Mzee wetu huyu Mohamed Said kweli namtambua. Basi sina shaka kweli. Nafurahia kama na wewe ni mzee wetu nakuomba tu ukitulia utupie hata story yako ya maisha yako. Tafadhali tuna mengj ya kujifunza. .Anhaaa shida umjini mwingi ndugu yangu , natamani nikuitie kaka Mohamed Said ili adhibitishe haya maana nikimueleza mimi ni nani hatashindwa kukujulisha historia yangu vilivyo .
Thank you so much, Gily, thank you for the love. We are so relieved to see that you apprehend G in all circumstances. Of course, the Lord will fill you with his blessings. Many thanks, Gily, regards to your family.🙏Hello
Wapendwa wafuatiliaji wa hii story ya maisha ya ndugu yetu leadermoe nina ujumbe wa kheri kwenu. Jana ndugu yetu alifanyiwa operation ya moyo huko nchini Uturuki. Operation imeenda vyema sasa yuko bedrest nadhani ataruhisiwa kutoka hospitali ndani ya siku hizi mbili. .
Nimewasiliana nae huko nikazungumza na daktari wake. The doctor has assured me that he is doing well, hatakiwi kutumia vifaa kama simu au computer for fews days. Nimepewa ujumbe wa shukrani nilete kwenu. Leadermoe anawashukuru wote kwa kumuombea na ameweza kushinda majaribu. .
Bwana Mungu wetu ni mwingi wa rehema. Basi yapasa kushukuru kila kukicha. Tuzidi kumuombea mpaka pale atakapoweza kuwa salama na kurudi katika hali yake ya kila siku. .
Best, Gily
Kwa wale nitakaosahau kuwatag mnisamehe. .
moneytalk
Analyse
Half american
Watu8
Dr Restart
baby zu
Depal
Amehlo
Nourhan
Leejay49
Demi
Antonnia
Kalpana
Lovelovie
Glenn
Queen Kan
Binadamu Mtakatifu
Darlin
Lloyd Munroe
mshamba_hachekwi
Dahan
Johnnie Walker
Palina
am 4 real
Shunie
Numbisa
Bantu Lady
charlote
Luv
masai dada
Tayukwa
Kelsea
Antennah
Cee
Litro
Dadii
seansauce
kaburungu
Rule bender
wao ni wao
Nima Imma
To yeye
Santos06
Mo mp5
Aaliyyah
etc
🙏
🙏
Anhaa story yangu ya maisha ni vibwanga na vichekesho na uzee huu ndugu yangu , naona aibu kuandika kila kitu japo nishaandika kiasi kidogo huko nyuma nilivyotoswa na bwana Magufuli kwenye uteuzi huku amenipa ahadi kedekede[emoji3][emoji3]Mzee wetu huyu Mohamed Said kweli namtambua. Basi sina shaka kweli. Nafurahia kama na wewe ni mzee wetu nakuomba tu ukitulia utupie hata story yako ya maisha yako. Tafadhali tuna mengj ya kujifunza. .
Mungu amponye legend wetuHello
Wapendwa wafuatiliaji wa hii story ya maisha ya ndugu yetu leadermoe nina ujumbe wa kheri kwenu. Jana ndugu yetu alifanyiwa operation ya moyo huko nchini Uturuki. Operation imeenda vyema sasa yuko bedrest nadhani ataruhisiwa kutoka hospitali ndani ya siku hizi mbili. .
Nimewasiliana nae huko nikazungumza na daktari wake. The doctor has assured me that he is doing well, hatakiwi kutumia vifaa kama simu au computer for fews days. Nimepewa ujumbe wa shukrani nilete kwenu. Leadermoe anawashukuru wote kwa kumuombea na ameweza kushinda majaribu. .
Bwana Mungu wetu ni mwingi wa rehema. Basi yapasa kushukuru kila kukicha. Tuzidi kumuombea mpaka pale atakapoweza kuwa salama na kurudi katika hali yake ya kila siku. .
Best, Gily
Kwa wale nitakaosahau kuwatag mnisamehe. .
moneytalk
Analyse
Half american
Watu8
Dr Restart
baby zu
Depal
Amehlo
Nourhan
Leejay49
Demi
Antonnia
Kalpana
Lovelovie
Glenn
Queen Kan
Binadamu Mtakatifu
Darlin
Lloyd Munroe
mshamba_hachekwi
Dahan
Johnnie Walker
Palina
am 4 real
Shunie
Numbisa
Bantu Lady
charlote
Luv
masai dada
Tayukwa
Kelsea
Antennah
Cee
Litro
Dadii
seansauce
kaburungu
Rule bender
wao ni wao
Nima Imma
To yeye
Santos06
Mo mp5
Aaliyyah
etc
Tuko nyuma yako kwa sala,I heard from Edson.
"Asante sana wote mlioguswa na kuniombea. Nimemaliza ratiba ya hospital, nimepewa bed resting. Naendelea vizuri. Muwe na wakati mwema, Asanteni kwa maombi." [emoji120]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Anhaa story yangu ya maisha ni vibwanga na vichekesho na uzee huu ndugu yangu , naona aibu kuandika kila kitu japo nishaandika kiasi kidogo huko nyuma nilivyotoswa na bwana Magufuli kwenye uteuzi huku amenipa ahadi kedekede[emoji3][emoji3]
Utasikia kila vibibi vinakuambia Giliii kama unambegu uko nje ilete tuichinjieHako kabinti kabichi kameweka jiti kubwa kama gogo kwenye mkono mbona siku hizo zote uko nao hatuoni matokea ya hako binti kukulea[emoji3] nikajua unakuja kwenye uzi wa leadermoe kuchukua point tatu za ushindi. Leo umeniacha na mawazo yan uchagan tunavyotafuta watoto natamani nitafute hata mwanamke nimzalishe tu nahisi mbegu zangu sizitendei haki kabisa. Nikipata watoto 23 nitaburudika nafsi. Akitokea mtu hata JF anataka mbegu bure Nampa ila awe na uwezo tu[emoji3]
haha mbona Analyse anadai mashangazi yana maziwa ya moto mpaka mda wanaunguza[emoji3]. Huyu Analyse ananipoteza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😀😀 haha hapana huwezi jua kuna mengi tutajifunza kwako. Unatukatili kutotuletea story nzur yenye vimbwanga😀kumbe wewe ndio ulishindwa kuapa🤣Anhaa story yangu ya maisha ni vibwanga na vichekesho na uzee huu ndugu yangu , naona aibu kuandika kila kitu japo nishaandika kiasi kidogo huko nyuma nilivyotoswa na bwana Magufuli kwenye uteuzi huku amenipa ahadi kedekede[emoji3][emoji3]
hapo kweny vibibi🤣🤣🤣 sasa hivi vibibi vinawez mzalia Gily mwana mfalme😀😀😀 I don't think soUtasikia kila vibibi vinakuambia Giliii kama unambegu uko nje ilete tuichinjie
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Dah Gily nimecheka sana , eti niliyeshindwa kuapa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] haha hapana huwezi jua kuna mengi tutajifunza kwako. Unatukatili kutotuletea story nzur yenye vimbwanga[emoji3]kumbe wewe ndio ulishindwa kuapa[emoji1787]
Maisha ni hadithi ndugu yangu ndio maana tuko hapa tunasimuliwa hadithi ya leadermoe. Wewe pia una nafasi ya kusimulia yako. Nasubiri niongeze matukio nisumulie yangu pia [emoji4][emoji4]
Amina mama mchungaji. Ikawe kheri na shukrani sana mbarikiwa kwa baraka zako. Mkono wa Bwana haujawshi kuwa mfupi wala ukapungukiwa. We have time to be grateful for his Love and kindness. Jina lake pekee ni la kushukuriwa, sifa zi juu ya ukuu wa Bwana. .
Kuna siku nilikuwa kwenye Ibada na mapadre wa kizungu. Wakanambia anzisha sana tena kwa kizungu ile siku nilitamani niende hata motoni nikamsaidie kazi shetani🤣🤣🤣 it was so hard. Kuanzisha sala kwa kiswahili tu yenyewe ni kazi halafu unaambiwa uanzishe kwa kizungu. Nilichoweza kukumbuka tu ni pale wanaposema 'brothers and sisters give me ana Ameniiiiii' "Give me a hallelujah "😀Dah Gily nimecheka sana , eti niliyeshindwa kuapa [emoji3][emoji3][emoji3]
Haya mambo wewe acha tu .
Ila umeitengeneza jumapili yangu , nimecheka sana , asante
[emoji120][emoji120]
Ipo siku nitasimulia nduguKuna siku nilikuwa kwenye Ibada na mapadre wa kizungu. Wakanambia anzisha sana tena kwa kizungu ile siku nilitamani niende hata motoni nikamsaidie kazi shetani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] it was so hard. Kuanzisha sala kwa kiswahili tu yenyewe ni kazi halafu unaambiwa uanzishe kwa kizungu. Nilichoweza kukumbuka tu ni pale wanaposema 'brothers and sisters give me ana Ameniiiiii' "Give me a hallelujah "[emoji3]
please think about it ukipata mda shush kisa chako. .
Dah! Gily 😁Kino Clan na T/Uzuri imeshakuharibu nipo kwenye foleni kumuona Dr nimejikuta nacheka watu washangaa anacheka nini na simu, Mwenyeezi Mungu Akubariki akulinde na akuhifadhi ajalie maisha yako yawe na barka🙏haha 😄 wenzako huko wanasema wanapeleka moto wanafia vifuani mwa watu🤣 vijana hawa siku hizi wana moto ishatokea wakati binti anakata kiuno mzee anakata roho😄😀
😂😂😂🤣🤣🤣🙌Kuna siku nilikuwa kwenye Ibada na mapadre wa kizungu. Wakanambia anzisha sana tena kwa kizungu ile siku nilitamani niende hata motoni nikamsaidie kazi shetani🤣🤣🤣 it was so hard. Kuanzisha sala kwa kiswahili tu yenyewe ni kazi halafu unaambiwa uanzishe kwa kizungu. Nilichoweza kukumbuka tu ni pale wanaposema 'brothers and sisters give me ana Ameniiiiii' "Give me a hallelujah "😀
please think about it ukipata mda shush kisa chako. .
Moja ya watu nao furahia uwepo wao, Gily anachekesha sana 😂halafu nje ya JM unaweza kuta ni bwege flani hata kuongea haliwezi lina aibu lijanja kwenye simu tu.Dah Gily nimecheka sana , eti niliyeshindwa kuapa [emoji3][emoji3][emoji3]
Haya mambo wewe acha tu .
Ila umeitengeneza jumapili yangu , nimecheka sana , asante
[emoji120][emoji120]
leadermoe huwa ananipiga majungu haya mnashirikianaMoja ya watu nao furahia uwepo wao, Gily anachekesha sana 😂halafu nje ya JM unaweza kuta ni bwege flani hata kuongea haliwezi lina aibu lijanja kwenye simu tu.
Mkuu@leadermoe,,,hadi sasa sijajua unao wake wawili baada ya kuokoka au au umefanyaje fanyaje maana nnapasubiria hapa,nipate kujifunza mkuu.Huyo mzoee tu kaamkia mbege ya juzi [emoji1787][emoji1787]