Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
NUSU albino Half american lazima apigike😆Anakuchukulia Poa Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NUSU albino Half american lazima apigike😆Anakuchukulia Poa Sana
Yaani nita kutwanga Kama ngoma za uswahilini🤒Mdogo wangu iwe ni utani tu, katika maisha yangu mpaka sasa sijawai kushindwa mpambano ndio maana sipendi ugomvi.
Anawaita wezi wawakabe? Kumbe walinzi hua wanakula dili na wezi kufanya uhalifu?kututaka tutoke hapo lasivyo atatuiitia wezi,
Pole sana mkuuNshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
🤣🤣🤣Nshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
😝🤣🤣🤣Kwa hyo Arsenal wao popote pale wanaonewa, kuanzia timu hadi Mashabiki[emoji16]
Aisee.Nshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
Mkuu pambano lijalo rematch tualikane.KUMBE UPO HUMU MJINGA WEWE
NJOO TENA UONE SAFARI HII MEMBER WA JF WAJE WAWE MASHAHIDI NA WAREKODI VIDEO KBSA