Mkataba wa Bandari: KKKT muelewe hili kwanza

Mkataba wa Bandari: KKKT muelewe hili kwanza

Ukisikiliza kwa makini Askofu Shoo hakuunga mkono mkataba wa Bandari!! Amesema walimpa ushauri Samia juu ya huo mkataba na yeye aliahidi kuwa angeyafanyia kazi mapendekezo yao.
Majini yataendesha mradi
 
Mimi ni muumini wa hili kanisa usharika wa Mbezi Louis, tokea nianze kusali nikiwa sunday school pale ni mwaka wa 18 sasa, katika vitu nlivyogundua ni kwamba haya makanisa hasa Kkkt yanaendeshwa kupitia sadaka za waumini yaani waumini wakisema wasitoe sadaka ndani ya miezi 3 tu hali ya viongozi ipo taabani

Usiposhiriki misa au kutoa Sadaka unaonekana mkosaji, ibada nzima ni michango tu kikapu kuanzia mwanzo hadi mwisho watu wanakamuliwa ni pesa kwenda mbele ila sijui kama wanajua hizo pesa zinapotokea ni wapi

Linapokuja swala la uchumi tunatakiwa tuwe kitu kimoja, kesho kama taifa tukiingia mikataba mibovu alafu kesho tukaja kuivunja nchi ikiingia kwenye madeni mazito haumii mtu mwingine tunaumia wote ndio haya matozo na kodi kubwa walizoweka huu ni mwanzo tu picha linakuja Viongozi wetu wa KKKT ikifika mahali mkaambiwa kuwa hatuna pesa sababu uchumi umeharibika muwe wasikivu maana ibada zenu ni kuomba pesa mwanzo mwisho, hajawajenga wachungaji na wainjilisti kujitegemea kiuchumi mmewajenga kuwakamua waumini kwenye kapu la sadaka.

Askofu Shoo unasema unabariki uwekezaji ni uwekezaji gani huo wa kijinga namna hii, unampa mtu Bandari kwa mkataba wa kudumu huo ni uwekezaji au uuzaji wa Bandari? Kesho akiingia kiongozi type ya Magufuli akauvunja mwishowe DP world wataenda mahakamani halafu tukidaiwa mabilioni ya pesa wanatuwekea Tozo na kodi kubwa tulipe wananchi, wananchi tukishapigika tukija makanisani mikono mitupu muwe waelewa maana kodi kubwa ni chanzo cha kufanya watu wafilisike.

Niwapongeze Roman kwa kuwa wakweli maana mmeona mbali, waumini wenu mnajua kabisa uchumi wao ukiyumba utaleta shida hadi kwenu ila uchumi ukinyooka hata kwa kanisa ni faida kubwa.
Asante kwa mada nzuri. Sahihisho kidogo. Sio Roman bali Catholic
 
Mimi ni muumini wa hili kanisa usharika wa Mbezi Louis, tokea nianze kusali nikiwa sunday school pale ni mwaka wa 18 sasa, katika vitu nlivyogundua ni kwamba haya makanisa hasa Kkkt yanaendeshwa kupitia sadaka za waumini yaani waumini wakisema wasitoe sadaka ndani ya miezi 3 tu hali ya viongozi ipo taabani

Usiposhiriki misa au kutoa Sadaka unaonekana mkosaji, ibada nzima ni michango tu kikapu kuanzia mwanzo hadi mwisho watu wanakamuliwa ni pesa kwenda mbele ila sijui kama wanajua hizo pesa zinapotokea ni wapi

Linapokuja swala la uchumi tunatakiwa tuwe kitu kimoja, kesho kama taifa tukiingia mikataba mibovu alafu kesho tukaja kuivunja nchi ikiingia kwenye madeni mazito haumii mtu mwingine tunaumia wote ndio haya matozo na kodi kubwa walizoweka huu ni mwanzo tu picha linakuja Viongozi wetu wa KKKT ikifika mahali mkaambiwa kuwa hatuna pesa sababu uchumi umeharibika muwe wasikivu maana ibada zenu ni kuomba pesa mwanzo mwisho, hajawajenga wachungaji na wainjilisti kujitegemea kiuchumi mmewajenga kuwakamua waumini kwenye kapu la sadaka.

