Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

hakika
 
Nimetamani sana ungekuwa unasimulia nikiwa mbele yako nakusikiliza.
🤣🤣🤣🤣 usingeelewa hata, bora umesoma. Ukikaa na mimi nina tabia za Charles Champlin kama unamjua.
Umeniinspire kwa mengi mazuri lakini pia nimepata elimu sehemu ambazo hazikuwa sawa na namna ya kuziepuk
Nashukuru kwa appreciation yako, ndilo lengo langu kuleta huu mkasa hapa. 🙏
Mkuu MUNGU akubariki mno na heshima nyingi sana ziende upande wako
Amina. Na kwako pia
Ningepata dhambi kubwa sana kama ningepita bila kutoa comment.
Feedback zinasaidia na wengi kujifunza.
Aisee bonge moja la story, ina kila kitu ndani. Nimetumia ziku nzima kuisoma (nimecancel ratiba zangu zote).
Aise pole sana, mkasa ulivo mrefu umesoma siku moja?. Hongera, umenikumbusha kuna kipindi niliangalia legend of the seeker, nilianza saa 2 asubuhi mpaka kesho yake. Big up
 
Asante sana Benbulugu
Nimefurahi kusikia umefatilia, natumai umepata la kijifunza.

Kwa upande wangu, niliona mwanga mpya maishani mwangu, naishi huo ujumbe niliowapa.
Naomba kuuliza swali mheshimiwa je??changamoto nikubwa au ndogo kiasi gani kuzaa watoto kwa wamamatofauti tofauti??je maswala ya upendo kati yao nawatoto watumbo moja kuhisi wnaahaki kuzidi wengine???..ukipata nafasi nijibu hili tafadhali mkuu.
 
winston20 na nana_ karibuni.
Hadi nawaonea wivu kwa namna mtakavyofaidi huu uzi.
 
Mzee kwanza hongera kuiwakilisha vyema nchi huko mambele, ulianzia India ukapita Ulaya, Arabuni na Amerika, kama stori ingendelea nadhani ungefika Asia.
Barikiwa sana.
 
Asante mkuu, hawapendi kukususia mtoto, tatizo ni kipata kidogo ndio maana wanataka mshirikiane.

Wapo hapa hapa bongo wenye pesa zao, unawzalisha tunamalizana, shida yao mtoto.
Daaaaah yashanikuta hayo mzee mwenzangu kila nikimfikilia yule man'gati wangu....issue kdg tu kazimia hili la kumletea mtoto anajua ntauwa bule mtoto wa watu.
Basi hata nikiambiwa ntalea mwenyewe natokea mlango wa uani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…