Mkataba wa Bandari: Diaspora Waandamana kupinga Mkataba wa Bandari leo Agosti 18, 2023 London

Mambo yanakwenda kama moto wa nyika.

View attachment 2720854

Mkataba huu si usitishwe tu?

Hivi kweli tumekosa watu wenye busara zao kiasi hiki?
Kishindo Cha WAKOMA 4 kinakwenda kuikomboa nchi!!!

Watatu wameachiwa, Bado Madeleka!!!

Uzi wangu ulisema "WAKOMA wageuka MASHUJAA na kuikomboa nchi" - Rabbon. umefutwa.

Mods, it's not fair!!
 
Ni dhahiri Majibu ya mahakama ya Rufaa yatakuwa upande wa wazalendo!!
 
Hapa huwa ni public mkuu ndiyo maana kuna PM.

Ukiweka hapa ni huru kwetu sote kuweka yetu ya moyoni. Hutaki si waenda PM? Ukituona huko tutakuwa tumedandia.

Siyo hapa!

Au nasema uongo ndugu yangu?
Kweli ndugu yangu[emoji2][emoji114]
 
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu.hata kule Niger ilianza hivihivi kutokusikiliza matakwa ya wananchi hatimaye wananchi wakakubaliana kumpindua aliyekuwa hasikilizi matakwa ya wananchi.shauri yenu mliojiziba masikio
 
Kwani kipi kikukere kwenye nilichoandika hapa ndugu nikakuombe hata msamaha basi kama ndivyo?

"Kwani una kereka mkuu zikiongezeka au zikipungua?"
Kukurupuka kuichukulia negative comment yangu niliyomquote Denoo
Hata yeye mwenyewe niliyemquote akija atakuwa positive tu tofauti na wewe ambaye hata hujaquotiwa ila ukaidandia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…