Mambo yanakwenda kama moto wa nyika.
Mkataba huu si usitishwe tu?
Hivi kweli tumekosa watu wenye busara zao kiasi hiki?
---
Habari zaidi, soma:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waarabu wanataka waje wakombe kila kitu
Naona unaongeza aya tu Mkuu [emoji23][emoji23]Samia anatengeneza tatizo kubwa zaidi, ukaidi wake sio tu unamfanya aonekane mjinga asiyesikiliza wananchi wake, lakini sasa unaanza kuvuka mipaka ya taifa, anazidi kupotea...
Naona unaongeza aya tu Mkuu [emoji23][emoji23]
Zilikuwa mbili,ikaja ya tatu
Bado ya nne
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unadandia hoja isiyo yako Mkuu?Kwani una kereka mkuu zikiongezeka au zikipungua?
Na mungu anawapenda watanganyika mama kua makini wakianza maombi yao. Cjui nasema cjui itakuaje
Icho kikundi cha watu 7?Mambo yanakwenda kama moto wa nyika.
View attachment 2720854
Mkataba huu si usitishwe tu?
Hivi kweli tumekosa watu wenye busara zao kiasi hiki?
Mbona unadandia hoja isiyo yako Mkuu?
Wapi nimesema nakereka?
Ama una hamu tu ya kuniquote kama mimi nilivyopata hamu ya kumquote Denoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Icho kikundi cha watu 7?
Lengo langu la kumquote si hiloHapa huwa ni public mkuu ndiyo maana kuna PM.
Ukiweka hapa ni huru kwetu sote kuweka yetu ya moyoni. Hutaki si waenda PM? Ukituona huko tutakuwa tumedandia.
Siyo hapa!
Au nasema uongo ndugu yangu?
Hatuwezi kuendesha nchi kwa sababu kanisa katoliki na vibaraka wanavyotaka. Serikali iendelee na mpango wake. Kazi Iendelee!Mambo yanakwenda kama moto wa nyika.
View attachment 2720854
Mkataba huu si usitishwe tu?
Hivi kweli tumekosa watu wenye busara zao kiasi hiki?
Duh... hatari kama hatariMambo yanakwenda kama moto wa nyika.
View attachment 2720854
Mkataba huu si usitishwe tu?
Hivi kweli tumekosa watu wenye busara zao kiasi hiki?
Ukisimama nchale, ukikaa nchale 😀Ccm ili la dp world hawajui watoke vipi. Wakisimama imeenda wakikaa inapenya.
Changamoto watu wameshasinya mkataba hakuna utendaji, na pesa ya kishika uchumba wamekula[emoji16]