#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: TUESDAY, 13th FEBRUARY 2024

MATUKIO MENGINE YA AWALI YANAYOANGUKIA KWENYE USAMBAZAJI WA MAPEPO, AMBAYO MHUSIKA ALIWAHI KUYALETA HUMU JUKWAANI

MATUKIO YA WATU KUJERUHIWA


Baadhi yake tu ni yale matukio yanayohusina na kujeruhiwa, ambayo kawaida huwa yanahusiana na CELL RECEPTORS

Baadhi tu ya posts za matukio hayo ni hizi hapa

#1,328, #1,325 , #1,919 , #1,341

MATUKIO YA TAKATAKA

Matukio haya ya takakata ni yale ambayo kawaida yanahusiana na maji taka ikiwa ni pamoja na haja kubwa (STOOL) za binadamu ambazo huwa zinapatikana kwenye mazingira ya kila nyumba wanayoishi binadamu, maofisini na majumbani

Baadhi tu ya posts za awali kuhusiana na matukio hayo ni hizi hapa

#1,310 , #1,508 , #1,319 , #1,341, #1,507 , #1,509 , #1,673 , #1,674

NB: Mtu mmoja aliyewahi kuipa jina la “JALALANI” taasisi moja, statement yake haikuwa simple kama watu wanavyoweza kudhani, na si kwamba maneno hayo yalimponyoka, hapana

NAMNA UFAHAMU WA SASA WA MHUSIKA ULIVYO KUHUSIANA NA SWALA HILI LA TAKATAKA

Kuhusiana na hili swala la takataka pamja na maji taka, mhusika amesahapata shule kubwa na nzito mno kutoka kwa jirani yake, JIRANI MAJI MACHAFU na hiki anachokisema hapa ana uhakika nacho zaidi ya silimia 100%

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 14th FEBRUARY 2024

KUHUSIANA NA SWALA HILI LA MAPEPO KUENDELEA KURUSHWA KANISA A NA SEHEMU NYINGINE: ALLEGORICAL EXAMPLE BETWEN DEMONS AND FIELD CROPS (MFANO WA FUMBO KATI YA MAPEPO NA MAZAO YA WATU SHAMBANI)

KICHUGUU CHENYE MIDOMO WANAMOISHI NGUCHIRO AMBAMO HUWA WANATOKA NA KWENDA KULA MAHINDI KWENYE MASHAMBA YA WATU


Tuchukkulie kuwa KICHUGUU ni makazi ya mapepo wachafu ambao huwa wanarushwa ili kwenda kuwashambulia binadamu

Vile vile tuchukulie kuwa midomo ya kichuguu ni njia zile ambazo huwa wanazitumia mapepo hao kutoka na kusafiri na hatimaye kufika maeneo ya binadamu na kuwashambulia

FACT iliyopo kwenye situation hii ni kwamba ikitokea wamiliki wa mashamba wakaziba midomo ya kichuguu, nguchiro hawawezi tena kutoka tena kwenda kushambulia mashamba ya mazao ya binadamu

Hata hivyo, kile ambacho huwa kinafanyika ni wenye mashamba kuendelea kuwafukuza nguchiro kwenye mashamba yoa ili warudi kwenye kichuguu chao ambamo huwa wanakaa

Baada ya kufukuzwa, nguchiro huwa wanarudi kwenye kichuguu chao, wakijiandaa kwa ajili ya kwenda kushambulia tena sehemu nyingine kutokana na ukweli kuwa kichuguu chao huwa kinaendelea kuwepo kikiwa intact, huku midomo yake ikiendelea kuwa wazi muda wote

KUTOKANA NA FACT HIYO HAPO JUU: MASWALI MAKUBWA YA MSINGI AMBAYJO MHUSIKA AMEKUWA AKIJIULIZA KUHUSIANA NA JAMBO HILI LA MAPEPO

  • Je, hakuna uwezekano wa kuziba midomo ya kichuguu ili Nguchiro wasitoke humo na wasiweze tena kwenda kushambulia sehemu nyingine au binadamu wengine?
  • Je, kwa nini kila mara Nguchiro wafukuzwe tu na hatimaye kuachwa warudi kwenye kichuguu chao chenye midomo iliyo wazi, huku wakiachiwa option nyingine kubwa ya baadaye kutoka humo na kwenda kushambulia sehemu zingine?
Unless is impossible kuzuia watu kurusha mapepo, then the issue of casting out demons will make sense

Unless kama uwezekano huo haupo ila kama upo, basi kutakuwa na SIASA KUBWA kwenye swala hili la ufukuzaji mapepo kutokana na sababu moja kubwa kwamba mtu yeyeote yule anayeweza kufukuza pepo, anaweza pia kuzuia watu kurusha mapepo

KUMFUKUZA PEPO NI KAZI NGUMU MNO UKILINGANISHA NA KAZI YA KUMZUIA MTU KURUSHA PEPO


PEPO ni shetani na hivyo nje ya nguvu za uweza wa Mungu, ana nguvu za ajabu mno kiasi kwamba hawezi hata kwa chembe tu, akalinganishwa na binadamu

  • Kwa hiyo nje ya uweza wa nguvu za Mungu, pepo huwezi ukamlinganisha na binadamu kwa namna yoyote ile, ana nguvu kubwa mno, na binadamu yoyote aliye nje ya nguvu za uweza wa Mungu ni kama sisimizi tu kwake
  • Kwa muktadha huu basi, binadamu anayeweza kumfukuza PEPO, hawezi kushindwa kumzuia binadamu kurusha pepo kwa sababu kazi ya kuzuia binadamu kurusha pepo, ni ndogo mno ukilinganisha na ile ya kumfukuza pepo
Kama ni hivyo, kwa nini sasa huwa hatuzibi midomo ya kichuguu ili Nguchiro wasiendelee kutoka humo kwenda kushambulia mazao kwenye mashamba ya watu, badala yake tunahangaika kila siku kwenda mashambani kuwafukuza huko, huku kichuguu tukikiacha kikiwa salama pamoja na midomo yake?

Kwa nini tuhangaike kuwafukuza Nguchiro kila siku miaka nenda rudi, kazi ambayo ni kubwa zaidi ukilinganisha na ile ya siku moja tu ya kuziba tu midomo ya kichuguu ambamo huwa wanakaa?


Kunaweza kukawa na Siasa kwenye swala hili iwapo tu upo uwezekano wa kuwazuia kurusha mapepo, watu ambao huwa wanarusha mapepo, badala ya kuhangaika kuyatoa mapepo kwenye sehemu ambazo huwa yanakuwa yamerushwa

Haipo haja ya kuhangaika na mapepo yaliyorushwa badala ya kuwazuia wale wanaorusha mapepo kwa sababu mtu aliye na uwezo wa kufukuza pepo, anao pia uwezo mkubwa na wa ajabu mno, wa kuzuia warusha mapepo, kuendelea kurusha mapepo

Kama huu uwezekano upo, why always people spending their precious time casting out demons??!!!!

Mhusika anatoa hoja akiwa hana ufahamu wa kiroho wa kuweza kujua kama uwezekano wa kuwazuia warusha mapepo upo au haupo; na hivyo anaomba msamaha kama kutakuwa na chochote kisichokuwa sawa kwenye post hii

KATIKA HILI MHUSIKA ANAKOSA LOGIC YA KWA NINI KUFUKUZA MAPEPO BADALA YA KUZUIA WARUSHA MAPEPO KURUSHA MAPEPO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 15th FEBRUARY 2024

MPANGO MWINGINE WA KUSHTUKIZA WA KANISA ZIMA KUPITISHWA JUU YA MADHAHABAHU MITHILI YA ULIOFANYIKA J2 ILIYOPITA, MARA YA MWISHO ULIFANYIKA KWENYE J2 YA TAREHE 18 DECEMBER 2022, WIKI MOJA KABLA YA J2 ILE YA KRISMAS


J2 hiyo, mhusika alifika Kanisani na kukuta kuna mabadiliko, Ibada ilikuwa imegeuka na kuwa moja badala ya mbili, kama ambavyo ilikuwa imetangazwa kwenye J2 ya wiki ile iliyokuwa imepita nyuma

Mpango huo ulifanyika wiki chache tu mara baada ya ajali ya ndege kutokea J2 ya tarehe 27/11/2022

Baada ya kukuta kuna mabadailiko hayo, mhusika alirudi nje kwenye parking alikokuwa ameliacha gari lake na kuwasha gari na kuondoka, hakushiriki Ibada siku hiyo

Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa utaratibu huo kufanyika baada ya Ibada kuhamia kwenye Kanisa jipya

Kabla ya hapo, mhusika aliwahi kushuhudia mara moja mpango huo kufanyika kwenye kipindi ambacho Ibada zilikuwa bado zinafanyikia kwenye Kanisa la zamani, na maelezo aliyowahi kuyaleta humu jukwaani kuhusiana na tukio hilo yanapatika kwenye post hii hapa #166 ya Julai 2020

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 16th FEBRUARY 2024

UTAFITI WA MHSUSIKA KUHUSIANA NA KITU CHA ZIADA ALICHOFANYA MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI ALHAMIS YA TAREHE 01/02/2024 ALIPOKUWA AMEHUDHURIA MHADHARA WA DEFENCE YA NGAZI ZA JUU IDARANI KWAO MHUSIKA

ALI-RENEW PEPO ANAYEFANYA KAZI KWENYE U-KAIMU AU U-“ACTING”


Kwa taarifa ambazo mhusika bado anazo hadi leo, viongozi waliopo idarani kwake walianza wakiwa ni ACTING na possibly wanaweza kuwa kwenye hadhi hiyo hadi leo hii

  • Mkuu wa Idara (MWI) alianza Julai 2020 akiwa akiwa ni Acting, na tangu pale, mhusika hajawahi kuona circular yoyote iliyotaja hadhi nyingine kingine tofauti na hiyo
  • Vile vile, Mkuu wa Major Unit (MMU) naye pia alianzia kwenye tarehe hiyo tajwa, akiwa ni Acting, na mhsuika hajawahi vile vile kukutana na taarifa zozote official zinazohusiana na mabdailiko ya hadhi ya kiongozi huyu, isipokuwa tu zile za madomoni ndiyo zilizopo hadi muda huu
Chances ni kwamba viongozi hawa wanaweza kuwa bado ni Acting hadi leo

Still utafiti wa mhusika hauhusiana tu na mtu ambaye ni acting kwa muda huu kwa sababu mambo ya kiroho huwa yanakava kuanzia PAST, PRESENT na hadi mpaka FUTURE

Kwa hiyo utafiti wa mhusika unahusiana na wale wote ambao

  • Waliwahi ku-Kaimu, hata kama wameshakoma kukaimu
  • Wanao-Kaimu kwa sasa
  • Watakaokuja ku-Kaimu huko mbele ya safari
Zaidi ni kuwa utafiti huu unahusisha watu wote wenye sifa hizi bila kujali sehemu zilipo nafasi husika, au ukubwa au udogo wa nafasi hizo

ALHAMIS YA TUKIO LA DEFENCE , TAREHE 01/02/2024

KATIBU MUHTASI WA MWI (KMWI) ALIONDOKA OFISINI KUANZIA ALHAMIS TAJWA NA HAJARUDI HADI LEO, HUKU NAFASI YAKE AKIIKAIMISHA KWA MUDA KWA MTU MWINGINE ANAYETOKEA IDARA NYINGINE


KMWI amekuwepo ofisini hadi kufikia siku ya J5 tarehe 31 Januari 2024, na kesho yake asubuhi Alhamis ya tarehe 01/02/2024, ndiyo hakuonekana tena ofisini hadi leo; isipokuwa TU kwa jioni ya Ijumaa ya tarehe 09/02/2024 wakati wa zoezi la mchujo wa Viongozi wapya. Kwenye zoezi hilo, KMWI alikuwepo na alishiriki

KILE ALICHOKIONA MHUSIKA KWENYE UTAFITI WAKE UNAOHUSIANA NA MAKAIMU HAWA

Baada ya KIONGOZI WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI (tumwite KCCW) kuwa amefanya kazi yake kikamilifu KU-RENEW PEPO anayefanya kazi kupitia U-kaimu, wale wote wenye sifa zote tatu au hasa zile mbili za mwanzo, zilizotajwa hapo juu, walipata nafasi nyingine tena ya kuchukua mamlaka hayo kutoka kwa KCCW

Kwa hiyo kuanzia pale, makaimu hawa wakawa ni wawakilishi wa KCCW wakishughulika na mhusika, mmoja wao akiwa ni yule ambaye ni mgeni kutoka Idara nyingine, Kaimu wa KMWI

Hadi kufikia juzi J5 ya tarehe 14/02/2024, pilika pilika zao zikawa zimekuwa taabani kiasi cha kutokutoa matunda waliyokuwa wanayahitaji na hivyo kuamua kuchukua mkondo wa utaratibu mwingine

KILICHOTOKEA BAADA YA MAKAIMU WALIOPO IDARANI KUKOSA NGUVU ZA KEUNDELEA NA MASHAMBULIZI

J5 hiyo asubuhi wakati mhusika yupo kwenye parking, Kaimu KMWI alipita jirani na gari ya mhusika mhusika akiwa bado yupo kwenye gari hajashuka chini

Baada ya masaa machache kupita, Kaimu mwingine ambaye yeye hayupo idarani kwa sasaq, na ambaye ni mara chache sana huonekana kwenye jengo hilo, aliwasili ndani ya jengo la Idara

  • Kaimu huyu ni yule aliyewahi kuwa Mkuu wa Idara miaka ya 2015-2016 ambaye kwa sasa yupo ana-Kaimu sehemu nyingine nje ya Idara
  • Uwezekano mkubwa ni kwamba taarifa hizo zilimfikia Kaimu huyu na baada ya muda alifika idarani, maeneo jirani na ilipo ofisi mhusika
Mhusika alimuona wakati anaingia, akiwa ameambatana na Mkuu wa Major Unit (MMU), na walisalimiana kwa mbali, ila hakubahatika kumuona wakati anaondoka

Taarifa nyingine za nyongeza na ambazo zitaambatana na REFERENCE ya post hii, zitafuata baadaye kwenye siku zijazo mbele

Vinginevyo matukio ya awali yaliyowahi kumhusiisha mhusika na ma-Kaimu ni haya hapa yafutatayo kwenye post hizi

#541

#1,030 , #1,151 , #1,177 , #1,206 , #1,225

Tukio la kwenye post hii #541 linahusiana na barua za mhusika zilizokuwa zinarudishwa na kushindwa kwenda zinakotakiwa, mwanzoni mwa mwaka 2021 mhusika alipokuwa anaendelea kudai maslahi yake ambayo anaendelea kuyadai hadi leo hayajalipwa

Barua hizo za mhusika, zilibuniwa utaraibu huo wa kuzikwamisha na hivyo kuwa zinarudishwa , na katika kipindi ambacho idarani kulikuwa na Kaimu MWI

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA MUHIMU KWA WAUMINI WA KANISA A

KILE AMBACHO WAUMINI WA KANISA A HAWAKIFAHAMU KUHUSIANA NA KM-A NA AMBACHO SI RAHISI SANA WAKAKIAMINI


Namna ulivyo mpangiilio wa matukio yanayoendelea Kanisani na kama yamekuwa yakipangiiliwa na KM-A, kwa takribani mwaka mmoja sasa, mpangilio huo umekuwa ukienda kwa kutegea mpangilio mwingine wa matukio yaliyopo ofisini kwa mhusika hasa yale yanayohusiana na mambo ya FWEDHA

Tangu kipindi kile cha tangazo la ushiriki wa mbaraka uliotangazwa Februari 2023 mwaka jana, siku ambayo umeme ulikatika mara mbili, baadhi ya matukio muhimu ya Kanisani yamekuwa yakienda kwa kufuata mpangilio wa matukio yaliyopo ofisini kwa mhusika, mojawapo ikiwa ni ratiba za maombi ya mfungo ambazo ndiyo huwa ziinatumiwa na KM-A PAMOJA NA KIKUNDI CHAKE KIDOGO CHA WAUMINI KAMA KIVULI CHA KURUSHA MAPEPO

Hiki anachokisema hapa mhusika, ndiyo kitu kilichopelekea mwaka huu peke yake, tofauti na miaka mingine yote iliyowahi kupita kabla, Pastor’s Day kuhamishwa kutoka Desemba 2023 kwa KANISA A PEKE YAKE tu, na kuletwa Februari 2024


FACT ni kwamba waumini tayari walishachanga fedha kwa ajili ya mbaraka uliotangazwa Februari 2023 mwaka jana na kwa hali hiyo haiwezekani tena wakaunganisha kuchangia mbaraka mwingine wa fedha nyingi kiasi hicho kwa ajili ya kununua gari ya mtu ambaye gari tayari anayo, tena nzuri tu

Wanaweza kuwa kweli wanapenda kuchangia mbaraka huo ili waweze kununua gari hilo jipya, ila uwezo huo hawana. Mioyo yao iko radhi lakini uwezo ni haupo

Hiyo hela ya kununua gari jipya, KM-A amekuwa akiitarajia kutoka kwenye chanzo kingine ambacho mhusika asingependa akitaje hapa


Hii ni kutokana na ukweli kuwa KM-A ana uhakika kuwa mahali fulani kuna FWEDHA, na hicho ndiyo kitu ambacho kimekuwa kikimfanya anakuwa mpumbavu anakosa akili hadi kufikia hatua ya kuwa anafanya mambo ya kipumbavu Kanisani bila kufikiria

Hela za mbaraka ule wa kwanza wa mwaka jana hazijatumika, na hizo ndiyo atakuja kuzitumia kama mbadala, na si fedha zingine. Hizi hela zingine ambazo amekuwa akiziota na ambazo si halali, aachane nazo hawezi kuzipata,

RATIBA YA MAOMBI YA DHARULA KAMA AMBAVYO IMEKUWA KWA MWAKA HUU PEKE YAKE ,IKO TOFAUTI KABISA NA MIAKA MINGINE YOTE ILIYOWAHI KUPITA HUKO NYUMA: KWA NINI MWAKA HUU TU?


Mpaka hapa tunaweza kujikumbusha tena kujikumbusha kidogo ratiba ya maombi kama ambavyo imekuwa tangu mwaka huu wa 2024 uanze kutoka kwenye post hii #1,912 ,

"...............................................
RATIBA YA VIPINDI VYA MAOMBI YA DHARULA VYA KANISA A KWA WIIKI 7 MFULULIZO TANGU MWAKA HUU WA 2024 UANZE

KAWAIDA MAOMBI YA DHARULA YANAPOKUWEPO, HUWA YANAFUTA VIPINDI VYA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU AMBAVYO HUWA VINATAKIWA KUFANYIKA J5 YA KILA WIKI

WIKI YA KUANZIA TAREHE 8-14 JANUARI 2034:
MAOMBI YA SIKU 3 YA MFUNGO MAJI TU KUANZIAJ5 HADI IJUMAA

WIKI YA KUANZIA TAREHE 9-15 JANUARI 2034:
MAOMBI YA MFUNGO YA SIKU 7 KUANZIAJ3 HADI J2

WIKI YA KUANZIA TAREHE 16-21 JANUARI 2034:
MAOMBI YA MFUNGO YA SIKU 7 KUANZIAJ3 HADI J2

WIKI YA KUANZIA TAREHE 22-28 JANUARI 2034:
MAOMBI YA MFUNGO YA SIKU 7 KUANZIAJ3 HADI J2

WIKI YA KUANZIA TAREHE 29 JANUARI-4 FEBARI 2034:
MAOMBI YA MFUNGO YA SIKU 7 KUANZIAJ3 HADI J2

WIKI YA KUANZIA 5-11 FEBRUARI 2034:
MAOMBI YA MFUNGO YA SIKU 7 KUANZIAJ3 HADI J2

WIKI YA KUANZIA 12-16 FEBRUARI 2024:
MAOMBI YA SIKU MBILI ZA J5 NA IJUMAA, MAOMBI YA IJMUAA YAKIWA NI YA MFUNGO, HUKU YALE YA J5 YAKIFUTA IBADA YA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU
........................................."


