Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Kwa hiyo kwa umri wangu huu wa 30 yrs, unahisi umenizidi nini zaidi ya uzee. Umeanza kutumia jf mwaka juzi baada ya kununua tecno ya touch wakati mimi nimeanza kutumia internet wakati huo tunaingia mitandao ya the grid, mig n.k.

Hapa kwangu ukitaka madini utapata na ukitaka ngumi pia utapigwa vilevile inategemea umekuja vipi, ukijileta kama mtoa mada nakukalisha.
Mimi sio mzee dogo ila nakuzidi umri, sisi ndio ambao jf inaanza tunaiona.

Una hakika nimejiunga huku mwaka juzi? Idiot
 
Halafu umejiunga 2021 unakuja hapa eti JF ya watoto.

Unaweweseka ukiwa wap.
Kwahyo siku hizi kupigana ni watoto?

Nyie ndo mnakabwa kutwa na hamjitetei vibaka wanawashika matter col wakimaliza kuwakaba mnaishia kulialia tu.

MWANAUME NI MAMBO MATATU

UJASIRI, UMILIKI NA NGUVU/AKILI
Nikikuonyesha id yangu ya kwanza utanipa shkamoo dogo
 
Nsomile nilitarajia unakutana na jamaa unampa shule, maconnection, nyie mnaenda kuumiza hiyo miili yenu kweli???Piganeni kwa mawazo, ideas, ubunifu, changamoto...
 
Mkuu andaa mkataba huo me nasign mapema tu, nina hamu sana na jamaa huyo nilipe kisasi, ila mkataba useme wazi kuwa tunaenda kupigana kwa mtindo upi kama ni boxing, kick boxing au mixer na silaha maana siku ile tulikubaliana tunapingana ngumi ila yeye akavunja sheria akanipiga na nyundo.
Eeeh kwa hiyo alikupiga na nyundo?alidhamiria kukuua au?
 
Jambo Jambo?

Hiki ni kisa cha kweli na kama mods wataniruhusu nitaweka PM screenshot za mimi na Jamaa jinsi tulivyochapana.

Jamaa anajiita “Medecin“ humu sijui alitokea wap ila nakumbuka alikuwa ananiqoute kwa matusi kweny nyuzi fulani na mimi bila hiyana nikawa namjibu mpka jamaa akahamia PM kwa matusi kedekede mpka tukapanga kuonana ili tuzichape na tukawekeana masharti ya kutokuenda na mtu pale tunapokutana.

Jamaa kweli alipanga location maeneo ya Tabata shule uwanjani na mida ya kukutana ilikuwa ni saa 12 jioni na tuzichape baada ya watu wa mazoezi n mpira kumaliza ratiba zao.

Ila kwa machale nilisogea pale saa 10 masaa mawili kabla ya kukutana ili nihakikishe kama hajabeba watu wengine na kunidhuru.

Kweli Jamaa mida ya saa 12:06 alisogea na kigari chake aina ya IST pearl white na nilimjua maana kila mtu alimwambia mwenzake atavaa vipi au ana usafiri gani ili iwe urahisi kwa kutambuana,Sasa yule Jamaa sijui Alijua pengine atakutana na mtu mwenye kitambi na miwani na boyaboya i don know ila ni kama alipigwa na butwaa baada ya kuniona na aliniona kirahisi maana nilisimama katikati ya uwanja namuangalia upande wa lami anakotokea.

Alivyofika akauliza wewe ndo nshomile nikamjibu ndio na haraka nikamwambia Hapa tunazichapa na atakayezidiwa anakimbia na hakuna kumkimbiza wala kufuatana wala polisi wala nini. Akajibu Poa.

Jamaa alikuwa kavaa traki nyeusi na jezi ya Arseno juu mimi nilikuwa nimevaa kadeti na shati la draft tu.

Kwa haraka haraka Tulianza kuzichapa hapohapo nilimtamdika ngumi 6 zikapenya 4 na 2 aliziblock huku yeye akirusha ngumi 3 na ikapenya moja.Jamaa akaanza kuhema sana kurusha ngumi 3 tu, nilimtime nikampa Upper cut 1 ambayo ilimpeleka chini na nikamsubiri ainuke na alipoinuka nili “swing”na Left Jab ya nguvu iliyompeleka chini mara ya 2 na kuanza kuvuja damu puani.

Mlinzi wa Shule ya Mtambani (jirani na tabat shule) alitoka anapiga mayowe kututaka tutoke hapo lasivyo atatuiitia wezi, wakati nahangaika kumjibu yule mlinzi jamaa akaanza kukimbia kuelekea lami kwenye gari lake alilopaki, nikijua anakimbia mazima kumbe kaenda kuchukua Sime kwenye gari na akaanza kuja kuelekea upande wangu kunikata, nilihamaki lakini nikajituliza ili nimzime nalo lasivyo anaweza kunidhuru.

nilimpokonya sime na mbinu ya Sei-Wong mi kwa umaridhawa naikalichukua sime bila yeye kujua namna nilivyolipora halafu nikamzima na Left swing back kick iliyompeleka chini na safar hii hakuinuka na alianza kulia kilio kikubwa akiomba msaada kwa watu.

Walinzi wakaitana wakaanza kuja upande wetu, nikaona jau hii nikachora mpka road na kudaka boda mpka njia panda chang'ombe.

Toka hapo [mention]Medecin [/mention] hajibu PM zangu, kama yumo akome na siku nyingine akirudia niko free kumkanda tena.

* Usiache kupiga pusha ups walau 100 na squats 50 kwa siku kwa mwanaume, siyo unakulakula na kuwa na likitambi la hovyo.

TUJIFUNZE KUHESHIMU WATU, KAMA HUWEZI UGOMVI TULIZANA.

AVOID EXPECTATIONS TO AVOID DISSAPOINTMENTS.

Nshomile,
kwa sasa Dar es Salaam.
Ila wewe huwa ni makalio sana.Unaeleza upumbaff!Mlitakiwa mkikutana mnasalimiana na ku-hug.Siyo kupigana ngumi.Ma-hopelesses mlikutana.Nioko!
 
Siku nyingine tumia matter call yako kuniambia hvyo sawa?

Napenda kuyalamba na kupiga katerero katikati ya huo mstari. mtoto matter call malaiiiiniiiiii

unanikosha
Nilichokuandikia nadhani umekielewa.Sasa nikianza kutukanana na wewe hata dada yako atanishangaa.Ananiambia hapa,kwamba,ndivyo ulivyo mjinga tangu una miaka miwili na nusu.
 
Nilichokuandikia nadhani umekielewa.Sasa nikianza kutukanana na wewe hata dada yako atanishangaa.Ananiambia hapa,kwamba,ndivyo ulivyo mjinga tangu una miaka miwili na nusu.

Wewe ndo mjinga unajitia kidole mgunduni halafu unajinusa.

Umeanza kuja kutukana halafu unakuja eti hutaki kutukana

Hovyoo

qumaneenah zako wewe
 
Wewe ndo mjinga unajitia kidole mgunduni halafu unajinusa.

Umeanza kuja kutukana halafu unakuja eti hutaki kutukana

Hovyoo

qumaneenah zako wewe
Kwani ukiwa umelewa rubisi ndiyo unakuwa mkali hivyo?Wewe ndiye uliyempiga mtu upper cut kweli?Sidhani.Hivi ulienda pale uwanjani umevaa dela lako la pinki?
 
Jambo Jambo?

Hiki ni kisa cha kweli na kama mods wataniruhusu nitaweka PM screenshot za mimi na Jamaa jinsi tulivyochapana.

