Mkataba wa Bandari: KKKT muelewe hili kwanza

Mkataba wa Bandari: KKKT muelewe hili kwanza

Sisi watu weusi kwa ujumla wetu hatuaminiki itoshe kusema hivyo. Watu weusi tuko so cheap kununulika ni finger click.
Nb: haiuhusiani na mada
 
Hivi wewe unaweza kukataa uwekezaji! Mbona wachina wamewekeza marekani na uingereza, tunachozungumzia ni mkataba lazima uwe na maslahi kwa pande zote mbili, msipende kupindisha maneno kwa makusudi.
Mbona maneno yamekuwa mengi sana ndugu yangu Issue hapa ni DP World, hayo mengine ni mbwembwe tu.
 
Mimi ni muumini wa hili kanisa usharika wa Mbezi Louis, tokea nianze kusali nikiwa sunday school pale ni mwaka wa 18 sasa, katika vitu nlivyogundua ni kwamba haya makanisa hasa Kkkt yanaendeshwa kupitia sadaka za waumini yaani waumini wakisema wasitoe sadaka ndani ya miezi 3 tu hali ya viongozi ipo taabani

Usiposhiriki misa au kutoa Sadaka unaonekana mkosaji, ibada nzima ni michango tu kikapu kuanzia mwanzo hadi mwisho watu wanakamuliwa ni pesa kwenda mbele ila sijui kama wanajua hizo pesa zinapotokea ni wapi

Linapokuja swala la uchumi tunatakiwa tuwe kitu kimoja, kesho kama taifa tukiingia mikataba mibovu alafu kesho tukaja kuivunja nchi ikiingia kwenye madeni mazito haumii mtu mwingine tunaumia wote ndio haya matozo na kodi kubwa walizoweka huu ni mwanzo tu picha linakuja Viongozi wetu wa KKKT ikifika mahali mkaambiwa kuwa hatuna pesa sababu uchumi umeharibika muwe wasikivu maana ibada zenu ni kuomba pesa mwanzo mwisho, hajawajenga wachungaji na wainjilisti kujitegemea kiuchumi mmewajenga kuwakamua waumini kwenye kapu la sadaka.

Askofu Shoo unasema unabariki uwekezaji ni uwekezaji gani huo wa kijinga namna hii, unampa mtu Bandari kwa mkataba wa kudumu huo ni uwekezaji au uuzaji wa Bandari? Kesho akiingia kiongozi type ya Magufuli akauvunja mwishowe DP world wataenda mahakamani halafu tukidaiwa mabilioni ya pesa wanatuwekea Tozo na kodi kubwa tulipe wananchi, wananchi tukishapigika tukija makanisani mikono mitupu muwe waelewa maana kodi kubwa ni chanzo cha kufanya watu wafilisike.

Niwapongeze Roman kwa kuwa wakweli maana mmeona mbali, waumini wenu mnajua kabisa uchumi wao ukiyumba utaleta shida hadi kwenu ila uchumi ukinyooka hata kwa kanisa ni faida kubwa.
Hauko sahihi kabisa.

Dr Shoo kamshauri Rais kwa lugha ya staha kuwa mkataba, siyo makubaliano, wa IGA haufai kuwa wa uwekezaji ambao nchi inahitaji.

Rais naye akijibu alisema, nanukuu:
1) Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa Taifa hili.
2) Hakuna mwenye misuli na,ubavu wa kuuza Taifa hili.
3) Hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na usalama tuliojenga katika Taifa hili.


Ujumbe wa Dr Shoo na Rais ni ushahidi kuwa mjadala wa Uwekezaji Bandari, kwa mkataba batili, umefungwa rasmi.
 
ipi na ni kwa nini Mkubali kusaini mkataba ambao unapinga uanzishwaji au uendelezwaji wa Bandari mpya hadi Dp ato idhini hapa ndipo shida yetu ila tukihoji mnasema tunaligawa Taifa jibuni hizi hoja.
Hiki kifungu kinachosema hivyo umekitoa wapi?
 