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KINGINE CHA MUHIMU KWENYE RATIBA YA WIKI HII KULE KANISAN;

KULE KANISANI NAKO PIA KIONGOZI WA ZAMU NI YULE AMBAYE HUWA ANAKAIMU KM-A ANAPOKUWA HAYUPO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: SUNDAY 18TH FEBRUARY 2024
KUHUSIANA NA PEPO ANAYEFANYA KAZI KWENYE "ACTING" NA AMBAYE SIKU ZA HIVI KARIBUNI AMEKUWA RENEWED NA KIONGOZI WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI KWENYE MAZINGIRA YA OFISINI KWAO MHUSIKA.


KULE KANISA A, KWA MARA YA MWISHO PEPO HUYU ALIKUWA RENEWED SIKU YA PASTORS DAY MWANZONI MWA DESEMBA 2022, YAANI MWAKA JUZI

KUNA WATOTO KADHAA WALIPANDIDHWA JUL MADHABAHUNI NA KUANZA KUFANYA MAIGIZO, HUKU WAKIWAHOJI KINARA WA MARANGAZO PAMOJA MAMA MWINGINE MUUMINI WA KAWAIDA AMBAYE WAIGIZAJI HAO WALIMTAMBULISHA KWA WAUMINI WENZAKE KAMA MTU AMBAYE ALISHAWAWAHI KUSAFIRI NCHI MBALIMBALI ULIMWENGUNI

MHUSIKA ALIWAHI KULETA TAARIFA ZA TUKIO HILI KUPITIA POSTS HIZI HAPA CHINI, JAPO KWA WAKATI HUO HAKUWAHi KUBAINI KAMA WAIGIZAJI HAO WALIKUWA WANA-RENEW PEPO WA "ACTING"




KWA HIYO FACT ILIYOPO HADI MUDA HUU NI KWAMBA HADI LEO, MAIGIZO YOTE YAKO INFECTED, KUANZIA YALE AMBAYO HUWA YANARUSHWA KWENYE VYOMBO VYA HABARI, HADI YALE FEKI YA WATOTO WADOGO AMBAO HUWA WANACHEZA NYUMBANI WAKIWA WANAIGIZA KUPIKA CHAKULA CHAO AU KUBEBA WATOTO WAO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
VINGINEVYO KUHUSIANA NA "KUWEKWA WAKFU' VIONGOZI WALIOPATIKANA KWENYE UCHAGUZI ULIOFANYIKA LEO KANISANI

VIONGOZI HAO WATAINGIA KWENYE UONGOZI WAO WAKIWA TAYARI WAMESHASHAMBULIWA, KWA SABABU WAKFU NI KIAPO PIA, NA KIAPO TAYARI NACHO KILISHASHAMBULIWA MIAKA MINGI ILIYOPITA NYUMA

KUNA PEPO TAYARI ALISHARUSHWA SIKU NYINGI KUTOKEA NJE YA KANISA, SIKU ALIPOKUWA ANAAPISHWA "WA JALALANI"; NA BAADA YA HAPO, PEPO HUYO ALIPOKELEWA TENA KANISANI KUPITIA KIAPO KINGINE KINACHOFANANA NA HICHO CHA WA JALALANI, KUPITIA KIAPO CHA KINARA WA MATANGAZO

BAADA YA HAPO KIAPO KINGINE TENA .KIKAFUATA OFISINI KWAKE MHUSIKA, BAADA YA ALIYEKUWA MKUU WA IDARA YA MHUSIKA KWA MIAKA YA 2012- 2015, KUPATA NGEKEWA YA KIPEKEE SANA YA KUAPA, AKICHUKUA NAFASI YA MTEULE MMOJA AMBAYE ALISHIINDWA KUAPA MBELE YA MACHO YA NCHI, NA TAARIFA ZINAZOHUSIKA NA TUKIO HILO MHUSIKA ALISHAWAHI KUZILETA HUMU KUPITIA POST HII HAPA


KWA HIYO KWA UPANDE WA VIAPO PIA, VIAPO VYOTE VIKO INFECTED VIKIWEMO VILE VYA MANENO NA VYA MAANDISHI PIA

KUTOKANA NA FACT HII, UKWELI MCHUNGU ULIOPO NI KWAMBA WATUMISHI WOTE WA UMMA NI VICTIMS WA HALI HII KWA SABABU BAADA YA HAYATI JPM KUINGIA MADARAKANI, WATUMISHI WOTE WALILLAZIMIKA KUAPA, AIDHA KWA MANENO AU KWA MAANDISHI

TAARIFA NYINGINE ZA NYONGEZA KUHUSIANA NA SWALA HILI LA VIAPO ZITAFUATA KUANZIA KESHO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 19th FEBRUARY 2024

KUHUSIANA NA MASWALA YA VIAPO KWENYE MAZINGIRA YA KANISANI KWAKE MHUSIKA:

KILE AMBACHO UTAFITI WAKE MHUSIKA UMESHAMUONYESHA HADI KUFIKIA MUDA HUU KUHUSIANA NA VIAPO


Kilichopelekea mhusika akampa nickname ya “KINARA WA MATANGAZO” kiongozi mmoja kanisani hapo ni kileKIAPO” alichowahi kuapa kwa kutumia maandiko matakatifu

Hata hivyo, wakati mhusika anampa kiongozi huyo “nick name” hiyo, alikuwa bado hajabaini kuwa kiongozi huyo alikuwa anatumia “kiapo

Kwa utafiti wake wa sasa, unaonyesha kuwa KIAPO hicho ndiyo kile kilichokuwa kinapekea kila mara kiogozi huyo kupanda juu madhabahni kwa ajili ya kutoa matangazo

PROGRAMS ZILIZOBADILIKA KANISANI BAADA YA KIAPO CHA KINARA WA MATANGAZO (KWM)

Program mbili kubwa zilizowahi kubadilika Kanisani hapo, baada ya KWM kuwa ameapishwa ni zifautazo


  • Watoto wadogo waliokuwa wanawekwa wakfu
  • Wachumba (wavulana kwa wasichana) waliokuwa wanatangazwa na KM-A kanisani hapo kuwa wamekuwa wachumba
NAMNA PROGRAMS HIZI ZILIVYOKUWA ZINAFANYIKA KABLA YA KIAPO CHA KWM

WATOTO KUWEKWA WAKFU


Tangazo lisilokuwa na conditions zozote, lilikuwa linatolewa kuhusiana na tarehe ya J2 ambayo watoto hao watawekwa wakfu

Baada ya siku ya tukio kuwadia, watoto hao walikuwa wanawekwa wakfu kwa kuombewa baraka tu na viongozi wakiwa wapo mbele ya madhabahu, na baada ya hapo waliruuhusiwa kuondoka wakiwa tayari wameshawekwa wakfu

WACHUMBA

Wachumba nao vile vile walikuwa wanaombewa tu wakiwa mbele ya madhabahu na baada ya hapo usia ulitolewa wa kuwataka waendelee kushika maadili mema hadi kufikia siku ya AGANO lao la kuishi pampja kama mme na mke

BAADA YA KIAPO CHA KWM: NAMNA PROGRAMS HIZI MBILI ZILIVYOBADILIKA

A: WATOTO WANAOWEKWA WAKFU


Kwa kuanzia, wazazi wa watoto walitakiwa kuwasilisha majina na picha (ATTRIBUTES) za watoto hao kwenye ofisi husika Kanisani hapo, kabla ya tarehe ya kuwekwa wakfu, kwa ajili ya watoto hao kuingizwa rasmi kwenye DATABASE ya Kanisa, mara baada ya kuwa wamewekwa wakfu

Baada ya hapo, baada ya kuwadia siku ya watoto kuwekwa wakfu, wazazi wao wamekuwa wakilishwa KIAPO cha kuulizwa maswali yaliyoandikwa kwenye MSAHAFU MAALUMU WA MANENO YA KIAPO; maswali ambayo yanawawajibisha muda wote kuhakikisha kuwa wanawatunza watoto wao kwenye maadili ya KICHO CHA MUNGU

Baada ya hapo, watoto hao wamekuwa wakipewa vyeti, (UNIQUE IDENTIFICATION) kulingana na namna ambavyo matangazo ya kuwekwa kwao wakfu yamekuwa yakitaja

Hiki kitu kilikuwa ni kizuri sana, assuming kisingekuwa kimeambatana na NIA NYINGINE OVU, nyuma yake

B: KWA WANAOTANGAZA UCHUMBA

Hawa wamekuwa wakitakiwa kuja na PETE YA UCHUMBA ambayo inakuwa imetoka upande wa MME mtarajiwa, na ambayo hupokelewa upande wa MKE mtarajiwa; kwa ajili ya kuvishana siku hiyo

Wakati wa kuvishana PETE hiyo wachumba hawa wamekuwa wote wakiapishwa; yule anayetoa PETE na yule anayepokea PETE

BAADHI TU YA MANENO YALIYOPO KWENYE VIAPO VYAO

Baadhi tu ya maneno ya KIAPO kutoka kwa MME mtarajiwa

…….. nakuptai PETE hii kama ishara ya uaminifu wangu kwako……..

