#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

MAUDHUI YA TANGAZO LA MR X J2 YA TAREHE 12/03/2023

ALIWAITA WANAUME ILI KUWAKUMBUSHA KUTOA MCHANGO WA SHS 5,000/= KILA MWEZI, AMBAO JUMLA YAKE NI SHS 60,000/= KWA MWAKA MZIMA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MAELEZO MUHIMU KUHUSIANA NA SIKU YA PILI AMBAYO RAFIKI ZAKE MHUSIKA WALIMTEMBELEA OFISINI; SIKU AMBAYO KATIBU MUHTASI WA MKUU WA IDARA (KMWI) ALIKUWA AMEKAIMISHA NAFSI YAKE KWA MTU MWINGINE

Malezo ya nyuma kuhusiana na yale yaliyojiri siku hiyo, mhusika alishawahi kuyaleta humu jukwaani kupitia post hii hapa #1,212

MAELEZO KUHUSIANA NA MTU ALIYEKUWA AMEKAIMISHWA NAFASI YA KMWI SIKU HIYO, ALHAMIS YA TAREHE 27 NOVEMBA 2022

Mtu huyu ni mfanyakazi mgeni ambaye amefika idarani hivi karibuni, na ana takribani mwaka sasa tangu awepo idarani; huku akiwa anasemekana kuwa ni Human Resources (HR). Anasemekena kuwa HR kwa sababu hajawahi kutambulishwa kwa wafanyakazi na UONGOZI WA IDARA AU ULE WA MAJOR UNIT

  • Yaweza kuwa pengine HR huyu alishawahi kutambulishwa kwa wafanyakzi wengine ila kwa mhusika, HR huyu hawajawahi kutambulishwa kwake na kiongozi yeyote yule
  • Aidha HR huyu hajawahi pia kubahatika kuhudhuria kikao chochote cha idara hadi leo hii, na possibly hiyo ndiyo sababu inayopelekea mfanyyakzi huyu asiwe ameweza kutambulishwa hadi leo
NAMNA AMBAVYO MHUSIKA AMEKUWA AKIIFAHAMU ORGANISTAION STRUCTURE (OS) TANGU AMEAJIRIWA, ZAIDI MIAKA 20 SASA

HAPO KABLA, MHUSIKA HAKUWAHI KUONA HR AKIWA ALLOCATED KWENYE NGAZI YA IDARA AU YA MAJOR UNIT, ISIPOKWA ADMINSTRAIVE OFFICERS TU


Kunaweza kukawa kumeshafanyika mabdiliko ya policy kwenye Taasisi ambayo yamepelekea kubadilika kwa muundo wa OS ya Taasisi, kitu ambacho si lazima sana na wala siyo muhimu kwa mhusika kukifahamu kwa sababu si mmoja wa wafanyakazi walio kwenye excutive level ya Taasisi

Hata hivyo kwa OS aliyokuwa anaifahamu tangu aajiriwe ni kwamba kwenye levels za IDARA na MAJOR UNIT, hapajawahi kuwa na watu ambao ni HR na hivyo mara zote kazi zilizotakiwa kufanya na watu hawa, zimekuwa zikifanywa na WAKUU WA IDARA na WAKUU WA MAJOR UNIT. Nadhani mkakati huu ni kwa Taasisi kujaribu kubana matumizi, na wakati huo huo ikiwa iinajaribu kuhakikisha kuwa inapata maximum use of Human Resources

Kwa hiyo hapo kabla mhusika alikuwa hajawahi kuona HR akiwa yupo kwenye ngazi ya IDARA AU YA MAJOR UNIT; ila amekuwa akiwaona ADMINISTRATIVE OFFICERS tu, nao wakiwa wanafanya kazi kwenye ngazi ya MAJOR UNIT na si kwenye ngazi ya IDARA,

SIKU CHACHE BAADA YA HR HUYU KUWA AMEFIKA IDARANI HUKU AKIWA BADO HAJATAMBULISHWA NA UONGOIZ WA IDARA

HR huyu alifika ofisini kwa mhusika na kuchukua nafasi ya kujitambulisha mwenyewe kwa mhusika kuwa yeye amekuja pale idarani kama HR

Mbali na hilo, HR alimuomba mhusika kama ana tatizo lolote ambalo anaweza akamsaidia, na mhusika alimjibu kwa kumwambia kuwa hakuwa nalo. Kwa siku hiyo, maongezi yao yaliishia pale na HR aliondoka

Kwa muda wote huo, HR huyu alikuwa aki-share ofisi na KMWI, isipokuwa amekuja kubadilisha ofisi hivi karibuni, siku kadhaa baada mara baada tu ya ujio wa watoto rafiki zake na mhusika

……………………….inaendelea
 
UGENI WA PILI WA HR OFISINI KWA MHUSIKA, HUKU AKIWA BADO HAJATAMBULISHWA NA VIONGOZI HUSIKA

Ugeni wa pili wa HR ofisini kwa mhusika ulifanyika tena mwishoni mwa mwaka jana, na ilikuwa kabla ya ugeni wa rafiki zake mhusika

Siku hiyo, HR alikuwa anahitaji details zote za mhusika tangu aajiriwe hadi leo na pia picha ndogo passport size za mhusika

Mhusika alijaribu kumweleza HR kwamba waraka kutoka ngazi za juu kwa swala zito kama hilo alikuwa bado hajauona

HR alijibu kuwa ni maelekezo kutoka kwenye kikao cha juu cha Taasisi ambacho waliwahi kuhudhuria na hivyo zaidi ya instructions hizo za tu za mdomoni alizokuwa nazo yeye siku hiyo, waraka kutoka mamlaka za juu haukuwepo

Siku hiyo tena, maongezi yao yaliishia hapo, na HR aliondoka

NAMNA AMBAVYO MHUSIKA AMEKUWA SIKU ZOTE AKIYAONA YANAFANYIKA, MAWASILIANO YA UTENDAJI KAZI KATI YA SUPERIORS NA SURBODINATES NDANI YA TAASISI

Ilivyo kawaida siku zote kwenye Taasisi ni kwamba HR huyu hahitajiki sana kuwa anapita pita maofisini mwa wafanyakazi wenzake kuwapa nyaraka au maelekezo ya kiofisi isipokuwa utaratibu ni kwamba anatakiwa ampe nyaraka hizo KMWI ambaye naye baada ya hapo, atazitoa kopi na hatin=maye kuwawewekea wafanyakazi kwenye pigeon holes zao, na si HR kuwa anawafuata maofisini mwao

Vinginevyo maelekezo hayo yanaweza pia kutumwa kama email; kwa kutmia email ambayo ni official, na inayotumia domain ya Taasisi, huku yakiwa yameambatanishwa na waraka husika kutoka mamlaka za juu za Taasisi; pale ambapo maelekezo hayo yanakuwa ni ya kutoka ngazi za juu

MENGINE YA MUHIMU NA YA HIVI KARIBUNI ZAIDI YALIYOJIRI KATI YA MHUSIKA NA HR; NDANI YA WIKI TATU MFULULIZO KUANZIA WIKI JUZI, WIKI JANA NA WIKI HII

Haya yaliyojiri hivi karibuni, yametokea huku HR akiwa tayari alishabadilisha ofisi; na mawili kati yake, yametokea wanafunzi wakiwa tayari wameshaondoka kwenda likizo

Ofisi anayotumia sasa HR imejificha kidogo na hivyo haina interaction zozote na wanafunzi, na iko ground floor mwisho kabisa upande wa pli wa jengo ambako kawaida mara nyingi wanafunzi huwa hawawezi kufika huko, isipokuwa wafanyakazi tu

Baada ya HR kuhamia kwenye ofisi hiyo, binti mwingine ambaye alihamia kutoka Dodoma, naye alihamishwa kutoka kwenye ofisi yake ya siku zote aliyokuwa anakaa na kupelekwa kwenye ofisi hiyo mpya; ili ofisi iwe na watu wawili

……………………inaendelea
 
UGENI (WA KWANZA) WA WIKI JUZI WA HR OFISINI KWA MHUSIKA

Kwenye ugeni huu, HR alituma mtu mwingine; kijana ambaye yupo idarani kwa takribani miaka miwili sasa

  • Mhusika amekuwa akimuona tu kijana idarani na hajawahi kujua kama ni mwajiriwa ama la; hajawahi kutambulishwa kwake
  • Kwa mara ya kwanza, mhusika alimkuta kijana huyu akiwa yupo mazingira ya ofisini mwanzoni mwa Oktoba 2021 (mwaka juzi), baada ya mhusika kurudi ofisini akitwa anatokea kwenye likizo yake ya mwaka 2021
UJUMBE AMBAO KIJANA HUYU ALIKUWA AMEMLETEA MHUSIKA KUTOKA KWA HR

Kijana aikuwa anahitaji kurekodi furnitures and fixtures za ofisini kwa mhusika na baada ya pale mhusika alitakiwa aandike tarehe na kuweka sahihi yake kwenye rekodi hiyo

Hapakuwa na waraka wowote uliokuwa umetolewa awali ukielekza hivyo, lakini mhusika alitekeleza maelekezo ya mdomo kutoka kwa kijana huyo. Hilo likapita

UGENI (WA PILI) WA WIKI JANA WA HR OFISINI KWA MHUSIKA

Kwenye ugeni huu vile vile, HR aliwakilishwa na kijana yule yule aliyewahi kumuwakilisha kwenye ugeni ule wa kwanza

Kijana alimletea mhusika karatasi ambayo alitakiwa ajaze kueleza tatizo lolote alionalo yeye (grievances) au ambalo si lake ila analijua kuwa lipo kwa mfanyakazi mwenzake idarani

  • Safari hii mhusika alimuuliza kijana kama waraka unaoelekza hivyo alikuwa nao. Kijana alisema hakuwa nao na hivyo mhusika alimshauri akautafute kwanza aje halafu aje nao
  • Kijana aliondoka na baada ya masaa kadhaa kuwa yamepita, alirudi akiwa nao na kumuonyesha mhusika
Katika hali ya kawaida hadi kufikia hatua hiyo baada ya kijana huyo kuwa ameupata waraka huo, alikuwa hahitajiki tena kurudi ofisini kwa mhusika bali alitakiwa akauache kwa Sekretari ofisi ya MWI; ambaye naye (Sekretari) angeupiga kopi na hatimaye kumwekea mhusika kwenye pigeon hole yake

Hilo nalo likapita

UGENI (WA TATU) WA J5 WIKI HII (JANA) WA HR OFISINI KWA MHUSIKA

Jana J5 ya tarehe 15/03/2023
; HR mwenyewe alifika ofisini kwa mhusika amebeba waraka aliouelezea kuwa ulikuwa na taarifa za mhusika za kudaiwa deni la fedha mwaka 2018, ambalo hajalipa

Baada ya hapo, HR aliondoka ofisini kwa mhusika akiwa na ujumbe huo pamoja na waraka pia; hakumwachaia mhusika

Kawaida HR alitakiwa amwekee mhusika ujumbe huo kwenye pigeon hole yake iliyo ndani ya ofisi ya MWI ikiwa ni pamoja na waraka; au angemwachia mhusika kopi za nyaraka hapo ofisini kwake walipokuwa wanafanyia maongezi yao
……………………inaendelea
 
IUJUMBE MUHIMU SANA ULIOKUWA UMEMPELEKA HR OFISINI KWA MHUSIKA:

ALIKUWA AMEKUJA KUFUFUA SWALA LA MAMBO YA FEDHA AMBALO AFISA TAWALA ALIYEMALIZA MUDA WAKE DESEMBA 2022, ALIWAHI KULIANZISHA KWA BAHATI MBAYA TU NA HATIMAYE KULISITISHA TENA


Kabla hajashushwa shushwa cheo hapa katikati, kwa mara ya mwisho kabisa mhusika aliwahi kupanda cheo na hivyo kufikia ngazi ya mwisho kabisa kwenye kada yake, Julai mosi 2012

  • KUANZIA PALE HADI SIKU YA KUSTAAFU; MHUSIKA ALIPATA STAHIKI YA KUKAA KWENYE NYUMBA YA SERIKALI BURE
  • Hata hivyo, ilipofika August 2018, wanafunzi wakiwa wapo likizo na ikiwa ni miaka sita kamili kuwa imepita tangu mhusika alipoanza kuishi bure kwenye nyumba ya Serikali, aliandikiwa barua na Afisa Tawala aliyestaafu Desemba 2022, kuwa anadaiwa pango la nyumba kuanzia Julai 2017 ilhali mhusika alikuwa tayari ameshapata stahiki ya kukaa bure kwenye nyumba ya Serikali tangu Julai 2012
Baada ya hapo, Afisa Tawala alikaa kimya kipindi cha mwaka mzima na hatimaye kuja kukumbushia tena deni hilo, Septemba 2019, safari hii tena wanafunzi wakiwa wapo likizo

  • Safari hii alimtishia mhusika kumfukuza kwenye nyumba ya Serikali
  • Baada ya barua hiyo, mhusika alimjibu tena Afisa Tawala akimweleza kuwa kwa mara ya kwanza yeye (mhusika) alipata stahiki ya kukaa bure kwenye nyumba ya Serikali kuanzia Julai mosi 2012 na hivyo hakuwa anastahili tena kulipia pango la nyumba kuanzia pale hadi atakapostaafu, NA KESI YAO ILIISHIA HAPO
HITIMISHO

Inaweza kuwa pengine labda baada ya kustaafu, Afisa Tawala huyu amebadilisha tena mawazo na hivyo anaona kuwa madai ya mhusika kuhusiana na makato yaliyowahi kufanyika kwenye mshahara wake kuanzia mwaka huo wa 2018, hatakiwi kuyapata tena kama compensation kwa makato ambayo hakuwa anastahili kukatwa kutoka kwenye mshahara wake.

Kuna makato ya nyumba ambayo yaliwahi kufanyika kuanzia hiyo Februari 2018, kwenye mshahara wake ambao uliwahi kupunguzwa TZS 700,000/= na kuendelea kubaki pale pale, baada ya kuwa ameshushwa cheo kwa mara ile ya kwanza mwaka 2014

Hayo pia ni mojawapo tu ya madai ambayo mhusika bado anaendelea kuyadai hadi leo hii

Maelezo mengine ya ziada kuhusiana na swala hili lililokuwa limempeleka HR ofisini kwa mhusika siku hiyo, mhusika alishawahi kuyaleta humu jukaani kupita kwenye post hizi hapa #319 na #707
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
VINGINEVYO KUHUSIANA NA CHANZO CHA YALE AMBAYO MR X AMEKUWA AKISHUGHULIKA NAYO KWA MUDA MREFU SASA

Kwa sasa inaweza kuwa ni muhimu kwa wasomaji walio wengi, kurejea tena kwenye maelezo yaliyopo kwenye post hii hapa #656
Maelezo haya ni yanahusiana na kipindi kile cha Sekretari yule wa pili; ambaye alikuja kufuatiwa na huyu aliyepo sasa
Kipindi hicho, MKUU WA MAJOR UNIT wa sasa ndiyo alikuwa MKUU WA IDARA kwa sababu MAJOR UNIT ilikuwa haipo
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 17TH MARCH 2023

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA KIONGOZI MSIMAMIZI WA UCHAGUZI AMBAYE MHUSIKA AMEMWONGELEA KWENYE POST ILIYO HAPO JUU


Actually mtu huyu hakuwa studentmate tu wa mhusika bali alikuwa ni classmate wake kwenye darasa la kozi za ualimu

Classmate mwingine wa mhusika ambaye naye kwa kipindi hicho alikuwa pia ni foreigner, ni mke wa shemasi wa Kanisa A, shemasi ambaye mhusika aliwahi kumwongelea kwenye post hili hapa #1,300

Vinginevyo, waumini wengine ambao siyo foreigners na ambao walikuwa classmates wa mhusika kwenye darasa hilo, ni yule Profesa kijana kuliko wote pamoja na mke wake ambao nao pia kwa sasa ni waumini wa Kanisa A. Profesa huyo kijana pamoja na mke wake, walisoma darasa moja na mhusika, kwa maana kuwa nao pia kwa pamoja walikuwa classmates wa wawili hao ambao kwa kipindi hicho waliokuwa ni foregners

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UKIONDOA MATUKIO YA HIVI KARIBUNI YALIYOJIRI KATI YA MHUSIKA NA HR:

BAADHI YA MATUKIO MENGINE MACHACHE KATI YA MENGI AMBAYO YALISHAWAHI KUTOKEA KATIKA VIPINDI VYA AINA HIYO HIYO AMBAVYO WANAFUNZI WALIKUWA WAPO LIKIZO


Matukio haya ni machache tu kati ya matukio mengi ambayo yalishawawahi kumtokea mhusika huku wanafunzi wakiwa wapo. Matukio haya ni kama yalivyoorodheshwa kwenye posts zilizopo hapa chini.

Matukio haya yote, yalitokea wanafunzi wakiwa hawapo kwenye mazingira ya Taasisi, walikuwa wapo likizo

#493
#494
#502

#558
#706
#707
Kwenye tukio hili #707 , mbali na kuwa wanafunzi walikuwa wapo likizo, mhusika naye vile vile alikuwa yupo likizo nyumbani kwake

Ofisa wa nyumba ambaye ni jirani yake na mhusika, ndiye mhusika mkuu wa tukio hili

Ifuatayo hapa chini ni nukuuu ya baadhi ya maneno yalipo kwenye post hiyo

"Hata hivyo, mnamo AUGUST/ SEPTEMBA 2017 MHUSIKA AKIWA YUKO LIKIZO, ndiyo sasa ilitokea asubuhi moja akapokea ujumbe mfupi wa simu (SMS) kuwa anahitajika kwenye idara ya miliki ya nyumba ili akajaze fomu kwa ajili ya kupangiwa nyumba nyingine
  • Ujumbe huo ulitoka kwa msaidizi wa Ofisa wa nyumba, alikuwa ameagizwa na Ofisa wa nyumba mwenyewe
  • Mhusika hakuchelewa, “alitia timu” muda siyo mfupi na akakutana na msaidiizi wa Ofisa wa nyumba
  • Alipewa fomu ya kujaza ambayo alitakiwa kuipitisha pia kuanzia idarani kwake kwa Mkuu wa Idara hadi kwa mwakilishi wa MAJOR UNIT (above departmental leve, unitl iliyo juu ya idara ambayo mhusika anafanyia kazi) wa kamati wa nyumba
  • Wakati huo, Mkuu wa Idara hakuwepo, isipokuwa kulikuwa na kijana mwingine “junior” ambaye ilikuwa ni mara yake ya kwanza kabisa ku-act nafasi hiyo kwa sababu seniors karibia wote hawakuwepo idarani kipindi hicho, walikuwa likizo na wengine walikuwa bado wako kwenye mazoezi ya vitendo (field)
Ikumbukwe kuwa kwenye kipindi hiki mhusika alikuwa bado yuko likizo na ilikuwa ni wakati wa likizo pia kwa wanafunzi wote, nao pia hawakuwepo mazingira ya ofisini
Mhusika alifanikiwa kukamilisha sahihi za watu wote hawa wawili, na baada ya hapo akaanza kusubiria sasa kupangiwa nyumba nyingine ili ile aliyonayo ianze kufanyiwa ukarabati mkubwa"

Mwisho wa kunukuu

#776
#803
#810

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 20TH MARCH 2023

MATUKIO YA KANISA A YANAVYOZIDI KUCHUKUA SURA MPYA NA ZA HATARI ZAIDI KADRI SIKU ZINAVYOSONGA MBELE:

UNLESS KAMA KWA KIPINDI HIKI, MR X ANAFANYA KAZI ILI KU-MEET DEADLINE FULANI ALIYONAYO, VINGINEVYO UWEZEKANO NI KWAMBA TAYARI KUMESHAANZA KUJENGEKA KIKUNDI KIDOGO CHA WAUMINI HAPO KANISA A; AMBACHO KINAFANYA KAZI KAMA MAJAMBAZI

Kuna gari ndogo ngeni aina ya IST yenye vioo tinted,
iliingia Kanisani J2 iliyopita kwenye muda ambao waumini walikuwa wanajiandaa kutoka mara tu baada ya Ibada ya pili kuwa imemalizika.Gari hiyo iltokeza ghafla na kuja kupaki karibu kabisa na bampa la gari la mhusika; huku mhusika akiwa tayari ameshawasaha gari lake tayari kwa kuondoka

  • Wakati huo, waumini walio wengi walikuwa wanasubiria mvua ikatike kwaza; huku gari hiyo ikijitokezaa ghafla mara baada tu ya mhusika kuwa ameingia ndani ya gari lake na kuwasha gari ili aondoke
  • Gari hiyo ilikuwa na watu ndani ambao mhusika hakufanikiwa kuwaona; na ilikuja ikamziba ili asiweze kugeuza hivyo kushindwa kutoka kwa kwenda mbele
  • Gari hiyo ilipaki karibu kabisa na bampa la gari la mhusika kiasi kwamba ule mlango wa dereva haukuwa tena na nafasi ya kutosha kuweza kufunguka kwa sababu nafasi iliyokuwa imabeaki kati gari hiyo na bampa la gari la mhusika, ilikuwa hairuhusu kitu hicho kutokea
Mhusika aliamua kuondoka Kanisani huku mvua ikiwa bado inaendelea kunyesha, kwa sababu alikuwa amepaki usawa wa lango kuu la kuingilia ndani ya Kanisa, kiasi kwamba hapakuwa na umbali mkubwa kati yake na sehemu gari lake lilipokuwa limepaki

Chances ni kwamba gari hiyo ngeni ilifanya hivyo makusudi ili mhusika aghafirike kutokana na ukweli kwamba tukio hilo halikuwa la kwanza siku hiyo bali la tatu, huku la kwanza kabisa likiwa limeasisiwa na Profesa pale nje ya gate wakati mhusika alipokuwa anaingiza gari ndani.

Maelezo ya kina zaidi kuhisna na matukio ya J2 hiyo yanafuata kwenye post zinazofuata

………………………inaendelea

UPNEXT: MATUKIO MATATU MAKUBWA ALIYOKUMBANA NAYO MHUSIKA KANISANI J2 HIYO
 
MATUKIO MATATU MAKUBWA ALIYOKUMBANA NAYO MHUSIKA KANISANI J2 HIYO

Tukio la gari hii aina ya IST yenye vioo tinted, lilikuwa ni tukio la tatu tangu mhusika awasili Kanisani J2 hiyo; na lile la kwanza kabisa lilikuwa tayari limeshafanywa na Profesa wa siku zote getini asubuhi mhusika alipokuwa anaingiza gari ndani

  • Tukio la pili nalo pia lilikuwa tayari limeshafanywa na mama mwingine tena ambaye naye pia ni Kiongozi Kanisani hapo, na lilifanywa kwenye parking mara baada tu ya mhusika kuwa amepaki gari; akiwa bado yupo ndani ya gari anajiandaa ili aweze kutoka aelekee kwenye Ibada; Ibada ikiwa tayari imeshaanza.
  • Mama huyu mhusika wa tukio la J2 iliyopita, anaonekana ni mtaalamu kiasi wa matukio ya aina hii ukilinganisha na wale wenzake ambao wameshawahi kufanya matukio yanayofanana na hilo kwenye vipindi vya awali
  • Ni kwa sababu yeye alifanikiwa kulifanya tukio katika namna ambayo observers waliokuwa nje hawakuweza kujua kuwa ni mama Kiongozi aliyesababisha mhusika ahamishe gari lake pale alipokuwa tayari ameshaliweka awali muda mfupi uliokuwa umepita; bali possibly watakuwa walidhani kuwa ni yeye (mhusika) mwenyewe tu aliamua kubadilisha mawazo ghafla na hivyo kuamua kulitoa tena gari lake hapo na kuliweka kwenye sehemu nyingine
MAELEZO MAFUPI KUHUSIANA NA MAMA KIONGOZI ALIYEHUSIKA NA TUKIO LA PILI

Mhusika hana namna nzuri sana anayoweza akamwelezea Kiongozi huyu, bali ni yule mama ambaye mume wake naye pia ni Kiongozi Kanisani hapo, na ambaye (mama huyu) anafanya kazi uwanja wa ndege. Mwezi wa tisa mwaka jana mhusika aliwahi kukutana na mama huyu huko na mama huyu alimjulisha mhusika kuwa anafanya kazi huko.

Zaidi ni kwamba

  • Mama pamoja na mume; wote asili yao ni kutoka kule nyumbani kwetu ambako pia anatoka KM-A
  • Wote mume na mke ni slender and slim siyo wanene.
Hii ni katika kujaribu kuitofautisha couple hii na ile ya mwalimu wake mhusika ambao nayo pia inatokea huko huko isipokuwa wao ni mapande ya watu

TUKIO LA TATU

Tukio la tatu
ndiyo hilo lililofanywa na watu ambao waliingia Kanisani baada ya Ibada kuisha wakiwa kwenye gari IST yenye vioo tinted

Kwa namna anavyoyaona yeye, matukio haya ya J2 iliyopita, yanaashiria vitendo ambavyo vinaanza kutoka nje kabisa ya wigo wa matukio ya Kanisani, bali ya mtaani ambayo yanaweza kufananishwa na yale ya uharamia au ujambazi

KWENYE MATUKIO HAYA, MBALI NA WANAUME WAWILI KUHUSIKA AMBAO NI MR X NA PROFESA; KWA MARA YA KWANZA, WANAWAKE WAMEHUSIKA ZAIDI NA POSSIBLY MAMA WA KANISA AMBAYE NI MKE WAKE NA KM-A


Safari hii kikundi cha wanawake wapatao watano wamehusika; na POSSIBLY MAMA WA KANISA (tumwite MWK), mke wake na KM-A, naye pia akiwa ni mmojawapo wa wahusika hao

  • MWK hakuwepo kabisa kanisani J2 wakati wote wa IBADA YA PILI isipokuwa pale mwisho tu wakati Ibada inakaribia kumalizika; aliingia Kanisani mwishoni kabisa wakati wa matangazo ya Kiongozi wa Zamu
  • MR X naye pia aliingia ndani ya uzio wa Kanisa mara baada ya Ibada ya pili kuwa imemalizika, na katika muda ambao mhusika alikuwa tayari yupo ndani ya gari lake akiwa anaondoka kwa kurudi kinyumenyume
  • Wakati mhusika anatoka nje ya uzio, ndiyo kipindi hicho ambacho MR X alionekana akijaribu kupaki gari kwenye nafasi zilizokuwa mbele ambako mhusika alikuwa ametokea
J2 hiyo MR X alikuwa amehudhuria Ibada ya kwanza, walionana na mhusika maeneo ya getini ila hawakusalimiana.

Hii inamaanisha kuwa MR X alirudi tena Kanisani J2 hiyo na muda wake wa kuingia ndani unaonekana kugongana na muda wa kuingia gari ile ndogo iliyokuwa na watu ambao mhusika hakuweza kuwaona sura zao

GARI HII NDOGO ILIYOINGIA NDANI YA UZIO WA KANISA MARA BAADA YA IBADA YA PILI KUMALIZIKA

Gari ndogo iliyoingia wakati mvua inaendelea kunyesha ilimfanyia TIMING mhusika kwa mbele ili asiweze kugeuza na hivyo kumziba njia na hatimaye mhusika kuamua kutoka akiwa anatumia reverse gear, pamoja na uhafifu wa uoni uliuokuwepo muda huo kwenye SIDE MIRRORS; kutokana na maji ya mvua iliyokuwa ikiendelea kunyesha

  • Uwezekano mkubwa ni kwamba gari ndogo ngeni iliingia ndani ya uzio wa Kanisa ikiwa imefuatana na gari ya MR X; halafu MR X akawa amebaki nyuma kidogo kwa sababu wakati mhusika anatoka, muda huo huo ndiyo ule ambao alimuona tena MR X akiwa tayari yuko kwenye parking za mbele kule ambako yeye (mhusika) alikuwa ametokea
  • Mhusika akiwa anatoka kuelekea usawa wa gate, ndiyo pale alipomuona MR X akiwa na gari yake mbele, huku gari ndogo yenye tinted ikiwa inamfuata kwa nyuma mhusika, nayo ikiwa tayari inaondoka kuelekea nje ya uzio wa Kanisa
Gari hii ndogo haikukaa sana ndani ya uzio; ila iilikaa tu katika muda ule ambao mhusika alikuwa bado anashangaa kama ingeweza kumpisha ama la!

Vinginevyo kwa upande mwingine kama gari ndogo isingeweza kuliziba kwa mbele gari la mhusika; mhusika angefanikiwa kugeuza gari na hivyo kutoka kwa gear za kwenda mbele

BAADA YA GARI NGENI KUWA IMEINGIA NA KUPAKI KARIBU KABISA NA BAMBA LA GARI LA MHUSIKA; AKINA MAMA WAPATAO WATATU WALIJITOKEZA NA KWENDA KUIZINGIRA GARI HIYO KILA UPANDEE KAMA VILE WANATAKA KUINGIA NDANI, LAKINI HAWAKUINGIA

Wakati gari ndogo ilipokuwa bado ipo maeneo yale alipokuwa amepaki mhusika, huku mhusika akiwa tayari yupo ndani ya gari anataka kuondoka, kuna akina mama wapatao watatu walijitokeza na kwenda kuizingira gari hiyo huku wakiwa wana-fumble na vitasa vya milango yake kama vile walikuwa wanataka kufungua milango hiyo ili waingie ndani ya gari

  • Kwa makusudi, mmoja wao akina mama hao; alikuwa akijaribu kushika kitasa cha mlango wa upande wa dereva; mlango ambao ulijaribu kufunguka kidogo tu na hatimaye kufunga tena kutokana na ukweli kuwa ulikuwa upo karibu mno na bampa la gari la mhusika
  • Kutokana na ukweli kuwa mama huyo ana akili timamu, alijua fika kuwa mlango huo usingeweza kufunguka ukizingatia nafasi iliyokuwepo kati mlango huo na bamba la gari la mhusika
  • Kwa hali hiyo, mama huyu anadhihirisha kuwa alikuwepo pale kwa ajili ya kuwa-cover waliokuwa ndani ya gari hiyo, pamoja na kwamba vioo vyake vilikuwa ni tinted
  • Vile vile, mama Kiongozi aliyesababisha mhusika ahamishe gari lake na kwenda kupaki pale kabla hajaingia kwenye Ibada, aliujua mpango huu na hivyo alimhamisha mhusika ili aende akapaki pale ambapo ilikuwa ni desired location
TAFSIRI YA MHUSIKA KWENYE KITENDO CHA AKINA MAMA HAO KULIZINGIRA KILA UPANDE GARI HILO LA WAGENI KANISANI

  • Ilikuwa ni kumuaminisha mhusika kuwa waliokuwamo ndani ya gari hilo ni waumini wa Kawaida wa Kanisa A ilhali haikuwa kweli, ili baada ya pale, mhusika ashuke na kwenda kuiomba gari hiyo impishe ageuze gari lake na hapo ndipo ambapo mambo yangeanzia
  • Ilikuwa ni katika kujaribu kuwa-cover waliokuwa ndani ya gari hilo ili kwa bahati mbaya, wasiweze kuonekana na waumini wengine wa Kanisa A
Baada ya akina mama hao kuwa wamefanya kazi yao kisawasawa, na pale walipoona plan yao haijaenda kama walivyotarajia; walitawanyika bila kupanda kwenye gari, wakiiacha gari ikiondoka na watu wale wale waliokuja nayo wakati inaingia

MAMA WA KIROHO WA MHUSIKA ANAWEZA KUWA HAKUHUSIKA NA TUKIO HILI

Vinginevyo mmojawapo wa akina mama ambao wanaweza kuwa hawakuhusika na tukio hili kanisani hapo, ni mama wa kiroho wa mhusika.

  • Huyu yeye alikuwa ameondoka mapema sana na katika kipindi ambacho mhusika alikuwa bado yupo getini anaongea na waumini wenzake, gari lake (mhusika) likiwa bado limepaki nje ya uzio wa Knanisa.
  • Mama huyu wa kiroho alikuwa amempita mhusika pale getini asubuhi hiyo, japo hawakufanikiwa kugonganisha macho na hivyo hawakupungiana
Baadhi tu ya wahusika wakuu kwenye matukio ya J2 iliyopita, ni Profesa, MR X, MWK na yule mama Kiongozi mwingine ambao wote mume na mke ni Viongozi Kanisani hapo

UPNEXT: MAELEZO KAMILI YA MATUKIO HAYA MATATU KWA KUZINGATIA MPANGILIO WA NAMNA YALIVYOTOKEA

Tukio la kwanza

……………………..inaendelea
 
MAELEZO KAMILI YA MATUKIO HAYA MATATU KWA KUZINGATIA MPANGILIO WA NAMNA YALIVYOTOKEA J2 YA TAREHE 19/03/2023

TUKIO LA KWANZA:

MAELEZO YA UTANGULIZI

MHUSIKA WA TUKIO:


Mhusika wa tukio hili ni Profesa pamoja na vijana kadhaa wa mtaani waliokuwa wamesimama kwenye barabara iliyo jirani na uzio wa kanisa; mazingira ya Kanisani

MUDA WA TUKIO:

Ni wakati mhusika alipokuwa anatoa gari lake nje akiliingiza ndani ya uzio wa kanisa, tayari kwa ajili ya kwenda kuingia kwenye ibada ya pili; huku Ibada hiyo ikiwa tayari imeshaanza

SEHEMU YA TUKIO

Ilikuwa ni kwenye gate la kuingilia ndani ya uzio wa Kanisa

NAMNA TUKIO LILIVYOTOKEA:

Profesa akiwa ndiyo anaingia mazingira ya Kanisani kwa ajili ya Ibada ya pili akiwa anatokea nyumbani, aliwahisha gari lake usawa wa lango la kuingilia ndani ya uzio wa Kanisa na kwenda kusimama pale kwa angalau dakika mbili au tatu hivi, huku akimzuia mhusika kuingia ndani; gari zao za wawili hawa zikiwa zimeelekeana

  • Wakati huo Profesa alikuwa yupo sehemu ambayo ilikuwa inamruhusu kuona vizuri tu ndani ya uzio wa Kanisa kwa kupitia geti lililokuwa wazi, wakati mhusika alikuwa yupo sehemu ambayo alikuwa hawezi kabisa kuona ndani ya uzio huo
  • Kutokana na hali hiyo, baada ya Profesa kusimama pale, mhusika alidhani kuwa pengine kulikuwa na gari zingine tena ndani ya uzio, zilizokuwa zimeamua kutoka muda huo na hivyo kumsababisha Profesa asimame pale kwa muda, akijishauri mahali pa kuelekea kuwa muda ili azipishe kwanza gari hizo
  • Hata hivyo hali halisi haikuwa hivyo, kumbe hapakuwa na gari za aina hiyo isipokuwa Profesa aliamua mwenyewe tu kusimama pale bila kujali kuwa mhusika alikuwa anahitaji kuingia; na kwa wakati ambao Ibada ya pili ilikuwa tayari imeshaanza
Mhusika alikuja klibaini hilo baada ya kuwa amepishwa na Profesa na hivyo kufanikiwa kuingia ndani ya uzio wa Kanisa, asione gari lolote ndani ya uzio, lililokuwa linahitaji kutoka nje

Baada ya kuingia ndani, kule kwenye parking ndiyo alienda akakumbana tena na tukio jingine la mama Kiongozi; yaani tukio la pili

MAELEZO KAMILI YA MATUKIO YENYEWE

…………………..inaendelea
 
MHUSIKA ALIPOKUWA YUPO BARABARANI AMESIMAMA AKIMSUBIRIA PROFESA AIDHA AINGIE NDANI AU APISHE NJIA:

MMOJAWAPO WA VIJANA KUTOKA KWENYE KUNDI LA VIJANA WALIOONEKANA KUWA NI WA MTAANI WALIOKUWA WAMEKUSANYIKA MAENEO YALE; ALIMWASHIRIA MHUSIKA ASOGEE MBELE


Mhusika akiwa bado amesimama barabarani akisubiria Profesa ampishe, mmojawapo wa vijana waliokuwa mbele ya mhusika na hivyo nyuma ya Profesa; waliokuwa wamekusanyika maeneo yale pembezoni mwa barabara na ambao walionekana si waumini bali vijana wa mitaani; alimpa ishara mhusika kusogeza mbele gari

Mhusika aliitikia wito huo na baada ya hapo, Profesa naye alipisha njia na hivyo mhusika kuweza kupata access ya si kuona tu ndani ya uzio wa kanisa bali kuingia pia

  • Hata hivyo, kwa sehemu aliyokuwa ameshasogea, haikuwa rahisi tena kwa mhusika kukata kona ya kumuwezesha kupinda na kuingia moja kwa moja ndani ya uzio wa Kanisa kwa sababu kwa kiasi fulani, usawa ule wa kumuwezesha kukata kona na kuingia ndani ya uzio moja kwa moja, alikuwa ameupita kidogo
  • Kutokana na hali hiyo, mhusika alilazimika kuweka reverse gear kwanza ili kuutafuta usawa sahihi wa kuingilia ndani ya uzio wa Kanisa
  • Baada ya hapo mhusika aliifanikiwa kuingia ndani na njia ilikuwa ni nyeupe hadi kwenye nafasi aliyoona kuwa inafaa na hatimaye kupaki gari lake pale
Mbele ya pale alipopaki kulikuwa na gari nyingine ikiwa imepaki; kumbe ilikuwa ni ya mama Kiongozi

TUKIO LA PILI

Kabla hajashuka ndani ya gari, mama Kiongozi mwenye gari iliyokuwa mbele, alipita pale usawa wa upande wa dereva na kumuomba mhusika ampishe kwa sababu alikuwa anahitaji kutoka

  • Kwa kasi aliyokuwa nayo, mama Kiongozi wala hakupata muda wa kusimama kumweleza hilo mhusika, bali alipita akiwa anatamka maneno huku akiwa anatembea kuelekea kwenye gari lake
  • Kitendo hiki kilifanyika ndani ya sekunde kadhaa tu baada ya mhusika kuwa ameweka gari lake sehemu hiyo
Ili kuitikia wito wa kiongozi wake, mhusika alilazimika kurudi reverse na kubadilisha nafasi ya gari lake kwa kwenda kuliweka kwenye nafasi nyingine liyokuwa nyuma ya ile ya awali; safari hii tena nyuma ya gari nyingine

Configuration ya namna ya kupaki gari J2 hiyo ilikuwa ni ya shida kidogo kwa sababu KUNA BAADHI YA GARI NYINGI KIASI AMBAZO ZILIONEKANA KUWA NI ZA WATU WA IBADA YA KWANZA AMBAZO HAZIKUWA ZIMETOKA NJE, possibly kutokana na majukumu mengine ambayo watakuwa walikuwa wametangaziwa wakati wa matangazo ya Ibada ya pili, na katika muda ambao mhusika alikuwa bado hajawasili maeneo ya Kanisani

HITIMISHO

Baada ya Profesa kumpisha mhusika, Profesa hakuingiza tena gari ndani ya uzio wa Kanisa na muda huo bali aliendelea kubaki nje. Mhusika hakuweza kujua kuwa alienda kupaki wapibaada ya pale ila kwenye Ibada walionana na pia waliongea na kusalimiana

ON THE BACKGROUND, matukio mawili ya kwanza nayo pia yalikuwa yana kitu kingine kikubwa nyuma yake ila kwa upande mwingine matukio haya yalikuwa yanashughulika na LOCATION; huku yakiwa yamewekwa kama PLANS A AND B; na PLAN C ikiwa ni tukio lile la tatu lililohusisha gari ndogo aina ya IST yenye vioo tinted

Chances ni kwamba alipokuwa bado yupo pale nje ya uzio wa Kanisa, mhusika alitakiwa ashuke kwenye gari kwenda kuona ni nini kilikuwa kinaendelea upande wa Profesa kushindwa kukata kona kuingia ndani nya uzio wa Kanisa na hapo ndipo baadhi ya vijana waliokuwa wapo maeneo yale wangepata mwanya wa kuingia kazini muda huo huo

Kwa TUKIO LA TATU, mhusika ameshaeleza yote yaliyo muhimu isipokuwa kama kutatokea nyongeza mhusika ataileta kwenu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 20TH MARCH 2023

YALE AMBAYO MHUSIKA HAKUYASEMA KWENYE MAELEZO YAKE KWENYE POST ILIYOPO HAPO JUU

KUHUSIANA NA SCANNING YA GARI LA MHUSIKA KWENYE SIDE MIRRORS ZA MAGARI YA BAADHI YA WAUMINI J2 ILIYOPITA


Mbali na yale yote ambayo mhusika ameshayaeleza hapo juu, watu wafuatao walifanikiwa kuli-scan gari la mhusika kwa kutumia side miriros za magari yao, J2 iliyopita

  • Profesa: Huyu alili-scan gari la mhusika pale alipoamua kutokuingia ndani ya uzio wa Kanisa kwa kumpisha mhusika ili aingie na yeye kuendelea mbele kwingineko nje ya uzio wa Kanisa
  • Mama kiongozi naye pia alifanya hivyo wakati mhusika anasogea nyuma kulipisha gari lake ili aweze kutoka
  • MR X naye vile vile wakati alipokuwa anaingia; mhusika naye akiwa anarudi kinyume nyume kuelekea kwenye geti la kutokea nje ya uzio wa Kanisa
Mbali na hao, kuna gari jingine ambalo mhusika alienda akapaki nyuma yake baada ya kuwa amempisha Mama Kiongozi.

  • Hadi Ibada ya pili inamalizika, gari hilo halikuwepo tena; mhusika hakulikuta
  • Baada ya kuwa limetoka, gari hilo liliacha nafasi ambayo ingemuwezesha mhusika kugeuza gari na kutoka nje ya uzio kwa njia ya kawaida ya kwenda mbele, mara baada ya Ibada kuwa imemalizika
  • Kwa bahati mbaya, nafasi hiyo ndiyo iliwahiwa na hatimaye kuja kuzibwa na IST yenye vioo tinted
Gari hilo nalo pia litakuwa lilii-scan gari ya mhusika wakati lilipokuwa linaondoka mahali pale ambapo mhusika alilikuta limepaki. Gari hilo liliondoka pale kipindi mhusika alipokuwa bado yupo kwenye Ibada ya pili iliyokuwa inaendelea

Vinginevyo mhusika mwenyewe naye pia alikuwa anaya-scan magari mengine yale yaliyokuwa nyuma yake, ili aweze kupita vizuri pasipo kuyangonga, pale alipokuwa anarudi kinyume nyume kuelekea getini

Na hii ndiyo sababu kubwa iliyokuwa imepelekea magari mengi ya waumini wa Ibada ya kwanza, kutokutolewa nje ya uzio wa Kanisa na kilichopelekea hilo kufanyika ni sababu kuu tatu

  • Mosi: Mhusika asiweze kupata nafasi ya kupaki akiwa ameelekeza gari lake kwenye gate la kutokea, kitu ambacho baada ya Ibada kumalizika, kingemruhusu atoke nje ya uzio wa Kanisani kwa kwenda mbele na si kwa kurudi kinyume nyume
  • Pili: Mhusika asiweze kupata nafasi nyingine yoyote ile ya kumuwezesha kupaki katika namna ambayo ingemuwezesha kutoka pasipo kururudi kinyume nyume; kama vile nafasi zilizo pembezoni mwa uzio wa kanisa.
Nyingi ya nafasi hizi zilizo pembezoni mwa uzio wa Kanisa, ndiyo zile zilizokuwa zimejazwa na magari ya watu wa Ibada ya kwanza

Tatu: Mhusika aweze kuya-scan vizuri magari mengine kwa kutumia side mirrors za gari lake, wakati atakapokuwa, katika ile namna ya kuyakwepa ili aweze kupita vizuri pasipo kuyagonga

Ikumbukwe kuwa madhabahu ya VIOO/ LENSI iko kwenye maabara ya DARUBINI iliyo jirani na ofisi ya mhusika; maabara ambayo iko chini ya MR X

KUHUSIANA NA MAMA WA KIROHO WA MHUSIKA

Kwenye mazingira ya Kanisani, kwa kipindi chote cha mwaka huu wa 2023 ila kabla ya J2 ya wiki juzi (kabla ya J2 ya tarehe 12/03/2023), mhusika aliwahi kuonana na pia kusalimiana na mama huyu mara moja maeneo ya kantini ya chakula

Baada ya hapo, mhusika na mama huyu hawakuwahi kuonana tena kwenye mazingira ayo, hadi ilipofika tena J2 ya wiki juzi ya tarehe 12/03/2023

Kwenye J2 tajwa, mhusika akiwa yupo kwenye parking anaegesha gari lake, alimuona mama huyu kwa umbali kiasi akiwa na kundi la waumini kadhaa wakiwa wamesimama wanaongea.

Baada ya mhusika kuwa amepaki gari, alinyoosha moja kwa moja kuelekea ndani ya Kanisa na hivyo kwa siku hiyo, mhusika na mama hawakubahatika kuongea wala kusalimiana.

Na mara ya tatu kwa mwaka huu 2023, ndiyo J2 iliyopita mama alipompita mhusika akiwa yupo maeneo ya getini, yeye akiwa ndani ya gari anaondoka kanisani kuelekea nyumbani

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 20TH MARCH 2023

YALE AMBAYO MHUSIKA HAKUYASEMA KWENYE MAELEZO YAKE KWENYE POST ILIYOPO HAPO JUU

KUHUSIANA NA SCANNING YA GARI LA MHUSIKA KWENYE SIDE MIRRORS ZA MAGARI YA BAADHI YA WAUMINI J2 ILIYOPITA


Mbali na yale yote ambayo mhusika ameshayaeleza hapo juu, watu wafuatao walifanikiwa kuli-scan gari la mhusika kwa kutumia side miriros za magari yao, J2 iliyopita

  • Profesa: Huyu alili-scan gari la mhusika pale alipoamua kutokuingia ndani ya uzio wa Kanisa kwa kumpisha mhusika ili aingie na yeye kuendelea mbele kwingineko nje ya uzio wa Kanisa
  • Mama kiongozi naye pia alifanya hivyo wakati mhusika anasogea nyuma kulipisha gari lake ili aweze kutoka
  • MR X naye vile vile wakati alipokuwa anaingia; mhusika naye akiwa anarudi kinyume nyume kuelekea kwenye geti la kutokea nje ya uzio wa Kanisa
Mbali na hao, kuna gari jingine ambalo mhusika alienda akapaki nyuma yake baada ya kuwa amempisha Mama Kiongozi.

  • Hadi Ibada ya pili inamalizika, gari hilo halikuwepo tena; mhusika hakulikuta
  • Baada ya kuwa limetoka, gari hilo liliacha nafasi ambayo ingemuwezesha mhusika kugeuza gari na kutoka nje ya uzio kwa njia ya kawaida ya kwenda mbele, mara baada ya Ibada kuwa imemalizika
  • Kwa bahati mbaya, nafasi hiyo ndiyo iliwahiwa na hatimaye kuja kuzibwa na IST yenye vioo tinted
Gari hilo nalo pia litakuwa lilii-scan gari ya mhusika wakati lilipokuwa linaondoka mahali pale ambapo mhusika alilikuta limepaki. Gari hilo liliondoka pale kipindi mhusika alipokuwa bado yupo kwenye Ibada ya pili iliyokuwa inaendelea

Vinginevyo mhusika mwenyewe naye pia alikuwa anaya-scan magari mengine yale yaliyokuwa nyuma yake, ili aweze kupita vizuri pasipo kuyangonga, pale alipokuwa anarudi kinyume nyume kuelekea getini

Na hii ndiyo sababu kubwa iliyokuwa imepelekea magari mengi ya waumini wa Ibada ya kwanza, kutokutolewa nje ya uzio wa Kanisa na kilichopelekea hilo kufanyika ni sababu kuu tatu

  • Mosi: Mhusika asiweze kupata nafasi ya kupaki akiwa ameelekeza gari lake kwenye gate la kutokea, kitu ambacho baada ya Ibada kumalizika, kingemruhusu atoke nje ya uzio wa Kanisani kwa kwenda mbele na si kwa kurudi kinyume nyume
  • Pili: Mhusika asiweze kupata nafasi nyingine yoyote ile ya kumuwezesha kupaki katika namna ambayo ingemuwezesha kutoka pasipo kururudi kinyume nyume; kama vile nafasi zilizo pembezoni mwa uzio wa kanisa.
Nyingi ya nafasi hizi zilizo pembezoni mwa uzio wa Kanisa, ndiyo zile zilizokuwa zimejazwa na magari ya watu wa Ibada ya kwanza

Tatu: Mhusika aweze kuya-scan vizuri magari mengine kwa kutumia side mirrors za gari lake, wakati atakapokuwa, katika ile namna ya kuyakwepa ili aweze kupita vizuri pasipo kuyagonga

Ikumbukwe kuwa madhabahu ya VIOO/ LENSI iko kwenye maabara ya DARUBINI iliyo jirani na ofisi ya mhusika; maabara ambayo iko chini ya MR X

KUHUSIANA NA MAMA WA KIROHO WA MHUSIKA

Kwenye mazingira ya Kanisani, kwa kipindi chote cha mwaka huu wa 2023 ila kabla ya J2 ya wiki juzi (kabla ya J2 ya tarehe 12/03/2023), mhusika aliwahi kuonana na pia kusalimiana na mama huyu mara moja maeneo ya kantini ya chakula

Baada ya hapo, mhusika na mama huyu hawakuwahi kuonana tena kwenye mazingira ayo, hadi ilipofika tena J2 ya wiki juzi ya tarehe 12/03/2023

Kwenye J2 tajwa, mhusika akiwa yupo kwenye parking anaegesha gari lake, alimuona mama huyu kwa umbali kiasi akiwa na kundi la waumini kadhaa wakiwa wamesimama wanaongea.

Baada ya mhusika kuwa amepaki gari, alinyoosha moja kwa moja kuelekea ndani ya Kanisa na hivyo kwa siku hiyo, mhusika na mama hawakubahatika kuongea wala kusalimiana.

Na mara ya tatu kwa mwaka huu 2023, ndiyo J2 iliyopita mama alipompita mhusika akiwa yupo maeneo ya getini, yeye akiwa ndani ya gari anaondoka kanisani kuelekea nyumbani

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
Muhusikat!!!?
 
Hahaha swala la mwangwi halikuwa na mantiki, ilibidi watafute namna ya kulifix

We kweli wasikupe mamlaka sababu unafatilia kila kitu tena kwa undani, hiyo inaweza isiwe nzuri sana sababu kikawaida kama kiongozi kuna mambo mengine inabidi uyapuuzie tu yapite.


Nimesoma uzi wote hatua kwa hatua na kwa utulivu mpaka nikauelewa, mwanzoni uzi ulinipa shida kidogo ila kadri nilivyozidi kuusoma niliuelewa vizuri,

Mkuu Hongera sana kwa muandiko mzuri na lugha inayoeleweka, umepangilia uzi vizuri sana japo kwa upande wangu nilikuwa natamani unapotu-update basi rejea ziwe kwa ufupi sanaa.

Kwavile umeruhusu maswali basi naomba nikuulize maswali machache kabla sijarudi kuwaongelea wahusika katika mikasa hii aliyokumbana nayo mhusika....
1. Yale mashambulio ya koo ambayo mhusika alikuwa anakutana nayo mpaka kuhofia kupoteza sauti ni mashambulio ya aina aina gani? Anakuwa anaumwa koo au anakohoa au anajiskiaje mpaka kuelewa kuwa amepatwa na shambulio hilo???

2. Lile shambulio la kiroho alilolipata baada ya kukanyaga maji machafu kwenye banda la watoto, aliendelea kuvaa vile viatu au alivitupa??

3. Lile shambulio ambalo lilifanyika kwenye gari la mhusika, nadhani ni ile siku KM wa kanisa A alipopaki gari yake mkabala na mhusika(ile siku aliyokuta kioo kiko wazi lilileta madhara yoyote? Kama ndio ni madhara gani hayo?)

4. Mhusika anafahamu fika kuwa amezungukwa na maadui kila sehemu awe ndani ya nchi au nje ya nchi, uzuri wahusika hao anatokea kuwajua, kwanini bado tu anawasalimu kwa kuwapa mikono na kuongea nao wakati anajua akifanya hivyo anapokea mashambulio ya kiroho?? Mfano ile siku ambayo mhusika anaona kama shambulio alilopata lilimfikia kwa kutumia watoto, lakini hapo hapo bado mhusika alidiriki kwenda kuwanunulia watoto wale zawadi na kuhakikisha zinawafikia, hivi mhusika haoni kama anatuchonganisha?? Yani watu wale wale ambao yeye wanamtendea mabaya kiasi cha sisi kuona ambavyo hatendewi haki, ye mwenzetu bado tu anawakumbatia

5. Kwanini bado mhusika anaendelea kuwa muumin wa kanisa A na hata lile B wakati ameshajua makanisa hayo yanafuga tu mapepo na ibada zao ni maigizo???
Ye anaetushuhudia hayo bado anashiriki kwa uaminifu na sadaka anatoa japo kwa sasa amepunguza kidogo

6. Je Mhusika amewahi kwenda hospital kupima na kuangalia afya yake kama alivyoshauriwa kazini na hata baadhi ya wadau waliochangia hoja humu??



Mwisho kabisa. NAOMBA ITAMBULIKE KUWA MIMI SIPO HAPA KWA AJILI YA KUKUPA SHAMBULIO LA KIROHO LA AINA YOYOTE ILE MI NI MWANANCHI WA KAWAIDA KABISA, IMENIBIDI NIWEKE SAWA HILI ILI USIJE UKAACHANA NA JAMII FORUM KWA KUDHANI SHAMBULIO LIMEHAMIA HUKU[emoji3][emoji3]
Hii habari yote inahusu mtawala wa nchi
 
UPDATE: TUESDAY 28TH MARCH 2023
KUNA shida NYINGINE tena kwenye kitasa cha grill ya geti kuu LA kuingia OFISINI kwa MHUSIKA. KITASA CHA GRILL NI KITU KIDOGO MNO KIASI KWAMBA MHUSIKA HALAZIMIKI KULETA HABARI ZAKE HUMU JUKWAANI. KWA KULETA HABARI HIZI HUMU, MAANA YAKE NI KWAMBA PASIPO CHEMBE YA SHAKA, KUNA KITU CHA ZIADA AMBACHO AMESHAKIONA
 
Back
Top Bottom