Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

Mkasa wa kweli, kuhusu visa vya kushangaza nilivyokutana navyo katika kazi za Udalali

Niambie hii ni nini enyi madali frem mpya na kilemba
 

Attachments

  • 407ECDB6-6334-46C3-A33F-D0799BFC5A54.png
    407ECDB6-6334-46C3-A33F-D0799BFC5A54.png
    540.7 KB · Views: 34
EPS 8.

Niliona sura yake imebadilika ghafla, alishtuka ila ilionekana kama hajafurahia kitendo hicho, na mimi nikabadili Gia angani, nikamwmabia Fungamacho nikuombee Niondoke akaanza kutabasamu.

Alicheka akaniambia umenishtua sana nilifikiri unataka kunibaka.

Nikamwmabia kama ningekubaka ungefanyaje wakati umenikaribisha ndani mwenyewe, aliishia kucheka cheka tu na mimi nikaamua kubadili mazungumzo.

Nilikaa pale hadi saaa tatu nikala pale Chakula cha Jioni nikaagana nae, nikaondoka.

Kama kawaida nikapitia Chimbo nikapiga safari zangu kadhaa nikaenda Nyumbani Kulala.

Nilianza Kumpigia Judy kwanza maana tangu mchana sijawasiliana nae na sms zake sikuweza kuzijibu, tukapnga mambo mengi ya maisha yetu mustakabali wangu akaniuliza kama naenelea kutafuta kazi au nimerizika na kazi ya udalali, wakati naongea nae naona Jeni nae anapiga kwa Fujo sana.

Sikupokea niliongea na Judy tukaagana nikampigia sasa Jeni nimsikilize.

Alianza kuniambia kwamba amefurahi sana nilivyoenda kwake, akaniuliza kama nina mahusiano yoyote nikamdanganya kwa sasa sina akaniambia hana usingizi kabisa yupo tu mwenyewe akaniambia anatamani tena ingelala kabisa.

Urafiki wetu uliendelea kukua kwa kasi ya 5G akaanza kunipa Dili ananiunganisha na marafiki zake,wanaohitaji nyumba na viwanja.

Matukio menginenayaruka maana hayana maana.

Alininunganisha na jaMaa Fulani hivi walikuwa wanatafuta sehemu ya kuweka amshine ya Kufyatulia Tofali nikamtafutia huyo Jamaa alikuwa ni kibosile wa taaisisi Fulani ipo karibu na BOT.

Yule mwamba Tumuite Idris,Idris nilimtafutia sehemu ya tofali akapata maeneo ya Huko njia ya Goba, akanipa ya udalali ilikuwa laki mbili ila alinitumia Laki tatu nay a kutolea.

Idris alinikubali sana, akawa ananipa dili ndogo ndogo ananitumahata akiwa na ishu ndogo tu ananiambia nitafutie Bodaboda, au nikamuulizie vitu au bidhaa Fulani nikawa Napata sana hela. Kwa idris kwa wiki tu nilikuwa Napata hadi laki mbili maana alinifanya kama mesenja wake.

Kikubwa alisema mimi ni mwaminifu sana, Na anapenda sana Uchapakazi wangu na uchapu.

Alikuwa akinishirikisha vitu Vingi sana sana akawa sasa rafiki yangu anaiita tunaenda kula bata Jioni maeneo tofauti tofauti.

Nilikula sana bata na viwanja huko na kukutana na mabosi ambao nilipata connection nyingi.

Simu moja tunatoka Tegeta akaniambia anisogeza hadi mbezi mwisho Tulipofika pale ndio alinishangaza sana na Hiki ndio kisa cha Kwanza kwenye kazi yangu ya Udalali.

Tulipofika katika ya Goba njia nne na njia panda ya tegeta A kuna sehem kuna sheli kwa Juu yake, Jamaa akaniambia nataka nikuambie Kitu Ufanye ukiweza nakupa utajiri.

Akaniambi nina Kondomu hapa nisugue yaani nimfi…. Goli moja maana anataka kwenda kwa Mke wake Akaniambia akma siwezi kuna sehemu alinielekeza niende hapo kwa madai yake kuna mashoga nikamtafutie hapo mtu na alionekana yupo serious sana. DAAH nilishangaa sana nikamuuliza tena kama sijamsikia hivi. Niliona amenidharau sana nilikasirika mno yani
Paragraph ya kwanza hii epsode una ufala ufala mwingi sana wewe nimecheka sana
 
EPS 1

Heshima Kwenu Wakuu,

Niliwaahidi Kwamba Nitawaletea Mkasa Kuhusu safari au Hekaheka zangu nilizozipata wakati nafanya Shughuli zangu za Udalali Jiji la Dar es salaam na maeneo ya jirani.

Mwaka 2017 Nilitoka kwenye wilaya Niliyokuwa Ninaishi nikaamua Kuhami Jiji La Dar es salaam kwenda Kufanya Kazi zangu binafsi nikiamini Kwamba nitatoboa Kimaisha, Nilikuja Dar es salaam baada ya kufanya akzi maeneno tofauti tofauti Mkoa wa Kilimanjaro.

Nilipofika Dar maisha Yalikuwa magumu sana kwakweli, kuna sehemu nilipata Kazi nilikuwa nalipwa 40k kwa wiki haikuwa inatosha Chochote, Lakini kazi Pia ilikuwa na mateso sana. Nilikuwa nafanya kazi kwenye Kampuni Fulani Binafsi inajihusisha na Masuala ya Matangazo ilikuwa ni kazi ya mteso sana, nilikuwa naingia kazini Asubuhi saa moja natoka saa 12 Jioni.

Nikitoka nakuwa nimechoka sana kiasi kwamba siwezi hata Kufanya shughuli nyingine na mshahara ndio huo kwa wiki unalipwa elfu arobaini tu ukitoa hapo nauli na hela ya kula kwa wiki unabaki na deni au ukijibana sana useme ule mlo mmoja tu unabaki na elfu Kumi.

Kodi nilikuwa nalipa eldu thelathini kwa mwezi maji elfu kumi umeme elfu Kumi jumla Kodi kwa mwezi ni elfu hamsini na kila wiki nikijibana sana kwa mwezi nakuwa na Akiba ya Elfu arobaini yaani kila iki elfu Kumi.

Hapo nilipokuwa nakaa ilifika wakati kodi ikaisha nikawa sina hata Mia mbovu akiba yote nilikuwa nimeitumia kutokana matatizo yaliyojitokeza, Mwenye nyumbaalikuwa haelewi Kitu zaidi ya kutaka hela yake.Yule mzee alinisumbua sana nikaongea nae Anivumilie akanipa Muda wa wiki nikaanza kupiga Bei vitu vyangu vya ndani ila kupata wateja ndio ikawa shida sana, kila nikinidai Mitandaoni hakuna mteja zaidi watacoment watu wanaulizia Uko wapi na bei gani tu.

Aisee nilichanagnyikiwa sana Wakuu Wiki ikakata nikapata ile hela ya wiki Elfu arobain nikakusanya kusanya kwa wadau nilikuwa naapiga Vizinga nikapata elfu sabini nikampa mwenye nyumba ili inayobaki nitamlipa.

Kuna watu ana Roho mbaya sana Yule Mzee akaniambia hapokei Kodi hata kama Imebaki Buku Hapokei na kama siwezi kumpa hela yake nijiandae kuhama nikatafute Chumba sehemu Nyingine.

Pale pale akaanza Kupiga simu anamtafuta Dalali ili amtafutie mpangaji mwingine, Hela yangu ameikataa nilirudi ndani nikawaza sana mambo mengi mno nilipiga simu kwa wadau lakini kila ninayemkopa ananielezea matatizo yake makubwa zaidi nikaamua kuachana nao.

Nikiwa ndani Yule Mzee nikamsikia anaongea na watu anamuonyesha Chumba Changu na wanakubaliana bei afu anamwambia Kuna mtu ndnai ila nitamwmabia afungue uingie ndani ukiangalie.
Aisee.
 
EPS 6.

Nikawa tayari nimeacha kazi Rasmi na nimehama kibaha na nimehamia Rasmi Jiji la Dar es salaam mbezi kwa Msuguri.

Maisha mapya yakaanza na vichenji chenji kwneye ile hela ya Judy zilikuwa zimebaki nilikuwa nina jiko dogo la gesi, hivyo nikaenda kununua mahitaji ya ndani ili nijipange upya nijue namna ya kupambana na maisha.

Nikaendelea kukaa pale lakini story ya Masai ya udalali ilinivutia sana nikasema sasa hii ndio kazi ninayotaka nikafanye. Nilikuwa nampigia mara kwa mara masai na kuonana nae lengo anionyeshe njia maana aliniambia kwa kauznia nikipata wateja nimwambie maana kuna nyumba kadhaa na viwanja amevishikilia.

Baada ya wiki hivi nikaanza kutengeneza Posters nakuziweka mitandaoni ili nipate wateja angalu wa kauznia nipate uzoefu.

Kweli baada ya kupost simu zikawa zinaanza kuita ASEE.

HAPO SASA NDIO SAFARI YANGU RASMI YA UDALALI IKAANZA, sasa kwenye hiki kisa au story nitakuelezea matukio ya kufurahisha, ya kusikitisha, dili haramu, dili za ajabu na mambo ya kushangaza ambayo nilikutana nayo. Lengo langu ni ujifunze Mambo mbalimbli ambayo madalai wankutana nayo, namna ya kupambana na changamoto za maisha bila kukataa tamaa, hela inavyoweza kumbadilishia malaika kwa shetani,na mambo mengine mengi.

Baada ya utangulizi huu nitaanz Rasmi Jumatatu hii kushusha vyuma.
Chai.
 
Back
Top Bottom