Baadhi tu ya maneno ya KIAPO kutoka kwa MKE mtarajiwa

…….. napokea PETE hii kama ishara ya uaminifu wangu kwako…….

Wachumba hawa nao vile vile wanao msahafu wao maalumu unaobeba maneno wanayotakiwa kutamka

Kabla ya KIAPO cha KWM, VIAPO HIVI VYA WAZAZI WA WATOTO PAMOJA NA WACHUMBA, HAVIKUWAHI KUWEPO

Viapo hivi vimeangukia kwenye utaratibu mpya ulioanzishwa kimya kimya na pasipo kutolewa sababu za kwa nini mabadiliko haya mapya yalianzishwa ghafla tu wakati hapo kabla hayakuwahi kuwepo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 20th FEBRUARY 2024

UWEZEKANO MKUBWA NI KWAMBA KUNA KITU KINAENDELEA KATI YA OFFICE MATES WA MHUSIKA HASA OM-1 PAMOJA NA MKUU WA IDARA; INAONEKANA KUNA "DILI"


Huyu staff ni yule aliyewahi kusafiri kwa siku nyingi kuanzia mwanzoni mwa Septemba 2023 na alirudi tena ofisini Januari 2, 2024

Hata hivyo, kwa takribani wiki nzima sasa, staff huyu hakai ofisini, hasa baada ya hivi karibuni, mwanafunzi mmoja wa ngazi za juu kuhamia chumba jirani cha Microscopes akiwa anafanyia kazi zake humo

  • Tangu pale, OM-1 amekuwa hakai ofisini na anarudi tu ofisini kwa muda, pale mwanafunzi huyu wa ngazi za juu anapokuwa ameshaondoka kwenye chumba cha Microscopes
  • Mbali na hilo, mikusanyiko yote ya watu wa idarani anakuwa hayupo na akiulizwa, anajibu kwamba muda wote anakuwa ametumwa na MWI na hivyo kama kuna mtu ana hoja, yoyote awasiliane na MWI
Huyu ni mtu ambaye anakuwa anatumwa na MWI kiasi kwamba kwa wiki nzima sasa, muda wote anakuwa hakai ofisini kwake na hata hawashi Kumpyuta yake asubuhi anapokuwa amefika ofisini, anaitoa na kuiweka mezani tu ikiwa imefunikwa

KUNA STAFF MWENZAKE MWINGINE WA PILI, NAYE ANAENDESHA MAISHA KWA MTINDO HUU, NA WAWILI HAWA NI MASWAHIBA WAKUBWA

Huyu mwingine wa pili waliwahi kusafiri wote na OM-1 mwanzoni mwa Septemba 2023, na alirudi mwishoni mwa mwaka 2023 kipindi wanafunzi walipokuwa wako kwenye likizo ile ya mwisho wa mwaka

Hata huvyo, kabla wanafunzi hawajafungua tena mwanzoni mwa mwaka huu wa 2024, staff huyu alisafiri tena na amerudi wiki juzi baada ya wanafuzi kumaliza vipindi vya masomo na kuanza mitihani

  • Hawa wote wawili hawakai ofisini na wala hawonekani kwenye mikusanyiko yoyote ya idara
  • Huyu mwingine wa pili kuna wasiwasi kidogo kama hata huwa anaonekana ofisini kwake kwa sababu mara nyingi anakuwa yupo ofisini kwao mhusika, anatumia muda wake mwingi humo
Staff huyu huwa anao pia ma-office mate wawili ambao huwa anachengana nao, wakiwa wapo ofisini yeye anakuwa hayupo, na wanapokuwa hawapo ofisini yeye ndiyo anakuwepo

Ni yule ambaye kipindi cha awaali aliwahi kuwa na vituko kiasi cha mhusika kumpa nick-name ya staff mwenye vituko, kwa kipindi hicho

Kama kuna chochote ambacho hakiko sawa kati ya wawili hawa, wahusika wakuu wa jambo hili watakuwa ni MKuu wa Idara pamoja na mstaafu aliyewahi kuwa Mkuu wa Idara kwenye miaka ya 2006-2012

Kwa ushahidi alionao mhusika, staff hawa wanaonekana kujificha na baadhi ya watu waliopo ofisini, huku wiki moja au mbili zijazo, wanafunzi wakiwa wanatarajiwa kuondoka kwenye mazingira ya taasisi

Huyu OM-1 ndiye aliyewahi kupanga tukio jingine mwezi August 2023 wakati alipokuwa anataka kuondoka kwenda field na baada ya siku kadhaa kupita baada,kutofanikiwa, alisafiri kuanzia mwanzoni mwa Septemba 2024 na kurudi tena ofisini januari 2,2024

Facial looking yake tu (OM-1) inaonyesha kuwa kwa amerdi tena akiwa yuko programmed for sometning BIG, whether good or bad hiyo sasa inakuwa ni issue nyingine

OM-1 yuko programmed na MWI ndiye anayeshirikiana naye, pamoja na MWI mstaafu

HITIMISHO

Siku ya Jana J3 ya tarehe 19/02/2024 kuna tukio jingie pia walikuwa wamepanga yeye OM-1 wakishirikiana na MWI ila halikufanikiwa, na taarifa zake zitawajieni baadaye

Kuna baadhi ya watu wengine pia waliohusika kwenye tukio hilo akiwemo OM-2; binti anayefanya kazi kwenye maabara ya MR X, pamoja na mfanyakazi wa kutoka Dodoma (MFD)

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWA WAUMINI WA KANISA A

Wanaombwa kwanza wajikumbushe kilichopo kwenye kipengele cha SITA cha post hii hapa #1,772 na baada ya hapo, maelezo mengine yatafuata

KWA KIFUPI SANA

COMMUNICATION, matamshi yake yanafanana na COME NA KESHENI (mkesha)

Neno RELATIONSHIP limeundwa na maneno mawili, RELATION na SHIP

Neno TRANSPOTRT, limeundwa na maneno mawili, TRANS na PORT

Kwa hiyo neon wa meli, yaani SHIP TRANS PORT, limeundwa na maneno matatu

Vile vile, mawasiliano ya usafiri wa meli, kwa lugha hii yanakuwa COMMUNICATION OF SHIP TRANSPORT

Kwa hiyo neno hili likitamkwa kwenye madhabahu iliyorushiwa pepo, linarusha pepo kwenye mambo au maneno kadhaa yafuatayo

COME, yaani NJOO

MKESHA

Njoo kwenye mkesha

Relations (Mahusiano)

Ship (meli)

Trans (kwa kierfu kingine neno hili linaweza kuwa TRANSGENDER, yaani watu waliobadili jinsia zao, kutoke ME kwenda KE, au viceversa

GENDER (mwanaume, mwanamke, jinsia mbili)

PORT, inaweza kuwa Bandari au AIRPORT

Taarifa zaidi zitafuata baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 21st FEBRUARY 2024

MAELEZO KAMILI KUHUSIANA NA TUKIO LILILOTOKEA OFISINI KWA MHUSIKA J3 YA WIKI HII TAREHE 19/02/2024


  • TUKIO HILO LILIKUWA TRIGGERED NA VIBAO VIPYA VYA MLANGONI AMBAVYO VILIKUWA BADO HAVIJAWEKWA
  • ZOEZI LA KUWEKA VIBAO VYA MLANGONI LILIANZA MWEZI MEI 2023 (MWAKA JANA), NA BADO HALIJAMALIZIKA LINAENDELEA HADI LEO
  • ANAYEHUSIKA NA VIBAO HIVYO KWA SASA NI MFANYAKAZI ALIYETOKEA DODOMA (MFD)
Mara ya mwisho vibao hivyo vilibandikwa Septemba 2023, ikiwa ni siku mbili au tatu, mara baada ya MFD kuwa amerudi kutoka likizo

Kibao kilichobandikwa kipindi hicho kilikuwa ni cha jina la OM-2, muda ambao OM-1 alikuwa amesafiri

Baada ya hapo, zoezi hilo lilisimama tena hadi wiki jana, Ijumaa ya tarehe 16/02/2023

Kwa safari hii pia vibao hivyo vimebandikwa ikiwa ni siku mbili au tatu, mara baada ya MFD kuwa amerudi kutoka likizo

Kibao kilichobandikwa Ijumaa iliyopita ni cha jina la OM-1

TUKIO MUHIMU LILILOTOEA SIKU KADHAA MBELE BAADA YA KIBAO CHA KWANZA KUWA KIMEBANDIKWA MWEZI SEPTEMBA 2023


Siku moja mhusika akiwa yupo peke yake ofisini, alipoteza funguo za ofisi na hakufanikiwa kuzipata hadi leo hii

Vinginevyo matukio mengine ya awali kabla ya hili yaliyohusiana na VIBAO VYA MLANGONI, mhusika aliwahi kuleta maelezo yake humu jukwaani kupitia post hizi hapa

#1,513

#1,515

#1,517

#1,518

#1,537

#1,549

#1,552

#1,553

#1,621

#1,622

#1,625

#1,688

#1,689

#1,690

#1,692

#1,693

#1,774

#1,798

#1,845

………………….inaendelea
 
...................inaendelea

MAELEZO YA UTANGULIZI

NAMNA AMBAVYO MCHAKATO WA KUBANDIKA VIBAO UMEKUWA KWA SAFAFRI HII


Alhamis ya tarehe 15/02/2024 jioni mhusika alipokuwa anajiandaa kufunga ofisi ili aondoke ofisini, aligongana na kijana mmoja akiwa amebeba vibao vya kubandika mlangoni

