Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Iyo ni uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro Nshomile siku moja naomba nikuone kaka.
Iyo ni uongo
TipTop brotherHaina noma kaka, Napatikana Dar,Kahama na morogoro
Ww nambie tu wapi unataka kuniona.
TipTop brother
Mpaka shule zije kufunguliwa humu ndani tutakutana na vitoto vingi sana na ndoto au athari za kuangalia sana movies za kihindi.Jambo Jambo?
Hiki ni kisa cha kweli na kama mods wataniruhusu nitaweka PM screenshot za mimi na Jamaa jinsi tulivyochapana.
Jamaa anajiita “Medecin“ humu sijui alitokea wap ila nakumbuka alikuwa ananiqoute kwa matusi kweny nyuzi fulani na mimi bila hiyana nikawa namjibu mpka jamaa akahamia PM kwa matusi kedekede mpka tukapanga kuonana ili tuzichape na tukawekeana masharti ya kutokuenda na mtu pale tunapokutana.
Jamaa kweli alipanga location maeneo ya Tabata shule uwanjani na mida ya kukutana ilikuwa ni saa 12 jioni na tuzichape baada ya watu wa mazoezi n mpira kumaliza ratiba zao.
Ila kwa machale nilisogea pale saa 10 masaa mawili kabla ya kukutana ili nihakikishe kama hajabeba watu wengine na kunidhuru.
Kweli Jamaa mida ya saa 12:06 alisogea na kigari chake aina ya IST pearl white na nilimjua maana kila mtu alimwambia mwenzake atavaa vipi au ana usafiri gani ili iwe urahisi kwa kutambuana,Sasa yule Jamaa sijui Alijua pengine atakutana na mtu mwenye kitambi na miwani na boyaboya i don know ila ni kama alipigwa na butwaa baada ya kuniona na aliniona kirahisi maana nilisimama katikati ya uwanja namuangalia upande wa lami anakotokea.
Alivyofika akauliza wewe ndo nshomile nikamjibu ndio na haraka nikamwambia Hapa tunazichapa na atakayezidiwa anakimbia na hakuna kumkimbiza wala kufuatana wala polisi wala nini. Akajibu Poa.
Jamaa alikuwa kavaa traki nyeusi na jezi ya Arseno juu mimi nilikuwa nimevaa kadeti na shati la draft tu.
Kwa haraka haraka Tulianza kuzichapa hapohapo nilimtamdika ngumi 6 zikapenya 4 na 2 aliziblock huku yeye akirusha ngumi 3 na ikapenya moja.Jamaa akaanza kuhema sana kurusha ngumi 3 tu, nilimtime nikampa Upper cut 1 ambayo ilimpeleka chini na nikamsubiri ainuke na alipoinuka nili “swing”na Left Jab ya nguvu iliyompeleka chini mara ya 2 na kuanza kuvuja damu puani.
Mlinzi wa Shule ya Mtambani (jirani na tabat shule) alitoka anapiga mayowe kututaka tutoke hapo lasivyo atatuiitia wezi, wakati nahangaika kumjibu yule mlinzi jamaa akaanza kukimbia kuelekea lami kwenye gari lake alilopaki, nikijua anakimbia mazima kumbe kaenda kuchukua Sime kwenye gari na akaanza kuja kuelekea upande wangu kunikata, nilihamaki lakini nikajituliza ili nimzime nalo lasivyo anaweza kunidhuru.
nilimpokonya sime na mbinu ya Sei-Wong mi kwa umaridhawa naikalichukua sime bila yeye kujua namna nilivyolipora halafu nikamzima na Left swing back kick iliyompeleka chini na safar hii hakuinuka na alianza kulia kilio kikubwa akiomba msaada kwa watu.
Walinzi wakaitana wakaanza kuja upande wetu, nikaona jau hii nikachora mpka road na kudaka boda mpka njia panda chang'ombe.
Toka hapo [mention]Medecin [/mention] hajibu PM zangu, kama yumo akome na siku nyingine akirudia niko free kumkanda tena.
* Usiache kupiga pusha ups walau 100 na squats 50 kwa siku kwa mwanaume, siyo unakulakula na kuwa na likitambi la hovyo.
TUJIFUNZE KUHESHIMU WATU, KAMA HUWEZI UGOMVI TULIZANA.
AVOID EXPECTATIONS TO AVOID DISSAPOINTMENTS.
Nshomile,
kwa sasa Dar es Salaam.
Nitashukuru mno brother, tuombe uzima tu.na imani siku tutaonana ratiba zikikaa freshi mkuu.
Mpaka shule zije kufunguliwa humu ndani tutakutana na vitoto vingi sana na ndoto au athari za kuangalia sana movies za kihindi.
Hili swali ungemuuliza mtu mmoja angekujibu vizuri sana. Mnafungua shuke lini?Nimetoka sasa hv kupost kweny uzi wako uliotaka kula papa.
Una umri gani?
Hili swali ungemuuliza mtu mmoja angekujibu vizuri sana. Mnafungua shuke lini?
Tushaletewaga story kama hiii yako
hah wewe unaijua?joined 10/03/2022.
Huijui JF kaa kimya
Aha
hah wewe unaijua?
Shule zifunguliwe. Una imagine upuuzi baada ya kuangalia movie ya kihindi.Jidanganye Dogo.
nyie ndo mnashikwa matter call mnaishia kuchekacheka tu.
Njoo niyashike hayo matter cal nione kama utarusha ngumi, unaona kupigana ajabu ilihali we mwanaume.
Wewe ndo urudi shule haraka. unat.mbana na papa unaleta uzi JF.
unaonkena tu kuwa wewe n mtoto tu
Shule zifunguliwe. Una imagine upuuzi baada ya kuangalia movie ya kihindi.
Nilikuwa sijui kumbe 2022 uki joined ni mtoto?Kama wakati najiunga JF ulikuwa form 1 ina mana mpka sasa uko chuo mwaka wa 2 kama si wa 3
heshimu wakubwa wako dogo
Nilikuwa sijui kumbe 2022 uki joined ni mtoto?
Ndio nilikuwa nanyonya ziwa lakoWewe ni mtoto wakati tunajadili mstakabali wa nchi wewe ulikuwa unanyonya bado