#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: MONDAY, 21st OCTOBER 2024

TUKIO JINGINE TENA LA LILILOTENGENEZWA KWA MAKUSUDI

NI TUKIO LA MTI ULIOKUWA UMEANGUKA SIKU NYINGI NA HATIMAYE KUSIMAMA TENA HUKO KAGERA


Tukio hili nalo pia ni la kutengeneneza kwa makusudi na kwa bahati nzuri, tukio hili linaangukia kwenye mojawapo ya matukio mengine mengi ambayo kwa sasa, mhusika tayari ameshakusanya ushahidi wa kutosha

Kwa hiyo kwa sasa, mhusika ana ushahidi wa kutosha unaohusiana na matukio yote ambayo alishawahi kuyaleta humu na kusema kuwa yalikuwa ya kutenengenezwa kwa makusudi

Mbali na hayo, nature ya tukio hili, haitofautina na matukio ya kama yale ya mafuriko ya mavi yaliyokuwa yanatngenezwa kwa makusudi nyumbani kwa mhusika

Kutokana na ukweli huu, mhusika anawaomba media pamoja na wanasayansi, wasihangaike na jambo hili isipokuwa waendelee kushughullka na mambo mengine ya muhimu na yenye maslahi mapana zaidi kwa nchi na kwao pia

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MENGINE YA MUHIMU YANAYOHUSIANA NA BARUA YA KWENDA BENKI AMBAYO UTAFITI WAKE ULIKUWA BADO UNAENDELEA

Mwendelezo kutokea kwenye post hii hapa #2,25

Barua hii ni ile inayohusiana na fedha za mhusika TZS million 2.50 zilizopokelewa kwenye akaunti ya mtu mwingine anayeitwa AMINA SALIM

1.0 MAELEZO YA UTANGULIZI

UHUSIANO KATI YA BARUA HII NA KUSANYIKO LA MTIHANI LILOFANYIKIA KWENYE “IDARA ILE NYINGINE” SIKU YA J5 YA TAREHE 25/09/2024


Wiki moja kabla ya kusanyiko hili, yaani kwenye siku ya J5, 18/09/2024, MKUU WA MAJOR UNIT (MMU), alitoa offer ya chakula, PILAU NYAMA na ambacho kilienda kununuliwa kutoka kwa caterer wa nje ya mazingira ya Taasisi (PRODUCT ngeni, kwenye mazingira mageni)

Kwa hiyo PRODUCT hii ililetwa kutoka nje ya mazingira ya taasisi, ilhali hata ndani ya Taasisi, caterers wa PRODUCT hii wapo pia

  • Karibia mara zote, na kwa mara nyingi sana, MMU amekuwa akitoa offer za chakula kwa kutumia caterers wa nje ya mazingira ya taasisi, ilhali hata ndani ya Taasisi, caterers wa chakula cha aina ambayo amekuwa akitoa, wapo
  • Chakula hicho kililiwa kwenye CHUMBA CHA TEA ROOM na kililiwa kwenye muda wa baada ya saa tisa alasiri
Mhusika naye pia alishiriki kwenye chakula hicho; huku sababu pekee iliyompelekea ashiriki ikiwa ni kukwepa kubaki pake yake ofisini kwenye muda huo wa jioni, wakati watu wengine wote wakiwa wamekusanyika mahali pamoja

Hii ni kutokana na ukweli kuwa kwa namna ambavyo mhusika ameshamfahamu MMU kutokana na utafiti ambao tayari ameshaufanya, dalili zinaonyesha kuwa kama MMU asingekuwa ameajiriwa, angeweza hata kuwa jambazi la kutumia silaha

Hii ni kutokana na ukweli kuwa hata kwa sasa, pamoja na kuwa yupo kwenye mazingira ambayo ni tofauti na favourable, bado haonyeshi dalili zozote za kuwa tofauti na watu wa aina hiyo

MTU MWINGINE ALIYEBAHATIKA KUHUDHURIA KWENYE KUSANYIKO HILO LA CHAKULA CHA WANA IDARA; NA KWA MARA YA KWANZA

Huyu ni mtu ambaye amekuwa akisemekena kuwa ni mwanafunzi wa ngazi za juu, na ambaye pia ni foreigner

  • Ilikuwa ni mara ya kwanza mwa mhusika kumuona mtu huyu akiwa amejumuika na wana idara wenzake
  • Hii ni kutokana na ukweli kuwa mwananfunzi huyu ana zaidi ya maika mitatu sasa akiwa yupo idarani, lakini hajawahi kuonekana kwenye kusanyiko lolote lile la wana idara, na wala hajawahi hata kufanya presentation ya kitu chochote ambacho amekuwa akikifanya kuhusiana na masomo yake
Mbali na hilo, pamaja na kuwepo kwenye kusanyiko la chakula kwa mara ya kwanza, mwanafunzi huyu hakuhudhuria tena kwenye kusanyiko lile la mtihani ambalo lilikuja kufanyika wiki iliyofuata, siku ya J5 ya tarehe 25/09/2024

  • Ni very strange kwamba wamanafunzi wa ngazi za juu anaweza kuhudhuria hafla ya chakula, halafu hafla za makusanyiko mengine ya kisomi na ambazo ni za muhimu sana kwake, akawa hahudhurii completely. This is very strange
  • Mwanafunzi huyu ni yule ambaye jina lake lina phonation inayofanana na ile ya neno MORPHOLOGY
Mhusika anamwongelea mtu huyu muda huu kwa sababu muda si mrefu, kuna CODE muhimu inayojitegemea ambayo mhusika ataileta humu, ikiwa inahusiana na mtu huyu peke yake, japo itahusisha pia watu wengine kadhaa akiwemo MMU

BAADA YA CHAKULA KUWA KIMETOLEWA J5 YA TAREHE 18/09/2024 IKIWA NI WIKI MOJA KABLA YA KUSANYIKO LA MTIHANI

Kesho yake Alhamis ya tarehe 19/09/2024; office-mate 2 (OM-2) alipata udhuru uliopelekea aondoke ofisini kurudi nyumbani kabla ya muda wake wa kawaida wa siku zote

Karibia mara zote, OM-2 huwa anaondoka ofisini baada ya mhusika

Kwa hiyo kwa siku hiyo, mhusika alifunga geti kuu la ofisi kwa mara ya kwanza, baada ya kuwa kimepita kipindi kirefu sana pasipo yeye kuwa amefanya hivyo

  • Kwa hiyo kufunga gate kwa mhusika siku ya Alhamis hiyo, ilikuwa ni SERVICE NGENI au INTANGIBLE ENTITY NGENI kwake
  • Ingekuwa “kufunga gate” kunashikika, basi kitendo hicho angeweza kukiita “PRODUCT” ngeni
ILIPOWADIA TENA KESHO YAKE IJUMAA YA TAREHE 20/09/2024

OM-2 alipata udhuru na hakufika ofisini siku hiyo

  • Kwa hiyo kwa siku hiyo ya Ijumaa, mhusika alitakiwa kufunga tena geti baada ya saa za kazi
  • Hata hivyo kwa bahatii mbaya, ufunguo wake uligoma kufunga geti, ilihali jana yake Alhamis, ndiyo ufunguo huo huo aliokuwa ameutumia kufunga geti
Kwa hiyo kwa siku ya Ijumaa, ufunguo huo uliweza kufungua tu geti asubuhi ila si kulifunga wakati wa jioni alipokuwa anaondoka ofisini

KWA KIFUPI SANA: KILE AMBACHO MHUSIKA AMESHAKIBAINI HADI MUDA HUU KUHUSIANA NA MAGETI HAYA IKIWA NI PAMOJA NA PARKING

Utafiti huu bado unaendelea isipokuwa machcahe tu ambayo mhusika tayari ameshayahakikisha kuhusiana na utafiti huu ni yafuatayo

  • Kwenye mazingira ya ofisin, tayari ameshathibitisha kuwa yeye anatakiwa kufunngua gate tu na si kufunga
  • Wahusika wa code hii yaani wale walioshiriki kutengeneza mazingira ya awali ya code hii ni watu wawili ambao ni MFD (mfanyakazi aliyehamia kutoka Dodoma) pamoja na kijana junior ambaye miaka kadhaa iliyopita, aliwahi kuvunja grill ya gate kuu la ofisi ya mhusika kipindi alipokuwa bado yupo peke yake ofisini, na ambaye anayejulika kwa cheo maarufu cha “SIR”
Taarfa zaidi kuhusiana na gates zitafuata baadaye kama topic inayojitegemea

Mbali na hilo, tangu kuasisiwa kwa matumizi ya “KEYS” kulikowahi kufanyikia kwenye mazingira ya nyumbani anakoishi Oktoba/Novemba 2022, mhusika ameshathibitisha pasipo shaka pia kuwa tangu pale, GARI LAKE HALITAKIWI TENA KUPAKI KWENYE RESERVED PARKING ZILIZOPO KWENYE JENGO HILO

Hii ni kutokana na ukweli kuwa, tangu kipindi hicho, imekuwa kawaida kwamba kila inapotokea kuwa kuna nafasi imejitokeza ya yeye kupaki gari lake kwenye parking hizo za nyumbani, ghafla hutokea utaratibu ulio na sababu maalumu na ambao hupelekea gari lake lisiweze kupaki kwenye parking hizo

Taarfa zaidi kuhusiana na swala hili la parking za nyumbani nazo pia zitafuata baadaye


Still, kuna dalili nyingine mpya zimeshaanza kujitokeza zinazoonyesha kuwa “ukarabati wa jengo hilo unaenda kwa kufuata hali ya hewa na si schedule ambayo ipo kwenye makaratasi.

Ukarabati huo ulianza mwezi April 2023 (mwaka jana) na hadi kufikia leo hii Oktoba 2024, kitu pekee ambacho kimeshafanyika kwenye jengo hilo ni kupakwa rangi nje tu na si zaiidi ya hapo

Hata hivyo utafiti kuhusiana na ukarabati wa jengo hili nao pia bado unaendelea

Mhusika anatamani sana ukarabati huo umalizike, ili baadaye wahamie pale watu wenye familia zilizo na watoto.

Kitu pekee na kikubwa sana ambacho kwa sasa mhusika anakimiss sana kwenye jengo hilo, ni watoto

……………………..inaendelea
 
BARUA YA BENKI

……………….inaendelea

2.0 MAELEZO KAMILI

KILE KILICHOFANYIKA KWENYE KUSANYIKO LA MTIHANI YALIKUWA NI MAANDALIZI YA BARUA AMBAYO MHUSIKA LITAKIWA KUJA KUIANDIKA BAADAYE NA HATIMAYE KUIPELEKEA BENKI


Kilichofanyika kwenye kusanyiko la mitihani ni kwamba alisambazwa pepo kwenye CHARACTERS, yaani herufi za maandishi

Ukisambaza pepo kwenye CHARACTERS, unakuwa umesambaza pepo kwenye LETTERS na SYMBOLS pia

Definitions:

A "CHARACTER" is any mark or symbol that can appear in writing.

A "LETTER" is a character that is part of an alphabet.

