Tetesi: Mkataba wa Bandari: Wabunge wa CCM waitwa kikaoni kesho Mchana, Juni 9, 2023

Tetesi: Mkataba wa Bandari: Wabunge wa CCM waitwa kikaoni kesho Mchana, Juni 9, 2023

Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!
Mbona habari imekaa kama kisukuma gang flani
 
HIZI NI ORODHA YA KESI ZA KAMPUNI YA DP WORLD KUTOKANA NA MIGOGORO YA BANDARI

Here is a list of the latest 20 cases versus DP World in international arbitration court:

1. DP World v. Kenya (2022). The International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) is currently hearing a case brought by DP World against Kenya. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Kenya.
2. DP World v. Ethiopia (2022). The ICSID is also currently hearing a case brought by DP World against Ethiopia. DP World is seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Ethiopia.
3. DP World v. Djibouti (2021). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Djibouti. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Djibouti.
4. DP World v. Pakistan (2020). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Pakistan. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Pakistan.
5. DP World v. India (2019). The ICSID dismissed a case brought by DP World against India. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by India.
6. DP World v. Argentina (2018). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Argentina. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Argentina.
7. DP World v. Chile (2017). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Chile. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Chile.
8. DP World v. Uruguay (2016). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Uruguay. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Uruguay.
9. DP World v. Peru (2015). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Peru. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Peru.
10. DP World v. Brazil (2014). The ICSID dismissed a case brought by DP World against Brazil. DP World was seeking damages for alleged breaches of contract and expropriation by Brazil.

It is important to note that these are just a few of the many cases that DP World has been involved in. DP World is a major player in the global port industry, and it has been involved in a number of disputes with governments around the world. These disputes have often been complex and have involved significant financial stakes.

The cases listed above are still ongoing, and it is not yet clear how they will be resolved. However, they provide a glimpse into the challenges that DP World faces as it operates in a number of different countries.
WABUNGE WAONE JINSI GANI DP WORLD ILIVIVYO NA MIGOGORO NA MATAIFA MENGI DUNIANI HIVI TUNAFANYA HAYA MADUDU TUKIWA NA UBONGO WETU VICHWANI? KISA BAADHI YA WABUNGE WACHACHE KUPATIWA RUSHWA NA HONGO ILI KUUZA UTU NA HESHIMA YA TAIFA ILI.
 
Bandari za Zanzibar hazihusiki.
Hivi unajua kuwa bandari ya dar es salaam ndio geti la nchi zisizo na bandari (Zambia ,Malawi ,Burundi ,Rwanda Kongo)?!!!

Hivi unajua mh.Kagame alipomuambia JPM ampe bandari asimamie hakutaja bandari za Zanzibar?!!!

Mbona "unajitia kabali" na ute wa mwanao mchanga?!!! [emoji1787][emoji1787]
 
Tatizo kubwa ni kuwa walishona nguo kabla ya kuchukua vipimo, kasheshe ipo kwenye kuifumua ili ishonwe upya
 
IMG-20220725-WA0016.jpg
 
Hivi unajua kuwa bandari ya dar es salaam ndio geti la nchi zisizo na bandari (Zambia ,Malawi ,Burundi ,Rwanda Kongo)?!!!

Hivi unajua mh.Kagame alipomuambia JPM ampe bandari asimamie hakutaja bandari za Zanzibar?!!!

Mbona "unajitia kabali" na ute wa mwanao mchanga?!!! [emoji1787][emoji1787]
Not necessarily kuhusiana na hoja yako kuwa Dar es Salaam ndio bandari pekee kwa nchi hizo ulizoziorodhesha,kwa taarifa yako DRC (future ya Africa kibiashara),mizigo yake mingi inapitia Durban &walvis Bay, kwetu zaidi ni fuels, Zambia amefungua zaidi mipaka ya kusini, nayo inategemea zaidi bandari hizo na ndio maana barabara yake ya kapiri mposhi to nakonde haangaiki nayo sana, ni mbovu sana,watanzania wenzangu tuambiane ukweli kuhusu nchi yetu, bandari zetu tuziboreshe hasa kiutendaji sio kujenga majumba mengi!
 
Wasiyasahau haya

Hapa kuna orodha ya kesi 20 za hivi punde dhidi ya DP World katika mahakama ya kimataifa ya usuluhishi:

1. DP World v. Kenya (2022). Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Mizozo ya Uwekezaji (ICSID) kwa sasa kinasikiliza kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Kenya. DP World inatafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Kenya.

2. DP World v. Ethiopia (2022). ICSID pia kwa sasa inasikiliza kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Ethiopia. DP World inatafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Ethiopia.

3. DP World v. Djibouti (2021). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Djibouti. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Djibouti.

4. DP World dhidi ya Pakistan (2020). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Pakistan. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Pakistan.

5. DP World v. India (2019). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya India. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na India.

6. DP World v. Argentina (2018). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Argentina. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Argentina.

7. DP World v. Chile (2017). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Chile. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kuipokonya ardhi na Chile.

8. DP World v. Uruguay (2016). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Uruguay. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Uruguay.

9. DP World v. Peru (2015). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Peru. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kuipokonya mali na Peru.

10. DP World v. Brazili (2014). ICSID ilitupilia mbali kesi iliyoletwa na DP World dhidi ya Brazil. DP World ilikuwa ikitafuta fidia kwa madai ya kukiuka mkataba na kunyang'anywa mali na Brazili.

Ni muhimu kutambua kwamba hizi ni baadhi tu ya kesi nyingi ambazo DP World imehusika nazo. DP World ni mhusika mkuu katika sekta ya bandari ya kimataifa, na imehusika katika migogoro kadhaa na serikali duniani kote. . Mizozo hii mara nyingi imekuwa ngumu na imehusisha wadau muhimu wa kifedha.

Kesi zilizoorodheshwa hapo juu bado zinaendelea, na bado haijabainika jinsi zitakavyotatuliwa. Hata hivyo, yanatoa mwanga wa changamoto ambazo DP World inakabiliana nayo inapofanya kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!
Mkataba unasema kitendo cha kurekebisha kifungu chochote ktk mkataba kitakuwa na maana ya kutokuridhia mkataba. NI LAZIMA KURIDHIA WAPENDE WASIPENDE. Kitendo cha wabunge kuhongwa dollar na magari, na kulipiwa gharama za kwenda dubai ilikuwa ni kitendo cha kununuliwa. Wabunge hawana jeuri ya kukataa.
 
Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!
Mikataba yote tangu uhuru ipitiwe upya.
 
Suala hili limeshakuwa cultural sensitive.Wabara wanaona nchi yao inauzwa.!Muda wataanza kuwafukuza watanzania kutoka visiwani!
 
Wana CCM wenzangu pitisheni huo mkataba bila kusikiliza kelele za wapinzani. Wanatuchelewesha Sana
 
Taarifa za uhakika kutoka Dodoma ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kesho Ijumaa tarehe 09/6/2023 wametumiwa ujumbe wa wito wa kushiriki kikao cha Wabunge wa CCM - Party caucus Kwa ajili ya kuweka msimamo juu ya kupitisha azimio la mkataba wa Serikali na Dubai.

Kikao hiki kimeitwa siku moja kabla ya siku ya kupitishwa Kwa azimio la Bunge la kuridhia Mkataba huo ambao umesababisha sintofahamu kubwa katika jamii ya watanzania na hata jamii ya kimataifa.

Taarifa za ndani ya Wabunge wa CCM ni kuwa kuna mgawanyiko mkubwa miongoni mwao huku kundi moja likiweka bayana kuwa mkataba hauna Maslahi Kwa Taifa na lingine likisemwa kuwa kukataa kupitisha itatia aibu Chama chao hivyo Bora funika kombe Mwanaharamu apite!

Wabunge wanaopinga hoja zao ni zilezile za watanzania wazalendo kuhusu ubovu wa mkataba huo na umilele wake. Kundi hili linaongozwa na wabunge wawili kutoka majimbo ya DSM na kinara wao anatoka Mkoa wa Manyara! ( Majina kapuni ).

Watanzania kama kweli ni wazalendo wanashauriwa kuanzisha kampeni ya kuwapigia simu na jumbe (SMS) Kwa wabunge na kuwataka wakatae kupitisha azimio hilo kwani ni la hatari Kwa Taifa na usalama wa nchi.

Nitawajuza zaidi kwani Kwa sasa vikao viko kila sehemu Dodoma.

TIP: Kuna kundi la wabunge wanaopinga kuwa wabunge kutoka Zanzibar wasiwe sehemu ya kupitisha azimio hilo kwani rasilimali za Tanganyika ndio zinaenda kutolewa na hivyo kama wanataka kushiriki basi Bandari za Zanzibar ziwe sehemu ya mkataba huo.

More to follow, stay tuned!
Tunaomba wenye namba za hawa wabunge plz tuwekee hapa tuwapigie.
 
Back
Top Bottom