UPDATE: FRIDAY 30 APRIL 2021
RARE COINCIDENCE NYINGINE ILIYOTOKEA MAENEO YA OFISINI SIKU YA ALHAMIS YA TAREHE 29 APRIL 2021 IKIHUSIANA NA TUKIO LA HUJUMA ILIYOFANYIKA KWENYE GARI LA MHUSIKA USIKU WA KUAMKIA SIKU HIYO TAJWA, GARI HIYO IKIWA IMEPAKI NUMBANI
Coincidence hii imetokea na kupeekea tukio lililotokea ofisini kuonekana kama lina uhuasiano na
PARKING YA GARI aliyoitumia mhusika kupaki gari lake Kanisani siku ya J2 ya tarehe 25/04/2021
- Dhana hii ya mhusika itakuwa iko sahihi iwapo tu parking hiyo aliyotumia mhusika kupaki gari lake Kanisahi J2 hiyo, ilikuwa imeachwa wazi makusudi ili kum-“prompt” mhusika kupaki gari lake hapo
- Na kama dhana ya mhusika kuhusu parking hiyo inaweza kuwa iko sahihi, basi gari alyoikuta mhusika imeziba gari lake (wakati kulikuwa na parking za kutosha kiasi cha kutokuwa na ulazima wowote wa gari moja kuiziba nyingine) itakuwa ilifanya hivyo kwa kusudi jingine la ziada ambalo mhusika ataliezea kule mwisho kwenye maelezo ya coincidences hii
MAELEZO YA UTANGULIZI YA COINCIDENCE YENYEWE
Mambo yenyewe yanaanza hivi. Siku ya J5 kwenye mida ya mchana kama saa 8:30, umeme ulikatika. Baada ya muda mfanyakazi mwenzake na mhusika ambaye (mfanyakazi huyu) huwa anamshirikisha mhusika kufundisha kisehemu kidogo cha kozi alifika ofisini kwa mhusika.
- Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa “mate” huyu kufika ofisini kwa mhusika, ndani ya mwaka huu
- Baada “mate” huyu kufika ofisini kwa mhusika, waliongea maongesi mafupi ambayo kwa kiwango, ndiyo yanapeleka maelezo haya.
- Ikumbukwe kuwa wakati huo umeme ulikuwa umekatika na ulirudi baada ya takribani saa nzima hivi kuwa imepita
BAADA YA UMEME KURUDI: MFANYAKAZI MSIMAMIZI WA UKARABATI UNAOENDELEA NDANI YA JENGO AFIKA OFISINI KWA MHUSIKA
- Huyu yeye alifika kwa ajili ya kumjulisha mhusika kuwa kesho yake, yaani Alhamis, watamhitaji awapishe mafundi kwa ajili ya kupaka rangi
- Baada ya kupokea taarifa hizi za ghafla, mhusika alitoa udhuru kuwa ana emergence ambayo inamlazimu awepo ofisini humo siku ya Alhamis kwa sababu kuna darasa ambalo amesharidhia kulichukua na hivyo atatakiwa kuwa yupo ofisini kwa ajili ya maandalizi ya darasa hilo na ambalo ni la jioni ya siku hiyo
- Kutokana na hali hiyo mhusika alishauri zoezi hilo la kupaka rangi ofisini kwake, lifanyike siku ya Ijumaa badala ya Alhamis, ili aweze kutayarisha chochote kwa ajili ya watoto darasani siku hiyo ya Alhamis
Baada ya maongezi hayo, msimamizi wa ukarabati alikubali ila kidogo kama kwa shingo upande, na hatimaye baadaye tena alitoa alternative suggestion kwamba atampatia mhusika chumba kingine atumie hicho badala ya ofisi yake. Japo mhusika hakuwa ameridhika sana na ushauri huo na hakuwa ameukubali, Alhamisi alifika ofisini na kukuta mafundi tayari wameshaanza na wanaendelea na kazi ya kupaka rangi, na hivyo akawa amelazimika kuwapisha.
- Baada ya kuwapisha, aliamua kwenda kufanyia kazi nyumnbani na si kwenye chumba ambacho msimamizi wa ukarabati alikuwa ameshauri kuwa angemhifadhi kwa muda
- Ikumbukwe kuwa siku hii ya Alhamisi ndiyo siku ambayo alitakiwa awe darasani na watoto na kwa session ambayo ilikuwa ni ya kushtukiza kidogo, japo ni yeye mwenyewe aliikubali, hakushinikizwa na mtu
- Ikumbukwe pia kuwa wakati anaupokea wito huo wa kukubali kuwepo darasani siku iliyokuwa imepita nyuma, umeme ulikuwa umekatika, kiasi kwamba matayarisho kamili ya kile alichopanga kwenda kuwafundsiha watoto baada ya kuwa ameridhia kukichukua kipindi hicho, ilikuwa ni lazima ayafanye kesho yake yaani Alhamis
Mbali na hayo, siku kadhaa nyuma, Mkuu wa Idara alikuwa ameshatoa
kwa njia ya “e-mail, ratiba ya ukarabati wa kupaka rangi katika kila ofisi lakini ofisi ya mhusika haikuwemo kwenye ratiba hiyo. Baada ya kuona hivyo, mhusika alijiongeza zaidi kwa kuchukua hatua ya kuijibu “e-mail” ya Mkuu wa Idara akimjulisha kuwa chumba cha ofisi yake peke yake hakikuwemo kwenye ratiba hiyo lakini hadi msimamizi wa ukarabati anafika ofisini kuja kumjulisha mhusika kuwa inabidi awapishe mafundi kwa ajili ya zoezi lakupaka rangi, mhusika alikuwa hajapata majibu kutoka kwa Mkuu wa Idara. Ambayo yangekuwa yamebainisha ni lini hasa ofisi yake ingeweza kufikiwa na mafudi hao wa kupaka rangi
- Kwa kifupi tu ni kwamba swala la kupaka rangi kwenye ofisi ya mhusika limefanyika kwa kushtukiza, wakati kwenye ofisi zingine zote ndani ya jengo hilo, limefanyika kwa kufuata ratiba na utaratibu maalumu
- Mbali na hayo, pamoja na kuwa zoezi hilo limefanyika kwa kushtukiza, bado mhusika “ametii maelekezo bila shuruti” na hivyo kuwapisha mafundi kufanya kazi yao kama ipasavyo
MAELEZO KAMILI YA COINCIDENCE YENYEWE
Kabla
“mate” huyu hajafika ofisini kwa ajili ya mazingumzo mafupi na mhusika J5 ya wiki hii, awali ya hapo, yapata siku kadhaa nyuma, tuseme kama wiki moja nzima iliyokuwa imepita nyuma yake, wawili hawa walikuwa tayari wamebahatika kugongana kwenye korido na kufanya maongezi yao ya muda mfupi wakiwa wamesimama kwenye korido. Ilikuwa ni katika muda ambao mhusika alikuwa anapita kuelekea ofisini kwake, na
“office-mate” wake huyu naye alikuwa mlangoni akipapapsa kitasa cha mlango wake ili afungue mlango aingie ndani ofisini kwake. Kwa kifupi tu ni kwamba mpangilio wa ofisi za wawili hawa uko katika namna ambayo ile ya mhusika iko mbele na hivyo mhusika huwa ni lazima aipite kwanza ofisi ya
“mate” wake huyu pindi anapokuwa anaelekea ofisini kwake. Ofisi zao ziko kwenye sakafu moja
Kwa hiyo hapo kabla, wawili hawa walikuwa tayari wameshaonana kwenye korido na kufanya maongezi yao na kwa muda mfupi sana. Swala walilokuwa tayari wameshaliongelea lilihusiana na
“mate” kumjulisha mhusika kuwa muda wa kuanza kufundisha kile kisehemu kifupi cha kozi anayohusika umefika, na hivyo kumuomba kufanya hivyo kuanzia J3 ya wiki ya tarehe 26/04/2021. Kwa bahati mbaya waligundua baadaye kuwa siku hii ni sikukuu, kwa hiyo wakabadilisha na kukubaliana kuwa badala yake mhusika aanze kufundisha J3 inayofuata ya tarehe 03/05/2021. Maongezi yao yakaishia hapo na hayakuchukua hata dakika moja. Baada ya maongezi hayo mafupi, mhusika aliendelea kuelekea ofisini kwake, na “mate” naye akafungua kitasa cha mlango akaingia ndani ofisini kwake.
