Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Updates: Tarehe 03 May 2023
Mwili wa ndugu yetu leadermoe utaletwa Arusha baada ya siku 21. His children wanted him to be sent to his agrarian at Rovaniemi first, after he was idolized there, then he will be brought to Tanzania for burial.

Nimezungumza na mtoto wa marehemu. Kanieleza kuwa baba yao ingawa aliandika story yake na kuweka taarifa zake za faragha jamvini hii inaweza kuwaathiri wanafamilia. Hata hivyo leadermoe hakutaka kutoa taarifa za wanafamilia zaidi ya taarifa zake. Hivyo kulinda faragha za wanafamilia basi taarifa zinazowahusu wanafamilia hazitajadiliwa hapa JF (zaidi ya taarifa zake marehemu).

Kwa wale wachache watakaohitaji kuhudhuria msiba huu. Basi kutakuwa na taratibu za kuandikisha ambazo zitatolewa na familia. Ndugu zangu naomba tuwe watulivu na wavumilivu huu ni msiba wetu wote nitawajulisha zaidi kadri familia itakavyopanga.

Wenu, Gilbert. .
 
Kat Kit inauma sana sana sana
Mi naona hivi kwani huo uzi hauwezi kuondolewa hapa jf au kwa kuwa ushapelekwa huko netflix,make uko open sana I think wahusika hawa wanawake hawatojisikia vizuri especially maisha yao ya nyuma
Though maudhui sio mabaya but I know kuna watu wanaumia kwa baadhi ya sehemu
 
Mi naona hivi kwani huo uzi hauwezi kuondolewa hapa jf au kwa kuwa ushapelekwa huko netflix,make uko open sana I think wahusika hawa wanawake hawatojisikia vizuri especially maisha yao ya nyuma
Though maudhui sio mabaya but I know kuna watu wanaumia kwa baadhi ya sehemu
Mwanzoni kabisa alisema majina yote ni kufikirika . Sasa nani atajiskia vibaya.
 
Mi naona hivi kwani huo uzi hauwezi kuondolewa hapa jf au kwa kuwa ushapelekwa huko netflix,make uko open sana I think wahusika hawa wanawake hawatojisikia vizuri especially maisha yao ya nyuma
Though maudhui sio mabaya but I know kuna watu wanaumia kwa baadhi ya sehemu
Marehemu aliandika Uzi huu ili uishi ndo maana akaamua kutengeneza kitabu na movie ili watu wajifunze Kuna muda tunajifunza kupitia kwa watu wengine,sababu mwishoni alibadili mienendo yake akwa zaidi na Mungu istoshe wahusika hakuna majina ya kweli kwa wote alisema Kuna baadhi kweli Kuna baadhi disguise,na kama wanawake unaongelea mkewe na mzazi mwenzie mfin💜 wanajua haswa mkewe 🌹 Kuna siku nilimuuliza hili swala akanijibu mkewe ni kama rafiki yake na ndio mhariri wa hii simulizi haipostiwi hapa bila mkewe kuipitia ku edit kama Kuna kitu hajapenda hata akimsifia hakuwa anapenda ndo maana simulizi 💜kasifiwa sana kuliko🌹na mkewe alikuwa aki comments hapa kwenye huu uzi.
 
Updates: Tarehe 03 May 2023
Mwili wa ndugu yetu leadermoe utaletwa Arusha baada ya siku 21. His children wanted him to be sent to his agrarian at Rovaniemi first, after he was idolized there, then he will be brought to Tanzania for burial.

Nimezungumza na mtoto wa marehemu. Kanieleza kuwa baba yao ingawa aliandika story yake na kuweka taarifa zake za faragha jamvini hii inaweza kuwaathiri wanafamilia. Hata hivyo leadermoe hakutaka kutoa taarifa za wanafamilia zaidi ya taarifa zake. Hivyo kulinda faragha za wanafamilia basi taarifa zinazowahusu wanafamilia hazitajadiliwa hapa JF (zaidi ya taarifa zake marehemu).

Kwa wale wachache watakaohitaji kuhudhuria msiba huu. Basi kutakuwa na taratibu za kuandikisha ambazo zitatolewa na familia. Ndugu zangu naomba tuwe watulivu na wavumilivu huu ni msiba wetu wote nitawajulisha zaidi kadri familia itakavyopanga.

Wenu, Gilbert. .
Nitausubiri huo wakati nipo tayari .
 
Updates: Tarehe 03 May 2023
Mwili wa ndugu yetu leadermoe utaletwa Arusha baada ya siku 21. His children wanted him to be sent to his agrarian at Rovaniemi first, after he was idolized there, then he will be brought to Tanzania for burial.

Nimezungumza na mtoto wa marehemu. Kanieleza kuwa baba yao ingawa aliandika story yake na kuweka taarifa zake za faragha jamvini hii inaweza kuwaathiri wanafamilia. Hata hivyo leadermoe hakutaka kutoa taarifa za wanafamilia zaidi ya taarifa zake. Hivyo kulinda faragha za wanafamilia basi taarifa zinazowahusu wanafamilia hazitajadiliwa hapa JF (zaidi ya taarifa zake marehemu).

Kwa wale wachache watakaohitaji kuhudhuria msiba huu. Basi kutakuwa na taratibu za kuandikisha ambazo zitatolewa na familia. Ndugu zangu naomba tuwe watulivu na wavumilivu huu ni msiba wetu wote nitawajulisha zaidi kadri familia itakavyopanga.

Wenu, Gilbert. .
Nikiwa free nitapita kumuaga kaka yangu huyu

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom