Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Dah! Gily ๐Ÿ˜Kino Clan na T/Uzuri imeshakuharibu nipo kwenye foleni kumuona Dr nimejikuta nacheka watu washangaa anacheka nini na simu, Mwenyeezi Mungu Akubariki akulinde na akuhifadhi ajalie maisha yako yawe na barka๐Ÿ™
Acha masikhara sikai tandale nakaa manzese๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ nakumbuka sana maisha ya kino kule kuna pisi za kwenda. Pisi za manzese zinakula miguu ya kuku. Hata Mabwana zao unakuta dume linavyonza miguu ya kuku. Hapana sifananii yani na hiki kitambi siwezi kula miguu ya kuku. Shukrani sana Mungu akubariki na wewe pia๐Ÿ˜Š matumaini yangu kwa doctor kila kitu kiko sawa. .


ikipendeza siku moja unibariki mbususu nikuzalishe tupate kitoto cha kirababu๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š
 
Eeeh Mungu ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ™Œnimecheka kwa nguvu mpaka mume wangu aniambia ona umeamsha mtoto simu itakutia wendawazimu.
 
Sitaki dhambi za kuzini na kuzaa nje ya ndoa unataka nisiende Jannat Firdaus๐Ÿ˜‚

Una miaka 32 una kitambi my friend embu fanya mazoezi kutoka sweet corner mpaka darajani uwanja wa Tipi dakika 10 embu kafanye mazoezi acha mbege badili life style yako haswa ulaji detox na smooth kwa sana acha kula sana wanga mafuta sukari kula protein sana na mbogamboga matunda na maji bandar utashindwa kula mbususu ๐Ÿ˜‚
 
Tunaendelea kumuombea apone haraka mkuu Gily
 
hakina nakueleza kati ya mbususu na ugali nyama choma ya mbuzi nitachagua ugali nyama choma mbuzi bila kinyongo kabisa๐Ÿ˜€ hivi uache kumezea mate ugali nyama choma mbuzi umezee mate mbusus๐Ÿ˜€


kitambi ni neema ambayo inawafikia wachache๐Ÿ˜€ acha kusimanga kitambi changu. Nikila sana kikitoa sauti ya mingurumo huwa kinanibembeleza nalala usingizi mzuri as you know I have insomnia ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Eeeh Mungu wangu mimba yangu ๐Ÿ˜ญnimetamani napenda nyama ya mbuzi ya kuchoma na supu yake mpaka nimekatazwa nipunguze red meat nimepakumbuka Arusha Carnival na Mandela Square
 
Asante mkuu naomba connection yoyote popote kwa lolote kasoro upinde
 
Eeeh Mungu wangu mimba yangu ๐Ÿ˜ญnimetamani napenda nyama ya mbuzi ya kuchoma na supu yake mpaka nimekatazwa nipunguze red meat nimepakumbuka Arusha Carnival na Mandela Square
Bado nachagua mbuzi choma๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ mpaka umsumbue haji manara akakununulie nyama usiku huu๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