Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Part Seven F: It's like sugar sometimes…

[emoji182] Bon voyage, my love.

Baada ya siku tatu tukarudi home nako mapenzi yetu yalizidi kushamili. Mama alijua toka siku ya kwanza pale nyumbani, maana alimuona binti amezidisha caring hakuwa na noma, alishajua mwanae nimekua. Maana hata angekuwa na noma bado alikuwa ni wa kutoka asubuhi na kurudi jiono hivyo hajui hapa kati kinatokea nini.

Ila kwa kumheshimu mama hatukufanya chochote usiku, Violet alilala chumba cha wageni na mimi kwangu.

Kulikuwa na uwezekano wa mimi kumfata chumbani kwake kwa siri ila haikufanyaka hivyo.

Likizo yote niko na Violet tu. Baada ya likizo Violet alirudi kwao na mimi nikaenda zangu chuo.

Siku naagana na Violet …..

Violet : "No one and nothing in the entire universe can make me half as happy as you do."

alisema tukiwa airport kusubiri muda wa ndege yake.

Edson: "Real? Your voice sounds sweeter than an angel, and your smile looks prettier than a morning flower.

Violet : smiling" I can't wait to hug you day and night for the rest of my life."

Edson:"Distance will never be an issue for me. Distance means nothing when someone means so much" .

Violet : "Kiitos"

Edson: " Meaning?"

Violet : " Thank you"

Edson: "Karibu mama"

Violet : "What did you say?"

Edson: " You are welcome, mam"

Violet : "Kiitos"

Muda wa ku check in ulifika, nikamuaga mpenzi wangu , tabasamu likampotea usoni, chozi limkaponyoka jichoni…….

'Baby, listen to this song when you worry about me' niliongea nikimpa Cd ya Bobby McFerrin na kumwambia asikilize wimbo "


Song: Don't Worry Be Happy"
Artist: Bobby McFerrin
Released: 1988
Album: Simple Pleasures
Awards: Grammy Award for Song of the Year
Genres: Jazz, A cappella, Reggae
Nominations: Grammy Award for Song of the Year,
Kids' Choice Award for Favorite Song


Here's a little song I wrote
You might want to sing it note for note
Don't worry, be happy
In every life we have some trouble
But when you worry, you make it double
Don't worry, be happy
Don't worry, be happy now
Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy

Ain't got no place to lay your head
Somebody came and took your bed
Don't worry, be happy
The landlord say your rent is late
He may have to litigate
Don't worry, be happy (look at me, I'm happy)
Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh)

Hey I give you my phone number
When you worry, call me, I make you happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh)
Ain't got no cash, ain't got no style
Ain't got no gal to make you smile
But don't worry, be happy
'Cause when you worry your face will frown
And that will bring everybody down
So don't worry, be happy
Don't worry, be happy now
Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy

Now there is this song I wrote
I hope you learned it note for note, like good little children
Don't worry, be happy
Now listen to what I said, in your life expect some trouble
But when you worry, you make it double
But don't worry, be happy, be happy now
Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) don't worry, don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Don't do it, be happy
(Ooh-ooh-ooh) Put a smile in your face, don't bring everybody down like this
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) It will soon pass, whatever it is
(Ooh-ooh-ooh) don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) I'm not worried
(Ooh-ooh-ooh-ooh) I'm happy
-ooh-ooh) Don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry

Violet aliniganda sana hivyo nikamwahidi nikimaliza chuo nitaenda Finland.

"Tulen kaipaamaan sinua, kultaseni."

[emoji115]I'm gonna miss you, sweetheart.

Kiitos [emoji41]

*******'**

Next

Part Seven G: It's like sugar sometimes…

[emoji3064]It's very hard to say goodbye to someone close to you.

Table.jpg
JKIA.jpg
 

Attachments

  • Vio%202.jpg
    Vio%202.jpg
    37.2 KB · Views: 56
  • Vio%202.jpg
    Vio%202.jpg
    37.2 KB · Views: 48
F
Part Seven F: It's like sugar sometimes…

[emoji182] Bon voyage, my love.

Baada ya siku tatu tukarudi home nako mapenzi yetu yalizidi kushamili. Mama alijua toka siku ya kwanza pale nyumbani, maana alimuona binti amezidisha caring hakuwa na noma, alishajua mwanae nimekua. Maana hata angekuwa na noma bado alikuwa ni wa kutoka asubuhi na kurudi jiono hivyo hajui hapa kati kinatokea nini.

Ila kwa kumheshimu mama hatukufanya chochote usiku, Violet alilala chumba cha wageni na mimi kwangu.

