusika ameshajaribu njia hii na ndiyo alionekana kuwakaribisha zaidi mapepo kuliko kuwafukuza. Matokeo yake kama ni kitu ameuziwa au amepewa, ilikuwa inambidi achukue option ya kukitupa jalalani
  • Unakuta sasa huyu anayeamuru mapepo kwa njia hii, ni mtumishi wa Mungu amesimama madhabahuni akiongoza maombi na anatamka maneo ya namna hii
HITIMISHO

Kama watumishi wa Kanisa A bado wako na Mungu na kwamba kweli wanamtumikia Mungu mpaka muda huu, basi wataendelea kuwepo siku zote. Isipokuwa, kama wameamua kumtumikia mungu mwingine wanayemjua wao, wataondoka na kwenda kumtumika mungu huyo, muda siyo mrefu. Haya maneno yanatamkwa kwa mamlaka katika Jina la Yesu Krissto aliye hai ambaye ndiye mmiliki wa madhabahu ya Kanisa A. Hakuna haja ya mtu kutoka povu jingi sana katika hili



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUTOKANA NA EXPERIENCE YAKE YEYE MHUSIKA, KUHUSIANA NA HAWA MAPEPO

Unapomuamuru pepo arudi kuzimu, hii haimaanishi kuwa umemzuia kuwepo pale alipokuwa. Hawa viumbe wanatumia logic ya hali ya juu sana kutuzidi hata sisi binadamu. Ukifanya hivyo, atakachofanya ni kwamba atarudi kuzimu muda huo, halafu baada ya hapo atarudi tena palepale alipokuwa, na kitu hiki anakifanya katika muda wa microseconds ambazo kifaa cha mwanadamu hakiwezi kupima muda wake. Ndipo sasa pale ambapo watu huwa wanakumbana na situation wanaanza kusema “tunakemea pepo hatoki”


Pepo ni malaika walioasi na wana akili nyingi na hekima zaidi kuliko mwanadamu ambaye hana msaada wa Mungu. Wanatumia logic zaidi ya binadamu anavyoweza ku-imagine

Ukimrudisha pepo kuzimu, anakubali halafu anarudi tena kwa sababu ulichofanya ni kumuamuru arudi kuzimu tu na si vinginevyo. Kwa hiyo anachofanya ni kurudi kuzimu kama ulivyomwamuru, halafu akifika huko naye anajipangia trip yake nyingine tena ya kurudi pale pale alipokuwa na ataendelea kuwepo mahali pale mpaka atakapochoka mwenyewe. Na kama aliwekwa pale kwa makusdi, basi ataendelea kuwepo mahali pale milele

Wenye ujuzi zaidi katika hlili watanisahihisha, unajua sisi wengine hata Roho Mtakatifu hatuna, huwa hatuneni kwa lugha



EBR. 6:4-6 SUV

Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja neno zuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri.



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TOTAL ANNIHILATION OF DEMONS USING THE BLOOD OF JESUS

Kwa hiyo mtu yeyote ukimsikia anasema “nguvu za kuzimu/ mamlaka za tunazitupa kule”… au maneno mengine yanayofanana na hayo, ujue huyo ni wakala. Kule wapi.?

Kwani nyoka akiiingia ndani nyumbani kwako na una sumu ya kumpulizia afe, unaacha kumpulizia na badala yake unamfukuza kwa kumtoa nje aende vichakani?.

Watumishi walioko Kanisa A inabidi waelewe kuwa zama zimeshabadilika sana, kuna waumini walikuja hapo wakiwa ni vipofu kabisa ila kwa sasa wana macho wanaona pengine kuzidi hata ambavyo wao huwa wanaona
 
Back
Top Bottom