Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
- Thread starter
- #2,281
BARUA YA BANK PART-2
…………….inaendelea
UHUSIANO KATI YA MUUMINI HUYU ALIYEFIKA KANISAN J2 YA TAREHE 11/08/2024 NA BIDHAA ZINAZOENDELEA KUUZWA PALE GETINI
Bidhaa hizi hazihusiani na zile ambazo ni za akina mama ambao wamepanga meza pembezoni mwa bararbara; jirani na geti la Kanisa
Bidhaa zinazohusiana na code hii ni za wale ambao huwa wanasimama pale getini kabisa wakiwa wamezibeba mikononi; hawana meza zikiwemo zile za mke wa Kiongozi Mwandamizi aliyehudumu kwenye Ibada kuu ya J2 iliyopita
Kwa hiyo wafanyabiashara wale ambao hupanga bidhaa zao kwenye Meza hawahusiki na taarifa hizi
Maneno SELL (kuuza) na CELL ni HOMOPHONES
CELL ni chembechembe za mwili wa binadamu zisizoweza kuonekana kwa macho ya binadamu isipokuwa kwa kutumia darubini za wataalamu tu kama vile za madaktari na za wanasayasi wengine
Kwenye mwili wa binadamu, CELL huunda MINOFU (Tissues) au NYAMA
Hadi kufikia hapa, zinajitokeza HORMOPHONES zingine tena ambazo ni:
KILE ALICHOKIONA MHUSIKA KUHUSIANA NA CODE HII
Inaweza kuwa miezi kadhaa nyuma baada ya CODE YA BUTCHERED iliyokuwa inatumia nyama mbichi ya nguruwe kufumuka, muumini huyu pamoja na MWh walishirikiana sasa kuunda CODE nyingine mpya inayofanya kazi kupitia mfumo huu wa HORMPHONES
Vinginevyo, inaweza pia kuwa code hizi mbili zimekuwa zikifanya kazi SIMULTANEOUSLY, kwa muda mrefu, isipokuwa mhusika aliweza kuibani kwanza ile ya BUTCHERED, na kuibakiza hii nyingine ya HORMOPHONES ikiwa inaendelea kufanya kazi pasipo yeye kuifahamu, au aliifahamu kwa namna nyingine tofauti
Kwa hiyo baada ya muumini huyu kutoweka tena, ile SELL ya NYAMA MBICHI YA KITIMOTO ilirejea tena pale getini
NAMNA SELL/CELL HIYO YA GETINI INAVYOFANYA KAZI
Mbali na kuwa SELL/CELL huwa inarusha pepo kwenye PRODUCTS zote BIBLIA ikiwa ni mojawapo; pia huwa inarusha kwenye mwili wa binadamu au kiumbe kingine chenye uhai, kupitia neno hili CELL, neno ambalo ni HORMOPHONE ya neno SELL
Au wakati akiwa anawaombea waumini; akiwasihi kwa maneno kama “WEKA MKONO WAKO MMOJA KIFUANI………………”
KILE KILICHOTOKEA HASA BAADA YA MUUMIN HUYU KUTOWEKA TENA
Baada ya kuwa, ametoweka kuanzia pale zikawa zinakuwa DESIGNED EXPERIMENTS zinazoweza kufanya kazi kupitia KEYS za mfumo huu wa HORMOPHONES , mojawapo ikiwa ni namba ya simu iliyopokea feha za mhusika million 2.50
YULE ALIYEACHIWA MAMLAKA YA DESIGN KANISANI HAPO BAADA YA MUUMINI HUYO KUTOWEKA
Ni Mwalimu wa mhusika; yaani MWh
Kwenye J2 ya tarehe 13/10/2024, baada ya Ibada, MWh huyu alimfuata mhusika akiwa ameambatana na binti mkubwa wa MR X na alichoongea ndiyo kile kilichopelekea mhusika kubaini kuwa MWh alikasimishwa mamlaka hayo siku ya J2 ya tarehe 11/08/2024
KUHUSIANA NA MAKUSANYIKO MAWILI YA HIVI KARIBUNI OFISINI/ IDARANI KWA MHUSIKA
UPNEXT
NAMNA KEYS HIZO ZILVYOWAHI KUUNDWA, IKIWA NI PAMOJA NA WAHUSIKA WAKE
………..itaendelea TENA
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
…………….inaendelea
UHUSIANO KATI YA MUUMINI HUYU ALIYEFIKA KANISAN J2 YA TAREHE 11/08/2024 NA BIDHAA ZINAZOENDELEA KUUZWA PALE GETINI
Bidhaa hizi hazihusiani na zile ambazo ni za akina mama ambao wamepanga meza pembezoni mwa bararbara; jirani na geti la Kanisa
Bidhaa zinazohusiana na code hii ni za wale ambao huwa wanasimama pale getini kabisa wakiwa wamezibeba mikononi; hawana meza zikiwemo zile za mke wa Kiongozi Mwandamizi aliyehudumu kwenye Ibada kuu ya J2 iliyopita
Kwa hiyo wafanyabiashara wale ambao hupanga bidhaa zao kwenye Meza hawahusiki na taarifa hizi
Maneno SELL (kuuza) na CELL ni HOMOPHONES
CELL ni chembechembe za mwili wa binadamu zisizoweza kuonekana kwa macho ya binadamu isipokuwa kwa kutumia darubini za wataalamu tu kama vile za madaktari na za wanasayasi wengine
Kwenye mwili wa binadamu, CELL huunda MINOFU (Tissues) au NYAMA
- Tissue huunda MUCSLES
- Muscles huunda ORGANS (viungo kama vile mikono au miguu)
- ORGANS huunda ORGANISM au kiumbe hai chenye mwili uliokamilika
Hadi kufikia hapa, zinajitokeza HORMOPHONES zingine tena ambazo ni:
- ORGAN (kiungo cha mwili) na ORGAN (Kinanda)
- Vile vie kutoka hapo juu zinazaliwa zingine tena ambazo KIUNGO (mwili) na KIUNGO (chakula)
KILE ALICHOKIONA MHUSIKA KUHUSIANA NA CODE HII
Inaweza kuwa miezi kadhaa nyuma baada ya CODE YA BUTCHERED iliyokuwa inatumia nyama mbichi ya nguruwe kufumuka, muumini huyu pamoja na MWh walishirikiana sasa kuunda CODE nyingine mpya inayofanya kazi kupitia mfumo huu wa HORMPHONES
Vinginevyo, inaweza pia kuwa code hizi mbili zimekuwa zikifanya kazi SIMULTANEOUSLY, kwa muda mrefu, isipokuwa mhusika aliweza kuibani kwanza ile ya BUTCHERED, na kuibakiza hii nyingine ya HORMOPHONES ikiwa inaendelea kufanya kazi pasipo yeye kuifahamu, au aliifahamu kwa namna nyingine tofauti
Kwa hiyo baada ya muumini huyu kutoweka tena, ile SELL ya NYAMA MBICHI YA KITIMOTO ilirejea tena pale getini
NAMNA SELL/CELL HIYO YA GETINI INAVYOFANYA KAZI
Mbali na kuwa SELL/CELL huwa inarusha pepo kwenye PRODUCTS zote BIBLIA ikiwa ni mojawapo; pia huwa inarusha kwenye mwili wa binadamu au kiumbe kingine chenye uhai, kupitia neno hili CELL, neno ambalo ni HORMOPHONE ya neno SELL
- CELL pia ni HORMOPHONE ya neno CELLPHONE, yaani simu ya MKONONI, na ambalo pia ni HORMOPHONE ya neno HORMOPHONE kwa maana kuwa:
- Maneno HORMOPHONE na CELLPHONE, nayo pia vile vile yanatengeneza HORMOPHONE kiasi kwamba kitendo cha mtu kumiliki CELLPHONE, au simu ya MKONONI, tayari mtu huyo anakuwa amemiliki pepo anayefanya kazi kupitia code hii ya HOMORPHONE na hivyo automatically kupelekea kurusha pepo kwenye neno ALPHA linalomaanisha MUNGU
Au wakati akiwa anawaombea waumini; akiwasihi kwa maneno kama “WEKA MKONO WAKO MMOJA KIFUANI………………”
KILE KILICHOTOKEA HASA BAADA YA MUUMIN HUYU KUTOWEKA TENA
Baada ya kuwa, ametoweka kuanzia pale zikawa zinakuwa DESIGNED EXPERIMENTS zinazoweza kufanya kazi kupitia KEYS za mfumo huu wa HORMOPHONES , mojawapo ikiwa ni namba ya simu iliyopokea feha za mhusika million 2.50
YULE ALIYEACHIWA MAMLAKA YA DESIGN KANISANI HAPO BAADA YA MUUMINI HUYO KUTOWEKA
Ni Mwalimu wa mhusika; yaani MWh
Kwenye J2 ya tarehe 13/10/2024, baada ya Ibada, MWh huyu alimfuata mhusika akiwa ameambatana na binti mkubwa wa MR X na alichoongea ndiyo kile kilichopelekea mhusika kubaini kuwa MWh alikasimishwa mamlaka hayo siku ya J2 ya tarehe 11/08/2024
KUHUSIANA NA MAKUSANYIKO MAWILI YA HIVI KARIBUNI OFISINI/ IDARANI KWA MHUSIKA
- Kusanyiko la chakula la J5 ya tarehe 25/09/2024
- Kusanyiko la mtihani la J5 ya tarehe 01/10/2024
- Kusanyiko la chakula la J5 ya tarehe 25/09/2024 lilihusisha TASTE (ladha) ya chakula
- Maneno haya TEST na TASTE, ni HORMPHONES
UPNEXT
NAMNA KEYS HIZO ZILVYOWAHI KUUNDWA, IKIWA NI PAMOJA NA WAHUSIKA WAKE
………..itaendelea TENA
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA