worms
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 978
- 911
Well saidKasema tumsamehe kwa uandishi wake mbovu, sasa wewe shida nini? samehe tu maana yanasomeka na tunapata maudhui ya alichokusudia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well saidKasema tumsamehe kwa uandishi wake mbovu, sasa wewe shida nini? samehe tu maana yanasomeka na tunapata maudhui ya alichokusudia.
Hapana mkuu umeandika vizuri tu! Japo baadhi ya episode zilikua fupi..but all in all tumejifunza kitu!KIONGOZI imeisha..pole kwa uandishi mbovu
mbona siioniCheki post# 103 mkuu
Mzee usiwe nunaongea Kama huna uhakika.Story km ya kutunga hivi, speaking of ndago hakuna ukweli wowote ni story tu za vijiweni
Mkuu Mimi sikubishii hii story yako ni ya kweli kabsa ,nilikuwa na rafiki yangu yeye anatokea na Kijiji karibu na butiama alishawah kunipa hii story,sema alinisimulia juu juu,imalizie mkuu achana na ma hatersMzee usiwe nunaongea Kama huna uhakika.
Ukiwa unatoka mwanza au Bunda shuka Kijiji kimoja kinaitwa sabasaba Uliza kwa mzee Nyanda ni hapo barabarani kuu la lami.
Na ukifika tu pale Kijijini uliza stori hii yaani nikutungie kitabu mimi nimekuwa shingoni.
Kama uko dar nenda hapo udsm kamuone mdogo mtu kiringo muulize hili atakuambia.
Then usiwe unaongea vitu usivyovijua ili uonekane tu umeongea
Haya mambo sio ya miaka mingi ni ya juzi tu hapa.
Humu watu ni wajuaji kweli yaani kila kitu wao ndio wanajuaMkuu Mimi sikubishii hii story yako ni ya kweli kabsa ,nilikuwa na rafiki yangu yeye anatokea na Kijiji karibu na butiama alishawah kunipa hii story,sema alinisimulia juu juu,imalizie mkuu achana na ma haters
Mkuu nimeimaliza labda uulize maswali sasaMkuu Mimi sikubishii hii story yako ni ya kweli kabsa ,nilikuwa na rafiki yangu yeye anatokea na Kijiji karibu na butiama alishawah kunipa hii story,sema alinisimulia juu juu,imalizie mkuu achana na ma haters