Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

🤣🤣🤣 Jamani kuweni makini, sina muwakilishi yoyote bongo, send money for your own risk.

Nshakutibulia mzee wa fursa, famchezo nini🏃🏃🏃🏃
Changa nature stand uppppp
 
Thanks a lot, I received your hug. Now with this scent, how do I tell Violet.😂😂
Kwani uko nae? Mwambie umeitoa kwenye daladala😄😄😄😄 ila ninavyomfahamu huyo dada anaweza kukwambia muongozane akahakikishe kama kweli umeitoa kwa daladala😆😆😆
 
Kwani uko nae? Mwambie umeitoa kwenye daladala😄😄😄😄 ila ninavyomfahamu huyo dada anaweza kukwambia muongozane akahakikishe kama kweli umeitoa kwa daladala😆😆😆
🤣🤣🤣
 
Aisee bonge moja la story, ina kila kitu ndani. Nimetumia ziku nzima kuisoma (nimecancel ratiba zangu zote).

Mkuu MUNGU akubariki mno na heshima nyingi sana ziende upande wako [emoji120]

Ningepata dhambi kubwa sana kama ningepita bila kutoa comment.

Umeniinspire kwa mengi mazuri lakini pia nimepata elimu sehemu ambazo hazikuwa sawa na namna ya kuziepuka.

Nimetamani sana ungekuwa unasimulia nikiwa mbele yako nakusikiliza.

Thanks alot.
 
kwa niaba pia ya antonnia na gily nasema hiviiiii TUMEKIBALIIIIIII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…