Askofu Shoo unasema unabariki uwekezaji ni uwekezaji gani huo wa kijinga namna hii, unampa mtu Bandari kwa mkataba wa kudumu huo ni uwekezaji au uuzaji wa Bandari? Kesho akiingia kiongozi type ya Magufuli akauvunja mwishowe DP world wataenda mahakamani halafu tukidaiwa mabilioni ya pesa wanatuwekea Tozo na kodi kubwa tulipe wananchi, wananchi tukishapigika tukija makanisani mikono mitupu muwe waelewa maana kodi kubwa ni chanzo cha kufanya watu wafilisike.

Niwapongeze Roman kwa kuwa wakweli maana mmeona mbali, waumini wenu mnajua kabisa uchumi wao ukiyumba utaleta shida hadi kwenu ila uchumi ukinyooka hata kwa kanisa ni faida kubwa.
Kila MTU anakubali Uwekezaji. Ila Mkataba WA huo Uwekezaji unakataliwa Una Mapungufu yafanyiwe KAZI.
 
Hakuna kosa katika kubariki uwekezaji. Wote tunataka uwekezaji.
Shoo aligusia swala la bandari, ila hakutaka kuuweka msimamo hadharani kwa waumini sababu anasema walishakutana na rais na kumpatia Maoni yao.

Hivyo basi, sioni kama upo sahihi kumlaumu Askofu Shoo katika hili. Kama kuna kitu utataka umlaumu Shoo, basi ni kutowashirikisha ninyi waumini kuhusu Msimamo wao kama viongozi wenu au msimamo wa Kanisa na kupelekea mkiwa hamuelewi msimamie kipi.
Kama ni mtihani kajibu kwa kukurupuka hajaelewa katikati ya mistari

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Huyo Shoo mwenyewe amejichanganya, hata alikuwa haelewi anaeleza nini, Mara tulileta mapendekezo yetu, mara naunga mkono jitihada zote na tunaunga mkono uwekezaji! Hali mradi mzee wa watu alijikuta katika wakati mgumu kwa kibano alichojiwekea mwenyewe kwa uropokaji wake.
Hakuna nchi inayokataa uwekezaji, hapa tatizo ni elimu ndogo ya uelewa inayowakabili wengi, sidhani kama wewe unaukataa uwekezaji na ndicho kinachofanyika kwenye klabu za michezo, viwanja binafsi vya nyumba, makampuni na viwanda binafsi, ila kinachojadiliwa ni aina ya mkataba ambao unatakiwa uwe na maslahi pande zote mbili hivyo Shoo asingeweza kusema hatutaki uwekezaji na hakuna mpaka sasa aliyekataa uwekezaji bali kinachokataliwa ni mkataba unaoegemea upande mmoja; si vizuri kujitahidi kupindisha hoja ilimradi usiyempenda aonekane mbaya, weka hapa sehemu aliyosema hawataki au wanataka uwekezaji husika wa DPW.
 
Hakuna nchi inayokataa uwekezaji, hapa tatizo ni elimu ndogo ya uelewa inayowakabili wengi, sidhani kama wewe unaukataa uwekezaji na ndicho kinachofanyika kwenye klabu za michezo, viwanja binafsi vya nyumba, makampuni na viwanda binafsi, ila kinachojadiliwa ni aina ya mkataba ambao unatakiwa uwe na maslahi pande zote mbili hivyo Shoo asingeweza kusema hatutaki uwekezaji na hakuna mpaka sasa aliyekataa uwekezaji bali kinachokataliwa ni mkataba unaoegemea upande mmoja; si vizuri kujitahidi kupindisha hoja ilimradi usiyempenda aonekane mbaya, weka hapa sehemu aliyosema hawataki au wanataka uwekezaji husika wa DPW.
Askofu ni Mtu mkubwa na muhimu sana na anapoongea jambo ajue watu wanamsikiliza kwa makini sana, hivyo hapaswi kuwa mnafiki vinginevyo yeye ndiye atakuwa anawagawa waumini wake na pale alitakiwa aongee kwa mtizamo wake bila ya kuwahusisha watu ambao hajakubaliana nao kwamba wanaunga mkono uwekezaji au vipi achia mbali huo wa DPW, TEC wameonesha msimamo na kutoa walicho kubaliana, maana inaonekana wazi hawakukurupuka waliupitia mkataba, waka pitia maoni ya watu mbalimbali wakiwemo Serikali wenyewe, wakajadiliana na hatimae wakaja na jawabu la nini wamekiona katika yote waliyopitia na kutoa mapendekezo yao katika huo Walaka wao, hao ndiyo hawana unafiki, Nyeupe wanaita Nyeupe na Nyeusi wameita Nyeusi.
 
Hakuna nchi inayokataa uwekezaji, hapa tatizo ni elimu ndogo ya uelewa inayowakabili wengi, sidhani kama wewe unaukataa uwekezaji na ndicho kinachofanyika kwenye klabu za michezo, viwanja binafsi vya nyumba, makampuni na viwanda binafsi, ila kinachojadiliwa ni aina ya mkataba ambao unatakiwa uwe na maslahi pande zote mbili hivyo Shoo asingeweza kusema hatutaki uwekezaji na hakuna mpaka sasa aliyekataa uwekezaji bali kinachokataliwa ni mkataba unaoegemea upande mmoja; si vizuri kujitahidi kupindisha hoja ilimradi usiyempenda aonekane mbaya, weka hapa sehemu aliyosema hawataki au wanataka uwekezaji husika wa DPW.
Well said!!
Viongozi wa KKKT wametumia busara kubwa sana kumwambia SSH kuwa li mkataba lake halifaii!
Ila wasiokuwa na akili hawaelewi!
Hongera sana Askofu Dr. Shoo.
KKKT na TEC wamesimama na wananchi!!
Nina imani hata Nape, Tulia, na watetezi wengine wa DP World wakitumbuliwa Leo kesho watakuwa upande wa TEC na wananchi!!
 
kuanzia sasa, kkkt ndio dhehebu la kikristo lenye urafiki na sisi waislamu. Allah awalinde sana viongozi wa kkkt.

tumswalie mtume....
 
Mleta Uzi hivi umeelewa Kweli alichozungumza Askofu?hivi unajua Kweli kumsikiliza Kwa makini na kuchambua hoja??Kifupi KKKT hawajakubaliana na mkataba wa bandari,unadhani Kwa Nini mama alikuwa anakula kalamu?hebu nenda You tube tulia msikilize baba Askofu wako
 
Well said!!
Viongozi wa KKKT wametumia busara kubwa sana kumwambia SSH kuwa li mkataba lake halifaii!
Ila wasiokuwa na akili hawaelewi!
Hongera sana Askofu Dr. Shoo.
KKKT na TEC wamesimama na wananchi!!
Nina imani hata Nape, Tulia, na watetezi wengine wa DP World wakitumbuliwa Leo kesho watakuwa upande wa TEC na wananchi!!
Yes!sijui watu wameshindwa vipi kuelewa Ile speech iliyojaa hekima na utulivu katika kupinga Huo mkataba.
 
Askofu ni Mtu mkubwa na muhimu sana na anapoongea jambo ajue watu wanamsikiliza kwa makini sana, hivyo hapaswi kuwa mnafiki vinginevyo yeye ndiye atakuwa anawagawa waumini wake na pale alitakiwa aongee kwa mtizamo wake bila ya kuwahusisha watu ambao hajakubaliana nao kwamba wanaunga mkono uwekezaji au vipi achia mbali huo wa DPW, TEC wameonesha msimamo na kutoa walicho kubaliana, maana inaonekana wazi hawakukurupuka waliupitia mkataba, waka pitia maoni ya watu mbalimbali wakiwemo Serikali wenyewe, wakajadiliana na hatimae wakaja na jawabu la nini wamekiona katika yote waliyopitia na kutoa mapendekezo yao katika huo Walaka wao, hao ndiyo hawana unafiki, Nyeupe wanaita Nyeupe na Nyeusi wameita Nyeusi.
Hivi wewe unaweza kukataa uwekezaji! Mbona wachina wamewekeza marekani na uingereza, tunachozungumzia ni mkataba lazima uwe na maslahi kwa pande zote mbili, msipende kupindisha maneno kwa makusudi.
 
Leo ndio nimeelewa kwanini Marais wakristo wote walitoka Catholic Church.
 
Askofu ni Mtu mkubwa na muhimu sana na anapoongea jambo ajue watu wanamsikiliza kwa makini sana, hivyo hapaswi kuwa mnafiki vinginevyo yeye ndiye atakuwa anawagawa waumini wake na pale alitakiwa aongee kwa mtizamo wake bila ya kuwahusisha watu ambao hajakubaliana nao kwamba wanaunga mkono uwekezaji au vipi achia mbali huo wa DPW, TEC wameonesha msimamo na kutoa walicho kubaliana, maana inaonekana wazi hawakukurupuka waliupitia mkataba, waka pitia maoni ya watu mbalimbali wakiwemo Serikali wenyewe, wakajadiliana na hatimae wakaja na jawabu la nini wamekiona katika yote waliyopitia na kutoa mapendekezo yao katika huo Walaka wao, hao ndiyo hawana unafiki, Nyeupe wanaita Nyeupe na Nyeusi wameita Nyeusi.
KKKT wametumia uugwana wasimvue nguo mgeni rasmi,ila speech Iko wazi kabisa Kwa mtu yeyote mwenye upeo wa fikra kwamba hawajakubaliana na mkataba, fullstop.
 
Hajasema anaunga mkono dp world,Amesema anaunga mkono uwekezaji kwani Kuna anaepinga uwekezaji?
Sikiliza tena hotuba yake utamwekewa,pale alifinya kimyakimya
Kuna watu kuelewa hata kiswahili tu ni tatizo halafi ndio hao eti na wao wanataka kuujadili mkataba wa DP
 
Mimi ni muumini wa hili kanisa usharika wa Mbezi Louis, tokea nianze kusali nikiwa sunday school pale ni mwaka wa 18 sasa, katika vitu nlivyogundua ni kwamba haya makanisa hasa Kkkt yanaendeshwa kupitia sadaka za waumini yaani waumini wakisema wasitoe sadaka ndani ya miezi 3 tu hali ya viongozi ipo taabani

Usiposhiriki misa au kutoa Sadaka unaonekana mkosaji, ibada nzima ni michango tu kikapu kuanzia mwanzo hadi mwisho watu wanakamuliwa ni pesa kwenda mbele ila sijui kama wanajua hizo pesa zinapotokea ni wapi

Linapokuja swala la uchumi tunatakiwa tuwe kitu kimoja, kesho kama taifa tukiingia mikataba mibovu alafu kesho tukaja kuivunja nchi ikiingia kwenye madeni mazito haumii mtu mwingine tunaumia wote ndio haya matozo na kodi kubwa walizoweka huu ni mwanzo tu picha linakuja Viongozi wetu wa KKKT ikifika mahali mkaambiwa kuwa hatuna pesa sababu uchumi umeharibika muwe wasikivu maana ibada zenu ni kuomba pesa mwanzo mwisho, hajawajenga wachungaji na wainjilisti kujitegemea kiuchumi mmewajenga kuwakamua waumini kwenye kapu la sadaka.

Askofu Shoo unasema unabariki uwekezaji ni uwekezaji gani huo wa kijinga namna hii, unampa mtu Bandari kwa mkataba wa kudumu huo ni uwekezaji au uuzaji wa Bandari? Kesho akiingia kiongozi type ya Magufuli akauvunja mwishowe DP world wataenda mahakamani halafu tukidaiwa mabilioni ya pesa wanatuwekea Tozo na kodi kubwa tulipe wananchi, wananchi tukishapigika tukija makanisani mikono mitupu muwe waelewa maana kodi kubwa ni chanzo cha kufanya watu wafilisike.

Niwapongeze Roman kwa kuwa wakweli maana mmeona mbali, waumini wenu mnajua kabisa uchumi wao ukiyumba utaleta shida hadi kwenu ila uchumi ukinyooka hata kwa kanisa ni faida kubwa.
Vikao vinaendelea Makumira na agenda ya DP world inawezekana ikawepo na tamko likatoka. Tuwe na subra.
 
Back
Top Bottom