#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: THURSDAY 15 APRIL 2021

MCHEZO MWINGINE WA AJABU AMBAO HUWA UNAFANYIKA KWENYE MADHABAHU, KWENYE BAADHI YA SIKU ZA IBADA YA JUMAPILI, AMBAO WAUMINI WALIO WENGI HAWAJAWAHI KUUSTUKIA


Kiongozi Mkuu wa Kanisa A ndiye huwa anaongoza kufanya mchezo huu. Mchezo huu huwa unafanyika ili kuona kama maombi yaliyofanyika kabla ya Ibada ya J2 husika, yameleta matunda yaliyokuwa yanatarajiwa. Kwa kifupi ni karibisho ambazo huwa zimelenga kuangalia kama mapepo bado yapo ndani ya Ibada au yameshakimbia kwa kushindwa kukabiliana na upako wa waumini waliofika kwenye Ibada ya J2 hiyo
  • Huwa anatengeneza utaratibu wa siri sana na ambao waumini walio wengi hawawezi kuustukia
  • Utaratibu huu huwa unahusisaha watu kukaribishwa na kupanda juu ya madhabahu ili aidha waongee kitu fulani au wafanye maombi
  • MCHEZO HUU HUWA UNAFANYIKA KWENYE BAADHI TU YA SIKU ZA J2, na siyo siku zote, kwa maana kuwa si kila KM-A anapokuwa amemkaribisha mtu asimame kwenye madhabahu, anakuwa yupo katika kufanya mchezo huo
Mchezo huu ulifanyika pia J2 iliyopita ya tarehe 11/04/2021 na mhusika atatoa ushahidi kupitia mambo mawaili makubwa, japo anao ushahidi mwingine luluki wa ziada pia, unaohusiana na J2 hiyo lakini angependa kutoa ushahidi ulio wazi zaidi kwa kila muumini wa Kanisa A kuweza kuu-appreciate

MOJA: Baada ya KM-A kumkaribisha mgeni ambaye amekuja kuhudumu kwa ajili ya Semina, hapakuwa na ulazima wowote wa mtu mwingine kukaribishwa na KM-A kupanda madhabahuni kwa ajili ya kutoa maelezo mengine tena ya nyongeza kuhusiana na mgeni huyo. Siku zote KM-A huwa hafanyi hivyo na ilikuwa mara ya kwanza mhusika kumuona KM-A anapanda madhabahuni kumkaribisha mgeni, halafu tena katikati ya ukaribisho huo akaibuka mtu mwingine ambaye kwa ngazi yuko chini ya KM-A.

Kawaida, mara zote KM-A huwa anakuwa wa mwisho, kwamba akishapanda madhabahuni kukaribisha mgeni, hakuna mtu mwingine tena wa ziada anayeweza kupita katikati, unless kuwe na mtu mwingine mgeni ambaye kiuongozi, yuko juu ya KM-A

MBILI: Baada ya Ibada ya pili kuwa imefika mwisho J2 hiyo, KM-A alimkaribisha Mchungaji wa Zamu kupanda madhabahuni kwa ajili ya kutoa sala ya kuwabariki waumini wanapokuwa wanarudi majumbani kwao
  • Mchungaji wa zamu alikuwa ni huyu KIONGOZI JUNIOR
  • Baada ya ukaribisho huo, KIONGOZI JUNIOR hakupanda madhabahuni kwa ajili ya kutoa sala hiyo, badala yake alijitokeza haraka haraka kiongozi mwiingine ambaye hakuwa amekaribishwa na KM-A kupanda madhabahuni
  • Kiongozi aliyepanda jukwaani badala ya yule aliyekuwa amekaribishwa na KM-A, ni huyu aliyewahi kusema “UKIONA WATU WANAANZA KULALALMIKA KANISANI, UJUE WAMEKOSA KAZI YA KUFANYA”
HITIMISHO

Kilichofanyika hapa ni kwamba viongozi wote hawa watatu walijua kitakachoendelea baada ya ukaribisho huo, yaani KM-A, KIONGOZI JUNIOR pamoja na yule aliyepanda madhabahuni. Yalikuwa ni makubaliano kati ya viongozi hawa watatu kwamba “nitakapokuita upande madhabahuni, kwa ajili ya kuwabariki waumini watakapokuwa wanataka kuondoka, usifanye hivyo badala yake atakayefanya hivyo ni fulani”

Mchezo huu pia huwa anaupenda sana Kiongozi X hadi kuna siku ilifikia hatua akaenda kumnyang’anya kipaza sauti sauti Mzee wa Zamu akiwa madhabahuni anatoa matangazo, kwa kisingizio eti kuwa kuna tangazo ambalo lingejirudia kama angemwacha Mzee wa Zamu akaendelea kutoa matangazo hayo. Kwa waumini walio makini watakuwa wanaikumbuka siku hiyo maana si siku nyingi sana zimepita tangu tukio hilo litokee

Kwa ujumla tu Kiongozi X ni mmojawapo wa viongozi ambao huwa wanakuwa na bashasha sana siku wanapokuwa wamehifadhi mapepo Kanisani, na huwa hawezi kabisa kuwa na subira au kutulia sehemu noja. Huwa anakuwa na harakati za kutembea huku na kule utadhani ni mwalimu wa zamu anakuagua usafi wa mazingira shuleni


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 22 MARCH 2021

SHAMBULIO JINGINE LA KOO ALILOLIBAINI ASUBUHI YA SIKU YA JUMAMOSI YA TAREHE 20.03.2021 LILILOTOKANA NA MAJI ALIYOTUMIA ASUBUHI WAKATI AKIPIGA MSWAKI


Shambulio hili alilibaini siku ya Jumamosi lakini maandalizi yake yalifanyika siku ya Ijumaa akiwa ofisini
  • SAFARI HII, MR X ANAONEKANA KUTOKUHUSIKA WENYE TUKIO HILI
  • Hakuna ushahidi wowote au dalili zozote zinazoashiria kuhusika kwake, isipokuwa ossibly kuna mtu mwingine ambaye ameshajitokeza na ambaye alikuwa anataka ku-take advantage ya kumchafua tena MR X kwa kitu ambacho hajafanya
  • Chances kubwa ni kwamba shambulio hli lilikuwa launched wakati wa jioni kipindi mhusika alipokuwa anatoka nje ya jengo kwenye lango kuu la gate la ofisini, kuelekea nyumbani
  • Hata hivyo “main ingredient” ya shamabulio hilo inaonekana kuwa ni maji aliyotumia asubuhi ya siku hiyo alipomaliza kupiga mswaki
  • Kwa hiyo kwa kipindi kingine chote alipokuwa yupo ofisini siku hiyo, hapakuwa na chochote cha ajabu, isipokuwa wakati anatoka nje pale getini kwenye lango la jengo ndipo pale shambulizi linapoweza kuwa liltokea
  • Hata hivyo ni shambulio la pekee ambalo mhusika amelipata na ambalo linaonekana kama kutomhusisha kabisa MR X
  • KWA HIYO KWA SAFARI HII, MR X ANAWEZA KUWA HAHUSIKI KABISA NA SAMBULIO HII

Vilivyohusika ni maji aliyotumia mhusika kusukutua mdomoni wakati wa asubuhi siku ya Ijumaa, baada ya kuwa amepiga mswaki, ukiunganisha na mtu mwingine mtaalamu aliyekuwa maeneo ya ofisini, ambaye kwa sasa mhusika bado hajamfahamu vizuri mtu huyu. Aliyehusika moja kwa moja ni mtu mmoja au wawili na si zaidi ya hapo

MAELEZO YA NYONGEZA JKUHUSIANA NA SHAMBULIO HILI

Shambulio hili safari hii linaonekana kuhusisha MAJI ALIYOTUMIA MUSIKA KUSUKUTUA MDOMONI BAADA YA KUWA AMEPIGA MSWAKI SIKU HIYO YA IJUMAA

MAELEZO YA ZIADA KUHUSIANA NA MAJI HAYO ALIYOTUMIA MHUSIKA SIKU YA IJUMAA ASUBUHI


Ikumbukwe kuwa nyumbani kwa mhusika hapana maji tangu Novemba 2018. Kwa hiyo mara zote mhusika huwa anachota maji kutoka kwenye bomba lililoko nje, ambalo hata majirani zake wengine nao wakati mwingine nao pia huwa wanalitumia

Hata hivyo, kuna siku moja usiku mhusika alisikia bomba hili likiwa limefunguliwa na linamwaga maji kwa nguvu kubwa sana pale nje, akaamua kwenda kulifunga.
  • Muda huo ulikuwa ni majira kama ya baada ya saa tatu za usiku
  • Pale nje hapakuwa na mtu yeyote isipokuwa baada ya kufunga bomba, mhusika alimuona mlinzi naye anaingia pale nyumbani kwa ajili ya kazi zake
  • Baada ya kurudi ndani, mhusika akapata wazo la kuchota angalau maji kidogo kwa ajlil ya usafi wa asubuhi
  • Kwa usafi wa kinywa pamoja na kunywa, mhusika amekuwa siku zote na kawaida ya kuchota maji kutokea bombani moja kwa moja
  • Kuna njia mbili za kuchota naji hayo, moja ikiwa ni kwa kutumia mpira mrefu ambao hufungwa kwenye koki ya bomba, na nyingine ya kuchota moja kwa moja kutokea kwenye koki ya bomba hilo
SABABU ZILIZOPELEKEA ACHOTE MAJI HAYO USIKU HUO

Kwa siku za hivi karibuni
, maji ambayo huwa anatumia kwa matumizi mengine kama kuoga, mara nyingi, kwa kipindi cha hivi karibuni, amekuwa akiyapndisha juu kwa kutumia mpira
  • Hata hivyo, yale ya kunywa pamoja na usafi wa asubuhi huwa anayachota moja kwa moja bombani pasipo kutumia mpira
  • Ni kwa sababu mpira huo wakati mwingine huwa unatumika na akina mama wanaofua nguo na unakuwa siyo msafi
  • Mdomo wa mpira huo wakati mwingine huwa unalowekwa kwenye nguo chafu zinazofuliwa na hivyo mtu hawezi kuchota maji ya kunywa kwa kutumia mpira huo
Kwa hiyo hizi ndiyo sababu zilizomfanya mhusika achote maji hayo ya usafi wakati huo wa usiku

Siku hiyo, mhusika alichota maji hayo na kuyaingiza ndani nyumbani kwake na akayaweka juu ya mojawapo ya madumu yake mengine ya kuhifadhia maji yaliyoko sebuleni kwake, madumu hayo yakiwa hayako mbal sana kutoka mlango wa kuingilia ndani nyumbani kwa mhusika
  • Baada ya mhusika kuwa amechota maji hayo, yaliendelea kukaa pale pasipo kuwa ameanza kuyatumia, kwa zaidi ya wiki moja au mbili
  • Ni kwa sababu kule bafuni alikuwa bado anayo maji kwa ajili ya usafi huo
  • Hadi kufikia Alhamis tarehe 18/03/2021 maji aliyokuwa mhusika anatumia awali yakawa yameisha, na hivyo akalazimika sasa kuyachukua haya mengine yaliyokuwa sebuleni ( aliyowahi kuyachota usiku siku kadhaa nyuma) na kuyapeleka bafuni, ila siku hiyo nayo pia hakuyatmia maji hayo, alikuwa bado anamalizia yale ya mwanzo
  • Kwa hiyo ilipofika Ijumaa ya tarehe 19/03/2021 alilazimika kutumia sasa haya maji mapya ambayo aliyaingiza bafuni siku ya Alhamis, ambayo yamekuwa sebuleni kwa zaidi ya wiki moja au mbili hivi
CHA PEKEE ALICHOKIONA MHUISIKA MAZINGIRA YA OFISINI KWA SIKU ZA ALHMAIS NA IJUMAA

Katika siku zote hizo mbili, mara zote amekuwa akitoka ofisini na kukuta kundi la watu wakiwa mesimama nje ya gate la lango la jengo, kama vile wanasubiria mtu fulani. Watu hao wamekuwa wakibadilikabadilika kwa siku hizo mbili isipokuwa wawili wao ndiyo walikuwa ni wale wale kwa siku zote mbili.
  • Mmojawapo wa wawili hao ni staff msimamizi wa ukarabati unaoendelea kwenye jengo hilo na ambaye taarifa zake ziliwahi kuwajia humu wakati ukarabati huo ulipokuwa unaanza
  • Wa pill ni yule fundi anayehusika na ukarabati huo, ambaye mwanzoni, naye pia taarifa zake ziliwahi kuwajia humu jukwaani wakati ukarabati huo ulipokuwa unaanza
Ukarabati huo bado upo unaendelea mpaka leo

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
Aliyeliona shambulio hapa anisaidie
 
UPADATE: SATURDAY 24 APRIL 2021

COMING UP NEXT:

ORODHA YA BAADHI YA MAMBO AMBAYO VIONGOZI WA KANISA A WANASHAURIWA WAFANYIE TOBA NA KUOMBA REHEMA KWA MUNG IWAPO TU WAKIRI KUWA TUHUMA ZA MAMBO HAYO NI ZA KWELI KWAO

Orodha ya mambo haya itamhusu kwa sana Kiongozi Mkuu wa Kanisa A, ila pia na viongozi wengine wote walio chini yake akiwemo kiongozi yule aliyewahi kutetea kuendelea kuwepo wa kinyesi kilichokuwa kinatirriika Kanisani
 
ORODHA YA BAADHI YA MAMBO AMBAYO VIONGOZI WA KANISA A WANASHAURIWA WAFANYIE TOBA NA KUOMBA REHEMA KWA MUNG IWAPO TU WAKIRI KUWA TUHUMA ZA MAMBO HAYO NI ZA KWELI KWAO



Wanashauriwa wafanye hivyo iwapo tu tuhuma hizi ni za kweli

MOJA:
Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A) kuwaombea msamaha maharusi waliowakaribisha waumini kwenye harusi yao na kisha kuwaonyesha picha zisizokuwa za staha kiasi cha kupelekea baadhi ya waumini waliohudhuria hafla hiyo, kupata mashambulio ya kiroho
  • Hawa watu waliwakosea waumini waliokuwa wamehidhuria hafla hiyo, hawakumkosea KM-A kwa sababu yeye hata hakuwepo siku hiyo
  • Kawaida walitakiwa wao wenyewe wasimame mbele ya madhabahu wawaombe msamaha waumini wote
 
UPADATE: MONDAY 26th APRIL 2021

COMING UP NEXT……………….

MATUKIO MENGINE MAPYA YALIYOJITOKEZA JUMAPILI YA TAREHE 26 APRIL 2021 NA AMBAYO YANAONEKANA KAMA YANA UHUSIANO NA VIATU AMBAVYO HUWA ANAVAA MHUSIKA

Muhimu: Baadhi ya mambo yaliyoko kwenye taarifa hii hapa chini, yanahusisha utafiti wa kuanzia kipindi kirefu nyuma; utafiti katika nyanja zote mbili, za kimwili na kiroho


Matukio haya yanaonyesha kama yana uhusiano na viatu ambavyo huwa anavaa mhusika, sawa kabisa na lile la mwanzo alilowahi kulazimika kupanda madhabahuni kwenda kuzima feni
  • Kuna uwezekano mkubwa kuwa matukio haya ya sasa yatalielezea vizuri zaidi hata lile la awali. Lile ambalo aliwahi kupanda madhabahuni kwenda kuzima feni
  • Maelezo ya matukio haya yanatokna na kile ambacho mhusika alikumbana nacho Kanisani jana JUMAPILI YA TAREHE 25 APRIL 2021
  • KM-A anahusika moja kwa moja, pamoja na kiongozi mwingine
Matukio yenyewe yana uhisano na vitu viwili vikubwa ambavyo ni:
  • Taa za breki za gari pamoja na brake pad yake ambayo mhusika huwa anaikanyaga (brake pad)nkwa kutumia kiatu chake akiwa anaendesha gari
  • Viganja vya mikono yake (hand palms) ambavyo mhusika huwa anavitumia kugusa viatu kila siku wakati anavaa viatu hiyo
Zaidi ya hapo viatu hivi pia ndiyo vile vile ambavyo huwa anavitumia kukanyaga kwenye ardhi yoyote anapokuwa anatembea ikiwa ni pamoja na kwenye ngazi na sakafu kwenye majongo yenye ghorofa

NAMNA UTAALAMU WA KURUSHA MAPEPO UNAVYOFANYIKA
Transmission ya mapepo inafanyika kupitia kwenye taa za brake, zilizoko upande wa nyuma ya gari lake. Kawaida mtu akikanyaga brake pad, taa za brake nyuma ya gari huwa zinawaka. Dhana aliyonayo kwa sasa ni kwamba taa hizi zinapowaka, mashambulizi yanafanyika
  • Kupitia mwanga wake unaowaka pindi anapokuwa amekanyaga brake pad
  • Kwa taa hizi za nyuma ya gari, kuguswa kwa viganja vya mikono ya baadhi ya waumini ambao wako kwenye program hii ya kurusha mapepo Kanisani
MAELEZO KWA UFUPI KUHUSIANA NA TAA HIZI ZA GARI ZILIZOWAHI KUTOBOKA

Taa hizi ni mpya na alizinunua baada mojawapo ya taa zile za awali, kutoboka baada ya kupata ajali jioni akiwa ndani kanisani ila akiwa anatoka nje ya geti baada ya kuwa amemaliza Ibada yake ya (binafsi) jioni kanisani, hali iliyopelekea kutoboa taa yake moja na taa nyingine tena moja ya gari nyingine aliloligonga kwa nyuma likiwa limepaki
  • Mhusika alipata ajali ya kutoboa taa hizo akiwa katika harakati za kujaribu kumpisha kwa kurudi kinyume nyume, mtu ambaye aliibuka ghafla getini akiwa anaingia na gari, wakati mhusika yeye alikuwa anatoka nje ya geti
  • Sehemu aliyoibukia mtu huyu, alikuwa na nafasi na pia uwezekano mkubwa kabisa wa yeye kumpisha mhusika ili atoke kwanza halafu na yeye ndiyo aingie ndani, lakini alionyesha dalili za wazi na dhahiri kabisa kuwa hakuwa tayari kufanya hivyo
  • Kutokana na hali hiyo, ilibidi mhusika aanze kurudi ndani kinyume nyume, hali iliyopelekea kwa bahati mbaya kwenda kugonga pick-up nyingine ya Mzee wa Kanisa, wa Kanisani hapo
  • Pick-up hiyo ilitoboka taa moja ya nyuma, na mhusika naye pia alitoboa taa yake moja ya nyuma, hali iliyopeleka akaenda kununua seti nyingine mpya ya taa zote mbili za nyuma, na pia kufidia taa moja ya upande moja wa nyuma aliyoitoboa, ya gari la Mzee wa Kanisa
Mambo yote ya matukio ya J2 iliyopita yanaanzia hapa na mtu aliyepishana na mhusika na kupelekea ajali hiyo ni kiongozi huyu ambaye aliwahi kusema “ukiona watu wanaanza kulalamika kanisani, ujue wamekosa kazi ya kufanya”
  • Ndiyo kiongozi yule ambaye baada ya KM-A kumkaribisha mchungaji wa zamu kwa ajili ya kuwaaga waumini J2 ya wiki juzi, yeye alijitokeza haraka haraka na kwenda kutoa sala hiyo akimuwahi mchungaji wa zamu ambaye alikuwa amekaribishwa kwa ajili ya sala hiyo
  • Ndiyo kiongozi huyo huyo ambaye KM-A alimkaribisha jana J2 ya tarehe 25 April, kutoa sala ya kuwabariki waumini wakati walipokuwa watawanyika kurudi makwao baada ya Ibada ya pili kuisha
Mfanano mwingine unaojitokeza hapa ni kuwa kwenye J2 hizi alizozitaja hapa mhusika
  • Zote ni J2 zilizokuwa na ugeni wa ghafla madhabahuni, uliotanguliwa na maombi ya siku tatu ila ambayo hayakuwa na uhusiano na ugeni huo
  • Zote zilikuwa na matangazo ya watu kuvishana pete za uchumba
  • Aliyetoa sala ya kuwaaga waumini ni kiongozi yule yule ambaye huwa hapendi watu walalamike Kanisani. kwenye J2 ile ya mwanzo hakuwa hajakaribishwa ila aliwahi mwenyewe madhabahuni kwa utashi wake, na kwenye J2 hii ya pili, yaani J2 ya jana, alikaribishwa na KM-A
Kiongozi huyu kawaida huwa haendeshi gari mwenyewe, huwa anendeshwa na tangia siku ile mhusika alipopata ajali hiyo ya kutoboa taa za gari mbili wakiwa wanapisjhana naye, hajawahi kumuona tena kiongozi huyu akiwa anaendesha gari. Na kabla ya siku ya ajli hiyo, mhusika hana kumbukumbu vile vile za lini mara ya mwisho aliwahi kumuona kiongozi huyu akiwa anaendesha gari

Swala kutangazwa uchumba Kanisani ameliongelea hapa kwa sababu tukio la la jana J2 lina uhusiano na kutolewq kwa tangazo hilo

…………………..inaendelea
 
MATUKIO MENGINE MAPYA YALIYOJITOKEZA JUMAPILI YA TAREHE 26 APRIL 2021 NA AMBAYO YANAONEKANA KAMA YANA UHUSIANO NA VIATU AMBAVYO HUWA ANAVAA MHUSIKA

……………….inaendelea

MAELEZO YA UTANGULIZI


Mhusika alifika Kanisani kwa ajili ya Ibada ya pili,dakika chache baada ya saa nne kamili. Wakati huo Ibada ya kwanza ilikuwa inaelekea mwisho na ulikuwa ni wakati wa matangazo

  • Tangazo lililokuwepo kwa wakati huo lilikuwa ni la uchumba, na walikuwa tayari wamekaribishwa wachungaji wote wa kiume na mama wachungaji wote kwa ajili ya kuwaombea wachumba
  • Ilikuwa ni mara yake ya kwanza kwa mhusika kuona mama wachungaji nao pia wakikaribishwa mbele kwa ajili ya kuombea wachumba, unless labda kama alisikia au kuona vibaya
  • Baada ya tangazo hilo Ibada ya kwanza ilifungwa na waumini w Ibada ya kwanza walitawanyika
Wakati wa matangazo hayo, kipindi Ibada ya kwanza inaeleka mwisho, japo mhusika alikuwa umbali mrefu kidogo, lakini alibahatika kumfahamu binti mhusika wa tukio hilo la uchumba kupitia screen ya TV iliyokuwa inarusha mubashara tukio hilo. Ni baada ya kuwa mpiga picha amefanya zooming kiasi cha kumuonyesha binti huyo na kuonekana hata na watu waliokuwa wamekaa umbali mrefu kutoka madhabahuni

Wakati huo haya yote yakiwa yanaendelea, mhusika alikuwa amepaki gari lake nje, akisubiria magari ya Ibada ya kwanza yatakapokuwa yametoka ndiyo naye aweze kuingiza la kwake

Kwenye mida ya saa 5 kasoro dakika chache, mhusika alifanikiwa kuingiza gari lake ndani, wakati huo waumini wa Ibada ya kwanza walikuwa tayari wameshatoka. Mhusika alifanikiwa kuona nafasi iliyokuwa karibu kabisa na geti na ambapo mara nyingi huwa wanapaki viongozi wakuu, na yeye akafanikiwa kuliweka gari lake hapo
  • Kutokana na ufinyu wa nafasi iliyokuwepo pale, mhusika alipaki gari lake katika namna ambayo wakati wa kutoka ilibidi aanze kuondoka kwa kutoka kinyume kinyume
  • Hata hivyo hakuwa na uhakika sana kama gari lake lingeweza kupaki pale muda wote kwa sababu ilishawahi kutokea safari moja mara moja akiwa amepaki pale (alipopaki J2 iliyopita), na Ibada ikiwa tayari imeshanzaa, alikuja kuitwa na shemasi ili ahamishe gari lake hapo akapaki sehemu nyingine, akiambiwa kuwa sehemu ile ni kwa ajili ya viongozi tu
  • Hapo kabla, alikuwa akipaki mahali pale na hakuwahi kupata wito wowote wa kuhamisha gari lake, na baada ya pale tena, ameshabahatika kupaki pale mara kadhaa lakini pasipokuwa na wito wowote ule kutoka kwa shemasi yeyote yule wa kutakiwa kuhamisha gari lake
Shemasi aliyewahi kumuita mhusika kipindi hicho cha nyuma ili ahamishe gari hilo mahali sawa na pale alipokuwa amepaki J2 iliyopita, ndiyo shemasi yule yule aliyekuja kumuita mhusika J2 ya wiki juzi Ibada ikiwa tayari imeanza, ili ampishe mtu aliyekuwa anahitaji kutoka. Ni kwenye lile tukio ambalo mhusika tayari ameshalielezea kwa kina humu jukwaani
Tukirudi tena kwenye hoja yetu kuhusiana na tukio la J2 iliyopita (ya jana), mhusika akiwa tayari ameingiza gari lake ndani ya geti la Kanisa na kupaki katika namna ambayo wakati wa kutoka ilimbdi aanze kuondoka kwa kurudi kinyumenyume;
  • Muda mfupi baadaye Ibada ya pili ilianza kwa Ibada ya Kusifu na Kuabudu
  • Ibada ya Kusifu na Kuabudu ilipofikia tamati, waumini wote walikaa chini
BAADA YA IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU KUWA IMEFIKIA MWISHO
  • Hatimaye KM-A alipanda madhabahuni kumtambulisha na kumkaribisha mgeni mhudumu wa J2 hiyo
  • Alikuwa ni mgeni wa dharura, sawa na yule aliyehudumu wiki juzi
Baada ya mgeni kukaribishwa na hatimaye mafundisho kuanza, huku mhusika akiwa amekaa sehemu ile ile ambayo huwa anapendelea kukaa siku zote
  • Kuna mtoto wa miaka kama saba (7) hivi alikuja akakaa kwenye kiti kilichokuwa kulia jirani na mhusika
  • Kiti hicho kilikuwa ni cha mwisho kwenye safu(column) ya upande ule ambao mhusika alikuwa amekaa
  • Baada ya kiti hicho, lilikuwa linafuata korido ambalo linatenganisha safu moja na safu nyingine ya viti, na ambalo baadhi ya waumini ikiwa ni pamoja na wahudumu wa Ibada, huwa wanapita wakati wa Ibada
Kwa hiyo mtoto huyu alikuja akakaa kwenye kiti jirani na mhusika na kwenye sehemu hiyo kama ambavyo mhusika ameielezea hapo juu
Hapo awali kabla mhusika hajaamua kwenda kukaa sehemu hiyo, alikuwa amedhamiria kukaa sehemu nyingine toafauti na hiyo, kwenye kiti kilichokuwa mstari wa nyuma kabisa kwenye safu (column) ya viti vya katikati ya Kanisa. Hata hivyo muda siyo mrefu, Ibada ikiwa tayari imeshaanza, alifika shemasi mmoja na kuanza kuvikusanya viti vyote vilivyokuwa kwenye mstari huo wa na ambo mhusika alikuwa amedhamiria kukaa, na kuanza kuvitoa, kwenye safu hiyo ya katikati
  • Wakati huo ni mhusika peke yake aliyekuwa amekaa kwenye viti vya mstari huo, na baadhi ya waumini wengine wachache walikuwa bado wanaendelea kuingia Kanisani
  • Baada ya mhusika kuona viti vinaondolewa kwenye mstari huo, aliamua kuhama kutoka kwenye viti vya mstari huo na kwenda kukaa kwenye safu nyingine, kushoto kwa safu ile aliyokuwa amekaa awali, na mahali kule ambako huwa amezoea kukaa siku zote
Baada ya kuhamia tena huko ambako huwa amezoea kukaa siku zote

  • Ndiyo sasa alikuja mtoto akakaa kwenye kiti jirani na mhusika, sawa na alivyoelezea hapo juu
  • Baada ya kitambo kifupi, mtoto huyu aliondoka kwenye kiti hicho, lakini muda siyo mrefu alitokea mtoto mwingine wa pili na kuja kukaa kwenye kiti hicho, rika sawa na yule wa mwanzo
  • Mtoto huyu wa pili alikaa kwenye kiti hicho kwa muda mrefu wa kutosha kiasi kwamba hapakuwa tena na muumini mwingine mchelewaji ambaye angeweza kuja kukaa kwenye kiti hicho, assuming mtoto huyu angeondoka na kukiacha wazi kiti hicho
Baada ya hapo mtoto huyu wa pili naye pia aliondoka na kiti hicho kuendelea kuwa wazi mpaka mwisho wa Ibada.
Zaidi ni kuwa kwenye mstari wa mbele wa viti vilivyokuwa vimefuatana na mstari wa viti alivyokuwa amekaa mhusika, mmojwapo wa waumini waliokuwa wamekaa mstari wa viti hivyo alikuwa ni mama ambaye alionekana kuwa ni mama mzazi wa mtoto huyu wa pili. Mama huyo amefanana sura na mtoto huyo pili
Katika hali ya kawaida, watoto hawa huwa hawakai kwenye Kanisa la wakubwa, huwa wana sehemu yao maalumu kwa ajili ya Ibada zao peke yao, ambayo ni sehemu nyingine tofauti kabisa sehemu ambayo wakubwa huwa wanaabudia

………………….inaendelea
 
……………….inaendelea

BAADA YA IBADA YA PILI KUWA IMEFIKIA MWISHO NA HATIMAYE TENA WAKATI WA MATANGAZO KUWADIA

  • Binti mhusika na tangazo la uchumba alifika Kanisani na kuja kukaa kwenye kiti kile kilichokuwa kimeachwa na watoto
  • Hii ilionyesha kuwa aidha hakuwemo kabisa Kanisani wakati wa Ibada ya pili, au alikuwa amekaa mahali pengine tofauti
Muda kitambo, KM-A alipanda madhabahuni kwa ajili ya matangazo yake, ikiwa ni pamoja na hilo la uchumba

Katika mojawapo ya vionjo vyake ambavyo KM-A huwa anapenda kuvitumia siku zote, aliwaomba waumini wote wageukiani kulia na kushoto na kupeana TANO ZA JUU
  • Hapa huwa anamaanisha kuwa waumini wagongeane kwa viganja vya mikono yao, kila muumini na jirani yake aliye kulia kwake na pia aliye kushoto kwake
  • Kawaida mhusika alishaacha kuitumia salaamu hii siku nyingi baada ya kuwa amehama na kuwa anakaa sehemu ambayo wengi wanaokaa huko ni akina mama, ili kukwepa kujenga mazoea na watu ambao sio wa jinsia yake
  • Hata hivyo safari hii alilazimika kuitumia salaam hiyo baada ya kumuona binti mhusika wa uchumba amenyoosha mkono wake hewani na hauna majibu
Mbai na kuona mkono ukielea hewani, mhusika alishawsihika kuujibu mkono huo kutokana na sababu moja kubwa, kwamba dakika chache zijazo binti huyo huyo alikuwa anatarajiwa pia kupita mbele ya madhabahu na mhusika tena akiwa ni mmojawapo ya waumin ambao binti huyu alikuwa ana haki ya kushangiliwa nao kwa makofi matukufu
  • Ungekuwa ni upumbavu kwa mhusika kushindwa kumpa binti TANO ZA JUU alizoagiza KM-A, halafu tena sekunde kadhaa mbele mhusika huyo huyo aonekane akimshangilia kwa kumpigia makofi, (binti aliyeshindwa kumpa TANO ZA JUU), binti huyo akiwa anapita mbele madhabahuni kwa ajili ya tangazo la uchumba
  • Hii ndiyo sababu pekee iliyomlazimisha mhusika kutumia salaamu hiyo kwa mara nyingine tena, baada ya kuwa ameacha kuitumia kwa zaidi ya mwaka sasa

HITIMISHO

Baada ya tangazo la uchumba, hatimaye Ibada ilifikia mwisho

  • KM-A alimkaribisha kiongozi ‘mpinzani wa waumini lalamishi kanisani” kutoa sala ya kuwabariki waumini wanapokuwa wanarudi makwao
  • Baada ya sala hiyo, mhusika alinyanyuka na kunyoosha moja kwa moja kuelekea kwenye parking
Kwa bahati mbaya alikuta kuna gari aina ya LANDCRUISER (blue sky colour) ikiwa imepaki kwa kumziba. Hapo alilazimika kurudi tena ndani kanisani ili kubadilishana mawili matatu na waumini wengine, akisubiria mwenye gari hilo afike na kuliondoa gari lake

Hata hivyo kuna mambo matatu ya msingi aliyaona mhusika kipindi hicho alipokuta gari nyingine ikiwa imemziba kwamba
  • Aliyekuwa amemziba mhusika alijua fika kuwa aliyekuwa amezibwa hakuwa na taarifa kuwa amezibwa na hivyo impliedly, baada ya Ibada kuisha kulikuwa na uwezekano mkubwa wa aliyezibwa kunyoosha moja kwa moja kuelekea kwenye gari lake ili awashe na kuondoka, akijua kuwa liko free kama alivyoliacha wakati anapaki, na hiki ndicho kilichotokea
  • Yule aliyekuwa amemziba mwenzake, alikuwa amejipa jukumu la kuhakikisha kuwa baada ya Ibada, ananyoosha moja moja kwa moja kuelekea kwenye parking ili akamfungulie yule aliyekuwa amemfungia gari lake, na ambaye alikuwa hajui kuwa amefungiwa
  • HAPAKUWA NA ULAZIMA WOWOTE WA WATU KUPAKI KWA KUZIBANA J2 HIYO. kwa sababu parking zilikuwepo sehemu nyingine ambazo mtu huyu mwenye gari iliyokuwa imemziba mhusika, angeweza kupaki pasipo kumziba mtu mwingine yeyote yule
Kawaida matukio ambayo huwa yanamtokea mwanadamu kila siku akiwa anatumia “sub-conscious mind” baadhi yake huwa yanaweza kuwa na maana kubwa lakini mtu huiska huwa hawezi kuyang/amua kwa wakati huo huo na papo kwa papo

Hata hivyo, baada ya mhusika kuyachuja na kuyatafakati kwa kina baadhi ya matukio hayo.aliweza kubainisha mamno mengie kadhaa kama ifuatavyo, kwamba:
  • Kuna viganja vya mikono vilihitajika J2 hiyo kugusa zile taa za nyuma za gari lake, kabla hajaondoka kanisani siku hiyo
  • Viganja hivyo ilibidi viwe ni vile ambavyo vilipiga “TANO ZA JUU” pindi Kiongoz Mkuu alipokuwa amepanda madhabahuni
  • Na kwa sababu mhusika aliwahi kuelekea kwenye parking, iiwapo kama angemkuta mwenye gari iliyokuwa imemziba na hatimaye kumpisha, mhusika angeweza kuondoa gari lake kanisani hapo pasipo taa zake kuwa zimeguswa na vidole vyovyote vilivyokuwa vimepiga TANO ZA JUU wakati wa Ibada
Kwa hali hiyo, palitakiwa kuwepo gari ya kumziba ili kumfanya aendelee kuwepo kwa muda kidogo kanisani baada ya Ibada kuisha. Na kwa sababu hali hiyo ya kuzibwa gari lake ilimpelekea kuweza kujua kuwa yuko free kuondoa gari lake pale tu ambapo angeweza kuiona gari iliyokuwa imemziba imetoka mahali ilipokuwa, basi na zoezi tarajiwa la kugusa taa lingekuwa limeshapata muda wa kufanyika hata pasipo yeye kuwepo mahali pale gari lake lilipokuwa amelipaki

Dhana aliyonayo mhusika mpka muda huu ni kuwa taa hizo zikishaguswa kwa vidole vya “TANO ZA JUU”, effect yake inakwenda hadi kwenye brake pad, ambayo huwa anaikanyaga kwa kutumia viatu vya miguu yake

Effect hiyo hatimaye huwa inahamia tena kwenye vidole vya mikono yake, kipindi akiwa anavua viatu hivyo na kuanzia pale tena effect inaanza sasa kusambaa na kuambatana na chochote kile atakachokuwa anakigusa kwa kutumia viganja au vidole vya mikono yake

Hapa msomaji inabidi ahusianishe jambo hili na somo ambalo KM-A aliwahi kufudisha kuhusiana na milango mitano ya fahamu, macho, ngozi, pua,…n.k. halafu baada ya hapo yakatokea malalamiko makubwa Kanisani kutoka kwa baadhi ya waumini waliowahi kukaribishwa kuhudhria hafla Fulani hivi

Mhusika anadhani pia kuwa hiki ndicho kilichowahi kuepelekea akakuta feni zinatembea juu madhabahuni pasipo uwepo wa mtu yeyote Kanisani na hivyo kulazimika kwenda kuzima feni hizo

Zaidi nii kuwa tukio la mwisho la KUPIGWA SHOTI ZA UMEME BETRI YA GARI LA MHUSIKA, lilitokea muda mfupi sana baada ya mhusika kuwa amenunua taa hizo mpya, baada ya kupata ajli iliyopelekea kutoboka zile za mwanzo

Na kwa wasomaji wa siku zote, watakumbuka pia kuwa tukio la la pili kutoka mwisho la kupigwa shoti ya umeme ya betri ya gari la mhusika, ,lilitokea baada ya mhusika kuwa ametoa sadaka ya shukrani mnamo January 2018.

Sadaka hiyo iliombewa na kiongozi huyu huyu ambaye amekuwa akiwahi madhabahuni kwa ajili ya kuwaombea waumini wakati wa kuahirisha Ibada za J2, baada ya kuwa ameombwa kufanya hivyo na KM-A

Kitu kingine cha nyongeza ni kuwa sadaka za ziada tofauti na ile ya Ibada kuu, zinaonekana kama kufululiza, kuanzia wiki ile ya sadaka ya mjane. Kama kuna mahali zimeruka basi ni wiki moja.


…………….itaendelea kwa nyongeza zaidi
 
…………….inaendelea

HUKU NYUMBANI ANAKOISHI NAKO: YANAYOJIRI SIKU ZOTE TANGU KIPINDI KIREFU NYUMA KUHUSIANA NA MPIRA WA MAJI WA KUPANDISHIA MAJI JUU GHOROFANI

PRESHA YA MPIRA WA KUPANDISHIA MAJI JUU GHOROFANI ANAKOISHI, UKUBWA WA PRESHA HIYO HUWA UNATEGEMEA KUWEPO AU KUTOKUWEPO KWA MAPEPO KWENYE NGAZI ZA KUPANDISHA GHOROFA HIYO


Ikumbukwe kuwa nyumba ya mhsuika haina maji kwa takribani miaka mitatu sasa na hivyo mara zote analazimika kupandisha mjuu ghorofanii aidha kwa kutumia mpira au kwa kusomba kwa ndoo. Kuna scenario kuu mbili ambzao amshazifanyia utafiti wa kina mpaka muda huu na kuwa ana uhakika nazo zaidi ya asilimia 100%
  • Kunapokuwa hakuna mapepo kwenye ngazi na kipindi hicho anakuwa ana hitaji la kupandisha maji juu ghorofani, presha ya maji inakuwa aidha ni ndogo au haitoshi kupandisha maji juu kwa kutumia mpira au wakati mwingine yanakuwa yamekatika kabisa
  • Katika hali hiyo huwa inambidi aidha asichote kabisa maji au achote kwa kutumia ndoo, akipandisha ndoo za maji juu ghorofani, moja baada ya nyingine
  • Mara nyingi (japo siyo mara zote), presha kubwa ya maji yenye kumuwezesha kupandisha maji juu kwa kutumia mpira huwa inaambatana na uwepo wa mapepo kwenye ngazi za kupandisha juu ghorofani kwake
MAELEZO YA ZIADA KUHUSIANA NA HALI HII YA MPIRA WA KUPANDISHIA MAJI JUU GHOROFANI

Ni kwamba kiatu ambacho huwa anakuwa amevaa mhusika ndiyo hicho hicho huwa kinatumika kukanyaga ngazi za kwenye ghroofa analoishi akiwa anapandisha nyumbani kwake ghorofa ya kwanza

Ambacho alishakibaini kwa uhakika kabisa mpaka muda huu ni kwamba inapotokea kiatu chake hicho kikawa hakijarushiwa mapepo
  • Bomba la maji lililoko nje na ambalo huwa anachota kwa kutumia mpira na kuyapandisha juu nyumbani kwake, linakuwa halina presha ya kutosha
  • Katika hali hiyo, inabidi achote maji hayo kwa mikono kwa na kuyapandisha juu nyumbani kwake
  • Aidha bomba hilo linaweza kuwa na presha ya kutosha ila akitaka kupandisha juu mpira ili achote maji hayo, presha hiyo inapungua ghafla na hivyo kupelekea ashindwe kufanya hivyo
Akiwa anachota maji kwa kutumia mpira, mpira huu wa maji huwa anautandazaa kwenye ngazi ambazo yeye mwenyewe huwa anazikanyaga kwa kutumia viatu vyake pindi anapokuwa anapndisha ghorofa ya kwanza

Mara nyingi (siyo mara zote) mpira huu huwa unakuwa na presha ya kutosha kupandisha maji juu ghorofani pale tu kunapokuwa kuna mapepo kwenye ngazi za kupandisha ghorofa ya kwanza

Kwa hiyo presha ya maji huwa inakuwa ndogo au kubwa kwa kufuata ratiba ya mapepo kwenye ngazi za kupandisha ghorofa ya kwanza anayoish yeye
  • Mapeo wanapokuwa wapo, presh ya maji inakuwa safi
  • Wanapokuwa hawapo, presha ya maji inakuwa aidha ndo isiyoweza kupandisha maji juu kwa kutumia mpira, au maji yanakuwa yamekatika kabisa

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
DOKEZO JINGINE MUHIMU KUHUSIANA NA KIONGOZI MKUU KANISA A

Mhusika alishakiri kabisa kuhus kiongozi huyu kuwa ikitokea kwa bahati mbaya mtu akam-prompt kiongozi huyu wa kiroho kwa kumwambia “tukupe hela kiasi fulni halafu baada ya hapo tukukate kichwa” kiongozi huyu wa kiroho anao uwezekano mkubwa sana wa kufanya makosa ya kukubali ofa hiyo
 
UPDATE: TUESDAY 27 APRIL 2021

KUHUSIANA NA MAKOFI YA “TANO ZA JUU”


Kwa hiyo mhusika alipiga “TANO ZA JUU” wakati wa Ibada akiwa Kanisani Jumapili iliyopita na akaondoka Kanisani akiwa anajua yuko kawaida kabida, ila usiku wa kuamkia J3 ndiyo akawa ameyaona sasa madhara ya “TANO ZA JUU” hizo

Ungekuwa ni ugonjwa, KM-A alikuwa anahitaji referrall ya kwenda hospitali ya juu zaidi, hii ya sasa haiwezi tena kumhudumia akapona ugonjwa wake



MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 27 APRIL 2021

KIONGOZI MKUU WA KANISA A


Kiongozi huyu kwa sasa ameshaanza kupoteza mwelekeo kabisa, anafanya baadhi ya mambo utadhani hana akili timamu. Posiibly anahitaji msaada wa kisaikolojia kutoka kwa watu walio karibu naye, au kwa mamlaka za Kaniisa zilizo juu yake



KUHUSIANA NA TUKIO LA MHUSIKA KUTOBOA TAA ZA GARI AKIWA KWENYE MAZINGIRA YA NDANI YA KANISANI

Lilikuwa tukio lake la kwanza na la mwisho. Kabla ya hapo hakuwahi kupatwa na tukio la namna hiyo, na baada ya pale hajawahi vilevile kukumbana na tukio jingine linalofanana na hilo


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 30 APRIL 2021

RARE COINCIDENCE NYINGINE ILIYOTOKEA MAENEO YA OFISINI SIKU YA ALHAMIS YA TAREHE 29 APRIL 2021 IKIHUSIANA NA TUKIO LA HUJUMA ILIYOFANYIKA KWENYE GARI LA MHUSIKA USIKU WA KUAMKIA SIKU HIYO TAJWA, GARI HIYO IKIWA IMEPAKI NUMBANI


Coincidence hii imetokea na kupeekea tukio lililotokea ofisini kuonekana kama lina uhuasiano na PARKING YA GARI aliyoitumia mhusika kupaki gari lake Kanisani siku ya J2 ya tarehe 25/04/2021
  • Dhana hii ya mhusika itakuwa iko sahihi iwapo tu parking hiyo aliyotumia mhusika kupaki gari lake Kanisahi J2 hiyo, ilikuwa imeachwa wazi makusudi ili kum-“prompt” mhusika kupaki gari lake hapo
  • Na kama dhana ya mhusika kuhusu parking hiyo inaweza kuwa iko sahihi, basi gari alyoikuta mhusika imeziba gari lake (wakati kulikuwa na parking za kutosha kiasi cha kutokuwa na ulazima wowote wa gari moja kuiziba nyingine) itakuwa ilifanya hivyo kwa kusudi jingine la ziada ambalo mhusika ataliezea kule mwisho kwenye maelezo ya coincidences hii
MAELEZO YA UTANGULIZI YA COINCIDENCE YENYEWE
Mambo yenyewe yanaanza hivi. Siku ya J5 kwenye mida ya mchana kama saa 8:30, umeme ulikatika. Baada ya muda mfanyakazi mwenzake na mhusika ambaye (mfanyakazi huyu) huwa anamshirikisha mhusika kufundisha kisehemu kidogo cha kozi alifika ofisini kwa mhusika.
  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa “mate” huyu kufika ofisini kwa mhusika, ndani ya mwaka huu
  • Baada “mate” huyu kufika ofisini kwa mhusika, waliongea maongesi mafupi ambayo kwa kiwango, ndiyo yanapeleka maelezo haya.
  • Ikumbukwe kuwa wakati huo umeme ulikuwa umekatika na ulirudi baada ya takribani saa nzima hivi kuwa imepita
BAADA YA UMEME KURUDI: MFANYAKAZI MSIMAMIZI WA UKARABATI UNAOENDELEA NDANI YA JENGO AFIKA OFISINI KWA MHUSIKA
  • Huyu yeye alifika kwa ajili ya kumjulisha mhusika kuwa kesho yake, yaani Alhamis, watamhitaji awapishe mafundi kwa ajili ya kupaka rangi
  • Baada ya kupokea taarifa hizi za ghafla, mhusika alitoa udhuru kuwa ana emergence ambayo inamlazimu awepo ofisini humo siku ya Alhamis kwa sababu kuna darasa ambalo amesharidhia kulichukua na hivyo atatakiwa kuwa yupo ofisini kwa ajili ya maandalizi ya darasa hilo na ambalo ni la jioni ya siku hiyo
  • Kutokana na hali hiyo mhusika alishauri zoezi hilo la kupaka rangi ofisini kwake, lifanyike siku ya Ijumaa badala ya Alhamis, ili aweze kutayarisha chochote kwa ajili ya watoto darasani siku hiyo ya Alhamis
Baada ya maongezi hayo, msimamizi wa ukarabati alikubali ila kidogo kama kwa shingo upande, na hatimaye baadaye tena alitoa alternative suggestion kwamba atampatia mhusika chumba kingine atumie hicho badala ya ofisi yake. Japo mhusika hakuwa ameridhika sana na ushauri huo na hakuwa ameukubali, Alhamisi alifika ofisini na kukuta mafundi tayari wameshaanza na wanaendelea na kazi ya kupaka rangi, na hivyo akawa amelazimika kuwapisha.
  • Baada ya kuwapisha, aliamua kwenda kufanyia kazi nyumnbani na si kwenye chumba ambacho msimamizi wa ukarabati alikuwa ameshauri kuwa angemhifadhi kwa muda
  • Ikumbukwe kuwa siku hii ya Alhamisi ndiyo siku ambayo alitakiwa awe darasani na watoto na kwa session ambayo ilikuwa ni ya kushtukiza kidogo, japo ni yeye mwenyewe aliikubali, hakushinikizwa na mtu
  • Ikumbukwe pia kuwa wakati anaupokea wito huo wa kukubali kuwepo darasani siku iliyokuwa imepita nyuma, umeme ulikuwa umekatika, kiasi kwamba matayarisho kamili ya kile alichopanga kwenda kuwafundsiha watoto baada ya kuwa ameridhia kukichukua kipindi hicho, ilikuwa ni lazima ayafanye kesho yake yaani Alhamis
Mbali na hayo, siku kadhaa nyuma, Mkuu wa Idara alikuwa ameshatoa kwa njia ya “e-mail, ratiba ya ukarabati wa kupaka rangi katika kila ofisi lakini ofisi ya mhusika haikuwemo kwenye ratiba hiyo. Baada ya kuona hivyo, mhusika alijiongeza zaidi kwa kuchukua hatua ya kuijibu “e-mail” ya Mkuu wa Idara akimjulisha kuwa chumba cha ofisi yake peke yake hakikuwemo kwenye ratiba hiyo lakini hadi msimamizi wa ukarabati anafika ofisini kuja kumjulisha mhusika kuwa inabidi awapishe mafundi kwa ajili ya zoezi lakupaka rangi, mhusika alikuwa hajapata majibu kutoka kwa Mkuu wa Idara. Ambayo yangekuwa yamebainisha ni lini hasa ofisi yake ingeweza kufikiwa na mafudi hao wa kupaka rangi

  • Kwa kifupi tu ni kwamba swala la kupaka rangi kwenye ofisi ya mhusika limefanyika kwa kushtukiza, wakati kwenye ofisi zingine zote ndani ya jengo hilo, limefanyika kwa kufuata ratiba na utaratibu maalumu
  • Mbali na hayo, pamoja na kuwa zoezi hilo limefanyika kwa kushtukiza, bado mhusika “ametii maelekezo bila shuruti” na hivyo kuwapisha mafundi kufanya kazi yao kama ipasavyo
MAELEZO KAMILI YA COINCIDENCE YENYEWE

Kabla “mate” huyu hajafika ofisini kwa ajili ya mazingumzo mafupi na mhusika J5 ya wiki hii, awali ya hapo, yapata siku kadhaa nyuma, tuseme kama wiki moja nzima iliyokuwa imepita nyuma yake, wawili hawa walikuwa tayari wamebahatika kugongana kwenye korido na kufanya maongezi yao ya muda mfupi wakiwa wamesimama kwenye korido. Ilikuwa ni katika muda ambao mhusika alikuwa anapita kuelekea ofisini kwake, na “office-mate” wake huyu naye alikuwa mlangoni akipapapsa kitasa cha mlango wake ili afungue mlango aingie ndani ofisini kwake. Kwa kifupi tu ni kwamba mpangilio wa ofisi za wawili hawa uko katika namna ambayo ile ya mhusika iko mbele na hivyo mhusika huwa ni lazima aipite kwanza ofisi ya “mate” wake huyu pindi anapokuwa anaelekea ofisini kwake. Ofisi zao ziko kwenye sakafu moja

Kwa hiyo hapo kabla, wawili hawa walikuwa tayari wameshaonana kwenye korido na kufanya maongezi yao na kwa muda mfupi sana. Swala walilokuwa tayari wameshaliongelea lilihusiana na “mate” kumjulisha mhusika kuwa muda wa kuanza kufundisha kile kisehemu kifupi cha kozi anayohusika umefika, na hivyo kumuomba kufanya hivyo kuanzia J3 ya wiki ya tarehe 26/04/2021. Kwa bahati mbaya waligundua baadaye kuwa siku hii ni sikukuu, kwa hiyo wakabadilisha na kukubaliana kuwa badala yake mhusika aanze kufundisha J3 inayofuata ya tarehe 03/05/2021. Maongezi yao yakaishia hapo na hayakuchukua hata dakika moja. Baada ya maongezi hayo mafupi, mhusika aliendelea kuelekea ofisini kwake, na “mate” naye akafungua kitasa cha mlango akaingia ndani ofisini kwake.

Hiyo wiki ikawa imepita na J2 yake mhusika ndiyo alifanikiwa kwenda kwenye Ibada Kanisani na kwenda kukumbana na yale ambayo tayari ameshayaeleza humu jukwani.

MATUKIO MUHIMU YALIYOTOKEA OFISINI KWENYE WIKI ILIYOFUATA YA KUANZIA J3 YA TAREHE 26/04/2021

Baada ya siku ya J3 ambayo ilikuwa ni sikukuu, J4 ya tarehe 27 mhusika alifanikiwa kufika ofisini na kukuta kuna mabadiliko kidogo hasa kwenye upande wa PARKING ZA MAGARI. Kulikuwa na maonyesho ya utafiti wa kitaaluma ambayo huwa yanafanyika kila mwaka na ambayo pia ni PUBLIC, watu wote kutoka mahali popote pale huwa wanaruhusiwa kuhudhuria na kawaida huwa yanatanguliwa kwanza na PRESS RELEASE, ambayo kwa mwaka huu haikutoka.

Maonyesho haya huwa yanafanyikia kwenye baadhi ya parking za magari, hasa zile zilizo karibu na maofisi.
  • Kutokana na hali hiyo, baadhi ya parking hizo zilikuwa kwa kiasi kikubwa ziko engaged na shughuli hiyo, zikiwemo zile ambazo huwa wanatumia wafanyakazi wa jengo ilimo ofisi ya mhusika
  • Mhusika siku hiyo alilazimika kupaki kwenye alternative parking ambayo nayo haiko mbali sana na jengo ilimo ofisi yake, na ambayo huwa anaitumia mara kwa mara
Kwa hiyo kwenye siku zote hizo, bado mhusika aliparki kwenye parking ambayo si ngeni kwake na ndani ya wiki yote nzima, mhusika amekuwa akiitumia parking hiyo kwa siku za kuanzia J2 hadi Alhamis

MATUKIO YA HIVI KARIBUNI KWENYE GARI LA MHUSIKA YANAYOSANYWA YAKIWA YAMEKUSUDIWA YAONEKANA KAMA AMEPATA AJALI YA KUGONGANA NA GARI NYINGINE


TUKIO JINGINE TENA LATOKEA KWENYE GARI LA MHUSIKA USIKU WA SIKU YA JUMATANO KUAMKIA ALHAMIS YA TAREHE 29/04/2021

MAELEZO YA UTANGULIZI


Ni kwamba kuna matukio kadhaa madogo madogo ya hujuma ambayo yamekuwa yakifanyika kwenye gari la mhusika katika namna ambayo yanakuwa yamekusudiwa yaonekane kama ni ajali ndogo ya gari lake, kukwaruzana kwa bahati mbaya na gari nyingine, (mithili ya alivyowahi kukwaruzana na gari ya Mzee wa Kanisa kanisani na kupelekea kutoboa taa)

Matukio haya yamekithiri sana kwa sasa, na ndani ya miaka isiyozidi miwili, yametukia matukio matatu
  • MATUKIO HAYA YOTE YANAFANYIKIA NYUMBANI MAHALI ANAPOISHI
  • Matukio yote yanatekelezwa wakati wa usiku gari lake likiwa limepaki nyumbani
  • Yanatokea gari ikiwa imepaki nyumbani pasipokuwa iko karibu na gari nyingine yoyote ile kutokana na uwepo wa parking kubwa na ya kutosha
  • Yote yamahusisha MUD-GUARD za gari tu na si sehemu zingine
  • Yote huwa yanatokea mlinzi wa usiku akiwa yupo kazini
TUKIO LA KWAMZA

Tukio la kwanza lilifanyika mnamo August 2019, ambapo mhusika alikuta MUD-GUARD ya mbele upande wa kushoto ikiwa imetoboka mithili ya kama ilibondwa na jiwe la kurushwa kwa mkono lililolengwa na kutupwa kutoka umbali mrefu kidogo
  • Kabla ya kuipeleka kwa fundi, mhusika aliwapelekea wahusika wakaiangalia gari na wao pia kukiri kuwa kilichokuwa kimetoboa mud-guard hiyo haikuwa ajali
  • Mhusika wa hujuma hiyo ya gari kubondwa na kitu sehemu hakujulikana na wala hakuwahi kujitokeza hadi leio
  • Baada ya hapo mhusika aliamua kumpelekea fundi wake akanyoosha mbonyeo huo
  • Wakati huo huo, mhusika alimuomba pia fundi wake kuipaka upya rangi gari baadhi ya sehemu
  • Sehemu zilizohusika ni juu ya bodi ikiwa ni pamoja na boneti (mbele) ambapo sehemu hizi zote rangi yake ilikuwa umepauka sana
Hilo likawa tukio la kwanza

TUKIO LA PILI

Tukio hili lilihusisha kukatwa na kitu chenye ncha kali, possibly kisu, MUD-GUARD ya nyuma upande wa kulia wa gari ambayo huwa imekaa kama kiganja. Mhusika hakumbuki ni lini hasa tukio hili lilitokea ila ni karibia mwaka umepita sasa tangu kutokea kwake. Baada ya hapo mhusika hakuchukua tena hatua za kwenda kuirekebisha ameiacha iko vile vile mpaka leo

TUKIO LA TATU

Hili limetokea usiku wa J5 kuamkia Alhamis ya tarehe 29/04/2021 ambapo sehemu ya MUD-GUARD ya kulia, yaani upande wa dereva, imekatika na kubaki nusu
  • Mhusika wa tukio hili aajitokeza na ni jirani ambaye bado ni mgeni kidogo kwenye makazi
  • Alihamia kwenye makazi March 2019
  • Yeye anadai kuwa alikuja nyumbani wakiwa na jamaa yake usiku wakiwa na gari na kwa bahati mbaya rafiki yake huyo aligonga na kunyofoa mud-gard hiyo usiku
  • Jirani huyu anadai kuwa tukio hilo limetokea usiku wa Ijumaa ya wiki iliyopita na kwamba mwenye gari alikuwa hajaiona tu
Hata hivyo, baada ya mhusika kukumbana na hali ya dharura kwenye gari lake asubuhi hiyo na kuamua kuwa amewapelekea wataalamu ili wawezse kuiangalia, wataalamu hao walithibitisha kuwa kilichonyofoa MUD-GUARD hiyo siyo ajali ila ni hujuma

MGONGANO KWENYE MAELEZO YA JIRANI ANAYEDAI KUWA RAFIKI YAKE ALIGONGA GARI LA MHUSIKA USIKU

Ni kwamba mhusika amekuwa akiitumia gari karibia siku zote na kwa yeye (mhusika) kuiona kwa mara ya kwanza ikiwa iko kwenye ahli tofauti, ilikuwa ni asubuhi ya Alhamis wakati anatoka nyumbani kuelekea kazini. Tukkianzia tuseme Jumapili iliyopita, mhusika alienda Kanisani na gari na alilipaki nje kwa muda kwanza, upande wa sehemu ya ubavu wa mud-guard ( ambayo imekatika kwa sasa) ukiwa umeface gate la kuingila Kanisani. Kwa hiyo wakati anatoka nje kwenda kuichukua ili aiingize ndani, upande huo wa mud-guard alikuwa ameuelekea face to face.

Mbali na hayo:
  • Gari la mhusika huwa linapaki sehemu ambayo akiwa juu ghorofani huwa anaweza kuliona kila kitu kwa mbele, zikiwemo mud-guard zote za mbele
  • Kila apokuwa anataka kuondoka kwenda mahali popote pale kwa kutumia gari, huwa kila akitaka kuwasha gari ili aondoke nyumbani, cha kwanza kabisa ambacho huwa anakiona mbele yake ni mud-guard ya upande wa kulia, ambayo kwa sasa imekatika na kubaki nusu
  • Zaidi ni kuwa Jumanne ya wiki hii, aliitumia gari kwenda na kurudi kazini
  • Jumatano napo pia vile vile
Kwamba hiyo madai ya jitrani yake mhusika na ajli hiyo kwamba mhusika hakuwa ameiona gari yake siku zote hizo ikiwa tayari imeshakatika mud-guard, ni paradox. Jirani mhusika na tukio la ajli hiyo yeye anadai kuwa gari hiyo iko hivyo tangu Ijumaa ya wiki ya nyuma, kabla ya wiki ile ambayo mwenye nayo aliiona ikiwa imekatika mud-guard. Jirani anadai pia kuwa mud-guard hiyo imekatika Ijumaa wiki iliyopita, lakini hadi Alhamis ya wiki hii jirani huyo huyo alikuwa hajapata muda wa kumjulisha mwenye gari, mpaka mwenye gari alipofikia hatua ya kuiona mwenyewe siku ya Alhamis ya tarehe 29/04/2021

DHANA ALIYONAYO MHUSIKA MWENYEWE KUHUSIANA NA HAYA ALIYOYAELEZA HAPA

1. KUHUSIANA NA MAZINGIRA YA GARI HIYO NAMNA ILIVYOKUWA IMEPAKI KANISANI J2 ILIYOPITA:

  • Inaonyesha kama gari iliyokuja kupaki na kumziba mhusika kwa makusudi, ilikuwa ina kazi nyingine ya pili mbali na ile ya mwanzo ambayo mhusika tayari amesahaionhgelea
  • Kazi hiyo ilikuwa ni kuondoa access ya waumini walio wengi Kanisani hapo, kuweza kulisogelea gari hilo na kuliona kuwa lilikuwa katika hali ambayo halikuwa lina hitiafu yoyote ile
  • Kwa hiyo gari iliokuja kuliziba gari la mhusika ilikusudiwa kuondoa ushahidi kutoka kwa waumini walio wengi kwamba gari hiyo ilifika Kanisani hapo J2 hiyo ikiwa katika hali ya kawaida na pasipokuwa na hitlafu yoyote ile, na hatimaye pia kuondoka kwenye mazingira hayo ikiwa katika hali hiyo hiyo ya kawaida isiyokuwa yenye hitilafu

2. KUHUSIANA NA MAZINGIRA YA GARI HIYO NAMNA ILIVYOKUWA INAPAKI OFIFSINI KWENYE WIKI ILIYOFUATA BAADA YA J2

Kutokana na uwepo wa wiki ya maonyesho ya utafiti na hivyo kupelekea parking nyingi kuwa engaged na kutumika kwa ajli ya vibanda vya maonyesho hayo hali ambayo nayo iliyopelekea tena mhusika kuwa anapaki sehemu nyingine mbali kidogo na eneo la ofisini kwake
  • Katika siku zote tatu kuanzia J4 mpaka Alhamis, kuna uwezekano kuwa hapakuwa na office-mate yeyote wa mhusika aliyebahatika kuliona gari la mhusika kwa ukaribu
  • Na kama alikuwepo angalau office-mate aliyeweza kuliona kwa ukaribu gari hilo pengine labda kwa kupaki karibu pembeni yake, bado alikuwa hawezi kuliona kwa umakini kiasi cha kuweza kujua kuwa lina hali gani kwenye mud-guard ya mbele upande wa kulia,
  • Hii ni kutokana nature ya parking hiyo ambayo mbele yake ni ukuta ambao huwa unapelekea bampa la mbele la gari kuwa kariibu sana na ukuta
UHUSIANAO WA NAMNA GARI LA MHUSIKA LILIVYOPAKI J2 KANISANI NA NAMNA LILIIVYOKUWA LIKIPAKI OFISINI KWENYE WIKI ILIYOFUATA BAADA YA J2

Kwa hiyo scenerios za parking za gari la mhusika namna zilivyokuwa zinakuwa kuanzia siku ya J2 akiwa yupo Kanisani na hatimaye tena akiwa ofisini wiki iliyofuata:
  • Zilikuwa zinawanyima office-mates wa mhusika, nafasi ya kuliona vizuri gari lake kama ambavyoilivyo siku zote, na hivyo kuwafanya washindwe kujua kuwa lilikuwa liningia na kutoka kwenye parking likiwa liko katika hali gani
  • Vile vile uwepo wa gari iliyokuja kuliziba kwa makusudi gari la mhusika likiwa limepaki Kanisani, kulipelekea waumini walio wengi Kanisani hapo pia, kutopata nafasi ya kuliona gari hilo kwa ukaribu ambao wangeweza kuwa na ushahidi wa kujua liliingia na kutoka Kanisahi hapo likiwa na hali gani
Kwa hiyo scenerio ya kwanza J2 Kanisani ilisababishwa na gari lililokuja kuiziba gari ya mhusika ikiwa kwenye parking, wakati ile ya ofisini ilisababishwa na uwepo wa vibanda vya maonyesho ya utafiti kwenye parking

………………..inaendelea

NEXT:
KUHUSIANA NA MSIMAMIZI WA UKARABATI OFISINI
 
………………..inaendelea

KUHUSIANA NA MSIMAMIZI WA UKARABATI OFISINI


Huyu mtu kwa kujua kuwa chumba cha mhusika hakikuwa kwenye schedule ya lini kingepakwa rangi, iliyotolewa na Mkuu wa Idara:
  • Inaonyesha kama aliamua kwenda kum-prompt mhusika ili kesho yake ampeleke kwenye chumba kingine ambacho alikuwa amekiandaa, mhusika afanye maandalizi ya darasa lake la jioni akiwa humo, possibly peke yake kwa sababu wengine karibia wote walikuwa kwenye monyesho ya wiki ya utafiti
  • Kwa hiyo mtu huyu anaonyesha kama alitamani mhusika awe kwenye chumba peke yake katika muda ambao wengine wote wangekuwa wako kwenye monyesho ya utafiti nje ya jengo hilo
  • Inaonyesha pia kama “mate” aliyekuja kumupa mhusika ofa ya nafasi ya kipindi chake cha Alhamis, alikuwa na mawasiliano na msimamizi wa ukarabati wa kupaka rangi
Kwa hiyo J5 umeme ulikatika ili mhusika asipate nafasi ya kufanya matayarisho J5 hiyo na badala yake afanye kesho yake Alhamis possibly akiwa kwenye chumba fulani peke yake, ukarabati wa rangi ukiwa unaendelea ofisini kwake. Umeme unaweza kuwa ulikatika kwa kusudi pia la kum-cover “mate” ili asionekane na camera wakati alipofika ofisini kwa mhusika kwa nia ya kumpa ofa ya muda wa kipindi cha Alhamis, assuming camera hizo huwa hazina betri za back-up

HUKU NYUMBANI NAKO AMBAKO JIRANI WA MHUSIKA ALIKUWA AMEKIRI KUSABABISHA UHARIBIFU KWENYE GARI LA MHUSIKA AKIDAI KUWA NI AJALI

Jirani huyu alidai kuwa uharibifu huo ameusababisha kwenye gari la mhuska tangu Ijumaa ya wiki iliyopita, akionyesha kuwa mhusika alikuwa na wiki nzima yote akitembelea gari hilo bila kuuona uharibifu huo uliokuwa umefanyika, kitu ambacho hakikuwa kweli
  • Ikumbukwe pia kuwa, jirani huyu vile vile, hakuwa amechukua hatua yoyote ile ya kuhakikisha kuwa anamjulisha mhusika kilichotokea, pamoja na kudai kuwa tukio lilikuwa linakaribia kupitisha wiki nzima tangu kutokea kwake
  • Zaidi ni kuwa kipande cha mud-guard ya gari la mhusika klichokuwa kimekatika, jirani alikuwa amekitupa nje nyuma ya jengo badala ya kukitunza kwa kusudi la kuja kumpatia mwenye gari baadaye
Hapa inaonyesha wazi kabisa kuwa jirani huyu alikuwa amejipanga kwa ajili ya kumughafirisha mhusika kwa makusudi, ili ande ofisini akiwa ameghafirika na baada ya kufika huko, aanze kufanya kazi akiwa bado ameghafirika hivyo hivyo, huku akiwa yuko kwenye chumba peke yake,humba alichopewa na msimamizi wa ukarabati wa jengo

Mpaka hapa, inaonyesha kama kulikuwa na mawasilano kati ya msimamizi wa ukarabati wa jengo na jirani aliyehujumu gari la mhusika usiku wa kuamkia Alhamis

Otherwise, plan B inaweza kuwa mhusika alitakiwa asiende moja kwa moja ofisini Alhamis hiyo na badala yake aanzie kwanza kwenye matengenezo ya gari lake liliokuwa limeharibiwa, kitendo ambacho. hawezi kujua, akina nani wangeweza kumfuata huko na kwa kusudi gani, kama angeenda kwenye matengenezo ya gari lake.

In any case, inaonyesha kama mhusika wa ukarabati wa ofisini alijua pia kuhusiana na tukio lililotokea kwenye gari la mhusika usiku wa J5 kuamkia Alhamis

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Yeye mhusika kwa mtizamo wake mpaka muda huu, anaona dhahiri kabisa kuwa kinachopelekea haya yote kuendelea kutokea kwake na kwa kasi ya ajabu namna hii, KINASABABISHWA NA MASLAHI YAKE YA SIKU NYINGI ANAYOENDELEA KUDAI OFISINI KWAKE NA AMBAYO HAJALIPWA HATA SENTI MOJA MPAKA MUDA HUU
 
UPDATE: SATURDAY 01 MAY 2021

KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A)
PAMOJA NA VIONGOZI WENGINE WOTE WA KANISA A

KUHUSIANA NA SWALA LA NABII ALIYESIMAMA MADHABAHUNI MBELE YA WAUMINI WOTE NA KUWATOLEA MATUSI MAKALI YASIYOSTAHILI KUTAMKWA NA MTU ALIYESIMAMA MADHABAHUNI, AKIWATUHUMU WAUMINI WOTE KWA KUWAMMBIA “MNAWAGEUZA WAKE ZENU NYUMA”


Hapo awali, mhusika ameshaongelea swala la nabii (ambaye pia huwa anaonekana kama ni chizi, ila siyo chizi, ana akili timamu) aliyewahi kutumwa na KM-A na kusimama madhabahuni akiongea matusi yasiyostahili kutamkwa na mtu yeyote mwenye akili timamu, mbele ya hadhira ya waumini akiwatuhumu kwa kuwaambia kuwa “MNAWAGUEZA WAKE ZENU NYUMA”

Ukiondoa kiongozi mmoja ambaye kwa wakati huo alikuwa yupo masomoni Dodoma, hawa wengine wote, yaani KM-A pamoja na viongozi wengine wote wa Kanisa A, wanashauriwa wasimame madhabahuni na kuwataka radhi waumini kwa kuwatolea matusi yasiyostahili kutamkwa mbele ya hadhira ya waumini, tena na mtu ambaye amepewa ridhaa ya kusimama kwenye madhabahu ya Bwana

Maneno haya hayastahili kutamkwa hata kwenye hadhira nyingine yoyote ile isiyokuwa ya waumini kwa sababu hata kwenye kundi la walevi wanaokunywa pombe kwenye bar mtu mwenye akili timamu hawezi kuongea maneno hayo

Viongozi hawa wanashauriwa wawatake radhi waumini wote wa Kanisa A na pia wafanye toba na kuomba rehema kwa Mungu, kabla mhusika hajaja na orodha kamili ya mambo mengine yote ambayo nayo pia vile vile wanatakiwa wafanye hivyo

Orodha hiyo itafuata baadaye


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Uzi pekee ambao wadau hawalalamiki kuhusu muendelezo wa kisa, kama kule kwa kina kumbu na kanya na visa vya the bold. Kitu hii ngumu kumeza wadau wanapita kimya kimya
 
Uzi pekee ambao wadau hawalalamiki kuhusu muendelezo wa kisa, kama kule kwa kina kumbu na kanya na visa vya the bold. Kitu hii ngumu kumeza wadau wanapita kimya kimya
Ni kwa sababu kinachoongelewa kwenye uzi huu ni ukweli ambao mara nyingi mashahidi wake wanakuwa ni kundi la watu ambao idadi yao inakuwa aidha iko kwenye makumi au mamia ya watu. Ushahidi wauzi huu hauko kwa yule anayeleta uzi huu tu, bali kwa watu wengine wengi pia. Ubarikiwe sana kwa kuliona hilo
 
UPDATE: SATURDAY 01 MAY 2021

KITU CHA MUHIMU SANA AMBACHO WATU INABIDI WAKUMBUKE KUHUSIANA NA MISHAHARA KIPINDI CHA HAYATI JPM ANAINGIA MADARKANI


Hayati JPM hakuwahi kuongeza mishahara ila naye pia aliwahi kutoa punguzo la asilimai 1% kwenye kodi ya mishahara

Mama naye tena amekuja kutoa punguzo la asilimia moja (1%) vile vile

Kwa hiyo mpaka muda huu punguzo la kodi kwenye mshahara ni asilimia 2% ya gross pay

Hii inamaanisha kuwa kabla ya punguzo la mama, tulikuwa tunaendelea na punguzo la hayati JPM ambalo nalo pia lilikuwa asilimia moja kwa maana kuwa

  • Mtumishi aliyekuwa anapata Gross Pay ya TZS X, alikuwa anakatwa kodi kwenye kutoka Gross Pay ya TZS 0.99X
  • Punguzo hili la awali ndilo lililotokana na Hayati JPM wakati anaingia madarakani
Hivyo basi, baada ya punguzo la mama, mtu mwenye Gross Pay TZS X anatakiwa kukatwa kodi kwenye kiasi ambacho ni TZS 0.98X na si kwenye TZS 0.99X tena kwa sababu punguzo hili lililopelekea kodi ikatwe kutoka kwenye TZS 0.99X ndiyo lililokuwepo wakati wote tangu kipindi hayati JPM alipoingia madarakani

Kutokana na hali hiyo basi, kwa sasa hivi tunatakiwa kutoka kwenye kodi inayokatwa kutoka kwenye gross pay ya TZS 0.99X kwenda kwenye kodi itakayokatwa kweye gross pay ya TZS 0.98X

Kwa kifupi hali ilivyo kwa sasa ni kama ifuatavyo

  • Kiasi kilichokuwa kinakatwa kodi wakati wa JPM ni TZS 0.99X
  • Kiasi kitakachokuwa kinakatwa kodi muda wote ambao mama atakuwa anajitayarisha kwa ajili ya kuongeza mishahara kitakuwa ni kutoka kwenye TZS 0.98X
Kwa gross pay ambayo ni ya TZS X na ambayo haina punguzo lolote au msamaha wowote, kodi zote za mishahara ya aina hiyo ziko kwenye jedwali hili hapa kwenye website ya TRA


au hapa


Kwa hiyo punguzo la sasa limepelekea punguzo lote la kodi kuwa ni asilimia 2% kwa sabau tayari tulikuwa na punguzo la asilimia 1% kutoka kwa JPM

Nimeandika haya hapa kwa sababu kuna baadhi ya wajanja ambao huwa wanacheza na punguzo hili, nitawajulisha huko mbele ya safari nikishakuwa na ushahidi wa kutosha. Nasema hivi kwa sababu tayari najua kitu fulani muhimu kuhusu hili

NB:
Hizi taarifa zina apply kwa wale tu ambao mshahara wao unazidi TZS 520,000/= kama jedwali la mamlaka ya mapato linavyoonyesha kwa sasa
 
KIONGOZI MKUU WA KANISA A (KM-A) PAMOJA NA VIONGOZI WENGINE WOTE WA KANISA A

KUHUSIANA NA SWALA LA NABII ALIYESIMAMA MADHABAHUNI MBELE YA WAUMINI WOTE NA KUWATOLEA MATUSI MAKALI YASIYOSTAHILI KUTAMKWA NA MTU ALIYESIMAMA MADHABAHUNI, AKIWATUHUMU WAUMINI WOTE KWA KUWAMMBIA “MNAWAGEUZA WAKE ZENU NYUMA”


Hapo awali, mhusika ameshaongelea swala la nabii (ambaye pia huwa anaonekana kama ni chizi, ila siyo chizi, ana akili timamu) aliyewahi kutumwa na KM-A na kusimama madhabahuni akiongea matusi yasiyostahili kutamkwa na mtu yeyote mwenye akili timamu, mbele ya hadhira ya waumini akiwatuhumu kwa kuwaambia kuwa “MNAWAGUEZA WAKE ZENU NYUMA”

Ukiondoa kiongozi mmoja ambaye kwa wakati huo alikuwa yupo masomoni Dodoma, hawa wengine wote, yaani KM-A pamoja na viongozi wengine wote wa Kanisa A, wanashauriwa wasimame madhabahuni na kuwataka radhi waumini kwa kuwatolea matusi yasiyostahili kutamkwa mbele ya hadhira ya waumini, tena na mtu ambaye amepewa ridhaa ya kusimama kwenye madhabahu ya Bwana

Maneno haya hayastahili kutamkwa hata kwenye hadhira nyingine yoyote ile isiyokuwa ya waumini kwa sababu hata kwenye kundi la walevi wanaokunywa pombe kwenye bar mtu mwenye akili timamu hawezi kuongea maneno hayo

Viongozi hawa wanashauriwa wawatake radhi waumini wote wa Kanisa A na pia wafanye toba na kuomba rehema kwa Mungu, kabla mhusika hajaja na orodha kamili ya mambo mengine yote ambayo nayo pia vile vile wanatakiwa wafanye hivyo

Orodha hiyo itafuata baadaye
 
UPDATE: SUNDAY 02 MAY 2021

KIONGOZI MKUU WA “KANISA A” NA VIONGOZI WENZAKE WOTE


KUHUSIANA NA USHAURI KWA VIONGOZI HAWA KUFANYA TOBA IKIWA NI PAMOJA NA KUOMBA MSAMAHA KWA MUNGU KWA YALE WALIYOMKOSEA (KAMA WANAONA KUWA YAPO WALIYOMKOSEA MUNGU)


Mhusika anazidi kuwashauri viongozi hawa kuwa waache kuendelea kutengeneza mazingira ya kutaka kujikosha kwa waumini baada ya mambo waliyokuwa wanayafanya nyuma ya pazia wakijua kuwa hayatajulikana, kuwa yamejulikana ikiwa ni tofauti kabisa na matarajio yao ya awali

In essence, mhusika anawashauri VIONGOZI HAWA wafanye toba hiyo ikiwa ni pamoja na kuomba msamaha, mbele za Mungu na mbele za waumini wote wa Kanisa A, kwa yale yote ambayo:
  • wanayajua nafsini mwao pekee, kwa ujumla wao kama kundi moja, na ambayo waumini wa Kanisa A na watu wengine wote popote pale, hawayajui
  • Kila kiongozi wa Kanisa A anayajua yeye mwenyewe peke yake nafsini mwake kama mtu binafsi, ilhali watu wengine wote wakiwemo waumini na viongozi wenzake, hawayajui
Wanashauriwa wafanye toba ya aina hii, na kuomba msamaha kwa Mungu, pamoja na kuomba msamaha mwingine tena kwa waumini wote wa Kanisa A vilevile; na si kuanza kucheza na ushahidi sahihi wa uliopita nyuma na kuanza kutaka kuufanya uonekane kama ni uongo katika mazingira ya sasa.

Actually, kama wanakiri situation yao iko hivyo mpaka muda huu, kwamba wameanza tena kufanya manipulation ya matukio yaliyopita ya ajabu kwa nia ya kujikosha kwa kutengeneza picha nyingine ya kuyafanya matukio hayo yaonekane kuwa yalikuwa ni ya kawaida, hili nalo ni kosa jingine tena ambalo kwalo wanatakiwa pia kufanya toba na kuomba msamaha mwingine kwa Mungu

Swala la msingi analojaribu kuwashauri na kulileta kwao mhusika ni kwamba, je, wao wanachokijua nafsini mwao ambacho watu wengine hawakijui, ni nini?

Kuna mtu aliwahi kusema kuwa “MAN’S REAL CHARACTER IS WHAT HE WOULD DO IF HE KNEW HE WOULDN’T BE FOUND”

Yale ambayo viongozi hawa huwa wanayafanya wakiwa wanajua kuwa hawatajulikana, ni yapi, ukiachilia mbali yale ambayo yameshajulikana? Hata hivyo wanatakiwa wafanye toba na kuomba msamaha kwa mambo yote, yaani kwa yale ambayo tayari yameshajulikana na yale ambayo bado hayajajulikana

Kwa hiyo hayo ndiyo ambayo viongozi hawa wanashauriwa wafanye toba ikiwa ni pamoja na kuomba msamaha kwa Mungu. Zaidi wanatakiwa vile vile wasimame madhabahuni kuomba msamaha kwa waumini wote wa Kanisa A, assuming tu wanakubali kuwa yapo mambo yasiyompendeza Mungu, waliyoyafanya; yaani yale wanayoyajua wao tu, wakati wengine hawayajui mithili ya wanavyoyajua wao wenyewe

Zaidi ya hapo, baada ya kuwa wamefanya toba na kuomba msamaha, wajitahidi kuyaacha kabisa milele, iwapo tu utumishi wao unatokana na kuitwa na Mungu; na iwapo hawakuitwa na kwamba hawawezi kuyaacha, basi wale wasioweza kuyaacha waipishe madhabahu ya Bwana. Vinginevyo kwa wasioweza ku-comply, radhi ya Bwana iwe juu yao kuanzia sasa na hata milele


MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom