#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA INJINI ILIYOBADILISHWA GARI LA MHUSIKA LIKIWA NYUMBANI KWENYE PARKING
Mafundi wamemshauri mhusika aichomelee Radiator iliyowekwa kwenye gari hiyo. Nadhani ili iwe ushahidi kwa sababu ile ya mwanzo walikuwa wanaifahamu.
Kwa hiyo ilibidi mhusika aambatane na mmojawapo wa mafundi kwenda kuchomelea Radiator hiyo pale Mwenge. Aliichomelea siku ya Ijumaa ya tarehe 30/07/2021 majira kama ya saa 8:00 kamili mchana.
Vile vile wakati wanachomelea Radiator hiyo, wakiwa pamoja na fundi, ndiyo pale walipobaini kuwa Injini ilikuwa bado inahitaji COOLANT zaidi, ile waliyokuwa wameweka awali ilikuwa haitoshi. Walifanya uamuzi wa kununua lita zingine mbili, moja ikanywewa pale pale na kuisha, na nyingine tena ikaendelea kunywewa kidogo kidogo kadri muda ulivyokuwa unaenda.
Pale Victoria Service Station mhusika alinunua lita 10 za coolant, na pale Mwenge walipokuwa wameenda kuchomelea Radiator , alinunua lita 2. Kwenye lita hizi zote sasa hivi anayo lita moja imebaki store.

UP NEXT
SWALI ………“HAPA LEO KUNA MEZA YA BWANA?”…………; stay tuned
 
wagonjwa wa,
1.KISUKARI
2.PRESHA
3.MOYO
4.SARATANI
5.UKIMWI
wagonjwa wa maradhi hayo wanapaswa wachue tahadhari sana maana Corona itatumaliza sana.
 
UPDATE: 04 AUGUST 2021

“HAPA LEO KUNA MEZA YA BWANA?”


Kwenye mada hii fupi, mhusika anawaomba ku-refer post hii hapa #618
  • Swali hili liliulizwa na mgeni aliyefika Kanisa A Ibada ikiwa inaendelea, siku ya J2 ya Pasaka ya tarehe 04/04/2021
  • Mgeni alifika Kanisani hapo na kukaa karibu na mhusika, na hatinmaye aliondoka baada ya kuwa ameuliza swali hilo
Aliyoyasema mhusika kuhusiana na mgeni huyu bado hayakanushi isipokuwa, baada ya matukio kadhaa kuwa yametokea hivi karibuni, mhusika amepata mambo ya nyongeza kadhaa kama yafuatavyo (haya ni ya nyongeza katika yale aliyoyawahi kuyasema awali kuhusiana na mgeni huyu kwenye post ya awali) kwamba INAONYESHA KAMA
  • Mgeni huyu alikuwa na taarifa rasmi kutoka Kanisa A kwamba J2 ya Pasaka kungekuwepo na Meza ya Bwana
  • Mgeni huyu alikuwa amealikwa special kufika siku hiyo kwa ajili ya jambo hilo tu
Hiyo Meza ya Bwana ilikuwa ni kwa ajili ya kuficha tukio ambalo tayari lilikuwa limeshafanyika kwenye gari la mhusika. Uhakika wa kiroho mhusika anao kuwa kinachoitwa Meza ya Bwana Kanisa A huwa kina manuio ambayo yanakuwa yamekusudiwa kumficha taarifa muhimu za kwenye ulimwengu wa roho, muathirika wa tukio fulani au mlengwa wa mashambulizi ambayo huwa yanafanyika Kanisani hapo

Kwa hiyo, inaonyesha kama baada ya zoezi la ku-swap engine ya gari la mhusika kuwa limekwenda sawia, plan iliyokuwepo sasa ni kupanga uwepo wa Meza ya Bwana Kanisani ili kama ikitokea mhusika akashiriki tukio hilo, basi asiweze kabisa kujua nini ambacho tayari kimeshafanyika kwenye gari lake
  • Inaonyesha kama mpango huo wa Meza ya Bwana J2 ya Pasaka ungeweza, kumstua, kwa sababu waliokuwa wanapanga wanajua siku zote kuwa “mhusika huwa anajua siku zote kuwa Meza ya Bwana Kanisa A mara zote huwa inamaanisha nini”
  • Kwa hiyo kilichotokea ni kwamba Meza ya Bwana hii iliahirishwa na pasipo mgeni huyu kupewa taarifa za kuahirishwa huko kwa sababu mara zote mambo ya aina hii huwa yanafanyika kwa tahadhari kubwa muno
BAADA YA WIKI KADHAA KUPITA TANGU KUAHIRISHWA KWA MEZA HIYO YA BWANA….

J2 moja ndiyo akasimama Kiongozi X na kutangaza kuwa “J2 ijayo kutakuwa na Meza ya Bwana
  • J2 hiyo husika na Meza ya Bwana ilipofika, ushirika huo mtakatifu haukufanyika
  • Vile vile halikutolewa tangazo lolote la kwa nini ushirika huo mtakatifu uliahirishwa J2 hiyo
  • J2 hiyo ilipopita, J2 iliyofuata ndiyo kukawa na Meza ya Bwana
  • Tangazo hili nalo pia halikuwa limetolewa.
Kwa hiyo hapakutolewa taarifa zozote zilizohusiana na swapping ya ushirika mtakatifu huu kutoka J2 ya nyuma kwenda J2 ya mbele iliyokuwa inafuata kwa maana kuwa swapping ya ratiba ilifanyika hivyo pasipo kuambatana na tangazo lolote

Kwa hali hiyo basi ni kwamba tangazo la kwanza la Meza ya Bwana lilifanyika kwa utaratibu uliokuwa unaonyesha usiri wa aina fulani, au timing ya kitu fulani ambacho waandaaji hawakutaka kijulikane

Huo ukawa ushirika mtakatifu wa kwanza baada ya Pasaka ya mwaka huu 2021

WIKI KADHAA TENA MBELE, LIKATOLEWA TANGAZO LA PILI LA MEZA YA BWANA

Hili lilitolewa J2 ya tarehe 17/07/2021 na ushirika huo kufanyika J2 iliyofuata ya tarehe 24/07/2021 kama ilivyokuwa imetangazwa

  • Hapa swapping haikufanyika, ratiba ilifuatwa
  • Tangazo hili lilitolewa na Kiongozi Mkuu
  • Kwenye shirika zote mbili hizi, mhusika hakushiriki Meza hizo za Bwana,
HITIMISHO

Kwa kifupi tu ni kwamba tangu arudi kutoka Uhamishoni Kanisa B, April 2017, ushirika mtakatifu Kanisa A umeshafanyika mara 4 au mara 5 hivi

  • Mara mbili (2) au mara tatu (3) ushirika huo ulifanyika mwaka 2018 na kwa kupishana wiki chache sana kutoka ushirika mmoja kwenda mwingine
  • Kwa hali hiyo basi, mwaka wote 2019 hakuna Ushirika Mtakatifu wowote uliowahi kufanyika Kanisa A
  • Hali kadhalika, mwaka wote uliopita wa 2020, hakuna Ushirika Mtakatifu wowote uliowahi kufanyika kanisani hapo
  • Mwaka huu wa 2021 ndiyo umeshafanyika tena mara mbili, na kwa kupishana wiki chache sana na sawi kabisa kama ilivyokuwa kwa Ibada zile zilizowahi kufanyika mwaka 2018
Mbali na mhusika kutoshiriki Ibada za hivi karibuni mwaka huu, vile vile hakuwahi kushiriki zile zilizowahi kufanyika mwaka 2018

Ibada pekee za aina hii alizowahi kushiriki ni zile zilizowahi kufanyika mwaka 2012, mwaka mmoja baada ya kuwa ameokoka na kuwa mshiriki wa Kanisa A

IBADA ZINGINE ZA USHIRIKA MTAKATIFU ZILIZOWAHI KUFANYIKA HUKO NYUMA KWENYE MIAKA KATI 2011 NA 2017 KABLA MHUSIKA HAJAHAMIA KANISA B

Kama alivyosema hapo juu, kati ya May 2011 na June 2014, Ibada za ushirika mtakatifu ziliwahi kufanyika mara moja (1) au mara mbili (2) tu na Ibada zote hizi mhusika alishiriki Kanisani hapo kwa mara ya kwanza nay a mwisho

Ibada hizi zilifanyika ndani ya mwaka mmoja wa mwaka 2012. Kama haukuwa 2012, basi itakuwa uliofuata wa 2013

Kwa hali hiyo basi, kumbukumbu zake mhusika zinamwonyesha kuwa baada ya 2012 ((au 2013), hapakkuwahi tena kufanyika ushirika mtakatifu Kanisa A hadi April 2017 muda ambao mhusika alihama na kwenda Kanisa B

Kama kuna Ibada zingine za aina hii ziliwahi kufanyika Kanisa A tofauti na hizi alizozitaja hapa, basi zitakuwa zilifanyika kati ya May 2014 na March 2017 muda mabo mhusika hakuwepo tena Kanisa A

MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT:

SAFARI ZA KWANZA KABISA ALIZOWAHI KUFANYA MHUSIKA NA ZILIZOANZA KUASHIRIA MAZINGIRA HATARISHI PINDI ANAPOKUWA SAFARINI


Safari hizi ziko nne,(ukiondoa zingine ambazo tayari ameshaziongelea humu) ila hapa ataongelea mbili au tatu, ambazo mazingira ya uhatari wake yanaweza kueleweka vizuri na kila msomaji

  • Zilikuwa ni safari za ndani ya nchi, kwenye maeneo ambayo kila mtanzania anayafahamu
  • Alizifanya kwa kutumia gari la ofisi, akiwa pamoja na watu wengine, baadhi ya safari akiwemo Dereva na baadhi yake safari hizi, waliambatana pia na Boss wake (tumwite Boss X),
  • Boss X ni mtaalamu wa matetemeko na pia mkuu wa kitengo cha hicho ambacho amekuwa akikiongoza tangia mwaka 2003 mara tua aliporudi kutoka masomoni nje ya nchi, nje ya Afrika
…………………inaendelea
 
SAFARI ZA KWANZA KABISA ALIZOWAHI KUFANYA MHUSIKA NA ZILIZOANZA KUASHIRIA MAZINGIRA HATARISHI PINDI ANAPOKUWA SAFARINI

………………inaendelea

SAFARI YA KUONDOA VITUO VYA MATETEMEKO YA ARDHI MAENEO YA ENGARESERO, KETUMBEINE NA ENGARUKA MKOANI ARUSHA DESEMBA 2008

MAELEZO YA UTANGULIZI


Safari ya kwanza aliyowahi kubaini kasoro za wazi kabisa za kiusalama ilikuwa ni ya kuchukua data za matetemeko ikiwa ni pamoja na kuondoa vituo vya matetemeko ya ardhi kwenye maeneo hayo aliyoyataja hapo juu

Safari hii ilihusisha pia ukaguzi kwenye vituo vingine vilivyokuwa vipo Kibaya (Kiteto), Kondoa, Babati, Manyoni na Singida

Hivi vya kundi hili la pili vilikuwa vinahitaji ukaguzi tu ikiwa ni pamoja na kuchukua data kuzpeleka ofisini na kuanza kuzifanyia kazi

Vile vilivyokuwa Engaresero, Ketumbeine na Engaruka, vilikuwa vinahitaji kutolewa kwa sababu vyenyewe vilikuwa ni vya muda tu. Viliwekwa Julai 2007 na kufikia mwaka Desenba 2008 vilikuwa vinatakiwa kuwa dismantled

Kwa hiyo hii ndiyo ilikuwa safari ya kwanza kwa mhusika kusafiri kikazi na kubaini kasoro kadhaa na za wazi kwenye usalama wake
  • Safari hii ilihusisha watu watatu yaani mhusika, dereva (tumwite Dereva X) na Boss X
  • Walisafiri kwa kutumia gari la ofisi lenye namba za usajili wa SU
  • Ilikuwa ni safari ya tatu ya kikazi ya mhusika (ndani ya nchi) tangu aajiriwe, na ilikuwa mara yake yake YA PLI kusafiri kikazi pamoja na Boss X na mara yake YA KWANZA kusafiri na Dereva X
  • Vituo hivi ambavyo kwa wakti huo vilikuwa vinahitajika kuondolewa kwenye maeneo hayo tajwa, viliwekwa kwa mara ya kwanza Julai 2007
  • Watu waliohuiska kuviweka vituo hivi walikuwa ni watatu, Dereva X na Boss X na Staff mwingine ( tumwite Staff X) kutoka idara nyingine
  • Wao mhusika, Dereva X na Boss X walikuwa wanatoka Idara moja wakati Staff X yeye alitokea idara nyingine
Kwa hiyo kipindi vituo hivyo vitatu vilipokuwa vinawekwa, mhusika naye alikuwa amepangiwa na Boss X, kufanya kazi kwenye vituo vingine vya aina hiyo hiyo ambavyo navyo pia viliwe kwa mara ya kwanza kwenye maeneo yafuatayo ndani ya nchi
  • Geita mjini
  • Biharamulo mjini
  • Muleba mjini
  • Bukoba mini
  • Kahama mjini
  • Kibondo mjini-Kigoma
  • Kasulu mjini- Kigoma
  • Makere centre (centre ilyopo katikati ya Kibondo na Kasulu)
  • Kigoma mjini
Kwenye safari hii mhusika alikuwa ameambatana na watu kadhaa, wawili wakiwa ni wageni kutoka nje ya nchi na mmoja alikuwa ni mwenyeji mwanafunzi wa ngazi za juu kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika, pamoja na Dereva (tumwite Dereva Y) ambaye huyu yeye alikuwa ni wa kukodi

Gari walilokuwa wanatumia halikuwa la ofisi, lilikuwa la mtu binafsi
  • Mwanafunzi wa ngazi za juu alikuwa anasoma nje ya nchi, na gari hili lilinuliwa jipya na mwalimu wa mwanafunzi huyo
  • Dereva naye pia alikuwa amekodiwa na mnunuzi wa gari hilo
  • Vituo hivi vilikuwa ni vya mradi wa usjhirikiano kati ya nchi mbili, Tanzania na nchi ile kule alikokuwa anasoma mwanafunzi wa ngazi za juu
  • Mwanafunzi wa ngazi za juu alikuwa ni mtanzania
  • Wageni wale wawili walikuwa wametokea kule ambako anaiishi mwalimu wa mwanafunzi wa ngazi za juu, au kule ambako mwanafunzi huyu wa ngazi za juu alikuwa anasoma
  • Gari llilikuwa jipya (Brand New) na lilikuwa limesajliwa kwa namba za hapa nchini Tanzania
Kwa hiyo mhusika wakati yuko na hawa watu wakiweka vituo vya muda kwenye sehemu hizo alizozitaja, Boss X, Staff X na Derva X nao pia kwa wakati huo huo, walikuwa wanafanya kazi ya kuweka vituo vingine vipya ila navyo vya muda pia, kwenye maeneo ya Engaruka, Ketumbeine na Engaresero

Wakati huo, sehemu hizi tatu zote hazikuwa na mawasilano ya simu
na ili uweze kuzifikia ukiwa unatokea Arusha, unatakiwa kwenda mpaka Longido, halafu unaingia kushoto porini na baada ya kuwa umezipita utaenda tena kutokea Mto wa Mbu. Hapo ndiyo unaweza tena kupata tena mawasiliano ya simu ikiwa ni pamoja na barabara ya lami inayotoka mto wa mbu kwenda Arusha
……………..inaendelea
 
SAFARI YA KUONDOA VITUO VYA MATETEMEKO YA ARDHI MAENEO YA ENGARESERO, KETUMBEINE NA ENGARUKA MKOANI ARUSHA DESEMBA 2008

………………inaendelea


Kwa hiyo makundi haya mawili ya vituo hivi vya matetemeko yote yaliwekwa Julai 2007 na mwaka mmoja na nusu baadaye, yaani Desemba 2008, vituo vitatu vilivyotajwa hapo juu, ikabidi viwe dismantled. Safari hii sasa ya kuondoa moja kwa moja vituo hivi ikabidi ifanyike swapping ya staff; Staff X akahamia huku kwenye vituo vipya alivyowahi kushriki mhusika kuviweka mnamo Julai 2007 na mhusika naye akahamia kwenye hivi vitatu vilivyokuwa vinahitaji kuondolewa, ikiwa ni pamoja na vile vya kudumu vilivyokuwepo tangu awali
  • Hata hivyo, vituo vile mhusika alivyokuwa ameshiriki kuviweka mnamo Julai 2007, navyo pia vilikuwa ni vya muda ila muda wake ulikuwa ni wa miaka mitatu (3)
  • Hivi vingine alivyokuwa ameshiriki kuviweka Staff X, vyenyewe vilikuwa ni vya muda wa mwaka mmoja na nusu
Kwa hiyo baada ya mwaka mmoja na nusu kupita, Staff X akahamia kwenye vituo vile vya miaka mitatu, kwa ajili ya ukaguzi na kuchukua data, huku mhusika akihamia kwenye hivi vitatu vya Arusha pamoja na vingine vya kudumu alivyovitaja ambavyo vyenyewe vimekuwepo siku zote. Kwa hiyo jukumul a mhusika na wenzake kwa wakati huo lilikuwa ni
  • Kuondoa kabisa moja kwa moja vituo vya Engaresero, Ketumbeine na Engaruka ambavyo muda wake ulikuwa umekwisha
  • Kuendelea na ukaguzi pamoja na ukusanyaji data, wa vituo vingine vilivyokuwa vinaendelea kubaki ambayo vyenyewe vilikuwa ni vya kudumu. Vituo hivi vilikuwa ni Babati, Kiteto, Kondoa, Singida na Manyoni
Kwa hiyo kuanzia Desenba 2008, Staff X na mhusika wakawa wamefanyiwa swapping ya aina hiyo, kwa maelekezo ya Boss X

Mhusika aliendelea na kazi ya kukagua na kukusanya data za matetemeko ya vituo hivyo tajwa , (ikiwa ni pamoja na kuja kuzichakata ofisini) tangu kipindi hicho hadi mnamo May 2012 alipoomba kuruhusiwa kutokusafiri tena (ndani na je ya nchi); ila hata baada ya pale, bado aliendekea na kazi ya kuchakata data hizo za matetemeko hadi mwaka 2019 ( mwaka juzi) kwa sababu moja kwamba pamoja na yeye kutokuwa na uwezo wa kusafiri tena, vituo hivyo viliendelea kuwepo na bado walikuwepo watu wengine waliokuwa wakisafiri kwenda kuchukua data hizo na kumletea ofiisini ili aendelee kuzichakata

……………inaendelea
 
SAFARI YA KUONDOA VITUO VYA MATETEMEKO YA ARDHI MAENEO YA ENGARESERO, KETUMBEINE NA ENGARUKA MKOANI ARUSHA DESEMBA 2008

………………inaendelea

BAADA YA SWAPPING KUWA IMEFANYIKA KATI YA STAFF X NA MHUSIKA: SAFARI YA KWANZA YA MHUSIKA KUELEKEA KWENYE VITUO VILIVYOKUWA ENGARESERO, KETUMBEINE NA ENGARUKA


Safari hii ilikuwa inahusisha pia vituo vingine vile ambavyo ni vya kudumu (Manyoni, Singida, Babati Kondoa na Kiteto). Walisafiri mhusika, Derva X na Boss X. Ilikuwa ni mara ya kwanza mhusika kusafiri na Dereva X, na mara ya pili kusafiri na Boss X. Mara ya kwanza mhusika kusafiri na Boss X ilikuwa March 2007. Ilikuwa ni safari ambayo walienda kukagua kituo cha matetemeko kilichokuwa Mbeya, Panda Hill. Walikuwa ni kundi la watu lenye magari mawili, moja likiwa la Serikali lililokuwa limekuja na watu wa kutoka Dodoma

Kwenye msafara huo, Derva X naye pia alikuwepo ila mhusika yeye alipanda gari la watu wa Dodoma. Dereva X yeye alibeba mtu mmoja tu kwenye gari lake

Details zaidi za safari hii nazo zitawajia baadaye, panapo nafasi

KABLA YA KUANZA SAFARI HIYO YA DESMBA 2008: WAKIWA BADO WAKO OFISINI SIKU HIYO

Ilikuwa ni siku ya J3, mhusika akawasili ofisini asubuhi saa 2:00 kama ilivyo kawaida siku zote

Akiwa yuko ndani ofisini, Dereva X aliingia ofisini na kumjulisha mhusika kuwa asubuhi hiyo kulikuwa na safari ya kwenda Arusha, Boss X amesma hivyo

  • Mhusika hakuwa amepewa taarifa kuwa kutakuwa na safari siku hiyo
  • iHat hivyo siku kadhaa nyuma wakiwa na Boss X somewhere walipokuwa wamekutana kwenye veranda ya ghorofa ya pili, Boss X alimjulisha mhusika juu ya swapping aliyokuwa ameifanya; kwamba kwenye safari ijayo, Staff X atakwenda kwenye vituo alivyokuwa anaenda mhusika na mhusika naye atahamia kwenye vile alivyokuwa anaenda Staff X
Hizi taarifa ndiyo alikuwa amepewa mhusika hadi siku hiyo aliyojulishwa kuwa kuna safari kwenda Arusha

Mhusika hakupata shida na hilo, ana tabia moja huwa na kiguu na njia sana. Ni kati ya watu wanaopenda kusafiri safari sana utafikiri ni mtoto mdogo

Kwa hiyo alichofanya siku hiyo muda huo huo alirudi nyumbani na kwenda kupanga baadhi ya nguo alizohitaji, hazikuwa nyingi kwa sababu safari ilikuwa ni ya wiki moja tu. Alipofika nyumbani alichukua nguo za kutosha, akaweka kwenye sanduku dogo, na wakarejea tena ofisini wakiwa wawili na dereva

Mpaka muda huu, mhusika na Boss X walikuwa hawajaonana

BAADA YA MHUSIKA KURUDI KUTOKA NYUMBANI AKIWA ANA NGUO TAYARI KWA AJILI YA SAFARI
  • Ofisini alimkuta mwanafunzi wao wa ngazi za juu, akiwa amefika muda mfupi
  • wakati mhuiska anarudi nyumbani kwenda kuchukua nguo kwa ajili ya safari, mwanafunzi huyu alikuwa bado hajafika ofisini
Wakati huo Dereva X yeye alikuwa yuko nje kwenye parking akishughulika na kuweka sawa mizigo ya safari kwenye gari lake

  • Baada ya muda kitambo, Boss X naye aliingia ofisini huku akimlalalamikia sana mhusika kwamba yeye anasahau sana, na kwamba amechelewesaha safari ya kuelekea Arusha siku hiyo baada ya kuwa amesahahu kuwa kulikuwa na safari hiyo
  • Boss X alienda mbele zaidi kwa kumwambia mwanafunzi wa ngazi za juu huku akimwita jina “FULANI (jina la mwanafunzi) MUWE WAKATI MWINGINE MNAMKUMBUSHA XXXX ( jina la mhusika), MAANA INAOENEKANA HUWA ANASAHU SANA
Hapa sasa Boss X alikuwa anajaribu kujenga mazingira ya kwamba aliwahi kumjulisha mhuiska juu ya safari hiyo, na katika uwepo wa mwanafunzi huyu wa ngazi za juu, kitu ambacho hakikuwa kweli!

Na hapa ndipo Boss X alipofanyia kosa lake la kwanza kabisa kwenye mission yake hiyo, japo hadi muda huo, mhusika hakuwa ameona kasoro yoyote ile, na walienda safari wakarudi bila mhusika kuwa ameona chochote, wakaenda na nyingine tena ya pili iliyofanyika wiki moja tu baada ya ile ya kwanza kuwa imepita na bado mhusika alkuwa hajabaini kasoro yoyote kwenye safari zote hizo

KIPINDI AMBAPO KWA MARA YA KWANZA MHUSIKA ALIBAINI KASORO KWENYE SAFARI ZA KIKAZI ALIZOKUWA TAYARI AMESHAFANYA

Kwa mara ya kwanza mhusika aligundua kasoro kwenye maneno haya “FULANI (jina la mwanafunzi) MUWE WAKATI MWINGINE MNAMKUMBUSA XXXX (jina la mhusika), MAANA INAOENEKANA HUWA ANASAHAU SANA, ilikuwa ni Desemba 2012 akiwa anajiandaa kwa ajili ya safari ya kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya kuchakata data za matetemeko ya ardhi

Still, kwa mara ya kwanza mhusika aliandika barua ya kuomba kuruhusiwa kutokusafiri kiofisi mwezi March 2013. Kwa hiyo hadi Desemba 2012, mhusika alikuwa bado hajachukua hatua hiyo, japo safari ya mwisho yenye viashiria vya hatari na alikuwa tayari ameshaifanya May 2012. Baada ya safari hiyo hakuwa amewahi kupangiwa safari nyingine tena hadi ilipofika Desemba 2012 ndiyo alipopangiwa safari nyingine ya nje ya nchi
  • Usafiri ulikuwa ni wa ndege, na ndege hiyo ilikuwa inaondioka JKNIA saa 3 na kupitia nchi jirani
  • Alitakiwa abadilishe ndege kwenye nchi hiyo jirani na hatimaye kuwasili kule alikokuwa anaelekea, ambayo nayo ilikuwa ni nchi nyingine jirani, kwenye/ baada ya saa 5 usiku
Hii ndiyo safari iliyopelekea mhusika akaanza ku-recall matukio ya safari zingine zote alizokuwa amewahi kufanya hapo awali, na katika safari zilizoonyesha viashiria vyenye kuonyesha pattern nzuri, mojawapo ni hii ya Engaruka-Ketumbeine-Engaresero

Kawaida mhuiska:
  • Anweza kusahau kama binadamu wengine ila huwa siyo msahaulifu
  • Anapenda sana kusafiri. Anao uwezo wa kusahau kula ila siyo kushau ratiba ya safari
Lilikuwa ni kosa kubwa sana kwa Boss X kutumia approach ya kumtuhumu mhusika kuwa alimwambia kuna safari halafu akasahau, kwa kifupi tu ni kwamba hakuwa nia njema na mhusika kwenye safari hiyo. Ushahidi upo wa kutosha

By the way, hizi taarifa zote ndiyo zile ambazo mhusika aliwahi kumpa “SPECIALIST’ mwanzoni mwa mwaka 2016. Huyu “SPECIALIST’ ni yule ambaye uongozi wa ngazi za juu wa taasisi anayofanyia kazi mhusika, ulimpa jukumu la kumsikiliza mhusika. Pengine“SPECIALIST’ aliingia vichakani na taarifa hizi na hivyo uongozi huo ukawa hakukufanikiwa kuzipata

………………..inaendelea
 
SAFARI YA KUELEKEA ENGARESERO, KETUMBEINE NA ENGARUKA YAANZA
Waliosafiri ni watu watatu. Mhusika, Dereva X na Boss X
Walienda wakalala Arusha, halafu kesho yake asubuhi wakanyoosha hadi Longido. Pale Longido wakakata kulia na kuingia msituni bararabara ya vumbi, kuelekea Gelai. Chakula cha mchana walikula Gelai

Kwa kifupi tu ni kwamba siku ya pili walilala Ketumbeine, na hapo ndipo mambo yalipoanzia

WAKIWA NJIANI WANAELEKEA KETUMBEINE, KABLA HAWAJAFIKA KETUMBEINE

Ilitokea Dereva X akasimamisha gari ghafla, halafu akasema kuwa anasikia tairi moja ya nyuma imepungua upepo kwa hiyo itakuwa ina slow puncture

Ilibidi wasimame kwa muda mahali pale na kuanza kubadilisha tairi. Baada ya kubadilisha tairi waliendelea hadi Ketumbeine, wakaenda wakafikia hadi kwenye Lodge pekee (ilikuwepo moja tu kwa wakati huo) na maarufu mahali pale

Walichukua vyumba vitatu vilivyofuatana
  • Cha kwanza mwanzoni kabisa mtu akiwa anatokea mtaani, walimpatia mhusika (hakukichagua, ila pia hakujiuliza swali siku hiyo kwa nini alipewa chumba hicho)
  • Cha katikati alipewa Boss X na cha mwisho kabisa Derva X
Baada ya zoezi hilo kukamilika, Derva X aliomba aende mtaani kwa ajili ya kwenda kuziba tairi iliyokuwa na slow pancha. Alienda akaziba na baada ya muda siyo mrefu, alirudi.

Hapo ilikuwa ni kabla ya saa moja jioni. Baada ya saa moja jioni, chakula cha jioni kikiwa kinaandaliwa hapo hapo kwenye Lodge na kikiwa ni kulingana na oda ya watu waliokuwepo muda huo ( Boss X alikuwa ametoa ofa ya chakula cha jioni siku hiyo)
  • Aliingia mtu mmoja ‘very strongly built” na msemaji kiasi, mchangamfu sana
  • Alionekana ni mwenyeji wa pale na alionekana kufahamiana na wengine wote isipokuwa wageni watatu ambao walikuwa wamewasili hapo siku hiyo
  • Mtu huyu alikuwa akitamka maneno mara kwa mara “ NASIKIA “EPEXRT” AMEKUJA, NIMEAMBIWA “EXPERT” AMEKUJA………….
Hapa mwandishi analitumia neno hili “EXPERT” akiwa anamaanisha cheo cha mtu. Huyu mtu alikuwa anataja cheo hiki bila kutaja jina la “expert” huyo kuwa ni nani kwa jina, na wakati huo huo Boss X naye pia ana cheo kile kile kama kilichokuwa kinatajwa na mtu huyu

Mwanzoni mhusika alidhani kuwa “EXPERT” aliyekuwa anatajwa alikuwa ni huyu Boss X, lakini baada ya muda mhusika aligundua kuwa Boss X na huyu mtu hawakuwa wanafahamiana, kwa hiyo mhusika akajiongeza kuwa “EXPERT” aliyekuwa anatajwa siku hiyo hakuwa Boss X, bali mwingine ambaye yeye hakuwa amaembatana nao siku hiyo kwenye safari hiyo, ila pia naye ni staff mwenzao na wageni wa siku hiyo na ni rafiki yake wa karibu sana na huyu bwana, na ambaye naye huwa anafika maeneo ya huko mara kwa mara

Baada ya muda ilibainika kuwa “EXPERT” aliyekuwa anatajwa na mtu huyu ni staff mwenzao na wageni hawa; yule ambaye ni rafiki yake wa karibu sana na SENIOR MSTAAFU WA KIUME, mwenye ofisi jirani na SMME na ambaye mhusika aliwahi kumwongelea mara moja tu kwenye uzi huu.

“EXPERT” huyu aliyekuwa akitajwa na mtu huyu yule aliyewahi kumuomba mhusika afungue bonneti la gari yake aangalie ndani, mara baada ya kuwa amelipaki ofini mara ya kwanza kabisa lilipowasili kutoka Japan mnamo Julai 2013

Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa watu wote hawa watatu walikuwa ni wageni hapo Ketumbeine, Boss X na Dereva X hawakuwa wageni sana as such kwa sababu hapo awali wao walikuwa tayari wameshafanya safari kadhaa na za mara kwa mara za kuja huko kukagaua vituo hivyo tangu walipokuwa wameviweka Julai 2007, na wakati huo ilikuwa tayari ni Desemba 2008

Kwa hiyo mpaka siku hiyo Boss X na Dereva X walikuwa tayari wameshafanya safari kadhaa za huko isipokuwa walikuwa wanazifanya wakiwa wameambatana na mtu wa tatu ambaye ni Staff X. Safari hii sasa Staff X alikuwa amukuwa replaced na mhusika, ambaye yeye alikuwa fresher kabisa kwenye eneo hilo

…………………itaendelea

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
SAHIHISHO MUHIMU
Vituo vya kupima matetemeko ya ardhi kwenye maeneo aliyotaja mhusika hapo juu, vilianza kuwekwa Julai 2007 (na si Julai 2017), na mabadiliko ya swappping kati ya Staff X na mhusika yalifanyika Desemba 2008 (na si Desemba 2018)
 
WAKIWA WAPO KWENYE LODGE, KETUMBEINE WANASUBIRIA CHAKULA………
....................inaendelea

Baada ya chakula kuwa tayari, kililetwa kikiwa pungufu ya Sahani moja. Kililletwa kwa watu wote isipokuwa mmoja aliyeongezeka, yule aliyekuwa anasema “kasikia EXPERT amekuja
Hapakuwa na logic sana ya mtu huyu kukosa chakula kwa sababu aliyekuwa ametoa ofa, alikuwa ametoa kwa ajlili ya watu wote watakaokuwepo pale pasipo kubagua
  • Pamoja na kwamba huyu aliyeongezeka alikuta oda tayari imeshatolewa, bado alikuja muda muafaka kwa share yake kuongezwa ili na yeye aweze kupata chakulla
  • Mbali na hilo, mtu huyu aliyeongezeka alikuwa anaonyesha kuwa na ukaribu wa kipekee mno na watu waliokuwa wenyeji wa lodge hiyo kiasi kwamba ilikuwa haileti logic yoyote ya yeye kukosa chakula, hata kama angekuwa amawasili pale katika muda ambao chakula hicho kilikuwa kimeshakuwa tayari
Mtu huyu alikosa chakula kwa sababu moja kubwa; kwamba isije ikaonekana huko nbele ya safari kuwa alikuwa amekaribishwa. Ilitakiwa ije ionekane kuwa allikuwa alijileta mwenyewe

BAADA YA CHAKULA HICHO CHA JIONI KUPITA
Ikumbukwe kuwa mhusika alikuwa mgeni kwenye mazingira ya eneo hili, ila hakuwa mgeni kwenye mazingira ya kazi iliyokuwa imempeleka huko. Mpaka muda huo, tayari alikuwa ana uzoefu wa takribani mwaka mmoja na nusu akiifanya kazi, tangu alipoianza kwa maraya kwanza Julai 2007
Mhusika alijiunga rasmi na kitengo hiki cha matetemeko March 2007. Kabla ya hapo hakuwa anafanya kazi kwenye kitengo hicho
Kwa hiyo mpaka muda huo, wengi wa aliokuwa amewahi kufanya nao kazi walikuwa tayari wameshamsoma na kumjua ratiba yake ya jioni baada ya saa za kazi huwa inakuwaje. Kwa hiyo hata wale ambao alikuwa hajwahi kufanya nao kazi za aina hiyo, akiwemo Boss X na Dereva X, nao pia walikuwa tayari wanazo hints za ratiba yake ya jioni kwa sababu ni kawaida watu huwa wanapeana taarifa
Kwa hiyo; baada ya chakula cha jioni siku hiyo
  • Walisogea kaunta wakaanza kupata vinywaji
  • Dereva X na Boss X nao pia walikuwepo kwenye kikao hicho isipokuwa Boss X hakukaa sana kwa kwa sababu “kinywaji popular” kilichokuwa kinatembea mahali pale huwa hatumii
  • Kwa hali hiyo Boss X alikaa muda mfupi tu baada ya chakula halafu akaingia chumbani kwake
  • Kwa hiyo waliokuwa walioendelea kuwepo kwenye kikao hicho siku hiyo ni mhusika, Dereva X, mgeni aliyefika mahali pale akidhania kuwa “EXPERT” alikuwa amekuja(tumite MGENI MWENYEJI -X pamoja na vijana wengine wenyeji wa mahali pale
Baadaye mhusika aliona siyo fair kula “kilaji” peke yake, alianza kumnunulia pia MGENI MWENYEJI -X na wakati huo walikuwa wameshaanza kuzoeana
Baada ya muda Dereva X naye aliamua kwenda kulala
  • Mpaka muda huo sasa akawa amebaki mhusika tu na wenyeji wengine wote
  • Haukupita muda mrefu sana naye akaamua kwenda chumbani kulala, na hapo ndiyo mambo yalipoanzia
  • Ni baada ya wahudumu wa kwenye duka la vinywaji kuamua kufunga ili wakalale
Baada ya mhusika kuwa amemweleza MGENI MWENYEJI –X, (ambaye sasa walikuwa tayari wameshazoeana kwa sababu ya kununuliana vinywaji),kuwa anataka aingie ndani akalale
  • MGENI MWENYEJI-X alimshauri mhusika waende mtaani wakazunguke zunguke kidogo na kuongeza zaidi “kilaji”
  • Hapo sasa ilikuwa ni mida ya baada ya saa 4:00, na sehemu hiyo na porini kwenye vichaka na giza totoro, na sehemu ambayo haikuwa hata mawasiliano ya simu wakati huo
  • Mhusika aliuliza kama kuna chochote huko cha ziada kwa ajili ya “kampani” ya usiku
  • MGENI MWENYEJI-X akajibu ndiyo bila kusita sita.
Hapo ndipo MGENI MWENYEJI-X alipofanya kosa lake kubwa la kwanza
  • Mhusika akamwambia aenda ukanletee, hiyo ziada, yeye atakuwepo chumbani akiwa anasubiria
  • MGENI MWENYEJI-X akasisitiza waende lakini mhusika akagoma
  • Baadaye MGENI MWENYEJI-X alikubali kwenda kumletea, mhusika akabaki chumbani
Baada ya kuwa imepita kama saa nzima hivi, mhsikia ameshazima kibatatri kilichokuwa chumbani kwake, akasikia mtu anagonga mlangoni
Mhusika alifungua mlango, hakuwasha kibatari, kulikuwa na mbalamwezi ya kutosha
Aliingia binti chumbani, ila akadai kuwa bado yuko huko mtaani alikuwa anauza chakula bado hajafunga, hivyo akamuomba mhusika waende wote akafunge kwanza halafu ndiyo warudi chumbani
Hapa tayari likafanywa kosa jingine la pili. Mhusika alimgomea binti huyo. Akamweleza kuwa inabidi aende akafunge halafu arudi. Walikubaliana hivyo na binti huyu aliondoka ila hakurudi tena
Mhusika hakuweza kumumaki vizuri sura binti huyu, kwa sababu alikuwa anamwangalia kwa kutumia mbalamwezi. Hapo sasa ulikuwa ni usiku wa J4 kuamkia J5

BAADA YA USIKU HUO KUPITA
Ratiba yao ilikuwa inaonyesha kuwa J5 hiyo wataongdoka Ketumbeine kuleleke Engaruka, kwenye kituo cha mwiisho kilichuokuwepo maeneo hayo
Asubuhi wakati wanajiandaa kuondoka, baada ya chai:
  • MGENI MWENYEJI-X alifika tena mahali pale
  • Muda si muda, binti mwingine tena ambaye alionekana kama ni mgeni maeneo yale, naye alifika mahali pale
  • Binti huyu alikuwa amepata taarifa kuwa kuna gari ianelekea Engaruka na hatimaye mto wa mbu, kwa hiyo alikuja kuomba lift ya kwenda Mto wa Mbu ili baadaye akapande magari ya kuelekea Arusha
Binti huyu alikuja moja kwa moja mpaka pale alipokuwa amesimama mhusika, na kueleza shida yake
Mhusika baada ya kumsilkiliza, alimwelekeza kwa Boss X ili akasikilizwe huko,. Boss X alimsikiliza na akamkubalia

SAFARI YA KUELEKEA ENGARUKA YAANZA
Siku hiyo, mhusika hakuwa amepata taarifa za awali kuwa MGENI MWENYEJI-X naye alikuwa pia ana safari ya kuelekea Mto wa Mbu
  • Alikuja kujua baada ya safari kuanza pale alipomuona MGENI MWENYEJI-X naye akipnada kwenye gari
  • Kabla ya safari, MGENI MWENYEJI-X hakuwahi kuongea chochote na Boss X wala Dereva X, isipokuwa salamu tu
Katikati pale kabla hawajafika Engaruka, watu waliamua kusimama kwa muda ili kujisitiri kwa ajili ya haja ndogo, wanaume wannne na binti mmoja
Binti huyu katika namna ya kujisitiri, hakujali sana na alienda kwenye sehemu ambayo haimsitiri sana kivile, ishara kama alikuwa amenuia kuwa-excite baadhi ya wanaume aliokuwa nao kwenye gari. Mhusika alimuona na possibly hata wengine pia
  • Binti huyu hakufanya hivyo kwa bahati mbaya, ilikuwa ni makusudi
  • Mpaka hapa mhusika akawa amepata picha kwamba binti huyu hakuwa mwenyeji bali mgeni, kwenye eneo kule alikokuwa antokea, na possibly wakati huo ndiyo sasa alikuwa yuko safarini kurudi nyumbani
Hii ni kutikana na ukweli kuwa umasaini kuna viboko na siyo rahisi kukuta binti ana tabia za aina hiyo au hata ule uwezo tu wa kuigiza tabia za aina hiyo, haiwezekani.
Walisafiri salama hadi wakafika kwenye kituo cha Engaruka, na kwa bahati mbaya mtu aliyekuwa ni mlinzi wa kituo hicho hakuwepo kituoni, alikuwa amepata dharura iliyopelekea asafiri kwenda Mto wacMbu; umbali ambao ulikuwa ni takribani kilomita 60 kutokea pale kituo kilipokuwepo
Kwa hiyo iilikuwa inahitajika kumfuata mtu huyu Mto wa Mbu, hatimaye kurudi naye tena pale kituoni, na baada ya hapo timu ya utafiti irudi tena Mto wa Mbu tayari sasa kwa ajili ya safari ya kuanza kurudi tena Arusha mjini

Mtu huyu aliyekuwa anatunza kituo hicho alikuwa anaitwa Israel

…………………..inaendelea
 
UPDATE: FRIDAY 06 AUGUST 2021

…………inaendelea

BAADA YA KUWA WAMEFIKA ENGARUKA NA KUKUTA ISRAEL HAYUPO AMEENDA MTO WA MBU………………


Ilibidi wamfuate Mto Mbu. Walienda wakamkuta na kurudi naye kwenye kituo wakachukua vifaa vyao, kazi ambayo ilikuwa ni ndogo sana na ilichukua muda wa takriban robo saa tu hivi, na baada ya hapo walianza tena safari ya kurudi Mto wa Mbu, tayari kwa safari ya Arusha siku hiyo hiyo. Usiku wa J5 kuamkia Alhamis walilala Arusha tena. Hapo sasa wakawa njia moja kuelekea kwenye vituo vya Babati, Kondoa, Kibaya, Singida na Manyoni, ambayo schedule yake ilikuwa haijasemwa ni lini

Kesho yake alhamis walirudi Dar es salaam, hawakwenda kwanza kwenye vituo vilivyokuwa vimebakia. Baada ya kuwa wamempumzika kama wiki walianza tena safari ya kuelekea kwenye vituo vilivyokuwa vimebakia kama vilivyotajwa hapo juu
  • Kwenye safari hii ya pili, Boss X hakumtaarifu tena mhusika, isipokuwa alimtuma Dereva X akamjulisha mhusika siku moja kabla kuwa kuna safari nyingine tena ya kwenda kukagua vituo vya matetemeko
  • Kwenye safari iliyokuwa imepita, mhusika wala hakuwa amejulishwa kuwa baada ya wiki moja kugekuwa na schedule ya safari nyingine, ila bahati nzuri safari hii alijulishwa na Dereva X siku moja kabla
HITIMISHO

Baada ya kufika mto wa mbu walipokuwa wamemfuata Israel, MGENI MWENYEJI-X na binti walishuka pale na ndiyo ulikuwa mwisho wa mawasiliano yao na watu hawa

Baada ya mhusika kuwa amerudi ofisini baada ya safari hiyo, alifanikiwa kuongea na mtu mwingine ofisini ambaye naye alishawahi kufahamiana na MGENI MWENYEJI-X, pindi naye alipokuwa ametembelea maeneo hayo. Mtu huyu alitoa recommendations ambazo zlionyesha ni very risky kwa mtu mgeni maeneo hayo kuwa karibu sana na MGENI MWENYEJI-X. Sijui kama huyu mtu alikuwa sahihi ama la

Hata hivyo mhusika alitiokea kumwamini MGENI MWENYEJI-X siku hiyo walipokutana naye kwa mara ya kwanza, baada ya kuona ni swahiba wa karibu na staff-mate wake “EXPERT” ambaye “EXPERT” huyu pia ni swahiba wa karibu sana na SENIOR MSTAAFU WA KIUME

Binti aliyekuja kuomba rift ya kwenda mto wa Mbu, ndiyo yule yule aliyefika chumbani kwa mhusika usiku, na ndiyo maana asubuhi yake alikuja moja kwa moja kwa mhusika, alikuwa ameelekezwa hivyo. Kwa ujumla tu ni kwamba kila kitu alichokuwa anafanya, kilikuwa kinaendana na maelekezo aliyokuwa amepewa kabla

Baada ya kuwa amefika asubuhi na kuomba rift ya kwenda Mto wa Mbu
  • Ilitarajiwa mhusika angechukua mamlaka ya kumruhusu kusafri kwenye gari, kitu ambacho kingechukuliwa kuwa mhusika na binti huyo, possibly wanafahamiana
  • Ilitarajiwa pia kuwa baada ya timu ya utafti kumfuata Israel Mto wa Mbu, mhusika pengine angeshauri kuwasubiria wenzake hapo Mto wa Mbu kwa sababu hapakuwa na kazi yoyote nzito iliyokuwa inatarajiwa kufanyika baada ya kumpata Israel. Ilikuwa ni kazi rahisi tu ya kukusanya vifaa simple tu na kuviweka kwenye gari, kazi ambayo hata Isreal mwenyewe angeweza kuifanya ndani ya dakika tano akiwa peke yake
Baada ya hapo sasa stori zinazofanana na hizi zingefuata
  • “Asubuhi tulimuona akiongea na binti hatimaye almruhusu binti huyo kupanda kwenye gari”
  • Tumefika Mto wa Mbu tukiwa tumemfuata Israel akashauri abaki tutampitia wakati tutakapokuwa tunarudi kuelekea Arusha, wakashuka wote na binti”
  • “Walibaki Mto wa Mbu na binti huyo”
Yangekuwepo mengi, more is to come.

MUBARKIWE TENA NA BWANA
 
KABLA HATUJAENDELEA ZAIDI NA SAFARI ZA ZINAZOHUSIANA NA VITUO VYA MATETEMEKO YA ARDHI….

MWAKA 2013 BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEANDIKA BARUA MAMLAKA ZA JUU AKIOMBA KURUHUSIWA KUTOKUSAFIRI KIKAZI NDANI NA NJE YA NCHI (NJE YA DAR ES SALAAM) …..


Barua yake ya kwanza ya kuomba kuruhusiwa kutokusafiri nje ya nchi aliaandika March 2013
Hapo kabla, kwenye mwaka 2012 (ilikuwa baada ya May 2012, kpindi ambacho mhusika ndiyo aliwahi kufanya safari yake ya mwisho ya kikazi)
  • Kuna tangazo lilikuwa limeshawahi kutolewa na uongozi wa chama cha wanataaluma (na siyo uongozi wa juu wa taasisi) kuwa taasisi ilikuwa inashughulika kupitia chama hicho, viwanja vya makazi ya watu Kibaha ili wafanyakazi watakaopenda kununua, wanunue
  • Bei ilikuwa ni TZS 5,000/= kwa square metre moja
  • Viwanja hivyo vilikuwa vinapatikana umbali wa takribani km 10 kutoka bararbara kuu ya kuelekea Morogoro
Siku kadhaa baada ya March 2013 kuwa imepita, mhusika akiwa sasa tayari ameshaandika barua ya kuomba kuruhusiwa kutosafiri kikazi ndani na nje ya nchi, ila katika wakati ambao barua yake hiyo ikiwa bado haijajibiwa
  • Uongozi wa chama cha wanataaluma ukatoa taarifa kuwa viwanja hivyo vilishapatikana na kwamba waliokuwa wanahitaji kwenda kuviona wanaweza kufanya hivyo
  • Uongozi ukatoa pia siku ya kwenda kuviona viwanja hivyo ikiwa ni pamoja na utaratibu wa namna ya kufika huko
  • Uongozi huo ukawa umeandaa Mini-bus kwa ajili ya kuwachukua wafanyakazi waliokuwa wanapendelea kwenda huko, na pia kuwajulisha kwamba kila mfanyakzai alitakiwa kuchangia TZS 5,000/= kama gharama ya usafiri
  • Mini-bus hiyo ikawa iko scheduled kuwachukua wafanyakazi husika kwenye eneo la jengo kuu la utawala, na muda wa kuondoka kuelekea Kibaha ukawa umetajwa
Zaidi ni kuwa namba ya mawasiliano ya simu ilitolewa kwa ajili ya wale waliohitaji kwenda ili nafasi zao ziweze kuwa reserved kwenye Mini- bus. Namba hiyo ilikuwa ya mmojawapo wa viongozi wawili wa chama hicho cha wanataaluma, waliokuwa wanashughulikia swala la viwanja hivyo

PAMOJA NA KUWA MHUSIKA NAYE PIA ALIKUWA ANA HITAJI HILO, BADO HAKUFANIKIWA KUSHIRIKI KWENYE ZOEZI LA KWENDA KUONA VIWANJA HIVYO

Pamoja na kuwa mhusika alikuwa anapendelea kushiriki kwenye zoezi hilo lakini, alishindwa kushirirki kutokana na sababu kadhaa zifuatazo
  • Mpaka muda huo wakati viwanja hivyo vinakuwa tayari, maombi ya barua yake ya kuruhusiwa kutosafiri kikazi nje ya Dar es Salaam yalikuwa hayajatoka
  • Kibaha ni nje ya Dar es Salaam
  • Mipango yote iliyohusiana na upatikananji wa viwanvja hivyo, kuanzia mwanzo hadi mwisho ilikuwa inahusisha chama cha wanataaluma tu, na muda wote huo uongozi wa juu wa taasisi ulikuwa kimya na possibly ulikuwa hata haujui kama kuna baadhi ya wafanyakazi walikuwa wanafanya mipango ya kununua viwanhja huko Kibaha
  • Tangazo lililokuwa likiwataarifu wafanyakazi kuwa viwanja vimeshapatikana na wanatakiwa kwenda kuviona, halikuwa limenakiliwa kwa uongozi wa juu wa taasiisi, kwa maana kuwa hapakuwa na kiongozi yeyote wa ngazi ya juu wa taasisis aliyekuwa amepelwa nakala ya tangazo hilo
Kwa hiyo uongozi wa juu wa taasisi ulikuwa hauna taarifa zoxzote za safari ya wafanyakazi kutokea kazini kuelekea Kibaha kwa ajili ya kuangalia/ kununua viwanja hivyo

Mpaka hapa, kitendo cha mhusika kuambatana na msafara huo, assuming angeenda halafu kukaenda kukatokea lolote la kutokea, angehesabiwa kuwa ni mtoro kazini kwa sababu
  • Tangazo la uongozi wa wanataaluma kuwa watu wanaweza kwenda kuviiona viwanja Kibaha, bado lililkuwa halitoshi kwa sababu halikuwa ruhusa ya kuwafnaya wafanyakazi watoke ofisini kwenda kuangalia viwanja Kibaha
  • Baada ya tangazo hilo wanataaluma, uongozi wa juu wa taasisi ulitakiwa ujulishwe kimaandishi juu ya mpango wa safari hiyo, na wenyewe nao pia ungejibu kwa maandishi kuwa una taarifa na mpango huo na hivyo unaruhusu wafanyakazi wenye nia ya kufanya hivyo, waende Kibaha kwa ajili ya kwenda kuona viwanja hivyo
Bila hivyo, in case of anything unexpected, uongozi wa juu wa taasisi ulikuwa na haki ya kuwachukulia wafanyakazi waliosafiri kwenda kuona viwanja hivyo siku hiyo, kuwa walikuwa ni watoro kazin

Sababu hizi zilipelekea mhusika asiweze kusafiri kwenda kuona viwanja hivyo na hivyo hakufanikiwa kununua.

Alianza kuona kama utaratibu wa viwanja hivyo unaanza tena kuambatana na mitego mingine ndani yake

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SATURDAY, 07 AUGUST 2021

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA MAJI YALIYORUDISHWAHIVI KARIBUNI NYUMBANI KWA MHUSIKA

“SOMETHIND SINISTERKUHUSIANA NA MAJI YANAOINGIA NDANI NYUMBANI KWA MHUSIKA


Mpaka muda huu, mhusika ameshajiridhisha kuwa kuna koki kwenye mojawapo ya nyumba ya wakazi wenzake inayotumika ku-control kwa kufunga na kufungua maji yanayoingia ndani nyumbani kwake

Baada ya kuwa amegundua hilo, mambo kadhaa yafuatatyo yakaanza kufanyika
  • Maji yaliyokuwa yameacha kuvuja nyumbani kwake yakitokea juu, yakaana kuvuja tena, safari hii ikiwa ni kwa kasi kubwa zaidi kuliko ile ya awali
  • Maji haya yalikuwa yameshaacha kuvuja kwa zaidi ya wiki tangu maji yaliporudishwa, ila sasa hivi yapo yanaendelea na kazi
TAZTIZO LA MAJI KUWA YANAKATA GHAFULA TU BILA KUPUNGUA PRESSURE KWANZA

Mara ya mwisho mhusika alipobaini maji kukatika ghafla akiwa anachota ndani kwake, alilazimika kutoka nje ili kuona kama mota ya kusukuma maji ilikuwa imezimwa
  • Wakati anatoka nje, akakumbana na mtoto wa mama jirani kwenye ngazi; mama yake ndiyo yule ambaye alimfanyia mhusika mpango wa kuunganishiwa maji
  • Mtoto akadai kuwa kuna nyumba ambayo maji yanavuja kwao wakiwasha mota, hivyo wanalazimika kuizima kila wanapomaliza kuchota maji
  • Nyumba aliyoitaja mtoto huyu, ndiyo ile ambayo mhusika na fundi walienda siku maji yaliporudi, kutaka kuona kama yaliyokuwa yanavuja ndani nyumbani kwa mhusika, talikuwa yanatoka kwenye nyumba hiyo
Kwa bahati nzuri walibaini kuwa maji hayo hayakuwa yanatoka kwenye nyumba hiyo, na hivyo kupelekea fundi kulazimika kupandisha juu summit. Mhusika yeye akashIndwa kupandisha juu summit

By the way, maji yakivuja si mnaitaarifu mamlaka husika inakuja kurekebisha? Maji haya yana siku sita (6) sasa, yalianza tena tangu J2 iliyopita mhusika alipokuwa yupo Kanisani

UKIZINGATIA YOTE HAYA, HALI ILIVYO KWA SASA
  • Maji yameanza kuvuja tena, tena kwa kasi ya juu zaidi
  • Maji hayo kwa sasa yanasemekana kutokea tena nyumba ya juu, ile ambayo hapo awali fundi na mhuiska walijiridhisha kuwa si ile iliyokuwa inavujisha maji yaliyokuwa yanaingia nyumbani mwa mhusika
HITIMISHO

The fact is, mama huyu huwa hapendi mhusika atumie maji yanayotoka moja kwa moja bombani
  • Huwa anapenda mhusika atumie maji yaliyohifadhiwa moja kwa moja kwenye vyombo alivyonavyo ndani, na si yale yanayotoka moja kwa moja bombani
  • Tangu maji hayo yarudi, hata pale ambapo yale yanayovuja ndani yalikuwa yameshaacha kuvuja tena, ilikuwa kila mhusika akitaka kuandaa chakula, maji hayo yanakatika au yanakuwa hayapo
  • Weekend zote anapokuwa yupo nyumbani, maji hayo yanakuwa hayatoki bombani, inabidi atumie yale ambayo tayari ameshayachota siku nyingi na kuyafadhi kwenye vyombo alibyonavyo ndani
Wakati mwingine huwa inaonyesha pia kama mama huyu huwa ana CCTV camera ya kuangalia kila kitu kinachoendelea ndani nyumbani mwa mhusika, na possibly huwa ana mtu ambaye kwa wakati fulani huwa anapata nafasi ya kumtuma na kuingia ndani nyumbani mwa mhusika

Mama huyu ndiyo pia aliwahi kupelekea taa za kwenye ngazi zikazimwa na kudaiwa kuwa system ya kuwasha taa hizo imeungua, waliletwa mafundi wa umeme na OFISA WA NYUMBA kutoka mtaani.

Kilichopelekea taa hizo kuzimwa ni kwamba mojawapo ya taa zilizokuwa zinamulika korido, ilikuwa inakaa juu nje mlangoni kwake na hyu mama; kumbe alikuwa hapendi taa hiyo iwepo pale. Ni kitu ambacho mhusika kwa wakati huo alikiona ni paradox kwa sababu mama mwenye watoto wadogo ndiyo angehitaji zaidi taa za kwenye ngazi kuliko wale ambao hawakuwa nao
  • Kwenye tukio la kwanza, taa iliyokuwa kwenye korido ilianza ikapigwa ikatoboka na hakuna hatua zilizochukuliwa kui-replace
  • Mhusika akajua labda ni mambo ya bajeti. Akaamua kuchukua hatua ya kwenda kununua nyingine mtaani akaja akaiweka pale
  • Baada ya kuwa ameleta taa hiyo ikoenakana kuwa holder yake imeungua, pakawa giza tena
  • Mhusika akaomba sasa taa hiyo ihamishiwe pale mlangoni kwake yeye, kwa sababu kwake kulikuwa hakujaungua
Baada ya mhuska kutoa ushauri huo, ndiyo sasa yakatolewa maelezo ya kitaalamu kuwa system yote ya kuwasha taa za nje za ghorofa hilo ilishaungua na hviyo hamna namna ambayo linaweza tena kuwa na taa za nje unless wiring yake inafanyika upya

Mhusika anaomba msaada kuhusiana na huyu mama

Kwa upande wa mume wake ambaye ndiye staff mwenzake na mhusika, mhusika hana shida naye na wala hajawahi kumuona na kasoro zozote za ajabu. Tatizo ni huyo mama!

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE-2: SATURDAY, 07 AUGUST 2021

DESEMBA 2018- SAFARI NYINGINE YA KUTEMBELEA VITUO VYA MATETEMEKO YAANZA


Vituo vilivyohusika kwenye safari hii vilikuwa ni Kibaya, Kondoa, Babati, Manyoni na Singida
  • Safari hii ilianza taribani wiki moja baada ya ile ya kwanza iliyohusisha pia vituo vya Ketumbeine na Engaruka
  • Watu wliohusika ni wale wale watatu, hakuongezeka wala hakupungua mtu
  • Waliondoka Dar es salaam, wakaenda wakalala Kibaya (Kiteto)
  • Walipowasili Kibaya walianzia kwenye kituo kwanxa na kukikagua halafu kesho yake wakawa wako njia moja kuelekea Kondoa
Boss X na dereva X walikuwa wenyeji kwenye kazi ya ukaguzi wa vituo vilivyoko sehemu hizi, na hivyo wenyeji pia kwenye maeneo hayo, ilhali mhusika yeye ilikuwa mara yake ya kwanza kufika maeneo hayo. Ni baada ta mhusika kuwa wame-swap na Staff-X

YALIYOJIRI JIONI HIYO KABLA NA BAADA YA KUWASILII KBAYA MJINI

Wakiwa bado wako njiani, wameingia mjini Kibaya ila bado hawajaanza kutafuta sehemu ya kufikia, Boss X alimuuliza swali mhusika kama alishawahi kufika Kibaya. Mhusika alijibu kuwa hapana

Walipofika mjini Kibaya, walianzia kwenye kituo kwanza kwa ajili ya ukaguzi, na baada ya kutoka huko ndiyo wakaanza kutafuta sehemu ya malazi

Namna walivyokuwa wanatafuta lodge, Boss X na Dereva X walionekana kama na wao pia ni wageni pia kwenye mji huo mdogo muno na ambao kwa wakati huo ulikuwa na lodge moja tu EXCUTIVE na iliyo bararbarani kabisa, inaitwa LUSAKA

Mhusika siku hiyo hata hakufanikiwa kuiona lodge hiyo ya LUSAKA kwa sababu walipita kwenye sehemu tofauti kabisa hadi wakaenda wakafika kwenye lodge mpya iliyokuwa imejificha ficha vichakani ikiwa imechanganyikana na kijiji kilicho karibu na mji huo

Lodge hii ilikuwa ni mpya kabisa na ilikuwa ndiyo imekamilika kujengwa muda si mrefu, ikiwa pembezoni kabisa nje kidogo ya mji
  • Chakula cha jioni kilipikwa pale kwa oda maalum, Boss X alitoa ofa tena siku hiyo
  • Aidha kwenye lodge hiyo hapakuwa na “kilaji”, kitu ambacho kilikuwa ni muhimu sana kwa mhusika pindi alipokuwa yuko kwenye safari za kazi za aina hiyo au kila baada ya kazi za aina hiyo
  • Mhusika alitoka “kapa” siku hiyo na hakuambulia chochote kwa sababu umbali kutoka ilipokuwa logde kwenda mjini ulikuwa mkubwa kiasi na hapakuwa na namna ya hata ya kumtuma mtu aende akanunue vinywaji mjini na kuvileta pale
Uwezo wa kutoka usiku auvamie mji mgeni, hakuwa nao, na lilikuwa kaa la moto kwake

Walilala pale siku hiyo na kesho yake wakaamkia safari ya kuelekea Kondoa kwa ajili ya ukaguzi wa kituo kingine huko

DOKEZO MUHIMU

Kwenye safari zingine zote zilizofuata baaba ya hiyo na ambazo sasa mhusika alikuwa haambatani tena na wenzake hawa wawili, mhusika alikuja kushangaa baada ya kugundua kuwa kulikuwa na hii loge inayoitwa LUSAKA, tena ndani ya mji pembezoni tu mwa barabara na katika sehemu ambayo si ya kificho

Lodge hii mara nyingi ilikuwa haijai na kila mhusika alipokuwa anafika Kibaya, mara zote hakuwahi kukosa chumba kwenye lodge hiyo, muda wote alikuwa anapata nafasi

Kwa hiyo ibaadaye ilikuja kudhihirika wazi kuwa siku mhusika alipofika Kibaya kwa mara ya kwanza, alipitishwa kwenye sehemu ambazo asingeweza kuiona LUSAKA LODGE, ikiwa imehofiwa kuwa kama angeiona, lazima angeshauri wakalale pale. Siku hiyo walianzia kwenye ukaguzi wa kituo kwanza, baada ya kutoka huko ndiyo wakaanza sasa kutafuta malazi, giza likiwa tayari limeshaanza kuingia.

Na ndiyo maana wakiwa bado wako njiani, Boss X alimuuliza swali mhusika kama alishawahi kufika Kibaya. Baada ya mhusika kujibu hapana, Boss X akajua kuwa mhusika alikuwa hajui kama LUSAKA lodge ipo Kibaya, na kuanzia pale ikawa kazi rahisi kwake Boss X kufanya kile alichokuwa anafikiria kichwani kwake

……………………..inaendelea
 
SAFARI YA KUELEKEA KONDOA, BABATI NA MANYONI

Walifika Kondoa wakakuta kituo kina shida kinahitaji marekebisho. Ikabidi walale pale siku mbili na ya tatu asubuhi wakaanza safari ya kuelekea Babati

Walifika Babati wakakuta kituo hakina shida, kwa hiyo baada ya ukaguzi walinyoosha moja kwa moja kuelekea Manyoni. Manyoni napo hapakuwa na shida, kwa hiyo baada ya ukaguzi wa kituo cha Manyoni, walinyoosha moja kwa moja kuelekea Singida. Kwa hiyo siku hiyo moja wakawa wameitumia kwa kusafiri kutoka Kondoa hadi Singida

BAADA YA KUWA WAMEFIKA SINGIA………..

Walikuta kituo hicho kimeshasimama, hakipimi tena matetemeko na data storage disk yake ilikuwa imeshajaa. Kwa ujumla kituo kilikuwa kinahitaji marekebisho makubwa na ilibidi walale pale siku tatu, wakiwa wanakishugulikia

Kutokana na marekebisho yaliyokuwa yanahitajika kwenye kituo hicho, makisio yao yalikuwa ni kwamba wangelelala Singida siku mbili wakiwa wanajaribu kukiweka sawa kituo hicho, lakni hadi siku ya pili inaisha kituo hicho kilikuwa bado hakijatengemaa

BAADA YA KUWA WAMELALA SINGIDA SIKU MBILI…………..

Siku ya tatu wali-ckeck –out kwenye lodge walizokuwa wamefikia kwa matarajio kuwa wataenda kazini kwenye kituo siku hiyo na kitatengemaa ndani ya muda, halafu baadaye wataondoka wakalale Dodoma, tayari sasa kwa safari ya kuanza kurudi Dar es salaam
  • Ni kweli siku hiyo kituo kilitengemaa ila katika muda ambao haukuwaruhusu waweze kuondoka Singida kwenda kulala Dodoma siku hiyo
  • Kwa hiyo walilazimika kulala tena Singida kwa siku nyingie ya tatu
BAADA YA KITUO CHA SINGIDA KUWA KIMETENGEMAA SIKU ILIYOFUATA

Kituo hiki kilitengemaa katika muda ambao masaa yake yalikuwa hayawaruhusu tena kuondoka Singida kuelekea Dodoma, kwa hiyo walilazimika kulala tena Singida kwa siku ya tatu

Wakiwa wapo njiani wanatoka kituoni, wanarudi kwenda mjini kwenda ku-check in tena kwenye lodge walizokuwa wamefikia, ambako asubuhi yake walikuwa wame-check out kwa matarajio kuwa kituo kingetengemaa kwa wakati na kuwapa nafasi ya wao kuondoka Singida na kuelekea Dodoma
  • Pale mjini katikati karibu na mawe yaliyopo pembezoni mwa barabara, wakawaona watu wawili wafanyakazi wa Geological Survey (GST) of Singida; watu ambao ofisi yao, kwa namna moja ama nyingine, ilikuwa imetokea kuwa ya msaada sana wakati wa marekebisho ya kituo hiki cha Singida yalipkuwa yanaendelea
  • Watu hawa waliingia kwenye gari na wakawa na shauku ya kujua maendeleo ya kituo
  • Boss X aliwajibu kuwa kimetengemaa, isipokuwa tu kikwazo ni kwamba uwezekano wa kutoka Singida kwenda kulala Dodoma haukuwepo tena kwa sababu muda ulikuwa umeenda sana
Zaiidi ni kuwa Boss- X aliwajulisha kuwa muda ule alikuwa anawahi kule alikokuwa amefikia awali,ili aka-check-in tena kwenye chumba alichokuwa amefikia kwa sababu asubuhi yake alikuwa ame-check-out.

Kwa ujumla, watu hawa wa GST walipata picha yote kuwa watafiti hawa wote walikuwa wame-check-out asubuhi siku hiyo

Maongezi haya yote yalikuwa yakiendeea wakati gari ikiwa barabarani inatembea, baada ya wafanyakazi hawa kuwa wamepanda kwenye gari

BAADA YA WAFANYAKAZI HAWA WA GST KUPEWA TAARIFA KUWA WATAFITI WALIKUWA WAME-CHECK-OUT ASUBUHI
  • Wakatoa ushauri kuwapeleka kwemye malazi mengine mazuri zaidi, wabadilishe mazingira
  • Boss X akakubaliana na ushauri wao, wakageuza gari kurudi kama wanaelekea njia kuu ya kwenda Mwanza
  • Wakawapeleka kwenye hostel nzuri, katikati ya mji ila kwenye sehemu iliyo isolated kidogo ila ambako hakuna tena sehemu zinazouza “kilaji”
  • Hata hivyo, pale walipoplekwa, “kilaji” kilikuwepo ila walioshiriki kwenye burudani jioni hiyo ni Dereva X na mhusika tu, hapakuwa na mtu mwingine zaidi ya wao
  • “Kilaji” hicho kilionekana kipo pale kwa ajili ya wenyeji wanaoishi humo ndani tu, na ambao siku hiyo hawakuwepo hata mmoja kushiriki kwenye burudani hiyo
Zaidi ni kuwa kwenye entrance ya kuingila mahali pale, kulikuwa na geti ambalo mlinzi huwa analinafunga kwa funguo kuanzia saa 4 usiku

HITIMISHO

Baada ya siku hiyo ya tatu walipokuwa wamelala tena Singida, kesho yake waliondoka wakaenda kulala Dodoma, na kesho yake tena wakatoka Dodoma hadi Dar es Salaam na kufika salama

Ikumbukwe kuwa mapaka muda huu, bado mhusika alikuwa hajaanza kuona chocote kilicho tofauti kwenye matukio haya yote, hadi ilipofika Desemba 2012, kipindi alipokuwa amepangiwa safari ya kwenda nje ya nchi, nchi jiran ndani ya afrika

Kuanzia pale sasa akaanza kufanya re-collection ya matukio yote ya safari zake zote alizokuwa amewahi kufanya huko nyuma, mojawapo ikiwa ni ile ya May 2007 aliyowahi kusafiri nje ya nchi na hatimaye kurejea na kutua JKNIA mzigo wake ukiwa umebaki na ndege iliyokuwa inakuja nyuma yake

Zaidi ni kuwa hatimaye Boss X alikuja kukosa ile patience ya kuficha alichokuwa ameficha rohoni, baada ya kila jaribio alilokuwa nafanya, kutozaa matunda aliyoyahitaji. Kwa hiyo akiwa anadhani kuwa bado anaendelea kuficha kile alichokuwa ameficha rohoni, alijikuta akiki-expose pasipo ridhaa yake na pasipo yeye mwenyewe kujua hilo

MUBARIKIWE TENA NA BWANA, more is to come………
 
UPDATE: MONDAY 09 AUGUST 2013

NYONGEZA MUHIMU
:
Kwa mara ya kwanza, Dereva X alihamia idarani kwa mhusika Desemba 2005 na alihama kwenda idara nyingine tena, possibly mwaka 2014 au miaka michache kabla ya muda huo
  • Dereva X alihamia idarani kwa mhusika akiwa anatokea kwenye ofisi ya Mkuu wa Taasisi aliyepita, yaani yule aliyekuweopo kabla ya huyu aliyepo sasa
  • Vile vile, mnano Desenba 2017, Dereva mwingine tena (tumwite Dereva Y) alihamia Idarani kwa mhusika, baada ya Mkuu wa Taasisi aliyetajwa hapo juu, kustaafu na hivyo kupisha nafasi hiyo kwa mkuu mwingine; i huyu aliyepo mpaka sasa
  • Kwa muda huu, Dereva Y ameshahama tena idarani kwa mhusika kuanzia mwanzoni mwa March 2021 (mwaka huu), na mara ya mwisho alikuwepo idarani ilikuwa ni kwenye wiki ile ya wanawake (08-14 March 2021)
Kwa hiyo madereva wawili waliowahi kufanya kazi na Mkuu wa Taasisi aliyepita, wamewahi pia kufanya kazi idarani kwa mhusika. Kila walipokuwa wakitoka kwake, walikuwa wanakuja idarani kwa mhusika.

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
.. Mkuu, hiki ni Kitabu kabisa! Tafuta mtu wa kukichapa!
Na yote haya unasema umesimuliwa na Mhusika??
Hah! Kila mtu kweli na Kipaji chake!
 
UPDATE: WEDNESDAY 11 AUGUST 2013

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA SAFARI HIZI MBILI ALIZOWAHI KUZIFANYA MHUSIKA AKIWA NA WENZAKE DESEMBA 2008


Mtu akiziangalia kwa jicho jingine safari hizi mbili ambazo maelezo yake yako hapo juu, anaweza kuona kama hapakuwa na haja ya safari hizi kugawanywa na kuwa mbili kwa sababu maeneo yaliyokuwa yanahusika yalikuwa karibu karibu mno na kazi iliyofanyika kwa ujumla haikuchukua muda unaozidi siku 14. Kwa hali hiyo basi, ilikuwa inawezekana kabisa kwa watafiti hawa kutumia siku 14 wakifanya shughuli zao na kuzikamilisha ndani ya muda huo, na baada ya hapo ndiyo wakarudi tena Dar esl Salaam

Kitendo cha wao kugawanya utafiti huo kwa vipindi viwili vya siku saba kila kipindi na na vipindi ambavyo vilipishana muda wa wiki moja tu kutoka kipindi kimoja kwenda kingine, (badala ya kuviunganisha vipindi hivyo kwenye kipindi kimoja tu cha siku 14):
  • Ukizingatia mgawanyo huu wa siku za kazi yao na kuuhusiana na mlolongo wa matukio yaliyotokea katika kila kipindi wakati utafiti huo ulipokuwa unafanyika, on first sight mtu anaweza akaona kama kulikuwa na “failed first attempt” kwenye kipindi cha kwanza, iliyopelekea sasa uwepo wa kipindi kingine cha pili kwa ajili ya kupata nafasi nyingine ya “second attempt”. Na ndiyo maana waliondoka na kurudi wkati wa safari ya kwanza, mhusika akiwa hana taarifa zozote za uwepo wa safari nyingine ya pili na ambayo ilifanyika katika kipindi cha muda mfupi sana kutoka pale ilipomalizikia safari ya ile ya kwanza
  • Mbali na hayo, ukiyaunganisha tena haya matukio ya safari nyingine ya nje ya nchi, ndani ya Afrika, ambayo mhusika alikuwa tayari ameshaifanya hapo kabla, May 2007 na ambayo aliwahi kuiongelea kwenye post hizi #272 na #273, mtu anaweza kuona kuwa matukio hayakuwa coincidences tu bali yalikuwa yanaambatana na careful planning
Safari hii ya nje ya nchi manmo May 2007, nayo pia ilipangwa na Boss X; isipokuwa aliyesafiri ni mhusika peke yake, na kwa wakati huo, alikuwa ana takribani mwezi na siku kadhaa tu tangu ajiunge na kitengo hiki cha Matetemeko ya Ardhi
  • Kuna safari nyingine iliyowahi kufanyika Desemba 2009 (nje ya nchi, nchi jirani ndani ya Afrika) ambayo waliifanya wakiwa wote wawili, Boss X na mhusika
  • Safari hii nayo pia ina maleezo kiasi ambayo yatafuata hapo baadaye
Safari nyingine inayofanana ya Desemba 2009, ni ile ambayo mhusika alitakiwa asafiri kwenda nje ya nchi jirani, ndani ya Afrika na kwenye nchi ile ile kama waliyowahi kwenda mwaka 2009 wakiwa na Boss X

Safari hii ilitakiwa kufanyika Novemba 2012 ambapo mhusika alipata dharura iliyoepeleka asiifanye safari hiyo. Kwa hiyo hakufanikiwa kwenda, na baada ya pale ndiyo akaomba kuruhusiwa kutokusafiri tena kikazi, ndani na nje ya nchi. Maelezo ya safari hii nayo yatafuata baadaye

Maelezo ya safari zote hizi ikiwemo ile ya mwisho lkabisa (Novemba 2012 ambayo hakufanikiwa kuifanya) mhusika alishayawasilisha kwa “SPECIALIST” mwanzoni mwa mwaka 2016, sawaswa kabisa na alivyokuwa ameagizwa na mamlaka za juu za taasisi anayofanyia kazi

NENO LA HEKIMA:
UKIAMUA KUINGIA ULINGONI KUPIGANA NGUMI NA MUNGU, LAZIMA UKUBALIANE NA FACT MOJA ISIYOKUWA YA KAWAIDA KWENYE MICHEZO MINGINE YOTE KWAMBA MWAMUZI (REFEREE) LAZIMA PIA AWE NI YEYE

HII NDIYO KANUNI MUHIMU SANA KUHUSIANA NA NGUMI AMBAZO MUNGU HUWA NAPIGANA

KWA HIYO MUNGU HUWA ANAPIGANA NGUMI ZILE AMBAZO TU REFA LAZIMA HUWA NI YEYE.
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA INJINI INAYOTIKISIKA BAADA YA KUWA IMEBADILISHWA

Anachoona yeye mhusika ni kwamba injini aliyowekewa kwenye gari lake baada ya kuwa imetolewa ile ya kwake, haikufungwa vizuri (mounting) na pia haikukazwa vizuri kwa sababu sehemu ilipofungiwa haikuwa rasmi kwa kazi hiyo. Vile vile uharaka wa wafungaji kwa sababu walikuwa wako kwenye mkakati maalumu, na kwa muda maalumu.

Hii ndiyo sababu inayopelekea injini hiyo kutikisika pindi inapotokea amekimiba spidi ya kuanzia km80+, inatikisika ikiwa inataka kumtoa barabarani
 
UPDATE: FRIDAY 13 AUGUST 2013

KWA KIFUPI SANA KUHUSIANA NA BOSS-X


Huyu ndiye muda wote, amekuwa akipanga safari zote ambazo alishawahi mhusika kuzifanya, za ndani na nje ya Nchi

Mhusika alijiunga na kitengo cha matetemeko March 2007, na SAFARI YA KWANZA aliifanya mwezi huo huo wakiwa pamoja na Boss X pamoja na kundi la watu wengine kadhaa waliokujwa wamekuja kutoka Geological Survey of Tanzania, (GST) Dodoma

SAFARI YA PILI

SAFARI YA PILI
mhusika aliifanya akiwa peke yake mnamo May 2007, nje ya nchi, ndani ya Afrika

  • Safari hii ndiyo ile aliyowahi kurudi na kufika JKNIA akiwa amepishana na mzigo wake, ikamlazimu kulala maeneo ya karibu na uwanja wa ndege akiwa anasubiria ndege iliyokuwa inakuja nyuma ikiwa na mzigo wake
  • Ni kwa sababu mzigo wake haukuwepo kwenye ndege aliyokuwa amekuja nayo
Kwenye safari hii wakati wa kurudi, akiwa yuko kwenye Airport ya nchi nyingine jirani (tofauti na nchi kule alikokuwa anatokea) akibadilisha ndege

  • Alikutana na watu watatu, staff-mates
  • Wawili walikuwa wanabadilisha ndege kwenda nchi nyingine na mwingine wa tatu alikuwa anasubiria ndege ya kurudi Tanzania
Maelezo ya kina ya safari hii mhusika tayari alishawahi kuyaweka humu.

Baada ya kuwa amerudi kutoka safari hiyo ofisini, mhusika alimueleza Boss X kilichotokea kuhusiana na mzigo wake na kubadilishwa kwa schedule ya flight yake pasipo kufuata utaratibu unaoelweka. Baada ya kuwa amesikia malalamiko hayo, Boss X alimjibu mhusika kuwa “ SO AND SO huwa wako hivyo” akimaanisha shirika carrier la ndege aliyokuwa amesafiri nayo mhusika kwenye safari hiyo

SAFARI ZA TATU, NNE NA TANO

SAFARI YA TATU
mhusika aliifanya Julai 2007, wakati wanaenda kuweka vituo vipya na kwa mara ya kwanza kwenye mikoa ya Shinyanga (Kahama), Mwanza (Geita), Biharamulo, Muleba, Bukoba mjini, Kibondo, Kasulu, Makere na Kigoma mjini. SAFARI YA NNE na YA TANO nazo pia zilihusisha sehemu hizi hizi
  • SAFARI YA NNE ilifanyika Desemba 2007 na YA TANO June/Julai 2008
  • Details zaidi za safari hizi ikiwa ni pamoja na baadhi tu ya yale aliyowahi kukumbana nayo kwenye safari hii zitafuata baadaye
MHUSIKA WABADILISHANA NA STAFF-X MAENEO YAO YA UTAFITI

Baada ya hapo, Desemba 2008 ndiyo wakawa wamebadilishana na Staff-X. Wakati huo vituo hivyo vikaanza kuhamishwa sasa kutoka mikoa hiyo ya Kanda ya Ziwa na kupelekwa kwenye mikoa ya Kusini ambayo ni MBEYA, RUKWA, LINDI, MTWARA, na SONGEA
  • Kwa hiyo mhusika alifanya kazi kwenye vituo hivyo vikiwa bado viko mikoa ya Kanda ya Ziwa
  • Baada ya kuwa vimehamishwa, Staff-X ndiyo akanaanza kuhusika. Staff-X alihusika kuanzia kwenye kazi ya kuvihamisha kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa na kuvipeleka na ikiwa ni pamoja na kuviweka, mikoa ya Kusini
  • Kwa hiyo Staff-X alifanya kazi kwenye vituo hivi kipindi vilipokuwa vimehamia mikoa ya Kusini, hadi mwisho muda wake ulipoisha na vikatolewa
SAFARI YA SITA NA YA SABA NA NYINGINE NYINGI ZILIZOFUATA BAADA YA HIZO (DESEMBA 2008)
  • SAFARI YA SITA ni ile aliyoifanya kwenye vituo vya Engaresero, Ketumbeine na Engaruka wakiwa pamoja na Dereva X na Boss X
  • SAFARI YA SABA ni ile aliyoifanya kwenye vituo vya Kiteto, Kondoa, Babati, Manyoni, na Singida wakiwa pamoja na Dereva X na Boss X
Mhusika alifanya safari hizi kwenye eneo alilokuwa amehamishiwa na ambalo ni la vituo vya kudumu.
  • Kutokana na hali hiyo, safari nyingine nyingi zilifuata pia baada ya hizi kwa sababu vituo hivyo viliendelea kuwepo muda wote, ni vya kudumu
  • Aliendelea na safari za kwenye vituo hivi, wakipeana zamu na Boss X, huyu akienda safari hii mwingine anakuja anaenda safari nyingine inayofuata
Kwa hiyo kuanzia SAFARI YA NANE, mhusika alianza sasa kusafiri peke hadi May 2012, na baada ya Desemba 2012, aliomba aruhusiwe ili asisafiri tena, ndani na nje ya nchi

…………………….inaendelea
 
Back
Top Bottom