MKASA WA KWELI: Ni bora ubaki na umaskini kuliko utajiri wa pesa za "ndagu" au majini

Nimekua jirani wa wakurya kwa miaka mingi ili mwanaume aonekane kidume cha haja anatakiwa awe na wake wengi zaidi
 
Nimeanza kusoma nilivyoona inanoga nikasema ngoja kwanza niangalie chini nione kama kuna neno itaendelea. Nilivyoona tu nikaachana na hadithi hii inayoonekana kuwa ni nzuri.
 
Hao wanaokejeli watakuwa washirikina[emoji16][emoji16][emoji28]
 
Mkuu vip kuhusu yule Bibi kusaga saga 50k?

Ulisema utaelezea hiyo siri?
KWELI hapa nilisahau haya ndio madhara ya tungi..

Huyu mwamba Gado alikuwa mjanja sana na inaonekana alikuwa amejiwekea kinga za kutosha za kiganga kushindana na uchawi uliokuwa ukimuwinda.

Sasa Kuna mjukuu wa huyo bibi mchawi ambae alikuwa anampenda sana na watu wakawa wanahisi kwamba anarithishwa uchawi...alikuwa anamuita Gado mjomba maana ni mtoto wa Dada yake kutoka familia ya baba yake mkubwa.

Sasa Gado akatengeneza urafiki sana na huyu jamaa, Kuna siku kaja pale Kijijini akamchukua kwenye gari lake pamoja na watu wengine wameenda piga pombe huko mjini dogo akalewa chakali ndio akaanza kutoa Siri za Bibi na akamsihi ajichunge na yeye anawindwa.
 
Aseee hizi hadithi si mchezo ila mods wasiunganishe uzi waache hivyo ili kuweka pouse ya msomaji.
 


Duh...tulioko Kiabakari tujuane aisee! Ptu....bora kuwa maskini kwakweli!
 
Leo ntauliza niko maeneo haya haya...ila mie sio sijaamini naamini ni kweli..maana watu wa huku ambaye haparticpate kwa waganga nadhan wakuhesabu! Funzo kubwa hili
Njoo hapa unitembelee karibu na kwa mkuu wa wilaya nikupikie ugali wa mhogo na kuku😃😃
 
Duuuuh, kweli hamna siri hapa duniani[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…