Mkataba wa Bandari: KKKT muelewe hili kwanza

Umesahau viwanda vya sukari
 
Ukiwa na akili ndogo utasema Dr Shoo kaunga mkono mkataba wa Bandari.

Nashukuru wenye akili kubwa tumemwelewa Shoo bado anamkumbusha Dr Samia kufanyia kazi ushauri uliotolewa na TEC,BAKWATA..........

DR Shoo katumia hekima kubwa katika kufikisha
 
Ukiwa na akili ndogo utasema Dr Shoo kaunga mkono mkataba wa Bandari.

Nashukuru wenye akili kubwa tumemwelewa Shoo bado anamkumbusha Dr Samia kufanyia kazi ushauri uliotolewa na TEC,BAKWATA..........

DR Shoo katumia hekima kubwa katika kufikisha ujumbe kwa serekali na hasa Rais Dr Samia.
 
Sisi
Nyie mnapotosha sijui kwa manufaa ya nani.
na nani tunapotosha? issue pale ilikuwa ni DP world, na hakuna aliye muuliza, amelikoroga mwenyewe badala ya kujikita kwenye maadhimisho amejitia kitanzi mwenyewe kwa kiherehere chake, matokeo yake Rais mwenyewe akawa mjanja akapindua meza!
 
KKT hawawezi kutufikia sisi Roman kwa michango!Ila Sijakubaliana na walichokifanya TEC pamoja na Uroman wangu.Ule ni "uhuni"
 
Kkkt kwenye vikapu hawajambo. Unaweza kukuta unazunguka Mara tano na baada mnada unapigwa na michango ya jumuiya ipo ya kutosha. Waumini mnageuka kuwa miradi.
Kwenye Jumuiya nako kuna sadaka mbili, moja ya Jumuiya na nyingine Usharikani.....
 
Toka mwanzo wa sakata hili hakuna aliyepinga uwekezaji kilichopingwa ni aina ya mkataba na kasoro nyingi ambazo, zitaiumiza nchi. Hata wanasheria wengi walilalamikia hilo. Nimemsikiliza Askofu Shoo vizuri alichokisema KKKT inaunga mkono uwekezaji, kuhusu mkataba alimwambia Rais, alipokutana nao walimshauri mambo ya kurekebisha na aliahidi angefanyia kazi.
Kuhusu sadaka, kwanza nina mashaka na ulutheri wako, Kuna mahali umesema mnapokuwa na MISA, ukweli walutheri tuna ibada na hatuna Misa, hiyo ibada ya Misa utaikuta RC au Anglican high church.
Aidha makanisa mengi ya kilutheri tuna utaratibu wa kusomewa taarifa ya fedha angalau kila baada ya miezi mitatu. Mchungaji hajipangii mshahara au posho, hupangwa na Kamati za fedha.
Michango yote kanisani ni hiari na inatakiwa ukiamua kutoa, utoe kwa moyo.
Wingi wa sadaka, kila sadaka Ina sababu yake, na mambo mengi washarika hushirikishwa.
Sikatai kuwepo kwa ukiukwaji wa matumizi ya fedha, hilo si jambo la ajabu, wanaoendesha na kusimama kanisa/ Usharika ni wanadamu wa kawaida, mapungufu hayawezi kukosekana.
 
ok
 
Hajasema anaunga mkono dp world,Amesema anaunga mkono uwekezaji kwani Kuna anaepinga uwekezaji?
Sikiliza tena hotuba yake utamwekewa,pale alifinya kimyakimya

Chukueni tahadhari msijejikuta bila kujua ni manabii wa baal chini ya yezebeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…