- Thread starter
- #21
Kumbe ni watu saba tu?
7? Hata 140/95 ni hypertension. Bed rest itakuwa inahusika hapo. Umejiridhisha hamkani ni shwari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni watu saba tu?
Kwa wenzetu issue sio idadi bali ni ujumbe kufika!Kumbe ni watu saba tu?
Upuuzi mtupu.7? Hata 140/95 ni hypertension. Bed rest itakuwa inahusika hapo. Umejiridhisha?
Unazo Hela za kuwarudishia DPW Ili wajitoeMambo yanakwenda kama moto wa nyika.
View attachment 2720854
Mkataba huu si usitishwe tu?
Hivi kweli tumekosa watu wenye busara zao kiasi hiki?
Mbona mtu tatu,Slaa,Mdude&Mwabukusi wamewatoa roho!!!Icho kikundi cha watu 7?
Kishindo Cha WAKOMA 4 kinakwenda kuikomboa nchi!!!Mambo yanakwenda kama moto wa nyika.
View attachment 2720854
Mkataba huu si usitishwe tu?
Hivi kweli tumekosa watu wenye busara zao kiasi hiki?
Mtajua mlipozipeleka za kishika uchumbaUnazo Hela za kuwarudishia DPW Ili wajitoe
Kweli ndugu yangu[emoji2][emoji114]Hapa huwa ni public mkuu ndiyo maana kuna PM.
Ukiweka hapa ni huru kwetu sote kuweka yetu ya moyoni. Hutaki si waenda PM? Ukituona huko tutakuwa tumedandia.
Siyo hapa!
Au nasema uongo ndugu yangu?
Mbona mtu tatu,Slaa,Mdude&Mwabukusi wamewatoa roho!!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120]Mtajua mlipozipeleka za kishika uchumba
Naona Msukuma kaficha Vx[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Okoteza nyingine, hii haitoshi.
Acha kauli za rejarejaHatuwezi kuendesha nchi kwa sababu kanisa katoliki na vibaraka wanavyotaka. Serikali iendelee na mpango wake. Kazi Iendelee!
Okoteza nyingine, hii haitoshi.
Sema wakatoliki kutoka Tanzania waishio London. Siyo Watanzania.Mambo yanakwenda kama moto wa nyika.
View attachment 2720854
Mkataba huu si usitishwe tu?
Hivi kweli tumekosa watu wenye busara zao kiasi hiki?
Kukurupuka kuichukulia negative comment yangu niliyomquote DenooKwani kipi kikukere kwenye nilichoandika hapa ndugu nikakuombe hata msamaha basi kama ndivyo?
"Kwani una kereka mkuu zikiongezeka au zikipungua?"
HakikaNa mungu anawapenda watanganyika mama kua makini wakianza maombi yao. Cjui nasema cjui itakuaje