Mkataba wa BANDARI dhidi ya DP WORLD hautaongezwa wala kupunguzwa herufi moja

Mwezi wa kumi mwishoni jiandae kisaikolojia kumpokea mwekezaji pale TPA. Pia jiandae kisaikolojia kumpokea mwekezaji mwingine atakayepewa magati matatu na mwingine atakayeindesha bandari ya Bagamoyo.
 
This is a Typical case of a Plausible Deniability. And, that of Denying the antecedent.

Kipindi cha uhamasishaji wa Umma umeisha, na sasa tunaingia hatua tofauti.
Walitufanya tufahamu tatizo(la kutungwa), au kwa lugha nyingine, kwamba wale waliokuwemo (Wazalendo)hawakuwa Wazalendo, na matokeo yake tumeona yanayofanyika. Tumepigwa!

Walitushirikisha kwa Ulaghai na watu walipoanza kushirikiana na kushikamana wakageuka na wakaanza kushambulia mshikamano wetu. Matusi yanarudi na lugha za kiutenganishi, makabila, uweusi, udini oh mwisilamu wewe mkristo yule n.k n.k Tumepigwa!

Sasa wameleta seti mpya kabisa, ya kuanza kutetea ukoloni mamboleo. Ati amelaghahiwa? hakuna rushwa huko? Kweli?
Kwamba tukubali huu mkataba ulivyo?
Kwanini asitoke aseme wewe Mlaghahi, wewe umekula rushwa, wewe haufai? Isitoshe ni hodari wa Teua Tengua Nini kinamshinda?

Nafikiri ni muhimu kusisitiza kuwa kwa sasa Mkataba huu haufai kabisa, hatuhitaji kuurekebisha, yani utupiliwe mbali.

Nikweli sasa, Mkataba huu unawatenganisha Wazalendo na Wanaojali Nchi na Rasilimali zake na wale Wazalendo feki Wanaotumiwa, yaani mavibaraka wa Mabeberu wanotaka kutunyonya na Kututawala.

Tuukatae Mkataba huu na Uwekezaji wa aina yeyote ule unaoenda kumshusha Mwafrika.
 
Kwa hio mawaziri walipitisha huku mioyo inawauma, lakini wabunge wamepitisha huku wanashangilia!! Nini hatma ya hili taifa ?
Wabunge hawakujua nini wanafanya, mawaziri walijua vizuri but nguvu iliyo kinyume nao iliwazidi nguvu
 
Vijana jinsi mnavyoandika na kuchangia uzi huu, nnaamini kabisa hamzioni fursa wala hajaielewa falsafa ya mama Samia ya R nne, jinsi ilivyowafungulia milango. Pitieni futrsa huku:

 
Lakini tulivyoelezwa ni kwamba sasa Bandari itaongeza mapato mara dufu sasa hapo kuna ubaya gani wakipewa hao jamaa waiendeshe ??!!
Na kama mapato yakishuka si ndicho kitakuwa kigezo cha kuwatimua ??!!
Maana watakuwa tayari wameshakiuka makubaliano !!
 
Mungu amemuachia shhetani awashughulishe CCM kisha wraangukie shimoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…