#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: WEDNESDAY 29TH MARCH 2023

KILE AMBACHO MHUSIKA AMESHAKIBAINI KUTOKANA NA MATATIZO YA VITASA VYA MILANGO AMBAVYO VIMEANZA KUWA VINAHARIBIKA MARA KWA MARA


HUJUMA KWENYE VITASA VYA MILANGO NI SUBSTITUTE YA HUJUMA ZA AWALI AMBAZO ZILIKUWA ZINAFANYIKA KWENYE GARI LAKE.
BADALA YA HUJUMA KUENDELEA KUFANYIKA KWENYE GARI, ZIMEHAMIA KWENYE VITASA VYA MILANGO. GARI LILIPOKUWA LINAHUJUMIWA, MHUSIKA ALIKUWA ANALAZIMIKA KWENDA GARAGE. VITASA VYA MILANGO VINAPOHUJUMIWA, MHUSIKA ANALAZIMIKA KWENDA KUWAONA MAFUNDI WA KARAKANA. KARAKANA NA GARAGE, NI ALMOST KITU KILE KILE, HUKU TOFAUTI YAKE IKIWA NI LOCATION ZAKE TU

KUTOKANA NA HUJUMA HIZO, LEO MHUSIKA AMELAZIMIKA KUONDOKA KWA MUDA OFISINI, PENDING KITASA CHA GRILL LA OFISI YAKE KUFANYIWA MATENGENEZO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA MARA NYINGINE TENA; MAOMBI MAWILI MAALUM YA MHUSIKA KWA WATU WENYE MAMLAKA
MOSI:

MHUSIKA ANAOMBA WATU WENYE MAMLAKA YA KUMLIPA HAKI ZAKE AMBAZO AMEKUWA AKIZIDAI KWA MUDA MREFU, WAMLIPE

PILI:
MHUSIKA ANAZIOMBA MAMLAKA ZILIZO JUU YA WALE WANAOTAKIWA KUMLIPA, WAZIPE USHIRIKIANO MAMLAKA HIZO ILI ZIWEZE KUMLIPA.

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MAOMBI MAALUM YA SIKU TATU WIKII HII KANISA A
MHUSIKA alipitiwa kidogo akasahau KUTOA HIZI taarifa.
KUNA MAOMBI MAALUM KANISANI WIKI HII, YALIANZA JANA J4 NA YATAMALIZIKA KESHO ALHAMIS
DETAILS ZAIDI KUHUSIANA NA MAOMBI HAYO ZITAWAJIENI KESHO ALHAMIS.

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 30TH MARCH 2023

KUFUATIA KUHARIBIKA KITASA CHA GRILL LA GATE LA KUINGILIA OFISINI KWA MHUSIKA


Mojawapo ya vitu ambavyo mhusika alishauriwa kuwa vilikuwa vinahitajika katika machakato mzima wa kurekebisha kitasa cha grill, ni ufunguo ambao mhusika huwa anautumia kufungua geti hilo. Kwa hali hiyo, mhusika alitakiwa aukabidhi ufunguo huo ofisini kwa Mkuu wa Idara ili baadaye, fundi wa kutengeneza kitasa atakapopatikana, aje autumie ufunguo. Hata hivyo mhusika hakuona haja ya kuukabidhi ufunguo kwa sababu zipo pia funguo zingine za spare ambazo huwa zinamilikiwa na MR X

Ushauri huo ulitolewa na Katibu Mhutasi wa Mkuu wa Idara

Asubuhi J5 hiyo kabla mhusika hajaripoti ofisini, alianza kwa kupitia kwanza kwenye Karakana ya mafundi wa Sayansi ambao kwa bahati mbaya hakuwakuta; wote walikuwa bado hawajaripoti kazini

YALE YA MUHIMU YALIYOWAHI KUJIRI NDANI YA SIKU KADHAA NYUMA KABLA YA SIKU YA GETI KUGOMA KUFUNGUKA

……………………….inaendelea
 
YALE YA MUHIMU AMBAYO YAMEKUWA YAKIJIRI NDANI YA SIKU HIZI CHACHE KABLA YA SIKU YA GETI KUGOMA KUFUNGUKA

MKUU WA MAJOR UNIT (MMU) ALIPOTEA OFISINI KWA MUDA WA WIKI NZIMA BILA YA NOTICE OF ABSENCE


Kwenye wiki ya kuanzia tarehe 13-19/03/2023, MMU hakuwepo ofisni na wala hapakuwa na NOTICE OF ABSENCE ya kutokuwepo kwake iliyokuwa imetolewa kwa surbodinates wake

  • Hata hivyo, MMU alikuja kuonekana tena ofisni kuanzia J3 ya tarehe 20/03/2023; na ilipofika J4 ya tarehe 21/03/2023 huku akiwa ana siku mbili tangu arudi tena ofisini, NOTICE OF ABSENCE yake ndiyo ilitoka sasa ikiwa ina tarehe za nyuma, zikiwa ni tarehe sahihi ambazo MMU hakuwepo ofisini
  • Kwenye J4 hiyo hiyo ambayo MMU alirudi tena ofisini, Mkuu wa Idara (MWI) aliitisha mkutano ambao ulikuwa scheduled kufanyika Alhamis ya wiki hiyo na ambao ulifanyika siku hiyo kuanzia saa 8:00 kamili
Mojawapo ya vitu vilivyofanyika kwenye mkutano huo, ni utambulisho wa HR ambaye alikuwa bado hajatambulishwa kwa wanaidara; japo hilo halikuwepo kwenye zile agenda zilizokuwa zimeorodheshwa kwa ajili ya mkutano huo

  • Baada ya kutambulishwa, ilibainika kuwa HR huyo yuko chini ya ofisi ya MMU na si ya MWI
  • MMU mwenyewe hakuwa amehudhuria mkutano huo kwa udhuru; na possibly ndiyo maana MWI alichukua jukumu la kumtambulisha HR kwa wanaidara
  • Baada ya main agendas za mkutano huo kumalizika, MWI alianza kuwakaribisha wanaidara wote waliokuwepo kwa ajili ya AOB, huku kila mwanaidara akimkaribisha kwa kumtaja kwa jina
Mhusika naye alipata pia nafasi hiyo ila hakuweza kuongea kitu zaidi ya vile ambavyo vilikuwa vinaelekeana zaidi na yale yaliyokuwa yamejiri kwenye kikao hicho

Kwenye mkutano, mhusika hakuona mantiki yoyote ya kuongelea maswala tuseme kama yale ya maslahi yake anayoendekea kuyadai kwa sababu kuu zifuatazo
  • Muda uliokuwa umebaki ulikuwa hautoshi kuongelea swala jingine zito kwa sababu muda ulikuwa umeenda na watu walikuwa tayari wameshachoka baada ya kuwepo kwenye mkutano huo kwa masaa yasiyopungua mawili na nusu
  • MWI analijua swala la maslahi ya mhusika na amekuwa mara zote, akimkwepa mhusika kuhusiana na swala hilo kwa maana kuwa hajawahi hata mara moja, kumkaribisha mhusika ofisini ili wakae chini waweze kuliongealea
  • Karibia mara zote MWI huwa hayupo ofisini kwa MWI, mhusika anapokuwa yupo ofisini kwa MWI; na inapotokea kuwa yupo, basi huwa wanapishana mlangoni, mhusika akiwa anaingia ofisini kwa MWI na MWI naye akiwa anatoka
  • Kutokana na matukio ambayo yamekuwa yakijitokeza ya mhusika kutaka kuachwa maofisini mwa watu akiwa peke pindi anapokuwa ametembelea ofisi hizo kwa ajili ya kutaka kupata msaada, mhusika alishaogopa kuomba appointment ya kuongea na MWI ofisni kwake
  • Mbali na hayo yote, swala la maslahi yake ni muhimu mno kiasi kwamba hawezi akaanza kuliongelea kupitia AOB za mikutano ambao ulikuwa unahusiana na maswala mengine
  • Vile vile, uongozi mzima wa ngazi za juu wa Taasisi unalielewa swala la mhusika kwa kina, na hasa ukizingatia kuwa kwa kipijdi cha hivi karibuni, mojawapo wa uongozi huo ni mtu aliyewahi kuwa Mkuu wa Idara ya mhusika katika kipindi ambacho swala la mhusika ndiyo lilikuwa limeshajitokeza.
MWI HUYO WA ZAMANI NDIYE ALIYEWAHI KUSHIKA NAFASI MDA MFUPI TU MARA BAADA YA MHUSIKA KUWA AMESHUSHWA CHEO

Ni kwamba mhusika alishushwa cheo na kukatwa mshahara wake mwaka 2014 na baada ya hapo Mkuu wa Idara aliyekuwepo alihamishwa. Baada ya Mkuu wa Idara aliyekuwepo kipindi hicho kuhamishwa, aliingia Mkuu wa Idara mwingine, ambaye kwa sasa ndiyo huyu aliye mmojawapo wa uongozi wa ngazi ya juu kabisa wa Taasisi, na ambaye mhusika anam-refer hapa kama mmojawapo wa viongozi ambao wanalifahamu kwa kina zaidi swala la maslahi yake (mhusika)

Huyu ndiye aliyewahi kuanguka kutoka ghorofa ya kwanza na kuumia kiwiko

Baada ya kikao cha Idara kilichofanyika Alhamisi ya tarehe 23/03/2023 wiki iliyopita, J3 ya wiki hii MWI naye lisafiri pia; huku akiacha notice of absence kwa wanaidara na kwa MMU tu
  • Uongozi wa ngazi za juu wa Taasisi haukupewa nakala ya taarifa ya safari yake
  • Unless kama utaratibu ulishabadilika lakini kwa namna alivyokuwa anaelewa mhusika, mwenye kutoa ruhusa ya MWI kuwa nje ya kituo cha kazi, ni Afisa Taaluma ambaye kwa ukubwa wa cheo chake ni namba mbili ndani ya Taasisi nzima
Zaidi ni kuwa wakuu wengine ukianzia namba moja mwenyewe, namba tatu na namba nne nao pia huwa wanapewa nakala ya taarifa za safari hizo

Kwa hapa, namba nne ndiyo yule ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa Idara ya mhusika mwaka 2015-2016, na ambaye aliwahi kuanguka kutoka ghorofani

KILE ANACHOTAKA KUKISEMA MHUSIKA KWENYE MATUKIO HAYA AMBAYO YAMEKUWA NA KAWAIDA YA KUJITOKEZA ZAIDI KWENYE VIPINDI AMBAVYO MMU AU MWI WANAKUWA WAMESAFIRI

Karibia mara zote, MMU na MWI wamekuwa wakisafiri kila zinapofikia tarehe za mwisho wa mwezi, na karibia mara zote wanapokuwa wamesafiri, mhusika amekuwa akikumbwa na matukio yasiyokuwa ya kawaida ofisini
  • Kabla ya safari hii ya sasa, mara ya mwisho MWI kusafiri ilikuwa ni kwenye tukio lile la kitasa cha mlango; mlango uliogoma kufunguka mwezi jana
  • Kipindi hicho haikuwa kwenye tarehe za mwisho wa mwezi ila MWI alikuwa yupo safari pia wakati tukio hilo linatokea
………………….inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUPEWA TAARIFA MWAKA JANA SEPTEMBA 2022 KUWA MASLAHI YAKE YALIKUWA KWENYE MCHAKATO

HATUA ALIZOCHUKUA WIKI JANA KUTOKEA IDARANI KWAKE KATIKA KUJARIBU KUFUATILIA MASLAHI HAYO


Mhusika alimuomba KMMWI amsaidie kupiga simu ofisi ya Ofisa Tawala, ili aweze kujua kile ambacho aliahidiwa tangu mwaka jana kimefikia wapi.

Kwa hiyo hadi muda huu, mhusika bado anasubiria majibu kutoka ofisi hiyo, na ataendelea kuyasubiri katika kipindi chote ambacho atakuwa bado hajajibiwa

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA

UP NEXT
:
“THEME” YA MAOMBI YA SIKU TATU MFULULIZO YALIYOTANGAZWA KANISANI J2 YA WIKI ILIYOPITA
 
“THEME” YA MAOMBI YA SIKU TATU MFULULIZO YALIYOTANGAZWA KANISANI J2 YA WIKI ILIYOPITA

Theme ya maombi hayo haikujulikana kwa sababu kichokuwa kinatamkwa kwenye tangazo lake ni neno “WATOTO” bila kutajwa kuwa walikuwa wamefanya nini. Kwa waliobahatika kuhudhuria maombi hayo, watakuwa wameijia vizuri theme hiyo

UGONJWA MBAYA UNAOSHAMBULIA KULE KANDA YA ZIWA WENYEWE HAUKUTAJWA KUWA UTAHUSIKA KWENYE MAOMBI HAYO

Inasikitisha kidogo kwamba katika muda ambao kuna gonjwa kubwa limeibuka na kuanza mashambulizi kanda ya Ziwa, viongozi wa Kanisa A wao hekima yao haikuliona hilo isipokuwa possibly mambo ya UBAKAJI NA ULAWITI ambayo wanaona yamepitisha takribani wiki tatu bila kusikika ndani ya Kanisa, tangu yaliposikika mwisho J2 ya tarehe 5/03/2023 kwenye kilele cha sikukuu ya wananwake

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA STAFF-MATE AMBAYE MHUSIKA AMEKUWA AKIKUTANA NAYE GARAGE; ALIKUTANA NAYE MARA MBILI

Huyu mtu kwa sasa alishastaafu, na hata wakati walipokuwa wanaonana na mhusika maeneo ya garage kwa safari zote mbili, alikuwa tayari ameshastaafu

Zaidi ni kuwa awali, mwenza wake alikuwa ni mwajiriwa kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika na (mwenza) walisoma darasa moja na mhusika wakati wa masomo ya shahada ya pili

Kwa taarifa alizopewa mhusika, classmate huyu wa mhusika kwa sasa hivi anafanya kazi DIT

Classmate huyu ndiye mwenza wa mstaafu ambaye mhusika amekuwa akikutana naye garage

BAADHI TU YA POST AMBAZO MHUSIKA ALISHAWAHI KUZILETA HUMU ZIKIWA ZINAELEZEA MCHAKATO WA NAMNA ALIVYOWAHI KUSHSHWA CHEO

Zifuatazo hapa chini ni baadhi tu ya posts zinazoelezea mchakato uliowahi kuchukulia kwenye swala zima la kushushwa cheo mhusika

#215 , #216, #315 #316 #318

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA MNUNUZI WA GARI (MWG)

Kwenye kikao cha idara Alhamis wiki iliyopita MWG alikuwepo na alisaini mahudhurio. Baada ya muda kidogo, MWG aliondoka kwenye kikao na hivyo hadi kinafikia mwisho, MWG hakuwepo kwenye kikao hicho

MWG ni mwakilishi wa idara kwenye kikao muhimu sana kinachohusika na maswala muhimu sana ya wafanyakazi wote kwenye Taasisi nzima

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UFAFANUZI ZAIDI KWENYE BAADHI YA MAELEZO YALIYOTOLEWA KWENYE POST HII HAPA #1,339 HASA KUHUSIANA NA NUKUU

"Baadhi tu ya wahusika wakuu ambao wamekuwa wakihusika na ufanyaji kazi wa code hii hadi sasa ni wafuatao"

Ufafanuzi huo unafuata hapa chini
 
…………..inaendelea

BAADHI TU YA WAHUSIKA WAKUU AMBAO WAMEKUWA WAKIHUSIKA NA UFANYAJI KAZI WA CODE YA MITIKISIKO YA KWENYE ARDHI


Maelezo yanayojitosheleza ya watu wengine waliotajwa kwenye post hiyo kama wahusika wa code hii tayari yapo isipokuwa ya hawa wachache wafuatao ndiyo yalikuwa bado yana-miss

MKUU WA IDARA MSTAAFU ALIYEWAHI KUHUDUMU KWENYE MIAKA YA 2006-2012

Huyu amekuwa akitumia appeararnce pamoja na sauti; ikumbukwe kuwa utafiti huu ni wa kiroho zaidi

Zaidi ni kuwa huyu naye pia huwa anamiliki ile nyundo ile inayotumika ku-simulate matetemeko madogo kwenye ardhi

JUNIOR STAFF, KIJANA MDOGO ALIYEAJIRIWA MIAKA MICHACHE ILIYOPITA, NA AMBAYE ALIWAHI KU-TRAIN KWENYE KITENGO CHA MATETEMEKO OKTOBA 2019

Huyu naye pia amekuwa akituima appearance

Zaidi ni kuwa utafiti wake mhusika umeonyesha kuwa kijana huyu aliamua ku-train kwenye matetemeko si kwa nia yoyote ile inayohusiana na carrier development yake bali kwa sababu zingine ambazo hadi sasa mhusika hajaweza kuzifahamu

  • Baada ya BOSS XXX kuwa ame-launch CODE YA MITIKISIKO YA KWENYE ARDHI mwishoni mwaka jana muda mfupi kabla ya mhusika kwenda likizo, baadaye mhusika aliondoka kwenda likizo akimuacha kijana huyu akiwa kwenye office yake ya siku zote iliyokuwa iko ground floor
  • Baada ya mhusika kurudi kutoka likizo, huku CODE YA MITIKISIKO YA KWENYE ARDHI ikiwa tayari ilishaanza kufanya kazi, kijana huyu alibadilisha ofisi na kuhamia kwenye floor aliyopo mhusika
Zaidi ni kuwa kuanzia pale kijana huyu alipobadilisha ofisi hadi leo hii, amekuwa yuko accopmanied na mtu mwingine ofisini kwake ambaye siyo staff; kitu ambacho kinaonekana kuangukia kwenye MAHUSIANO yale yaliyowahi kuongelewa madhabahuni na mhubiri wa J2 ya kilele cha sikukuu ya wanawake

  • Mhusika anamfananisha kijana huyu na yule Kiongozi Junior aliyepo Kanisani ambaye huwa anafanya mambo kulingana na anavyopata maelekezo kutoka kwa KM-A.
  • Huyu wa ofisi naye pia anaonekana ni kijana mzuri sana ila anaweza akawa amekumbana na hali ya kutokuwa kwenye mentorship sahihi na pasipo yeye mwenyewe kulifahamu hilo
STAFF ALIYEKUWA AKISIMAMIA UKARABATI WA JENGO, NA AMBAYE ALIHAMIA KWENYE TAASISI AKITOKEA DODOMA

Huyu yeye aliamua kubadilisha ofisi ghafla baada ya mhusika kuletewa chuma kilichokuwa kimeazimwa kutoka ofisini kwake na mtu aliyekuwa amepewa tenda ya ukarabati wa jengo. Mtu huyo aliazima chuma hicho na baada ya kuwa amemaliza kazi zake, hakikurudisha bali aliendelea kukaa nacho kwa takribani mwaka mzima

  • Baadaye mtu huyu ndiyo aliamua kukirudisha chuma hicho (nondo nene ndefu) na baada ya kukirudisha, mhusika aliamua kukitoa ofisini kwake na kwenda kukihifadhi sehemu nyingine kwenye chumba kingine
  • Baada ya mhusika kukihamisha chuma hicho, Staff aliyekuwa akisimamia ukarabati wa jengo naye aliamua kubadilisha ofisi na kwenda kukaa jirani kabisa na chumba ambacho mhusika alikihamsihia chuma hicho
MTU ALIYEKUWA AMEPEWA TENDA YA UKARABATI WA JENGO LA IDARA AMBAYE ALIANZA KAZI HIYO JANUARI 2021

Huyu ndiye aliyewahi kuondoka na chuma kilichotajwa hapo juu baada ya kumaliza kazi zake na kwenda kukaa nacho kwa muda mrefu na baada ya kukirudisha, staff aliyekuwa akisimamia ukarabati wa jengo aliamua kubadilisha ofisi na kwenda kukaa kwenye ofisi nyingine iliyokuwa karibu zaidi na chuma hicho

Zaidi ni kuwa kabla ya kuazimwa kwake, mhusika hakuwahi ku-notice kama chuma hicho kiliwahi kuwepo ofisini kwake kabla ila alikiona siku ile tu mtu mhitaji alipojitokeza kuja kukiazima

Mhusika hana uhakika sana ila kwa kutumia kumbukumbu zake, ilionekana kama kuna mtu alikuja na kukiweka ofisini humo kwa makusudi mhusika akiwa hayupo, ili baadaye mtu mwingine tena aje kukiazima na kwenda nacho sehemu nyingine; ukizingatia kuwa hata mara baada ya kazi kuwa imeisha, aliyekuwa amekiazima alienfdekea kuwa nacho kwa muda mrefu sana, kabla hajakirudisha

MAHALI CHUMA HICHO KILIPO KWA SASA

Kwa sasa mhusika alishakihamisha tena chuma hicho; kipo ofisini kwake. Ni baada ya kuona kuwa kilikuwa kinaanza kugeuka asali, kiasi cha kupelekea angalau baadhi ya watu kuanza kuvutwa na kuwa karibu na mahali ambapo mhusika alikuwa amekihifadhi

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 31ST MARCH 2023

DOKEZO MUHIMU KUHUSIANA NA TATIZO LA KUHARIBIKA KITASA CHA GRILL:

KILE KILICHOPELEKEA MHUSIKA AKABAINI KUWA FUNGUO AMBAZO HUWA ANATUMIA ZILIKUWA ZINAHITAJIKA


Staff nayehusika na matengenezo ya vitasa vya milango, na ambaye aliwahi kutoa msaada wa kufungua kitasa kwenye tukio lile la mwanzo la kitasa cha mlango, hakuwepo ofisini kwake, alikuwa ametoka kidogo.

Baada ya mhusika kuwa ametoka Karakana ya Sayansi alikokuwa ameanzia kwa ajili ya kuwaona mafundi na ambao hakuwakuta, alinyoosha moja kwa moja hadi kwenye ofisi ya staff huyu ila naye hakumkuta pia

  • Jirani na ofisi hiyo, kwa nje alikuwepo MR X ambaye naye pia alikuwa nje ya ofisi yake
  • Baada ya mhusika kumkosa staff anayehusika na mambo ya vitasa; aliamua kumfuata MR X na kumweleza kuwa staff huyo hakuwepo wakati kulikuwa na shida kwenye kitasa cha grill la geti ya ofisi yake
Kwa wakati huo, pasipo mhusika kufahamu kumbe MR X alikuwa yupo pale nje standby kuongea na mhusika, huku akiwa ametegea makusudi kuingia ndani ofisini kwake

  • Wakiwa wapo nje jirani na ofis ya MR X , MR X alimshauri mhusika akaripoti swala la kitasa hicho ofisi ya MWI na kwa ushauri huo, MR X akawa amekuwa safe.
  • MR X alijua kuwa iwapo maongezi yake na mhusika yangefanyikia ndani ofisini kwake, halafu baada ya hapo huko mbele ya safari likaja kutokea la kutokea, maongezi hayo yangekuja kuwa ushahidi ambao ungeweza kumbana
Kwa hiyo MR X alikuwa yupo pale nje akiwa katika namna ya kuhakikisha kuwa maongezi kati yake na mhusika, yanafanyikia nje ya ofisi yake na si ndani

BAADA YA MAONGEZI YAO NA MR X, MHUSIKA ALIONDIOKA NA KUPANDISHA JUU OFISINI KWA MWI


Baada ya kufika ofisini kwa MWI, ndiyo pale mhusika aliposhauriwa aache funguo zake pale lakini hakufanaa hivyo kwa sababu funguo za akiba huwa zipo

Baada ya hapo, alipokuwa anadondoka ofisini kwa MWI, mhusika alimjulisha KMWI kuwa anarudi nyumbani kwa muda kwenda kufanyia kazi huko, pending kitasa cha mlango kufunguliwa

  • Mhusika akiwa yupo pale nje kwenye parking na akiwa tayari ameshawasha gari tayari kwa kuondoka, ghafla staff anayehusika na vitasa aliwasili eneo hilo akiwa anatokea sehemu alikokuwa ameenda
  • Wakati huo, staff huyu alikuwa anaongea na simu, na alijaribu kumpita mhusika pasipo kuongea naye kwa sababu alikuwa anaongea na simu
Kuona hivyo, mhusika akiwa yupo ndani ya gari alimwashiria kwa mkono staff huyu akimuomba waonane na kuongea, na staff naye aliitikia wito huo

  • Kwenye safari hiyo staff huyu alikokuwa anatokea, alikuwa wameambatana pia na Mnunuzi wa Gari (MWG) ambaye yeye (MWG) hakusimama hapo kwenye parking na wala hakusemeshana kitu na mhusika
  • Huku injini ya gari lake mhusika ikiwa inaunguruma, mhusika alimjulisha staff huyu kuwa kitasa cha grill kilikuwa na shida na hivyo alikuwa anaomba msaada wa ili kiweze kutengenezwa
  • Staff huyu alijibu kuwa yeye hana funguo za grill hilo ilhali funguo za akiba huwa ziko chini yake yeye na MR X
Kwa hali hiyo, staff huyu naye pia alikuwa anajaribu kum-prompt mhusika aache funguo zake, sawa na vile alivyokuwa amefanya KMWI dakika chache zilizokuwa zimepita

Mhusika hakuacha funguo zake kwa sababu haikuwa kweli kwamba staff huyu hana funguo za grill hilo.

Ni kweli kwamba pengine kwa muda huo walipokuwa wangali wanafanya maongezi yao hapo kwenye parking, staff huyo hakuwa na funguo hizo, ila ni dhahiri kabisa kuwa staff huyo alikuwa anajua ni wapi pa kuzipata baada ya hapo, just in case akizihitaji

HITIMISHO

Matukio haya yote yaliyoelezwa hapo juu yanaonyesha pasipo shaka kabisa kuwa kwenye tukio hili la uharibifu wa kitasa cha grill la J3 wiki hii, FUNGUO AMBAZO HUWA ANATUMIA MHUSIKA ZILIKUWA ZINAHITAJIKA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPNEXT: KWA UFUPI SANA:

CHRONOLOGY YA MATUKIO YA KUPANDISHWA NA KUSHUSHWA VYEO/NGAZI IKIWA PAMOJA NA KUKATWA MSHAHARA KWA MHUSIKA; TANGU AAJIRIWE KWA MARA YA KWANZA MWAKA 2000
 
KWA UFUPI SANA:

CHRONOLOGY YA MATUKIO YA KUPANDISHWA NA KUSHUSHWA VYEO/NGAZI IKIWA PAMOJA NA KUKATWA MSHAHARA KWA MHUSIKA; TANGU AAJIRIWE KWA MARA YA KWANZA MWAKA 2000

KUANZIA FEBRUARI 2000 HADI JUNE 30, 2003: MHUSIKA ALITUMIKA KWENYE NGAZI A


Mhusika aliajiriwa mnamo Februari mwaka 2000 na ilipofika Julai mosi 2003, mhusika alipanda daraja kwa mara ya kwanza tuseme kutoka ngazi A kwenda ngazi B

  • Kwa hiyo, kuanzia Februari 2000 hadi 30 Juni 2003 mhusika alitumika kwenye ngazi A ya ajira yake
  • Mhusika hapa hana uhakika sana lakini katika hali ya kawaida, anadhani kuwa pengine alitakiwa apande tena daraja mnamo March mosi 2003 na si Julai 2003 kwa sababu aliajiriwa Februari 2000
  • Katika hali ya kawaida, kwenye kada aliyoajiriwa, mtumishi huwa anapanda ngazi kila baada ya miaka mitatu kamili
BAADA YA MHUSIKA KUPANDA DARAJA KWA MARA YA KWANZA JULAI MOSI 2003; HADI KUFIKIA NGAZI YA MWISHO KABISA,NGAZI ZINGINE KADHAA ZILIKUWA BADO ZIKO MBELE YAKE ZIKIMSUBIRI

Baada ya kuwa amepanda daraja Julai mosi 2003, mhusika akawa amebakiza ngazi zingine kadhaa hapa katikati, kufikia ngazi ya mwisho kabisa ambayo ni H

Kwa maana hiyo, kuanzia pale alitakiwa apitie tena kwenye ngazi zingine C, D, E, F, G na hatimaye H ikiwa ndiyo ngazi ya mwisho kwake

Under no merit situation, na katika minimum performance ambayo iko recommended na mwajiri, mhusika alitakiwa atumie mafungu ya miaka mingine mitatu mitatu kwenye kila mojawapo ya ngazi zilizokuwa zimebaki mbele yake, yaani kuanzia ngazi C hadi kufikia ngazi ile ya mwisho ambayo ni H

KUANZIA JULAI MOSI 2003 HADI JUNE 30, 2006: MHUSIKA ALITUMIKA KWENYE NGAZI B

Mhusika akiwa bado anatumika kwenye ngazi hii ya B, alifanikiwa kupata shahada ya pili na hivyo ilipofika tarehe 23 June 2006 (wiki moja kabla ya tarehe ya kupanda ngazi kutoka ngazi B kwenda ngazi C ambayo ilikuwa ni Julai mosi 2006);

  • Mhusika alipandishwa ngazi kwa kurushwa ngazi moja na hivyo kufanikiwa kupanda kutoka ngazi B akivuka ngazi C na kufika ngazi D
  • Kwa hiyo kuanzia tarehe 23 June 2003, mhusika alipanda kutoka ngazi B na kuwa ngazi D
  • Kufika kwa mhusika ngazi D mnamo tarehe 23 June 2006, kulipelekea sasa mhusika aweze kupandishwa tena ngazi kutoka D kwenda ngazi E, wiki moja baadaye, kutokana na kule kupanda kwa kawaida ambako huwa kunaendana na miaka mitatu mitaatu yautumishi kwenye ngazi husika, yaani ifikapo tarehe mosi Julai 2006
Kwa hiyo kwa kuunganisha barua hizi mbili, ile ya tarehe 23 Juni 2006 ambayo ilihusiana na mhusika kuhitimu masomo ya uzamili pamoja na nyingine ya tarehe mosi Julai 2006, ambayo ilitokana na mhusika kupanda ngazi kwa kufuata muda wa utumishi wa miaka mitatu kwenye ngazi husika; ndani ya kipindi cha fungu la miaka hii mitatu ya kuanzia Julai mosi 2003 hadi 30 June 2006

  • Mhusika alifanikiwa kupanda cheo kwa ngazi tatu; ngazi moja ikiwa inatokana na kupanda daraja kwa muda wa kawaida, na zingine mbili zikiwa zinatokana na kuhitimu masomo ya uzamili
  • Kwa hali hiyo hadi kufikia Julai mosi 2006, mhusika akawa amefikia ngazi E
MHUSIKA ASHUSHWA NGAZI KUTOKA E KURUDISHWA D KWA MARA YA KWANZA HUKU MAELEZO YAKIWA YANATOLEWA KWA MDOMO KUWA MOJAWAPO YA BARUA ILIKUWA IMEKOSEWA

Kwenye mchakatio huu wa kupanda ngazi mhusika, kuna kitu technical ambacho kilifanyika possibly kikiwa kinatarajiwa kuwa asingeweza kukigundua

BARUA YA TAREHE 23 JUNE ILIYOMPANDISHA KUTOKA NGAZI B KWENDA NGAZI D KUTOKANA NA KUHITIMU MASOMO YA UZAMILI ILICHELEWA KUMFIKIA

Barua hii ilimfikia Septemba 2006 ikimweleza kuwa kuanzia tarehe 23 june 2006, alipanda ngazi kutoka B kwenda D. Kwa hiyo taarifa hizi alizipata mwezi wa 9

Ikumbukwe kuwa kabla ya Septemba 2006, tayari mhusika alikuwa amepata barua ya nyingine kupanda ngazi kwa kawaida (promotion) ambayo ilisema kuwa kuanzia Julai mosi 2006 mhusika alikuwa amepanda ngazi kutoka B kwenda C, kitu ambacho kilikuwa ni contradiction kwa sababu

By 23 June 2006
, (wiki moja kabla ya Julai mosi 2006) ngazi ya mhusika ilikuwa tayari imeshabadilika na kuwa D isipokuwa tu ni kwamba barua ya mabadiliko hayo ilikuwa bado haijamfikia

  • Kwa hiyo by Julai mosi 2006, ngazi ya mhusika ilitakiwa ibadilike kutoka D na kuwa E na si vinginevyo
  • Hata hivyo, hli hii haikuwa hivyo kutokana na ukweli kwamba barua iliyotakiwa kuwahi, yaani ile iliyokuwa inampandisha kutoka ngazi B kwenda ngazi D kuanzia tarehe 23 juni 2006, ilichelewa kumfikia; ilimfikia Septemba
  • Wakati huo huo, barua ya promotion ya Julai mosi 2006 (ambayo ilitakiwa iiwe ya ifuate baada ya ile ya tarehe 23 June 2006); ndiyo ilikuwa ya kwanza kumfikia na ile iliyotakiwa kumfikia kwanza ndiyo ikawa ya pili kumfikia
BAADA YA KUONA HIVYO, MHUSIKA ALIAMUA KUUFUATILIA MCHAKATO MZIMA WA BARUA HIZI MBILI KWA KUUKUMBUSHA UONGOZI HUSIKA, KUWA KUNA MAHALI WALIKUWA WAMEPITIWA

Baada ya mhusika kugundua makosa kwenye barua hizo mnamo Septemba 2006, mhusika aliamua kuujulisha uongozi husika kwa kuandika.

Baada ya hapo uongozi uliamua kuzibadilisha barua hizo na kuwa hivi

Ile ya kumpandisha kutokana na kuhitimu masomo yake ya uzamili ilirekebishwwa na hivyo badala ya kumpandisha kutoka ngazi B kwenda ngazi D, ikawa inampandisha kutoka ngazi B kwenda C kuanzia 23 Juni 2006

Baada ya hapo, barua ile ya kumpandisha kutokana na muda aliotumika kwenye ngazi husika (promotion) ikawa sasa inampandisha kutoka ngazi C kwenda D

Kwa hiyo mchakato wa awali uliokuwa umempandisha hadi ngazi E ukawa umefutwa, akawa amenyang’anywa ngazi E na kurudishwa ngazi D na hivyo kushushwa cheo kwa mara ya kwanza

…………………………..inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUSHUSHWA CHEO KUTOKA NGAZI E NA KURUDISHWA NGAZI D

Kushushwa huko kulikuwa kunaanzia Julai mosi 2006 na hivyo ngazi D (badala ya ngazi E) ilianza kutumika kwenye tarehe hiyo

Mbali na madhara ya kupata mshahara mdogo usiostahili kutokana na kushushwa cheo huko, ngazi E aliyonyanga’anywa kipindi hicho ndiyo ile ie iliyokuwa ya kwanza kwenye kada yake, iliyokuwa inamuwezesha mhusika kuishi kwenye nyumba ya Serikali bila kukatwa pango la nyumba

  • Kama asingenyang’anywa ngazi hiyo, mhusika asingestahili tena kuwa anakatwa pango la nyumba ya Serikali kuanzia hiyo Julai mosi 2006
  • Hata hivyo baada ya kunyang’anywa, mhusika alikuja kuipata tena stahiki hiyo miaka mitatu baadaye, yaani ilipofika Julai mosi 2009 ndiyo pale kwa mara ya kwanza, mhusika alianza kuishi kwenye nyumba ya Serikali bure
Ilikuwa ni baada ya kuwa amepata promotion nyingine tena kutoka ngazi D kwenda ngazi E ilipofika Julai mosi 2009; promotion ambayo ilifanana na ile ambayo alikuwa amenyang’anywa miaka mitatu iliyokuwa imepita nyuma

MIAKA 6 YA UTUMISHI WA MHUSIKA KWENYE NGAZI D NA E

Kwa hiyo kuanzia Julai mosi 2006 hadi 30 June 2009, mhusika alitumika akiwa kwenye ngazi D Vile vile, kuanzia tena Julai mosi 2009 hadi 30 June 2012, mhusika alitumika akiwa kwenye ngazi E

PROMOTION MUHIMU NA YA MWISHO KABISA YA MHUSIKA YA JULAI MOSI 2012


Mnamo Julai mosi 2012, mhusika alipandishwa ngazi (promotion) kutoka ngazi E kwenda ngazi ya mwisho kabisa H, huku mshahara aliokuwa akilipwa ukiwa ni ule wa ngazi G

Katika hali ya kawaida, mhusika alitakiwa apande kutoka ngazi E kwenda ngazi F

Kwenye promotion hii, mhusika alipandishwa kwa kurushwa ngazi mbili kutoka ngazi E kwenda ngazi H; akirushwa ngazi mbili za F na G, huku mshahara wake ukiwa siyo ule wa ngazi H bali wa ngazi F; mshahara ambao ulikuwa ni mdogo kuliko hata ule wa ngazi G kwa sababu

Mathematically as well as alphabetically;

Katika hali ya kawaida, mhusika alitakiwa apandishwe kutoka ngazi E kwenda F.

Kwa hiyo baada ya kupandishwa kwa kurushwa ngazi mbili kutoka E kwenda H, bado mhusika hakuwa analipwa mshahara wa ngazi H bali wa ngazi F

Kwa hiyo kicheo alipanda zaidi, ilihali mshahara ukawa bado ni ule wa cheo kidogo cha nyuma kwa ngazi mbili na ambacho hakikuwa kile alichokuwa amepewa

Wasomaji, mnaona sasa namna mahesabu haya yalivyokaa?

………………….inaendelea
 
KABLA MHUSIKA HAJAPANDA CHEO KWENDA NGAZI YA MWISHO; NGAZI H

Hadi kufikia tarehe ya kupanda kwake (Julaio mosi 2012), mhusika alikuwa tayari anadai malimbikizo ya nyuma ya mshahara kiasi cha TZS 400,000/=

  • Ilipofika Desemba 2012, mhusika aliletewa fomu za kujaza kwa ajili ya kudai malimbikizo hayo, akijulishwa kuwa utaratibu ulikuwa umebadilika, na ndiyo maana malimbikizo hayo yalikuwa hayajalipwa hadi kufikia muda huo
  • Awali, malimbikizo hayo yalikuwa yanaingizwa kwenye akaunti ya mshahara wa mwajiriwa, pasipo mwajiriwa kuyadai kwa kujaza fomu
Ikumbukwe kuwa haya yalikuwa ni malimbikizo ya mshahara wa nyuma, kabla ahajapanda ngazi mnamo Julai mosi 2012

Malimbikizo hayo hayajaweza kulipwa hadi leo na mhusika naye bado anaendelea kufanya jitihada za kuyadai kwa sababu Salary Slips zenye ushahidi huo anazo zikiwa kwenye hard copies na soft copies pia

MCHAKATO WA NAMNA MHUSIKA ALIVYOWAHI KUPANDA CHEO KWENDA NGAZI YA MWISHO H KUANZIA JULAI MOSI 2012


Barua ya promotion aliipata mwezi Juni, yaani kwenye siku kabla ya tarehe ya promotion yake ambayo ilikuwa ni Julai mosi 2012

Barua hiyo ilikuwa imempa mhusika cheo H huku mshahara wake ukiwa ni ule wa ngazi F

HUKU MHUSIKA AKIWA TAYARI AMESHAPATA BARUA YAKE YA PROMOTION (KABLA YA JULAI MOSI 2012); ILIPOFIKA JULAI MOSI 2012 SERIKALI ILIAMUA KUPANDISHA MISHAHARA YA WATUMISHI WA UMMA

Kutokana na barua aliyokuwa ameipata mhusika kabla ya (mishahara kupanda) Julai mosi 2012; katika hali ya kawaida:

  • Kwa sababu mhusika alikuwa amepata barua ya promotion kabla ya Julai mosi 2012, tarehe ambayo mishahara mingine mipya ilitangazwa na Serikali;
  • Na kwa kuwa barua aliyokuwa amepata mhusika ilikuwa imetaja kiwango cha mshahara ule uliokuwepo zamani kabla ya mabadiliko ya mishahara mipya kutangazwa na Serikali;
Hivyo basi, baada ya mishahara mipya kuwa imetangazwa, mhusika alistahili kuandikiwa barua nyingine ikimjulisha kiwango sahihi cha mshahara wake mpya kutokana na marekebisho yaliyokuwa yamefanywa na Serikali

  • Mhusika hakuandikiwa barua hiyo
  • Mbali na hilo, pamoja na kuwa alikuwa amepta barua ya kumjulisha kuwa amepata promotion kuanzia Julai mosi 2012; bado mhusika aliendelea kulipwa mshahara ule wa kabla ya promotion; yaani ule wa cheo cha zamani cha ngazi E kwa miezi mingine minne mbele hadi kufikia Oktoba 2012
Hata hivyo, ilipofika Novemba 2012, ndiyo pale mshahara wa mhusika ulibadilika kulingana na barua ya promotion aliyokuwa ameipata Juni 2012

  • Na kwa sababu baada ya barua hiyo (ya promotion) kuwa imetoka mishahara ilikuwa imepanda tena; kiwango kipya cha mshahara alichoanza kulipwa mhusika kuanzia hiyo Novemba 2012 kilikuwa juu kiasi ukilinganisha na kile kilichokuwa kimetajwa kwenye barua yake ya promotion aliyokuwa ameipata Juni 2012
  • Kwa hali hiyo, mhusika alistahili tena kulipwa malimbikizo ya mishahara ya miezi mingine mine zaidi kuanzia Julai hadi Oktoba 2012; yaliyotokana na tofauti iliyokuwa imejitokeza kati ya mshahara alioanza kulipwa kuanzia Novemba 2012 na kuendelea, na ule ambao alikuwa akilipwa kabla ya hapo
Kitendo cha mhusika kudai malimbikizo hayo ya nyongeza, ukizingatia pia kuwa kulikuwa na malimbikizo mengine ya nyuma yaliyokuwa yanafikia TZS 400,000/= ambayo nayo pia hakuwa amelipwa hadi muda huo, ndiyo kile kilipelekea kuibua awamu zingine za mhusika kushushwa vyeo tena

………………itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MHUSIKA ANAJARIBU KUWAKUMUBUSHA TU KM_A NA WENZAKE HAPO KANIS A A;
KWAMBA MWASIPOBADILISHA MWELEKEO WAO, MADHABAHU YA KANISA A ITAWACHINJA MUDA SIYO MREFU. NI KATIKA JINA LA YESU ALIYE HAI
 
MAOMBI YA DHARURA YA SIKU TATU MFULULIZO KANISA A KUANZIA J3 YA TAREHE 03/04/2023

MAOMBI YETU MAALUM NA PENDWA YA SIKU ZOTE YAPO TENA WIKI HII NA YANASIMAMIA KWENYE MAFUNGU HAYA HAPA CHINI

Wakorintho 6:9-10 SRUV
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wezi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

ZAIDI NI KUNA TAARIFA ZINGINE ZA NYONGEZA ZILIZOPELEKEA KM-A KUYAPA UZITO WA PEKEE MAOMBI HAYO, KM-A AMEZIPATA MWENYEWE KUTOKEA MTANDAONI; ZIMETOLEWA NA MTU AMBAYE ALIMTAJA KWA JINA

YAANI HADI MTU UNAONA HURUMA, JUST IN CASE INATOKEA MTU ALIYETAJWA AKAWA HANA TAARIFA AMESINGIZIWA HALAFU. BAADA YA HAPO AKAAMUA KWENDA MAHAKAMANI KWA KUCHAFULIWA JINA
 
KUHUSIANA NA MATANGAZO YA KANISA A YA KILA J2

Faulo zote ambazo zilikuwa zikfanywa wakati wa Ibada, sasa hivi hazifanyiki tena isipokuwa inapofikia wakati wa matangazo

Awali matangazo nayo pia yalikuwa yakirushwa LIVE, ila kwa sasa hayarushwi tena na hivyo kutengeneza mwanya wa KM-A kuwa anapitishia mambo yake huko

Faulo zote sasa hivi zinafanyika wakati wa matangazo
 
UPDATE: TUESDAY, 04TH APRIL 2023

MAELEZO YA KIPINDI KIREFU NYUMA AMBAYO MHUSIKA ALIWAHI KUYALETA HUMU JUKWAANI NA AMBAYO KWA SASA, YANAONYESHA KUWA KM-A ALIKUWA ANARUSHA MAPEPO KWENYE LUGHA IKIWA NI PAMOJA NA KWENYE MAFUNGU YA BIBLIA; KITU AMBACHO KWA WAKATI HUO, MHUSIKA HAKUWA NA UFAHAMU NACHO


Maelezo yaliyopo kwenye posts hapa chini na ambazo baadhi yake ziliwahi kuletwa humu jukwaani takribani miaka mitatu iliyopita, kwa sasa yanatoa ushahidi usio shaka kuwa wakati wa mafundisho yake aliyokuwa akifanya, KM-A alikuwa anarusha mapepo kwenye lugha ikiwa ni pamoja na kwenye baadhi ya mafungu ya Biblia.

Posts hizo ni hizi hapa

#190 #192 #194 #196 #202 #240 #842 #1,034

Kipindi mhusika anazileta posts humu jukwaani, alikuwa hana uelewa wowote wa kama pepo linaweza kurushwa kwenye lugha au kwenye fungu la Biblia na hivyo, hadi kipindi mhusika analeta posts hizo humu jukwaani, alikuwa hajui kama KM-A anarusha mapepo.

Kitu pekee alichokuwa anaweza kukiona mhusika kwa wakati huo ni kwamba, angalau mahali fulani mafundisho ya KM-A yalikuwa na kasoro kubwa na hivyo kumtia shaka yeye binafsi moyoni mwake, ila alikuwa hawezi kuzibaini kasoro hizo zilikuwa ni zipi

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA ZA WAGENI WAWILI MUHIMU AMBAO WAMEFIKA NDANI YA JENGO LA IDARA KWENYE SIKU ZA HIVI KARIBUNI NA AMBAO WAMEONEKANA KUWA KILA MMOJA ALIKUWA ANAKWEPA KUONEKANA NA KAMERA

MGENI WA KWANZA


Mgeni huyu walionana na mhusika kwa mara ya kwanza, kwenye kikao cha idara kilichofanyika siku ya Alhamis ya tarehe 23/03/2023 kuanzia saa 8 chana

Siku hiyo, mgeni huyu alifika idarani kama mmojawapo wa wajumbe wa kikao cha Idara, na wakati kikao kilipokuwa kinaendelea, ilibainika kuwa alikuwa ametokea kwenye idara nyingine ile inayoongozwa na Binti Mkuu wa Idara (BMI)

  • Siku hiyo, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kukutana na mtu kwenye kikao cha Idara, ambaye aalikuwa metokea kwenye Idara inayoongozwa na BMI
  • Mhusika hakuwa anamfahamu mtu huyu kabla, (tumwite staff mgeni-SMG) ila alimfahamu kupitia kikao hicho baada ya MWI kumkaribisha SMG kwa ajili ya kuchangia hoja kuu ya kikao cha siku hiyo
  • MWI hakumtambulisha SMG bali alimkaribisha kuchanga hoja tu, kitu kilichopelekea mhusika afahamu kuwa SMG allikuwa ametoka kwenye idara ile nyingine
Baada ya ukaribisho huo wa SMG, mhusika alianza kupata dhana kuwa pengine na wajumbe wengine waliokuwepo kwenye kikao hicho, nao pia walikuwa wanamfahamu, huku akidhani pia yaweza kuwa ni yeye tu mhusika ambaye alikuwa hamfahamu SMG

Hata hivyo, ndani ya wiki iliyopita, mhusika alikuja kui-review dhana yake kuhusiana na SMG kwa kujiuliza swali akiwaza kwamba kwamba

suppose na wajumbe wengine waliokuwepo kwenye kikao nao pia walikuwa hawamfahamu SMG, ukiondoa Mkuu wa Idara mwenyewe?”

Swali hili mhusika alijiuliza mara baada ya kuwa amegongana tena na SMG mara mbili mfululizo ndani ya siku moja ya J5 ya wiki iliyopita, na hatimaye tena kwa mara ya tatu, kwenye siku nyingine ya Ijumaa ya wiki hiyo hiyo; na katika mazingira ambayo yalikuwa yanaonyesha kuwa SMG alikuwa anakwepa kuonekana na Kamera

  • Kwenye siku ya J5, mhusika na SMG waligongana kwenye ngazi za kupandisha juu na hivyo kufuatana kwenye ngazi hizo wote wakiwa wanapandisha floor ya pili; wakati huo SMG akiwa yuko mbele; na mhusika akiwa yuko nyuma
  • Ndani ya siku hiyo ya J5, kwa mara zote mbili SMG na mhusika waligongana kwenye mazingira hayo yanayofanana ya kwenye ngazi, huku wote wakiwa wanapandisha juu, SMG akiwa mbele huku mhusika akiwa yuko anafuata kwa nyuma
Kwenye safari zote mbili walizonganana SMG na mhusika ndani ya siku hiyo moja ya J5, ilionyesha kuwa SMG hakuwa anamuona mhusika, hali iliyoplekea mhusika kutoona haja ya kumsemesha SMG. Kwa hali hiyo wawili hawa hawakuweza kuongea chochote J5 hiyo

  • Hata hivyo kwenye siku ile ya kikao, mhusika na SMG walibahatika kuongea kidogo kwa sababu walikaa viti jirani
  • Mhusika ndiye alitangulia kufika kwenye ukumbi wa mkutano siku hiyo kabla ya SMG na kuchukua sehemu ya kukaa
  • Baadaye kikao kikiwa kinaendelea, mhusika alikuja kustukia pembeni yake kushoto kuna mgeni ambaye baadaye ilikuja kujulikana kuwa alikuwa ametokea kwenye idara ya BMI
Mbali na wawili hawa kuongea siku hiyo, kipindi kikao kinakaribia kuisha kabla hawajaachana, mhusika alimpa pia SMG salaam ili ampelekee boss wake kule kwenye idara nyingine, yaani BMI, akimweleza SMG kwamba kamwambie BMI anasalimiwa na mhusika

SMG alikubali kufikisha salaam hizo

BAADA YA SMG KUONEKANA TENA NDANI YA JENGO BAADA YA WIKI YA KIKAO KUWA IMESHAPITA

Hadi kufikia wakati huo mhusika alipomuona tena SMG ndani ya jengo, hapakuwa na ushahidi wowote uliokuwa umeshamthibitishia (mhusika) kuwa wajumbe wengine waliokuwepo kwenye siku ile ya kikao nao pia walikuwa wanamfahamu SMG

Ikumbukwe kuwa kwenye kikao hicho SMG alikaribishwa na Mkuu wa Idara kutoa hioja tu na ukaribisho huo ndiyo ule uliopelekea mhusika akagundua kuwa SMG alikuwa ametokea kwenye idara inayoongozwa na BMI

Kwa hiyo, MWI hakumtambulisha SMG wakati wa kikoa hicho isipokuwa alimkaribisha tu kutoa hoja; hoja ambayo baada ya kuitoa, ilipelekea kila mjumbe aliyekuwa kwenye hicho kubaini kuwa SMG alikuwa ametokea kwenye idara nyingine inayoongozwa na BMI

NAMNA SAFARI ZOTE NNE ZA UGENI WA SMG NDANI YA JENGO LA IDARA, ZILIVYOONEKANA KUKWEPANA NA KAMERA ZA KWENYE JENGO

Hadi kufikia Ijumaa ya wiki iliyopita ya tarehe 31/03/2023, SMG alikuwa ameshaonekana mara nne ndani ya jengo na katika mazingira ambayo alikuwa anaonekana kutokuwa accessible zilizomo ndani ya jengo, ukianzia kwenye siku ile ya kikao

…………………………inaendelea
 
NAMNA SAFARI ZOTE NNE ZA UGENI WA SMG NDANI YA JENGO LA IDARA, ZILIVYOONEKANA KUWA ZILIKUWA ZINAKWEPANA NA KAMERA ZA KWENYE JENGO

UGENI WA KWANZA WA SMG: KIKAO CHA IDARA


Kikao hiki kilifanyikia kwenye ukumbi ambao uko attached nje ya jengo kutokea ground floor, kiasi kwamba haimlazimu mtu kuingia ndani ya jengo kuweza kuu-access ukumbi huo

Mbali na hilo, ndani ya ukumbi huo, SMG alikaa kwenye kiti ambacho kilikuwa jirani kabisa na nguzo iliyo ndani ya ukumbi huo, kiasi kwamba hata alipokuwa anaongea kuna uwezekano wa baadhi ya watu walikuwa wakimsikia kwa sauti tu na si kwa kumuona kwa sura pia

UGENI WA PILI NA WA TATU WA SMG: SIKU YA J5 WIKI ILIYOPITA

Mara zote mbili ndani ya siku hiyo moja, SMG na mhusika waligongana kwenye ngazi. Hakuna kamera yoyote ambayo huwa inamulika maeneo hayo ya ngazi

UGENI WA NNE WA SMG: SIKU YA IJUMAA WIKI ILIYOPITA

UGENI ULIOTARAJIWA KUWA WA KIOFISI WA SMG KWA MHUSIKA; HUKU SMG AKIONEKANA KUWA ALIMVIZIA MHUSIKA KWA MAONGEZI KWENYE VERANDA YA GHOROFA YA PILI NA KWENYE ENEO AMBALO HAKUNA KAMERA


Ugeni huu wa SMG ndiyo ule uliopelekea mhusika akaweza kuongea haya aliyoongea humu hadi muda huu

Vinginevyo kwa geni zile tatu za mwanzo, bado mhusika alikuwa hajaweza kuona pattern yoyote iliyokuwa imejitokea kuhusiana na mtu huyu

  • Kwenye mida ya baada ya saa tisa alasiri, mhusika alipandisha juu ghorofa ya pili na hatimaye alienda akaingia ofisini kwa MWI
  • Baada ya kutoka ofisini kwa MWI, alienda akakaa kwa muda kwenye veranda iliyo karibu na ofisi hiyo, akipumzika kwa muda ili hatimaye arejee tena ofisini kwake
  • Eneo alilokuwa amesimama, ni eneo ambalo halina Kamera inayomulika pale
Baada ya kuwa zimepita takribani dakika mbili au tatu mhusika akiwa yupo maeneo yale, punde si punde SMG naye alionekana maeneno yale na alinyoosha moja kwa moja hadi kwenye eneo alilokuwa amesimama mhusika

  • Baada ya kusalimiana, SMG alidai kuwa kuna assignment ambayo amepewa na Mkuu wake wa Idara, yaani BMI na ambayo amebaini kuwa baadhi ya taarifa zake zipo kwa mhusika
  • SMG alilibaini swala hilo la taarifa hizo alizokuwa anazihitaji, baada ya kuwa amefika ofisni kwa MWI ya mhusika, ambapo MWI mwenyewe ndiye aliyemwelekeza SMG kupata baadhi ya taarifa hizo kutoka kwa mhusika
  • Hadi muda huo, mhusika hakuwa amepokea taarifa zozote kutoka kwa MWI aliyekuwepo ambaye alikuwa ni acting, na yule mwingine wa siku zote alikuwa bado yupo safarini
HITIMISHO

Baada ya mhusika kumsikiliza SMG, mhusika alimshauri SMG kuonana na MR X kwa sababu taarifa alizokuwa anaziongelea, karibia kila mwaka wamekuwa wakiziwasilisha kwa MR X. Maongezi ya SMG na mhusika yaliishia hapo wakiwa hapo hapo kwenye veranda. Hiyo sasa ilikuwa ni Ijumaa ya wiki iliyopita, yaani tarehe 31/03/2023

MGENI WA PILI

Huyu alifika maeneo ya ofisini jana J3 ya tarehe 03/04/2023

Alikuwa amevaa kofia kwa mtindo uliowahi kujulikana zamani kwa jina la “Mungu sinione” huku mgongoni akiwa amebeba begi dogoi

Kwenye majira kama ya saa 5 hivi, mhusika akiwa anawapisha wafanyakazi wa usafi ofisini kwake, mgeni huyu alionekana kwa umbali kidogo akiwa kwenye korido ya floor ya ofisi ya mhusika, usawa ule ambao juu yake kuna Kamera. Alikuwa anaongea na watu kadhaa mmojawapo akiwa ni Mkuu wa Idaara aliyewahi kuhudumu kwenye kipindi cha miaka ya 2006-2012

  • Mgeni huyu aliwahi pia kuwa staff wa idara na kipindi mhusika anaajiriwa, ni mmojawapo wa wale wenyeji waliowahi kumpokea na kumuonyesha mhusika mazingira ya ofisini
  • Mara ya mwisho mgeni huyu kuonekana maeneo ya ofisini, ilikuwa ni takribani miaka miwili au mitatu iliyopita na siku hiyo alikuja kumuona SENIOR MSTAAFAU WA KIKE (SMK)
  • Siku hiyo, alitumia muda kidogo ofisini kwa SMK wakiongea, na baada ya pale alipitia tena ofisini kwa mhusika na ambaye naye pia waliongea kwa muda wa kutosha
  • Baada ya hapo, mtu huyu hakuwahi kuonekana tena mazingira ya ofisini hadi ilipofika tena hiyo jana
Kwa mujibu wa maelezo kuhusiana na safari yake ya jana, mgeni huyu alikuja kuonana na MR X, kitu ambacho mhusika ana wasiwasi nacho; yaweza kuwa MR X alisingiziwa isipokuwa ugeni wake ulikuwa hasa ni wa SMK. Ni kwa sababu pattern yote ya nyuma inaonyesha kuwa cases zote za wageni wote wa J3 ambao huwa wanakuwa wamebeba vibegi vidogo, huwa ni plot za SMK

KILE AMBACHO HASA KIMEPELEKEA MHUSIKA KUMWONGELEA MGENI HUYU


Siyo haya yaliyoandikwa hapa juu. Kiini hasa cha mhusika kumuongelea mgeni huyu kinafuata

………………….itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom