Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu anasingiziwa shetani!! Analo Mbona!Shetani tunamsingizia tu, ni mtu mwenyewe kufanya ya ushetani
mengine hausiki nayo kabisa ila basi ndie mbeba lawamaKila kitu anasingiziwa shetani!! Analo Mbona!
Kivipi mkuu?What you think is love, is truly not
Ni kweli Kabisa !Hutakiwi kutumikishwa na mapenzi. Ngoja nishushe ep
Kibongo bongo tunavyolazimisha kuyaelewa mapenzi, ni tofauti.Kivipi mkuu?
Basi utofauti ni mkubwa mno kati yetu na wao, huku watu wanatanguliza fedha mbele ndio upendo unafuata.Kibongo bongo tunavyolazimisha kuyaelewa mapenzi, ni tofauti.
Huku kwetu ukitongoza tu unakuwa mlipa bili, wenzetu unaweza kiwa nae hata mwaka hajakuomba helaa.
Sisi waomba hela ndio tunaona tunependa sana. Kumbe penzi sio pesa
Nimekuelewa mkuuNi kweli ndio maama nikasema
What you think is love, is truly not
Vaa wigi mkuu usokote[emoji1787][emoji1787]
kiuwarazaaa 😄!
Hauna kapicha ka uwaraza hapo nionepo ukisuka rasta utakuaje kwanza 😄😄!!
😂😂 mlitaka mgundue nini kvant na kahawa? Au kwa kuwa A.K.A yake ni muwa mkajua ni muwa wa sukari mchanganye na kahawaAisee mwaka juzi tulienda kumzika bibi. Tukiwa himo na Costa tunasibiri kupambazuke tukawa tunapoga kahawa. Jamaa akaja na kvant tukawa tunachanganya na kahawa ya moto hatuna habari.
Kifupi tulifanya safari asubuhi saa 11 mpaka Rombo. Bibi alikuwa anazikwa mchana. Hakuna mjukuu tuliotoka mjini aliweza mzika bibi wote tulilala usingizi w kifo. Tunakuja amka usiku wake kila mtu kichwa kizito na wameshazika.
Tukawekwa kikao na kuonekana hatuna adabu. Tulilipidhwa hela ikanunuliwa mbuzi wa fine 🙂 Ikaisha hiyo juu juu ila nachotaka kusema nina two years sijagusa kinywaji🤣 Alafu mimi ni type ya watu wanaokunyw wanaongea kingereza hatari unawez dhania nilizaliw states ..
🤣😂 pombe sio chai ila ulishawishika kirahisi sana why? Ungewakatalia uendelee kuitisha nyuki🤣🤣😂😂!
Mimi huwa sinywi pombe yoyote ile sinywi kabisa!!
Sasa siku moja wifi Zangu ( kwa kaka yao )ni walevi kufaaa wakanilazimisha niende nao club eti Kwanini weekend napenda kujaa tu nyumbani wanapenda kujiachiaa sijawahi ona!! Sasa kwenye kuagiza wameagiza ma wine makali makali wanayajua wenyewe Mimi nikasema waniletee soda tu wee walinichamba Mtu mzima unakunywaje soda wifi hebu jaribu hii nikaonja ikanishinda basi wakamwambia mhudumu aniletee wine Gani sijui kwamba haileweshi sana kwa ambae sijawahi kunywa pombe ..nikaletewa wakaniwekea kwenye kile kiglass kidogoo inalingana kama kakikombe ka kunywea kahawa hivi mi si nishazoea sodaa kunywa guduuu guduu dakika imeisha nikapiga kiglass chakwanza dakika sifuri kimeisha wakaniwekea chapili kikaisha aloo huto tuglass tuwili tu nikaanza jisikia tofauti kichwaniii mara ghafla nikasimama kucheza nilichezaaa mzikii mimi kama mwehuu wakati hata kucheza ukunikuta nacheza labda nimerogwa wifi wanacheka hawana mbavuuu nachezaaa Huku Nacheka cheka tu! Mbona walinirudisha nyumbani kwanza then wao wakarudi huko club asubuhi niliamka kichwaa Sio changu kizitoo😄😄😄😄!!
Pamoja sana KamandaKaribuni wapendwa story.
Antonnia Bantu Lady Kalpana Gily kaburungu Kibunango Lastmost wao ni wao Mpetde Santos06 To yeye niachiemimi JBourne59 harakati za siri Aaliyyah Lovelovie Semere92 mludego Smart AJ Mwana mmnyonge Mwanga Mkali sumbai Zeus1@rashidi jololo barakalyimo Iceberg9 ERoni Dahan @hamachoachi Mwananchi B Watu8 liwaya Ushimen madindigwa The email GamahaIBRA wa PILI Kaka yake shetani @la ceez Koffi Annan macho_mdiliko fabinyo Jay -milionsMudimkushi ndukulusudicho Ms cee mtzmweusi
Na wengine Karibuni.
Kwakweli sio chai acha waliozoea wanywe tu mimi 🙌🙌🙌!😂😂 mlitaka mgundue nini kvant na kahawa? Au kwa kuwa A.K.A yake ni muwa mkajua ni muwa wa sukari mchanganye na kahawa
🤣😂 pombe sio chai ila ulishawishika kirahisi sana why? Ungewakatalia uendelee kuitisha nyuki
Mbona huo upara nywele kama zimekatwa na kipande cha glass😂!