Daah mi sidhani naweza kufika huko huwa sipendi stress kabisa hata kidogo!mkuu acha tu watu wanafuata mpka PM na matusi
Umeeleza juu juu tu kuwa mlipigana, vipi nyie ndiyo wale walikwenda kushtakiana kwenye vyombo vya habari kuwa waliibiana Penseli?
Kweli kuna watu wana muda wa kuchezea, mna safari mlipotoka hadi huko kote alafu mnakwenda kupigana bila sababu [emoji119]
Wenzenu wakina Francis Cheka au Twaha Kiduku wanalipwa kwa kupigana, nyie mnapigana bila viingilio [emoji2957][emoji119]
Tunaomba hiyo mechi irudiwe na ikiwezekana naomba jf waweke jukwaa la jf fighting ili wote wenye tofauti na ugomvi wakanyooshane hukoJamaa ana kitambi anahema juu juu hana mazoezi na sime hajui kurusha vzri halafu anataka kuchapana ngumi
mjinga sana
Hahaha...........kwahiyo mlipigana kuweka heshima au mlikuwa mnalipwa?Tulikubaliana kuwa mtu akizidiwa anakimbia na hakuna kumkimbiza mwenzako.
Hakuna polisi wala hakuna kutibiana
Nshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
.[emoji23][emoji23][emoji23]Nshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
Huyu atakuwa NALIA NGWENA , et mkuu huyu ndo alikuchapa au ndo alikukimbia akakuzimia simu
Jamani msifike huko kikubwa kusameheana na kusonga mbele!Nshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
Mkuu pole Sana π πππNshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
Mkuu naomba uwe promoter wa hii rematch, nataka kumuonesha mimi ni nani, sina kitambi kama anavyojinadi ila alikuja na nyundo akanipiga nayo mara nne kichwani na mbili nilizipunch zikatua mkononi, hala nilipo nauguza majeraha nikipona nataka marudio na wewe uwe shuhuda na ikiwezekana ulete mrejesho jukwaani.Tutawandalia rematch tena
Tunaomba hiyo mechi irudiwe na ikiwezekana naomba jf waweke jukwaa la jf fighting ili wote wenye tofauti na ugomvi wakanyooshane huko
Nshomile wa Muleba siku ile uliniotea mbwa wewe nilikuwa nimetoka bar nilishtua kidogo, nataka rematch nilipe kisasi. Halafu hukunipiga ngumi bali ulitumia nyundo na niliiona ndio maana nikakimbia. Kabla ya kuonana tulipanga tukikutana tutapigana ngumi sasa nyundo ilikuwa ya kazi gani.
Hahaha...........kwahiyo mlipigana kuweka heshima au mlikuwa mnalipwa?
Naona Katia timu hapa pambano lirudiweHaina noma
Kwa jinsi alivyo mzembe safar hii nitamkanda zaidi na kitambi chake