#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

BARUA YA BANK PART-2

…………….inaendelea

UHUSIANO KATI YA MUUMINI HUYU ALIYEFIKA KANISAN J2 YA TAREHE 11/08/2024 NA BIDHAA ZINAZOENDELEA KUUZWA PALE GETINI


Bidhaa hizi hazihusiani na zile ambazo ni za akina mama ambao wamepanga meza pembezoni mwa bararbara; jirani na geti la Kanisa

Bidhaa zinazohusiana na code hii ni za wale ambao huwa wanasimama pale getini kabisa wakiwa wamezibeba mikononi; hawana meza zikiwemo zile za mke wa Kiongozi Mwandamizi aliyehudumu kwenye Ibada kuu ya J2 iliyopita

Kwa hiyo wafanyabiashara wale ambao hupanga bidhaa zao kwenye Meza hawahusiki na taarifa hizi

Maneno SELL (kuuza) na CELL ni HOMOPHONES

CELL ni chembechembe za mwili wa binadamu zisizoweza kuonekana kwa macho ya binadamu isipokuwa kwa kutumia darubini za wataalamu tu kama vile za madaktari na za wanasayasi wengine

Kwenye mwili wa binadamu, CELL huunda MINOFU (Tissues) au NYAMA

  • Tissue huunda MUCSLES
  • Muscles huunda ORGANS (viungo kama vile mikono au miguu)
  • ORGANS huunda ORGANISM au kiumbe hai chenye mwili uliokamilika
Whether mwili huo unaonekana kwa macho ya nyama au la, hilo sasa linakuwa ni swala jingine, isipokuwa PYSIOLOGY inayohusiana na CELL iko hivyo

Hadi kufikia hapa, zinajitokeza HORMOPHONES zingine tena ambazo ni:

  • ORGAN (kiungo cha mwili) na ORGAN (Kinanda)
  • Vile vie kutoka hapo juu zinazaliwa zingine tena ambazo KIUNGO (mwili) na KIUNGO (chakula)
Hii code kama ingekuwa inafanya kazi kwenye ARDHI tungeweza kusema ni CHAIN OF AVALANCHES ambayo inaweza ikaangamiza hata UNIVERSE nzima in just a matter of seconds!

KILE ALICHOKIONA MHUSIKA KUHUSIANA NA CODE HII

Inaweza kuwa miezi kadhaa nyuma baada ya CODE YA BUTCHERED iliyokuwa inatumia nyama mbichi ya nguruwe kufumuka, muumini huyu pamoja na MWh walishirikiana sasa kuunda CODE nyingine mpya inayofanya kazi kupitia mfumo huu wa HORMPHONES

Vinginevyo, inaweza pia kuwa code hizi mbili zimekuwa zikifanya kazi SIMULTANEOUSLY, kwa muda mrefu, isipokuwa mhusika aliweza kuibani kwanza ile ya BUTCHERED, na kuibakiza hii nyingine ya HORMOPHONES ikiwa inaendelea kufanya kazi pasipo yeye kuifahamu, au aliifahamu kwa namna nyingine tofauti

Kwa hiyo baada ya muumini huyu kutoweka tena, ile SELL ya NYAMA MBICHI YA KITIMOTO ilirejea tena pale getini

NAMNA SELL/CELL HIYO YA GETINI INAVYOFANYA KAZI

Mbali na kuwa SELL/CELL huwa inarusha pepo kwenye PRODUCTS zote BIBLIA ikiwa ni mojawapo; pia huwa inarusha kwenye mwili wa binadamu au kiumbe kingine chenye uhai, kupitia neno hili CELL, neno ambalo ni HORMOPHONE ya neno SELL

  • CELL pia ni HORMOPHONE ya neno CELLPHONE, yaani simu ya MKONONI, na ambalo pia ni HORMOPHONE ya neno HORMOPHONE kwa maana kuwa:
  • Maneno HORMOPHONE na CELLPHONE, nayo pia vile vile yanatengeneza HORMOPHONE kiasi kwamba kitendo cha mtu kumiliki CELLPHONE, au simu ya MKONONI, tayari mtu huyo anakuwa amemiliki pepo anayefanya kazi kupitia code hii ya HOMORPHONE na hivyo automatically kupelekea kurusha pepo kwenye neno ALPHA linalomaanisha MUNGU
Mara kwa mara waumini wa Kanisa A wamezoea kusikia maneno kutoka kwa KM-A wakati wa kuwaombea baadhi ya wahitaji Kanisani hapo akisema ‘NA WEWE HAPO ULIPO NYOOSHA MKONO WAKO MWAMBIE MUNGU……”

Au wakati akiwa anawaombea waumini; akiwasihi kwa maneno kama “WEKA MKONO WAKO MMOJA KIFUANI………………”

KILE KILICHOTOKEA HASA BAADA YA MUUMIN HUYU KUTOWEKA TENA

Baada ya kuwa, ametoweka kuanzia pale zikawa zinakuwa DESIGNED EXPERIMENTS zinazoweza kufanya kazi kupitia KEYS za mfumo huu wa HORMOPHONES , mojawapo ikiwa ni namba ya simu iliyopokea feha za mhusika million 2.50

YULE ALIYEACHIWA MAMLAKA YA DESIGN KANISANI HAPO BAADA YA MUUMINI HUYO KUTOWEKA


Ni Mwalimu wa mhusika; yaani MWh

Kwenye J2 ya tarehe 13/10/2024, baada ya Ibada, MWh huyu alimfuata mhusika akiwa ameambatana na binti mkubwa wa MR X na alichoongea ndiyo kile kilichopelekea mhusika kubaini kuwa MWh alikasimishwa mamlaka hayo siku ya J2 ya tarehe 11/08/2024

KUHUSIANA NA MAKUSANYIKO MAWILI YA HIVI KARIBUNI OFISINI/ IDARANI KWA MHUSIKA

  • Kusanyiko la chakula la J5 ya tarehe 25/09/2024
  • Kusanyiko la mtihani la J5 ya tarehe 01/10/2024
Makusanyiko haya yote mawili, yalitumia KEYS zilizowahi kutengenenezwa wakati wa mtihani wa majaribio (TEST) wa mhusika kwa wanafunzi uliofanyika katikati ya mwezi Julai 2024

  • Kusanyiko la chakula la J5 ya tarehe 25/09/2024 lilihusisha TASTE (ladha) ya chakula
  • Maneno haya TEST na TASTE, ni HORMPHONES
Mbali na hilo, msimamizi wa mtihani aliyekuwa amealikwa kutoka nje ya Taasisi; kwa lugha ya kuzaliwa ya mhusika; tafsri ya jina lake la ubini ni sawa na tafsri ya jina Bill au Billionaire

UPNEXT

NAMNA KEYS HIZO ZILVYOWAHI KUUNDWA, IKIWA NI PAMOJA NA WAHUSIKA WAKE


………..itaendelea TENA

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY 31 OCTOBER 2024

BARUA YA BANK- PART 2

WAHUSIKA WENGINE MUHIMU AMBAO MAJINA YAO YANA UHUSIANO NA JINA “BILL”


Hawa ni waumini wawili waliokuwa wakitoa matangazo Madhabahuni kabla ya gari jipya la KM-kuwasili

  • Alianza kwanza Mzee wa Kanisa ambaye jina lake la kwanza linaishia na herufi “IL”, halafu baadaye alifauatiwa na mke wa Profesa
  • Mama huyu mke wa Profesa kwa sasa yeye anatumia jina la ubin la mme wake
Vinginevyo jina lake halisi la ubini kutoka kwenye ukoo wake, ni HOMORPHONE ya neno “HELA”. Kwa hiyo jina la ubini la ukoo la mama huyu linamaanisha FEDHA

Mbali na hayo, Kiongozi yule aliyewahi kumrudisha mhusika nje ya uzio wa Kanisa J2 ya tarehe 13/10/2024; mojawapo ya majina yake lina phonation inayofanana na phonation ya neno TESA

  • Kwenye Agano jipya la Maandiko Matakatifu Biblia (MMB); kuna kitabu kimoja kinachojulikana kama WATHESALONIKE
  • Kwa hiyo, siku hiyo, kiongozi huyo alishughulika na AGANO JIPYA la MMB
Kwa upande mwingine, mtumishi wa Mungu aliyekuwa pamoja na Kiongozi Mwandamizi kwenye gari, yeye alishughulika na AGANO LA KALE la MMB; kutokana na ukweli kuwa mojawapo ya majina yake linafanana na jina la mmojawapo wa AUTHORS wa AGANO LA KALE la MMB

MTIHANI WA JARIBIO ULIOFANYIKA MWEZI WA SABA NA UHUSIANO WAKE NA MAKUSANYIKO MAWILI YA IDARANI YA HIVI KARIBUNI YALIYOTAJWA HAPO JUU

KILE AMBACHO HASA KILIFANYIKA WAKATI WA MAKUSANYIKO HAYO


Kijana yule iNTERN naye pia alikuwepo kwenye kusanyiko la hilo la chakula

  • Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa kijana huyu kuonekana kwenye kusanyiko la wanaidara, na pasipo kuwa ametambulishwa rasmi
  • Jina la kwanza la kijana huyu linafanana na la Mtume wa kwenye Biblia ambaye ndiye anaongoza kwa kuandika nyaraka au barua nyingi kwenye Biblia
  • Jina hilo linafana pia na la KM-A, na pia vile vile, la mwalimu mwenza wa mhusika waliyewahi kwa mara ya kwanza mwaka jana, kushirikiana kufundisha kozi ya udongo
DALILI ZA UWEPO WA IDENTICAL TWINS IDARANI NA KANISANI PIA; NA AMBAO WENZAO SI WENYEJI WA SEHEMU HUSIKA

Mhusika hana uhakika sana na taarifa hizi, ila kwa mbali macho yake yamekuwa yakimuonyesha signs zinazoonyesha kuwa, siku kwa siku na kwa nyakati tofauti tofauti, amekuwa akikutana na sura zile zile lakini zikiwa zinaonyesha dalili za mabadiliko kidogo ya aidha maumbile au urefu

Scenerio ambayo imekuwa ikijitokeza ni kwamba inatokea leo mhusika anakutana na sura ambayo baadaye siku hiyo au kesho yake, atakutana nayo tena na huku ikiwa inaonyesha dalili za adha kubadilika kidogo urefu au umbo

  • Kutokana na hali hii, kuna dalili zinazoashiria kuwa INTERN aliyetajwa hapo juu anaweza kuwa anaye mwenzake ambaye ni PACHA, huku wakiwa ni IDENTICAL TWINS
  • Vile vile binti ambaye amekuwepo idarani kwa mhusika kama INTERN, naye pia ameshaonyesha evidence za kama kuwa na mwenzake ambaye ni PACHA, huku wakiwa ni IDENTICAL TWINS; na wenye maumbo yanayolingana isipokuwa mmoja ni mrefu kiasi kumzidi mwenzake
Kama observations hizi za mhusika ziko sahihi, basi hata kule Kanisani nako pia kunaweza kuwepo na set nyingine ya aina hii

Ukiachilia mbali mabinti wa kanisani ambao mhusika tayari ameshawaongelea, kuna uwezekano wa kuwepo set nyingine Kanisani hapo na inayomhusisha Kiongozi wa Vijana ambaye mhusika ameshamwongelea humu kupitia CODE YA MKOMBOZI-MLOKOZI

  • Huyu mtu anaweza kuwa anaye TWIN mwenzake ambaye wako IDENTICAL
  • Hii ni kutokana na ukweli kuwa kwenye J2 moja ya hivi karibuni, mhusika alimuona mtu akiwa yupo juu madhabahuni wakati wa kipindi cha Kusifu na Kuabudu na ambaye alimpelekea mhusika kuamini kuwa hakuwa yule ambaye huwa anamuona hapo Kanisani siku zote, isipokuwa alikuwa ni mtu mwingine mgeni ambaye wamefanana sana na mtu ambaye mhusika huwa anamuona siku zote hapo kanisani
Mtu huyu ambaye mhusika aliwahi kumuona J2 hiyo, alifanana copyright na Kiongozi wa Vijana wa Kanisani hapo isipokuwa yeye umbo lake lilikuwa ni kubwa kidogo tu, ukilingansiha na lile la Kiongozi wa Vijana

Chances ni kwamba Kiongozi huyu naye pia anaye pacha wake ambaye zi mwenyeji wa Kanisa A; na ambaye wakati mwingine huwa anapandisha juu madhabahuni wakati wa Kipindi cha Kusifu na Kuabudu; na pasipo waumini wa Kanisa A kufahamu hili

Kwenye hizi sets ambazo mhusika amezitaja hapa juu; kama amekosea sana, basi the minimum marks anazoweza kupata nni 50%

Vinginevyo score yake katika hili itakuwa iko juu ya 50%

………………..inaendelea
 
BARUA YA BENKI PART 2

…..…..inaendelea

NAMNA KEYS ZILIVYOUNDWA WAKATI WA MTIHANI WA MAJARIBIO MWEZI JULAI 2024


Keys hizi zilizowahi kuundwa wakati wa mtihani wa majaribio yaani TEST, ndiyo zile ambazo zinatumika hadi sasa

  • Zimetumika kwenye makusanyiko mawili ya wanaidara yaliyotajwa hapo juu na hatimaye matokea yake kutumika kwenye BARUA YA BANK
  • Zimetumika pia kwenye BARUA YA BANK
Kilichotokea kipindi hicho ni kwamba waliokuwa wasimamizi wa mtihani huo ambao ulifanyika kwa siku mbili za J3 na Ijumaa ndani ya wiki moja; walikuwa ni mhusika mwenyewe pamoja na “SIR”

Hata hivyo kutokana na “SIR” kuwa anapata udhuru na hivyo kushindwa kuwahi kufika katika muda ambao mtihani ulikuwa unatakiwa kuanza, mhusika alilazimika kuwa anawaomba wamsaidie kwa mda, watu waliokuwa wapo karibu kwenye muda huo ambao “SIR” alikuwa bado hajafika

Watu hawa aliowahi kuwaomba in the absence of “SIR” ni wafuatao

  • Dereva wa MMU (tumwite DMU)
  • Office mate number moja (OM-1)
  • Office mate number mbili (OM-2)
Hata hivyo, baada ya mtihani kupita; mhusika alikuja kugundua kuwa “SIR” na wasaidizi hao wa mhusika, waliipanga scenario hiyo kabla na hivyo haikutokea kwa bahati mbaya

Plan yao ilikuwa ni kwamba kwenye kila session ya siku mbili hizo za mtihani, “SIR” achelewe kufika kwenye mtihani halafu hao waliotajwa, wawepo mazingira ya karibu na mtihani ili mhusika aweze kuwatumia kwa muda

  • Baada ya mhusika kuwa amewatumia kwa muda, ndiyo pale “SIR” alipokuwa anajitokeza na hivyo mhusika kuwa-release tena ili wakaendelee na ratiba zingine
  • Ilipofika August 2024, ndiyo pale sasa makusanyiko mawili ya wanaidara yalifanyika, moja likiwa linahusisha chakula (TASTE) na jingine PRESENTATION ya mtihani
Makusanyiko haya yote mawili yalikuwa yalilenga kufanya TIMING YA TUKIO LA BARUA YA BENKI, na mengine yote yaliyotokea kufuatia makusanyiko haya, mhusika tayari ameshayaeleza kupitia post zilizotangulia

Mwisho wa yote, mti wa maajabu uliokuwa umeanguka kule Kagera, ulinyanyuka wenyewe na kupelekea aliyekuwa msimamizi wa kusanyiko la mtihani, kulazimikika kutoa ufafanuzi wa kitaalamu kupitia vyombo vya habari

Vinginevyo pale Kanisa A J2 ya wiki hii, kuna tukio maalum kwenye Ibada ya pili, litakalowahusisha baadhi ya watu waliotumika kwenye code hii ya MTI/MITI

UPNEXT:
Kinara wa Matangazo (KWM) wa Kanisa A na Kitabu cha Waamuzi (JUDGES) cha Maandiko Matakatifu Biblia (MMB)

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY, 01 NOVEMBER 2024

KINARA WA MATANGAZO (KWM) WA KANISA A NA KITABU CHA WAAMUZI (JUDGES) CHA MAANDIKO MATAKATIFUU BIBLIA (MMB)


Marekebisho muhimu kuhusiana na taarifa za mtu huyu zilizopo kwenye post zilizotangulia ni kwamba KWM alipata uteuzi kabla ya mwaka 2017.

Mhusika alihama kutoka Kanisa B kurudi Kanisa A April 2017, na wakati huo KWM tayari ameshateuliwa

  • KWM alipata uteuzi kipindi ambacho mhusika alikuwa yupo Kanisa B, na ilikuwa ni kabla ya mwaka 2017
  • Kwa hiyo wakati BWM-RIP anaandika Kitabu, KWM alikuwa tayari ameshapata uteuzi
Kwa hiyo KWM alipata uteuzi kabla ya mwaka 2017

…………………..itaendelea TENA
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
INTERCEPTING NEWS!
UHUSIANO KATI YA MEZA YA BWANA YA HIVI KARIBUNI PALE KANISA A NA MUUZAJI WA NYAMA MBICHI YA NGURUWE PALE GETINI MWA KANISA A


MEZA HIYO YA BWANA ILIYOIFANYIKA J2 YA TAREHE 20/10/2024 ILIKUWA NA UHUSIANO NA WATU AU MAMBO KADHAA YAFUATAYO

-NYAMA MBICHI YA NGURUWE INAYOUZWA GETINI
-BINTI ANAYEUZA NYAMA MHICHI YA NGURUWE
-DAMU HALISI YA YESU
-OFFICE MATE NAMBA MOJA ( OM-1)
- RANGI YA MAVAZI ANAYOVAA OM-2 AMBAYO MARA ZOTE YANAKUWA NI MEKUNDU DRAFT ZENYE RANGI YA DAMU YA MZEE
-MNUNUZI WA GARI ( MWG)
-SWAHIBA WA MWG; STAFF MWALIMU AMBAYE YUKO MAKTABA, NA AMBAYE ALIFIKA IDARANI KWA MHUSIKA JUZI ALHAMIS NA KUFANIKIWA KUONGEA NA MHUSIKA ALIPOKUWA YUPO NJE KWENYE VERANDA

-POSSIBLY, MAMA ANAYEMILIKI STATIONERY ILIYOPO KWENYE JENGO HILO LA MAKTABA YA ZAMANI, AMBAYE KABLA HAJAHAMISHIA SHUGULI ZAKE KWENYE JENGO HILO, ALIKUWA NI MSHIRIKI WA KANISA A

BAADA YA KUHAMIA KWENY JENGO HILO, MAMA HUYU ALIBADILISHA KANISA N.A. HIVYO KWA SASA HAYUPO TENA KANISA A

BINTI MUUZA NYAMA
BINTI HUYU AMBAYE AMEKUWA AKIUZA NYAMA MBICHI YA NGURUWE PALE GETINI, NDIYO YULE AMBAYE HAPO KABLA, ALIKUWA ANAFANYA KAZI KWENYE STATIONARY HIYO, KABLA HAIJAHAMISHIWA NDANI YA JENGO LA MAKTABA YA ZAMANI

WATU HAWA NDIYO ULE MTANDAO UNAOSHUGHULIKA NA DAMU YA YESU, NA BASE YAO INAONEKANA IPO KWENYE JENGO HILO LA MAKTABA YA ZAMANI LILILOPO NDANI YA TAASISI

KWA KIPINDI CHA HIVI JARIBUNI, OM-1 ALIKUWA AMESAFIRI KWA TAKRIBANI WIKI 5 AU 6 HIVI, NA BAADA YA KUWEPO MEZA YA BWANA KANISANI J2 YA TAREHE 20/10/2024, KESHO YAJE J3 ALIFIKA OFISINI

HUU NDIO MTANDAO UNAOSHUGHULIKA NA DAMU YA YESU; N.A. TAARIFA ZAIDI ZITAFUATA BAADAYE

MBALI NA HAYO, MWALIMU ALIYEPO MAKTABA YA ZAMANI, ANAONGEA LUGHA MOJA YA KUZALIWA N.A. OM-1 , PAMOJA NA STAFF MWINGINE MWAJIRIWA MPYA AMBAYE HUWA ANASAFIRI SAFIRI SANA, YULE AMBAYE HAPO KABLA, MHUSIKA ALIWAHI KUMPA NICKNAME YA STAFF MWENYE VITUKO

TAARIFA NYINGINE ZAIDI ZITAWAJIENI SIKU NYINGINE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
POST ZINGINE ZA NYUMA ZILIZOWAHI KUMHUSISHA KINARA WA MATANGAZO ( KWM) NI HIZI HAPA

POST # 2064

POST #2109

MAELEZO YA NYONGEZA KUHUSIANA NA POST HIZI YATAFUATA BAADAYE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY, 04th NOVEMBER 2024

KINARA WA MATANGAZO (KWM) NA KITABU CHA WAAMUZI (JUDGES) CHA MAANDIKO MATAKATIFU BIBLIA (MMB)

………………inaendelea

MMB
NA AJALI YA NDEGE YA BUKOBA ILIYOWAHI KUTOKEA NOVEMBER 27, 2022


Kwa lugha ya Kiingereza, YESU anajulikana kama SAVIOUR au MWOKOZI

Ajali ya ndege ya Bukoba, kabla na baada ya kutokea, ilifuatisha mistari kadhaa ya kwenye MMB kutoka kwenye Kitabu cha Matendo ya Mitume

Baadhi ya tu ya Mitume maarufu sana kwenye Kitabu hicho ni Petro na Paulo

KWA KUKUMBISHIA TU; KILE KILICHOTOKEA J2 YA AJALI HIYO


Mhusika aliondoka nyumbani asubuhi kuelekea Kanisani kwenye Ibada ya pili

Baada ya Ibada, alibaini jeshi lililokuwa limejipanga kumuangamiza siku hiyo, lilokuwa likiongozwa na Profesa, kiasi kwamba kama lingefanikiwa, mhusika asingeweza kujua kuwa kuna ajali ya ndege ilikuwa imetokea siku hiyo

Siku hiyo, Profesa alikuwa na gari aina ya VANGUARD NYEUSI, inayofanana exactly na ile ya mmiliki wa source code ya GENERATOR aliyepo ofisini kwa mhusika

  • Kwa hiyo J2 hiyo mhusika alikuwa ameondoka nyumbani asubuhi kuelekea Kanisani, huku akiwa hana taarifa za kutokea ajali hiyo ya ndege
  • Baada ya kurudi nyumbani akitokea Kanisani huku tayari akiwa amenususrika na tukio baya huko ; ndiyo pale alipobaini kuwa kulikuwa na ajali ya ndege iliyokuwa imetokea siku hiyo
AJALI HIYO ILITOKEA KWA KUFUATISHA MMB

Ajali hiyo ya ndege, ilitokea ikiwa imefuatisha MMB kwenye mistari ile inayoongelea ATTRIBUTES ZA ROHO MTAKATIFU

Kwa hiyo AJLI YA NDEGE na ROHO MTAKATIFU vilitengeneza “KEY”, kupitia MMB

MMB yanasema kuwa

  • Roho Mtakatifu Alitabiriwa
  • Kwa mara ya kwanza, aliwashuwakia wanafunzi wa Yesu siku ya Pentekoste wakiwa wapo mahali pamoja
  • Baada ya kuwashukia, wanafunzi hao walianza kunena kwa lugha sawasawa na Roho alivyowaJALIA
Tukirudi kwenye tukio hilo la ajali ya ndege; nalo pia vile vile

  • lilitabiriwa
  • Kwa mara ya kwanza, ajali kubwa ya ndege ya abiria ilitokea nchini siku ya Jumapili wanafunzi wa Yesu wakiwa wapo mahali pamoja kwanye Ibada Kanisani
  • Ajali hiyo ilitokea katika muda ambao Ibada ya kwanza ya Kanisa A ilikuwa imehitimishwa, watu wakiwa tayari WAMESHANENA KWA LUGHA
  • Baada ya ajali kutokea, alipatikana shujaa au SAVIOUR, anayejulikana kama MAJALIWA
KILE AMBCHO HASA KILIFANYIKA KWENYE AJALI HIYO

Baada ya ajali hiyo kutokea; pepo alirushwa kwenye ATTRIBUTES ZA SAVIOUR, na hivyo automatically ATTRIBUTES ZA YESU zilirushiwa pepo; na hiki ndiyo kitu kingine kilichopelekea ajali hiyo ikatabiriwa

Hizi ni baadhi tu ya OPERATION ambazo KWM na KM-A wamekuwa wakizifanya kupitia Madhabahu ya Kanisa A

……………………..inaendelea

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWM na MMB
……….inaendelea

KONGAMANO LA UMISHENI LA MWAKA 2022 NA AJALI YA NDEGE KAGERA


Ikumbukwe kuwa baada ya KM-A kutoka likizo, alirudi na kuja kuingia moja kwa moja kwenye Kongamano la ghafla la Umisheni Kanisani

Makusanyiko ya aina hiyo ndiyo yale yanayotumika kuunda RELATIONSHIPS ambazo baadaye huweza kutengeneza “KEYS”

  • Immediately, kwenye J2 iliyofuata baada ya Kongamano kuhitimishwa na pasipo kuwajulisha waumini kuwa alienda likizo wapi, KM alipanda juu Madhabahuni kutangaza “KEYS”
  • Hizo “KEYS” alizozitangaza J2 hiyo, zilikuwa tayari zimeshaundwa kupitia lile Kongamano la Umisheni
Kwa hiyo, siku hiyo hakuwa anachagua “KEYS”, bali alikuwa anazirasmisha mbele ya waumini

Mojawapo ya “KEYS” ambazo KM-A alizitambulisha siku hiyo ni SYSTEM pamoja na mwenza wake
……………………..itaendelea TENA
In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
I NTERCEPTING NEWS
KILE AMBACHO KINAENDELEA KATI YA MA OFFICE MATE WAWILI WA MHUSIKA, OM-1 NAOM-2


TREND ILIYOPO KWAVSASA NI KWAMBA WANAPISHANA OFISINI
MMOJA AKIWEEPO OFISINI, MWINGINE ANAKUWA HAYUPO, NA MWINGINE AKIWA YUPO, MMOJA ANAKUWA HAYUPO

OM-1 NDIYE ANAYESAFIRI SAFIRI SANA NA KWA VIPINDI VIEPREFU VIREFU SANA, NA KWA SAFARI HII YA MWISHO, OM-1 N.A. OM-2 HAWAJAONANA KWA ZAIDI YA MIEZI MIWILI SASA KUTOKANA NA RATIBA ZAO KUPISHANA OFISINI

ZAIDI NI KWAMBA TANGU AAJIRIWE MWEZI APRIL MWAKA JANA 2023, MUDA WOTE OM-1 AMEKUWA AKITUMIA USAFIRI WA MIGUU TU NA KWA SASA, ALISHAHAMIA SEHEMU ILIYO JIRANI NA MAENEO ANAYOISHI MHUSIKA

HUYU NDIYO YULE AMBAYE ANATUMIA USAFIRI WA MIGUU SIKU ZOTE

OM-2 ALIKUWA AMESAFIRI KWA MUDA WA WIKI TATU NA ALIPOONDOKA TU, OM-1 AMVAYE NAYE ALIKUWA YUPO SAFARI, ALIRUDI OFISINI HALI ILIYOPELEKEA WAWILI HAWA KUPISHANA

BAADA YA OM-2 KURUDI TENA OM-1 AMEONDOKA

KWA HIYO KWA SASA OM-1 HAYUPO TENA OFISINI, MARA TU BAADA YA OM-2 KURUDI NA HAWAJAONANA KABISA

MKUU WA IDARA NAYE HAYUPO NA HAIJULIKANI YUKO WAPI, NA WALA HAKUNA NOTICE YA ACTING WAKE; IDAR IMO KWENYE AUTOPILOT

OM-1 KUHAMIA SRHEMU JIRANI NA MAENEO ANAYOISHI MHUSIKA HUKU AKIWA ANATUMIA USAFIRI WA MIGUU TU, KUNATOA NAFASI YA MTU HUYU KUWA HATA KUWA ANAFIKA ENEO ANALOUSHI MHUSIKA NA PASIPO WATU KUMUONA; NA KWENYE MUDA WOWOTE

HII INAWEZA KUTOKEA ESPECIALLY KWENYE ILE WIKI YA MWISHO YA MWAKA AMBAYO WATU KARIBIA WOTE HUWA WANAKUWA WAPO KWENYE LIKIZO YA MWISHO WA MWAKA

WIKI HIYO NDIYO ILE AMBAYO TAA AMBAYO MHUSIKA ALIKUWA AMEIWEKA NJE YA JENGO, ILINUSURIKA KULIPULIWA, KITU AMBACHO KINGEPELEKEA KUCHOMA JENGO ANALOISHI

MARA TU BAADA YA KUWA AMERUDI OFISINI, KUNA MATUKIO MAWILI OM-1 ALIPANGA KUFANYA TENA MAZINGIRA YA OFISINI WAKIWA WANASHIRIKIANA NA BINTI , MATUKIO AMBAYO TAARIFA ZAKE ZITAWAJIENI HUMU BAADAYE

BAADA YA TUKIO LA KWANZA KUFEIL, ALITRPENGENEZZA TENA UTARTIBU MWINGINE WA KUM-TRIGGER MHUSIKA ILI ATOKE OFISINI, AKIMBILE NYUMBANI

CHANCE NI KWAMBA KWA VILE KWA SASA HIVI ANAISHI MAENEO JIRANI NA SEHEMU ANAYOISHI MHUSIKA, ANAWEZA KUWA TAYARI AMESHATENGEBEZA ALLIANCE INAYOWEZA KUMFANYA AKAFIKA KIRAHISI KWENYE ENEO ANALOISHI MHUSIKA NA OASIPO KUJULIKANA

TAARIFA ZIBGINE KUHUSIANA NA OM-1 ZITAWJIENI BAADAYE
SASA HIVI WANAFUNZI WAMERUDI, AMEKIMBIA OFISINI HAYUPO

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY, 05th NOVEMBER 2024

KWM na MMB
……….inaendelea

CHRONOLOGY YA MATUKIO MUHIMU YANAYOHUSIANA NA KWM KWENYE KIPINDI CHA KUANZIA MWAKA 2017 HADI MWAKA 2023


Mnamo Desemba 2017, Mkuu wa wa zamani wa Taasisi anayofanyia kazi mhusika alistaafu

Baada ya kustaafu, aliyekuwa dereva wa Mkuu huyo, alihamishiwa kwenye Idara ya mhusika, na aliendelea kuwepo hadi J3 ya tarehe 08/03/2021

Baada ya siku hiyo, mhusika hakufanikiwa kumuona tena idarani dereva huyo idarani na alipouliza kuwa alikuwa wapi, aliambiwa kuwa tayari alishamishwa na kupelekwa kwenye Taasisi nyingine tofauti

Kwa hiyo dereva huyo alihamishwa kuanzia J4 ya tarehe 09/03/2021 kwa sababu hiyo ndiyo siku ambayo mhusika alimpoteza mtu huyu pale idarani

TUKIO LILILOWAHI KUTOKEA SIKU YA MWISHO YA UWEPO WA DEREVA HUYO IDARANI KWA MHUSIKA


Siku hiyo ilikuwa ni J3 ya tarehe 08/03/2021; siku ambayo jioni yake, MKUU wa Major Unit (MMU) alifanya hafla ya kuwapongeza wanawake kutokana na kuwa wiki iliyokuwa imepita nyuma, ilikuwa ni Wiki ya Wanawake Duniani

Mhusika alihudhuria hafla hiyo na pia swahiba wake huyo aliyewahi kuwa dereva wa Mkuu wa taasisi msftaafu, huku swahiba akimuomba mhusika wakae kwenye meza moja

Muda mfupi tu baada ya hafla kuzinduliwa, mhusika alikoswa koswa kuwekewa sumu kwenye kinywaji cha aina ya soda, na mmojawapo wa wahusika wawili wa tukio hilo alikuwa ni huyo mfanyakazi dereva

Kwa hiyo baada ya kuwa amefanya tukio hilo, dereva huyo alihamishwa Taasisi kuanzia kesho yake J4 ya tarehe 09/03/2021

TANGUUHAMISHO WA DEREVA HUYO KUTOKEA HADI KUFIKIA MUDA HUU: KILE ALICHOKIONA MHUSIKA KWENYE MPANGO MKAKATI ULIOKUWA UMEBEBWA NA DEREVA HUYO


Uhamisho wa dereva huyo kutoka idarani kwa mhusika na kupelekwa kwenye taaisisi nyingine tofauti, ulikuwa ni mpango mkatati uliokuwepo tangu siku nyingi, na ulifanyika baada ya mission maalumu kukamilika

Ushahidi wa kimazingira unaonyesha kuwa hadi kufikia siku hiyo ya J3 ya tarehe 08/03/2021, mkakati uliowahi kupelekea dereva huyo akahamishiwa idarani kwa mhusika, ulikuwa umeshathibitika pasipo shaka kuwa ulikuwa umekamilika

Kutokana na ukweli huo, MMU aliitisha hafla ambayo dereva huyo angehitimisha uwepo wake pale iadarani kwa kumziba mdomo mhusika

Mkakati ulikuwa ni kwamba baada ya mission kukamilika, mhusika alitakiwa azibwe mdomo siku hiyo ya J3 ya tarehe 08/03/2021, sawa tu kama vile ilivyokuja kutokea tena baadaye kwenye mwaka uliofuata, kwenye tukio la ajali ya ndege siku ya J2 ya tarehe 27/11/2022

Kwenye J2 hiyo vile vile, mhusika alitakiwa kuzibwa mdomo baada ya ajali ya ndege kuwa imetokea kule Kagera

KWENYE WIKI HIYO HIYO ALIYOKOSWA KOSWA KUWEKEWA SUMU MHUSIKA OFISINI, KULE KANISANI NAKO LIPOFIKA J2 YA TAREHE
13/03/2021: KINARA WA MATANGAZO (KWM) ALIPANDISHA JUU MADHABAHUNI

Kwenye J2 hiyo, KWM aliwaomba waumini wamuombee “YULE JAMAA WA MAGOGONI”

KWM anaweza asiwe anakumbuka hili, ila hicho ndiyo kile alichowahi kutamka; alitamka maneno hayo “YULE JAMAA WA MAGOGONI”kitu kilichopelekea mhusika kutoa post hii hapa #561

Mhusika alilazimika kutoa post hii baada ya kushindwa kumwelewa KWM kwa sababu kwenye Ijumaa ya wiki hiyo, yaani tarehe 11/05/2021; mhusika alikuwa amesikia habari tofauti kupitia media, zilizohusiana na hicho hicho ambacho kilipelekea KWM kupandisha juu madhabahuni na kuwaomba waumini wakiombee

MENGINE YANAYOHUSIANA NA HAYO

KWENYE MLIPUKO WA KWANZA WA CORONA, WATOTO WA MR X, RAFIKI ZAKE NA MHUSIKA, WALIWAHI KU-PREDICT UKOMO WA KORONA


Watoto hao waliwahi kufanya prediction hiyo wakati corona ikiwa bado ipo inaendelea tena ikiwa imepamba moto, ila Mama Kiongozi wa Wizara husika bado alikuwa anaendelea kupambana usiku na mchana kuhakikikisha kwamba Nchi iko salama

Hadi kufikia muda huo, Nchi ilikuwa imepoteza watu wachache sana, watatu au wanne, kutokana na jnanga hilo

  • Mhusika aliwahi kuleta humu taarifa hizi zilizohusiana na prediction ya watoto hao, na possibly hilo ndiyo kosa kubwa alilowahi kufanya katika maisha yake; alitakiwa akae kimya
  • Mbali na kuleta humu taarifa hizo, mhusika aliwahi kuwashirikisha pia wazazi wote wawili wa watoto hao kwa njia ya mdomo, pamoja na baadhi ya watu wengine wachache waliopo ofisini kwake
KILICHOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUWA AME-EXPOSE TAARIFA ZA PREDICTION YA WATOTO WA MR X KUHUSIANA NA CORONA

Muda mfupi tu baada ya pale, kuliibuka Corona nyingine ya awamu ya pili, na wakati huo Mama Kiongozi wa Wizara husika aliyewahi kuinusuru Nchi na janga hilo kubwa, akiwa tayari ameshabadilishwa Wizara

Facts za kitaalamu na kitabibu kwa ujumla zinaonysha dhahiri kabisa kuwa

  • Hapakuwa na haja ya kumbadilisha Kiongozi huyo prematurely ilhali Corona ilikuwa bado hajithibitika kupotea kabisa kwenye sehemu zingine duniani
  • Hata kama ni kubadilishwa; Mama huyo alitakiwa akae kwenye Wizara hiyo kwa angalau mwaka mwingine mzima, kuanzia pale Corona ilipokuwa imesihia
Kilichotokea baada ya Kiongozi huyo kubadilishwa, wote tunakifahamu na cha kushangaza ni kwamba, wale waliowahi kushauri mabadiliko hayo, hawakuwahi tena hata kukumbuka kutoa ushauri wa kumrudishia Wizara Mama Kiongozi mwenye uzoefu na janga; badala yake aliendelea kuachiwa mwingine asiyekuwa na uzoefu, huku Corana ikiwa inaendelea kupukutisha watu ndani ya Nchi

Sasa kwa mazingira haya aliyoaanisha hapa mhusika; wakati mwingine huwa anajiuliza swali kichwani; was it really Corona?

………………….inaendelea




View: https://www.youtube.com/watch?v=imZYMSndwkk&pp=ygU4bWNodSBuaWNvZGVtIG13YWhhbmdpbGEgbXVuZ3Ugd2EgbWJpbmd1bmkgYW1lYW11YSBrdXNlbWE%3D
 
UPDATE: TUESDAY, 05th NOVEMBER 2024

KWM na MMB
……….inaendelea

MWAKA 2022 KM-A ALIPOENDA LIKIZO KWA MARA YA KWANZA


KM-A alikabidhi Madhabahu kwa KWM

Kwenye utumishi wa Mungu, KWM ni mateur; hajasomea

Kwa hiyo KM-A aliondoka Kanisani akikabidhi Madhabahu kwa KWM ambaye anajua kuwa amater ilhali professionals walikuwepo

Still, hata kama KWM angekuwa ni Professional, bado alikuwepo Kiongozi mwingine ambaye ni Senior kwake, na huyo ndiyo alitakiwa kukabdihiwa Madhabahu hiyo

Makabidhiano hayo ya mwaka 2022 nayo yanadhihirisha pia kuwa KM-A alikabidhi madhabahu hiyo kwa KWM kutokana na sababu zingine ambazo haziendani na taratibu za utumishi wa Mungu na pia professionalism

Muda mfupi kabla ya KWM kuondoka Knaisa A, aliwahi kupanda juu madhabahuni na kutangaza ajali hewa; na maelezo ya tukio hilo mhusika aliwahi kuyaleta humu kupitia post hii hapa #1,494

Post hii ndiyo ile iliyopelekea mhusika akampa nick name ya KWM

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 07th NOVEMBER 2024

KWM na MMB
……….inaendelea

KWENYE J2 MOJA AMBAYO KWM ALIWAHI KUPANDA JUU MADHABAHUNI ILI KUKABIDHI ZAWADI KWA MSHINDI WA SHINDANO LA WAJASIIRIAMALI, JIONI YAKE VIBANDA VYA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO KARIAKO VILITEKETEA KWA MOTO


Taarifa zaidi zinapatikana kwenye post hii hapa #2,152

KUHUSIANA NA UKOMO WA CORONA ULIOWAHI KUTABIRIWA NA WATOTO WA MR X, RAFIKI ZAKE NA MHUSIKA

Taarifa kuhusiana na utabiri wa watoto hao zinapatikana kwenye post hii hapa #140

COMING UP NEXT

MOSI:
CODE YA “SWITCH ON-SWITCH OFF”(COSOSO)


Ifuatatayo hapa chini ni nukuu kutoka kwenye post ya hivi karibuni nyuma kuhusiana na code hii

Mwanzo wa kunukuu

“……………..Wamiliki wa code hii ni MR X pamoja na mke wake

Code hii pia ndiyo ile ambayo MR X aliitumia ivi karibuni kwenye J2 moja kule Kanisani, pale alipomfuata mhusika na kumtoa nje ya Ibada, nia ikiwa ni mhusika kumpisha MR X ili aweze kutoka, kwenye J2 moja ambayo MR X alikuwa na gari aina ya ALPHARD NYEUPE


  • Code hii waliizindua kipindi kirefu nyuma wakiwa wote wawili na MRS X, kwenye kipindi kile cha ukomo wa ugonjwa CORONA, possibly ilikuwa February 2021
  • Ushahidi uliopo kuhusiana na code hii unaonyesha kuwa wakati MR & MRS wanaizindua code hii, ENGINE ya gari la sasa la mhusika ilikuwa AIDHA tayari imeshaibiwa siku chache tu nyuma, AU ilikuja kuibiwa siku chache tu mbele, baada ya March 17
Code hii waliizindua kwenye muda ambao una sifa zilizotajwa hapa

PILI: CODE YA MAFURIKO MAPYA YA SASA YA MAJI MACHAFU KWENYE SINK LA KUOGEA LA MHUSIKA (CMC)

Ni kwa mara nyingine tena leo mhusika amelazimika kwenda ofisini pasipo kuoga asubuhi


  • Mhusika wa code hii ni MR X vilevile na kuna ushahidi unaohusisha hadi picha zilizochukuliwa ofisini siku ya leo J3 ya tarehe 21/09/2024
  • Picha za aina hii mhusika angeweza kuwa ameshazichukua pia kwenye matuko mengine mawili ya nyuma yaliyotopkea kwenye siku mbili tofauti, isipokuwa kipindi hicho alikuwa bado hajapata wazo hilo kichwani
Kwenye siku hizo mbili tajwa za nyuma, mhusika alilazimika pia kufika ofisini akiwa hajaoga asubuhi, kama ilivyotokea tena kwa siku ya leo; haiwezi kuwa coincidence!

Kwa upande wa kule Kanisani kwake, mhusika wa code hii kwa sasa ni KM-A na alifanya hivyo kwenye ile J2 ya kwanza kabisa ambayo mafundi walikuwa wameanza matayarisho ya kuweka tiles chini, na baada ya J2 hiyo kupita, waumini walianza kupaki magari yao nje ya uzio wa Kanisa kwa wiki mbili mfululizo kwa sababu ujenzi ulikuwa unaendlea…………………..”

Mwisho wa kunukuu

TATU: YA TOKANAYO NA CODE YA ALPHA PAMOJA NA BARUA YA BANK


Maelezo ya kipengele hiki yatafuata baadaye, mara tu baada ya maelezo ya vipengele viwili vilivyotajwa hapo juu kuwa yamekamilika

STAY TUNED!

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
INTERCERCEPTING NEWS
BAADHI TU YA MAMBO MUHIMU ALIYOYAONA MHUSIKA KUSNXIA SIKU YA J2 KSNISANI HADI LEO

1.0 KWA UPANDE WA KANISANI: KUHUSIANA NA KUOMBEA WASAFIRI


KAWAIDA WASAFIRI HUWA WANAOMBEWA WAKATI WA MATANGAXO YA KIONGOZI WA ZAMU NA SI KWENYE WAKATI WA MATANGAXO YA KM-A, NA KARIBIA MARA ZOTE HUWA WANAOMBEWA KWENYE IBADA YA KWANZA, NA SI KWENYE IBADA YA PILI, JAPO SI LAZIMA IWE KWENYE IBADA YA KWANZA TU

KWENYE IBADA YA PILI J2 ILIYOPITA, WASAFIRI WALIOMBEWA WAKATI WA NATANGAZO YA KM-A, NA BAADA YA WAUMINI KUWAWSMEOMBA KUSIMAMAMA KWANZA

KWENYE SIKU NYINGINE YA NYUMA AMBAYO MARA YA KWANZA KM-A ALIWAHI KUFANYA HIVYO, ZILITOKEA AJALI MBAYA SANA ZA BARABARANI, NA MHUSIKA ALILETA HUMU MALALAMIKO YAKE KUHUSIANA NA AJALI HIZO, NA AMBAZO ALIZIONA KUWA ZILIKUWA LINKED NA UTARATIBU HUO MPYA

KWA WIKI HII VILE VILE, AJALI MBAYA IMETOKEA NA KUGHARIMU UHAI WA WATU 14 NA WENGINE WENGI KUJERUHIWA

MTINDO HUU ALIUANZISHA KINARA WA MATANGAZO KWENYE J2 MOJA AMBAYO ALIWAHI KUSINGIZIA KUWA KULIKUWA NA MUUMINI ALIYEKUWAAMEPATA AJALI SANA NA HIVYO KUWAOMBA WAUMINI WAKSIMAME KUMUOMBEA MUATHIRIKA

BAADA YA TANGAXO HILO LA KWM, KWENYE WIKI ILIYOFUATA, ANGALAU AJALI MOJA MBAYA SANA YA BARABARANI ILITOKEA

HUU MTINDO WA KUWAOMBEA WASAFIRI KWA NAMNA HII, UNASABABISAHA AJALI NA HUWA WANAFANYA HIVYO INAPOKUWA IMETOKEA KUWA KWENYE MUDA WA KAWAIDA WA MATANGAZO YA KIONGOZI WA ZAMU, PEPO ANAKUWA HAYUPO MADHABAHUNI

HALI HII HUPELEKEA KUAHIRISHWA KWA MAOMBI HAYO, YAKISUBIRIA MTU MWENYE UWEZO WA KUPANDISHA PEPO PALE JUU MADJABAHUNI, HALAFU BAADA YA HAPO NDIYO WASAFIRI HUOMBEWA; LENGO LIKIWA NI ILI ZITOKEE AJALI

2.0 YALE YA KUTOKEA OFISI KWAKE MHUSIKA
PTOFESA MSTAAFU WA IDARA HIYO NA AMBAYE ALIWAHI KUWA MMOJA WA WATU WALIOKUWA KWENYE TIMU YA MAKINIKIA, JANA IJUMAA YA TAREHE 08/11/2024 ALIFIKA OFISINI NA KUINGIA CHUMBA CHA MICROSCOPE, BAADA YA MR X KUWA AMEFUNGUA CHUMBA HICHO NA HATIMAYE KUKIACHA WAXI

BAADA YA PROFESA HUYU KUWA AMEINGIA HUMO JANA, ALIHITIMISHA SASA UFUNUO WA YALE AMBAYO YAMEKUWA YAKIENDELEA KWA MUDA MREFU KWENYE CHUMBA HICHO, YAKIWEMO YA WATU WALIOKUWA WAKIFIKA NA KUCHUNGULIA TU KWENYE CHUMBA HICHO HALAFU WANAONDOKA

KILE AMBACHO KIMEKUWA NYUMA YA MATUKIO YA CHUMBA HICHO NI KWAMBA BAADHI YA MAJINA MINERALS, NI MAJINA YANAYOTENGENEZA KEYSNA WAANDISHI WA BIBLIA, AU WATU WENYE UHUSIANO WA KARIBU NA MUNGU AU YESU

MAJINA HAYO YANAPAIKANA KUPITIA POST HII HAPA CHINI NA TAARIFA ZINGINE ZAIDI ZITAFUATA BAADAYE


1.ABELLA-ITE
2.ABELSON-ITE
3.ABEKI-ITE-(CE)
4.ABERTHY-ITE
5.ABHUR-ITE
6.ABRAMOV-ITE
7.ABSWURMBACH-ITE
8.ACANTH-ITE
9.ACHAVAL-ITE
10.ACTINOL-ITE
11.ACUMIN-ITE
12.ADAM-ITE
13.ADAMANTINE SPAR
14.ADAMS-ITE-(Y)
.................