Kulikuwa na uwezekano wa mimi kumfata chumbani kwake kwa siri ila haikufanyaka hivyo.

Likizo yote niko na Violet tu. Baada ya likizo Violet alirudi kwao na mimi nikaenda zangu chuo.

Siku naagana na Violet …..

Violet : "No one and nothing in the entire universe can make me half as happy as you do."

alisema tukiwa airport kusubiri muda wa ndege yake.

Edson: "Real? Your voice sounds sweeter than an angel, and your smile looks prettier than a morning flower.

Violet : smiling" I can't wait to hug you day and night for the rest of my life."

Edson:"Distance will never be an issue for me. Distance means nothing when someone means so much" .

Violet : "Kiitos"

Edson: " Meaning?"

Violet : " Thank you"

Edson: "Karibu mama"

Violet : "What did you say?"

Edson: " You are welcome, mam"

Violet : "Kiitos"

Muda wa ku check in ulifika, nikamuaga mpenzi wangu , tabasamu likampotea usoni, chozi limkaponyoka jichoni…….

'Baby, listen to this song when you worry about me' niliongea nikimpa Cd ya Bobby McFerrin na kumwambia asikilize wimbo "


Song: Don't Worry Be Happy"
Artist: Bobby McFerrin
Released: 1988
Album: Simple Pleasures
Awards: Grammy Award for Song of the Year
Genres: Jazz, A cappella, Reggae
Nominations: Grammy Award for Song of the Year,
Kids' Choice Award for Favorite Song


Here's a little song I wrote
You might want to sing it note for note
Don't worry, be happy
In every life we have some trouble
But when you worry, you make it double
Don't worry, be happy
Don't worry, be happy now
Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy

Ain't got no place to lay your head
Somebody came and took your bed
Don't worry, be happy
The landlord say your rent is late
He may have to litigate
Don't worry, be happy (look at me, I'm happy)
Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh)

Hey I give you my phone number
When you worry, call me, I make you happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh)
Ain't got no cash, ain't got no style
Ain't got no gal to make you smile
But don't worry, be happy
'Cause when you worry your face will frown
And that will bring everybody down
So don't worry, be happy
Don't worry, be happy now
Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy

Now there is this song I wrote
I hope you learned it note for note, like good little children
Don't worry, be happy
Now listen to what I said, in your life expect some trouble
But when you worry, you make it double
But don't worry, be happy, be happy now
Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Be happy
(Ooh-ooh-ooh) Don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) don't worry, don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) Don't do it, be happy
(Ooh-ooh-ooh) Put a smile in your face, don't bring everybody down like this
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry
(Ooh-ooh-ooh-ooh) It will soon pass, whatever it is
(Ooh-ooh-ooh) don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) I'm not worried
(Ooh-ooh-ooh-ooh) I'm happy
-ooh-ooh) Don't worry, be happy
(Ooh, ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh-ooh) Don't worry

Violet aliniganda sana hivyo nikamwahidi nikimaliza chuo nitaenda Finland.

"Tulen kaipaamaan sinua, kultaseni."

[emoji115]I'm gonna miss you, sweetheart.

Kiitos [emoji41]

*******'**

Next

Part Seven G: It's like sugar sometimes…

[emoji3064]It's very hard to say goodbye to someone close to you.

View attachment 2559546View attachment 2559555View attachment 2559557
Fupi sana. Asante sana,
 
Mkuu una undugu na Smart devil?

Mkuu nyimbo nyingi zilikuwa zinasikilizwa kipindi cha haya matukio. Ndio maana nasimulia feelings nilizokuwa nazo wakati huo. Kuna chache tu hazikuwepo kipimdi hicho, nimeona mashairi yake yanahusiana na matukio yangu, nikaziweka. utaona mabadiliko mbele[emoji120]
I wasn't complaining mkuu. Nilikua nachangamsha tu kijiwe. Kuhusu smart devil, simfahamu na sina undugu na devils!

I'm just a smart ghost!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Part Seven E: It's like sugar sometimes.

[emoji182]A sweet Finn girl.

Violet alikuwa binti mrembo sana, ngozi nyororo, hakuwa mnene wala mwembamba. Kama alivyo 'Rihanna' Alikuwa amevaa suruali ya kitambaa raini rangi nyeusi, na Blauzi nyeupe na kikoti cha kaki. Alipendeza sana

Siku ile alilala hotelini sikumpeleka pale nyumbani.

(Isinge kuwa busara kulala na binti room moja na hamjazoeana. )

Rosemary nae alikwenda kwao Songea. Kesho yake tulianza safari ya kwenda Arusha. Maana tulishakubaliana nifanye booking ya kusafiri kesho yake, pia nilitumia nafasi hiyo kumtaarifu mama juu ya ugeni huo.

Ingawa baba na kaka walikuwa Dar lakini hawakujua mishe zangu ila mama pekee, mama alikuwa msiri wangu, Hawakujua kama nimepata mgeni.

'mtoto wa kiume na mama yake ni kama mkate na chai, vinajuana. Ni kama mtoto wa kike kwa baba' ila kama hiyo familia ina malezi mazuri'

Mama alimpokea vizuri sana. Tumekaa nyumbani siku 3, kisha tukafanya utaratibu wa kupata agent tukaenda ngoro ngoro.

Tukiwa ngorongoro niligundua Violet alikuwa na upeo mkubwa sana, alini surprise sana kwa story zake na jinsi ninavyokubalika kwao mpaka na ndugu zao waliosimuliwa tu kila mtu alitaka anione.

"I think she was winning me over. "
Nikaambiwa nikifika Finland maisha yangu yatabadilika sana. Alisema kuwa Mr. Collins alishanipa hisa kwenye kampuni yao, pia ameniandika kama mmoja wa watoto wake, maana hawakuwa na mtoto wa kiume.

Alinieleza kuwa hata pesa ninazotumiwa kila mwezi zinatoka kwenye share ya familia.

Kwa kweli nilipata msukumo sana wa kwenda ulaya. Kitu cha ajabu ni kwamba Violet alikuwa ana take good care of me kama vile ni wapenzi .

'Hapo ndio unajua hakuna urafiki kati ya simba na swala, it's matter of time'

Siku ya kwanza ngorongoro tulizuga kwa stori nyingi sana ingawaje tulikuwa chumba kimoja. Violet alipendekeza tuchukue chumba kimoja ili asiwe mpweke na tupate muda mzuri wa kuongea.

Asubuhi tukaamka tumechoka kwa kuchelewa kulala, kila mtu akajua tulinyanduana sana kumbe walaaaa.

Baada ya breakfast tukaenda porini na guider wetu, huyu jamaa alikuwa fisi sana, pamoja na mimi kuwepo pale ila alikuwa anampiga jicho chochezi Violet .

Uzuri nilimsoma toka day one,
Ikafika wakati ana respond kwa shida maswali yangu, ila ya binti anatoa mpaka maelezo ya ziada. (ni wivu tu, ni wivu tu)

Violet nae alimgundua, hakupenda ile tabia, ikabidi anig'ang'anie kila sekunde amenishika mkono na kumpotezea kiasi jamaa. Hata maswali tulipunguza, ikabidi awe anaeleza akijisikia.

(mwisho wa safari, alituomba radhi, nahisi alizani tutalalamika kwa wakubwa wake. Hatukuwa hata na hilo wazo.)

[emoji57]'utakula kwa macho tu' na hata ukinizidi ujanja ukaoga mjini huendi ng'o'.[emoji41]

****** * * * *
Mida ya jioni tukawa tumerudi hotelini, tukaoga na kupata chakula cha jioni kisha tukaingia chumbani kwetu.

Hatukuwa tukitumia kilevi ni vinyaji raini tu.Baada ya maongezi ya hapa na pale,Violet akaniangalia akaniambia

Violet " Thanks a lot, Mr Edson.Since then, when you helped us, I wanted to thank you. I wanted to thank you with a look in your eyes.I really appreciate your help.

Edson "It's nothing violent, As human beings, we are meant to help each other, that's what I did that day.I helped because I was capable of that."

Violet: "Not everybody can do this, you need a big heart to do something like this."

Edson': "Well, that may be true, but for me I have…"

Violet: "no Mr Edson sound real, very true, I sense it. '"

Edson 'Ok.Thanks Violet '

Violet: "Do you have a girlfriend, right?"

Edson: No. I don't

Baada ya kusikia jibu langu, alitulia kidogo kama vile anawaza kisha akasema

Violet: "real?

Edson 'sure'

Violet:" why"

Edson: "When the right time comes, I'll....... .

Violet : "Do you care about me.?" Alimikatisha kwa swali no

Edson:" Well, i……. "

Violet: *'sssshhhhhhhhh[emoji2958]'

Kabla sijamjibu swali lake aliniwekea kidole kwenye midomo yangu huku akinifanyia ssshhhhhh!, Akanisogelea na kuanza kunikisi mdomoni.

I was like "I'm not afraid to love, for the first time. I'm not afraid of love, this day seems made for you and me, and you showed me what life needs to be"

Nilitii amri yake ikabidi nimjibu kwa vitendo kwanza, nikampa ulimi akapokea bila kujiuliza. Baada ya muda mwingi wa kuchezeana, tulipiga mechi safi bila refa.

Violet akikuwa na unyakyusa mwingi sana mtu wangu[emoji180]. Ila hakumzidi Rosemary , kwa romance nilimnyoshea mikono. Jamani kuna wanawake ni watamu sana, she was hot [emoji91] . Ila nilikuta kuna mjanja kashapita sio sana.

Kifupi tulilala majogoo yalipowika . Saa 1 tukaamkaa na kuzindua tena kuondoa hangover, hiyo siku hatukwenda porini ilikuwa ni chakula na romance, story na sex tu.

''Kuna mwamba alisema pombe na nyama, utani na story play boy by Nikki mbishi'[emoji119] .

Penzi jipya na Violet lilianzia mbugani.
…………….

Part Seven F: It's like sugar sometimes…

[emoji182] Bon voyage, my love.
View attachment 2559465View attachment 2559471View attachment 2559489View attachment 2559490
Hahaa.

Kazi na dawa, pombe na nyama, utani na story.

Hiyo picha umeweka ndio ugonjwa wangu mzee, she's a fine shawty!
 
Part Seven G: It's like sugar sometimes…

[emoji3064]It's very hard to say goodbye to someone close to you.


Baada ya kurudi chuo kumalizia mwaka wa tatu niliendelea na Rosemary wangu. Katika wasichana wote niliokuwa nao kipindi kile nilimpenda zaidi Rosemary, nae alikufa kabisa kwangu.

(hajui kutegea chumbani, sauti nyororo ya kuchombeza, mihemo yake kama anataka kukata roho, kila style nitakayo mkalisha anaijua zaidi)

**
Baada ya graduation nikiwa na 'Bachelor of Arts Economics and Statistics' , nili rudi Arusha kwa mama.

Wiki chache baade nikatumiwa mwaliko rasmi kwenda ufin. Mama hakuleta ngumu sana maana alishajua nimesha penda, nimekua, nahitaji kuamua mambo yangu mwenyewe. Nikaanza maandalizi ya safari.

Nilienda ofisini kwa baba pale TAZARA ili tukachukue hati ya kusafiria maana tulikuwa tumeshakamilisha mahitaji yote tukawa tunasubiri siku ya kurudi.

Tulienda uhamiaji tukakuta iko tayari, tukaichukua na kuondoka.

Mr. Collins aliniagiza nikaonane na Mathew ubalozini kwao, nilimpata na akanipa ushirikiano sana kwa kunielekeza nifanye nini ili nipewe viza.

Baada ya kukamilisha aliniambia atanitumia email kesho kutwa yake mchana.

***
Nilitumia muda huo kuwaaga ndugu na jamaa, nilianza na kaka Edwin, kisha mr. Anthony.

"Mzee alinishauri sana kuhusu ku focus na maisha. Niache mizaha na mapenzi ya bila malengo.

Baba hakuwa rafiki yangu kama mama, hakuwa ananipa ushauri mara kwa mara, ila siku akiamua kunipa darasa, nauona umuhimu wa ukimya wake.

He was a loving father. (RIP daddy, one day we will meet again.) "

Nilimwambia Rosemary naenda kusoma (sikumwambia kuhusu Violet ) nilimwachia Rosemary pale nilipokuwa naishia na vitu vyote, maana nilimpenda sana. Pia sikuona sababu ya kuvipeleka nyumbani wala kuviuza.

Baada ya kupata hati ya kusafiri nilimtafuta Mathew na kukamilisha documents zilizohitajika.

***
Baada ya kuaga ndugu akiwamo kakaa yangu kipenzi Edwin, nilienda Arusha kuongea na mama.

Antonnia: "Edson mwanangu siku zote usije kutoa nafasi kwa mapenzi yakuendeshe, siku ukiruhusu hiyo hali utapoteza malengo yako yote maishani.

Wanawake wazuri wanazaliwa kila leo, wengi watasema wanakupenda ila mwisho wa siku wanakuacha ukiwa na hali mbaya, Muombe Mungu na mimi nakuombea upate mwanamke aliekuandalia."

" nakutakia kila la heri baba, siku zote kumbuka kabla hujaanza jambo lolote mshirikishe Mungu kwanza, utafanikiwa maishani."

"unaenda nchi ya watu, baba usije kututia aibu huko, siku zote zingatia nilicho kufundisha na Mungu atakuongoza mwanangu. Usije nisahau kwa raha za ulaya, ni wewe rafiki yangu na mfariji wangu, usijenipa mawazo kwa kuwa mbali nami. Nakutakia kila la heri, na baraka ziwe juu yako kama umande katika nchi."

Mama alimaliza maongezi yale na akanitemea mate usoni na mikononi ishara ya umande katika nchi.

Edson: "Mama nashukuru kwa kuniruhusu, nakuahidi sitakwenda kinyume na ulichowekeza kwangu, sitakuaibisha nikiwa huko wala hapa. Nitarudi mapema maana nakupenda sana mama. "
**********

'She's a loving mother.'

Kesho yake nilienda internet cafe kuangalia email ya Mr. Matthew, ilikuwa ni baada ya siku 3 toka tuachane. Nilikuta ujumbe kuwa maombi ya viza yako tayari, na kiufupi nikaonane nae kwa ajili ya safari ndani ya siku 3 kwani tiketi iko tayari pia. Sikutumia pesa zangu,alitumiwa pesa zote na Mr. Collins.

Nilienda kutafuta zawadi kwa ajili ya wenyeji wangu. Nilinunua bracelets za shanga 12 zikiwa na bendela ya Taifa, mashuka ya kimasai 12, picha za michoro ya tinga tinga 12.
(sikuona zawadi ya kupeleka ulaya, ibidi ninunue vitu vya kitamaduni tu)

'Naanza vipi kumsahau 'mfin wangu' nilimchukulia cheni,earing, saa na bracelet zikiwa na nakshi za diamond'

'don' t be too cheap to your woman, sometimes you have to improve your standards.'

Baada ya kuhakikisha nimeridhika na zawadi nilizopata, nikanunua beg moja kubwa kiasi nikabebea zile zawadi…

………

Nilirudi Dar kwa ajili ya safari. Nilitumia usiku ule kumuaga Rosemary , nilimdanganya naenda kusoma 'masters' kisha nitarudi, nilimkabithi kile chumba na mali zote rasmi. Nakumbuka siku hiyo Rosemary alishindwa kula, alilia sana.

Edson: "Why are you weeping, beautiful?"

Rosemary : "You know I'm crazy about you, Edson, I can't lose you."

Edson: "Lose me? How?, Why?"

Rosemary: "You don't know how important you are to me, Edson, you mean everything to me."

Edson: "No baby, don't cry, I know all, I promise I'll come back for you soon." "Distance from us doesn't matter because you're still in my thoughts, baby I love you, and I mean every word I say, be strong my love."

…. alifuta machozi akasema…

Rosemary: "There is nobody else I would rather spend my life with than you Edson, It makes me sad to go to bed and wake up without you by my side."

'The lady scorched inside,'

Edson: "I'm lucky to have a girl who makes me feel beloved, your name is written in the deepest part of my heart like a tattoo."

Rosemary: "I'm sure I'll see you again, but this isn't good enough for me. I'm gonna miss you very much, my Edson

Edson: "I needed someone to understand my highs and lows, and here you are, with love and devotion, profoundly touching my emotions.

Rosemary : "Daddy usinipange , but Thank you ."

Edson: ha ha haaa, unavyo deka sasa, kama vile sio wewe ulikuwa unalia mda mfupi tu hapa. "

Tuliongea mengi siku hiyo, nikampa Rosemary pesa za kumsaidi kwa muda ambao sitakuwepo. Sikutaka abadilike kwa kukosa matunzo.

Nilishamzoesha shopping za nguo, handbags, shoes, cosmetics, salon nk kila wiki, sikutaka abadilike sana.

" Don't fight a woman, love her, if you love her, it's over, everything else is a story." [emoji4]

Usiku ule mpenzi wangu alijituma isivyo kawaida, nikama vile alikuwa anasema' take it all my love with you.' Akanimbiia kipande hiki cha wimbo.

How sweet it is (Loved by you) James Taylor (1975)

"I close my eyes at night

Wondering where would I be without you in my life
Everything I did was just a bore

Everywhere I went it seems I'd been there before

But you brighten up for me all of my days

With a love so sweet in so many ways

I wanna stop and thank you, baby

I just wanna stop and thank you baby, oh yes

How sweet it is to be loved by you

It's like sugar sometimes. "

Kesho yake nilienda kuchukua tiketi kwa Matthew kwa ajili ya safari. Ilikuwa tiketi ya 'Turkish Airlines' kwa ajili ya kesho yake.

**********
Next

Part Seven H: I have to go away.

Nov, 1998
[emoji848] I'm in Africa, my mind is in Europe.
Table.jpg
Tanzanian%20passport%20.jpg
Sana%20inaboa.jpg
Vio%202.jpg
 
Back
Top Bottom