Vyovyote iwavyo, hoja zijibiwe...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Umeandika uongo hadi shetani anashangaa
 
KKKT wametumia uugwana wasimvue nguo mgeni rasmi,ila speech Iko wazi kabisa Kwa mtu yeyote mwenye upeo wa fikra kwamba hawajakubaliana na mkataba, fullstop.
Kama watu wanashindwa kuelewa ujumbe kwenye ile speech... Nadhani tatizo ni shule na mifumo mibovu ya elimu!🤔🤔
 
Kkkt kwenye vikapu hawajambo. Unaweza kukuta unazunguka Mara tano na baada mnada unapigwa na michango ya jumuiya ipo ya kutosha. Waumini mnageuka kuwa miradi.
Wana sadaka nyingi sana
 
Hakuna kosa katika kubariki uwekezaji. Wote tunataka uwekezaji.
Shoo aligusia swala la bandari, ila hakutaka kuuweka msimamo hadharani kwa waumini sababu anasema walishakutana na rais na kumpatia Maoni yao.

Hivyo basi, sioni kama upo sahihi kumlaumu Askofu Shoo katika hili. Kama kuna kitu utataka umlaumu Shoo, basi ni kutowashirikisha ninyi waumini kuhusu Msimamo wao kama viongozi wenu au msimamo wa Kanisa na kupelekea mkiwa hamuelewi msimamie kipi.
Lakini Rais aliruhusu Maoni kwenye Mkataba. Sijui TEC Walikuwa wanatoa maoni au ni Shinikizo. Kama ni Shinikizo Imagine Shinikizo litolewe kwao la Kiserikali wanauwezo wa Kulibeba. Kwenye Kuamua Jambo kama Kiongozi wa Kiimani/Kiroho unatakiwa Kumtanguliza Mungu Mbele na Siyo kulazimisha Matakwa yako. Imagine Kauli ya Padre yule Mnyarwanda wa Karagwe anwaambia waumini Vazi lake Jekundu lipo tayari kumwaga damu.
Na Mbaya Zaidi kumbe ni Familia ya waliosababisha mauaji ya Kimbari kule kwa KGM.
Nb: Ushauri ni Muhimu lakini Kauli za Kumwaga damu hatuzitaki Watanzania.
 
Lakini Rais aliruhusu Maoni kwenye Mkataba. Sijui TEC Walikuwa wanatoa maoni au ni Shinikizo. Kama ni Shinikizo Imagine Shinikizo litolewe kwao la Kiserikali wanauwezo wa Kulibeba. Kwenye Kuamua Jambo kama Kiongozi wa Kiimani/Kiroho unatakiwa Kumtanguliza Mungu Mbele na Siyo kulazimisha Matakwa yako. Imagine Kauli ya Padre yule Mnyarwanda wa Karagwe anwaambia waumini Vazi lake Jekundu lipo tayari kumwaga damu.
Na Mbaya Zaidi kumbe ni Familia ya waliosababisha mauaji ya Kimbari kule kwa KGM.
Nb: Ushauri ni Muhimu lakini Kauli za Kumwaga damu hatuzitaki Watanzania.
Wewe hata Waraka utakua haujausoma. Nenda ukausome ndiyo utaona kama ni maoni au ni shinikizo.

Mimi nimemsikiliza pia huyo unayemuongelea, lakini sijaona kitu chochote kinachokarabia tafsiri au maneno yako.
Unazidi ku unfold dhamira yako unapojaribu kupotosha habari ya kuhusisha familia yake na mauaji Kimbali ya huko wapi sijui ambako umepaficha wengine tusijue.
Nikiangalia vyema naona dhahiri huu pia ni mwendelezo uleule wa kujaribu kuupotosha waraka wa Maaskofu
 
Mimi ni muumini wa hili kanisa usharika wa Mbezi Louis, tokea nianze kusali nikiwa sunday school pale ni mwaka wa 18 sasa, katika vitu nlivyogundua ni kwamba haya makanisa hasa Kkkt yanaendeshwa kupitia sadaka za waumini yaani waumini wakisema wasitoe sadaka ndani ya miezi 3 tu hali ya viongozi ipo taabani

Usiposhiriki misa au kutoa Sadaka unaonekana mkosaji, ibada nzima ni michango tu kikapu kuanzia mwanzo hadi mwisho watu wanakamuliwa ni pesa kwenda mbele ila sijui kama wanajua hizo pesa zinapotokea ni wapi

Linapokuja swala la uchumi tunatakiwa tuwe kitu kimoja, kesho kama taifa tukiingia mikataba mibovu alafu kesho tukaja kuivunja nchi ikiingia kwenye madeni mazito haumii mtu mwingine tunaumia wote ndio haya matozo na kodi kubwa walizoweka huu ni mwanzo tu picha linakuja Viongozi wetu wa KKKT ikifika mahali mkaambiwa kuwa hatuna pesa sababu uchumi umeharibika muwe wasikivu maana ibada zenu ni kuomba pesa mwanzo mwisho, hajawajenga wachungaji na wainjilisti kujitegemea kiuchumi mmewajenga kuwakamua waumini kwenye kapu la sadaka.

Askofu Shoo unasema unabariki uwekezaji ni uwekezaji gani huo wa kijinga namna hii, unampa mtu Bandari kwa mkataba wa kudumu huo ni uwekezaji au uuzaji wa Bandari? Kesho akiingia kiongozi type ya Magufuli akauvunja mwishowe DP world wataenda mahakamani halafu tukidaiwa mabilioni ya pesa wanatuwekea Tozo na kodi kubwa tulipe wananchi, wananchi tukishapigika tukija makanisani mikono mitupu muwe waelewa maana kodi kubwa ni chanzo cha kufanya watu wafilisike.

Niwapongeze Roman kwa kuwa wakweli maana mmeona mbali, waumini wenu mnajua kabisa uchumi wao ukiyumba utaleta shida hadi kwenu ila uchumi ukinyooka hata kwa kanisa ni faida kubwa.

Na Mama ajue kuwa hatupingi maendeleo wala uwekezaji ila tunapinga uwekezaji wenye Dalili zote zinazoashiria uuzwaji wa mali zetu, Cha kwanza tunachotaka kujua ili Tumbariki mama kwenye Hili la Do world ni haya

1.Mkataba ni wa muda gani kwa nini kuna viashiria kuwa mkataba ni wa milele usalama uko wapi hapo, unawezaje kumpangishia mtu nyumba yako kwa mkataba wa kudumu?

2.Imekuwaje Ubinafsishe Bandari zote za Bara alafu za Zanzibar uziache Hivi Zanzibar hawapendi maendeleo? kama wanayapenda imekuwaje wao hawamo? Tukumbuke kuwa mikopo yote mikubwa Zanzibar mama hakuwasahau alihakikisha wanapata mgao wao, ila hii anayoiita Neema Zanziar hawapo maana yake ni nini?

3.Dp world kuna kipengele kuwa anapinga kuanzishwa au kuendelezwa kwa bandari mpya hadi yeye apewe taarifa na aamue yeye kubariki hilo?, Hivi fikiria kampuni ya bia ya TBL,TCC Zilipoingia ubia na wazungu wangeweka sheria kuwa hakuna kampuni yoyote ya bia itakayoruhusiwa kuanzishwa au kuzalisha bia, Ila ni TBL Pekee yao ndio mwenye hiyo kazi hebu fikiria hivi viwanda vyote pinzani vinavyoiingiza kodi kubwa serikali mfano wazee wa Serengeti Light think TBL angeweka kipengele leo Serikali ingepoteza mapato makubwa kiasi gani kwa kumlilia mtu mmoja

Endapo wazungu wa TANZANIA CIGARETTES COMPANY wangesema enzi hzo kuwa mkataba usomeke kuwa hakuna kampuni yoyote itakayoruhusiwa kufanya biashara ya kuuza sigara au kuzalisha zaidi yetu hivi think hivi viwanda pinzani visingekuwepo hali ingekuwa vipi na ni kwa nini Mkubali kusaini mkataba ambao unapinga uanzishwaji au uendelezwaji wa Bandari mpya hadi Dp ato idhini hapa ndipo shida yetu ila tukihoji mnasema tunaligawa Taifa jibuni hizi hoja.


2.a
Kwenye msiba mmoja mchungaji alitaka waamini watoe sadaka mara mbili, kanisa zima waliguna kuonesha mgomo. Yeye alisema watoe sadaka wakati wanaaga mwili, kumbe sadaka ilishatolewa mwanzo!!
 
Mimi ni muumini wa hili kanisa usharika wa Mbezi Louis, tokea nianze kusali nikiwa sunday school pale ni mwaka wa 18 sasa, katika vitu nlivyogundua ni kwamba haya makanisa hasa Kkkt yanaendeshwa kupitia sadaka za waumini yaani waumini wakisema wasitoe sadaka ndani ya miezi 3 tu hali ya viongozi ipo taabani

Usiposhiriki misa au kutoa Sadaka unaonekana mkosaji, ibada nzima ni michango tu kikapu kuanzia mwanzo hadi mwisho watu wanakamuliwa ni pesa kwenda mbele ila sijui kama wanajua hizo pesa zinapotokea ni wapi

Linapokuja swala la uchumi tunatakiwa tuwe kitu kimoja, kesho kama taifa tukiingia mikataba mibovu alafu kesho tukaja kuivunja nchi ikiingia kwenye madeni mazito haumii mtu mwingine tunaumia wote ndio haya matozo na kodi kubwa walizoweka huu ni mwanzo tu picha linakuja Viongozi wetu wa KKKT ikifika mahali mkaambiwa kuwa hatuna pesa sababu uchumi umeharibika muwe wasikivu maana ibada zenu ni kuomba pesa mwanzo mwisho, hajawajenga wachungaji na wainjilisti kujitegemea kiuchumi mmewajenga kuwakamua waumini kwenye kapu la sadaka.

Askofu Shoo unasema unabariki uwekezaji ni uwekezaji gani huo wa kijinga namna hii, unampa mtu Bandari kwa mkataba wa kudumu huo ni uwekezaji au uuzaji wa Bandari? Kesho akiingia kiongozi type ya Magufuli akauvunja mwishowe DP world wataenda mahakamani halafu tukidaiwa mabilioni ya pesa wanatuwekea Tozo na kodi kubwa tulipe wananchi, wananchi tukishapigika tukija makanisani mikono mitupu muwe waelewa maana kodi kubwa ni chanzo cha kufanya watu wafilisike.

Niwapongeze Roman kwa kuwa wakweli maana mmeona mbali, waumini wenu mnajua kabisa uchumi wao ukiyumba utaleta shida hadi kwenu ila uchumi ukinyooka hata kwa kanisa ni faida kubwa.

Na Mama ajue kuwa hatupingi maendeleo wala uwekezaji ila tunapinga uwekezaji wenye Dalili zote zinazoashiria uuzwaji wa mali zetu, Cha kwanza tunachotaka kujua ili Tumbariki mama kwenye Hili la Do world ni haya

1.Mkataba ni wa muda gani kwa nini kuna viashiria kuwa mkataba ni wa milele usalama uko wapi hapo, unawezaje kumpangishia mtu nyumba yako kwa mkataba wa kudumu?

2.Imekuwaje Ubinafsishe Bandari zote za Bara alafu za Zanzibar uziache Hivi Zanzibar hawapendi maendeleo? kama wanayapenda imekuwaje wao hawamo? Tukumbuke kuwa mikopo yote mikubwa Zanzibar mama hakuwasahau alihakikisha wanapata mgao wao, ila hii anayoiita Neema Zanziar hawapo maana yake ni nini?

