Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Yes nataka rematch tena iw neutral ground maana ile siku nahisi alimpanga yule mzee mlinzi aliyepiga yowe kuita watu, alipoona namzidi kwa kipigo yule mzee akaanza kupiga kelele kuwa namuua huyu mjinga, ghafla akatoa nyundo akaanza kunipiga nayo then nikaona watu wanakuja upande wetu wameshika fimbo, nikahisi ni rafiki zake hapo nikaamua kukimbia wasije kuniua maana ilikuwa mitaa yake, next pambano nataka tukapigane neutral ground ili nimuonyeshe mimi ni nani.
Likapigiwe the super dome tujue mbabe ni yupi
 
Kwani haiwezekani id mbili zinakitumia msg? Ushahidi wako ni dhaifu mno
Naomba tuonane bro! Hata leo.

Sasa hapo siwez tena kukuaminisha kuwa nilimbonda jamaa na sina id hiyo.

Angalia nyuzi zake anazopost nanuangalie zangu kama kuna mfanano wa mwandiko
 
Vijana ugomvi siyo sifa, pambaneni humu humu JF kwa hoja. Ya hapa myaache hapa hapa.

Katika kupigana lolote linaweza kutokea, binadam tunatembea na umauti, unaweza hata usimpige mtu, ile mmeshikana tu na wakati wake umefika kadondoka kakata pumzi, unaenda kunyea debe ujana wako wote.

Ushetani wa hapa muuwache hapa hapa.

Mimi nawashauri siku nyingine mkitaka kupigana tangazeni hapa JF tuwatafutie promoter wa mandonga, mkiumizana mpate japo vijisenti vya kufutia machozi.
 
Mkuu naomba uwe promoter wa hii rematch, nataka kumuonesha mimi ni nani, sina kitambi kama anavyojinadi ila alikuja na nyundo akanipiga nayo mara nne kichwani na mbili nilizipunch zikatua mkononi, hala nilipo nauguza majeraha nikipona nataka marudio na wewe uwe shuhuda na ikiwezekana ulete mrejesho jukwaani.
Ngumi kama nyundo au nyundo nyundo
 
Vijana ugomvi siyo sifa, pambaneni humu humu JF kwa hoja. Ya hapa myaache hapa hapa.

Katika kupigana lolote linaweza kutokea, binadam tunatembea na umauti, unaweza hata usimpige mtu, ile mmeshikana tu na wakati wake umefika kadondoka kakata pumzi, unaenda kunyea debe ujana wako wote.

Ushetani wa hapa muuwache hapa hapa.

Mimi nawashauri siku nyingine mkitaka kupigana tangazeni hapa JF tuwatafutie promoter wa mandonga, mkiumizana mpate japo vijisenti vya kufutia machozi.

Sawa mkuu. Tumekuelewa
 
Back
Top Bottom