Mkataba wa Bandari: Propaganda na upotoshaji wa kauli ya Freeman Mbowe uliofanywa na Nape Nnauye bungeni wachambuliwa

Mkataba wa Bandari: Propaganda na upotoshaji wa kauli ya Freeman Mbowe uliofanywa na Nape Nnauye bungeni wachambuliwa

Yeye alitolewa bastola mchana kweupe Tundu Lisu alipigwa mchana peupeBado anataka apewe nafasi ya kumshughulikia m/kiti Mbowe mchana kweupe Huyu akili zake ni tope linalonuka
 
Ni Ansbert Ngurumo akichambua hatua kwa hatua kilicho nyuma ya mkataba wa uuzwaji/ukodishaji/ubinafsishaji wa bandari za Tanganyika ukiziacha za Zanzibar huku suala la bandari likiwa ni la muungano.

Kwa kuunganisha na hilo, katika mjadala huo bungeni tarehe 9 na 10/6/2023 aliyetia fora kuliko wote ni waziri wa habari ndugu Nape Nnauye.

Yeye kwa dakika takribani 12 alizopewa kuchangia kuhusu mkataba huo, jamaa alikuwa nje kabisa ya hoja ya msingi.

Jamaa Nape Nnauye hakusema lolote kuhusu mkataba hata katika kifungu kimoja tu na badala yake dakika zote hizo alizitumia kumjadili na kumshambulia M/kiti CHADEMA(T) ndugu Freeman Mbowe.

Hakika ilikuwa ni kituko na upotezaji wa muda na rasrimali za taifa uIofanywa na waziri huyu!

Sababu ni eti tu, Freeman Mbowe alimtahadharisha Rais Samia kuwa makini na hisia za watu kudhani kuwa amefanya maamuzi hayo ya kukubali kuwauzia Waarabu bandari za Tanganyika akiacha za Zanzibar kama hujuma dhidi ya Tanganyika, huku akitambua kuwa yeye na Waziri wake Makame Mbarawa waliotia Saini zao katika mkataba huo ni Wazinzibari.

Fuatilia mwenyewe uchambuzi huo katika video hii kuanzia mwanzo hadi mwisho [emoji116]

View attachment 2658976
Mungu mbariki Ngurumo
 
Jamaa Nape Nnauye hakusema lolote kuhusu mkataba hata katika kifungu kimoja tu na badala yake dakika zote hizo alizitumia kumjadili na kumshambulia M/kiti CHADEMA(T) ndugu Freeman Mbowe.[emoji848][emoji3064][emoji2827]
Mbowe ni shujaa
 
Ukiona mtu mwenye uthubutu wa kutembea juu ya wowowo za kina mama waliojilaza chini mbele yake, tena hadharani, basi tambua mtu hiyo ni "empty case".
Duh!

Mbona sijakuelewa vizuri mkuu 'mbenge', una maana gani hapa?

"Mtu" huyo ni nani?
"...kutembea juu ya 'wowowo'". Hizi 'wowowo' ni kitu gani?
Hili jambo lilitokea wapi na lini?

Hawa "akina mama", kwa nini "walijilaza chini mbele" ya huyu mtu, na huyo mtu alijuaje kuwa kujilaza kwao chini ilikuwa ruhusa kwake" kutembea juu ya 'wowowo'" zao?

Kama unavyoona mwenyewe hapa, maswali ni mengi sana kuhusu hili jambo la ajabu sana uliloliandika hapa!

Kuna video au picha yoyote inayoonyesha tukio hili?

Tukio linalokaribiana na hili, ambalo picha yake niliwahi kuiona ni lile la akina mama wa CCM (walivaa magwanda ya kijani, pamoja na mkuu wao mwanaume waliopiga magoti mbele ya mke wake Kikwete, wakionekana kama walikuwa wanaomba kitu muhimu toka kwake.

Lakini hili la "wowowo" na mtu kutembea juu ya hizo 'wowowo', kwa kweli linanipa shida sana kujenga hiyo picha kichwani mwangu.
Pengine ningeona picha halisi ingenisaidia sana kuelewa unachokizungumzia hapa.

Kwa yeyote aliyeshuhudia tukio la aina hiyo, tafadhali saidia kuongeza maelezo kidogo ili tuwe na ufahamu zaidi juu ya jambo lenyewe.
 
[emoji24]
FB_IMG_16810502986349226.jpg
 
Hee hee hee🥱🥱🥱🥱

Hii ni Photoshop au ni tukio halisi?

Ilitokea lini hii, wapi na kwanini alitembea juu ya matako/migongo ya wanawake hawa?

Tukio kama hili nimeliona akifanya mwanamke mmoja mtu WA dini moja ya ajabu huko Mwanza na anajiita "Mfalme Zumaridi"...

Wafuasi wa dini ya mwanake huyu, mara kadhaa hujilaza chini kufudifudi (haileweki kama huwa ni kwa amri/maelekezo yake au hufanya hivyo kwa mapenzi yao) na huyu mwanamke hupita juu yao akiwakanyaga kanyaga...

