#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

NYONGEZA MUHIMU KUHUSIANA NA OM-2

Mchana huu siku ya leo J3, kulifanyika kusanyiko fupi la Wanaidara wote ndani ya chumba cha chai

Mhusika hakuwaona MWI wala OM-2; hawakuwepo kwenye kusanyiko hilo

Katika hali ya kawaida OM-2 amkeuwa hatoki ofisini akamaliza dakika mbili lakini leo alitoka kwa muda usiopungua lisaa limoja na ndiyo maana hakuweza kuonekana kwenye kusanyiko hilo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 28TH NOVEMBA 2023

TAARIFA MUHIMU

TUKIO JINGINE LILILOTENGENEZWA KWA MAKUSUDI LINALOENDELEA KU-TREND KWENYE MITANDAO YA JAMII


Tukio hili hapa #1 nalo pia ni la kiutengeneza kwa makusudi, na linafanana na lile lililopita siku za nyuma la aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya, aliyewahi kufanya maigizo ya kuyaigiza “Macho ya Nchi” kwenye siku ya Sikukuu ya Wanawake Duniani

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
NAMNA YA RATIBA ZA HIVI KARIBUNI ZA JUMAPILI HAPO KANISA A ZILIVYO NA AMBAVYO ZIMEKUWA ZIKIONYESHA KUHUSIANA WA REVERSE GEAR ZA GARI LA MHUSIKA

KWA WIKI MBILI MFULULIZO SASA, MHUSIKA AMEKUWA AKILAZIMIKA KUTOA GARI LAKE NJE YA UZIO WA NYUMBA YA IBADA KWA KUTUMIA REVERSE GEAR


Hii inatokana na Ratiba ya Ibada Kanisani hapo kumlazimisha mhusika kuhudhuria IBADA YA KWANZA, badala ya IBADA YA PILI ambayo huwa anahudhuria siku zote

KARIBIA MARA ZOTE, MHUSIKA AKITOA GARI NJE YA UZIO WA KANISA KWA KUTUMIA REVERSE GEAR BAADA YA IBADA KUMALIZIKA, AJALI MBAYA HUWA ZINATOKEA

Karibia mara zote; mhusika akitoa gari lake nje ya uzio wa Kanisa kwa kutumia REVERSE GEAR, AJALI MBAYA HUWA ZINATOKEA NDANI YA NCHI NA/AU HATA NJE YA NCHI, hasa kwenye nchi jirani
  • J2 iliyopita ya tarehe 26/11/2023, mhusika alitoka nje ya uzio wa Kanisa kwa kutumia REVERSE GEAR, na baada ya hapo ajali mbaya sana ilitokea nchini siku hiyo hiyo ya J2 huko maeneo ya Newala
  • Vile vile, J2 ya tarehe 19/11/2023 mhusika alitoka kwa kutumia REVERSE GEAR, na ajali zilitokea pia ndani ya nchi na kwenye nchi jirani, japo hizo za awali hakuweza kuzi-mechisha na tukio la yeye kutoka nje ya uzio wa Kanisa kwa kutumia REVERSE GEAR
Ajali hii ya pili aliweza yenyewe ameweza kui-mechisha kwa sababu kadhaa kama ifuatavyo

Pattern ya mwenendo wa Ratiba za Kanisa A imeanza kuonyesha kuwa kuna makusudi yamefanywa ya kubuni mpango mkakati wa kuiweka ratiba ya vipindi Kanisani hapo katika namna ambayo italazimisha mhusika wa mara kadhaa ndai ya kipijdi kifupi, kuhudhuria Ibada za kwanza
  • Mpango huo unaonyesha ulibuniwa kuanzia J2 ile ya tarehe 12/11/2023; J2 ambayo ratiba ya Ibada ilibadilika ghafla kutoka Ibada mbili na kuwa moja
  • J2 hiyo, waumini wa Kanisa A walilaumiwa kuwa kabla ya J2 hiyo, waliwahi kutangaziwa kuwa Ibada ya J2 hiyo ingekuwa moja lakini wao hawakusikia vizuri na hivyo kupelekea baadhi yao kuhudhuria Ibada ya pili, mhusika akiwa mmoja wao, kitu ambacho hakikuwa kweli
Kwenye Ibada ya J2 hiyo ulipofwadia wakati wa matangazo, waumini walitangaziwa kuwa J2 inayofuata ya 19/11/2023 kutakuwa na Ibada moja, ila SABABU HASA YA MABADILIKO HAYO HAIKUTAJWA
  • Baada ya J2 hiyo kupita, kwenye J2 nyingine iliyofuata ya tarehe 26/11/2023, kulikuwa na Ibada mbili, isipokuwa mhusika alilazimika kuhudhuria Ibada ya kwanza kwa sababu IBADA YA PILI ILIKUWA NI YA NDOA
  • Mara zote mhusika huwa anahudhuria Ibada ya kwanza tu pale inapokuwa imetokea kuwa Ibada ya pili ni IBADA YA NDOA
MBALI NA HAYA YOTE YALIYOELEZWA HAPO JUU, MAMBO MENGINE MAWILI UNIQUE YALIYOTOKEA KWENYE IBADA YA J2 YA TAREHE 26/11/2023

JAMBO LA KWANZA UNIQUE

ULIPOFIKA WAKATI WA MATANGAZO YA WIKI INAYOFUATIA J2 HIYO:

KINONGOZI WA ZAMU (KZ) ALISAHAU KUTANGAZA RATIBA YA J2 IJAYO YA TAREHE 03/12/2023; KITU AMBACHO SIYO KAWAIDA KWA SABABU J2 HIYO NI PASTORS DAY KWA KANISA NZIMA NCHI NZIMA


KZ alisahau kutangaza ratiba ya J2 ijayo ambayo ni PASTORS DAY, kitu ambacho hakijawahi kutokea miaka yote

Hata kama kuna mabadiliko ya ndani ya Kanisa kuhusiana na siku hiyo kwamba tusemelabda kwa Kanisa A inakuwa imesogezwa mbele kidogo, kawaida waumini huwa wanatangaziwa

Baada ya KZ kusahahu kutangaza ratiba ya J2, mhusika alichukua hatua za kuwaona viongozi kadhaa, mmoja wao akiwa ni shemasi na kuwaeleza kuwa KZ alikuwa hajatangaza ratiba kwa siku ya J2
  • Wakati mhusika anaongea na shemasi huyo, shemasi alikuwa yuko pamoja na KAIMU wa KM-A na hivyo hata KAIMU WA KM-A naye pia aliusikia ujumbe wa mhusika kwa shemasi
  • Baada ya hapo, mhusika alisubiria lakini hadi inafika mwisho, bado RATIBA YA J2 HII ILIKUWA HAIJATANGAZWA
Hatimaye Ibada ilifungwa bila ya RATIBA YA J2 HII KUTANGAZWA na waumini kuanza kutawanyika
  • Hapo mhusika aliamua kuchukua tena hatua nyingine ya kumfuata shemasi mwingine ambaye pia ni mwalimu wa mhusika na kumweleza kuwa ratiba ya J2 ilikuwa haijatangzwa
  • Hadi kufikia muda huo, waumini walikuwa tayari sasa wameshaanza kunyanyuka kwenye viti vyao na wale waliokuwa wamekaa viti vya pembezoni karibia na milango ya kutoka nje, walikuwa tayari wameshaanza kutoka nje
Shemasi mwalimu alifanya haraka na kwenda kuongea na KZ akimweleza kuhusu ratiba hiyo, ila baada ya hapo, mhusika hakuona dalili zozote za KZ kutoa tangazo hilo
  • Ndipo mhusika mwenyewe alipoamua kuchukua hatua ya kusogea pale wallipokuwapo viongozi hao akimkumbusha KZ kuwa alikuwa amesahau kutangaza ratiba ya J2 ya wiki hii
  • Baada ya hapo mhusika alipewa jibu la mdomoni, huku waumini wengine wakiondoka pasipo kusikia tangazo la ratiba ya J2 ya wiki hii
Mara zote ratiba ya J2 inayofuata huwa inatangazwa kwa waumini wote kutokea madhabahun KILA J2 PASIPO KUKOSA

Kwa nini KZ alikuwa ana wasiwasi wa kutangaza ratiba hiyo?

Mbali na hilo, karibia mara zote, PASTORS DAY huwa ni Ibada moja

JE yaweza kuwa KZ ALIKUWA AMEOGPOPA KUTANGAZA KUWA J2 IJAYO NI IBADA MOJA, kwa kuogopa kuwa angeweza kuonyesha PATTERN kwenye ratiba ambayo imekuwepo Kanisani kwa siku za hivi Karibuni?

Je, yaweza kuwa alijua kuwa mhusika atakaposikia ajali imetokea, ataanza kuwaza maswala ya REVERSE GEAR?


JAMBO LA PILI UNIQUE

TANGAZO LA NDOA LILILOANZA KUTANGAZWA J2 HIYO NA AMBALO LITATANGAZWA KWA J2 MBILI TU BADALA YA TATU KAMA ILIVYO KAWAIDA SIKU ZOTE

Hili lilikuwa ni tangazo la ndoa itakayofungwa J2 ya tarehe 10/12/2023; J2 nyingine ambayo mhusika atalazimika kuhudhhuria Ibada ya kwanza
  • Vile vile hii ni J2 ya kwanza kabisa inayofuatana na ile ya Pastors Day
  • Kawaida, mara zote matangazo ya ndoa huwa yanatolewa kwa J2 tatu mfululizo, halafu J2 ya nne ndiyo ndoa inafungwa
Tangazo hili lililotolewa J2 iliyopita, litatangzwa kwa J2 mbili tu halafu J2 ile ya tatu (tarehe 10/12/2023) ndoa itafungwa

Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kuona tangazo la ndoa likiwa administered kwa namna hii

Zifuatazo hapa chini ni baadhi ya posts za awali ambazo mhusika aliwahi kuongelea incidences zisizokuwa za kawaida zinazohusiana na KULAZIMIKA KUENDESHA GARI KWA KUTUMIA REVERSE GEAR pindi anapokuwa yupo mazingira ya Kanisani

Posts hizo ni hizi hapa chini

#924 , , #925 , #926, #928 , #951 , #1,112, #1,113 #1,299 . #1,300, #1,313 , #1,314

#1,316 , #1,317 , #1,344 #1,345 , #1,392 #1,394

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TUKIO JINGINE LINALOWEZA KUWA LINAHUSIANA NA HAYA MABO YA "REVERSE GEARS"
Tukio jingine jipya linaloweza kuwa linahusiana na mambo haya ya REVERSE GEARS aliyoyaongelea mhusika kwenye post iliyo hapo juu ni hili hapa #1
Hili sasa ni la leo leo!!
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY 29TH NOVEMBA 2023

SABABU MOJA KUBWA NA YA MSINGI ILIYOPELEKEA MHUSIKA J2 ILIYOPITA ALIPOKUWA YUPO KWENYE IBADA KANISANI, KUWAOMBA KWA MSISITIZO VIONGOZI WA KANISA A, WATANGANZE RATIBA YA IBADA YA J2 IJAYO TAREHE 03/12/2023 AMBAYO ILISAHAULIKA KUTANGAZWA WAKATI WA MATANGAZO


J2 iliyopita ya tarehe 26/11/2023, mhusika alihudhuria Ibada ya kwanza badala ya Ibada ya kwanza ambayo kawaida ndiyo huwa anahudhuria

Ni kwa sababu wakati wa Ibada ya pili, kulikuwa na Ibada ya ndoa J2 hiyo na hivyo kama ambavyo tayari ameshadokeza hapo juu, kwenye J2 zote ambazo huwa kuna Ibada za ndoa, mhusika huwa nahudhuria Ibada ya kwanza

KUTOKANA NA KUSAHAULIKA KUTANGAZWA TARIBA YA IBADA KWA J2 IJAYO WAKATI WA IBADA YA KWANZA J2 ILIYOPITA: ASSUMING SCENERIO IFUATAYO INGEKUJA KUTOKEA BAADAYE, WAKATI WA IBADA YA PILI


Kwamba tukio hilo la ratiba ya Ibada ya J2 ijayo kusahaulika kutangazwa wakati wa Ibada ya kwanza J2 iliyopita:

Kiongozi wa Zamu (KZ) angekuja kukumbuka kukumbuka kuitangaza ratiba hiyo ya J2 ijayo wakati wa Ibada ya pili na pia kwamba;
  • KZ angetangaza kuwa J2 ya ijayo ya tarehe 03/12/2023 kutakuwa na Ibada moja tu kwa sababu ni Pastros Day, huku kz akitoa msisitizo wakati wa tangazo lake kwa wumini wote wa ibada ya pili akiwasihi wasije wakachanganya tena kama ambavyo wamewahi kufanya hivi karibuni J2 iliyopita siku chache zilizopita;
  • Mhusika angekuwa ameondoka Kanisani J2 iliyopita pasipo kudadisi juu ya ratiba ya J2 ijayo, na hivyo yeye ku-assume kuwa kungekuwa na Ibada mbili J2 ijayo kama ilivyo kawaida siku zote; ukizingatia kuwa kwenye J2 za namna hii ambazo ni “Pastors Day” ratiba huwa inachangaya kwa maana kuwa wakati mwingine Ibada huwa zinakuwa ni mbili, na wakati mwingine Ibada moja;
Kwenye scenerio ya namna hii; uwezekano ulikuwa ni kwamba mhusika angeweza kuhudhuria Ibada ya pili na hivyo kupishana tena na ratiba ya Ibada kwa mara nyingine ya pili ndani ya kipindi kifupi sana kisichozidi mwezi mmoja

Na kama ingekuja kutokea hivi, hapa Viongozi wa Kanisa A wangekuwa na haki ya kumchukulia hatua za utovu wa nidhamu mhusika

HITIMISHO


Hakuna watu ambao mhusika anawaheshimu na kuwaogopa kama Viongozi hawa wa kwenye nyumba za Ibada

Ni pale tu wanapokuwa kwa uwazi kabisa, wameemda kinyume na kile wanachopaswa kufanya, ndiyo pale mhusika anapokuwa hana nafasi tena ya kuwavumilia

Izingatiwe kuwa mhusika kuendelea kuwakosoa viongozi hawa mara kwa mara kwa yale anayayaona yanapungua kwa upande wao, haimaanishi kuwa hawashimu viongozi hawa; hapana; anawaheshimu sana lakini pia anawaogopa kama viongozi wake

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 1ST DECEMBER 2023
SOMETHING UNIQUE KUHUSIANA NA WANAFUNZI NA CHUMBA CHA MICROSCOPES
TERM YA PILI MWAKA WA MASOMO ULIOPITA, WANAFUNZI HAWAKUINGIA KABISA KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES

KWA MARA NYINGINE TENA, TERM YA KWANZA YA MWAKA HUU WA MASOMO; KWA MARA YA KWANZA WANAFUNZI HAWAINGII TENA KWENYE CHUMBA CHA MICROCOPES


Kuna kitu unique kinaendelea na taarifa zake zitawajieni muda siyo mrefu

Hata hivyo kwa sasa, theory ya mhusika bado ipo pale pale kwamba wanafunzi hao hawatakiwi kuona ni nini kinaendelea ofisini kwa mhusika kuhusnaina na mienendo ya OM-2
Kwa mfano:
OM-2 anakuwa yupo darasani katiika muda ambao hana vipindi, na wakati mwingine anakuwa hayupo darasani kwenye muda ambao alitakiwa kuwa darasani
  • Kwa sasa OM-2 anahudhuria vipindi vile tu mabavyo viko kkwenye off-paek hours, kama vile vya asubuhi sana kuanzia saa moja na vile ambavyo ni vya jioni (kuaniza saa 9 na kuendelea)
  • Kawaida OM-2 anatakiwa kuwepo darasani akiwa ameambatana na SENIORS waliopangiwa kufundisha masomo husika lakini kwa siku ya jana, kuanzia saa 10 jioni na kuendelea, OM-2 alionekana akiwa yupo darasani kwenye darasa lililokuwa linafundishwa na mtu mwingine mgeni ambaye naye ni wa caliber yake, ambaye huyo naye kwa sasa hatakiwi kuwepo darasani akiwa yupo peke yake bila senior wake
OM-2 alikuwa amekaa darasani kama mwanafunzi, na kwenye darasa ambalo lilikuwa linafundishwa na mtu ambaye level yake iko sawa na ya OM-2

Hiki kitu huwa hakipo, labda ndiyo kimeanza hivi karibuni, mhusika hana taarifa zake

MFD NDIYE AMBAYE YUKO NYUMA YA MPANGO MKAKATI WA KUAHAKIKISHA KUWA KWA SASA WANAFUNZI HAWASOGEZI PUA ZAO KWENYE CHUMBA CHA MICROSCOPES

Mtu ambaye amekuwa akii-engineer mpango mzima kuhakikisaha kuwa wanafunzi hawaingii tena kwenye chumba cha MICROSCOPES tangu term iliyopita hadi muda huu, ni huyu mfanyakazi aliyehamia kutoka Dodoma (MFD)

Kwa tem iliyopita MFD alifikia hadi hatua ya kubuni buni utaratibu mpya wa kuwafanyisha wanafunzi ORAL PRACTICALS, ila issue hasa ilikuwa ni kuhakikisha kuwa wanafunzi wa kipindi husika hawaingii kwenye chumba cha MICROSCOPES

Bdala ya kufanyikia kwenye chumba cha MICROSCOPES, ORAL PRACTICALS hizo zilifanyikia kwenye CONFERENCE ROOM

Katika maisha yake yote, hiki kitu kuhusina na ORAL PRACTICALS mhusika alikiona kwa mara ya kwanza term jana

Taarifa zaidi zitafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 4TH DECEMBER 2023

OMBI LA MHUSIKA KWA UONGOZI WA JUU WA KANISA LA TANZANIA AMBAO KANISA ANALOABUDU MHUSIKA (KANISA A) LIKO CHINI YAO; IKIWEZEKANA PAMOJA NA SERIKALI PIA

MHUSIKA ANAOMBA SANA VIONGOZI WA KANISA A WALAZIMISHWE KULIWEKA WAKFU KANISA HILO


(Taarifa hii inazo pia supplementary information kutoka kwenye tukio hili hapa #1,494)

Mhusika anauomba uongozi wa kiTaifa wa Kanis A ikiwezekana pamoja na Serikali pia, kama inawezekana wote kwa pamoja watumie mamlaka yao na hekima yao, kuhakikisha kuwa KANISA A linawekwa wakfu haraka iwezekananyo

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA ZAIDI NA HOJA HII: MACHACHE KUHUSIANA NA RATIBA ZA MAOMBI YASIYOKUWA RASMI KANISA A


Mojawapo ya maombi aliyokuwa anayalalamikia mhusika kwenye Kanisa hilo, ni yale ya KANISA ZIMA na kwa muda wa siku tatu

Haya ni maombi ambayo yameshahihirsha pattern ya kipekee kabisa kwamba kila yanapofanyika, ajali huwa zinatokea

Kwa sasa, maombi hayo sasa yemebadilika MUUNDO NA KUWA YA KUJITENGA na yanafanyikan kwenye vkundi vyenye majina maalumu na kwa approval ya KM-A

BAADHI TU MAOMBI YA KUJITENGA KWA SIKU ZA HVI KARIBUNI
  • Wiki iliyopita kulikuwa na maombi ya SIKU TATU YA KUJITENGA KWA AKINA MAMA PEKE YAO
  • Kilichopelekea akina mama hao kufanya MAOMBI YA KUJITENGA na hatimaye ku-block program zingine zote za Kanisa zima; haikuelezwa hasa ni nini kilikuwa SPECIAL kiasi cha akima nama hao kupewa nafasi ya aina hiyo wao peke yao
  • Vile vile, wiki hii pia kuna maombi ya SIKU TATU YA KUJITENGA KWA VIJANA huku maombi hayo SPECIAL nayo pia yakiwa hayajulikani ni ya kuombea nini
Mbali na hayo, siku ya J2 ya tarehe 26/11/2023 WAKATI WA MATANGAZO, kulikuwa na tangzao lililowahusu WAHUSIKA WAKUU wa tukio hili hapa #1,494

Wahusika wakuu wa tukio hilo ni mmojawapo ni yule aliyetangaza tukio na mwingine ni yule ambaye alitangazwa kuhusika na tukio hilo

Kwenye J2 husika, MAJINA YA WATU HAWA WAWILI yalitamkwa tu kutokea madhabahuni wakati wa matangazo; wao hawakuwepo Kanisani
  • Kwa walio na kumbukumbu nzuri, kwa sasa maombi ya Kanisan zima kwa siku moja ya Ijumaa tu kwa kila wiki ni kama yamefutwa; hayapo
  • Kwa muda mrefu sasa kwenye kila wiki, ratiba za wiki zinatengenezwa katika namna ambayo zinafuta maombi hayo ya siku moja ya Ijumaa, ikiwa ni pamoja na mafundisho ya J5 pia
Hata hivyo kuna kitu SPECIAL kuhusiana na mafundisho haya ya J5 kwamba:

Yamekuwa na kawaida ya kuwepo kwa mfululizo, pale tuamwalimu wa somo la siku hizo anapokuwa ni KM-A

Masomo haya huwa yanafululiza hata kwa miezi kadhaa yanapokuwa chini ya KM-A na kawaida MARA ZOTE huwa na anakuwa na somo lenye mwendelezo na kwa miezi kadhaa

Vingnevyo tofauti na KM-A kuwa mwalimu wa mafundisho ya J5; huwa ni nadra sana kwa mafundisho ya siku hiyo kufanyika Kanisa A

Sababu za kwa nini inafanyika hivi kwa mafundisho ya J5 na maombi ya Ijumaa, mhusika tayari alishafanya utafiti na kuzijua siku nyingi nyuma ila atakuja kuziongelea siku nyingine

HTIMISHO: USHAURI WA MHUSIKA KATIKA HILI

Ikiwezekana kwa hekima kubwa na pasipo kusababisha mgogoro, SERIKALI WAINGILIE KATI wakishirikiana na UONGOZI WA KITAIFA WA KANISA A; kuhakikisha kuwa NYUMBA HII YA IBADA INAWEKWA WAKFU

Kwa taarifa zilizokuwa zimewahi kutolewa na uongozi wa Kanisa A mwanzoni mwa mwaka huu wa 2023, nyumba hii ilitakiwa iwe imewekwa wakfu OKTOBA 2023

Ikumbukwe kuwa ni miaka miwili kamili sasa tangu nyumba hii inaze kutumika na pasipo kuwa imewekwa wakfu

Still, pamoja na tangazo hilo la mwanzoni mwa mwaka, hadi muda huu hakuna dalili zozote za nyumba hiyo kuwekwa wakfu na wala hakuna anayejali kuongelea hilo; VIONGOZI WOTE WAKO KIMYA

Mbali na hilo, pengine labda SERIKALI nao (upanfe wa msajili wa makampuni) wanatakiwa kuwa wanafuatilia na kuhakikisha kuwa kila NYUMBA MPYA YA IBADA INAYOJENGWA NA KUWANZA KUTUMIKA, INAKUWA IMEWEKWA WAKFU; kwa nyumba zile za Ibada ambazo nyumba kuwekwa wakfu ni REQUIREMENT muhimu kwenye imani yao

Vile vile, wakati wa usajili wa nyumba za Ibada za aina hii, yaani zile ambazo zinazotakiwa kuwekwa wakfu, kuwepo na kipengele cha kumulisha MSAJILIWA kuwa KILA KANISA JIPYA LITAKALOJENGWA NDANI YA TAASISI HUSIKA ILIYOSAJILIWA, MSAJILIWA ATAHAKIKISHA KUWA LIMEWEKWA WAKFU KWANZA KABLA YA KUANZA KUTUMIA

Kati ya vitu ambavyo ni hatari mno kwa ustawi wa usalama na maisha ya watu kwenye nchi, NI MADHABAHU ZILIZO KWENYE NYUMBA ZA IBADA ZINAZOTUMIKA PASIPO KUWA ZIMEWEKWA WAKFU

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
DOKEZO MUHIMU SANA:

WENYE MAMLAKA WANAOMBWA KUHAMIKISHA KUWA NYUMBA YA IBADA YA KANISA A IMEWEKWA WAKFU HARAKA IWEZEKANAVYO

MAMBO KARIBIA YOTE YANAYOENDELEA NYUMA YA PAZIA KWENYE NYUMBA HIYO SASA HIVI SIYO IBADA

Kinachoendelea kwa sasa Kanisa A ni kwamba kuna INTELLIGENCE tu inayotumika kuonyesha kuwa kama kuna Ibada lakini kiuhalisia hakuna Ibada zinazoendelea pale

Ibada zipo ndiyo lakini si zile ambazo waumini wa kawaida wanazihitaji; ni zile za upande ule mwingine

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 8TH DECEMBER 2023
YALE MUHIMU YAIYOJIRI OFISINI NDANI YA WIKI MBILI HADI KUFIKIA LEO IJUMAA YA TAREHE 8 DESEMBA 2023

TUKIO LA ASUBUHI YA LEO IJUMAA YA TAREHE 08/12/2023


MHUSIKA AMEONDOKA OFISINI BAADA YA KUBAINI MAMBO KADHAA AMBAYO HAYAKUWA SAWA OFISINI ASUBUHI HII. PLAN KUHUSIANA NA MAMBO HAYO IMEFANYIKA NDANI YA WIKI HII.

KABLA HAJAENDELEA ZAIDI KUTOA MAELEZO YA NINI KILICHOTOKEA LEO, TAARIFA ZA MDOMONI ALIZOKUWA AMEPEWA NA OFFICE MATE WAKE WA SASA ( OM-2), KUANZIA J5 WIKI HII, ZILIPELEKEA LEO ASUBUHI AWAWHI AKAPAKI GARI LAKE AKIWA NI MTU WA KWANZA PALE OFISINI, KITU AMBACHO NI NADRA SANA KWAKE KUTOKEA

SABABU ZILIZOPELEKEA MHUSIKA KUPEWA TAARIFA ZA MDOMINI ATAZIELEZEA BAADAYE

INAVYOONYESHA PALE OFISINI KWAKE KUNA SHOTI YA UMEME KWENYE SOCKET MOJA TU AMBAYO HUWA ANATUMIA YEYE NA KWA JICHO JINGINE, SHOTI HIYO INAWEZA KUWA IMETENGENZWA KWA MAKUSUDI NDANI YA WIKI HII KUANZIA SIKU YA J4 HADI KUFIKIA JANA ALHAMIS
................................ inaendelea
 
NAMNA AMBAVYO MAZINGIRA YA OFISINI YAMEKUWA NDANI YA WIKI KUANZIA J4 HADI LEO IJUMAA

JENGO LA IDARA LIMEKUWA HALINA UMEME WA KUTOSHA HUKU STANDBY GENERATOR NAYO IKIWA HAINA MAFUTA

KUTOKANA NA HALI HIYO BAADHI YA SEHEMU ZA JENGO ZIMEKUWA ZINA UMEME NA ZINGINE ZIKIWA HAZINA; NA HIVYO KUPELEKEA MHUSIKA KUWA MMOJAWAPO WA WATU AMBAO NI VICTIM WA HALI HII.

TATJZO AMBALO LIMEKUWEPO NI KWAMBA SOCKET YA UMEME AMBAYO MHUSIKA HUWA ANATUMIA IMEKUWA HAINA UMEME TANGU J4 HADI ALHAMIS, NA KWA SIKU YA LEO IJJMAA, SOCKET HIYO INAPIGA SHOTI KIASI CHA KUPELEKEA TRANSFORMER LA UMEME LILILOPO NJE MAENEO YA JIEANI, KUTOA CHECHE IKIWA NI PAMOJA NA KUANZA KUFUKA MOSHI.

MHUSIKA AME-ICONFIRM HALI HILI LEO ASUBUHI, BAADA YA KITENDO HICHO CHA TRANSFORMER LA UMEMEM KUJIRUDIA MARA TATU NA KATIKA MUDA TOFAUTI TOFAUTI ULIOPISHANA DAKIKA KADHAA.

HALI ILIYOJITOKEZA LEO IJUMAA NI KWMBA ILITOKEA KILA MHUSIKA ALIPOKYWA ANAWASHA LAPTOP COMPUTER YAKE, TRANSFORMER LINATAKA KULIPUKA KWA KUANZA KUTOA CHECHE NA PIA KUFUKA MOSHI.

KITENDO HIKI KIMEJIRUDIA MARA TATU MFULULIZO NA KATIKA MIWASHO MITATU TOFAUTI TOFAUTI YA COMPUTER

KITU CHA MUHIIMU KUHUSIANA NA MAELEZO HAYA..........
IZINGATIWE KUWA PAMOJA NA KUWA HATA LEO KUNA TATIZO LA JMEME OFININI, KILCHOPELEKEA MHUDIKA AKAKJMBIA OFISINI LEO SIYO UMEME BALI NI TUKIO LILILOTOKEA ASUBUHI HII HAPO OFISINI
................................ inaendelea
 
NAMNA AMBAVYO UMEKUWA MLOLONGO WA MATUKIO NDANI YA KIPINDI HIKI CHA WIKI HIZI MBILI

TUKIRUDI NYUMA KIDOGO HADI MWEZI WA 9 MWANZONI MWAKA HUU WA 2023


MWEZI WA TISA MWANZONI OFFICE MATE NUMBER MOJA (OM-1) WA MHUSIKA ALISAFIRI KIKAZI NA HAJARUDI HADI LEO
OM-1 WALISAFIRI PAMOJA NA YULE STAFF MEINGINE MPYA MWENYE VITUKO (TUMWITE SMV), AMBAYE YEYE KWA SASA AMESHARUDI TENA OFISINI, HUKU OM-1
YEYE AKIWA BADO YUPO SAFARI


MARA YA KWANZA SMV ALIONEKANA MAZINGIRA YA OFISINI, ILIKUWA NI J3 YA WIKI ILIYOPITA TAREHE 27/11/2023

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI BAADA YA SMV KURUDI TENA OFISINI

KWENYE WIKI YOTE ILIYOPITA, MHUSIKA NA SMV WAMEKUWA WAKIKUTANA KWENYE KORIDO TU, ILA PIA NA OFISINI KWAKE MHUSIKA. OFISINI HUMO NDIMO AMBAMO SMV AMEKUWA AKITUMIA MUDA MWINGI SAFARI HII BAADA YA KURUDI, WAKIWA PAMOJA NA OM-2; KWA SABABU SMV NI SWAHIBA MKUBWA WA OM-2

KITU CHA KIPEKEE SANA KUHUSIANA NA HUU UJIO MPYA WA SMSMS
SMV AMEKUWA AKIONEKANA KWEYE KORIDO TU NA PIA OFISININKWAO MHUSIKA

TANGU ARUDI TENA, MHUSIKA HAJAWAHI KUMUONA SMV AKIWA MAHALI PENGINE POPOTE PALE TOFAUTI NA OFISINI KWAO MHUSIKA AU KWENYE KORIDO

NDAI YA KIPINDI HIKI CHA WIKI MBILI TANGU SMVV ARUDI TENA OFISINI, MHUSIKA HAJAWAHI KUMUONA SMV AKIWA NA STAFF MWINGINE YEYOTE YULE MAHALI PENGINE POPOTE PALE TOFAUTI NA OFISINI KWAO MHUSIKA AU KWENYE KORIDO AKIWA ANATEMBEA KUELEKEA MAHALI FULANI

J3 YA TAREHE 27/11/2023 KULIKUWA NA KUSANYIKO FUPI LA WANA IDARA LILILOITISHWA NA ADMINITRATIVE OFFICER

SMV HAKUWEPO KWENYE KUSANYIKO HILO
OM-2 NAYE PIA HAKUWEPO KWENYE KUSANYIKO HILO
MKUU WA IDARA NAYE PIA HAKUWEPO KWENYE KUSANYIKO HILO

KWENYE MUDA WA KUSANYIKO HILO, OM-2 NA SMV WALIENDA LUNCH NA SIKU HIYO NDIYO ILIKUWA SIKU YA PEKEE AMBAYO NDANI YA WIKI HIZI MBILI OM-2 ALIFANIKIWA TENA KWENDA LUNCH
................................ inaendelea
 
KUHUSIANA NA OFFICE YA SMV NA PIA OFFICE MATES WA SMV
OFFICE HII NI MOJAWAPO YA ZILE ZILIZOBANDIKWA VIBAO VYA JINA KWENYE AWAMU HII YA MWISHO, ZOEZI LA UBANDIKAJI AMBALO LILIRATIBIWA NA MFD

KIBAO CHA JINA LA SMV NACHO PIA KILIBANDIKWA KWENYE AWAMU HII YA MWISHO: SMV MWENYEWE AKIWA BADO YUPO SAFARI

OFFICE YA SMV IKO JIRANI AND EXACTLY OPPOSITE NA OFFICE YA MWI

VILE VILE, SMV ANAO PIA OFFICE MATES WAWILI, MMOJA AKIWA NI BINTI WA HAPO HAPO IDARANI NA MWINGINE AKIWA NI BINTI KUTOKA KWENYE ILE IDARA NYINGINE YA MAJOR UNIT

WAKATI SMV ANARUDI OFISINI, BINTI WA IDARANI ALIKUWA YUKO FIELD, NA YULE MWINGINE KUTOKA KWENYE ILE IDARA NYINGINE, ALIKUWA YUPO HUKO IDARANI KWAKE, POSSIBLY AKIWA ANATUMIA OFFICE NYINGINE

KWA HIYO HADI LEO HII, SMV HAJAFANIKIWA KUONANA NA OFFICE MATES WAKE KWA SABABU ZIFUATAZO

BINT WA IDARANI ALIRUDI KUTOKA FIELD J3 YA WIKI HII TAREHE 04/12/2023 NA BAADA YA SIKU HIYO, KESHO YAKE J4 ALISAFIRI TENA KWENDA FIELD

KWENYE J3 YA WIKII AMBAYO BINT OFFICE MATE WA SMV ALIKUWEPO OFISINI, SMV HAKUFANIKIWA KUWEPO OFISINI SIKU HIYO BAADA YA KUCHOSHWA NA MBIO ZA MARATHONI ZILIZOKUWA ZIMEFANYIKA WEEKEND ZIKIWA ZIMERATIBIWA NA TAASISI MWAJIRI
J4 YA WIKII HII SMV ALIFANIKIWA KUWEPO OFISINI, WAKIPISHANA TENA NA BINT OFFICE MATE AMBAYE ALIONDOKA KWENDA FIELD J4 HIYO NA HADI MUDA HUU BADO YUPO FIELD

KUHUSIANA NA BINTI OFFICE MATE WA SMV KUTOKA KWENYE ILE IDARA NYINGINE
HUYU YEYE WALIONANA NA MHUSIKA KWENYE KORIDO, J4 MCHANA MHUSIKA ALIPOKUWA ANATOKA OFISINI KURUDI NYUMBANI BAADA YA UMEME KUTOKUWEPO SIKU NZIMA HUKU STANDBY GENERATOR NALO LIKIWA HALINA KITU

SIKU HIYO MHUSIKA ALIBAHATIKA KUONANA NA BINTI HUYU KWENYE ILE SEHEMU YA KUBADILISHIA NGAZI ZA KUPANDIA JUU AU KUSHUKA CHINI.

HATA HIVYO BINTI HUYU NAYE HAKUWA AMEFANIKIWA KUONANA NA OFFICE MATE WAKE SMV KWA SABABU TANGU J4 YA WIKI HADI JANA ALHAMIS SMV ALIBADILISHWA OFISI NA HIVYO KUHAMISHIWA OFISINI KWAO NA MHUSIKA, AKIWA ANATUMIA NAFASI ILE ILIYOACHWA NA OM-1 ; BAADA YA OM-1 KUSAFIRI KIKAZI MNAMO SEPTEMBA 2023

KWA HIYO TANGU J4 HADI JANA ALHAMIS, SMV AMEKUWA AKITUMIA OFISI YAO MHUSIKA KWA RIDHAA YA MWI AMBAYE NAYE (MWI) NDANI YA KIPINDI CHA HIZI WIKI MBILI, AMEONEKANA OFISINI KWENYE SIKU MBILI TU ZA J3 YA WIKI ILIYOPITA NA PIA J3 YA WIKII HII

KWA J3 YA WIKI HII, SMV NA MWI WALIPISHANA KWA SABABU SMV HAKUWEZA KUFIKA OFISINI SIKU HIYO KUTOKANA NA UCHOVU WA MARATHONI

KWA J3 YA WIKI ILIYOPITA, WAWILI HAWA WALIPISHANA PIA KUTOKANA NA SABABU AMBAZO MHUSIKA TAYARI AMESAZIELEZA HAPO AWALI

NA KWA SIKU HII YA LEO IUUMAA YA TAREHE 08/12/2023 HADI MHUSIKA ANAONDOKA OFISINI:

MWI ALIKUWA HAYUPO IDARANI N.A. HAPAKUWA NA NOTICE OF ABSENCE

MKUU WA MAJOR UNIT NAYE PIA ALIKUWA BADO HAJAINGIA OFISINI

SMVV NAYE PIA ALIKUWA BADO HAJAINGIA OFISINI
................................ inaendelea
 
Edited
BAADA YA UMEME KUWA UMEKOSEKANA OFISINI KWA SIKU MBILI ZA KWANZA ZA J4 NA J5

KWENYE SIKU YA J5 OM-2 ALIMWELEZA MHUSIKA KUWA KUNA UJUMBE ULIKUWA UMETUMWA KUPITIA WHATSSUP UNAOHUSIANA NA KIKAO CHA IDARA KWA AJILI YA KU- EVALUATE FOURTH YEAR STUDENTS PROJECTS SIKU YA IJUMAA KUANZIA SAA 2:00 KAMILI ASUBUHI
(KWENYE DATABASE COMMANDS, IJUMAA SAA MBILI KAMILI ASUBUHI INAWAKILISHWA NA DATABASE COMMAND INAYOITWA DAY_HOUR)

WAKATI HUO SMV NAYE ALIKUWEPO OFISINI AKIWA ANASIKILIZA MAONGEZI KATI YA MHUSIKA NA OM-2

OM-2 ALIMWAHIDI MHUSIKA KUWA ANGEWEZA KUMTUMIA UJUMBE HUO BAADAYE KWENYE E-MAIL

HADI INAFIKIA ALHAMIS MUDA MHUSIKA ANAAMUA KUONDOKA OFISINI KWA SABABU YA TATIZO LA UMEME, OM-2 ALIKUWA BADO HAJAFORWARD UJUMBE HUO KWA MHUSIKA

KABLA MHUSIKA HAJAONDOKA OFISINI ALHAMIS, ALIAMUA TENA KUMUULIZIA
OM-2 KUHUSIANA NA MKUTANO HUO

OM-2 ALITHIBITISHA KUWA MKUTANO HUO UPO KAMA KAWAIDA SIKU YA IJUMAA KUANZIA SAA 2:00 ASUBUHI

HIKI NDICHO SASA KILICHOPELEKEA MHUSIKA AKAPAKI GARI LAKE IJUMAA ASUBUHI PALE IDARANI AKIWA NI MTU WA KWANZA

IKUMBUKWE PIA KUWA KWENYE SIKU ZOTE HIZI, CHUMBA CHA MICROSCOPES AMBACHO NI JIRANI NA OFIS YAO MHUSIKA, KIMEKUWA NI NO GO ZONE KWA WANAFUNZI WOTE, HAYUPO MWANAFUNZI NAYERUHUSIWA TENA KUINGIA KWENYE CHUMBA HICHO

................inaendelea
 
Mkuu hii mbona Kama imekuwa shajara ( diary ) yako binafsi ya kuweka kumbukumbu ya matukio yanayokuhusu?
 
Back
Top Bottom