CODE YA CMKML
…..inaendelea kutokea kwenye post hii hapa #2,270
WAUMINI WENGINE ALIOWAONA MHUSIKA WAKIPITA SIKU HIYO; ALIPOKUWA AMEPAKI KWA MUDA PEMBEZONI MWA BARABARA KWENYE MTI
Ni viongozi wawili wa Kanisani hapo, mmoja akiwa ni Kiongozi mwandamizi kwenye ofisi ya KM-A na mwingine Shemasi na pia mwalimu wa Somo la Uananfunzi na Maandiko
Walikuwa wawili kwenye gari model
short chasis ambayo ilikuwa ikiendeshwa na Kiongozi mwandamizi
Utafiti kuhusiana na code waliyoiwakilisha watu hawa wawili bado unaendelea na hivyo mhusika atakuja kuuleta humu siku za baadaye kidogo
MAMBO MHUIMU ALIYOYAONA BAADAYA IBADA YA J2 HIYO YA TAREHE 12/10/2024 KUMALIZIKA
Akiwa anatokea washrooms; pale mwanzoni kabisa pembezoni mwa stage ya madhabahu ya Kanisa la zamani, alimuona binti aliyekuwa amebeba kitoto kizuri kichanga na ambacho kilikuwa kimelala usingizi
- Kitoto hicho ni kilikuwa ni cha mama ambaye huwa anauza korosho getini, mke wa Kiongozi mwandamizi
- Vile vile, kitoto hicho ni mojawapo ya watoto ambao mhusika hajabahatika kuwabeba hata mara moja kwa sababu muda mwingi, mama wa mtoto huwa anakuwepo getini akiuza korosho
- Kwa hiyo ni very rare kwa kitoto hicho kukiona kikiwa kipo kwenye mazingira ya mikusanyiko ya waumini wengine
Kitoto hiki kilikuwa kimepakatwa na binti huyo ambaye pia ni mwimbaji wa kwenye kikundi cha Kusifu na Kuabudu
Pembeni mwa binti huyo kulikuwepo na watu wengine kadhaa, mmojawapo akiwa ni muumini ambaye pia ni Askari wa Security Guard; yule ambaye jina lake linatengeneza KEY na mtumishi wa Mungu aliiyehudumu kwenye
Ibada kuu ya J2 hiyo
KWENYE J2 NYINGINE ILIYOFUATA YA TAREHE 20/10/2024
Wakati mhusika anaingia Kanisani, alimuona mama wa kitoto cha J2 iliyopita, akiwa anaingia kwenye gari la zamani la KM-A lililokuwa linajitayarisha kutoka nje ya uzio wa Kanisa
J2 hiyo mama huyo hakuwepo getini kama ambavyo imekuwa kawaida yake kwa siku za nyuma
Baada ya Ibada kumalizika, mhusika alikikuta kitoto hicho kikiwa macho kimepakatwa na kaka yake, wakiwa wamekaa pembezoni mwa ukuta wa jengo la Makao Makuu, huku wakiwa wamezibwa na gari la zamani la KM-A; gari ambalo wakati mhusika anaingia Kanisani asubuhi, alimuona mama wa kitoto akiwa anapanda
Baada ya mhusika kuwepo pale kwa sekunde kadhaa akiwa na watoto hao, aliongezeka muumini mwingie ambaye naye pia ni Security Giuard; yule ambaye natarajia kufunga ndoa hivi karibuni baada ya mwezi ujao
Haya ndiyo yale ya muhimu yaliyojiri kwenye J2 ya wiki jana
VINGINEVYO KWENYE J2 ILE NYINGINE YA NYUMA KABISA, YAANI J2 YA TAREHE 29/09/2024
Hii ilikuwa ni J2 ya kwanza ambayo kwa mara ya kwanza waumini wa Kanisa A walipaki ndani ya uzio wa Kanisa; baada ya ujenzi wa
tiles kuwa umekamilika
Baada ya ujenzi huo kukamilika, Kanisa limependeza sana, kazi nzuri sana ya waumini wa Kanisa A, na pia kazi nzuri sana ya mafundi waliotumika kuweka tiles hizo
- Kwa ujumla kazi za ujenzi za Kanisa A huwa ni nzuri mno; assuming gharama zake huwa haziko overshoot
- Kama gahrama zake huwa haziko overshoot, kazi za ujenzi za Kanisa A ni nzuri mno
Kwenye J2 hiyo ya kwanza ambayo waumini walipaki ndani ya uzio wa Kanisa huku kukiwa na
tiles; baada ya mhusika kuwa ameingiza gari lake ndani ya uzio wa Kanisa,
alielekezwa kupaki usawa wa ngazi za kwenye lango kuu la kuingilia Kanisani
- Wakati huo tairi moja la gari lake; yaani lile la nyuma kulia, lilikuwa limepunguzwa upepo
- Upepo huo ulipunguzwa usiku wa Jumamosi ya kuamkia J2 hiyo, garii ilipokuwa imepaki nyumbani
Kwa hiyo asubuhi ya J2 hiyo mhusika aliingia Kanisani huku tairi moja likiwa na upepo pungufu, na hivyo alipotoka Kanisani, alilazimika kwenda kuongeza upepo
BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEONGEZA UPEPO KWENYE MOJAWAPO YA TAIRI ZA GARI LAKE
Ilipowadia J2 nyingine iliyofuata ya
tarehe 06/10/2024; mhusika alizikanyaga TILES MPYA za Kanisani akiwa ana UPEPO MPYA kwenye mojawapo ya tairi za gari lake
Ilipowadia tena J2 nyingine ya
TAREHE 13/10/2024, mhusika aliingia ndani halafu baadaye tena akarudishwa nje na kwenda kupaki karibu na mti na hivyo kupelekea uwepo wa
SEQUENCE ambayo tayari ameshailezea hapo juu kupitia posts zilizotangulia
UHUSIANO TENA KATI YA UPEPO HUU MPYA NA BINTI MGENI MWENYE PEPO ALIYEFIKA KANISANI HAPO J2 HIYO
Binti aliyefika kanisani J2 hiyo akiwa na pepo na hatimaye PEPO HUYO KULIPUKA KWA MAIGIZO MWANZONI MWA Ibada, alikuwa na uhusiano na UPEPO MPYA ambao mhusika aliwahi kuujaza kwenye mojawapo ya tairi za gari lake kwenye J2 ile iliyokuwa imepita nyuma alipokuwa anatokea kanisani
Kwa upande wa Kanisani, kwenye asubuhi ya J2 ya tarehe 06/09/2024 na ambayo TILES MPYA zilianza kutumika, ilikuwa imetarajiwa kuwa wakati mhusika anaelekea Kanisani,
angepitia garage na kuongeza upepo
- Hata hivyo, mhusika hakufanya hivyo kwenye J2 hiyo wakati wa kwenda Kanisani, bali wakati wa kurudi kytoka Kanisani
- Kwa hiyo kwenye sehemu ile aliyoelekezwa kupaki J2 hiyo kule Kanisani, upepo uliokuwa kwenye gari lake haukuacha SIGNAL
Sehemu hiyo aliyopaki J2 hiyo, ni sehemu muhimu sana na ambayo waumini wengi huwa wanapita; na hvyo
kulihitajika uwepo wa signal mahali pale
Baada ya mhusika kufika tena Kanisani siku ya J2 iliyofuata huku akiwa tayari ameshajaza UPEPO MYA; mhusika aliagizwa kuingiza gari ndani ya uzio wa Kanisa kwa kufuata SEQUENCE fulanimaalumu
Baada ya kuwa ameikamilisha SEQUENCE iliyohitajika, bado tena alimkuta SHOKA akiwa yupo standby akimsubiria, na SHOKA kumlazimisha mhusika kupaki sehemu ileile aliyowahi kupaki J2 ya nyuma; alipokuwa ana UPEPO WA ZAMANI
Kwa hiyo baada ya kuwa amejaza UPEPO MPYA; mhusika alilazimishwa kupaki sehemu ile ile aliyowahi kupaki kwenye J2 ile ambayo hakuwa na upepo mpya
Kiilichokuwa kinahitajikwa kwenye sehemu hiyo aliyopkai J2 hiyo; ni UPEPO MPYA
HTIMISHO
TILES MPYA za Kanisani, zilitakiwa ziendane na
UPEPO MPYA kwenye tairi za gari la mhusika
- UPEPO MPYA kwenye mojawapo ya tairi za gari la mhusika, ndiyo ule uliopelekea binti mgeni mwenye pepo kuwepo Kanisani J2 ya yarehe 13/10/2024
- UPEPO MPYA huo ndiyo ule ambao ulioplekea pia kuwepo kwa SEQUENCE ambayo mhusika tayari ameshailelezea kwa kina hapo juu
Sequence hii ya J2 hiyo, inapishana kidogo tu na ile ya siku ambayo gari jipya la KM-A liliwasili Kanisani, J2 ya tarehe 30/06/2024;
tairi za mhusika zilikuwa na upepo mpya pia siku hiyo
Haya ndiyo yale yanayofanyika hapo Kanisa A chini ya KM-A;
na yale ambayo ni makubwa zaidi ya haya “IS YET TO COME”
Endeleeni kutega masikio,
mtayasikia
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA