Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Unafikiri mpaka wachaga wanafika mjini wanavuka mito mingapπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ€£ ukamkamate kirahisi. Analyse naye alikizwa na mchaga akalia kama mtoto mdogo na alichezea makofi hapo marangu mtoniπŸ˜€

Ila siku hizi watu hawaaminiki kabisa ukitaka upoteze mda wako fanya kazi na watu wenye roho za kimasikini
 
Hapo ulipigwa laki tatu na napigia hesabu nauli ulitoa wewe. Haha ila wachaga wazuri sana hutojutia. .
Ndivyo Nilivyo mkuu, pesa ni karatasi tu, utu kwanza.

Sasa ulitaka nisimpe hata nauli? Tena alipata ya tax kutoka ubungo mpaka mtoni kijichi, sema kwa kuwa ni chagga nature, akaona apande daladala. Elewiiiiiii

Wambie wapunguze kuongea kichagga wakinogewa. 🀣
 
Kweli kabisa.

Alfred alikuwa mjinga sana. Cha ajabu akaenda kujihusisha ma sembe South, jamaa wakam murder baada ya kuleta janja janja.

Ila nilichangia mwili wake kurudishwa hapa ili azikwe, mzee wake alikuwa mtu mwema sana.
 
Wanawake wa kichaga wana kila shape unazozitaka duniani ndio maana ukafa ukaoza kwa Antonnia πŸ˜€ ukahonga na laki tatuπŸ˜€

Kuku wameshapata na futari kabisa πŸ˜€ naona waasubiri daku. .
Naunga mkono ma mguu kwenye kila shape hapo πŸ‘†πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Kweli kabisa.

Alfred alikuwa mjinga sana. Cha ajabu akaenda kujihusisha ma sembe South, jamaa wakam murder baada ya kuleta janja janja.

Ila nilichangia mwili wake kurudishwa hapa ili azikwe, mzee wake alikuwa mtu mwema sana.
Ukiwa na roho ya kimasikini hata ukipewa billion moja huwezi kuwa Tajiri. Mwisho wa ubaya ni aibu, dah South hawana dogo wanaua tena kikatili. .
 
Kuna mmoja nilikuw nae Rombo huko analiaa "mamaaaa" "shsshhhhh" "yeuwiiiiiii" kusema kweli nilisikia raha sanaπŸ˜€
 
Hivi kila ndoa nazoona kwenye TV asilimia kubwa kama dstv ni za wachaga. Nawaza jinsi mnavyotuponda ila mnatukubali sanaπŸ˜€
Tunaoa tukiwa hatujui kama yaliyomo yamo, ndio maana zinavunjika haraka mkuu tukishajua. 🀣🀣🀣

Kuongeleshwa kichaga mtu anapokolea yataka moyo sana. πŸƒπŸƒ
 
Ukiwa na roho ya kimasikini hata ukipewa billion moja huwezi kuwa Tajiri. Mwisho wa ubaya ni aibu, dah South hawana dogo wanaua tena kikatili. .
Yes. Kwanza hawataki mgeni aonekane ana pesa ndefu. Ndugu yako alikutana na police wazungu, akataka kujifanya mjanja na sembe analo, wakampa chuma.
 
Santoo sana cousin Gily akili zake anazijua mwenyewe huyo umzoee tu sa utamtupa wapi ndio wakwenu hukoβ˜ΊοΈπŸ˜‚!!
 
Utani wa ngumi huu cousin kumbe nawe una fujooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…