Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
😁Huyu medecin aje ajibu hii skendo tubalance,maana Wahaya mnajisifu sana.isije ikawa ulikandwa wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka tukutane tuzichape.whats the motive?
Naomba tuonane! Niko serious.polisi iko upande gani?
Uwanja upo au hamna.
Saa 12 giza wanakuonea wapi na polisi pale muda wote wako ndani.
Jitambue wewe
Usikute hata eneo unalolihadithia hulijui
Yupo. Last activity ni leo leo tar 3/6/23Nimemcheki sana hajibu.
pengine kaacha kutumia JF kabisaa
Likapigiwe the super dome tujue mbabe ni yupiYes nataka rematch tena iw neutral ground maana ile siku nahisi alimpanga yule mzee mlinzi aliyepiga yowe kuita watu, alipoona namzidi kwa kipigo yule mzee akaanza kupiga kelele kuwa namuua huyu mjinga, ghafla akatoa nyundo akaanza kunipiga nayo then nikaona watu wanakuja upande wetu wameshika fimbo, nikahisi ni rafiki zake hapo nikaamua kukimbia wasije kuniua maana ilikuwa mitaa yake, next pambano nataka tukapigane neutral ground ili nimuonyeshe mimi ni nani.
Nataka tukutane tuzichape.
Wapi na muda gani? Hata leo nipo tayari.njoo
Kwani haiwezekani id mbili zinakitumia msg? Ushahidi wako ni dhaifu mno
Naomba tuonane bro! Hata leo.
Wapi na muda gani? Hata leo nipo tayari.
Bado si ushahidi tosha.Sasa hapo siwez tena kukuaminisha kuwa nilimbonda jamaa na sina id hiyo.
Angalia nyuzi zake anazopost nanuangalie zangu kama kuna mfanano wa mwandiko
Ngumi kama nyundo au nyundo nyundoMkuu naomba uwe promoter wa hii rematch, nataka kumuonesha mimi ni nani, sina kitambi kama anavyojinadi ila alikuja na nyundo akanipiga nayo mara nne kichwani na mbili nilizipunch zikatua mkononi, hala nilipo nauguza majeraha nikipona nataka marudio na wewe uwe shuhuda na ikiwezekana ulete mrejesho jukwaani.
Vijana ugomvi siyo sifa, pambaneni humu humu JF kwa hoja. Ya hapa myaache hapa hapa.
Katika kupigana lolote linaweza kutokea, binadam tunatembea na umauti, unaweza hata usimpige mtu, ile mmeshikana tu na wakati wake umefika kadondoka kakata pumzi, unaenda kunyea debe ujana wako wote.
Ushetani wa hapa muuwache hapa hapa.
Mimi nawashauri siku nyingine mkitaka kupigana tangazeni hapa JF tuwatafutie promoter wa mandonga, mkiumizana mpate japo vijisenti vya kufutia machozi.
Pole bro!Leo niko home sema jana nilipiga sana konyagi kwahyo mwili uko dhaifu.
Bado si ushahidi tosha.
Ningekua sipajui tabata nsingekwambia yote hayo ...baada ya mazoez ya mpira wa miguu Kuna watu wanapiga karet hapo.Mzee wenye tabat ndo sisi.
Since babu yangu akifanya kazi Tan valuers enzi za 70 wako tabata.
Wewe unapajua tabata?
Pole bro!