Mkataba wa Bandari umeonesha rangi zao

Safari hii tumesema LITOKE JUA INYESHE MVUA tutapambana kuwavua nguo WABAGUZI WOTE WA UKABILA ,KANDA NA DINI ..

Nguli Ahmed Rajab amemaliza....[emoji120][emoji2956][emoji7][emoji7]

Binafsi ni kijana wa huku bara....nimekuwa nikijitathmini mwenyewe....

Nilipokuwa chuo kikuu nilikuwa kiongozi mwenye kuwakusanya wanafunzi wote na kuondoa unyonge kwa kila aliyejitia na kutiwa unyongeni....

Siku moja niliitwa na kuulizwa kuwa nimetokea Zanzibar ?!!

Nilishangaa sana.....

Mimi ni mnyakyusa kwetu ni Matema Kyela ila nilikulia mkoa mmoja ulio pwani....lafidhi yangu ni ya mtu wa pwani....japo jina linatoa picha kamili ya Unyakyusa wangu....

Nilichokuja kugundua ni kuitwa mswahili kwa kule tu kujitambua thamani yangu ya utu na kumthamini kila aliyekuwa mbele yangu toka nikiwa mdogo kwani nilianza kuzisoma makala za magazeti ya Rai ya akina kamarada Ulimwengu na wenzake nikiwa na miaka 8 tu....

Ubaguzi haupo tu dhidi ya wazanzibari...pia kuna hii tabia ya baadhi ya wazanzibari KUWADHARAU wabara....na kuwaona watu wasiostaarabika kwa kuwaita "machogo" na majina tofauti yenye kukirihisha...hili nalo halina afya kwa raia ndugu wa nchi moja....

Ndg.Ahmed Rajab amefungua "Pandora box"...tuna ulazima wa kufundisha watoto wetu kuondokana na UJINGA wa kujiona bora zaidi ya wengine...

Mh.Mbowe ni miongoni mwa watu wanaosukumwa na UBAGUZI huo dhidi ya mh.Rais Dr.SSH.....

#SayNoToRacism[emoji120]
#SayNoToBigotry[emoji120]
#TaifaMojaWatuWamoja[emoji120]

#SiempreJMT[emoji120]

#MamaAnaupigaMwingi[emoji2956]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji2956][emoji2956][emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ahmed rajab humjui? Ni ile mizee inayolamba miguu waarabu ni mzanzibar huyo
Mungu akusamehe sana kwa kuwa mbaguzi...WEWE NI MBAGUZI....

UBAGUZI NI USHETANI....

Badala ya kujibu hoja yake unatanguliza ARGUMENTUM AD HOMINEM... .

Hivi mbali na ubaguzi ulio nao...ulikwenda shule kusomea "upumbavu"?!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi bado Ahmed Rajab anasikilizwa ?
 
Mohamed Said uko upande upi ?
 


Kwa hiyo tafsiri uliyotuletea ya , eunuch , tuambie kuna mtu gani aliyefanywa eunuch katika kanisa lenu hapa Tanzania na duniani kote ???

Pengine ni wewe ndiye mtu wa kwanza uliyefanywa eunuch 😛 😛
 
Rajabu, huwa nakuamini ila kwa hili haupo neutral. Unaegemea uzanzibari na asili yako; uarabu
 
Tutafute maarifa na teknlojia ya kujenga na kuendesha bandari zetu wenyewe, tusitafute wa kutujengea na kutuendeshea.
 
Nimekuwa nikimfuatilia Ahmed Rajab tangu akiandika jarida la kama sio African Now basi ni African Events hadi kuwa mchangiaji kwenye gazeti la Raia Mwema. Hana tofauti sana na mwandishi wa historia ya Tandamti na Kipata Mzee Mohamed Said!
Mara kadhaa huwa nakuwa naye kipindi cha maoni kwenye meza ya duara ya Sauti ya Ujerumani (DW), siku za Jumamosi saa 7 mchana
 
Hizo ni hisia zako tu kuhusu udini lakini Watanzania wote Waislamu kwa Wakristo hawataki huo mkataba wa kubumba bumba kama wewe unakubali mkataba wa hovyo kisa udini basi nenda katubu.
 
Kwa hiyo tafsiri uliyotuletea ya , eunuch , tuambie kuna mtu gani aliyefanywa eunuch katika kanisa lenu hapa Tanzania na duniani kote ???

Pengine ni wewe ndiye mtu wa kwanza uliyefanywa eunuch 😛 😛
hao ni watu wa tamaduni za enzi hizo. walikuwa mabodigadi wa wanawake wanaotoka kwenye ukoo wa kifalme, ili wasiwazalishe walitakiwa kuhasiwa ili wasiwe na nguvu. na ni kweli kuna watu pia wanazaliwa hawana nguvu, ila kuzaliwa kutokuwa na nguvu haimaanishi amezaliwa shoga, hapana. tofautisha hanith na shoda. mahanith wapo wengitu na huwa hawalembui macho kama wewe, ni wanaume wa kawaida tu hawana huo uchoko wenu, ila tu hawana nguvu kumlala mwanamke, hawasimamishi.
 
Ndivyo Yesu alivyosema kwenye hiyo aya ?? Wacha kutuletea hadithi za kanisa ,. Hivi hao wanaofanywa eunuch makanisani kwa tafsiri yako , yaani makanisani kuna body guard wa wanawake na koo za kifalme ????

na pia umesema kuna watu wanazaliwa hawana nguvu yaani watu hao hawazaliwi tena siku hizi ??

Sasa niambie huyo hanith aliyefanywa eunuch kanisani kwenu ni nani ?? au wewe ?+

swali liko pale pale hujalijibu


Kwa hiyo tafsiri uliyotuletea ya , eunuch , tuambie kuna mtu gani aliyefanywa eunuch katika kanisa lenu hapa Tanzania na duniani kote ???

wafalme hawako tena duniani ??

Pengine ni wewe ndiye mtu wa kwanza uliyefanywa eunuch
 
acha ujinga dada. siku hizi hakuna ma eunuch, walikuwepo zamani enzi Yesu alipokuwepo hapa duniani. tafsiri ya enzi hizo ilikuwa ni watu wanaohasiwa ili wawe walizi wa royal family na lengo ili wasifanye nao ngono. mfalme alikuwa na amani walizi wa mabinti zake au wake zake wakiwa wanmehasiwa. hivyo tafsiri ilikuwa ni watu wasiokuwa na nguvu za kiume. sasa Yesu alikuwa anawaeleza watu kwamba, kuna watu wengine wanazaliwa wakiwa mahanith. katika yoote hayo, hakuna sehemu ilimaanisha watu wanazaliwa wakiwa mashoga. najua unatamani iwe hivyo lakini sivyo ilivyo. mistari ya Biblia nimekuwekeeni hapo juu ukiisoma utaelewa.

Mtume Paulo hajawahi kuoa, na alisema yeye ana tatizo mwilini mwake ambalo hakulifafanua na inasemekana yaweza kuwa alikuwa hana nguvu. lakini pamoja na yote, ukisoma Warumi 1:26 amepinga na kulaani ushoga na usagani. Biblia tangu agano la kale kipindi cha sodoma na gomora MUngu amepinga sana ushoga na aliadhibu, hadi Yesu alipokuja na wafuasi wake wote wamepinga ushoga hadi mwisho. ila sina uhakika kama vitabu vingine vinavyoruhusu sunna kama vinapinga ushoga. na huwa sielewi kwanini maeneo yenye imani sana kama zanzibar, tanga na mombasa, au niseme uarabuni yote na waarabu wote wanaogopwa kwa kuingilia kinyume na maumbile. jibu utakuwa nalo wewe mwenyewe kama upo fair katika huu mjadala.
 
Kwa hiyo kwa kuwa waarabu ni wa dini.yako wanatakiwa kufunga mikataba yeyote kwa masharti yeyote ya kinyonyaji sisi tukae kimya bila.Hivi Wazanzibari walipofanya mapinduzi walikuwa hawataki nini vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…