Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

nawapigaga mademu kama wew.

Kwani hutaki de libolo
Young man,you need a father figure like me to help you.You seem to be in some sort of a teenegerhood.Unabishia ukweli kwa kukaza misuli ya kiuno.Ukiambiwa ukweli unapaswa kutulia.Unaaibisha wahaya wenzio.Wewe ni kijana mjinga tu.Huwa unaandika miujinga.Sasa ukiachwa,for the benefit of your own,utakuwa lijinga.Umekuwa "muhonge"(kihehe hicho maana yake lijinga linaloongea au kuuishi upumbaff bila kurekebishwa na kudhani ndiyo maisha)na wana JF wanakuangalia tu kwa sababu wanadhani utabadilika.Chukua chuma hicho!Kengelubete wewe!
 
Young man,you need a father figure like me to help you.You seem to in some sort of a teeneger.Unabishia ukweli kwa kukaza misuli ya kiuno.Ukiambiwa ukweli unapaswa kutulia.Unaaibisha wahaya wenzio.Wewe ni kijana mjinga tu.Huwa unaandika miujinga.Sasa ukiachwa,for the benefit of your own,utakuwa lijinga.Umekuwa "muhonge"(kihehe hicho maana yake lijinga linaloongea au kuuishi upumbaff bila kurekebishwa na kudhani ndiyo maisha)na wana JF wanakuangalia tu kwa sababu wanadhani utabadilika.Chukua chuma hicho!Kengelubete wewe!

umeamdika mashudu tu.

Unajiona upo kweny kundi la high intellectuals kumbe wewe ni Maandazi tu.

Hovyoooo wewe.
nakushaur toka hapo sebuleni kwa dada yako unamtesa kwa kukata viuno kwa mumewe ili ule ushibe Jinga Jinga ww

Its just another day with the same shit again in JF
 
umeamdika mashudu tu.

Unajiona upo kweny kundi la high intellectuals kumbe wewe ni Maandazi tu.

Hovyoooo wewe.
nakushaur toka hapo sebuleni kwa dada yako unamtesa kwa kukata viuno kwa mumewe ili ule ushibe Jinga Jinga ww

Its just another day with the same shit again in JF
Na leo nitaifanya siku yako iwe mbaya kama umebakwa.Mimi huwa sipendi vijana wajinga kama wewe muendelee kuwa wajinga.JF members huwa wanakuangalia ujinga wako na kukuacha.Mimi siwezi.Acha kuandika ujinga bishontongo wewe!
 
Young man,you need a father figure like me to help you.You seem to be in some sort of a teenegerhood.Unabishia ukweli kwa kukaza misuli ya kiuno.Ukiambiwa ukweli unapaswa kutulia.Unaaibisha wahaya wenzio.Wewe ni kijana mjinga tu.Huwa unaandika miujinga.Sasa ukiachwa,for the benefit of your own,utakuwa lijinga.Umekuwa "muhonge"(kihehe hicho maana yake lijinga linaloongea au kuuishi upumbaff bila kurekebishwa na kudhani ndiyo maisha)na wana JF wanakuangalia tu kwa sababu wanadhani utabadilika.Chukua chuma hicho!Kengelubete wewe!

Boss Tumia space na paragraph.

#YNwA
 
Jambo Jambo?

Hiki ni kisa cha kweli na kama mods wataniruhusu nitaweka PM screenshot za mimi na Jamaa jinsi tulivyochapana.

Jamaa anajiita “Medecin“ humu sijui alitokea wap ila nakumbuka alikuwa ananiqoute kwa matusi kweny nyuzi fulani na mimi bila hiyana nikawa namjibu mpka jamaa akahamia PM kwa matusi kedekede mpka tukapanga kuonana ili tuzichape na tukawekeana masharti ya kutokuenda na mtu pale tunapokutana.

Jamaa kweli alipanga location maeneo ya Tabata shule uwanjani na mida ya kukutana ilikuwa ni saa 12 jioni na tuzichape baada ya watu wa mazoezi n mpira kumaliza ratiba zao.

Ila kwa machale nilisogea pale saa 10 masaa mawili kabla ya kukutana ili nihakikishe kama hajabeba watu wengine na kunidhuru.

Kweli Jamaa mida ya saa 12:06 alisogea na kigari chake aina ya IST pearl white na nilimjua maana kila mtu alimwambia mwenzake atavaa vipi au ana usafiri gani ili iwe urahisi kwa kutambuana,Sasa yule Jamaa sijui Alijua pengine atakutana na mtu mwenye kitambi na miwani na boyaboya i don know ila ni kama alipigwa na butwaa baada ya kuniona na aliniona kirahisi maana nilisimama katikati ya uwanja namuangalia upande wa lami anakotokea.

Alivyofika akauliza wewe ndo nshomile nikamjibu ndio na haraka nikamwambia Hapa tunazichapa na atakayezidiwa anakimbia na hakuna kumkimbiza wala kufuatana wala polisi wala nini. Akajibu Poa.

Jamaa alikuwa kavaa traki nyeusi na jezi ya Arseno juu mimi nilikuwa nimevaa kadeti na shati la draft tu.

Kwa haraka haraka Tulianza kuzichapa hapohapo nilimtamdika ngumi 6 zikapenya 4 na 2 aliziblock huku yeye akirusha ngumi 3 na ikapenya moja.Jamaa akaanza kuhema sana kurusha ngumi 3 tu, nilimtime nikampa Upper cut 1 ambayo ilimpeleka chini na nikamsubiri ainuke na alipoinuka nili “swing”na Left Jab ya nguvu iliyompeleka chini mara ya 2 na kuanza kuvuja damu puani.

Mlinzi wa Shule ya Mtambani (jirani na tabat shule) alitoka anapiga mayowe kututaka tutoke hapo lasivyo atatuiitia wezi, wakati nahangaika kumjibu yule mlinzi jamaa akaanza kukimbia kuelekea lami kwenye gari lake alilopaki, nikijua anakimbia mazima kumbe kaenda kuchukua Sime kwenye gari na akaanza kuja kuelekea upande wangu kunikata, nilihamaki lakini nikajituliza ili nimzime nalo lasivyo anaweza kunidhuru.

nilimpokonya sime na mbinu ya Sei-Wong mi kwa umaridhawa naikalichukua sime bila yeye kujua namna nilivyolipora halafu nikamzima na Left swing back kick iliyompeleka chini na safar hii hakuinuka na alianza kulia kilio kikubwa akiomba msaada kwa watu.

Walinzi wakaitana wakaanza kuja upande wetu, nikaona jau hii nikachora mpka road na kudaka boda mpka njia panda chang'ombe.

Toka hapo [mention]Medecin [/mention] hajibu PM zangu, kama yumo akome na siku nyingine akirudia niko free kumkanda tena.

* Usiache kupiga pusha ups walau 100 na squats 50 kwa siku kwa mwanaume, siyo unakulakula na kuwa na likitambi la hovyo.

TUJIFUNZE KUHESHIMU WATU, KAMA HUWEZI UGOMVI TULIZANA.

AVOID EXPECTATIONS TO AVOID DISSAPOINTMENTS.

Nshomile,
kwa sasa Dar es Salaam.
Chai
 
Jamani msifike huko kikubwa kusameheana na kusonga mbele!
Wewe sambulugu ni wa kike? Wanaume ni "we unasemaje" mwamba anajibu "ms*ng* tu wew huniambii kitu" jamaa wa "we unasemaje" anarusha ngumi inampata mwamba usoni anapata uchungu wa kurudisha mapigo zinagongwa ngumi. Kusameheana na kurushiana maneno bila vitendo tunawaachia akina mwajuma
 
Jambo Jambo?

Hiki ni kisa cha kweli na kama mods wataniruhusu nitaweka PM screenshot za mimi na Jamaa jinsi tulivyochapana.

Jamaa anajiita “Medecin“ humu sijui alitokea wap ila nakumbuka alikuwa ananiqoute kwa matusi kweny nyuzi fulani na mimi bila hiyana nikawa namjibu mpka jamaa akahamia PM kwa matusi kedekede mpka tukapanga kuonana ili tuzichape na tukawekeana masharti ya kutokuenda na mtu pale tunapokutana.

Jamaa kweli alipanga location maeneo ya Tabata shule uwanjani na mida ya kukutana ilikuwa ni saa 12 jioni na tuzichape baada ya watu wa mazoezi n mpira kumaliza ratiba zao.

Ila kwa machale nilisogea pale saa 10 masaa mawili kabla ya kukutana ili nihakikishe kama hajabeba watu wengine na kunidhuru.

Kweli Jamaa mida ya saa 12:06 alisogea na kigari chake aina ya IST pearl white na nilimjua maana kila mtu alimwambia mwenzake atavaa vipi au ana usafiri gani ili iwe urahisi kwa kutambuana,Sasa yule Jamaa sijui Alijua pengine atakutana na mtu mwenye kitambi na miwani na boyaboya i don know ila ni kama alipigwa na butwaa baada ya kuniona na aliniona kirahisi maana nilisimama katikati ya uwanja namuangalia upande wa lami anakotokea.

Alivyofika akauliza wewe ndo nshomile nikamjibu ndio na haraka nikamwambia Hapa tunazichapa na atakayezidiwa anakimbia na hakuna kumkimbiza wala kufuatana wala polisi wala nini. Akajibu Poa.

Jamaa alikuwa kavaa traki nyeusi na jezi ya Arseno juu mimi nilikuwa nimevaa kadeti na shati la draft tu.

Kwa haraka haraka Tulianza kuzichapa hapohapo nilimtamdika ngumi 6 zikapenya 4 na 2 aliziblock huku yeye akirusha ngumi 3 na ikapenya moja.Jamaa akaanza kuhema sana kurusha ngumi 3 tu, nilimtime nikampa Upper cut 1 ambayo ilimpeleka chini na nikamsubiri ainuke na alipoinuka nili “swing”na Left Jab ya nguvu iliyompeleka chini mara ya 2 na kuanza kuvuja damu puani.

Mlinzi wa Shule ya Mtambani (jirani na tabat shule) alitoka anapiga mayowe kututaka tutoke hapo lasivyo atatuiitia wezi, wakati nahangaika kumjibu yule mlinzi jamaa akaanza kukimbia kuelekea lami kwenye gari lake alilopaki, nikijua anakimbia mazima kumbe kaenda kuchukua Sime kwenye gari na akaanza kuja kuelekea upande wangu kunikata, nilihamaki lakini nikajituliza ili nimzime nalo lasivyo anaweza kunidhuru.

nilimpokonya sime na mbinu ya Sei-Wong mi kwa umaridhawa naikalichukua sime bila yeye kujua namna nilivyolipora halafu nikamzima na Left swing back kick iliyompeleka chini na safar hii hakuinuka na alianza kulia kilio kikubwa akiomba msaada kwa watu.

Walinzi wakaitana wakaanza kuja upande wetu, nikaona jau hii nikachora mpka road na kudaka boda mpka njia panda chang'ombe.

Toka hapo [mention]Medecin [/mention] hajibu PM zangu, kama yumo akome na siku nyingine akirudia niko free kumkanda tena.

* Usiache kupiga pusha ups walau 100 na squats 50 kwa siku kwa mwanaume, siyo unakulakula na kuwa na likitambi la hovyo.

TUJIFUNZE KUHESHIMU WATU, KAMA HUWEZI UGOMVI TULIZANA.

AVOID EXPECTATIONS TO AVOID DISSAPOINTMENTS.

Nshomile,
kwa sasa Dar es Salaam.
Medecin
 
HAHAHAH... Nimecheka sana, hivi kweli mpaka zama hizi bado kuna watu wanawaza kupigana. Jamii Forum ni Home of Great Thinkers, nimeshangaa kuona kumbe kuna watu wengine wanakutana huku na kuyajenga kuwa wakapigane ili tu waishie kujua nani anamweza ngumi mwenzake. Shida kweli ipo hapa, Tanzania maendeleo bado sana!!!
 
Back
Top Bottom