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BREAKING NEWS!!!!
KUHUSIANA NA MAJINA YA MINERALS ZILIZOTAJWA KWENYE POST ILIYOPITA HAPO JUU


MAJINA YA MINERALS HIZO YANAYOISHIA NA HERUFI "TE", YANATENGENEZA KEYS NA REGISTRATION NUMBERS ZA MAGARI YOTE YANAYOSAJILIWA NCHINI KWA SABABU NAMBA ZOTE ZA MAGARI ZINAANZA NA HERFUFI "T"

ZAIDI NI KUWA MAJINA HAYA YANATENGENEZA STRONG KEYS NA NAMBA ZILE ZINAZOBEBA AIDHA HERUFI "E" AU "T" AU ZOTE MBILI KWA PAMOJA, KWENYE MOJAWAPO YA ZILE HERUFI TATU ZA MWISHO ZA NAMBA ZA USAJILI ZA MAGARI

ZAIDI NI KUWA NAMBA YA USAJILI YA GARI LA MKE WA KINARA WA MATANGAZO INAISHIA NA HERUFI MBILI "TE" KULE MWISHO

VILE VILE GARI LA MMILIKI WA SOURCE CODE YA GENERATOR STAFFMATE WA MHUSIKA, NALO PIA NAMBA ZAKE ZINAISHIA NA HERUFI HIZO MBILI "TE"

MENGINE YATAFUATA BAADAYE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KWENYE ORODHA HIYO VILE VILE, MINERAL # 40 INAITWA AKI-MOTO-ITE; MAMBO YA MOTO MOTO HAYA
 
UPDATE: MONDAY, 11th NOVEMBER 2024

UTAFITI ULIOKAMILIKA:
KITU KINGINE CHA ZIADA KILICHOPO NYUMA YA BAADHI YA IBADA ZA NDOA PALE KANISA A, ZINAZOONEKANA KUWA NI ZA KUAZIMWA KUTOKA KWENYE MAKANISA MENGINE


Code kuhusiana na utitiri wa Ibada hizo inapatikana kwenye Maandiko Matakatifu Biblia, kwenye Kitabu cha Injili ya Mathayo, sura ya 25

Kwenye sura hiyo, YESU anasimama kama BWANA HARUSI; WANAWALI wanasimama kama BIBI HARUSI au WAUMIN huku TAA za wanawali zikiwa ni WOKVU; na MAFUTA akiwa ni ROHO MTAKATIFU

Mathayo 25

Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.
2 Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara.
3 Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao;
4 bali wale wenye busara walitwaa mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.
5 Hata bwana arusi alipokawia, wote wakasinzia wakalala usingizi.
6 Lakini usiku wa manane, pakawa na kelele, Haya, bwana arusi; tokeni mwende kumlaki.
7 Mara wakaondoka wanawali wale wote, wakazitengeneza taa zao.
8 Wale wapumbavu wakawaambia wenye busara, Tupeni mafuta yenu kidogo; maana taa zetu zinazimika.
9 Lakini wale wenye busara wakawajibu, wakisema, Sivyo; hayatatutosha sisi na ninyi; afadhali shikeni njia mwende kwa wauzao, mkajinunulie.
10 Na hao walipokuwa wakienda kununua, bwana arusi akaja, nao waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye arusini; mlango ukafungwa.
11 Halafu wakaja na wale wanawali wengine, wakasema, Bwana, Bwana, utufungulie.
12 Akajibu akasema, Amin, nawaambia, siwajui ninyi.
13 Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.
14 Maana ni mfano wa mtu atakaye kusafiri, aliwaita watumwa wake, akaweka kwao mali zake.
15 Akampa mmoja talanta tano, na mmoja talanta mbili, na mmoja talanta moja; kila mtu kwa kadiri ya uwezo wake; akasafiri.
16 Mara yule aliyepokea talanta tano akaenda, akafanya biashara nazo, akachuma faida talanta nyingine tano.
17 Vile vile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma nyingine mbili faida.
18 Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akafukua chini, akaificha fedha ya bwana wake.
19 Baada ya siku nyingi akaja bwana wa watumwa wale, akafanya hesabu nao.
20 Akaja yule aliyepokea talanta tano, akaleta talanta nyingine tano, akisema, Bwana, uliweka kwangu talanta tano; tazama, talanta nyingine tano nilizopata faida.
21 Bwana wake akamwambia, Vema, mtumwa mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako.
22 Akaja na yule aliyepokea talanta mbili, akasema, Bwana, uliweka kwangu talanta mbili; tazama, talanta nyingine mbili nilizopata faida.
23 Bwana wake akamwambia, Vema, mtumwa mwema na mwaminifu; ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi; ingia katika furaha ya bwana wako.
24 Akaja na yule aliyepokea talanta moja, akasema, Bwana, nalitambua ya kuwa wewe u mtu mgumu, wavuna usipopanda, wakusanya usipotawanya;
25 basi nikaogopa, nikaenda nikaificha talanta yako katika ardhi; tazama, unayo iliyo yako.
26 Bwana wake akajibu, akamwambia, Wewe mtumwa mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;
27 basi, ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoao riba; nami nikija ningalipata iliyo yangu na faida yake.
28 Basi, mnyang'anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.
29 Kwa maana kila mwenye kitu atapewa, na kuongezewa tele; lakini asiye na kitu, hata kile alicho nacho atanyang'anywa.
30 Na mtumwa yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.
31 Hapo atakapokuja Mwana wa Adamu katika utukufu wake, na malaika watakatifu wote pamoja naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu wake;
32 na mataifa yote watakusanyika mbele zake; naye atawabagua kama vile mchungaji abaguavyo kondoo na mbuzi;
33 atawaweka kondoo mkono wake wa kuume, na mbuzi mkono wake wa kushoto.
34 Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkono wake wa kuume, Njoni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa ulimwengu;
35 kwa maana nalikuwa na njaa, mkanipa chakula; nalikuwa na kiu, mkaninywesha; nalikuwa mgeni, mkanikaribisha;
36 nalikuwa uchi, mkanivika nalikuwa mgonjwa, mkaja kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia.
37 Ndipo wenye haki watakapomjibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona una njaa, tukakulisha, au una kiu tukakunywesha?
38 Tena ni lini tulipokuona u mgeni, tukakukaribisha, au u uchi, tukakuvika?
39 Ni lini tena tulipokuona u mgonjwa, au kifungoni, tukakujia?
40 Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.
41 Kisha atawaambia na wale walioko mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake;
42 kwa maana nalikuwa na njaa, msinipe chakula; nalikuwa na kiu, msininyweshe;
43 nalikuwa mgeni, msinikaribishe; nalikuwa uchi, msinivike; nalikuwa mgonjwa, na kifungoni, msije kunitazama.
44 Ndipo hao pia watajibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona wewe una njaa, au una kiu, au u mgeni, au u uchi, au u mgonjwa, au u kifungoni, tusikuhudumie?
45 Naye atawajibu, akisema, Amin, nawaambia, Kadiri msivyomtendea mmojawapo wa hao walio wadogo, hamkunitendea mimi.
46 Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.


Vinginevyo taarifa nyingine za nyongeza zinapatikana kupitia wimbo huu hapa chini


View: https://www.youtube.com/watch?v=8mPSU0Zouck

UPNEXT

BARUA YA BENKI-PART3


UTAFITI ULIOKAMILIKA: CODE YA GAMMA-KAPPA
Gamma na Kappa herufi zingine kwenye alphabets za Kigiriki kama zilivyo Alpha na Omega


STAY TUNED….
 
BARUA YA BENKI-PART3 UTAFITI ULIOKAMILIKA: CODE YA GAMMA-KAPPA
HERUFI ZA KIGIRIKI A TO Z

Pronunciation

Α/α – Alpha

Β/β – Beta

Γ/γ – Gamma

Δ/δ – Delta

Ε/ε – Epsilon

Ζ/ζ - Zeta

Η/η – Eta

Θ/θ - Theta

Ι/ι - Iota

Κ/κ - Kappa

Λ/λ - Lambda

Μ/μ - Mu

Ν/ν - Nu

Ξ/ξ - Xi

Ο/ο - Omicron

Π/π - Pi (pie/ pai)

Ρ/ρ - Rho

Σ/σ/ς - Sigma

Τ/τ - Tau

Υ/υ - Upsilon

Φ/φ - Phi

Χ/χ - Chi

Ψ/ψ - Psi

Ω/ω – Omeg

CONFIRMED INFORMATION KWA PANDE MBILI ZA BENKI NA KANISANI KWAKE MHUSIKA, KUHUSIANA NA UWEPO WA IDENTICAL TWINS

Yule mfanyakazi wa Benki ambaye mhusika aliwahi kuleta taarifa zake humu kuwa ana pacha wake wakiwa ni identical twins; taarifa hii kwa sasa ni confirmed; mfanyakazi huyo anaye pacha wake wa aina hiyo

Vile vile kule Kanisani kwake mhusika, yule kiongozi wa vijana naye pia anaye pacha wake wa aina hiyo; wakiwa ni identical twins

CODE YA GAMMA-KAPPA

…………………………inaendelea
 
CODE YA GAMMA-KAPPA (Tuuiite CGK)

…………………………inaendelea

MAELEZO YA UTANGULIZI


Code hii nayo pia ina uhusiano na Barua ya Benki kwa sababu mchakato wake ulianzia Kanisani siku ya J2 ya tarehe 03/11/2024; huku ukiwa umelenga kushambulia Maandiko Matakatifu Biblia (MMB); sawa na ilivyokuwa kwenye ule mchakato mwingine uliopita nyuma, ambao ulihusiana moja kwa moja na Barua ya Benki

NAMNA MAMBO YALIVYOANZA SIKU YA J2 YA TAREHE 03/11/2024

Asubuhi ya J2 hiyo mhusika akiwa anaelekea Kanisani, mara tu baada ya kuwa amepita kwenye mataa ya Ubungo Interchange, gari aina ya VANGUARD NYEUSI (tuiite VGNY), ilimpita kwa kasi kidogo, na baada ya hapo ilienda ikakata kona kama inaelekea Kanisani, na hatimaye kupaki kulia pembezoni mwa bararabara, upande wa eneo la Ubungno Plaza

Baada ya hapo, mhusika naye alienda akapinda kwenye kona hiyo hiyo huku yeye akinyoosha moja kwa moja kuelekea Kanisani na hivyo kuiacha gari ikiwa bado ipo nje

Gari hiyo ilikuwa ni ya mama muumini wa Kanisa A, na ambaye mtoto wake mdogo wa kiume ni swahiba wa karibu sana wa mhusika

Jina la swahiba wa mhusika, linafanana na jina la mmojawapo wa waandishi wa Kitabu cha Zaburi; na ambao baadhi yao, majina yao ni haya hapa

  • ABRAHAM
  • ADAM
  • ASAPH
  • DAUDI
  • ETHAN
  • EZRA
  • HERMAN
  • JEDUTHUN
  • KORAH
  • MELCHZEDEKI
  • MUSSA
  • SOLOMON
Baada ya kuwa ameingia ndani ya uzio wa Kanisa, mhusika alielekezwa sehemu ya kupaki

Muda mfupi baada ya kuwa amepaki, gari hiyo VGNY nayo ilifika mahali alipokuwa huku zikiwa zimepita sekunde chache, na hivyo ikawa imefanikiwa kupaki nyuma ya gari la mhusika

MACHACHE KUHUSIANA NA GARI HIYO VGNY


Taarifa za uhakika alizonazo mhusika hdi kufikia muda huu kuhusiana na gari hiyo VGNY ni kwamba J2 hiyo, gari hiyo ilikusudia kupaki nyuma ya gari la mhusika ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa mhusika hatoki kwenye sehemu atakayokuwa amepaki, hadi awe amepata nafasi ya kuonana na mwenye gari hiyo

Kutoakana na hali hiyo:

  • Asubuhi wakati mhusika anaelekea Kanisani, gari hiyo ilimpita kwa kasi lakini hatimaye ilienda akapaki pembezoni mwa Barabara, kitu kilichopelekea mhusika kutangulia kuingia ndai ya uzio wa Kanisa kabla ya gari hiyo
  • Lengo la VGNY kupaki kwa muda nje ya uzio wa kanisa, lilikuwa ni kumsubiria mhusika atangulie kuingia ndani ya uzio wa Kanisa, ili hatinaye gari hiyo ije ipaki nyuma ya gari lake; kitu ambacho kilifanikiwa
BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEPAKI GARI NA HATIMAYE KUELEKEA NDANI YA NYUMBA YA IBADA

Ibada ilianza na kuendelea na hatimaye kumalizika

Baada ya Ibada kuhitimishwa, Kiongozi Mkuu wa Kanisa A alitoa tangazo kuwa wanawake wote wanatakiwa kukutana kwa muda mara tu baada ya Ibada

  • Kwa hiyo baada ya Ibada kuhitmishwa, mama mwenye gari iliyokuwa imepaki nyuma ya gari la mhusika, alihudhuria kikao kwa muda
  • Kilichotokea J2 hiyo ni sawa tu na kile kilichowahi kutokea kwenye J2 moja miezi kadhaa iliyopita, pale binti mwenye gari inayofanana na hiyo VGNY, alipaki nyuma ya gari la mhusika na hivyo kupelekea mhusika kulazimika kuendelea kuwepo Kanisani baada ya Ibada kumalizika
Ni kwa sababu binti huyo alikuwa amemziba mhusika, na baada ya Ibada kuhitimishwa, alikuwa ni miongoni mwa watu waliohitajika kwenye kikao kifupi na KM-A

Mhusika aliwahi kuleta humu taarifa hizo zilizohusiana na tukio la binti huyo kwenye J2 hiyo; J2 ambayo ilikuwa ni ya mwezi wa Saba 2024

SIFA MOJA MUHIMU ALIYOINA MHUSIKA KWENYE KUSANYIKO HILO LA WANAWAKE LA J2 HIYO

Mama aliyekuwa anaongea kwenye kusanyiko hilo huku wanawake wengine wakimsikiliza, naye pia mtoto wake swahiba wa mhusika; huku jina la mtoto huyo nalo likiwa limefanana na mojawapo ya majina hayo yaliyoorodhseshwa hapo juu, ambayo ni ya waandishi wa Kitabu cha Zaburi cha MMB

Zaidi ni kuwa ilikuwa ni mara ya kwanza kwa J2 hiyo, kwa mhusika kumuona mama huyu akiwa anaongea kwenye kusanyiko la wanawake Kanisani hapo

CODE YA GAMMA-KAPPA (CGK)

……………………inaendelea
 
CODE YA GAMMA-KAPPA …………………………inaendelea

BAADA YA KUSANYIKO LA AKINA MAMA KUHITIMISHWA


Mhusika alifanikiwa kuonana na rafiki yake ambaye alikuwa ameambatana na mama yake, na ambaye kawaida mhusika huwa anamuita kwa kutumia jina la ukoo linaloanza na neno “OLE”

Baada ya hapo mama alimpisha mhusika na aliweza kutoka na kuanza safari ya kurudi nyumbani

Hadi kufikia muda huo wa kuondoka mazingira ya Kanisani J2 hiyo, mhusika alikuwa hajabaini kitu chochote kisichokuwa cha kwaida; hadi ilipofika tena kesho yake jioni ya J3 ya tarehe 04/11/2024

KILE KILICHOTOKEA SIKU YA J3 YA TAREHE 04/11/2024


Wakati wa jioni mhusika alipokuwa yupo kwenye parking anataka kuondoka kurudi nyumbani, alibaini SPARE TYRE nyuma ya gari lake haikuwa na upepo; ulikuwa umetolewa

Mhusika hakuweza kubaini ni muda gani na mahali gani upepo huo uliwahi kutolewa, isipokuwa wakati anagundua, staffmate mwenye gari yenye namba za usajili CCJ, alikuwa amekuja baadaye na kupaki upande wa kulia wa gari la mhusika

Staff huyu pamoja na gari yake hiyo moja yenye namba hizi (anazo gari mbili) huwa ana sifa zifuatazo ambazo huwa si za kawaida sana

Pale inapotokea kuwa kwenye siku fulani gari la mhusika liliwahi kwenda gereji, baada ya kurudi kutoka gereji, kuanzia pale, gari yenye namba hizi tajwa huwa karaibia mara zote, inaanza kupaki jirani na gari la mhusika kwa siku kadhaa mfululizo; na kwa siku zisizopungua wiki moja au mbili

Hii huwa inatokea hivi pale inapokuwa imetokea mhusika kuwahi kulazimika kupelekea gari gereji AIDHA kwa ajili ya MATENGENEZO ambayo karibia mara zote chanzo chake huwa ni kinakuja kudhihirka kuwa ni hujuma, AU kwa ajili ya kujaza UPEPO

  • Kwa hiyo, chances ni kwamba aliye-coordiate upepo huo kutolewa ni huyo mwenye gari hiyo na utakuwa ulitolewa gari ikiwa ipo kwenye parking za ofisini
  • Uwezekano mdogo sana ni kwamba upepo huo unaweza kuwa ulitolewa gari lilipokuwa lipo kwenye parking Kanisani, au usiku likiwa limepaki nyumbani
  • Still, coordination ya kutolewa upepo ilitokana na yale yaliyokuwa yamejiri mhusika alipokuwa yupo Kanisani siku ya J2


Baada ya mhusika kubaini upepo kutolewa siku ya J3 jioni, aliamua kwenda kuujaza tena siku iliyofuata ya J4

KULE AMBAKO HASA MAELEZO HAYA YANAELEKEA: NI KWA WANDISHI WA VITABU, AKIWEMO “BWM-RIP”

Baada ya matukio haya yaliyoelezwa hapo juu kuwa yamepita (siku ya J2), matukio mengine kadhaa yalikuja kufuata tena kuanzia siku ya J4, mhusika alipokuwa yupo ofisini ambayo baadaye yalikuja kutengeneza uhusiano kati ya waandishi hao wa Biblia na mwandishi wa Kitabu BWM-RIP, pamoja na Mungu ambaye ni Alpha au Omega

KILE AMBACHO HASA KILI-TRIGGER UTAFITI HUU SIKU HIYO YA J4: NI ILE HERUFI YA KIGIRIKI INAYOITWA “CHI (KAI)” NA AMBAYO HUWA INAYOTUMIA SYMBOL Χ/χ


Ilianza kama ifuatavyo

J4 ya tarehe 05/11/2024, ikiwa ni siku moja tu baada ya mhusika kuwa amebaini upepo kutolewa kwenye tairi la spare, mgeni ambaye ni staffmate na pia mkwe wa mhusika, alifika ofisini kwao mhusika kwa ajili ya maongezi mafupi na OM-2

  • Mgeni huyu alifika na kuwakuta mhusika na OM-2 wakiwa wapo wawili ofisini
  • Zilipita takribani dakika 2 mkwe akiwa anaongea na OM-2 huku akiwa amesimama; kitu kilichopelekea mhusika kumkaribisha kiti cha ziada kilichokuwa karibu na meza yake (mhusika) na hivyo kumuomba mkwe akae kwa kumwambia “UKAE”
Alichokuja kukibaini mhusika baadaye kwenye plot hii ni kwamba mkwe akiwa yupo ofisini hapo, aliamua kusimama kwa makusudi na OM-2 naye pia aliamua kutokumkaribisha kiti kwa makusudi; ilikuwa ni planned

Lengo la plan hiyo ilikuwa ni ili kum-trigger mhusika amkaribishe kiti mkwe kwa kumwambia “UKAE”, kitu ambacho kweli kilitokea

Baada ya mhusika kumkaribisha kiti; mkwe alikaa kwenye kiti, wakafanya maongezi yao na OM-2 na hatimaye aliondoka na kurudi ofisini kwake

KILICHOTOKEA KWENYE UKARIBISHO HUO WA MHUSIKA KWA MKWE WAKE

Rhythm
ya silabi (syllable) mbili za mwisho za neno “UKAE”, yaani zile “KAE”, inafanana na rhythm ya silabi zote mbili za neno “KAI”; yaani namna ambavyo silabi hizi zinasikika masikioni mwa msikilizaji, pale zinapokuwa

ANGALIZO MUHIMU:


Mhusika hawezi kushangaa kama huko mbele ya safari,swala hili la SYLLABLES litakuja kuibua swala jingine la SYLABI (MITAALA) ambayo Senior Mstaafu wa Kiume (SMME) aliwahi kushiriki kutengeneza

Kwa hiyo wakati mhusika anatamka neno “UKAE”, tayari kulikuwa na shida kwenye silabi, shida ambayo OM-2 na mkwe walikuwa wanaifahamu kabla

KILICHOPELEKEA MHUSIKA KUGUNDUA KUWA SILABI ZILIKUWA NA SHIDA J4 HIYO

Hapa ndiyo ambapo hasa mzizi wa maelezo ya code ya CGK unaanzia


Mhusika alikuwa amepanga kwenda kujaza upepo J4 hiyo baada ya kutoka ofisini

  • Muda wa kutoka ofisini ulipowadia; mhusika alitoka nje ya jengo na kuelekea kwenye sehemu aliyokuwa amepaki gari lake; tayari kwa ajili ya safari ya kwenda kujaza upepo
  • Kabla hajafika kwenye sehemu alipokuwa amepaki gari lake, huku mwanzoni aliiona gari ndogo aina ya ALEX, ikiwa ipo kwenye parking; injini yake ikiwa inaunguruma kwenye silencer
Gari hiyo ni ya staffmate wake mhusika; akiwa ni mtu wa pili idarani kwake mhusika kumiliki gari ya aina hiyo; huku mtu wa kwanza akiwa ni yule mmiliki wa source code ye Generator

Kwa sababu gari hiyo ina vioo ambavyo ni tinted, mhusika hakuweza kuona kama kulikuwa na mtu ndani na hivyo alidhani kuwa pengine mwenye nayo ameiacha ikiwa kwenye running mode akiwa anatarajia kuja kuichukua pale muda siyo mrefu

  • Kutokana na hali hiyo, mhusika alijaribu kuipita gari hiyo pasipo kuijali
  • Hata hivyo, baada ya kuwa ameipita hatua chache tu, huku akiwa ana dhana kuwa haikuwa na mtu ndani, ndiyo pale kosa la karne lilipofanywa na mtu aliyekuwa ndani ya gari hiyo
Mwenye gari alifungua kioo upande wa dereva na kumsemesha mhusika; kitu ambacho kilionyesha dhahiri kabisa kuwa alikuwa somehow yuko calculated kuonana na mhusika maeneo hayo na kwenye muda huo

  • Mtu aliyekuwa ndani ya gari hilo, mojawapo ya majina yake yanafanana na na jina code hii ya CGK; huku gari aliyokuwa nayo aina ya ALEX, ikiwa inamiliki herufi ALPHA (A)
  • Kama ambavyo herufi hizi zimeshaonyeshwa hapo juu, kwenye lugha ya Kigiriki, herufi ALPHA inaandikwa “α” ikiwa ni herufi ndogo na inaandikwa “A” kwa herufi kubwa
Kwa hiyo mtu mwenye jina ambalo linafanana na matamshi ya mojawapo ya herufi za Kigiriki, alikuwa yupo ndani ya gari akiwa amejifungia, possibly ili watu wasimuone, gari ambayo jina lake nalo pia liinatengeneza “KEY” na mojawapo ya herufi ya Kigiriki inayomaanisha Mungu

…………………………itaendelea TENA

TAFAKURI YA LEO


ALPHA-D
===Alfered

ALEX===Alexed===Axed===mwenye Shoka

MR X=== MR Xed===MR AXED ===MR mwenye Shoka

Yapo mengi; yatafuata baadaye

By the way; MKANDARASI aliyewahi kufanya ukarabati wa jengo la Idara kuanzia Januari 2021, mojawapo ya majina yake linafanana na mojawapo ya majina yaliyotajwa kwenye code hii

CODE YA GAMMA-KAPPA …………………………itaendelea TENA


In the war between falsehood and truth (God), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
BARUA YA BANK PART-3: CODE YA GAMMA-KAPPA
…………………………inaendelea


KABLA YA KUENDELEA ZADI: YALE YALIYOJIRI SIKU YA J3 YA TAREHE 04/11/2024: MGENI-MWENYEJI ALIFIKA IDARANI KWA MHUSIKA


Staffmate wa mhusika ambaye yuko kwenye secondment kwenye bwawa la kuzalisha umeme kwa miaka kadhaa sasa, alifika idarani J3 na baada ya hapo, hakuonekana tena kuanzia siku iliyofuata ya J4 hadi leo

Staffmate huyu ana baadhi ya sifa muhimu zifuatazo

  • Mojawapo ya majina yake linafanana na jina la Mwandishi wa Kitabu kimojawapo cha kwenye Maandiko Matakatifu Biblia (MMB) na hivyo jina hilo linatengeneza KEY na mwandishi huyo
  • Jina hilo vile vile linatengeza KEY na neno Omega; neno ambalo linamaanisha Mungu
  • Anatoka kwenye “lineage” moja na mtoto rafiki yake mhusika wa Kanisani ambaye mara zote mhusika huwa anamwita “OLE”
  • Jina lake hilo pia linatengeneza KEY na jina la Kiongozi Mwalimu wa somo la Uanafunzi na Maandiko Kanisani kwa mhusika, ambaye wiki chache zilizopita, mwalimu huyo alionekna akiwa ameambatana na“GATES” kwenye gari wakiwa wanatoka nje ya uzio wa Kanisa
Namna staffmate huyu alivyofika ofisini siku hiyo, alionyesha dalili zote kuwa alikuwa yupo kwenye operation ya dharura na ndiyo maana alionekana siku moja na hatimaye kutoweka tena

SIKU YA J4: BAADA YA MHUSIKA KUWA AMEACHANA NA MTU WALIYEKUTANA NAYE JIONI KWENYE PARKING ZA GARI; ALIELEKEA KWENYE UPEPO

Baada ya kutoka ofisini jioni hiyo, mhusika alinyoosha moja kwa moja kuelekea maeneo ya Sinza kwa ajili kujaza upepo kwenye spare tyre

Baada ya kufika huko, ilibainika kuwa Spare Tyre hiyo ilikuwa ina matundu mengine kadhaa ambayo yalihitaji kuzibwa

  • Matundu hayo yalikuwa yako karibu karibu sana na yalikuwa hayapungui matatu
  • Hii inamaanisha kuwa kwa awamu hii, upepo ulikuwa umetolewa kwenye tairi kwa njia ya tairi kutobolewa matundu
Hii ni kutokana na ukweli kuwa tyre hiyo ilikuwa haijatumika tangu mara ya mwisho ilipofanyiwa service na mafundi wale wale ambao waliibaini kuwa na matundu kadhaa siku hiyo

CODE YA GAMMA-KAPPA
…………………………inaendelea
 
Back
Top Bottom