Pepo huyo aliyesambazwa siku hiyo, alirushwa kwenye kupitia kusanyiko lile la chakula cha J5 ya tarehe 18/09/2024 na aliyefanikisha zoezi hili, ni mwananfunzi foreigner ambaye phonology ya jina lake imefanana na phonology ya neno MORPHOLOGY

MORPHOLOGY ni mojawapo tu ya ATTRIBUTES za LINGUISTICS, zingine zikiwa ni SYNTAX, SEMANTICS, PRAGMATICS NA PHONOLOGY

Kwa hiyo kile kilichofanyika hasa siku hiyo ni kwamba huyu mwanafunzi alirusha pepo kwenye ATTRIBUTES ZA LINGUISTICS na hivyo kupelekea neno LETTER (barua) kuwa sawa na neno LETTER (herufi), vile vile neno JINA kuwa sawa na neno JINI, n.k.; kwa sababu kwa kufanya hivyo, alikuwa tayari amesha-affect nyanja zote hizo tano za linguistics

Na hii ndiyo sababu pekee ambayo imekuwa ikipelekea mwanafunzi huyu asionekane kwenye mazingira ya makusanyiko ya hafla za wanaidara za wakati wa saa za kazi, ili siku itakapotokea akafanya hivyo, uwepo wake kwenye mazingira hayo uwe ni mgeni na mpya kabisa

KUSANYIKO LA MTIHANI LILIFANYIKA KABLA MHUSIKA HAJAPEWA MAELEKEZO YA KUANDIKA BARUA YA BENKI

Ikumbukwe kuwa kusanyiko la mtihani lilitangulia kwanza halafu baadaye siku hiyo ndiyo pale mhusika alipopata muda wa kwenda Benki

Na kwa bahati nzuri, baada ya kufika Benki; Benki nao walimwelekeza kuandika Barua; kitu ambacho wasambaza pepo wa siku hiyo ya J5 walikuwa wamekitarajia au kukiotea

………………….inaendelea
 
BARUA YA BENKI

……….inaendelea

SAHIHISHO MUHIMU KWENYE MAELEZO YALIYOPO HAPO JUU HASA KUHUSIANA NA FUNGUO


Kusanyiko la chakula lilifanyika siku ya J5 ya tarehe 18/09/2024

  • Ilipofika Ijumaa ya tarehe 20/09/2024, OM-2 hakuweza kufika ofisini kutokana na udhuru na hivyo mhusika alishinda akiwa peke yake ofisini
  • Asubuhi ya Ijumaa hiyo wakati mhusika anaingia ofisini,, ufunguo wa zamani wa mhusika ulikuwa KWA MARA YA KWANZA, umeshindwa kufungua gate la mlango wa ofisi yao
Kutokana na hali hiyo, wakati huo wa asubuhi, mhusika alikuwa amelazimika kwenda kuchukua ufunguo mwingine wa akiba kutoka ofisi ya Mkuu wa Idara (MWI) na kuanza kuutumia huo tangu pale

Haya yote yakiwa tayari yameshatokea, kwenye J5 ya wiki iliyofuata, yaani tarehe 25/09/2024 ndiyo pale lilipofanyika kusanyiko la mtihani

Baada ya mhusika kutoka kwenye kusanyiko la mtihani siku hiyo, aliamua kwenda Benki; na ambako alienda akapewa maelekezo ya kuandika barua

Vinginevyo maelezo mengine kabla na baada ya kwenda Benki, yakiwemo yale yaliyomhusisha MR X. mhusika tayari alishayaleta humu kupitia posts za hivi karibuni zilizopo hapo juu

KILICHOTOKEA WAKATI WA MATAYARISHO YA BARUA YA BENKI

Baada ya kupewa maelekezo kutoka Benki, mhusika alianza kuandika barua hiyo kesho yake siku ya Alhamis ya tarehe 26/09/2024

  • Siku hiyo OM-2 alikuwepo ofisini
  • Akiwa anatayarisha barua hiyo, OM-2 aliwahi kuondoka ofisini kutokana na udhuru, na kesho yake Ijumaa hakuweza kufika kabisa
Kwa hiyo, mhusika akiwa yupo peke yake ofisini Ijumaa hiyo, ufunguo ule mpya aliokuwa ameuchukua kutoka ofisini kwa MWI wiki iliyopita, KWA MARA YA KWANZA, ulishindwa kufunga gate wakati wa jioni, ilhali ufunguo huo huo ndiyo ule aliokuwa ameutumia kufungua na kufunga gate Ijumaa ya wiki iliyokuwa imepita

Hadi kufikia muda huu, mhusika anao ufunguo huo isipokuwa unaweza kufungua tu gate na si kulifunga

Akiwa tayari ameshaandika barua yake, asubuhi ya J3 ya tarehe 30/09/2024; mhusika aliingia ofisini kwa MWI na kumkuta Engineer wa Madini (EM) akiwa yupo humo

  • Wakati huo, mwenyeji wa ofisi hiyo alikuwa ametoka kidogo
  • EM alikuwa yupo ana pilika pilika kama vile za kuprint document, na ilikuwa ndiyo siku yake ya kwanza kuwepo tena ofisini baada ya kuwa ametoka safari ya wiki kadhaa
Kwa evidence alizonazo mhusika muda huu zinazohusiana na tukio la wawili hawa kukutana ofisini humo siku hiyo, zinaonyesha kuwa uwepo wa EM ofisini kwa MWI asubuhi hiyo na pasipo mwenyeji wa ofisi hiyo kuwepo, ulikuwa umekusudiwa kum-prompt mhusika awepo ofisini humo kwa muda wa kutosha wakiwa pamoja na EM

  • Lengo lilikuwa ni kwamba mhusika awepo mule ndani ofisini kwa MWI wakiwa pamoja na EM kwa muda wa kutosha, kwa sababu yeye pia (mhusika) alikuwa na barua ya ku-print siku hiyo; ile aliyotakiwa kuipeleka Benki baadaye
  • Baada ya mhusika kutokum-join EM ofisini humo , masaa machache baadaye umeme ulikatika na hapo mhusika aliamua kuelekea STATIONERY kwenda ku-print barua hiyo ili baadaye aweze kuiwasilisha Benki na alifanya hivyo siku hiyo hiyo
  • Alipokuwa anaelekea Benki, kabla hajatoka kwenye mazingira ya taasisi, ndiyo pale mhusika alipokutana na MR X kwenye mojawapo ya njia panda za Barabara
Baada ya kuiwasilisha barua hiyo Benki, kesho yake J3 ya tarehe 01/10/2024; ndiyo pale mhusika alipopokea ujumbe kutoka Benki ukimhitaji akachukue majibu ya barua hiyo, ambayo hadi leo bado hajaenda kuyachuka

Wakati ujumbe huo unaingia, mhusika alikuwa busy anaogea na rafiki yake mtoto wa EM na ambaye pia ni WAJINA WA YESU

EM alikuwa amempitisha kwa muda mtoto huyo kwa ajili ya kumsalimia mhusika

Vinginevyo maelezo mengine kuhusina na swala hili la barua,tayari yapo kwenye posts zilizotangulia

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
COMING UPNEXT

UTAFITI ULIOKAMILIKA

MOSI: CODE YA MKOMBOZI-MLOKOZI (CMKML)


Wahusika wakuu wa code ni wafuatao

  • Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A)
  • “SYSTEM” na mke wake
  • Kiongozi wa Vijana ambaye jina lake linafashahibiana na jina la code hii pamoja na mke wake
  • Kijana foreigner aliyepo idarani kwa mhusika anayesemekana kuwa ni mwananfunzi wa masomo ya ngazi za juu
PILI: CODE YA “SWITCH ON-SWITCH OFF”(COSOSO)

Wamiliki wa code hii ni MR X pamoja na mke wake

Code hii pia ndiyo ile ambayo MR X aliitumia ivi karibuni kwenye J2 moja kule Kanisani, pale alipomfuata mhusika na kumtoa nje ya Ibada, nia ikiwa ni mhusika kumpisha MR X ili aweze kutoka, kwenye J2 moja ambayo MR X alikuwa na gari aina ya ALPHARD NYEUPE

  • Code hii waliizindua kipindi kirefu nyuma wakiwa wote wawili na MRS X, kwenye kipindi kile cha ukomo wa ugonjwa CORONA, possibly ilikuwa February 2021
  • Ushahidi uliopo kuhusiana na code hii unaonyesha kuwa wakati MR & MRS wanaizindua code hii, ENGINE ya gari la sasa la mhusika ilikuwa AIDHA tayari imeshaibiwa siku chache tu nyuma, AU ilikuja kuibiwa siku chache tu mbele, baada ya March 17
Code hii waliizindua kwenye muda ambao una sifa zilizotajwa hapa

TATU: CODE YA MAFURIKO MAPYA YA SASA YA MAJI MACHAFU KWENYE SINK LA KUOGEA LA MHUSIKA (CMC)

Ni kwa mara nyingine tena leo mhusika amelazimika kwenda ofisini pasipo kuoga asubuhi


  • Mhusika wa code hii ni MR X vilevile na kuna ushahidi unaohusisha hadi picha zilizochukuliwa ofisini siku ya leo J3 ya tarehe 21/09/2024
  • Picha za aina hii mhusika angeweza kuwa ameshazichukua pia kwenye matuko mengine mawili ya nyuma yaliyotopkea kwenye siku mbili tofauti, isipokuwa kipindi hicho alikuwa bado hajapata wazo hilo kichwani
Kwenye siku hizo mbili tajwa za nyuma, mhusika alilazimika pia kufika ofisini akiwa hajaoga asubuhi, kama ilivyotokea tena kwa siku ya leo; haiwezi kuwa coincidence!

Kwa upande wa kule Kanisani kwake, mhusika wa code hii kwa sasa ni KM-A na alifanya hivyo kwenye ile J2 ya kwanza kabisa ambayo mafundi walikuwa wameanza matayarisho ya kuweka tiles chini, na baada ya J2 hiyo kupita, waumini walianza kupaki magari yao nje ya uzio wa Kanisa kwa wiki mbili mfululizo kwa sababu ujenzi ulikuwa unaendlea

………………………….itaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE:TUESDAY, 22nd OCTOBER 2024

UTAFITI ULIOKAMILIKA:
CODE YA MKOMBOZI-MLOKOZI (CMKML)

Wahusika wakuu wa code ni wafuatao
  • Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A)
  • “SYSTEM” na mke wake
  • Kiongozi wa Vijana ambaye jina lake linashahibiana na jina la code hii pamoja na mke wake
  • Kijana foreigner aliyepo idarani kwa mhusika anayesemekana kuwa ni mwananfunzi wa masomo ya ngazi za juu
MAELEZO YA UTANGULIZI KUHUSIANA NA CODE HII (CMKML)

Posts hizi zilizoorodheshwa hapa chini ambazo mhusika aliwahi kuzileta humu takriban mwishoni mwa Julai 2024, nazo pia zinahusiana na code hii, isipokuwa tofauti tu ni kwamba kwa wakati huo, mhusika alikuwa bado hajajua namna ambavyo code hii ilikuwa inafanya kazi na hivyo kushindwa kujua kama kilichotokea kipindi hicho, kilikuwa executed kupitia code hii

Posts hizo ni hizi hapa #2,132, #2,133 , #2,134 , #2,135 , #2,136

Maelezo hayo yalimhusisha pia mwanafunzi foreigner aliyepo idarani kwa mhusika

……………………..inaendelea
 
CODE YA CMKML

…………inaendelea

YALE YA MUHIMU YALIYOJIRI KANISANI KWA WIKI TATU MFULULIZO KUANZIA J2 YA TAREHE 06/10/2024 HADI J2 ILIYOPITA YA TAREHE 20/10/2024

MOSI: YALIYOJIRI SIKU YA J2 YA WIKI JUZI; TAREHE 13/10/2024


J2 hiyo, mhusika aliingia Kanisani na kukuta waumini wa Ibada ya kwanza wakiwa wanatoa nje ya uzio wa kanisa magari yao

Kutokana na hali hiyo, mhusika aliamua kupaki nje kandokando ya barabara na kubaki ndani ya gari bila kushuka kwa sababu ni magari machcahe tu yaliyokuwa yamebaki na hivyo ulikuwa umebaki muda mfupi wa magari yote yalikuwa yanatoka nje, kumalizika

BAADHI TU YA MAMBO MACHACHE ALIYOYAONA ALIPOKUWA AMEPAKI GARI PEMBEZONI MWA BARABARA AKIWA ANASUBIRIA KUINGIA NDANI

Alimuona mama mwenye HARRIER akiwa anatoka nje, ila kwa siku hiyo hakuwa na HARRIER, alikuwa na gari nyingine

  • Gari za aina ya HARRIER ndiyo zile zinazotengeneza “KEYS” na gari la “SYSTEM”
  • Kwa hiyo wamiliki wote wa HARRIER, ni wawakilishi wa “SYSTEM”
Mbali na hilo, mhusika alimuona pia mtoto rafiki yake mmoja akiwa yupo getini; rafiki ambaye wamepotezana kwa kipindi kirefu sana na hivyo kutokuonana kwa muda wa takribani miaka 6 au saba hivi

  • Siku ya mwisho ambayo waliwahi kuonana na kuongea, ilikuwa ni kwenye J2 moja ambayo ilikuwa ni ya Ibada moja
  • Kwenye J2 hiyo, mama wa rafiki wa mhusika alipaki gari jirani na gari la mhusika na hicho ndiyo kilichopelekea wakaonana siku hiyo
Tangu pale, mhusika na rafiki yake hawakuwahi tena kuonana; na kwenye J2 hii ya hivi karibuni, mhusika alimuona tu rafiki yake huyo kwa mbali akiwa yupo getini

Huyu rafiki wa mhusika ana jina lenye phonation inayofanana na phonation ya neno UNIQUE, na mama yake ni yule shemasi anayefanya kazi Airport

BAADA YA MAGARI YALIYOKUWA YANATOKA NJE YA UZIO WA KANISA KUMALIZIKA

Gari moja iliyokuwa mbele ya mhusika ilianza kuingia ndani, na mhusika naye alianza kuifuata kwa nyuma

  • Wote mhusika na muumini aliyekuwa mbele yake walifanikiwa kuingia ndani, huku magari mengine kadhaa yakiwa yanawafuata kwa nyuma
  • Mara tu baada ya mhusika kuwa ameingia ndani, ghafla kulitokea tena kundi la magari mengine kadhaa yaliyokuwa yanahitajikutoka nje
  • Magari haya ni yale ambayo yalitakiwa kuwa yametoka nje pamoja na mengine ambayo yalikuwa tayari yameshatoka, ila hayakuwa tamefanya hivyo na ilikuwa ni kwa makusudi na kwa lengo maalumu
Kutokana na uwepo wa magari hayo, alitokea Shemasi ambaye jina lake lina phonation inayofanana na ya neno TESA, na kumuamuru mhusika atoke nje kwanza ili ayapishe magari hayo

Kwa hiyo kwenye awamu hiyo ya magarikuingia ndani, ikawa imefanikiwa kuingia ndani gari moja tu; ile iliyokuwa mbele ya mhusika

Mhusika alitii amri hiyo lakini pia akawa amestuka kwamba kulikuwa na kitu fishy kilichokuwa kimepangwa kuendekea

  • Kutokana na hali hiyo, mhusika alianza kuwa makini na hivyo kuanza kufuatilia kila kitu kilichoendelea baada ya pale
  • Ni kwa sababu magari yaliyopelekea arudishwe nje, yalikuwa yamebaki ndani kwa makusudi
  • Vile vile hata baada ya mhusika kuwa ametoka nje na hatimaye kuruhusiwa tena kuingia ndani, bado ilijitokeza tena gari nyingine DOUBLE CABIN ya “SHOKA”; ambayo ilikuwa bado haijatoka
Gari hii nayo ilianza pilika pilika za kutoka nje pale tu ilipomuona mhusika anataka kwenda kupaki sehemu fulani; na hivyo kumzuia asende huko kwa kuziba njia, huku ikiwa ipo kwenye mchakato wa kutoka nje ikiwa peke yake

  • Kutokana na hali hiyo, gari hiyo ilimlazimisha mhusika kupaki kwenye sehemu ambayo hakuwa ametarajia kupaki
  • Ujanja uliotumika hapa ni kwamba ilikuwa ni lazima mhusika apaki kwanza garilake halafu ndiyo DOUBLE CABIN hiyo iweze kupata njia ya kuweza kutoka nje
Kuna baadhi ya mambo ya kipumbavu ambayo huwa yanayofanyika Kanisa A na ambayo hata walevi wa kwenye vilabu vya pombe huwa hawayafanyi

Kilichotokea kwenye mchakato huo wa mhusika kutolewa nje kwanza halafu baadaye tena kuingia ndani, huku wakati huo huo akiwa obtructed tena na gari ya SHOKA, ndiyo kile kilichopelelea akawa exposed na code hii ya MKOMBOZI –MLOKOZI

…………….inaendelea
 
BAADA YA MHUSIKA KUWA AMETOKA NJE NA HATIMAYE KUINGIA NDANI TENA; ALIGUNDUA “SEQUENCE YA MPANGILIO WA WAUMINI” KADHAA KAMA IFUATAVYO

Pale alipoenda kupaki gari nje kwa muda baada ya kuwa ametolewa ndani, alimkuta muumini ambaye alikuwa tayari yuko pale na ambaye (muumini) alisaidia kumuelekeza mhusika namna ya kupaki gari vizuri

Muumini huyu alikuwa na uhusiano na code hii ya CMKML ; code ambayo inahusiana na MWOKOZI, yaani YESU KRISTO

Muda mfupi badaye, baada ya kuwa ameruhusiwa kuingiza gari ndani; kupaki na hatimaye kushuka chini; akiwa anaelekea usawa wa Kanisani kwa kupitia njia ile ya uchochoro unaotenganisha jengo la Kanisa na jengo jingine jirani; hapo alikutana na mke wa SYSTEM akiwa na HARRIER

  • Mbele ya mke wa SYSTEM; kulikuwa na mama mwingine ambaye aliwahi kuwa shemasi, na ambaye alikuwa hajoenekana Ka nisani hapo kwa muda kiasi; assuming hawakuwa wanapishana na mhusika
  • Mama huyu alikuwa ameambatana na binti mgeni ambaye alikuwa anaonyesha dalili zote za kuhitaji msaada wa kiroho kama vile maombezi; na pembeni yao wawili hawa kulikuwa na vijana kama watatu hivi
Wakati mhusika anawapita watu hao, ndiyo muda ule ambao wale vijana walikuwa wanasalimiana na mama huyu pamoja na yule binti mgeni

Muda mfupi baadaye wakati wa Ibada, binti huyu mgeni alikuja akalipuka PEPO, pale mwanzoni tu mwa Ibada

  • Kitu cha pekee kabisa kuhusiana na PEPO ambao huwa wanalipuka Kanisa A; mara zote huwa wanalipukia ndani ya nyumba ya Ibada na si nje au sehemu nyingine iliyo jirani
  • Kule nje pamoja na getini, pepo huwa wanapita salama tu hadi wanafanikiwa kuingia ndani ya nyumba ya Ibada
Mhusika hajawahi hata mara moja kushuhudia PEPO kulipuka nje ya nyumba ya Ibada au kwenye sehemu nyingine yoyote jirani iliyo ndani ya uzio wa Kanisa, achilia mbali kule nje kwenye bararbara inayopita jirani na Kanisa hilo

Baada ya kuwa amewapita mama shemasi mstaafu pamoja na wale vijana, muda mfupi kabla ya Ibada kuanza, kule mwisho sasa alienda akamalizia tena na rafiki yake mtoto mchanga ambaye ndiye anaonekana kuwa amewekwa kuwa mchezaji kiungo kwenye code hii ya CMKML

  • Ni kwa sababu wote baba na mama wa mtoto huyu wanahusika kwenye code hii
  • Kwa mara ya kwanza, mhusika na mtoto huyu walionana J2 ya tarehe 30/07/2023 (mwaka jana); na ilikuwa ni siku ambayo mtoto huyo pamojana watoto wengine kadhaa, waliwekwa wakfu
J2 hiyo vile vile ndiyo ile ambayo Chama cha Wanaume Kanisani hapo, kilitembelewa na Kiongozi wa chama kutoka jimboni; huku Kinara wa Matangazo (KWM) ambaye kwa sasa hayupo tena Kanisani hapo, akihitimisha Ibada ya J2 hiyo kwa kutemesha kinyesi cha binadamu, muda mfupi tu kabla ya Ibada kumalizika

……………………itaendelea TENA
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 23th OCTOBER 2024

CODE YA CMKML

…………inaendelea

SEQUENCE YA KEYS AMBAZO MHUSIKA ALIKUTANA NAYO BAADA YA KUWA AMETOLEWA NJE


Pale ambapo mhusika kupaki gari, kulikuwa na MTI, na kwenye mti huo alisimama mtu ambaye KEY yake ilikuwa inawakilisha ATTRIBUTES ZA YESU (mwokozi. mkombozi)

  • Miezi michache iliyopita, mtu huyu aliwahi kukutana na mhusika akiwa amekibeba kile kitoto rafiki yake na mhusika, na alikuwa anatoka nje ya Geti Kuu la Kanisa
  • Kitoto hiki ndiyo kile kile ambacho wazazi wake wote wawili wanahusika na code hii
  • Baada ya mhusika kuwa ameruhusiwa tena kuingia ndani ya uzio wa Kanisa J2 hiyo, kule mwisho alienda akamalizia kwa kukutana na kitoto hicho kikiwa kimebebwa na binti aliyekuwa amekaa kwenye kiti; muda mfupi tu kabla ya Ibada kuanza
  • Mzazi mmoja wa kitoto hiki ndiyo yule ambaye, kwenye mojawapo ya majina yake, anabeba directly ATTRIBUTES ZA YESU zilizotajwa hapo
Alipokuwa bado yupo pale kwenye mti, alianza akamuona kwanza mama mwenye HARRIER anapita akiwa ndani ya gari, japo kwa siku hiyo hakuwa na HARRIER

Mama huyu alikuwa anawakilisha ATTRIBUTES ZA SYSTEM

Muda mfupi baada ya mama mwenye HARRIER kupita, alimuona tena rafiki yake UNIQUE ambaye yeye aliwakilisha UNIQUE KEY au ATTRIBUTES ZA KEY

Baada ya mhusika kuwa ameingia ndani na kupaki gari, alikutana na KEYS zifuatazo, kama ambavyo tayari ameshaeleza kwenye maelezo yaliyopo hapo juu

Mke wa SYTSEM; ambaye naye pia aliwakilisha ATTRIBUTES ZA SYSTEM

Shemasi mstaafu aliyekuwa na binti ambaye baadaye alikuja kulipuka PEPO

Hawa wawili wote walikuwa wanawakilisha ATTRIBUTES ZA SHETANI

Pepo ni mojawapo ya ATTRIBUTES ZA SHETANI

Baadaye mhusika allimalizia kwa kukutana tena na ATTRIBUTES ZA YESU kwa mara ya pili kupitia kitoto kile kile ambacho kilipelekea uwepo wa ATTRIBUTES ZA YESU pale kwenye mti alipokuwa amepaki gari; baada ya kuwa ameamuriwa kurudi nje kwa muda

Vile vile, mda mfupi tu baada ya Ibada kuanza, binti aliyekuwa ameambatana na shemasi mstaafu, akiwa yupo hatua chache kutoka pale mhusika alipokuwa amesimama, alilipuka PEPO, kabla hata Kiongozi wa Zamu hajamaliza kuomba SALA ile ya mwanzo kabisa ya kufungua IBADA

Kwa hiyo, SEQUENCE iliyojitokeza J2 hiyo ilikaa hivi

  • ATTRIBUTES ZA YESU (pale kwenye mti)
  • ATTRIBUTES ZA SYSTEM (mama mwenye Harrier)
  • ATTRIBUTES ZA KEYS (rafiki wa mhusika)
  • ATTRIBUTES ZA SYSTEM (Mke wa Sytem)
  • (PEPO) ATTRIBUTES ZA SHETANI (binti mgeni; kabla ya binti huyo hajalipuka pepo, alipokuwa bado yupo nje ya Nyumba ya Ibada
  • ATTRIBUTES ZA YESU (kitoto kilichokuwa kimebebwa na Binti aliyekuwa amekaa)
  • ATTRIBUTES ZA YESU (SALA ya Kiongozi wa zamu pale juu madhabahuni)
  • ATTRIBUTES ZA SHETANI (Binti mgeni kulipuka pepo akiwa ndani ya Ibadan a kuvuruga sala ya ufunguziwa Ibada iliyokuwa inatolewa na Kiongzi wa Zamu)
Kwa hiyo, SEQUENCE hii inaanza na ATTRIBUTES ZA YESU na kumalizia na ATTRIBUTES ZA SHETANI, ikionyesha kuwa NET RESULT ya mcjakato huu ulipangwa kuzaa ATTRIBUTES ZA SHETANII

KILE AMCAHO KILITOKEA HASA KWENYE SEQUENCE HII


Sequence hii ilmuwezesha binti mgeni mwenye pepo kuingia ndani ya nyumba ya Ibada akiwa amebeba pepo, ambaye baadaye, aliwaweza kuwasmbazia baadhi ya waumini wakiwemo wale ambao ni KEYS

Kuingia kwa binti huyu ndani ya nyumba ya Ibada akiwa amebeba pepo, kuliwezekana pale tu mhusika aliporudishwa nje na kwenda kupaki kwenye MTI

Kama mhusika angeruhusiwa kuingia dierectly bila kurudi nje kwenye ile awamu ya kwanza, PEPO HUYU ASINGEWEZA KUPATA UWEZEKANO WA KUINGIA NDANI YA KANISA, kwa sababu sequence hii iliyoelezea hapo juu, isingeweza kuwepo

Lkilichofanyika ni kwamba mama mwenye HARRIER, alianza kwa kucheki kwenye SYSTEM nzima kuona kama kwenye ATTRIBUTES ZA YESU zilizokuwa pale kwenye mti mhusika alipokuwa amepaki gari lake, kulikuwa na SIGNAL inayohitajika (PEPO), lakini hakuipata

Kutokana na hali hiyo, ikahitajika sasa kutengenezwa SEQUENCE mpya kuanzia pale getini ambapo mhusika angeingilia, huku sequence hiyo ikiwa inatumia UNIQUE KEY (ATTRIBUTES ZA KEYS/ ATTRIBUTES ZA SYTEM)

Vile vile, kwenye matukio mengine yote ya nyuma ambayo mhusika amekuwa akimlalamikia mama mwenye HARRIER, mama huyu mekuwa akifanya kazi kwa kutumia SEQUENCE hii, ila hapo kabla mhusika alikuwa hajaing’amua

Baada ya hapo, ATTRIBUTES ZA KEY hizi zilienda zikafanyiwa marekebisho na SYSTEM baada ya mhusika kuwa ameingia ndani, ili ziendane na mazingira yaliyohitajika

Pale mbele ATTRIBUTES ZA SYTEM zikapigwa PEPO na hivyo kubadilika na kuwa ATTRIBUTES ZA SHETANI

Baada ya hapo, mhusika akaondoka hapo akiwa amebeba ATTRIBUTES ZA SHETANI na hivyo YEYE MWENYEWE KWA MIKONO YAKE, na hatimaye kwenda kuzibomoa ATTRIBTES ZA YESU zilizokuwa zimebewa na kitoto rafiki yake kilichokuwa kimebewa na binti

Hapo ilikuwa ni muda mfupi tu kabla ya Ibada kuanza

Kwa hiyo mhusika akawa ameingia ndani akiwa amebebeshwa pepo na hivyo kuruhusu sasa binti mgeni mwenye pepo, naye pia kuingia Kanisani akiwa amebeba pepo

Kama mhusika asingebebeshwa pepo kwa kufuata sequence hii, isingewezekana kwa binti mwenye pepo kuingia na pepo hilo Kanisani

KUHUSIANA NA PEPO KULIPUKA WAKATI WA SALA YA KUFUNGUA IBADA: YALIKUWA NI MAIGIZO

Pepo huyo alikuwa anahitajika na baadhi ya waumini wengine wakati wa Ibada

Kile kilichotokea hasa kwenye SEQUENCE hii ni hiki hapa

  • Wakati kiongozi wa zamu alipokuwa anatoa sala akiwa juu Madhabahuni, PEPO HUYU ALILIPUKA KWA KWA MAIGIZO, kuhofia asije akatoroka kabla hajasambaa kwa wahitaji wengine
  • SALA ya Kiongozi wa zamu iliyokuwa inatolewa pale juu Madhabahuni, ingeweza kupelekeaa pepo huyo kutoroka kabla hajasambazwa kama ilivyokuwa imepangwa, hali ambayo ingepelekea Ibada kuendeea bila uwepo wa pepo
MAIGIZO ya kulipuka pepo huyo, yakatoa nafasi sasa ya binti kubebwa na watu kadhaa akitolewa nje ya nyumba ya Ibada; ambao nao wanaweza kuwa walimpokea pepo huyo kulingana na mahitaji yao

  • Hazikupita hata dakika 10 tangu binti kubebwa kwenda kutolewa pepo na kurudi tena ndani ya Ibada akiwa yupo sawa
  • Hali hii ilitoa nafasi sasa ya KM-A naye kutoka kule alikokuwa na kuja na kuingia ndani ya Ibada
Ilikuwa ni muhimu binti arudi haraka ili kutoa nafasi ya uwepo wa KM-A kwenye Ibada ya J2 hiyo

Kwa hiyo kulipuka pepo wakati Kiongozi wa zamu alipokuwa anatoa sala, kulikusudiwa kuivruga sala hiyo kukwepa uwezekano wa pepo kutoroka kabla hajasambaa kwa watu waliokuwa wanamhitaji na pia kupelekea Ibada iliyokuwa mbele kuendelea pasipo uwepo wa pepo

…………………….itaendelea TENA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA


UPNEXT

Mhusika analazimika kukatiza kwa muda maelezo haya ili arudi tena kwa MR X


Kuna kitu kingine ambacho MR X alifanya kuhusiana na BARUA YA BENKI na amabacho awali mhusika alikuwa hajaking’amua

STAY TUNED
 
ALPHARD YA MR X KANISANI KWENYE J2 MOJA

YALE YALIYOPO NYUMA YA GARI AINA YA TOYOTA ALPHARD


Kwenye Kitabu cha Ufunuo 1:8; Maandiko Matakatifu Biblia yanasema hivi: “Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.”

MAELEZO YA UTANGULIZI

Phonation ya neno hili “Alfa” ni exactly the same na ile ya neno “ALPHA”, huku maneno haya mawili yakiwa yanamaanisha vitu viwili tofauti ambavyo mtu anaweza kuvitofautisha tu kwa kutumia maandishi ila siyo sauti ya matamshi yake

Kwa kuzingatia Ufunuo 1:8; hapa maandishi “Alfa” yanamaanisha Mungu

Kwa hiyo maneno haya mawili ALPHA na ALFA, kama yakitamkwa yakiwa yako peke tu yake bila kuwa yameambatana na maneno mengine kwenye sentensi, maana zake zinaweza kutofautishwa kwa kutumia njia moja tu ya maandishi na si sauti (phonation)

  • Kutokana na hali hiyo, jina la gari “ALPHAD” linatengeneza KEY na jina “ALFA” huku jina ALFA likiwa linamaanisha MUNGU
  • Hiki ndiyo kitu kikubwa kilichopelekea MR X akamfuata mhusika na kumtoa nje ya Ibada kwenye J2 moja ya hivi karibuni, akimhitaji mhusika ampishe ili aweze kuondoa gari aina ya ALPHARD ambayo mhusika alikuwa ameiziba
Ikumbukwe kuwa mhusika aliiziba gari hiyo baada ya kuwa imeonyesha dalili zote kuwa ilikuwa ni ya mtu aliyekuwa amehudhuria Ibada ya pili, kitu ambacho kilipelekea mhusika ku-rule out kwamba kwa siku hiyo, mwenye gari hiyo alikuwa haina utaratibu kwa kutoka kabla ya Ibada ya pili kumalizika

Still; hata kama angekuwa anatoka kabla ya Ibada ya pili, kuna interval ndefu mno ilipita tangu pale magari ya watu wa Ibada ya kwanza yalipotoka na muda wa kuanza kwa Ibada ya pili; ambao ndiyo ule mwenye gari hiyo alihitaji kutoka

  • Kwa hiyo gari hii ilisubiria kwanza mpaka muda Ibada ya pili ulipoanza, halafu ndiyo ikaamua kutoka
  • Mwenye gari hiyo alikuwa ni MR X; na ndiye aliyemfuata mhusika ndani ya nyumba ya Ibada akimhitaji ampishe ili aweze kutoka
Mbinu hii iliyotumika kwa kutumia gari hii, ndiyo ile iliyorusha pepo kwenye phonation ya maneno yenye matamshi yaliyofanana ila kila neno likiwa na maana yake tofauti na pia likiwa linaaandikwa tofauti

Kwa hiyo, ikitokea mtu akarusha pepo kwenye sauti ya maneno haya, anakuwa umerusha pepo kwenye ATTRIBUTES ZA MUNGU, na hicho ndiyo kile ambacho MR X alifanya siku ya J2 hiyo kupitia gari hii aliyokuwa amepewa na mtu mwingine

Baada ya hapo, kule ofisini kulitokea kusanyiko laa chakula lilifanyikia kwenye chumba cha chai, na baada ya chakula, watu walianza kupewa MICROPHONE ili watitumie kuongea; kwenye chumba chenye ukubwa usisozidi mita 5 kwa tano ambamo hata mtoto mchanga akikohoa, mtu anaweza kusikia

Waliofacilitate zoezi hili la kuongea kwa kutumia microphone ni Mkuu wa major Unit (MMU) pamoja na “SIR”, na kwa kipindi hiki, ilikuwa ni mara ya pili kwa wawilihawa kufanya hivyo, huku mara ya kwanza ikiwa ni kwenye siku ya sikukuu wanawake iliyofanyika mwanzoni mwa March 2024

UHUSIANO KATI YA “ALPHARD” YA MR X NA MAKUSANYIKO MAWILI YA WANAIDARA YALIYOFANYIKA IDARANI KWAO MHUSIKA MWEZI ULIOPITA


Kile ambacho hasa klifanyika kwenye makusanyiko haya mawili yaani

  • Kusanyiko la chakula la siku ya J5 ya tarehe 18/09/2024
  • Kusanyiko la mtihani la J5 ya tarehe 25/09/2024 na baadaye siku hiyo, mhusika kwenda Benki ambako alienda akapewa maelekezo ya kuadnika barua
…………………….itandelea TENA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 24th OCTOBER 2024

UHUSIANO KATI YA “ALPHARD” YA MR X NA MAKUSANYIKO MAWILI YA WANAIDARA YALIYOFANYIKA IDARANI KWAO MHUSIKA MWEZI ULIOPITA


…………………….inaendelea

Kwenye kusanyiko la chakula la siku ya J5 ya tarehe 18/09/2024; lililofanyikia kwenye chumba cha chai, MICROPHONE, ilitumika wakati wa kuongea; na walioanza kuitumia ni “SIR” pamoja na Mkuu wa Major Unit (MMU)

“SIR” pia ndiyo yule ambaye alienda kununua chakula nje ya mazingira ya Taasisi au mtaani

Neno hili MICROPHONE ni neno ambalo linatengeneza KEY na neno jingine linaloitwa HOMOPHONE

Kwa hiyo matumizi haya ya MICROPHONE kwenye chumba kidogo kisichodi mita 5 kwa 5, yalilenga kuingia kwenye uhusiano wa KEYS zilizopo kati ya maneno ALFA ( MUNGU) na hili neno jingine ALPHAD ambalo lilitokana na jina la gari ya MR X kule Kanisani

Kutokana na fact hii; lengo hasa la kusanyiko la chakula hicho lilikuwa ni kushughulika na ATTRIBUTES ZA MUNGU

HOMOPHONES


Definition:

A homophone is a word that sounds the same as another word but has a different meaning and/or spelling e.g. “flower” and “flour


Kwa hiyo kusanyiko hilo la chakula MR X alirusha pepo kwenye homophones za kati ya ALFA na ALPHA na kwa kufanya hivyo, alifanikiwa kurusha pepo kwanye ATTRIBUTES ZA MUNGU

  • Baada ya hapo, kwenye siku ya J5 ya wiki iliyofuata ndiyo kukaw na kusanyiko la mtihani ambapo usambazaji rasmi ulifanyika siku hiyo
  • Ikumbukwe kuwa baada ya kusanyiko la mtihani, mhusika alienda Benki na ambako alienda akaelekezwa kuandika barua, kwa ajili ya ku-recover hela zake zilizopotea
Baaada ya kuwa amekamilisha kuiandika; mhusika aliamua kuipeleka Benki barua hiyo siku ya J3 ya wiki iliyofata, yaani tarehe 30/09/2024

Wakati alipokuwa yupo njiani na pia ndani ya mazingira ya taasisi, kwenye njia panda mojawapo, alikutana na MR X akiwa na gari; kitendo kilichopelekea MR X kumsalimia mhusika kwa kuwashakwa muda FULL LIGHT za gari lake (MR X) kama ishara ya mumsalimia mhusika

  • FULL-LIGHT ni neno linalotengeneza KEY na neno FULL-STOP, huku shina la maneno haya “FULL-” likiwa linaangukia kwenye HOMOPHONES
  • Kulikuwa na FULL-STOPS za kutosha tu kwenye barua hiyo aliyokuwa ameiandika kwa kutumia lugha ya Kiingereza, na ambayo kwa muda huo alikuwa nayo tayari kwenye gari akiipeleka Benki
JAMBO JINGINE LA MUHIMU KUHUSIANA MTU AMBAYE ALIKUWA AKIMBIP MHUSIKA KWA MFULULIZO KUPITIA NAMBA HII 0672659141

Namba hii tajwa ni namba ambayoo ilianaza kumbip mhusika kwa mfululizo, kuanzia J2 ya wiki ile ambayo fedha zake ziliibiwa

Baada ya kuona hivyo, mhusika alilazimika kuleta taarifa za namba hii humu jukwaani kupitia posts kadhaa ya kwanza kabisa ikiwa ni hii hapa #2,230

  • Huyu mtu aliwahi siku moja kusalimiana na mhusika kwa lugha ya kuzaliwa ya mhusika; lugha ambayo neno “NG’WA” ni popular sana na linatumika sana hasa wakati wa kusalimiana
  • Vile vile character hii (), almaaraufu kama, “apostrophe” huwa ni popular sana pia kwenye lugha ya Kiingereza
Kwa hiyo hadi kufikia siku hiyo ambayo mhusika alikutana njiani na MR X akiwa anapelekea barua Benki, huyu mtu wa kwanza alikuwa tayari ameshashughulika na CHARACTERS za barua ambayo mhusika alikuwa nayo siku hiyo

  • Ikumbukwe kuwa namba hii 0672659141 ilianza kumbip mhusika mfululizo kuanzia J2 ya wiki ile ambayo fedha zake zilipotea; yaani J2 ya tarehe 01/09/2024
  • Fedha ziliibiwa J5 ya tarehe 28/08/2024
MENGINE MACHCAHE YA MUHIMU KUHUSIANA NA SIKU AMBAYO MHSIKA ALILAZIMIKA KWENDA GARAGE KUREKEBISHA EXHAUST PIPE YA GARI LAKE ILIYOHARIBIKA BAADA YA KUHUJUMIWA KWENYE PARKING ZA OFISINI

Siku hiyo, mhusika alienda garage muda wa saa 11, na kwa mara ya kwanza namba hii 0672659141 ilianza kumbip tena mhusika kwa mfululizo; kwenye muda huo wa saa 11. Kabla ya hapo, namba hii ilikuwa inambipi ila si katika muda huo wa masaa ya saa 11

  • Mda mfupi kabla ya kwenda garage; akiwa bado yupo ofisini, Mnunuzi wa Gari (MWG) alifika ofisini kwa mhusiksa kuangalia kifaa kipya walichokuwa wamekinunua kutoka nje ya Nchi
  • Wakati ho OM-1 na OM-2 walikuwa wametoka kidogo
  • MWG ndiyo mtu pekee kwenye mazingira ya ofisini, ambaye huwa analitumia neno hili NG’WA
Hata hivyo, siku hiyo MWG hakuwa amekuja ofisini kwa mhusika kwa ajli ya neno hili; bali lugha kwa ujumla wake

  • Inaweza kuwa pia kuwa MWG alikuja kwa ajili ya vyote viwili isspokuwa utaalamu wake uligonga mwamba na hivyo kulazimika kutumia ALTERNAYE KEY, yaani mtu mwenye namba hii 0672659141
  • Baada ya mhusika kuwa amefika garage, strong evidence zilijitokeza zikinyesha kuwa MWG na mtu mwenye namba hii tajwa waliwasiliana na hivyo mtu mwenye namba hiyo kufahamu kuwa mhusika alikuwa yupo garage
STRONG EVIDENCE ZINAZOONYESHA DALILI KUWA BAADHI YA NDUGU ZAKE MHUSIKA WANAWEZA KUWA WAKO BLACKMAILED

Kuna baadhi ya ndugu zake mhusika ambao wanaonyesha dalili zote kuwa wako blackmailed na ushahidi wa kutosha mhusika anao kwa sasa

Ushahidi huu atauleta humu baadaye, ukijumuisha pia text messages za mawasiliano ya simu

  • Baadhi ya ya watu ambao si ndugu wa mhusika na ambao tayari ameshawabainisha kuwa wanaohusika na mtandao wa blackmail hizi ni OM-2 (office mate 2), na mhusika anao ushahidi kuhusiana na mtu huyu
  • Mwingine ambaye ni suscpet kwa sasa kwa maana kuwa mhusika bado hajapata ushahidi wa kutosha juu yake, ni MWG
STRONG EVEIDENCE ZINGINE ZA BAADHI YA WATOTO WAKE AMBAO BADO WANASOMA SHULE KUHUJUMIWA: MHUSIKA ANAOMBA MSAADA WA HARAKA SANA KATIKA HILI

Kule walipo watoto hao wanaosoma, kuna ushahidi wa kutosha na ulio wazi na mhusika hahitaji kuongea mengi juu ya hili la watoto wa shule

  • Mhusika anaomba msaada wa haraka sana katika hili ili tabia hii ikome, kama kuna uwezekano huo
  • OM-2 ni mhusika mkuu kwenye ku-coordinate hujuma hizi; yeye ndiye coordinator
  • Mbinu ambayo huwa anatumia ni kusikiliza maongezi ya mhusika anayofanya kwa simu, halafu baada ya hapo, hu-note muda wa mawasiliano hayo
Possibly baada ya hapo; OM-2 huuwasilisha muda huo kwa wataalamu fulani fulani alionao kwenye mtandao wake wa hujuma hizi, walio na uwezo wa kujua mhusika aliwasiliana na namba ipi kwenye muda husika

HITIMISHO

Pilika pilika zilizofanywa na watu hawa kuhusiana na barua hii ya Benki, zimefanywa ikiwa ni TEST SIGNAL kwa barua nyingine aliyowahi kuaiandika mhusika mwezi April 2024 na ambayo hadi muda huu, bado hajapata majibu yake

  • Anayehusika na barua hiyo ni Afisa Tawala wa Taasisi (ATT) aliyeingia madarakani Desemba 2022
  • Mbali na kuendelea kusubiria majibu, kwa sasa mhusika hana maelezo yoyote ya nyongeza juu yake; ila yapo ya kutosha na yatakuja baadaye
Maelezo hayo yatahusiana na hili swala la HOMOPHONES lililoelezwa hapo juu, na pia vile vile, maajabu ya ule mti mkavu uliokuwa umeanguka kule Kagera na hatimaye kuyanyuka tena J2 iliyopita

STAY TUNED!

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
CODE YA CMKML

…..inaendelea kutokea kwenye post hii hapa #2,270

WAUMINI WENGINE ALIOWAONA MHUSIKA WAKIPITA SIKU HIYO; ALIPOKUWA AMEPAKI KWA MUDA PEMBEZONI MWA BARABARA KWENYE MTI

Ni viongozi wawili wa Kanisani hapo, mmoja akiwa ni Kiongozi mwandamizi kwenye ofisi ya KM-A na mwingine Shemasi na pia mwalimu wa Somo la Uananfunzi na Maandiko

Walikuwa wawili kwenye gari model short chasis ambayo ilikuwa ikiendeshwa na Kiongozi mwandamizi

Utafiti kuhusiana na code waliyoiwakilisha watu hawa wawili bado unaendelea na hivyo mhusika atakuja kuuleta humu siku za baadaye kidogo

MAMBO MHUIMU ALIYOYAONA BAADAYA IBADA YA J2 HIYO YA TAREHE 12/10/2024 KUMALIZIKA

Akiwa anatokea washrooms; pale mwanzoni kabisa pembezoni mwa stage ya madhabahu ya Kanisa la zamani, alimuona binti aliyekuwa amebeba kitoto kizuri kichanga na ambacho kilikuwa kimelala usingizi

  • Kitoto hicho ni kilikuwa ni cha mama ambaye huwa anauza korosho getini, mke wa Kiongozi mwandamizi
  • Vile vile, kitoto hicho ni mojawapo ya watoto ambao mhusika hajabahatika kuwabeba hata mara moja kwa sababu muda mwingi, mama wa mtoto huwa anakuwepo getini akiuza korosho
  • Kwa hiyo ni very rare kwa kitoto hicho kukiona kikiwa kipo kwenye mazingira ya mikusanyiko ya waumini wengine
Kitoto hiki kilikuwa kimepakatwa na binti huyo ambaye pia ni mwimbaji wa kwenye kikundi cha Kusifu na Kuabudu

Pembeni mwa binti huyo kulikuwepo na watu wengine kadhaa, mmojawapo akiwa ni muumini ambaye pia ni Askari wa Security Guard; yule ambaye jina lake linatengeneza KEY na mtumishi wa Mungu aliiyehudumu kwenye Ibada kuu ya J2 hiyo

KWENYE J2 NYINGINE ILIYOFUATA YA TAREHE 20/10/2024


Wakati mhusika anaingia Kanisani, alimuona mama wa kitoto cha J2 iliyopita, akiwa anaingia kwenye gari la zamani la KM-A lililokuwa linajitayarisha kutoka nje ya uzio wa Kanisa

J2 hiyo mama huyo hakuwepo getini kama ambavyo imekuwa kawaida yake kwa siku za nyuma

Baada ya Ibada kumalizika, mhusika alikikuta kitoto hicho kikiwa macho kimepakatwa na kaka yake, wakiwa wamekaa pembezoni mwa ukuta wa jengo la Makao Makuu, huku wakiwa wamezibwa na gari la zamani la KM-A; gari ambalo wakati mhusika anaingia Kanisani asubuhi, alimuona mama wa kitoto akiwa anapanda

Baada ya mhusika kuwepo pale kwa sekunde kadhaa akiwa na watoto hao, aliongezeka muumini mwingie ambaye naye pia ni Security Giuard; yule ambaye natarajia kufunga ndoa hivi karibuni baada ya mwezi ujao

Haya ndiyo yale ya muhimu yaliyojiri kwenye J2 ya wiki jana

VINGINEVYO KWENYE J2 ILE NYINGINE YA NYUMA KABISA, YAANI J2 YA TAREHE 29/09/2024

Hii ilikuwa ni J2 ya kwanza ambayo kwa mara ya kwanza waumini wa Kanisa A walipaki ndani ya uzio wa Kanisa; baada ya ujenzi wa tiles kuwa umekamilika

Baada ya ujenzi huo kukamilika, Kanisa limependeza sana, kazi nzuri sana ya waumini wa Kanisa A, na pia kazi nzuri sana ya mafundi waliotumika kuweka tiles hizo

  • Kwa ujumla kazi za ujenzi za Kanisa A huwa ni nzuri mno; assuming gharama zake huwa haziko overshoot
  • Kama gahrama zake huwa haziko overshoot, kazi za ujenzi za Kanisa A ni nzuri mno
Kwenye J2 hiyo ya kwanza ambayo waumini walipaki ndani ya uzio wa Kanisa huku kukiwa na tiles; baada ya mhusika kuwa ameingiza gari lake ndani ya uzio wa Kanisa, alielekezwa kupaki usawa wa ngazi za kwenye lango kuu la kuingilia Kanisani

  • Wakati huo tairi moja la gari lake; yaani lile la nyuma kulia, lilikuwa limepunguzwa upepo
  • Upepo huo ulipunguzwa usiku wa Jumamosi ya kuamkia J2 hiyo, garii ilipokuwa imepaki nyumbani
Kwa hiyo asubuhi ya J2 hiyo mhusika aliingia Kanisani huku tairi moja likiwa na upepo pungufu, na hivyo alipotoka Kanisani, alilazimika kwenda kuongeza upepo

BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEONGEZA UPEPO KWENYE MOJAWAPO YA TAIRI ZA GARI LAKE

Ilipowadia J2 nyingine iliyofuata ya tarehe 06/10/2024; mhusika alizikanyaga TILES MPYA za Kanisani akiwa ana UPEPO MPYA kwenye mojawapo ya tairi za gari lake

Ilipowadia tena J2 nyingine ya TAREHE 13/10/2024, mhusika aliingia ndani halafu baadaye tena akarudishwa nje na kwenda kupaki karibu na mti na hivyo kupelekea uwepo wa SEQUENCE ambayo tayari ameshailezea hapo juu kupitia posts zilizotangulia

UHUSIANO TENA KATI YA UPEPO HUU MPYA NA BINTI MGENI MWENYE PEPO ALIYEFIKA KANISANI HAPO J2 HIYO


Binti aliyefika kanisani J2 hiyo akiwa na pepo na hatimaye PEPO HUYO KULIPUKA KWA MAIGIZO MWANZONI MWA Ibada, alikuwa na uhusiano na UPEPO MPYA ambao mhusika aliwahi kuujaza kwenye mojawapo ya tairi za gari lake kwenye J2 ile iliyokuwa imepita nyuma alipokuwa anatokea kanisani

Kwa upande wa Kanisani, kwenye asubuhi ya J2 ya tarehe 06/09/2024 na ambayo TILES MPYA zilianza kutumika, ilikuwa imetarajiwa kuwa wakati mhusika anaelekea Kanisani, angepitia garage na kuongeza upepo

  • Hata hivyo, mhusika hakufanya hivyo kwenye J2 hiyo wakati wa kwenda Kanisani, bali wakati wa kurudi kytoka Kanisani
  • Kwa hiyo kwenye sehemu ile aliyoelekezwa kupaki J2 hiyo kule Kanisani, upepo uliokuwa kwenye gari lake haukuacha SIGNAL
Sehemu hiyo aliyopaki J2 hiyo, ni sehemu muhimu sana na ambayo waumini wengi huwa wanapita; na hvyo kulihitajika uwepo wa signal mahali pale

Baada ya mhusika kufika tena Kanisani siku ya J2 iliyofuata huku akiwa tayari ameshajaza UPEPO MYA; mhusika aliagizwa kuingiza gari ndani ya uzio wa Kanisa kwa kufuata SEQUENCE fulanimaalumu

Baada ya kuwa ameikamilisha SEQUENCE iliyohitajika, bado tena alimkuta SHOKA akiwa yupo standby akimsubiria, na SHOKA kumlazimisha mhusika kupaki sehemu ileile aliyowahi kupaki J2 ya nyuma; alipokuwa ana UPEPO WA ZAMANI

Kwa hiyo baada ya kuwa amejaza UPEPO MPYA; mhusika alilazimishwa kupaki sehemu ile ile aliyowahi kupaki kwenye J2 ile ambayo hakuwa na upepo mpya

Kiilichokuwa kinahitajikwa kwenye sehemu hiyo aliyopkai J2 hiyo; ni UPEPO MPYA

HTIMISHO

TILES MPYA
za Kanisani, zilitakiwa ziendane na UPEPO MPYA kwenye tairi za gari la mhusika

  • UPEPO MPYA kwenye mojawapo ya tairi za gari la mhusika, ndiyo ule uliopelekea binti mgeni mwenye pepo kuwepo Kanisani J2 ya yarehe 13/10/2024
  • UPEPO MPYA huo ndiyo ule ambao ulioplekea pia kuwepo kwa SEQUENCE ambayo mhusika tayari ameshailelezea kwa kina hapo juu
Sequence hii ya J2 hiyo, inapishana kidogo tu na ile ya siku ambayo gari jipya la KM-A liliwasili Kanisani, J2 ya tarehe 30/06/2024; tairi za mhusika zilikuwa na upepo mpya pia siku hiyo

Haya ndiyo yale yanayofanyika hapo Kanisa A chini ya KM-A; na yale ambayo ni makubwa zaidi ya haya “IS YET TO COME”

Endeleeni kutega masikio, mtayasikia

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 28th OCTOBER 2024
KUHUSIANA NA MTUMISHI WA MUNGU ALIYEMUAMURU MHUSIKA KURUDISHA TENA GARI LAKE NJE YA UZIO WA KANISA BAADA YA KUWA AMELIINGIZA NDANI, J2 YA TAREHE 13/09/2024

HAPO BAADAYE, KAMA KUNA UWEZEKANO, MAMLAKA ZA NCHI ZINAWEZA KUMTAFUTIA ZAWADI NZURI.

HII NI KWA SABABU AMEKUWA MTU PEKEE AMBAYE AMETUMIWA NA MUNGU, KANISANI, HAPO KATIKA NAMNA AMBAYO HAYUPO MTU MWINGINE PALE KANISANI, AMBAYE AMESHAWAHI KUTUMIWA NA MUNGU MITHILI YA ALIVYOTUMIWA YEYE

MUNGU HUWA ANAWATUMIA WATU KWA NAMNA ANAVYOPENDA YEYE, N.A. KATIKA NJIA AMBAYO SI LAZIMA I WE NI YA KUMFURAHISHA KILA MTU

TAARIFA ZA NAMNA AMBAVYO AMETUMIWA NA MUNGU, ZITAWAJIENI MUDA SIYO MREFU

HUYU ANASTAHILI ZAWADI HATA KUTOKA KWA WAUMINI WENZAKE BINAFSI AMBAO HUWA WANAFIKA HAPO KANISANI KWA AJILI YA IBADA TU NA SI MAMBO MENGINE


In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BARUA YA BANK PART 2

KILE AMBACHO HASA KILIMTOKEA MHUSIKA KANISANI J2 YA TAREHE 13/10/2024

KIOINGOZI MKUU WA KANISA (KM-A) ALIKUWA ANASHUGHULIKA NA MAANDIKO MATAKATIFU BIBLIA (MMB) KABLA YA MHUSIKA KWENDA BENKI KUKABIDHIWA BARUA YA MAJIBU YAKE


Maandalizi hayo ya KM-A, yame-trigger mambo mengine mazito zaidi ambayo mhusika anaweza kuyaelezea kutokea mwaka 2006

KM-A alikuwa anashughulika na MMB

UTAFITI ULIOKAMILIKA: WATUMISHI WAWILI WALIOONEKANA WAKITOKA NJE YA UZIO WA KANISA WAKIWA WAWAILI KWENYE

Kama mhusika alivyoahidi, utaftitI kuhusiana na watumishi wawili wa Mungu walioonekana wakitoka nje ya uzio wa Kanisa kwenye J2 husika umeshakamilika

Hii ni J2 ambayo mhusika baada ya kuingia ndani ya uzio wa Kanisa, alirudishwa tena nje kwa sababu kulikuwa na watu ambao bado walikuwa wananedelea kutoka nje ya uzio huo

  • Mojawapo ya watu hao, ni Kiongozi Mwandamizi (tumwite KMw) pamoja na Mwalimu wa Somo la Uanafunzi na Maandiko
  • KMw alikuwa anaendesha gari short chasis, inayofanana sana na gari la SENIOR MSTAAFU WA KIKE (SMKE); isipokuwa tofauti tu ni kwamba lile la SMKE siyo short chasis
Namba ya usajili ya gari alilokuwa anendsesha KMw, inafanana na namba ya usajili ya gari la mhusika, isipokuwa herufi mbili tu

  • Hii ninamaanisha kuwa kati ya characters 7 zilizopo kwenye namba za usajili za magari, characters 5 za gari la KMw, zimefanana na zile za gari la mhusika
  • Baada ya mhusika kuwa amerudishwa tena nje, viongozi hawa wawili ndiyo wale waliotangulia kutoka nje halafu baada ya hapo wengine walifuata
Kilichotokea ni kwamba hawa wao walitoka na kuelekea Kushoto mwa gate la Kanisa, wakati wengine wote waliobaki, walielekea Kulia

SIFA ZA WATU HAWA WAWILI

Mwalimu wa somo la Uanafunzi na Maandiko, jina lake la kwanza limefanana na mojawapo ya majina ya AUTHORS WA BIBLIA

Vile vile yule Kiongozi Mwandamizi; jina lake la kwanza limefanana (KEY) na jina la kwanza la mtu ambaye jina lake la pili anaitwa GATES

  • Kwa hiyo, kabla ya mambo mengine yote, PAIR ya watu hawa ilitoka kwanza; ikiwa wanashughulika na BIBLIA pamoja na GATE la kuingilia ndani ya uzio wa Kanisa; halafu baada ya hapo mambo mengine ndiyo yaliweza kuendelea
  • Mambo hayo yaliyojiri mhusika tayari ameshayalezea humu kupitia CODE YA MKOMBOZI MLOLKOZI (MKML)
Haya sasa ndiyo yalikuwa maandalizi ya KM-A kwa ajili ya majibu ya barua ya mhusika ambayo ilikuwa bado hajaenda kuichukua Benki

KILE AMBACHO HASA KILITOKEA BAADA YA MHUSIKA KWENDA KUCHUKUA MAJIBU YA BARUA YAKE BENKI SIKU YA ALHAMIS YA TAREHE 24/10/2024

Akiwa yupo ndani ya mazingira ya Benki, mhusika alienda akakutana na PAIR nyingine ya watu inayofanana exactly na ile aliyowahi kukumbana nayo kwenye J2 tajwa ya mkasa wa kutolewa nje

Mmojawapo wa watu hao alikuwa ni Afisa wa Benki, ambaye naye jina lake linatengeneza KEY na jina la AUTHOR mwingine WA BIBLIA

Huyu ndiye yule ambaye wiki kadhaa zilisopita, alimwelekeza mhusika kuandika barua ya kuomba fedha zake zirudishwe; kwa maelezo kuwa alihitaji kuyapata maelezo ya mhusika kwa maandishi kwanza halafu baada ya hapo ndiyo swala la kurudishwa fedha zake liweze kushughulikiwa

Maelezo muhimu kuhusiana na details za barua aliyoipokea mhusika kutoka Benki, yatafuata muda mfupi ujao

MTU WA PILI ALIYEKUTANA NAYE BENKI; MTEJA WA BENKI


Vilevile, muda mfuspi baada ya mhusika kuwa ameingia Benki, aliingia mtu mwingine mteja ambaye naye pia vile vile, jina lake la kwanza linatengeneza KEY na jina la kwanza la mtu anayeitwa GATES

Mbali na hilo kikazi, mtu huyu ana uhusiano na neno la Kiingereza ambalo verb yake ni PROPHESIZE

  • Mara ya mwisho mhusika na mtu huyu walionana ilikuwa ni Jumamosi ya tarehe 17/09/2016; zaidi ya miaka minane iliyopita
  • Walionana kwenye mazingira ya Benki ya CRDB Mlimani City, kule ilikokuwa zamani, kabla hajihamia kule ilipo ssasa
Siku hiyo mhusika alifika Benki kwa ajili ku-deposit hela kwenye Akaunti ya waathirika wa Tetemeko la Kagera lililokuwa limetokea Jumamosi ya wiki iliyokuwa imepita, yaani tarehe 10/09/2009

  • Mhusika alikuwa ameitikia wito huo uliokuwa umetolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Mbali na hilo, mtu huyu wanaongea lugha moja ya kuzaliwa na mhusika, na pia wanatoka vijiji jirani ila vilivyo kwenye wilaya tofauti
Zaidi ni kuwa kijiji anachotoka mtu huyu, mojawapo ya herufi zake ni NG’HA, na hivyo jina la kijiji hocho linamiliki character hii (‘) au kwa jina jingine apostrophe

BAADA YA MHUSIKA KUTOKA BENKI, MHUSIKA ALIENDA AKAKUTANA NA VERB NYINGINE INAYOITWA PROFESSIZE

Maneno haya mawili PROPHESIZE na PROFESSIZE ni HOMORPHONES; yana matamshi sawa huku yakiwa yamebeba maana tofauti

Baada ya kutoka Benki, akiwa bado yupo kwenye parking za gari za pale Mlimani City anajiandaa kuwasha gari iali ili atoke; alimuona SMKE akiwa yupo GETINI, anachukua KADI kwenye machine zile za kutolea KADI za parking na alikuwa anaendesha gari ile inayofana nay a KMw

Ikumbukwe kuwa wakati mhusika anatoka ofisini siku hiyo, alikutana na MR X maeneo ya njia panda na wakati anarudi, alimuona SMKE akiwa yupo getini

KABLA MHUSIKA HAJAENDELEA ZAIDI: KULE AMBAKO MHUSIKA ANATRCAE KUWA CHANZO CHA MATUKIO HAYA

MAELEZO YA UTANGULIZI


Mnamo Julai 2006, mwanafunzi aliyekuwa anasoma idarani kwao mhusika, alihitimu masomo yake ya shahada ya kwanza mwaka huo, na baada ya hapo aliajiriwa hapo idarani

Wakati mwanafunzi huyu anaajiriwa, uongozi wa Idara ulikuwa aidha chini ya SMKE au chini ya yule aliyefuata baada ya SMKE; yule aliyehi kustaafu mwaka 2012

  • Baada ya mwanafunzi kuwa amebadilika na kuwa mfanyakazi mpya, walianza kukaa ofisi moja na mhusika, na baada ya muda mfupi kupita, mfanyakazi huyu mpya alipata nafasi ya kwenda kusoma nje ya Nchi; Ulaya
  • Coincidence moja nzuri iliyojitokeza kipindi hicho ni kwamba kwenye SECTION (achilia mbali idara) aliyokuwa amepata nafasi ya kwenda kusoma; ndiyo SECTION aliyowahi kusoma mhusika miaka kadhaa iliyokuwa imepita nyuma
BAADA YA KUONDOKA KWENDA MASOMONI

Mwanafunzi huyu alifanikiwa kupata pesa na kununua gari aina ya BMW

  • Hizi gari BMW wakati mwingine huwa zinakuwa nicknamed BENJAMIN WILLIAM MKAPA (RIP); mtu ambaye alikuwa ni macho ya Nchi mastaafu ya awamu ya tatu (tumwite BWM-RIP)
  • Gari hii hadi leo bado ipo idarani huku kwa mara chache, ikiwa inatumiwa na mmiliki wa source code ya GENERATOR, ila mwenye gari kwa sasa hayupo tena idarani, alishahamia sehemu nyingine
ILIPOFIKA MWAKA 2019

Kutokana na kuwa BWM-RIP aliwahi kuwa MWANDISHI wa habari, pale ilipofika mwaka 2019 aliandika Kitabu (AUTHOR) ambacho kilihaririwa (EDIT) na MKUU WA TAASISI YA MHUSIKA ALIYESTAAFU DESEMBA 2017


View: https://www.youtube.com/watch?v=Ulwrk7m-CuU


Utafiti wa mhusika unamuonyesha kuwa kuanzia pale AUTHORS NA EDITORS WAKAWA WAMEPIGWA RUNGU LA KIROHO, ambalo kwa sasa huwa linakuwa renewed tu kupitia MADHABAHU YA KANISA A

Chances ni kwamba BWM-RIP hakuwa amedhamiria mwenyewe kuanndika kitabu hicho isipokuwa inaweza kuwa alikuwa triggered; kwa sababu kulitarajiwa kuwa baadaye kungekuwa na plan nyingine nyuma ya uandishi wake huo


Mbali na hayo, kwenye idara yao mhuiska kwa sasa SMKE ndiye anayemiliki cheo cha EDITOR

TUKIO JINGINE TENA PALE KANISA A ILIPOFIKA MWAKA 2020

Kiongozi Mwandamizi wa KM-A almaarfu kama Kinara wa Matangazo (KWM) alibahatika kupata cheo kipya kilichotokana na UTEUZI KUTOKA MACHO YA NCHI (RIP) YALIYOKUWA MADARAKANI KIPINDI HICHO

Kuanzia pake KWM akwa haishi sababu za kupandisha juu Madhabahuni; hali iliyopelekea hadi mhusika kufikia hatua ya kumbatiza kiongozi huyo jina jipya la KINARA WA MATANGAZO (KWM)

Kwa mfano halisi kati ya matukio mengi aliyowahi kufanya, kwenye J2 moja, akiwa juu madhabahuni, KWM aliwahi kufikia hadi hatua ya KUTANGAZA AJALI KWA MTU AMBAYE HAKUWA AMEPATA AJALI

  • Kumbe pasipo waumini wa Kanisa A kujua, KWM alikuwa amepata cheo kilichompelekea kuwa anayabomoa MMB kupitia kitabu cha WAAMUZI (JUDGES)
  • Hii ndiyo sababu iliyokuwa inapelekea KWM kuwa anapandisha juu Madhabahuni mara kwa mara na matukio mengi kuhusiana na mtu huyu, mhusika tayari alishayaleta humu jukwaani kuipitia post za nyuma
Hata hivyo maelezo haya kuhusiana na KWM ni kwa kifupi tu; maaelezo ya kina yatafuata baadaye

UPNEXT: DETAILS ZA BARUA YA BENKI YA MAJIBU YA MHUSIKA

………………inaendelea
 
BARUA YA BANK PART 2

………inaendelea

MAANDIKO MATAKATIFU BIBILIA (MMB): BAADHI TU YA AUTHORS NA VITABU VYA BIBLIA

BARUA ZA PAULO


  • Barua kwa Waroma (Waraka kwa Warumi) (Rum)
  • Barua ya Kwanza kwa Wakorintho (1 Kor)
  • Barua ya Pili kwa Wakorintho (2 Kor)
  • Barua kwa Wagalatia (Gal)
  • Barua kwa Waefeso (Efe)
  • Barua kwa Wafilipi (Flp)
  • Barua kwa Wakolosai (Kol)
  • Barua ya Kwanza kwa Wathesalonike (1 The)
  • Barua ya Pili kwa Wathesalonike (2 The)
  • Barua ya Kwanza kwa Timotheo (1 Tim)
  • Barua ya Pili kwa Timotheo (2 Tim)
  • Barua kwa Tito (Tit)
  • Barua kwa Filemoni (Flm)
BARUA NYINGINE
  • Barua kwa Waebrania (Ebr)
  • Barua ya Yakobo (Yak)
  • Barua ya Kwanza ya Petro (1 Pet)
  • Barua ya Pili ya Petro (2 Pet)
  • Barua ya Kwanza ya Yohane (1 Yoh)
  • Barua ya Pili ya Yohane (2 Yoh)
  • Barua ya Tatu ya Yohane (3 Yoh)
  • Barua ya Yuda (Yud)
Source: UPNEXT: DETAILS ZA BARUA YA BENKI YA MAJIBU YA MHUSIKA
 
DETAILS ZA BARUA YA BENKI YA MAJIBU YA MHUSIKA

MAELEZO YA UTANGULIZI:

KUNA MTU PALE BENKI AMBAYE ANATENGENEZA MAZINGIRA YA KUMCHONGANISHA MHUSIKA NA BENKI IKIWA NI PAMOJA NA SP WA MTANDAO WA SIMU WA MHUSIKA


Mtu huyu anaweza kuwa ndiye Branch Manager (BM) halisi; na hivyo inaonekana kuwa binti ambaye mhusika aliwahi kuongea siku ya tukio la kupotea fedha zake, siyo yule ambaye ni BM

Barua ya majibu aliyoipokea mhusika kutoka Benki imesainiwa na ofisa ambaye hana jina;na hivyo haina jina la mtu aliyeiandika (AUTHOR)

  • Mbali na hilo, majibu ya barua hiyo ni copy and paste ya SMS ambayo mhusika aliwahi kuileta humu jukwaani; huku kitu pekee kilichobadilika kikiwa ni lugha tu
  • Kwenye majibu yale ya awali ya SMS na ambayo mhusika hakuwahi kukubaliana nayo, baada ya mhusika kuipata SMS hiyo iliyokuwa imetoka kwa mtu ambaye jina lake linatengeneza KEY na neno JUMA, mhusika alimuomba BRANCH MANAGER (BM) ampatie barua ya kumpelekea SERVICE PROVIDER (SP) wa mtandao wa simu, kama uthibitisho kuwa BM alishindwa kuzirudisha hela hizo kwa sababu baadaye wao SP waliziachia na hivyo mwenye simu kuweza kuzichukua kabla hawajazirudisha
Hata hivyp BM hakufanya hivyo na badala yake, mtu mwenye jina linalofanana na jina la AUTHOR WA BIBLIA ofisini kwa MB, aliagizwa amshauri mhusika kuwa yeye ndiye aanze kuandika barua

Baada ya mhusika kuandika barua huku akiwa ameahidiwa kuwa pesa zake zingerudishwa, BM alibadilika na hivyo kurudisha majibu yale yale ya awali ambayo mhusika alikuwa hajakubaliana nayo, huku barua hiyo ikiwa haina jina la mtu aliyeiandika (AUTHOR)

Kitendo cha mhusika kushauriwa kurudi tena kwa SP huku akiwa na barua ya aina hii ambayo haina hata jina la mtu aliyeisaini, ITAHESBIKA KUWA NI FUJO OFISINI KWA WATU na anaweza kuchukuliwa hatua za kisheria AU HATA KUPIGWA AKAUMIZWA

Inavyoonyesha ni kwamba BM ana mawasiliano na watu ambao wamepanga kufanya kitu kisichokuwa cha kawaida kwa mhusika

MUHIMU CHA KUKUMBUSHIA KUHUSIANA NA KILE KILICHOWAHI KUFANYIKA BENKI SIKU YA KWANZA MHUSIKA ALIPOKWENDA KUWAJULISHA JUU YA FEDHA HIZO

MOSI:
Kwa kuanzia, Branch iliwasiliana na watu wa Benki Makao Makuu na ambao walithibitisha kuziona fedha hizo zikiwa bado zipo salama

PILI:
Baada ya hapo, watu wa System (IT) ya Bank nao pia wali-confirm kwamba fedha hizo zilikuwa hazijachukuliwa kwa sababu akaunti iliyokuwa imezipokea kimakosa; SP aliwahi kuifunga

Baada ya Benki kuwa wamethibitisha kuwa hazikuwa zimechuliwa na kwamba walikuwa na uwezo wa kuzirudisha, ndiyo pale walipomruhusu mhusika aondoke ili akasubirie kulingana na muda waliokuwa wamempangia

Kwa hiyo mhusika aliondoka Benki katika mazingira hayo; huku Benki wakiwa tayari wameshamthibitishia hayo aliyoyaeleza hapo juu

Kama fedha hizo zilikuja kuchukulia baadaye, kufuatana na mazingira haya, wenye mamlaka za kuzifuatilia kwa SP ni wao Benki na kama SP aliziachia zikachkuliwa; Benki vile vile ndiyo wale ambao wanakuwa bado wako vested na power hiyo na si mhusika

Otherwise, BM anatafuta namna ya kumchonganisha mhusika na Taasisi hizi ili aonekane mbaya; na possibly ziweze kumchukulia hatua za kisheria

Hizi taasisi ni tasisi kubwa na muhimu mno kwa nchi hyetu

  • Benki ni Taasisi moja kubwa mno
  • SP wa mitanadao wa simu nao vile vile ni Taasisi kubwa mno, na tena za Kimataifa
Kwa hiyo, mhusika hawezi ku-deal na Taasisisi hizi kama layman, isipokuwa kuna mtu as an individual; amejitokeza akiwa anajaribu kumtengenezea mhusika mazingira ya kutaka afanye hivyo, kitu ambacho hakiwezi kutokea

OBSERVATION NYINGINE MUHIMU ALIYOIFANYA MHUSIKA PALE BENKI

Possibly, kijana ambaye alimhudumia mhusika siku ya tukio, ana pacha wake ambaye wamefanana copy right, isipokuwa pacha wake ana umbo kubwa kiasi kumzidi yeye

  • Pacha wa kijana huyu hafanyi kazi Benki ila alikuwepo Benki siku ambayo mhusika alipeleka barua
  • Kwenye siku hiyo vilevile, kijana yule ambaye ni mfanyakazi wa hapo Benki, yeye hakuwepo mazingira ya Benki au alikuwa ndani, na hivyo aliyeonekana pale benki muda huo ni yule pacha ambaye si mfanayakazi wa Benki
PACHA WENGINE WA AINA HII WALIOPO MAZINGIRA YA MHUSIKA

Mabinti wenye umri mkubwa kiasi,na ambao ni pacha wanaweza kuwa wapo Kanisani pia, isipokuwa mhusika hajawahi kuwaona wakiwa wote wawili kwa pamoja na kwa wakati mmoja

Kile ambacho kimekuwa kikitokea ni kwamba mabinti hawa huwa wanavaa nguo zilizofanana na huwa wanapishana na mhusika kwenye mazingira ya pale Kanisani kila mmoja kwa wakati wake

Mbali na Kanisani, angalau ofisini kwake mhusika kuna watu wa aina hii ila ambao si waajiriwa

Zaidi ya yote, muumini yule aliyekuwa yupo kwenye mti siku mhusika alipoamuriwa kurudisha gari nje, anao watoto wadogo wawili ambao wamefanana kiasi cha baadhi ya watu kuwadhania kuwa nao pia ni pacha

UHUSIANO KATI YA WATU HAWA WANAOFANANA SURA KAMA PACHA NA SMKE

TUKIO LA MHUSIKA KUPOTEZA FUNGUO ZA OFISI AKIWA YUPO PEKE YAKE OFISINI LILILOWAHI KUTOKEA MWAKA JANA 2023


Siku mhusika alipopoteza funguo, Askari aliyefika kuja kucheki usalama wa ofisi na hatimaye kuifunga kwa kufuli la Polisi, alifanana exactly na mtu mwingine ambaye ni mfanyakazi wa Taasisi

Mhusika na ofisa huyu walionana na pia kufahamiana siku hiyo kwa mara ya kwanza

  • Siku hiyo SMKE alikuwepo ofisini
  • Code hii ya watu waliofanana sura, ni CODE ambayo amekuwa akiitumia SMKE kushughulika na lugha kufuatia yeye (SMKE) kufanana na mtu mwingine ndani ya mazingira ya Taasisi, ambaye ni mrtaalamu wa lugha
Hki ndiyo kile kilichopelekea vile vile SMKE kuwepo Mlimani City siku mhusika alipokuwa amepeleka barua Benki kwa sababu tayari mhusika alikuwa amekutana na mtu mwingine kwa mara ya kwanza pale Benki, possibly; akiwa ni pacha wa yule ambaye ni mfanyakazi wa hapo Benki

Siku hiyo, SMKE alikuwa ame-llink na KMw kwa kutumia gari alilokuwa anaendesha na hivyo wakati mhusika anamuona akiwa anachukua kadi pale getini, alikuwa anarusha pepo kwenye GATES

……………….itaendelea TENA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
INTERCEPTING NEWS!!!!!!
KUHUSIANA NA MWALIMU AMBAYE KWA MARA YA KWANZA MHUSIKA ALIPANGIWA KUFUNDISHA NAYE KOZI YA UDONGO WAKATI WA MHULA WA KWANZA MWAKA JANA, HALAFU BAADA YA MUDA MFUPI YAKATOKEA MAPOROMOKO YA UDONGO KULE KARTESH


MWALIMU HUYO ANA JINA MOJA LINALOFANANA NA. LA MTUME MAARUFU WA YESU MWANDISHI WA VITABU VYA KWENYE BIBLIA

MWALIMU HUYO VILEVILE
----NI NAMESAKE WA KIONGOZI MKUU WA KANISA A ( KM-A)
----NI NAMESAKE WA SWAHIBA WA KARIBU SANA WA MNUNUZI WA GARI NA KWA JINA LILE LILE AMBALO LINAFANANA NA LA KM-A

MBALI N.A. HAYO, CHANCES NI KWAMBA INAWEZA KUWA MWALIMU HUYO ALIKUWA NI WAKUAZIMA KUTOKA NJE YA TAASISI, NA POSSIBLY SI MMOJA WA STAFF WA KWENYE ILE IDARA NYINGINE AMBAYO ILIUNGANA NA ILE YA MHUSIKA NA KUUNDA MAJOR UNIT MOJA

KUNA DALILI STRONG ZINAONYESHA KUWA KUNA BAADHI YA STAFF WANAKWEPANA NA MKUU WA IDARA

MBALI NA HAYO, INAONYESHA MWI HAYUPO IDARANI NA PASIPO KUWA NA NOTIFICATION, HALAFU BAADA YA KUTOWEKA, KUNA WATU WAMERUDI OFISINI AMBAO MARA ZOTE HUWA WANAKUWEPO TU MKUU WA IDARA ANAPOKUWA HAYUPO

MMOJAWAPO WA WATU HAO NI MU-EUROPE, NA AMERUDI SAFARI HII AKIWA MKIMYA HATA HAWEZI KUSALIMIA KAMA ILIVYOKUWA MWANZO

AKIFIKA ANAINGIA COMPUTER ROOM TU PAMOJA NA YULE SWAHIBA WAKE WA INTERNSHIP

MBALI NA HILO, OM-1 AMBAYE ALIWAHI KUSAFIRI KWA KIPINDI KIREFU, ALIRUDI OFISINI H IVI KARIBUNI NA WIKI JANA YOTE NZIMA ALIITUMIA OFISINI, LAKINI ILIPOFIKA JUZI J3 YA TAREHE 28/09/2024, ALIONDOKA TENA OFISINI HUKU AKIWA AMEKOMBA KILA KITU KILICHOKUWA KWENYE MEZA YAKE,AKIACHA MEZAPEKE YAKE

MHUSIKA HATA HAJAELEWA NI KWA NINI MTU HUYU AMEONDOKA OFISINI

UFUNGUO WA OFISI ALIONAO MHUSIKA NI ILE UNAOWEZA KUFUNGUA TU GETI NA SI KUFUNGA

KWA HIYO KWA SASA, MHUSIKA ANAFUNGA MLANGO WA NDANI TU. NI KWA SABABU HATA OM-2 NAYE PIA HAYUPO, ALISAFIRI NA ANATARAJIWA KUWEPO TENA OFISINI KUANZIA J3 YA WIKI IJAYO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 30th OCTOBER 2024

BARUA YA BANK PART-2

…………….inaendelea

KULE AMBAKO HASA MAMBO YA AINA HII YALIANZIA

MAELEZO YA UTANGULIZI

Namba ya simu ya mtu ambaye fedha za mhusika million 2.5 zilikuwa diverted na kuelekea huko
, na namba ya simu ya mhusika ni HOMOPRHONES kwa maana kuwa matamshi yake yamefanana

Hii ni kutokana na ukweli kuwa namba hizi zinatofautiana tarakimu moja tu na hivyo kupelekea matamshi yake kufanana

UHUSIANO KATI YA BARUA YA BANK NA NENO “ALPHA” IKIWA NI PAMOJA NA “MTI WA MAAJABU” ULIONYANYUKA WENYEWE HIVI KARIBUNI HUKO KAGERA, BAADA YA KUWA UMEANGUKA KWA MUDA MREFU SANA

Kama mhusika alivyowahi kudokeza kwenye post yake hii #2,262 hivi karibuni, tukio la mti huo lilikuwa ni la kutengeneza

Utafti wa mhusika unamuonyesha kuwa MTI huu una uhusiano na neno ALPHA; na uhusiano huu unatokana na KEYS za neno MWALIMU

Pale Kanisani kuna MWALIMU wa mhusika (tumwite MWh), ambaye kwenye J2 kadhaa zilizopita, mhusika akiwa anatokea washroom, aliwahi kumkuta akiwa amesimama na muumini mwingine ambaye aliwahi kuwepo pale Kanisani, ila kwa sasa inaonekana hayupo (muumini) tena, possibly amehamia sehemu nyingine

MWh anatokea Kanda ya Ziwa na hivyo anatengeneza KEY na MTI ulioanguka kule Kagera kwa kupitia uhusiano huo

Muumini yule ambaye walikuwa pamoja na MWh yeye ana baadhi ya sifa zifuatazo
  • Ni MWALIMU by profession
  • Anafanya kazi kwenye Taasisi inayoitwa ALPHA
Mwalimu huyu vile vile, alikuwa ni muumini wa Kanisa A ila inavyoonyesha kwa sasa possibly amehamia kwenye Kanisa jingine kutokana na sababu zifuatazo

  • Ilipita takribani miezi sita au zaidi pasipo muumini huyu kuonekana pale Kanisani, na baada ya hapo, alikuja akaonekana mara moja tu na hatimaye kupotea tena hadi leo
  • Muumini huyu alionekana Kanisani siku ya J2 ya tarehe 11/08/2024
Kutokana na maelezo hayo hapo juu, muumini huyu alionekana siku ya tukio ambalo mhusika aliwahi kulileta humu jukwaanikupitia post hii hapa #2,162 huku post hiyo ikiwa inawataja wafuatao
  • MWh anatajwa kama MS-WIZA
  • Muumini huska anatajwa kama “TREE”
Wote mhusika na muumini huyu wanaongea lugha moja ya kuzaliwa

  • Siku muumini huyu alipoonekana Kanisani, walionana na mhusika, na maelezo husika yapo kwenye post hii #2,162
  • Wakati wanaonana na mhusika, muumini huyu alikuwa anaongea na MWALIMU wa mhusika (MWh)
UHUSIANO WA MUUMINI HUYU NA NENO ALPHA, IKIWA NI PAMOJA NA BIDHAA AMBAZO ZIMEKUWA ZIKIUZWA GETINI MWA KANISA A

Muumini huyu alikuja maalumu kwa ajili ya ku-renew code inayotumia HORMOPHONES

Kwa hiyo alichofanya ni ku-renew neno ALPHA/ALFA (MUNGU) ili liendelee kuwa sawa na neno ALPHA/ALFA; ambayo ni herufi ya kwanza ya kigiriki, sawa na ilivyo herufi A kwenye herufi zetu za Kiarabu au Kiingereza

BAADA YA CODE KUWA RENEWED, MHUSIKA ALIBAHATIKA KUFAHAMIANA NA MUUMINI MGENI MWENYE GARI ALPHARD NYEUSII

Baada ya pale, mhusika alibahatika kufahamina na muumini mgeni (tumwite MUGE) anayemiliki gari aina ya ALPHARD NYEUSI

Hata hivyo, kwa wiki kadhaa sasa kuanzia J2 ile ya kwanza ya uwekaji wa TILES mpya chini ya ardhi pale Kanisani, mhusika hajawahi kuliona tena gari la muumini huyu

  • Ni kutokana na ukweli kuwa kuanzia J2 hiyo hadi ujenzi wa TILES ulipokamilika, utaratibu wa kupaki magari ulikuwa umebadilika
  • Still, hata baada ya ujenzi wa TILES kukamilika na hatimaye magari kuanza kupaki kwa mfumo wa kawaida, bado mhusika hajabahatika kuliona tena garoi la muumini huyu
Ikumbukwe pia kuwa ujenzi wa TILES ulianza, mara tu baada ya J2 ile ambayo MR X alimtoa nje ya uzio wa Kanisa mhusika ili ampishe MR X aweze kutoka

  • J2 hiyo MR X alikuwa na gari aina ya ALPHARD
  • J2 hiyo vile vile, ndiyo ile ambayo namba hii 0672659141 ilianza kumbip mhusika kwa mfululizo
Mbali na hayo yote, kwenye J5 ya wiki hiyo ndiyo siku ile ambayo fedha za mhusika million 2.5 zilipotea

BAADHI TU YA SIFA MUHIMU ZA MUUMINI HUYU MGENI


Anamiliki gari aina ya ALPHARD NYEUSI, gari ambayo mara ya mwisho mhusika aliiona kwenye J2 ile ambayo alilazimika kutoka nje kumpisha MR X

Siku hiyo MR X alikuwa na ALPHARD NYEUPE

  • MUGE anafanana copyright (SIMILARITY) na Marehemu Mch. PETER MITImingi (RIP) utadhani ni pacha wake, isipokuwa yeye ana umbo dogo; na ni mdogo kwa umri pia
  • Jina lake la kwanza linafanana na jina la Mkuu wa Idara Mstaafu wa Idara ya mhusika wa miaka ya 2015-2016 (MWI-2015-2016; ambaye pia ni swahiba wa karibu sana wa MR X
Mgeni huyu ameoa na ana mtoto;; isipokuwa anatarajia kubariki ndoa yake J2 ya wiki hii tarehe 03/11/2024

  • Tangazo la kwanza la kubariki ndoa hiyo lilitolewa kwa mara ya kwanza J2 ya tarehe 13/10/2024 huku TANGAZO LA TATU likitolewa J2 iliyopita ya tarehe 20/10/2024
  • Tangazo lililotolewa J2 iliyopita, lilitakiwa kuwa la pili; lakini Kiongozi wa Zamu alilitaja kuwa ni la tatu
Still, kwenye J2 ya tangazo la kwanza, tarehe ya baraka ilitajwa kuwa ni tarehe 03/11/2024; na mhusika kudhania kuwa kwa sababu hawa walikuwa wanabariki ndoa, haikuwa ajabu kwa tangazo lao kutolewa kwa J2 mbili tu

Hata hivyo, mhusika alikuja kushangaa pale Kiongozi wa Zamu wa J2 iliyopita, qalipotamka kuwa kuwa tangazo la siku hiyo lilikuwa ni la tatu badala ya kuwa la pili

Vile vile, kuna ndoa nyingine ya staff wa Idarani kwao MR X, inayotarajiwa kufungwa kwenye tarehe sawa na tarehe ya Baraka ya MUGE

KILE KILICHOTOKEA BAADA YA MTI WA MAAJABU KUNYANYUKA KULE KAGERA

Mtaalamamu ambaye mhusika alimsikia akitoa ufafanuzi wa tukio linalohusiana na MTI huo, ni MWI-2015-2016; ambaye jina lake la kwanza limefanana na jina la kwanza la MUGE; muumini mgeni ambaye amefanana copyright na Mch. PETER MITImingi (RIP)

HADI KUFIKIA HAPA, MENGINE YA MUHIMU KUHUSIANA NA MUUMINI ALIYEFIKA KANISANI KU-RENEW CODE YA ALPHA J2 YA TAREHE 11/08/2024


Sifa nyingine za muumini huyu ni hizi zifuatazo
  • Jina lake la kwanza linefnana na jina la kwaza la macho ya nchi mastaafu, yaani BWM-RIP
  • Jina lake la pili linafanana na herufi za mwanzo za JINA LA PILI la Mch. PETER MITImingi (RIP)
………..inaendelea
 
Back
Top Bottom