Kijana huyo alikuwa ameongozana na kijana mwingine ambaye ni mtaalamu wa IT idarani, kijana ambaye hadi leo mhusika hajaweza kufahamu kama ni staff ama la kwa sababu hajawahi kutambulishwa na wala hajawahi kuhudhuria kikao angalau kimoja tu cha Idara

  • Wakati wanafika, muda ulikuwa ni saa 11 kasoro dakika chache na katika muda ambao mhusika alikuwa anajiandaa kuondoka ofisini
  • Wakati huo, mhusika alikuwa yupo peke yake ofisini, OM-2 alikuwa tayari ameshaondoka kwenda nyumbani, na OM-1 naye alikuwa ametoka nje kidogo ya maeneo ya Taasisii
Baada ya kijana fundi wa vibao kueleza hitaji lake la kuweka vibao mlangoni muda huo, mhusika alimshauri kijana huyo asifanye hivyo siku hiyo bali aje aweke vibao hivyo siku nyingine na katika muda ambao ni masaa ya kazi

Baada ya hapo, hadi kufikia Ijumaa jioni ya tarehe 17/02/2024, kijana huyo alikuwa hajaonekana tena mazingira ya ofisini, na hadi mhusika anaondoka ofisini Ijumaa hiyo, vibao hivyo havikuwa vimebandikwa na hivyo havikuwepo

J3 ASUBUHI YA WIKI HII, MHUSIKA ALIFIKA OFISINI NA KUKUTA VIBAO VIMESHABANDIKWA MLANGONI


Juzi asubuhi J3 ya tarehe 19/02/2024, mhusika alipowasili ofisini, alivikuta vibao vya jina la OM-1 vikiwa vimebandikwa mlangoni

Kwa hiyo chances ni kwamba, vibao hivyo vilibandikwa siku ya Jumamosi au ya J2, possibly kutokana kuwa aidha kulikuwa na mtu ofisini kwao mhusika kwenye mojawapo ya siku hizo, au kwenye kile chumba kingine jirani cha Microscopes, na hivyo mafundi hao kufanikiwa ku-access mlango husika kupitia mojawapo ya vyumba hivyo

Ikumbukwe pia kuwa kwenye kile chumba jirani cha Microscopes, kwa mara ya kwanza kumekuwepo mwanafunzi wa ngazi za juu amabye amekuwa akifanyia kazi zake humo, na katika muda ambazo mhusika wa maabara hiyo ambaye ni MR X, amekuwa haonekani kabisa kwenye mazingira ya ofisini

…………………..inaendelea
 
J3 HIYO WAKATI MHUSIKA ANAINGIA OFISINI ALIWAKUTA WATU WAWILI OM-2 NA MFD WAKIWA WAMEJIFUNGIA OFISINI WAKATI OFISI HAINA AC

Kwa muda usiopungua miaka miwili sasa, J3 ya wiki hii ndiyo ilikuwa siku ya yake ya kwanza mhusika kukuta ofisini hiyo ikiwa imefungwa mlango na madirisha, huku ndani kukiwa kuna watu

Tangu April 2022, mara zote ofisi hii imekuwa ikikaa mlango wazi kunapokuwepo watu ndani, na mara zote imekuwa ikiwa imefungwa mlango panapokuwa hamna watu ndani

Hii ndiyo imekuwa kawaida ya ofisi hii tangu muda huo kwa sababu haina AC

ASUBUHI WAKATI MHUSIKA BADO YUPO KWENYE KORIDO AKIELEKEA ULIPO MLANGO WA OFISI YAO


Akiwa yupo kwenye korido, aliona mlango wa ofisi ukiwa umefungwa, kitu kilichopelekea abashiri kuwa pengine officemates walikuwa bado hawajafika ofisini, au walikuwa wamefika na hatimaye kuelekea sehemu zingine kama vile madarasani

Baada ya kufika mlangoni, alihamaki kidogo kuwaona watu wawili ndani ya ofisi wakiwa wamekaa; ambao ni OM-2 na MFD

Mhusika alijaribu kuwahoji kwa nini waliamua kujifungia kwenye chumba ambacho hakina AC na wao walimjibu kuwa ni kwa sababu walikuwa wamewasha AC

Hapakuwa na ubaridi wowote wa AC ndani ya ofisi isisokuwa upepo wa FENI ya AC, na hivyo baada ya maongezi hayo, kutokana na hali aliyokuwa nayo, mhusika aliwasihi wamruhusu ili aizime AC hiyo na pia afungue milango na madirisha; ukizingatia kuwa hata gari lake mhusika nalo vile vile hailina AC

Wawili hawa hawakuona shida kwenye ombi hilo la mhusika na walimruhusus akafungua mlango pamoja na madirisha

BAADA YA DAKIKA KADHAA KUPITA

  • MFD aliaga na kuondoka, na baada ya hapo, hajaonekana tena mazingira ya ofisini hadi leo
  • Muda mfupi baadaye tena, OM-2 naye alisema anaelekea kwenye presentation ambayo baada ya mhusika kuangalia circular kwenye email, kwa wakati ho hakuuona mwaliko wa presentation hiyo na hivyo kudhani kuwa pengine OM-2 alikuwa anaelekea kwenye presentation ambayo si ya Idara
Hata hivyo, muda mfupi baadaye mbele, mhusika alifanikiwa kuuona mwaliko wa presentation hiyo kupitia email yake, huku muda wa presentation hiyo ukiwa unaelekea mwisho, na hivyo mhusika hakufanikiwa kuhudhurua presentation hiyo

  • Wakati huo, OM-2 alikuwa tayari ameshaondoka kuelekea kwenye presentation
  • Kwa upande wa OM-1, yeye muda wote huo hakuwepo ofisini humo; alikuwa tayari ameshaadimika kwa kile kilichokuja kujulikana baadaye kwamba ni kutokana na kazi ambazo amekuwa akipewa kuzifanya nje ya mazingira ya ofisini, tangu mwanzoni mwa wiki jana
BAADAYE, DAKIKA CHACHE MHUSIKA AKIWA NJE YA OFISI KWENYE VERANDA:

ALIPATA TAARIFA ZA MWALIKO WA MDOMONI KUTOKA KWA MWI ALYEKUWA ANASHUSHA NGAZI, KUWA SAA 5:00 KAMILI KULIKUWA NA PRESENTATION NYINGINE YA MGENI KUTOKA NJE YA TAASISI


Wakati huo, mhusika alikuwa ametokea juu washroom na hatimaye kuamua ku-pose kwa dakika chache kwenye kijiwe chake cha siku zote; mahali ambapo alimkuta amepumzika pia staffmate mwingine ambaye mlango wa ofisi yake ndiyo mlango pekee ulio jitrani kabisa na kijiwe hicho

Wakiwa wapo hapo wanabadilisha mawili matatu, MWI alitokeza akiwa anashusha ngazi na baada ya salaam na kabla hajaenda mbali akiwa anaendelea kushusha ngazi, ndiyo pale mkuu huyo aliwapojulisha wawil hao kuwa kulikuwa na presentation nyingine iliyokuwa inatakiwa kuanza saa tano kamili

Baada ya kusikia hivyo, mhusika na mwenzake, walianza kushusha ngazi wakielekea chini uliko ukumbi wa presentation hiyo

  • Hii ilikuwa ni presentation ya mgeni kutoka nje ya taasisi, na possibly nje ya nchi
  • Mhusika aliwaza akisema kuwa wakati mwingine mgeni huyu anaweza kuwa alikuwa ni mpitaji tu ambaye aliamua ku-share kitu na researchers wenzake na hivyo haikuwa lazima mualiko wa presentation yake uwe kwa maandishi kwa sababu presentation hiyo inaweza kuwa ilikuwa ni ya dharura
  • Kwa hali hiyo MWI alikuwa na haki zote za kuwaalika baadhi ya watu kwa njia ya mdomo tu
Hiki ndiyo kitu pekee kilichomjia mhusika kichwani kwake wakati mwaliko huo wa MWI na hivyo baada ya hapo staff wawili hawa kuamua muda huo huo, kumfuata kwa nyuma MWI wakiwa wanaelekea kwenye presentation hiyo

BAADA YA PRESENTATION KUMALIZIKA


Hapa ndiyo pale mhusika alipata kitu tofauti kichwani kuhusiana na mwaliko wa MWI, trigger ya kitu hicho akiwa ni binti mrembo anyefanya kazi kwenye maabara ya MR X

Kwa hiyo mara baada ya presentation hiyo kumalizika, binti anayefanya kazi kwenye maabara ya MR X alifanya kitu kingine tena kilichopelekea mhusika kuwa na mtizamo mwingine mpya juu ya mwaliko wa mdomo wa MWI kwenye presentation ya siku hiyo

Baada ya hapo, kilichotokea ni kwamba kuanzia pale, mhusika alianza kurudi tena nyuma akiunganisha kitendo cha binti huyo na lile tukio la watu aliowakuta wamejifungia ofisini asubuhi kwenye ofisi ambayo haina AC

Mbali na hilo, mhusika aiiunganisha pia na tukio lile la mwanafunzi wa ngazi za juu aliyekuwa kwa mara ya kwanza, amehamia chumba jrani akiendelea kufanya kazi zake humo, na ambaye yeye hakuwa amekaribishwa kwenye presentation hiyo; wakati katika hali ya kawaida, huyu ndiyo aliikuwa anafaa au anahitajika zaidi kwenye presentation hiyo, possibly kuliko watu wengine wote waliokuwa wamefanikiwa kuhudhuria presentation hiyo

  • Mwanafunzi huyu, yeye hakuwa amealikwa, na alikuwepo anaendelea na kazi zake kwenye chumba jiarni wakati wa presentation ya mgeni ilipokuwa inaendelea
  • Mbali na hilo, OM-2 naye hakuwepo kwenye presentation hiyo, pengine labda aliweza kuhudhuria ile ya kwanza na hatimaye kuondoka, au alipata udhuru na hivyo kushindwa kuhudhuria presentation zote mbili
  • Kwa upande wa OM-1, yeye mikusanyiko ya namna hii kwake imeshaonyesha dhahiri kaibsa kuwa ni KITUO CHA POLISI, and he was nowhere to be seen
Zaidi ni kuwa, swahiba wa karibu wa OM-1, yule ambaye amekuwa akichengana na RATIBA YA VIPINDI VYA MASOMO YA WANAFUNZI tangu aajiriwe mwanzoni mwa mwaka uliopita wa 2023, naye pia hakuwepo kwenye presentation hiyo

KILE AMBACHO EXCATLY ALIFANYA BINTI ANYEFANYA KAZI KWENYE MAABARA YA MR X

Binti huyu mrembo
alikuwepo kwenye presentation ya mgeni, na ilipomalizika alitoka na kwenda kusimama karibu na lango kuu la kuelekea iliko ofisi yake, ground floor

Lango hilo liko jirani na men’s room zilizopo ground floor

  • Baada ya kutoka kwenye presentation, huku akimpita binti na kumsalimia, mhusika alinyoosha moja kwa moja na kwenda kuingia kwenye service rooms hizo
  • Wakati anataka kutoka, pale mlangoni alipishana na staff mwingine WAJINA WA MR X (first name), na waliteta mawili matatu kuhusiana uzuri wa presentation ya mgeni, wote wakiwa bado wapo kwenye vyumba hivyo vya huduma ya wanaume
Hapo kabla ya presentation ya mgeni kuanza, mhusika na WAJINA huyu waliteta kitu kilichokuwa kinahusiana na mwonekano wa macho yake (wajina). Yalikuwa yamevimba kiasi na mhusika alipomuona, alilazimika kumuuliza kuna nini kilikuwa kimemsibu na WAJINA alijibu kuwa ilikuwa ni attack inayoitwa “RE” (RE---mwenye uzoefu na afahamu)

Huyu alikuwa amepata shambulio la CELL RECEPTORS

Kwa hiyo mtu huyu alionekana akiteta kitu na mhusika kabla na baada ya presentation, na kuteta kule kwa mara ya pili au ya mwisho, kulifanyika kama kwa usiri fulani, wawili hawa wakiwa ndani ya men’s service rooms za ground floor

…………………inaendelea
 
MHUSIKA AKIWA ANATOKEA KWENYE PRESENTATION YA MGENI ANARUDI OFISINI KWAKE.........

Kama kawaida, alipitia kijiweni kwake kwa dakika moja ua mbili na kuteta mawaili matatu na waliokuwepo pale, na hatimaye kunyoosha moja kwa moja kuelekea ofisini kwake

Ikumbukwe kuwa hadi kufika muda huo, mhusika alikuwa yupo peke yake ofisini kwa sbabu OM-1 na OM-2 hawakuwepo kwenye presentation ya mgeni

Akiwa yupo kwenye korido, pale nje ya mlango wa ofisi yake ambao ulikuwa umefungwa, alimuona binti akiwa amesimama pale, vidole vya mikono yake vikiwa vinacheza na smartphone yake huku macho na akili yake vikiwa vime-concentrate kwenye scereen ya smartphone

Baada ya mhusika kufika mlangoni, alimuuliza binti kulikoni alikuwa yupo maeneo yale

Binti alijibu kwa kifupi tu kuwa alikuwa anataka kuingia ofisini

Mara zote binti huyu huwa anakuja kumuona OM-1 na ambaye kwa wakati huo hakuwepo ofisini, na binti huyu alikuwa anajua hilo

Mhusika alifungua mlango wa ofisi, wakaingia wote ofisini na baada ya kuingia, binti alianza kumpigia simu MR X akiwa ameweka loudspekaer

HITIMISHO

The fact kwamba siku zote binti huyu huwa anafika ofisini kwao mhusika akiwa anamfuata OM-1;

  • Na pia the fact kwamba OM-1 hakuwepo, na hata OM-2 naye pia hakuwepo
  • Na vilevile the fact kwamba binti alijua kuwa OM-1 na OM-2 hawakuwepo lakini bado alitaka aingie ofisini akiwa ameambatana na mhusika
Kutokana na facts hizi, kitendo cha mhusika kumshauri binti asiingie ofisini humo, assuming kingetokea; LINGEKUWA NI KOSA LA KARNE, ukizingatia pia matukio mengine ambayo yalikuwa tayari yameshatokea tangu asubuhi ya siku hiyo mhusika alipokuwa anaingia ofisini

Vinginevyo watoto wa usafi waliofika na kufanya usafi ofisini humo J3 hiyo, walimkuta mhusika akiwa yupo peke yake ofisini.

Kabla ya hapo, watoto hawa wasingeweza kufika ofisini hapo possibly kwa kudhani kuwa hapakuwa na mtu ndani kwa sababu ofisi ambayo wamezoea kuiona ikiwa mlango wazi siku zote pindi inapokuwa ina watu ndani, kwa mara ya kwanza siku hiyo ilikuwa imefungwa huku kukiwa na watu ndani

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 23rd FEBRUARY 2024

VINGINENVYO TUKIO JINGINE MUHIMU LILILOTOKEA J3 YA WIKI HII TAREHE 19/02/2024

NDANI YA KIPINDI CHA TAKRIBANI MIAKA MITATU SASA, KWA MARA YA KWANZA MHUSIKA ALIPATA TENA CIRCULAR KUTOKA NGAZI ZA JUU


Circular hiyo inahusiana na maswala muhimu ya kazi ofisini kwake na aliipata kwa njia ya email

Ilikuwa imesainiwa na KAIMU na ilitoka kwenye ofisi ile ambayo mhusika anadai maslahi yake

Mhusika bado anaendelea kusubiria malipo ya madai ya maslahi yake kutoka kwenye ofisi hiyo

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 27th FEBRUARY 2024

TAARIFA MUHIMU KWA KIONGOZI WA KANISA B, (for his attenotin only; not for action); KULE ALIKOWAHI KUHAMIA MHUSIKA MWAKA 2014

KUNA KIONGOZI AMBAYE ALIWAHI KUWEPO KANISA B, AMBAYE NAYE AMECHOMOKA KUTOKA KULE ALIKO NA KUJA KWA MUDA KANISANI KWA MHUSIKA


Yule kiongozi aliyewahi kuwepo hapo KANISA B, ambaye kwa sasa yupo kwenye Kanisa jingine, naye pia kwa mara ya kwanza amechomoka kutoka kwenye Kanisa lake na kuja kwenye Kanisa analoabudu mhusika

Taarifa zilizopo humu jukwaani kuhusiana na Kiongozi huyo, zipo kwenye baadhi ya maelezo yaliyopo kwenye post hii hapa #118 na kama ambavyo baadhi ya maelezo kuhusiana na kiongozi huyo, yamenukuliwa hapa chini

Mwanzo wa kunukuu

……………….Akiwa yuko Kanisa B (baada ya kutoka A), mambo mengi sana yalimtokea, baadhi yake yakiwa ni haya yafuatayo

  • Baada ya takribani miezi sita hivi tangu kuhama kwake, Kiongozi Mkuu wa Kanisa A, (kule alikohana) alitembelea Kanisa B (kule alikokuwa amehania) kwa ajili ya kutoa huduma Kanisani pale
  • Kabla ya Kiongozi huyu kutembelea Kanisani hili B, nyuma yake watoto wake waliwahi kufika Kanisani hapo kwa ajili ya huduma ya Ibada na hivyo kufanikiwa kuonana na mhusika, japo hakuwapa salaam kumpelekea Kiongozi huyo
  • Kwa hiyo ni wazi kabisa kuwa Kiongozi Mkuu kutoka Kanisa A, alifika Kanisa B akiwa ana taarifa kuwa mhusika alikuwa anaabudu pale
  • J2 hiyo, kabla ya muda wa huduma kuanza, mhusika alibahatika kuonana na kiongozi huyu mgeni kwa ghafla nje mlangoni; mhusika akiwa anatoka nje ya Kanisa na Kiongozi mgeni naye akiwa anajaribu kutaka kuingia ndani
  • Ilikuwa ni mpishano wa ghafla tu na hivyo walisalimiana na hawakuweza kuongea, isipokuwa Kiongozi mgeni alibahatika kupata nafasi ya kumwambia mhusika kuwa hakujua kuwa alihamia kwenye nyumba hiyo ya Ibada, kwa sababu wakati anaondoka kanisani kwake hakumuaga
  • Kiongozi huyu mgeni, alimwambia mhusika maneno hayo mbele ya Kiongozi mwingine mwenyeji wa Kanisa B, ambaye walikuwa wameambatana naye wakiwa katika harakati za kutaka kuingia ndani ya nyumba ya Ibada
  • Kabla mhusika hajajibu chochote, KWA HARAKA SANA kiongozi mwenyeji alidakia kwa kusema “AAH KUMBE HUYU MTU ALIONDOKA KANISANI KWAKO BILA HAKUAGA”?
  • Wakati huo viongozi hao tayari walikuwa wameshaanza kukanyaga ngazi za mlango tayari kwa kuingia ndani
  • Mhusika hakupata nafasi ya kujibu chochote na maongezi yao yaliishia hapo, mhusika akaelekea kule alikokuwa anaelekea, na viongozi hao nao wakaingia ndani ya nyumba ya Ibada
  • Zaidi ni kuwa, hakuna mtu mwingine yeyote Kanisani hapo J2 hiyo, aliyeshuhudia mhusika na Kiongozi mgeni wakikutana na kusalimiana, isipokuwa Kiongozi mwenyeji ambaye alikuwa ameambatana na mgeni huyo wakati wa kupishana mlangoni
Baada ya huduma ya siku hiyo kuisha na ambayo iliongozwa na Kiongozi mgeni, waumini walitawanyika na wengi wao wakiwa na matarajio ya kumuona mhusika akienda kumpa mkono wa salamu, Kiongozi mgeni kwa sababu walikuwa awanajua kuwa mhusika alifika Kanisani hapo akiwa anatokea kule anakohudumu Kiongozi huyo mgeni.

Hata hivyo walishangaa kumuona mhusika akiondoka Kanisani hapo pasipo kwenda kumpa mkono wa salamu kiongozi mgeni. Na kwa vile walikuwa wanajua kuwa kule alikotoka aliondoka katika mazingira yasiyo ya kawaida, waumini hawa wa Kanisa B wakawa na dhana kichwani kwamba mhusika amemkimbia Kiongozi wake wa kule alikotokea na hivyo ikaoenekana kuwa


  • Yeye ndiyo alikorofisha huko na kukimbia kwa sababu isingewezekana asiende kumpa mkono wa salamu Kiongozi wake wa zamani
  • Alikuwa anamkwepa Kiongozi huyu mgeni kwa sababu alijua kuwa ana hatia, akiogopa kuhojiwa maswali mbele ya Viongozi wake wapya wa Kanisa B
  • Kuanzia pale, Kiongozi mwenyeji aliyekuwa na mgeni wakati wanakutana na mhusika mlangoni , alianza sasa kutumika kama shahidi wa kuonyesha kuwa mhusika alitoroka Kanisani kwa Kiongozi mgeni, na Kiongozi mgeni alikuwa hata hajui kama alikuwa anaabudu hapo, sawasawa kabisa na maneno aliyoyatamka kiongozi mgeni akimlalamikia mhusika, walipokuwa wakipishana mlangoni J2 husika
  • Kwa hiyo tangia pale, ikajulikana kuwa mhusika ndiyo ana matatizo, alikorofisha kwa kiongozi mgeni halafu akaondoka na kukimbilia Kanisa B
Hata hivyo, mhusika baadaye alikuja kubaini kuwa huu ulikuwa ni mchoro uliokuwa umechorwa kwa ushirikiano wa Kiongozi mgeni na Kiongozi mwenyeji

  • Ni kwamba Kiongozi mwenyeji alikuwa ame-predict pattern ya movement za mhusika J2 hiyo na baada ya hapo akawa ameiwasilisha kwa Kiongozi mgeni
  • Kiongozi mgeni akiwa tayari amewasili Kanisa B, wawili hao wakaamua kukaa karibu kabisa na mlango wa kutokea nje, katika namna ambayo ilionyesha kama wanajadili kitu Fulani
  • Walikaa upande ule ambao mhusika huwa anapenda kuchoropokea akiwa anatoka nje ya Kanisa, wakiwa wame-predict kuwa lazima tu ndani ya mda Fulani mfupi, mhusika atatoka nje
  • Na kweli ilitokea hivyo, na wawili hao kwa haraka sana, wakamzonga mhusika pale mlangoni kwa maongezi mafupi na ya haraka sana ili watu wengine wasije wakaona wala kusikia
  • Viongozi hawa wawili walijua pia kuwa kama itatokea kama walivyokuwa wamepanga, baada ya Ibada kuisha, mhusika hataona tena haja ya kwenda kuongea na kiongozi ambaye tayari wameshasalimiana na ambaye anashikilia rekodi ya kumsababisha mhusika akimbie Kanisani kwake huku akiwa na kinyongo
  • Vilevile, viongozi hawa walijua pia kuwa picha itakaoyotokea kwa waumini wengine baada ya pale itaonyesha dhahiri kabisa kuwa mhusika aliogopa kukutana na Kiongozi mgeni, na hivyo kuamua kumkimbia pasipo hata kusalimiana naye na hivyo yeye ndiyo ana matatizo na si Kiongozi wake
Kwa hiyo baada ya matukio haya yote kutokea, Kiongozi mgeni baada ya kuwa ameondoka siku hiyo, akawa kuanzia pale tayari amewajenga waumini pamoja na viongozi wote wa Kanisa B kuwa mhusika aliondoka Kanisa A akiwa na hatia, na ushahidi ulionekana J2 hiyo kwamba alimkimbia Kiongozi wake wa Kanisa kule alikokuwa ametokea, mchana kweupe na waumini na viongozi wote wa kanisa B wakiwa wanashuhudia.

Zaidi ni kuwa Kiongozi huyu tayari alikuwa ameshapata refa Kanisani hapo wa kuendelea kumpigia filimbi; huyu si mwingine bali ni kiongozi mwenyeji wa kanisa hilo ambaye alikuwa ameshuhudia alicholalamikiwa mhusika na Kiongozi wake wa zamani, pindi walipokuwa wanapishana mlangoni

Hata hivyo, kila kitu hatimaye kilikuja kubadilika ghafla takribani miaka mitatu baadaye. Mhusika baada ya kuona bugudha zimezidi sana tena akiwa Kanisa B, aliamua kurudi tena Kanisa A, huku akitoa taarifa Kanisa B kuwa wakimubugudhi tena Kanisa A (ambacho ndicho wanachofanya tena sasa), atarudi tena Kanisa B, na hivyo kazi yake itakuwa ni ku-shuttle between churches A and B forever, mpaka pale bugudha zitakapokoma

Hatua hii ya kurudi Kanisa A iliwashangaza wengi kwa sababu:


  • Tayari waumini wa makanisa yote haya mawili walikuwa wamesha-stabilize kwenye ukweli kwamba mhusika ndiye alikuwa na matatizo
  • Waumini wa makanisa yote mawili walikuwa na taarifa za uhakika kuwa mhusika aliwahi kumkimbia Kiongozi wa kanisa A (ambako ndiko aliko sasa), pindi alipokuwa ametembelea Kanisa B (ambako ndiko alishahama tena, hayupo huko tena kwa sasa)
  • Wengi walitarajia kuwa mhusika atakapoamua kuhama tena kutoka Kanisa B, ataenda Kanisa jingine ambalo siyo Kanisa A (possibly ataenda Kanisa jingine C)
Baada ya haya yote kuwa yametokea na mhusika kuwa amerudi tena Kanisa A, jitihada sasa za kurekebisha uelewa wa waumini waliokuwa wameujenga mwanzo zikaanza kufanyika kwa jitihada kubwa, lengo ikiwa ni Kiongozi wa Kanisa A kujisafisha., Jitihada hizo zilihusisha mambo mengi, kubwa zaidi ikiwa ni mitego iliyokusudiwa kusababisha hatari kwa mhusika. Kwa hiyo mmojawapo ya mitego hiyo ndiyo mhusika anapenda kuuleta kwenu wasomaji. Ni mtego ambao uliundwa kwa ushirikiano wa MR X (possibly na mke wake MR X pia) na Kiongozi Mkuu wa Kanisa A.

Maelezo yake bado ni marefu kidogo na hivyo mhusika anazidi kuwaomba wasomaji waendelee kuwa wavumilivu kidogo…………….


Mwisho wa kunukuu

Taarifa za tukio jingine muhimu kuhusanaian na kiongozi huyu amabalo mhusika hajawahi kulileta humu, atazileta baadaye

Kuna kitu muhimu ambacho tayari mhusika ameshakiona, ambacho Kiongozi huyu alifanya kwenye Madhabahu ya Kanisa A wakati wa Ibada ya J2

Kiongozi huyu ni kati ya wale waliowahi kuwa mwiba kwa mhusika kipindi alipokuwa yupo Kanisa B, na huyu ndiyo alikuwa hatari zaidi kwa mhusika kwa sababu alikuwa anamvizia mhusika kwa kutumia njia ya urafiki ikiwa ni pamoja ya ukaribu wao wa kuongea lugha moja ya kuzaliwa

J2 ILIYOPITA, KWA MRA YA KWANZA TANGU UWEPO WA MHUSIKA HAPO KANISA A, KIONGOZI HUYU ALIHUDUMU KWENYE MADHABAHU YA KANISA

Kwa mara ya kwanza, J2 iliyopita ya tarehe 18/02/2024 Kiongozi huyu alikuwepo Kanisa A na ndiye alyehudumu kwenye Ibada ya pili

Mhusika hana uhakika sana kama Kiongozi huyu ndiye pia alihudumu kwenye Ibada ya kwanza kutokana na kuonyesha dalili zilizoashira kuwa alikuja wakati wa Ibada ya pili, pindi alipokuwa anaongea na mhusika

Kiongozi huyu ni mtu mmoja ambaye mhusika hajawahi kumchukia, ila anamwaogopa sana

Taarifa za tukio jingine muhimu sana kuhusiana na kiongozi huyu, ambazo mhusika hajawahi kuzileta humu, atazileta baadaye

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA TAARIFA ZA NYONGEZA ZA KIONGOZI ALIYETAJWA HAPO JUU AMBAZO MHUSIKA ANATARAJIA KUZILETA HUMU JUKWANI

TAARIFA HIZI ALIWAHI PIA KUZIFIKISHA KWENYE OFISI YA KIONGOZI MKUU WA KANISA B, PINDI MHUSIKA ALIPOKUWA BADO YUPO KANISA B, ISIPOKUWA ALIZIFKISHA PASIPO UWEPO WAKE KIONGOZI HUYU

KWA WAKATI HUO, ALIOKUWA ANAWATUHUMU NI YEYE PAMOJA NA MKE WAKE, ISIPOKUWA TAARIFA ZA TUKIO LIJALO ZINAMHUSU KIONGOZI HUYU PEKE YAKE PASIPO MKE WAKE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
TAARIFA KUHUSIANA NA KIONGOZI ALIYEWAHI KUWEPO KANISA B

(Kama ambavyo amedokeza awali, taarifa hii inayowajieni humu wakati huu, tayari mhusika alishawahi kuifikisha pia kwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa B pindi alipokuwa bado yupo kwenye Kanisa hilo)

Jioni moja baada ya Ibada kumalizika, giza likiwa tayari limeshaanza kuingia, kiongozi huyu (tumwite KB), aliomba msaada wa lift kwenye gari la mhusika

Ilikuwa ni kwenye siku ambayo kwa mara ya kwanza kabisa tangu mhusika aanze kuabudu kwenye Kanisa hilo, alikuwa amepaki upande wa pili wa parking zilizopo Kanisani hapo, ambako kawaida, mara zote alikuwa hana kawaida ya kupaki huko WAKATI WA IBADA ZA JIONI

Mbali na hayo, hapo kabla mara zote wakati wa Ibada za jioni, kuna wakati ambao mhusika alikuwa akimpa lift KB, wakati mwingine hata na baadhi ya wanafamilia wake, na mara nyingi alikuwa akiwachukua kutoka Kanisani hapo na kuwasogeza kwenye njia panda ya Ubungo-Chuo, alikuwa hawafikishi nyumbani kwao ambako ni Kimara Temboni

Mhusika alikuwa anafanya hivi huku akiwa tayari alishamjulisha KB kuwa yeye (mhusika) anazo restrictions za kutembea usiku na hivyo inapofikia muda wa usiku, huwa hawezi kwenda mbali

Swala hili la usalama wakati wa usiku, mhusika alikuwa ameshalieleza na likaeleweka sana kwa kwa KB pamoja na kwa watu wote wa familia yake

Kwa taarifa zaidi ni kuwa mhusika na KB wananaongea lugha moja ya kuzaliwa na wanatoka maeneo jirani yaliyopakana, ila yaliyo kwenye wilaya mbili tofauti, na walifahamiana kwa mara ya kwanza mhusika alipohamia Kanisa B

BAADA YA KB KUWA AMEOMBA LIFT KWENYE GARI LA MHUSIKA JIONI HIYO, KIONGOZI MWINGINE WA KIKE NAYE ALIKUJA NA KUMUOMBA LIFT MHUSIKA

Kiongozi mwingine wa kike kanisani hapo, BIBI kwa umri wa watu walio wengi, naye pia alikuja na kuomba lift kwenye gari la mhusika, na hapa ndipo trick ilipoanzia

Kwa wakati huo, KB hakuwa na gari, ila BIBI alikuwa nalo isipokuwa siku hiyo hakuwa amekuja nalo Kanisani

BIBI alikuwa anaishi MLALAKUWA, na hivyo eneo lake la kumshusha ilikuwa ni SAVEI, ambayo ndiyo ilikuwa njia yake mhusika; wakati KB uelekeo wake ulikuwa ni Barabara ya Mororogoro

BAADA YA MHUSIKA KUWACHUKUA VIONGOZI HAWA WAILI KUTOKA KANISANI JIONI HIYO

Bibi alikaa siti ya mbele, na KB siti ya katikati isipokuwa KB hakukaa wima, aliegemea kidogo kwa kiwiko cha mkono wake mmoja kwenye siti akiwa kama nusu amelala, nusu amekaa; kiasi kwamba kwa mtu aliyekuwa nje ya gari, alikuwa na uwezo wa kumuona mtu mmoja tu yule bibi aliyekuwa mekaa kiti cha mbele na pasipo kumuona KB aliyekuwa amejilaza kidogo kwenye kiti cha katikati

Kwa watu waliokuwa umbali kidogo na waliomuona mhusika akiondoka Kanisani hapo jioni hiyo, walijua kuwa ndani ya gari lake aliondoka na abiria mmoja tu, yaani yule BIBI aliyekuwa amekaa kiti cha mbele

Kwa upnade wa huyu BIBI yeye siku hiyo ilikuwa ni mara yake ya kwanza kabisa kupanda kwenye gari la mhusika na alikuwa na siku chache tu tangu arudi kutoka safarini ambako alikuwa ametumia angalau zaidi ya mwaka mmoja akiwa yupo huko

  • Hii ni kutona na ukweli kuwa kwa mara ya kwanza mhusika aliwasili na kuanza kuabdu Kanisani hapo, BIBI akiwa hayupo na baada ya kuwa amekaa pale zaidi ya mwaka mmoja, ndiyo pale BIBI huyu aliporejea kutoka safarini
  • Baada ya kupanda kwenye gari la mhusika, BIBI alimpongeza mhusika kwa kumweleza kuwa hakuwahi kujua kama Mungu amembariki kuwa na gari zuri namna hiyo, na mhusika naye aliizipokea pongezi hizo
………………………..inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEWACHUKUA VIONGOZI HAWA

Bibi alishuka Savei, na baada ya kushuka, kuanzia pale mhusika akaanza kueonekana kama alikuwa yupo peke yake kwenye gari ukizingatia giza lilivyokuwa linazidi kuongezeka, ilhali kulikuwa na abiria mwingine KB ambaye alikuwa amejilaza kwenye kiti cha katikati (yaani huyu KB ana akili chafu kuliko anavyoonekana kwa mcho)

Hapo sasa KB akawa anamhitaji mhusika ampeleke hadi nyumbani kwake Kimara Temboni kwa kupitia njia ya CHUO-Msewe na si ile ya Mrorogoro; njia ambayo kwa kipindi hicho, siku chache tu zilizokuwa zimepita, majambazi yalikuwa yamewahi kuteka gari maeneo hayo; na hiki kitu KB alikuwa anakijua, na mhusika alikuwa anamkumbusha KB kuhusu tukio hilo kila mara

Baada ya mhusika kumuona kuwa KB alikuwa anafanya upumbavu kwa kutumia njia ya kuomba lift, aligeuza gari na kuelekea kituo cha daladala cha mawasiliano

Kwa kumstahi sana, mhusika alimshusha KB hapo mawasiliano na baada ya kumshusha alikaa pale kwa muda akisubiria KB apate usafiri. Alijaribu kumfuatilia kwa kuwa anampigia simu lakini KB alikuwa hapokei simu tena muda

Mbali na hayo, baada ya kumshusha, KB aliondoka kwenye gari la mhusika kwa mwendo wa kasi ya karibia kukimbia utadhani kuna mtu alikuwa anamfukuza nyuma yake

Mhusika aliondoka na kurudi nyumbani akimwacha pale kwa kutarajia kuwa alipata usafiri

KILE WALICHOKUWA WAMEPANGA BIBI NA KB JIONI HIYO

Plan ya KB na BIBI siku hiyo ilikuwa ni kwamba baada ya ya BIBI kuwa ameshuka SAVEI na hivyo kupelekea mhusika kuonekana yuko peke yake ndani ya gari ilhali alikuwemo pia abitia mwingine, baada ya hapo mhusika angeonekana akielekea njia ile inayeondelea kuelekea nyumbani kwake na watu wangejua kuwa anaelekea nyumbani kwake kumbe hapana

Pasipo observers hao kuwa na taarifa, mhusika angekuwa haelekei nyumbani kwake bali alikuwa anaenda kupitiliza kwa njia ya Msewe, huku ndani akiwa na abiria mwingine

Assuming mhusika nageweza kuamua kumpekea KB nyumbani kwake Kimara temboni kupitia njia ya Msewe na hatimaye chochote kikaenda kumtokea huko mbele ya safari, watu wangeshangaa kwa sababu baada ya kumshusha BIBI pale savei walimuona mhusika akiwa yupo peke yake kwenye gari, na baada ya hapo alinyoosha njiia ya kuelekea kurudi nyumbani kwake

HITIMISHO

Kabla BIBI hajafika kwenye kituo chake SAVEI, alikuwa kila mara haishi kusema maneno “mi nashuka Savei, nyie si mnaendelea”………… “mi nashuka Savei, nyie si mnaendelea

Kilichomo kwenye kichwa hicho cha KB, ni Mungu anayekijua.

Zaidi ni kuwa kwa utafiti wake mhusika hadi kufikia muda huu, washirika wote wa KM-A wamefanana exactly kama aliyyo KM-A mwenyewe

Taarifa hizi tayari zipo ofisini kwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa B (KM-BB) mhusika aliziwasilisha muda mfupi tu baada ya tukio

Bado tena kuna yule muumini mwingine wa Kanisa B ambaye alichomoka kutoka huko na kuja Kanisa A J2 ya tarehe 30/07/2023 (mwaka jana). Huyu naye arudie kosa jingine dogo tu halafu na yeye faili lake litashuka humu, na ambalo lipo pia kwa KM-BB tangu siku nyingi

Huyu yeye waliwahi kufikishana na mhusika ofisini kwa KM-BB uso kwa uso huku akiwa yupo na mwenzi wake

Kanisa B lina washiriki wachache lakini baadhi wao wakorofi sana na hata huwa hawaogppi

Zaidi ni kuwa kule mkoani ambako aliwahi kutokea mtoto aliyewahi kupewa rufaa ya kuja kulazwa hospitali ya rufaa Dar es Salaam pasipo mtoto huyo kuwa amelazwa kwenye hospitali nyingine huko, kuna mtumishi ambaye sura yake imefanana sana na ya KB, na possibly anaweza kuwa ni pacha wake kwa sababu ukoo wa KB unao watu wa aina hiyo. Kama siyo basi ni coincidence

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom