Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo lugha uliyozungumza na Sarah anachoma mahindi ni kilugha ganiLabda huko ukuryani hili silijui mimi
Na wewe soma Kama mtoto wa la kwanza...huna haja ya kupanick mkuuSiyo lazima sote tuandike jmn,wengine tubaki kuw wasomaji tuuu,umeandika kama mtoto wa la pili
Sent from my SM-N920F using JamiiForums mobile app
Tukiwaambia tecno sio simu mnasema tunawaonea.
Na wewe soma Kama mtoto wa la kwanza...huna haja ya kupanick mkuu
Kasema tumsamehe kwa uandishi wake mbovu, sasa wewe shida nini? samehe tu maana yanasomeka na tunapata maudhui ya alichokusudia.Siyo lazima sote tuandike jmn,wengine tubaki kuw wasomaji tuuu,umeandika kama mtoto wa la pili
Sent from my SM-N920F using JamiiForums mobile app
Ukuryani,kule ukiwa na pesa plus mali kama ng'ombe,majumba wazee wanakuheshimu sana na pia ukawapa hela za pombe...wewe ni mfalme
Huu ni ukweli kabisa kama hana wake wawili basi ana mchepuko na umemzalia...hii inasababishwa na nature ya wakurya ya kupenda kuwa na watoto wengi siku hizi imepungua kwa walioenda shule au kukaa mjiniNaomba nikuulize swali...nimekuwa na marafiki wengi sana wakurya..na nimefika had huko kwenu...swali ni hili..kwanini kila familia moja unakuta baba ana wake wawili?..watoto pia wameoa wake kuanzia wawili...mna shida gan mkuu? Yaani sijji kama nna rafiki hana wake wawili...kha!y?
Mzee shida yako nini.unataka kugombana na keyboard za simu yako.Umejikita kwenye kuwajibu wadau zaidi ya kuandika story yenyewe.
Kama unajihami vile.
Mzee shida yako nini.unataka kugombana na keyboard za simu yako.
Hebu lala mzee ili usiudhike na huu mkasa.
Au niambie mkuu niandikije ili usiudhike Wala kuumia
Mkuu hii hata ningejitaja jina Wala haina shida...kwa hiyo mzee usiwe na wasiwasi