Una mwezi sasa hapa jukwaani umeshindwa kutetea huo uhuni, umebaki kuuliza maswali kama kuna wake zako huku jukwaani. Ww ni muhuni unayevaa suti.Natetea uhuni gani?
Nyie ndo mnashikiwa akili na mnapapalikia jambo lolote tu ili mradi mnafirahia kulisikia
Wewe na huyo mbunge nani anafahamu zaidi?Tupe uthibitisho
Nimeshindwa kutetea nini?Una mwezi sasa hapa jukwaani umeshindwa kutetea huo uhuni, umebaki kuuliza maswali kama kuna wake zako huku jukwaani. Ww ni muhuni unayevaa suti.
Onyesha Mahali AG ametoa ufafanuzi wowote kuhusu mkataba huo bungeni au nje ya Bunge.Tupe huo utofauti wa mwanasheria mkuu wa serikali na ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali?
MimiWewe na huyo mbunge nani anafahamu zaidi?
Umemsikiliza huyo mama kwenye video hiyo kwenye hoja mama hapo juu?Natetea uhuni gani?
Nyie ndo mnashikiwa akili na mnapapalikia jambo lolote tu ili mradi mnafirahia kulisikia
Hilo ndo jibu la swali uliloulizwa?Onyesha Mahali AG ametoa ufafanuzi wowote kuhusu mkataba huo bungeni au nje ya Bunge.
Mimi nimesoma. Wewe umesoma pia. Sasa elezea sehemu iliyoandikwa bandari zetu zimeuzwa?Umemsikiliza huyo mama kwenye video hiyo kwenye hoja mama hapo juu?
Nani kashikiwa akili na nani? Mkataba uko wazi na Kila mtu anausoma..
Kwanini wengine wasiseme pia kuwa wewe ndiye hujui kusoma na kuelewa??
Lissu: John hahusiki kabisa na mkataba huu,Lawama zote kwa John
Nani wewe kunipangia Cha kukujibu?Hilo ndo jibu la swali uliloulizwa?
Acha kupanick dogo, hili jambo sio la hasira hivyo.Haijakaa vizuri according to who? Yaaani nyie msiojua hata mambo ya bandari na hali ya nchi ndo msitishe jambo kubwa kwa maslahi ya Taifa ?
πMbona Msukuma aliongelea hilo swala mapema sana kuwa wapo walioenda Adan Ports na wengine wakaenda DPW.
Afu kama hawakuandamana waache lalamika
Nani wewe kunipangia Cha kukujibu?
Amini nakwambia, hamwezi fanikiwa kufanya UBATILI huu juu ya nchi yetu mkaangaliwa.
Hakuna mwenye tatizo la kuongeza ufanisi, ila sio kwa mtindo huo dogo.Nimeshindwa kutetea nini?
Kwa mwenye akili suala la Bandari zetu kuendeshwa kwa ufanisi linahitaji utetezi?
Wewe ndo wa kuniuliza uthibitisho?Wewe ambae hata bandari hupajui, hata biashara ya usafirishaji huijui unapataje nguvu ya kupinga watu wanaoongelea maslahi ya Taifa?
Ukisema kitu ukiulizwa uthibitisho kuonesha umakini wako jibu unachoulizwa
Kama huna uthibitisho kwa nini unasema kitu humu?Wewe ndo wa kuniuliza uthibitisho?
Sio kwa mtindo huo kivipi?Hakuna mwenye tatizo la kuongeza ufanisi, ila sio kwa mtindo huo dogo.