3.Dp world kuna kipengele kuwa anapinga kuanzishwa au kuendelezwa kwa bandari mpya hadi yeye apewe taarifa na aamue yeye kubariki hilo?, Hivi fikiria kampuni ya bia ya TBL,TCC Zilipoingia ubia na wazungu wangeweka sheria kuwa hakuna kampuni yoyote ya bia itakayoruhusiwa kuanzishwa au kuzalisha bia, Ila ni TBL Pekee yao ndio mwenye hiyo kazi hebu fikiria hivi viwanda vyote pinzani vinavyoiingiza kodi kubwa serikali mfano wazee wa Serengeti Light think TBL angeweka kipengele leo Serikali ingepoteza mapato makubwa kiasi gani kwa kumlilia mtu mmoja

Endapo wazungu wa TANZANIA CIGARETTES COMPANY wangesema enzi hzo kuwa mkataba usomeke kuwa hakuna kampuni yoyote itakayoruhusiwa kufanya biashara ya kuuza sigara au kuzalisha zaidi yetu hivi think hivi viwanda pinzani visingekuwepo hali ingekuwa vipi na ni kwa nini Mkubali kusaini mkataba ambao unapinga uanzishwaji au uendelezwaji wa Bandari mpya hadi Dp ato idhini hapa ndipo shida yetu ila tukihoji mnasema tunaligawa Taifa jibuni hizi hoja.


2.a
Mtanzania anachukua kasentensi kamoja anaruka nako.Shoo alichokisema ndio wewe umekisema hapo.Shoo ameongea vizuri sana msikilize vizuri maneno yote sio ile opening sentense ambayo ndio watu mnakimbia nayo.
 
Mimi ni muumini wa hili kanisa usharika wa Mbezi Louis, tokea nianze kusali nikiwa sunday school pale ni mwaka wa 18 sasa, katika vitu nlivyogundua ni kwamba haya makanisa hasa Kkkt yanaendeshwa kupitia sadaka za waumini yaani waumini wakisema wasitoe sadaka ndani ya miezi 3 tu hali ya viongozi ipo taabani

Usiposhiriki misa au kutoa Sadaka unaonekana mkosaji, ibada nzima ni michango tu kikapu kuanzia mwanzo hadi mwisho watu wanakamuliwa ni pesa kwenda mbele ila sijui kama wanajua hizo pesa zinapotokea ni wapi

Linapokuja swala la uchumi tunatakiwa tuwe kitu kimoja, kesho kama taifa tukiingia mikataba mibovu alafu kesho tukaja kuivunja nchi ikiingia kwenye madeni mazito haumii mtu mwingine tunaumia wote ndio haya matozo na kodi kubwa walizoweka huu ni mwanzo tu picha linakuja Viongozi wetu wa KKKT ikifika mahali mkaambiwa kuwa hatuna pesa sababu uchumi umeharibika muwe wasikivu maana ibada zenu ni kuomba pesa mwanzo mwisho, hajawajenga wachungaji na wainjilisti kujitegemea kiuchumi mmewajenga kuwakamua waumini kwenye kapu la sadaka.

Askofu Shoo unasema unabariki uwekezaji ni uwekezaji gani huo wa kijinga namna hii, unampa mtu Bandari kwa mkataba wa kudumu huo ni uwekezaji au uuzaji wa Bandari? Kesho akiingia kiongozi type ya Magufuli akauvunja mwishowe DP world wataenda mahakamani halafu tukidaiwa mabilioni ya pesa wanatuwekea Tozo na kodi kubwa tulipe wananchi, wananchi tukishapigika tukija makanisani mikono mitupu muwe waelewa maana kodi kubwa ni chanzo cha kufanya watu wafilisike.

Niwapongeze Roman kwa kuwa wakweli maana mmeona mbali, waumini wenu mnajua kabisa uchumi wao ukiyumba utaleta shida hadi kwenu ila uchumi ukinyooka hata kwa kanisa ni faida kubwa.

Na Mama ajue kuwa hatupingi maendeleo wala uwekezaji ila tunapinga uwekezaji wenye Dalili zote zinazoashiria uuzwaji wa mali zetu, Cha kwanza tunachotaka kujua ili Tumbariki mama kwenye Hili la Do world ni haya

1.Mkataba ni wa muda gani kwa nini kuna viashiria kuwa mkataba ni wa milele usalama uko wapi hapo, unawezaje kumpangishia mtu nyumba yako kwa mkataba wa kudumu?

2.Imekuwaje Ubinafsishe Bandari zote za Bara alafu za Zanzibar uziache Hivi Zanzibar hawapendi maendeleo? kama wanayapenda imekuwaje wao hawamo? Tukumbuke kuwa mikopo yote mikubwa Zanzibar mama hakuwasahau alihakikisha wanapata mgao wao, ila hii anayoiita Neema Zanziar hawapo maana yake ni nini?

3.Dp world kuna kipengele kuwa anapinga kuanzishwa au kuendelezwa kwa bandari mpya hadi yeye apewe taarifa na aamue yeye kubariki hilo?, Hivi fikiria kampuni ya bia ya TBL,TCC Zilipoingia ubia na wazungu wangeweka sheria kuwa hakuna kampuni yoyote ya bia itakayoruhusiwa kuanzishwa au kuzalisha bia, Ila ni TBL Pekee yao ndio mwenye hiyo kazi hebu fikiria hivi viwanda vyote pinzani vinavyoiingiza kodi kubwa serikali mfano wazee wa Serengeti Light think TBL angeweka kipengele leo Serikali ingepoteza mapato makubwa kiasi gani kwa kumlilia mtu mmoja

Endapo wazungu wa TANZANIA CIGARETTES COMPANY wangesema enzi hzo kuwa mkataba usomeke kuwa hakuna kampuni yoyote itakayoruhusiwa kufanya biashara ya kuuza sigara au kuzalisha zaidi yetu hivi think hivi viwanda pinzani visingekuwepo hali ingekuwa vipi na ni kwa nini Mkubali kusaini mkataba ambao unapinga uanzishwaji au uendelezwaji wa Bandari mpya hadi Dp ato idhini hapa ndipo shida yetu ila tukihoji mnasema tunaligawa Taifa jibuni hizi hoja.


2.a
Jinga wewee
 
"Kanisa halipingi uwekezaji, lakini ni lazima uwekezaji huo uwe kwa maslahi ya taifa na wananchi waridhike nao. Wananchi wana haki ya kutoa maoni na viongozi wa dini tukiona mambo hayaendi, ni wajibu wetu kushauri na kukemea. Na tunapofanya hivyo msituambie tunachanganya dini na siasa" Askofu Fredrick Shoo, Mkuu wa KKKT.
FB_IMG_1692668747912.jpg
 
Wewe hata Waraka utakua haujausoma. Nenda ukausome ndiyo utaona kama ni maoni au ni shinikizo.

Mimi nimemsikiliza pia huyo unayemuongelea, lakini sijaona kitu chochote kinachokarabia tafsiri au maneno yako.
Unazidi ku unfold dhamira yako unapojaribu kupotosha habari ya kuhusisha familia yake na mauaji Kikbali ya huko wapi sijui ambako umepaficha wengine tusijue.
Nikiangalia vyema naona dhahiri huu pia ni mwendelezo uleule wa kujaribu kuupotosha waraka wa Maaskofu
Huyo atakuwa ni mwana ccm mnufaika na mgawo... Yeye pamoja wenzake wanatafsiri zao kwa malashi binafsi!
Wakishindwa kujibu hoja yako wanakimbilia kwenye uraia na ukabila!
So pathetic!!
 
Back
Top Bottom