Sasa hii ya Nape iko vipi?
 
Hee hee hee🥱🥱🥱🥱

Hii ni Photoshop au ni tukio halisi?

Ilitokea lini hii, wapi na kwanini alitembea juu ya matako/migongo ya wanawake hawa?

Tukio kama hili nimeliona akifanya mwanamke mmoja mtu WA dini moja ya ajabu huko Mwanza na anajiita "Mfalme Zumaridi"...

Wafuasi wa dini ya mwanake huyu, mara kadhaa hujilaza chini kufudifudi (haileweki kama huwa ni kwa amri/maelekezo yake au hufanya hivyo kwa mapenzi yao) na huyu mwanamke hupita juu yao akiwakanyaga kanyaga...

Sasa hii ya Nape iko vipi?
Mkuu hii ilitokea kwenye kampeni za uchaguzi 2020..
Jimboni Mtama.
 
Ni Ansbert Ngurumo akichambua hatua kwa hatua kilicho nyuma ya mkataba wa uuzwaji/ukodishaji/ubinafsishaji wa bandari za Tanganyika ukiziacha za Zanzibar huku suala la bandari likiwa ni la muungano.

Kwa kuunganisha na hilo, katika mjadala huo bungeni tarehe 9 na 10/6/2023 aliyetia fora kuliko wote ni waziri wa habari ndugu Nape Nnauye.

Yeye kwa dakika takribani 12 alizopewa kuchangia kuhusu mkataba huo, jamaa alikuwa nje kabisa ya hoja ya msingi.

Jamaa Nape Nnauye hakusema lolote kuhusu mkataba hata katika kifungu kimoja tu na badala yake dakika zote hizo alizitumia kumjadili na kumshambulia M/kiti CHADEMA(T) ndugu Freeman Mbowe.

Hakika ilikuwa ni kituko na upotezaji wa muda na rasrimali za taifa uIofanywa na waziri huyu!

Sababu ni eti tu, Freeman Mbowe alimtahadharisha Rais Samia kuwa makini na hisia za watu kudhani kuwa amefanya maamuzi hayo ya kukubali kuwauzia Waarabu bandari za Tanganyika akiacha za Zanzibar kama hujuma dhidi ya Tanganyika, huku akitambua kuwa yeye na Waziri wake Makame Mbarawa waliotia Saini zao katika mkataba huo ni Wazinzibari.

Fuatilia mwenyewe uchambuzi huo katika video hii kuanzia mwanzo hadi mwisho 👇

View attachment 2658976
Hakuna cha propaganda hapa. Mbowe ni dhahiri anamchukia samia na wazanzibar wote vibaya mno.
Anam chuki sana na Rais Samia. Na katika hili wakulaumiwa ni mhe Rais mwenyewe kwa kuanzisha siasa za kistaarabu wakati akina Mbowe wamezoa siasa za kufungwa gerezani na kuharibiwa mashamba yao ndo akili inawakaa vizuri.
Madam President anapaswa kulaumiwa saana kwa kuanziaha maamiliano ya kiungwana na watu wasio waungwana hata kidogo kama mbowe.
 
Ni Ansbert Ngurumo akichambua hatua kwa hatua kilicho nyuma ya mkataba wa uuzwaji/ukodishaji/ubinafsishaji wa bandari za Tanganyika ukiziacha za Zanzibar huku suala la bandari likiwa ni la muungano.

Kwa kuunganisha na hilo, katika mjadala huo bungeni tarehe 9 na 10/6/2023 aliyetia fora kuliko wote ni waziri wa habari ndugu Nape Nnauye.

Yeye kwa dakika takribani 12 alizopewa kuchangia kuhusu mkataba huo, jamaa alikuwa nje kabisa ya hoja ya msingi.

Jamaa Nape Nnauye hakusema lolote kuhusu mkataba hata katika kifungu kimoja tu na badala yake dakika zote hizo alizitumia kumjadili na kumshambulia M/kiti CHADEMA(T) ndugu Freeman Mbowe.

Hakika ilikuwa ni kituko na upotezaji wa muda na rasrimali za taifa uIofanywa na waziri huyu!

Sababu ni eti tu, Freeman Mbowe alimtahadharisha Rais Samia kuwa makini na hisia za watu kudhani kuwa amefanya maamuzi hayo ya kukubali kuwauzia Waarabu bandari za Tanganyika akiacha za Zanzibar kama hujuma dhidi ya Tanganyika, huku akitambua kuwa yeye na Waziri wake Makame Mbarawa waliotia Saini zao katika mkataba huo ni Wazinzibari.

Fuatilia mwenyewe uchambuzi huo katika video hii kuanzia mwanzo hadi mwisho 👇

View attachment 2658976
Nape ni muimbaji wa taarabu hivyo hajawahi kuwa na hoja zaidi ya mipasho.sifa za kuwa mbunge zero,sifa za kuwa waziri zero =hakuna kitu au an empty set or a pumpkin.
 
Back
Top Bottom