Jamaa anajiita “Medecin“ humu sijui alitokea wap ila nakumbuka alikuwa ananiqoute kwa matusi kweny nyuzi fulani na mimi bila hiyana nikawa namjibu mpka jamaa akahamia PM kwa matusi kedekede mpka tukapanga kuonana ili tuzichape na tukawekeana masharti ya kutokuenda na mtu pale tunapokutana.

Jamaa kweli alipanga location maeneo ya Tabata shule uwanjani na mida ya kukutana ilikuwa ni saa 12 jioni na tuzichape baada ya watu wa mazoezi n mpira kumaliza ratiba zao.

Ila kwa machale nilisogea pale saa 10 masaa mawili kabla ya kukutana ili nihakikishe kama hajabeba watu wengine na kunidhuru.

Kweli Jamaa mida ya saa 12:06 alisogea na kigari chake aina ya IST pearl white na nilimjua maana kila mtu alimwambia mwenzake atavaa vipi au ana usafiri gani ili iwe urahisi kwa kutambuana,Sasa yule Jamaa sijui Alijua pengine atakutana na mtu mwenye kitambi na miwani na boyaboya i don know ila ni kama alipigwa na butwaa baada ya kuniona na aliniona kirahisi maana nilisimama katikati ya uwanja namuangalia upande wa lami anakotokea.

Alivyofika akauliza wewe ndo nshomile nikamjibu ndio na haraka nikamwambia Hapa tunazichapa na atakayezidiwa anakimbia na hakuna kumkimbiza wala kufuatana wala polisi wala nini. Akajibu Poa.

Jamaa alikuwa kavaa traki nyeusi na jezi ya Arseno juu mimi nilikuwa nimevaa kadeti na shati la draft tu.

Kwa haraka haraka Tulianza kuzichapa hapohapo nilimtamdika ngumi 6 zikapenya 4 na 2 aliziblock huku yeye akirusha ngumi 3 na ikapenya moja.Jamaa akaanza kuhema sana kurusha ngumi 3 tu, nilimtime nikampa Upper cut 1 ambayo ilimpeleka chini na nikamsubiri ainuke na alipoinuka nili “swing”na Left Jab ya nguvu iliyompeleka chini mara ya 2 na kuanza kuvuja damu puani.

Mlinzi wa Shule ya Mtambani (jirani na tabat shule) alitoka anapiga mayowe kututaka tutoke hapo lasivyo atatuiitia wezi, wakati nahangaika kumjibu yule mlinzi jamaa akaanza kukimbia kuelekea lami kwenye gari lake alilopaki, nikijua anakimbia mazima kumbe kaenda kuchukua Sime kwenye gari na akaanza kuja kuelekea upande wangu kunikata, nilihamaki lakini nikajituliza ili nimzime nalo lasivyo anaweza kunidhuru.

nilimpokonya sime na mbinu ya Sei-Wong mi kwa umaridhawa naikalichukua sime bila yeye kujua namna nilivyolipora halafu nikamzima na Left swing back kick iliyompeleka chini na safar hii hakuinuka na alianza kulia kilio kikubwa akiomba msaada kwa watu.

Walinzi wakaitana wakaanza kuja upande wetu, nikaona jau hii nikachora mpka road na kudaka boda mpka njia panda chang'ombe.

Toka hapo [mention]Medecin [/mention] hajibu PM zangu, kama yumo akome na siku nyingine akirudia niko free kumkanda tena.

* Usiache kupiga pusha ups walau 100 na squats 50 kwa siku kwa mwanaume, siyo unakulakula na kuwa na likitambi la hovyo.

TUJIFUNZE KUHESHIMU WATU, KAMA HUWEZI UGOMVI TULIZANA.

AVOID EXPECTATIONS TO AVOID DISSAPOINTMENTS.

Nshomile,
kwa sasa Dar es Salaam.
Kwa uwazi huu wa maelezo yasiyo eleweka uwazi wa chanzo... huku uzaramuni unaonekana kama MUWAZI tu!
 
Back
Top Bottom