Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Asante sana Nima Imma
Kazana hiyo 20 itimie mapema, kuna raha sana ukipata mwanga mpya maishani.
 
Asante sana Nima Imma
Kazani hiyo 20 itimie mapema, kuna raha sana ukipata mwanga mpya maishani
Ya leo haijanibamba au nitakuwa kafuasi ka shetani ๐Ÿ˜‚
Daah!
 
Amen umri ukisogea automatically kuna mambo utapunguza au kuacha kabisa Mungu akusimamie na akuongoze
 
Gily kwa nini unaanzisha ugonvi anajibiwa leadermoe? Au Nourhan amekosea ku quote ๐Ÿค”
Nourhan hajakosea ku quote mimi mke wangu mmasai wewe mke wako mngoni ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Kama namuona Nourhan jinsi alivyo mzuri anavtoandika text zake naona kama shombe shombe some la kitanga. Najiuliza kaolewa au jimbo liko wazi ?
Ila anafanana na demu wangu alinipiga kibuti flani alikuwa na madeni vikoba balaa. Yan ukimsugua na elfu kumi analegea mpaka basi๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿ˜ฌ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 

Yah, wana heri wenye mwisho mwema. Hongera sana
 
New episode guys. .
Missy Gf
moneytalk
Analyse
Half american
Watu8
baby zu
Depal
Kalpana
Lovelovie
Binadamu Mtakatifu
Lloyd Munroe
mshamba_hachekwi
moneytalk
Dahan
Johnnie Walker
Leejay49
am 4 real
Shunie
Numbisa
Bantu Lady
charlote
Kalpana
Luv
masai dada
Litro
Edmund
Nima Imma
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Ulipo nipo bro ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hunitakii mazuri๐Ÿ˜€ au unaniona ndio wale wati hawawezi ingia kwenye tundu la sindano๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ kwani utanipa mbususu ili nisiokoke? ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

my mother in law ilikuw mwaka huu siku ya mwaka mpya, kaja kunitembelea nyumbani kwangu. Aliniuluza sasa mwanangu wewe pombe hunywi, sijawahi sikia una mambo ya michepuko, sijawah sikia taarifa mbaya juu yako. Sasa kilichobaki ni nini kama sio kuokoka๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

niliwaza sana.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