Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Nshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
Pole sana mkuu
 
Eneo ulilotaja hapawezi kuwa na ugomvi kivile bila kujaza umati, halafu hapo kuna kituo cha police hata hatua 20 hazifiki, acha uongo wewe
 
Nshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
🤣🤣🤣
 
Nshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
Aisee.
Sasa ugomvi wa hapa jf mnaenda nao mpaka mtaani!😳
Hivi mnawezaje?🙄😬
 
KUMBE UPO HUMU MJINGA WEWE

NJOO TENA UONE SAFARI HII MEMBER WA JF WAJE WAWE MASHAHIDI NA WAREKODI VIDEO KBSA
Mkuu pambano lijalo rematch tualikane.
Au kama hautajali nikutafutieni promota na mchezo ukapigwe Coco Beach na wana jf waalikwe hapo.
 
Hivi hivi yaani..
Eti nikasimama uwanjani katika kati.
Ngoja nichomekee neti kwanza
 
Back
Top Bottom