Hiyo wiki ikawa imepita na J2 yake mhusika ndiyo alifanikiwa kwenda kwenye Ibada Kanisani na kwenda kukumbana na yale ambayo tayari ameshayaeleza humu jukwani.
MATUKIO MUHIMU YALIYOTOKEA OFISINI KWENYE WIKI ILIYOFUATA YA KUANZIA J3 YA TAREHE 26/04/2021
Baada ya siku ya J3 ambayo ilikuwa ni sikukuu, J4 ya tarehe 27 mhusika alifanikiwa kufika ofisini na kukuta kuna mabadiliko kidogo hasa kwenye upande wa
PARKING ZA MAGARI. Kulikuwa na maonyesho ya utafiti wa kitaaluma ambayo huwa yanafanyika kila mwaka na ambayo pia ni PUBLIC, watu wote kutoka mahali popote pale huwa wanaruhusiwa kuhudhuria na kawaida huwa yanatanguliwa kwanza na PRESS RELEASE, ambayo kwa mwaka huu haikutoka.
Maonyesho haya huwa yanafanyikia kwenye baadhi ya parking za magari, hasa zile zilizo karibu na maofisi.
- Kutokana na hali hiyo, baadhi ya parking hizo zilikuwa kwa kiasi kikubwa ziko engaged na shughuli hiyo, zikiwemo zile ambazo huwa wanatumia wafanyakazi wa jengo ilimo ofisi ya mhusika
- Mhusika siku hiyo alilazimika kupaki kwenye alternative parking ambayo nayo haiko mbali sana na jengo ilimo ofisi yake, na ambayo huwa anaitumia mara kwa mara
Kwa hiyo kwenye siku zote hizo, bado mhusika aliparki kwenye parking ambayo si ngeni kwake na ndani ya wiki yote nzima, mhusika amekuwa akiitumia parking hiyo kwa siku za kuanzia J2 hadi Alhamis
MATUKIO YA HIVI KARIBUNI KWENYE GARI LA MHUSIKA YANAYOSANYWA YAKIWA YAMEKUSUDIWA YAONEKANA KAMA AMEPATA AJALI YA KUGONGANA NA GARI NYINGINE
TUKIO JINGINE TENA LATOKEA KWENYE GARI LA MHUSIKA USIKU WA SIKU YA JUMATANO KUAMKIA ALHAMIS YA TAREHE 29/04/2021
MAELEZO YA UTANGULIZI
Ni kwamba kuna matukio kadhaa madogo madogo ya hujuma ambayo yamekuwa yakifanyika kwenye gari la mhusika katika namna ambayo yanakuwa yamekusudiwa yaonekane kama ni ajali ndogo ya gari lake, kukwaruzana kwa bahati mbaya na gari nyingine, (mithili ya alivyowahi kukwaruzana na gari ya Mzee wa Kanisa kanisani na kupelekea kutoboa taa)
Matukio haya yamekithiri sana kwa sasa, na ndani ya miaka isiyozidi miwili, yametukia matukio matatu
- MATUKIO HAYA YOTE YANAFANYIKIA NYUMBANI MAHALI ANAPOISHI
- Matukio yote yanatekelezwa wakati wa usiku gari lake likiwa limepaki nyumbani
- Yanatokea gari ikiwa imepaki nyumbani pasipokuwa iko karibu na gari nyingine yoyote ile kutokana na uwepo wa parking kubwa na ya kutosha
- Yote yamahusisha MUD-GUARD za gari tu na si sehemu zingine
- Yote huwa yanatokea mlinzi wa usiku akiwa yupo kazini
TUKIO LA KWAMZA
Tukio la kwanza lilifanyika mnamo
August 2019, ambapo mhusika alikuta
MUD-GUARD ya mbele upande wa kushoto ikiwa imetoboka mithili ya kama ilibondwa na jiwe la kurushwa kwa mkono lililolengwa na kutupwa kutoka umbali mrefu kidogo
- Kabla ya kuipeleka kwa fundi, mhusika aliwapelekea wahusika wakaiangalia gari na wao pia kukiri kuwa kilichokuwa kimetoboa mud-guard hiyo haikuwa ajali
- Mhusika wa hujuma hiyo ya gari kubondwa na kitu sehemu hakujulikana na wala hakuwahi kujitokeza hadi leio
- Baada ya hapo mhusika aliamua kumpelekea fundi wake akanyoosha mbonyeo huo
- Wakati huo huo, mhusika alimuomba pia fundi wake kuipaka upya rangi gari baadhi ya sehemu
- Sehemu zilizohusika ni juu ya bodi ikiwa ni pamoja na boneti (mbele) ambapo sehemu hizi zote rangi yake ilikuwa umepauka sana
Hilo likawa tukio la kwanza
TUKIO LA PILI
Tukio hili lilihusisha kukatwa na kitu chenye ncha kali, possibly kisu,
MUD-GUARD ya nyuma upande wa kulia wa gari ambayo huwa imekaa kama kiganja. Mhusika hakumbuki ni lini hasa tukio hili lilitokea ila ni karibia mwaka umepita sasa tangu kutokea kwake. Baada ya hapo mhusika hakuchukua tena hatua za kwenda kuirekebisha ameiacha iko vile vile mpaka leo
TUKIO LA TATU
Hili limetokea usiku wa J5 kuamkia Alhamis ya tarehe 29/04/2021 ambapo sehemu ya
MUD-GUARD ya kulia, yaani upande wa dereva, imekatika na kubaki nusu
- Mhusika wa tukio hili aajitokeza na ni jirani ambaye bado ni mgeni kidogo kwenye makazi
- Alihamia kwenye makazi March 2019
- Yeye anadai kuwa alikuja nyumbani wakiwa na jamaa yake usiku wakiwa na gari na kwa bahati mbaya rafiki yake huyo aligonga na kunyofoa mud-gard hiyo usiku
- Jirani huyu anadai kuwa tukio hilo limetokea usiku wa Ijumaa ya wiki iliyopita na kwamba mwenye gari alikuwa hajaiona tu
Hata hivyo, baada ya mhusika kukumbana na hali ya dharura kwenye gari lake asubuhi hiyo na kuamua kuwa amewapelekea wataalamu ili wawezse kuiangalia, wataalamu hao walithibitisha kuwa kilichonyofoa MUD-GUARD hiyo siyo ajali ila ni hujuma
MGONGANO KWENYE MAELEZO YA JIRANI ANAYEDAI KUWA RAFIKI YAKE ALIGONGA GARI LA MHUSIKA USIKU
Ni kwamba mhusika amekuwa akiitumia gari karibia siku zote na kwa yeye (mhusika) kuiona kwa mara ya kwanza ikiwa iko kwenye ahli tofauti, ilikuwa ni asubuhi ya Alhamis wakati anatoka nyumbani kuelekea kazini. Tukkianzia tuseme Jumapili iliyopita, mhusika alienda Kanisani na gari na alilipaki nje kwa muda kwanza, upande wa sehemu ya ubavu wa mud-guard ( ambayo imekatika kwa sasa) ukiwa umeface gate la kuingila Kanisani. Kwa hiyo wakati anatoka nje kwenda kuichukua ili aiingize ndani, upande huo wa mud-guard alikuwa ameuelekea face to face.
Mbali na hayo:
- Gari la mhusika huwa linapaki sehemu ambayo akiwa juu ghorofani huwa anaweza kuliona kila kitu kwa mbele, zikiwemo mud-guard zote za mbele
- Kila apokuwa anataka kuondoka kwenda mahali popote pale kwa kutumia gari, huwa kila akitaka kuwasha gari ili aondoke nyumbani, cha kwanza kabisa ambacho huwa anakiona mbele yake ni mud-guard ya upande wa kulia, ambayo kwa sasa imekatika na kubaki nusu
- Zaidi ni kuwa Jumanne ya wiki hii, aliitumia gari kwenda na kurudi kazini
- Jumatano napo pia vile vile
Kwamba hiyo madai ya jitrani yake mhusika na ajli hiyo kwamba mhusika hakuwa ameiona gari yake siku zote hizo ikiwa tayari imeshakatika mud-guard, ni paradox. Jirani mhusika na tukio la ajli hiyo yeye anadai kuwa gari hiyo iko hivyo tangu Ijumaa ya wiki ya nyuma, kabla ya wiki ile ambayo mwenye nayo aliiona ikiwa imekatika mud-guard. Jirani anadai pia kuwa mud-guard hiyo imekatika Ijumaa wiki iliyopita, lakini hadi Alhamis ya wiki hii jirani huyo huyo alikuwa hajapata muda wa kumjulisha mwenye gari, mpaka mwenye gari alipofikia hatua ya kuiona mwenyewe siku ya Alhamis ya tarehe 29/04/2021
DHANA ALIYONAYO MHUSIKA MWENYEWE KUHUSIANA NA HAYA ALIYOYAELEZA HAPA
1. KUHUSIANA NA MAZINGIRA YA GARI HIYO NAMNA ILIVYOKUWA IMEPAKI KANISANI J2 ILIYOPITA:
- Inaonyesha kama gari iliyokuja kupaki na kumziba mhusika kwa makusudi, ilikuwa ina kazi nyingine ya pili mbali na ile ya mwanzo ambayo mhusika tayari amesahaionhgelea
- Kazi hiyo ilikuwa ni kuondoa access ya waumini walio wengi Kanisani hapo, kuweza kulisogelea gari hilo na kuliona kuwa lilikuwa katika hali ambayo halikuwa lina hitiafu yoyote ile
- Kwa hiyo gari iliokuja kuliziba gari la mhusika ilikusudiwa kuondoa ushahidi kutoka kwa waumini walio wengi kwamba gari hiyo ilifika Kanisani hapo J2 hiyo ikiwa katika hali ya kawaida na pasipokuwa na hitlafu yoyote ile, na hatimaye pia kuondoka kwenye mazingira hayo ikiwa katika hali hiyo hiyo ya kawaida isiyokuwa yenye hitilafu
2. KUHUSIANA NA MAZINGIRA YA GARI HIYO NAMNA ILIVYOKUWA INAPAKI OFIFSINI KWENYE WIKI ILIYOFUATA BAADA YA J2
Kutokana na uwepo wa wiki ya maonyesho ya utafiti na hivyo kupelekea parking nyingi kuwa engaged na kutumika kwa ajli ya vibanda vya maonyesho hayo hali ambayo nayo iliyopelekea tena mhusika kuwa anapaki sehemu nyingine mbali kidogo na eneo la ofisini kwake
- Katika siku zote tatu kuanzia J4 mpaka Alhamis, kuna uwezekano kuwa hapakuwa na office-mate yeyote wa mhusika aliyebahatika kuliona gari la mhusika kwa ukaribu
- Na kama alikuwepo angalau office-mate aliyeweza kuliona kwa ukaribu gari hilo pengine labda kwa kupaki karibu pembeni yake, bado alikuwa hawezi kuliona kwa umakini kiasi cha kuweza kujua kuwa lina hali gani kwenye mud-guard ya mbele upande wa kulia,
- Hii ni kutokana nature ya parking hiyo ambayo mbele yake ni ukuta ambao huwa unapelekea bampa la mbele la gari kuwa kariibu sana na ukuta
UHUSIANAO WA NAMNA GARI LA MHUSIKA LILIVYOPAKI J2 KANISANI NA NAMNA LILIIVYOKUWA LIKIPAKI OFISINI KWENYE WIKI ILIYOFUATA BAADA YA J2
Kwa hiyo scenerios za parking za gari la mhusika namna zilivyokuwa zinakuwa kuanzia siku ya J2 akiwa yupo Kanisani na hatimaye tena akiwa ofisini wiki iliyofuata:
- Zilikuwa zinawanyima office-mates wa mhusika, nafasi ya kuliona vizuri gari lake kama ambavyoilivyo siku zote, na hivyo kuwafanya washindwe kujua kuwa lilikuwa liningia na kutoka kwenye parking likiwa liko katika hali gani
- Vile vile uwepo wa gari iliyokuja kuliziba kwa makusudi gari la mhusika likiwa limepaki Kanisani, kulipelekea waumini walio wengi Kanisani hapo pia, kutopata nafasi ya kuliona gari hilo kwa ukaribu ambao wangeweza kuwa na ushahidi wa kujua liliingia na kutoka Kanisahi hapo likiwa na hali gani
Kwa hiyo scenerio ya kwanza J2 Kanisani ilisababishwa na gari lililokuja kuiziba gari ya mhusika ikiwa kwenye parking, wakati ile ya ofisini ilisababishwa na uwepo wa vibanda vya maonyesho ya utafiti kwenye parking
………………..inaendelea
NEXT:
KUHUSIANA NA MSIMAMIZI WA UKARABATI OFISINI