Mkataba wa BANDARI dhidi ya DP WORLD hautaongezwa wala kupunguzwa herufi moja

Mkataba wa BANDARI dhidi ya DP WORLD hautaongezwa wala kupunguzwa herufi moja

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!
Hili suala la BANDARI ambalo limeleta amsha amsha takribani miezi 3 sasa. Watu wanalichukulia jambo hili kawaida. Wengine wanaamini huenda Rais Samia kahongwa pesa ili aupitishe haraka ule mkataba. Hapana.
Hajaongwa hata Senti. Hili suala ni spiritual manipulation (shinikizo la kiroho).

Nilichoona katika ulimwengu wa roho the cabinet waliwekewa ulaghai na waligundua siku ya kutiliana saini.
Walitaka kukataa lakini maandalizi tayari yalikuwa yamefanyika na ile nguvu nyuma yao iliendelea kuwasukuma wakapitisha huku mioyo inawauma.

Kama waliweza kupitisha mkataba ambao walishauona kuwa ni ulaghai, je, wataweza kuugusa sasa huku wameshaupitisha?

Hili jambo wakipatikana watu waaminifu angalau 3 tu wasio na makandokando mbele za Mungu wakipatikana kwa pamoja wanaweza kuziondoa zile nira na mkataba mzima utavunjika na furaha itatawala.
 
Habari!
Hili suala la BANDARI ambalo limeleta amsha amsha takribani miezi 4 sasa watu wanakichukulia jambo la kawaida. Wengine wanaamini huenda Rais Samia kahongwa pesa ili aupitishe haraka. Hapana.
Hajaongwa hata Senti .
Hili suala ni spiritual manipulation (shinikizo la kiroho).
Nikichoona katika ulimwengu wa roho the cabinet waliwekewa ulaghai na waligundua siku ya kutiliana saini.
Walitaka kukataa lakini maandalizi tayari yalikuwa yamefanyika na ile nguvu nyuma yao iliendelea kuwasukuma wakapitisha huku mioyo inawauma.
Kama waliweza kupitisha mkataba ambao walishauona kuwa ni ulaghai ,je, wataweza kuugusa sasa huku wameshaupitisha?
Hili jambo wakipatikana watu waaminifu angalau 3 tu wasio na makandokando mbele za Mungu wakipatikana kwa pamoja wanaweza kuziondoa zile nira na mkataba mzima utavunjika na furaha itatawala.
Tanzania kuna changamoto kubwa kwa raia kuliko huo mkataba wa bandari. Je kwanini nguvu zote zinaelekezwa hapo? Sioni huo mkataba utakapo muathiri bibi yangu uko ukwiriri........ni ubinfsi ndo unao sumbua watu.
 
Tanzania kuna changamoto kubwa kwa raia kuliko huo mkataba wa bandari. Je kwanini nguvu zote zinaelekezwa hapo? Sioni huo mkataba utakapo muathiri bibi yangu uko ukwiriri........ni ubinfsi ndo unao sumbua watu.
Kulikuwa kuna haja gani ya kudai uhuru ili tujitawale wenyewe kama mali zetu muhimu tunawakabidhi tena wageni
 
Habari!
Hili suala la BANDARI ambalo limeleta amsha amsha takribani miezi 4 sasa watu wanakichukulia jambo la kawaida. Wengine wanaamini huenda Rais Samia kahongwa pesa ili aupitishe haraka. Hapana.
Hajaongwa hata Senti .
Hili suala ni spiritual manipulation (shinikizo la kiroho).
Nikichoona katika ulimwengu wa roho the cabinet waliwekewa ulaghai na waligundua siku ya kutiliana saini.
Walitaka kukataa lakini maandalizi tayari yalikuwa yamefanyika na ile nguvu nyuma yao iliendelea kuwasukuma wakapitisha huku mioyo inawauma.
Kama waliweza kupitisha mkataba ambao walishauona kuwa ni ulaghai ,je, wataweza kuugusa sasa huku wameshaupitisha?
Hili jambo wakipatikana watu waaminifu angalau 3 tu wasio na makandokando mbele za Mungu wakipatikana kwa pamoja wanaweza kuziondoa zile nira na mkataba mzima utavunjika na furaha itatawala.
Una proof kuwa dude Hilo lilipita BARAZA la mawaziri?

Kumbuka lilisainiwa tangu Oct 2022!!
 
Tanzania kuna changamoto kubwa kwa raia kuliko huo mkataba wa bandari. Je kwanini nguvu zote zinaelekezwa hapo? Sioni huo mkataba utakapo muathiri bibi yangu uko ukwiriri........ni ubinfsi ndo unao sumbua watu.
Mimi pia natembea sana huku mikoani siwasikii kabisa watu wakiuzungumzia huo mkataba wa Bandari !!
 
Habari!
Hili suala la BANDARI ambalo limeleta amsha amsha takribani miezi 3 sasa. Watu wanalichukulia jambo hili kawaida. Wengine wanaamini huenda Rais Samia kahongwa pesa ili aupitishe haraka ule mkataba. Hapana.
Hajaongwa hata Senti .
Hili suala ni spiritual manipulation (shinikizo la kiroho).
Nilichoona katika ulimwengu wa roho the cabinet waliwekewa ulaghai na waligundua siku ya kutiliana saini.
Walitaka kukataa lakini maandalizi tayari yalikuwa yamefanyika na ile nguvu nyuma yao iliendelea kuwasukuma wakapitisha huku mioyo inawauma.
Kama waliweza kupitisha mkataba ambao walishauona kuwa ni ulaghai ,je, wataweza kuugusa sasa huku wameshaupitisha?
Hili jambo wakipatikana watu waaminifu angalau 3 tu wasio na makandokando mbele za Mungu wakipatikana kwa pamoja wanaweza kuziondoa zile nira na mkataba mzima utavunjika na furaha itatawala.
Usidanganye watu. Huo "mkataba wa "Bandari dhidi ya DP World" uko wapi? Sijawahi kuuona wala kuusikia.

Nijuavyo kuna "IGA" baina ya serikali ya Tanzania na serikali ya falme ya Dubai.

Wewe hata neno "dhidi" huelewi maana yake.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Habari!
Hili suala la BANDARI ambalo limeleta amsha amsha takribani miezi 3 sasa. Watu wanalichukulia jambo hili kawaida. Wengine wanaamini huenda Rais Samia kahongwa pesa ili aupitishe haraka ule mkataba. Hapana.
Hajaongwa hata Senti .
Hili suala ni spiritual manipulation (shinikizo la kiroho).
Nilichoona katika ulimwengu wa roho the cabinet waliwekewa ulaghai na waligundua siku ya kutiliana saini.
Walitaka kukataa lakini maandalizi tayari yalikuwa yamefanyika na ile nguvu nyuma yao iliendelea kuwasukuma wakapitisha huku mioyo inawauma.
Kama waliweza kupitisha mkataba ambao walishauona kuwa ni ulaghai ,je, wataweza kuugusa sasa huku wameshaupitisha?
Hili jambo wakipatikana watu waaminifu angalau 3 tu wasio na makandokando mbele za Mungu wakipatikana kwa pamoja wanaweza kuziondoa zile nira na mkataba mzima utavunjika na furaha itatawala.
Well said
 
Suppose you were an idiot, and suppose you were a member of CCM; but I repeat myself.
 
Tanzania kuna changamoto kubwa kwa raia kuliko huo mkataba wa bandari. Je kwanini nguvu zote zinaelekezwa hapo? Sioni huo mkataba utakapo muathiri bibi yangu uko ukwiriri........ni ubinfsi ndo unao sumbua watu.
Utamuathiri bibi yako. Kupungua kwa mapato ya serikali kutokana na mkataba ovyo kunaletq kupungua kwa huduma ya jamii , kupungua uwezo wa kuajiri nk. Kama bibi yako ana mjukuu ndo amegraduate kakosa ajira, hiyo yaweza kuwa sababu. Kama bibi yako kaenda hospitali kakosa dawa, hio yaweza kuwa sababu. Waweza kuongeza mifano mingi tu.
 
Tanzania kuna changamoto kubwa kwa raia kuliko huo mkataba wa bandari. Je kwanini nguvu zote zinaelekezwa hapo? Sioni huo mkataba utakapo muathiri bibi yangu uko ukwiriri........ni ubinfsi ndo unao sumbua watu.
Unafikiri chanzo cha changamoto kwa raia ni nin?
 
Utamuathiri bibi yako. Kupungua kwa mapato ya serikali kutokana na mkataba ovyo kunaletq kupungua kwa huduma ya jamii pamoja na kupungua uwezo wa kuajiri. Kama bibi yako ana mjukuu ndo amegraduate kakosa ajira, hiyo yaweza kuwa sababu. Kama bibi yako kaenda hospitali kakosa dawa, hip yaweza kuqa sababu. Waweza kuongeza mifano mingi tu.
Sio leo au kesha, ukosefu wa ajira tangu 1961 upo ukesefu wa huduma ya afya upo una ongozeka kila siku, gharama kubwa za kodi zipo , elimu mbovu inaendelea kila siku, ufisadi na wizi wa mali za umma ndo jina lenyewe la mchezo.......sasa bandari ndo itatatua hayo yote kwa bibi yangu na wanae uko Ukwiriri ........tuna pambana prox-war, hiyo vita sio ya kwetu kuna wenyewe wenye kua na jicho la tatu sio sisi wa Uķwiriri sisi tuna tumika kama chambo, dini na uzalendo ndo vinatumika kuvuta hisia za watu wa kawaida/masikini/ semi literate/ wana siasa.
 
Back
Top Bottom